DR SLAA : MAKONDA HANA MAJIBU ANATUMIA PROPAGANDA. WANANCHI HAWANA IMANI NA RAIS KAMA ATAWASAIDIA
Жүктеу.....
Пікірлер: 22
@robertzamani5612Ай бұрын
Mzee kweli umeanza kuchoka
@fredysiwale54132 ай бұрын
Tafuta vya kuzungumza badara ya kumsema mh Makonda utachekwa na walio saidiwa na huyo unae msema. Acha Makonda Ajijenge kwa mema kuliko ninyi mnao zunguka kuhubiri chuki dhidi ya serikali
@majaliwabwitonde6900Ай бұрын
Kiĺa aliyeshindwa anachukua mfano wa kazi za makonda, mwacheni afanye kazi yako
@alphoncewilliam4325Ай бұрын
Mzee huna aibu kwanza uliapa auta jiusisha na mambo ya kisisa .ulitaka yeye afanyeje umezeeka unategemea
@BardenBensonMwamfupe-dk3ygАй бұрын
Huyu mzee anapinga kila kitu
@user-cw2nj4io3vАй бұрын
Nchi hii ukiwa bumbumbu utaburuzwa mpaka upauke, ukiambiwa geuka kulia, unageuka tu hujiulizi kwanini nimeambiwa nigeuke kulia!
@seleshaban482 ай бұрын
Doctor slaa, kakojoe ulale.....
@othmarluwawilo8308
Ай бұрын
Umekosa fikra, huna fikra pana jinsi inchi inavyoliwa, makonda ni uchafu Samia anasubira aufagie.
@margarethpolepole74382 ай бұрын
kinachotakiwa ni loliondo irudishwe kwa Wamasai tu ndiyo nchi itaeleweka maana kila Mkoa wananchi wanalalamika kuchukuliwq maeneo yao kuhusu kisa kuwekwa mbuga za wanyama
@DiorMabaril-qy6ypАй бұрын
Slaa slaa slaa nimekuita mala tatu usimtaje makonda vibaya tena
@SmilingFlowerBouquet-hs2hvАй бұрын
Mimi ni CHADEMA sasa mzee unaanza kutukosea muache Makonda afanye kazi msituvuluge kumbe na nyie ni ovyo tu
@francismadirisha35112 ай бұрын
Mzee slaa Acha kujishushia heshima yako Kwan Nani hajui kwamba makonda Yuko vizuri kijana anachapa KAZI
@user-rn9og1rk3l
2 ай бұрын
Akili huna
@josephdogani3419
Ай бұрын
HV unamsema vibaya slaa ,umemuelewa?tumor I smili
@mataypanga52622 ай бұрын
Makonda kama babu wa Loliondo😂
@LovelyBrain-wz7si2 ай бұрын
Wewe naye nilikuwa nakuona una akili kumbe nawe ni mpumbavu wewe uliwahi kumsaidia nani hasa ulipo kuwa balozi
@margarethpolepole7438
2 ай бұрын
Lovely huna akili wewe ambae hukwenda shule maana humueĺewi nyau wewe
@alphoncewilliam4325
Ай бұрын
Wewe kunguni jibu hoja babu kazeeka pia amejaa chuki@@margarethpolepole7438
@josephdogani3419
Ай бұрын
Sacha upumbavu anayoongea slaa ni kweli nchi imeoza.mifumo ya utawsls imekufai.tasisi hazifanyi kazi.,umejiuliza akifa Makonda leo nani status matatizo ya Arusha? Mgumo wore uliosababisha matatizo ambauo Malinda anayatatua umeondolewa kwa kusababisha matatizo na kuwekwa mfumo mpya?acheni kuchotwa akili km watoto. Wadogo. Km makonda anatatua matatizo je kwa nini mama asiteue wachapa kz km makonda nchi nzima ili matatizo na help ziishe. Kwa mini asitrue wakururugenzi na wengineo ili tuondokane na matatizo yanayotatulika. Ukiona mkuu wa mkoa amegeuka mahakama ,mjurugenzi ,mkuu wa wilaya ,polisi na anafanya kz ambaxozingtakiwa kufannywa na wa chini yake,ujue hicho chama kinavjotawala kimeoza kuneparaganyika na kupoteza muelekeo. HV miaka stin ya kujitawala chama kimedhindwa kutengeza utawala bora unsotatua shida za wstu.mpska wary wsidhi kwa huruma ya kiongozi?
@user-id6xo9td6k2 ай бұрын
Achana na makonda we mzee
@nurubarakekenwa75572 ай бұрын
Yaan mzee achana na makonda anapiga kazi nzuri sana acha propaganda za kisiasa.mfano unakuta mahakama imeshafanya maamzi ya kisheria ila watendaji walio chini ya mkuu wa mkoa hawajatekeleza maamzi hayo unategemea nani atatoka mbinguni kuja kusimamia maamzi ya mahakama.pumzika mzee wana nch i tunakuheshimu.mwache makonda atekeleze wajibu wake.weww ulifanya nini wakati ukiwa barozi wa tz nchi fulani.
Пікірлер: 22
Mzee kweli umeanza kuchoka
Tafuta vya kuzungumza badara ya kumsema mh Makonda utachekwa na walio saidiwa na huyo unae msema. Acha Makonda Ajijenge kwa mema kuliko ninyi mnao zunguka kuhubiri chuki dhidi ya serikali
Kiĺa aliyeshindwa anachukua mfano wa kazi za makonda, mwacheni afanye kazi yako
Mzee huna aibu kwanza uliapa auta jiusisha na mambo ya kisisa .ulitaka yeye afanyeje umezeeka unategemea
Huyu mzee anapinga kila kitu
Nchi hii ukiwa bumbumbu utaburuzwa mpaka upauke, ukiambiwa geuka kulia, unageuka tu hujiulizi kwanini nimeambiwa nigeuke kulia!
Doctor slaa, kakojoe ulale.....
@othmarluwawilo8308
Ай бұрын
Umekosa fikra, huna fikra pana jinsi inchi inavyoliwa, makonda ni uchafu Samia anasubira aufagie.
kinachotakiwa ni loliondo irudishwe kwa Wamasai tu ndiyo nchi itaeleweka maana kila Mkoa wananchi wanalalamika kuchukuliwq maeneo yao kuhusu kisa kuwekwa mbuga za wanyama
Slaa slaa slaa nimekuita mala tatu usimtaje makonda vibaya tena
Mimi ni CHADEMA sasa mzee unaanza kutukosea muache Makonda afanye kazi msituvuluge kumbe na nyie ni ovyo tu
Mzee slaa Acha kujishushia heshima yako Kwan Nani hajui kwamba makonda Yuko vizuri kijana anachapa KAZI
@user-rn9og1rk3l
2 ай бұрын
Akili huna
@josephdogani3419
Ай бұрын
HV unamsema vibaya slaa ,umemuelewa?tumor I smili
Makonda kama babu wa Loliondo😂
Wewe naye nilikuwa nakuona una akili kumbe nawe ni mpumbavu wewe uliwahi kumsaidia nani hasa ulipo kuwa balozi
@margarethpolepole7438
2 ай бұрын
Lovely huna akili wewe ambae hukwenda shule maana humueĺewi nyau wewe
@alphoncewilliam4325
Ай бұрын
Wewe kunguni jibu hoja babu kazeeka pia amejaa chuki@@margarethpolepole7438
@josephdogani3419
Ай бұрын
Sacha upumbavu anayoongea slaa ni kweli nchi imeoza.mifumo ya utawsls imekufai.tasisi hazifanyi kazi.,umejiuliza akifa Makonda leo nani status matatizo ya Arusha? Mgumo wore uliosababisha matatizo ambauo Malinda anayatatua umeondolewa kwa kusababisha matatizo na kuwekwa mfumo mpya?acheni kuchotwa akili km watoto. Wadogo. Km makonda anatatua matatizo je kwa nini mama asiteue wachapa kz km makonda nchi nzima ili matatizo na help ziishe. Kwa mini asitrue wakururugenzi na wengineo ili tuondokane na matatizo yanayotatulika. Ukiona mkuu wa mkoa amegeuka mahakama ,mjurugenzi ,mkuu wa wilaya ,polisi na anafanya kz ambaxozingtakiwa kufannywa na wa chini yake,ujue hicho chama kinavjotawala kimeoza kuneparaganyika na kupoteza muelekeo. HV miaka stin ya kujitawala chama kimedhindwa kutengeza utawala bora unsotatua shida za wstu.mpska wary wsidhi kwa huruma ya kiongozi?
Achana na makonda we mzee
Yaan mzee achana na makonda anapiga kazi nzuri sana acha propaganda za kisiasa.mfano unakuta mahakama imeshafanya maamzi ya kisheria ila watendaji walio chini ya mkuu wa mkoa hawajatekeleza maamzi hayo unategemea nani atatoka mbinguni kuja kusimamia maamzi ya mahakama.pumzika mzee wana nch i tunakuheshimu.mwache makonda atekeleze wajibu wake.weww ulifanya nini wakati ukiwa barozi wa tz nchi fulani.