🅻🅸🆅🅴 : MWABUKUSI ANAZUNGUMZA MUDA HUU SAKATA LA KUKATWA NA TLS KUGOMBEA URAIS CHAMA CHA MAWAKILI...

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 300

  • @mickgeofreyjoachim1580
    @mickgeofreyjoachim158010 күн бұрын

    The man's voice in the jungle....powerful voice that brings hope to all members of TLS who are in the side of right....keep going brother u deserve to be leader indeed

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko580310 күн бұрын

    UBARIKIWE SANA WAKILI SHUJAA NA JASIRI MSOMI BONIFACE MWABUKUSI 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo686910 күн бұрын

    Kwa kweli TLS haipo kwa ajili ya kusimamia haki Hatusikii sauti yao pale wananchi wa nchi hii wanaonewa TLS inataka akili kubwa ya watu kama huyu Mwabukusu kuinyoosha Big up Mwabukusi

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo582710 күн бұрын

    Brother Mwabukusi wewe ni mkweli na ni mzalendo. Waambi e💪🏻💪🏻💪🏻

  • @hildandumbalo5827

    @hildandumbalo5827

    10 күн бұрын

    Wamejinyanyasa wenyewe una Yesu brother

  • @hildandumbalo5827

    @hildandumbalo5827

    10 күн бұрын

    Powerful, tuko pamoja kaka

  • @hamisijuma3276

    @hamisijuma3276

    9 күн бұрын

    Mwabukusi, Mpina na Katiba Mpya mbona hapendwi???

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    6 күн бұрын

    Kwa kweli Kwa Mwabukusi kuwa Rais wa TLS ni tatizo maana Chama hichi ni cha Watu wote wasio na vyama na wenye vyama tofauti!sasa yeye ana Marengo wa kisiasa ulio wazi,sasa Kwa hivyo anaikosesha heshima taasisi hii muhimu ya watu ni vyema hao waliomuengua kufanya hivyo!yeye aungsne na Mbowe na wanasiasa wengine watuelimishe wananchi mambo muhimu ya inchi yetu!❤🎉

  • @robertzingu9889
    @robertzingu988910 күн бұрын

    Yes. Hawa ndio wanasheria tunaowataka hapa Tanganyika. Jamaa anasema, "tutazungumza kwa lugha wanayoielewa hata kwa mkono!!". This is bold and strong statement

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy439110 күн бұрын

    Mwabukusi ❤ you. You seem to be working as teachers!! We use our eyes, hands, legs , mouth and the whole body that's why our pupils understand better. No teacher agrees without questioning Why, when, what, which who....Am proud of you 👏 .

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa108210 күн бұрын

    Au mchakato unaendeshwa na mamluki wa serikali ndani ya tls? Huyu Mwabukusi anavyoongea hakuna kifungu alichovunja cha Sheria ya chama.

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud10 күн бұрын

    Viva viva Mabukusi, unaitendea haki fani yako ya sheria. Mungu akulinde uendelee kutetea rasilimali za umma wa Taz.

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
    @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to10 күн бұрын

    Hongera sana sana Mwanasheria mzalendo wa kweli.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s10 күн бұрын

    Nyie mtu anaposimamia haki mnakimbilia ukibaraka acheni tabia hiyo kabisa

  • @GabrielMwampulo-ys4nl
    @GabrielMwampulo-ys4nl10 күн бұрын

    Ndg Mwabukusi endelea na ujasiri huo huo sisi wenye akili hatuoni kosa lako.wewe unatetea maslahi ya nchi.

  • @SarahAlphonce-q4e

    @SarahAlphonce-q4e

    10 күн бұрын

    Kaka kaza buti kweli tumechoka haki inafunikwa kwa wenye madaraka.

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung215910 күн бұрын

    Tuko pamoja Sana kamanda wetu

  • @dennisrwelamira1259
    @dennisrwelamira125910 күн бұрын

    Upewe nafasi yako. Wewe ni mpambanaji. Mara nyingi viongozi hawataki watu walionyooka.

  • @paull8659
    @paull865910 күн бұрын

    TLS imebanwa koo ni maccmm. Pole brother Boni

  • @edsonkahesi8603

    @edsonkahesi8603

    10 күн бұрын

    Kabisa, na hawa ndo wanaoiharibu nchi kwa kuleta viongozi wabovu, wasiojiamini, nakuacha viongozi bora eti ni wachochezi, mara wanamkosoa rais yani kiufupi maciciem hayapendi kiongozi wakuwafumbua watanganyika macho, wanataka raia wengi waendelee kuwa mazuzu, wajinga wajinga ili watawalike vizuri..wakiona kiongozi mwenye vision wanampiga vita, kwa njia zote, kama siyo kumbakizia kesi watampa skendo mbaya ilimradi asipate nafasi ya kuongoza ili waendee kufanya yao. Mfano mzuri tuliona walivyokuwa washambambikizia tuhuma za uhaini huyu wakili, mara amevunja sheria kwa kumkosoa rais hadharani, mara unaweza sikia mhujumu uchumi, mara mkwepa kodi, yani ciciem wana uhuni mwingi kwa mwenye kuwakosoa.

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l10 күн бұрын

    Nakukubali sana mwambukusi tutafika tu haki huwa haipotei ila inachelewa tu.

  • @patrinraura1397
    @patrinraura139710 күн бұрын

    Kwa Sisi watu wa chini tunaamini unabii wa kweli unasimama kwenye ukweli na msema kweli siku zote huchukiwa na ndiyo gharama ya Nabii. Mhe Wakili Mabukuzi Mungu atakulinda kwa kuwa unasimama kwenye haki.

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    10 күн бұрын

    Haki huinua taifa

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa108210 күн бұрын

    Hayo ni maagizo kutoka juu.

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola10 күн бұрын

    Mwambukusi napenda honest Yako. Wewe ni Moja ya viongizi "Strong" katika nchi yetu. Huwa una nimotivate sana Mimi katika kusimamia uwazi na haki. Mungu akupe maisha marefu.

  • @chuguletheodos3342
    @chuguletheodos334210 күн бұрын

    Kwa lissu alivokuwa rais wa tls hakuwa mwanasiasa wa chadema ,acheni ujinga nyinyi mnaopinga hii akili kubwa ya mwabukisi ,

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    10 күн бұрын

    Hata Lissu alikwamishwa sana Hadi alipotumia mbinu mbadala na kuwahishwa Kwa helicopter mkutanoni!!

  • @TegemeaFutemakatifu

    @TegemeaFutemakatifu

    9 күн бұрын

    Tena Alikuwa na Kesi kibao, Hawa wamemuondoa huyu Kwa malengo yao

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d10 күн бұрын

    Omba kugombea uraisi chadema mwabukusi unakubarika na watanzania aijapata kutokea. Tunakuomba gombea uraisi chadema

  • @innocent91044
    @innocent9104410 күн бұрын

    Bro Achana na hii TLS, Gombea uraisi TLS watakutafuta wenyewe baadae.

  • @floraashery224
    @floraashery22410 күн бұрын

    Big up sana brother,even though ukweli utasimama hata wakipinga na kukuondoa

  • @samsonrusagira5168
    @samsonrusagira51689 күн бұрын

    Ubarikiwe Wakili Mwabukusi.Kwa kweli TLS wametuangusha Wa tanzania. Panahitajika mageuzi katika chombo hiki Cha Wanasheria

  • @eliyagikaro6426
    @eliyagikaro642610 күн бұрын

    Uko sahihi!asante.

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro35306 күн бұрын

    Kaka mungu akusimamie tuko pamoja wewe ni mwanasheria wa haki kabisa

  • @user-gv3bv5cu2z
    @user-gv3bv5cu2z6 күн бұрын

    Hi. Ni. Kweli. Unasema. Vizuri. Asante. Wambie. Wajijue

  • @renatusikanoni4203
    @renatusikanoni420310 күн бұрын

    Brother wewe nakuelewa sana. Nakuombeaga sana kwa Baba katika jina la Yesu azidi kukulinda juu ya MAADUI.

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge30110 күн бұрын

    Big up to you brother Mwabukusi........

  • @Siha01TV
    @Siha01TV6 күн бұрын

    Hii nchii kila mtu ni mnafkiii mpaka mawakiliii ...mnashimdwa ku saport huyuu jamaa kweli

  • @chuguletheodos3342
    @chuguletheodos334210 күн бұрын

    Tuko pamoja mwabukusi ,wewe ni big brain brother

  • @helencyprian8745
    @helencyprian874510 күн бұрын

    Maagizo toka juu, nuru na giza havichangamani kaka# bandari

  • @ThobiasMasabire
    @ThobiasMasabire10 күн бұрын

    Mungubakuongoze kaka yangu

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c10 күн бұрын

    Mwabukusu mm nakukubal sana wanakuogopa ila mm nina wazo hata kama ww huna naomba lichukue kagombee ubunge mwaka kesho nilijuta sana cku nimekuona green hurt arusha unakunywa chai nikaogopa kuja japo kukulipia kikombe cha chai nakukubal sanaaaaa

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka120610 күн бұрын

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @user-jz1or4mb7q
    @user-jz1or4mb7q10 күн бұрын

    Mungu iokoe Tanzania!

  • @robertsulus7947
    @robertsulus794710 күн бұрын

    Mwabukusi for president..you have my vote of confidence bro.

  • @dillonfoya
    @dillonfoya10 күн бұрын

    Wa Tanganyika tunahitaji watu wenye udhubutu kama Huyu Wakili.msomi tatizo la kujipendekeza na uoga kuwafurahisha wateuzi hii dhambi Sasa imefika mpaka kwenye Sheria tutaponea wapi kwa mtindo huu TLS mambo mengi wanayanyamazia hawapigi kelele

  • @helencyprian8745
    @helencyprian874510 күн бұрын

    Uko sahihi sana bro

  • @Alute-son2003
    @Alute-son200310 күн бұрын

    Mungu akutunze zaidi kaka

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej10 күн бұрын

    Shida inaanzia hapo kwanini tuwe na vyama viwili kwenye nchi Moja ? Mali zinazo zungumziwa ni za Tanganyika kweli umuhimu wa katiba mpya unahitajika wanasheria wetu mlitetee hili TAIFA

  • @manyarangemgendi4958
    @manyarangemgendi49588 күн бұрын

    U doing a good job brother

  • @georgewambura7695
    @georgewambura769510 күн бұрын

    I am not fear of an army of lions led by sheep, I fear of the army of sheep led by lions

  • @bonifasmashingia
    @bonifasmashingia10 күн бұрын

    Ivi Kinjekitile ngwale!.mtemi isike. Mkwawa and other freedom fighters wa Tz wakafufuka leo wakaona hii Tz ilivyo now na maovu yake !Unafikirii watawafanyia nini rulers?? Im not the fool and i cant rejoin with watu wa matumbo yao !! Instead i can work with people who have vision and volunteers and sio watu wakuagalia nini watapata kwa matumbo yao !! NATIONAL INTEREST FIRST THEN OPTIMISTIC PERSON INTERESTE LAKIN SERKALI YA SASA NI PERSONAL INTEREST FIRST THEN NDO INAKUJA LEAST BIASED IMPLEMENTATIONS OF GROUPED NATIONAL INTEREST NA SOMETIMES. NO IMPLEMENTATION ON IT !!OUR LATE FREEDOMS FIGHTER HAWAKUWA NA HII SPIRIT NA HII BAD SOUL AMBAYO MKO NAYO CCM RULERS !!THUS TUKAWA INDEPENDENT UNTIL NOW BUT CCM MNATURUDISHA *10 YA MKOLONI FEW MNATUKANDAMIZA MAJORITY WHY THIS CCM LEADERS??WE AWAITING TO DIE NOW !!PREACH AND practice right !! Tanzania ni mali ya umma na sio ya watu flani flanii!! NO QUITE AGAIN WE WILL SPEAK AND FIGHT FOR NEO CCM COLONISATION UNTIL MY LAST BREATH AND IM RAEDY FOR THAT !!IM WAITING FOR MY DUTIES AND TIME BY NOW!! TANZANIANS DONT SLEEP AGAIN BECAUSE OUR TERRITORY IS NOW BARGAINED AS BRIDE PRICE TO THE FEW FOOL NON ELITES WHILE ELITE WE ARE SEEING IT AND WE STILL SILENT !!,WE NEED HEAVILY PATRIOTIC SUPPORT AGAINST THIS SESSION OF INTERNAL LIBERATION OF OUR COUNTRY FROM FEW DECENT AND MONSTER LEADERS WHO WOUND OUR PROSPERITY AND BROKE THEM WE NEED READNESS OF ALL TANZANIAN WITHOUT ANY REGARDING CRITEA TANZANIAN ELITE AND NON ELITE TO RECONCILIATE AND START OUR EFFORTS OF OUR SECOND nationalization with our common slogan for our future better ness!!mtu msomi ambaye hasaidiii kupushi ustaw na maendeleo ya Taifa lake huyo kwangu ni foool na hafai kuitwa kiongozi wala kusimamia hata usafi wa chooni!!Watanzania wote bila kujali tofauti zetu ni time ya kulikomboa tena taifa letu kwa njia yeyote ile hata ya umwagikaji wa damu kama inawezekana!! Naona sana uchungu pale ninapooona ................hayaendi sawa pamoja na utajiri wa rasilimali tulionao alafu nikiangalia naona maisha ya watu flani hivi waliopo SERIKALIN JINSI MAISHA YAO YANAVYO NAWIRI KWA KUJIPAKULIA WENYEWE HII NATIONAL CAKE YA WATANZANIA WOTE!!!IM REGRET TO BORN IN TANZANIA BUT I WILL FIGHT FOR REEL TANZANIA I WANT

  • @DiscowKajojo-no2up
    @DiscowKajojo-no2up10 күн бұрын

    Be blessed

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha108010 күн бұрын

    Kuna kitu kizto kinakuja kutoka mbinguni🎉🎉

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo285210 күн бұрын

    Ipo siku yote yataisha mambo ya ukandamizaji Kuna watu wanajiona wao tanzania ni yakwao peke yao

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro35306 күн бұрын

    Mungu akubariki

  • @ThomasEkama
    @ThomasEkama10 күн бұрын

    saw saww mwambukusi

  • @ndilibangokaruhawe9335
    @ndilibangokaruhawe933510 күн бұрын

    Ukiwa na utimamu wa akiri huwezi kuiamini TLS

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu221210 күн бұрын

    Issue: We, as Africans, must acknowledge that our failure stems from our leaders, who view their positions as hunting grounds rather than opportunities to serve their people.

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni967610 күн бұрын

    Tunakuunga mkono ❤

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya5 күн бұрын

    Nchi yetu imeoza Kila mahali. Sijui tukimbilie wapi! Haki haki imepotea.

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke9 күн бұрын

    The Power of God shetani hawezi kushinda

  • @daudigabriel9860
    @daudigabriel986010 күн бұрын

    Haki huinua Taifa 🇹🇿🇹🇿

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho9 күн бұрын

    Nenda jimbon ungane chadema ili ungane na jeshi kubwa la chadema

  • @bmdele5816
    @bmdele581610 күн бұрын

    Mwabuksi, You are a big brain brother, Keep hiting hard!.. 🔥🔥

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x10 күн бұрын

    Kwa kazi unazozifanya wewe huna mpinzani katika uchaguzi huu. Ila kiukweli namshukuru sana Mungu kutupa Mtanganyika mhimu kama wewe. Itoshe tu kusema Asante sana Mungu kutupa mtu kama wewe. Ila Serikali na taasisi nyingine za kimaamzi zijifunze mandamano ya Kenya. IPO SIKU na sisi WATANGANYIKA tutakujafanya maamzi magumu Kwa udhalimu huu unaofanywa siku Hadi siku. WATANGANYIKA wa siku hizi siyo mambumbumbu kama ilivyokuwa zamani. We know white and black.

  • @ndaskoi8769
    @ndaskoi876910 күн бұрын

    Mkuu tuko pamoja na wewe mpaka waseme

  • @EstherMushi-d7v
    @EstherMushi-d7v10 күн бұрын

    Thank you role model🫡

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe457810 күн бұрын

    TLS ni kichochoro cha baadhi ya mawakili kunyanyasi wananchi kwa kuuza haki zao. Wanashawishi wananchi kupeleka kesi mahakamani ikifika huko wanakula upande wa pili. Hivyo mwananchi kutumika kama daraja la kuwatafutia ulaji. Mkiona meseji hii waambieni wapunguze njaa wanachafua TLS.

  • @user-il8wn9ko9y
    @user-il8wn9ko9y10 күн бұрын

    sema kaka

  • @OscarBethel
    @OscarBethel4 күн бұрын

    Msema kweli hao mafisadi hawata kuachia kwasaba wanajua wewe ni mwiba kwao ukiingia TLS utwabana wanataka watu wao ndio wakae hapo

  • @user-gv3bv5cu2z
    @user-gv3bv5cu2z6 күн бұрын

    ❤❤❤❤🎉

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu490510 күн бұрын

    Well done

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25709 күн бұрын

    Mipango ya ccm. Tangu Rugemeleza ameachia ngazi hii TLS imebakia uchi,haina nguvu ipo ki serikali ya mapinduzi zaidi

  • @camilmlay3088
    @camilmlay308810 күн бұрын

    Yuko na we rafiki yetu mpenda haki

  • @mashakalukinda2350
    @mashakalukinda235010 күн бұрын

    Jaa Baya sana Kaka jaa zao ziko sehem zote zamwili kama vile kasa hawawezi kuwatetea raiya

  • @malindimalindimerinyo1632
    @malindimalindimerinyo163210 күн бұрын

    Hivi kweli kondoo anaweza kupata haki Kwa hakimu fisi ???kweli yaweza kupata haki Kwa hakimu dhalimu.???au malaika aweza kupata haki Kwa hakimu lusufa ....kile kinacho nifurahisha japo kidogo wameustahi uhai wako ...kazi ipo mbele...Mungu akulinde...kweli inagharama yake na kweli inauma....hao unao waona sio peke Yao...

  • @user-gw1df8cf2t
    @user-gw1df8cf2t10 күн бұрын

    Wapo wasio penda haki Kama hao wanao kubeza no ma mbwa tu

  • @user-gz1jy4cf6s
    @user-gz1jy4cf6s10 күн бұрын

    Uko sawa comando

  • @user-gw1df8cf2t
    @user-gw1df8cf2t10 күн бұрын

    Chama Cha kuwafukuza wamasai

  • @allyfutto8763
    @allyfutto876310 күн бұрын

    zama za utandawazi wengi tutaumbuka maana kupindiswapindishwa kutasherehekewa, Mungu ibariki.

  • @noellema9109
    @noellema910910 күн бұрын

    Mungu akulinde ndugu

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa108210 күн бұрын

    Hawa tls tuseme wote wapo kwenye serikali? Wanasimamia Sheria au serikali na viongozi wake.

  • @saitotimollel8495
    @saitotimollel849510 күн бұрын

    Brother no retreat no quite fight until last breath. Tupo pamoja kaka.

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke9 күн бұрын

    God bless MWABUKUSI

  • @gabapentin8070
    @gabapentin807010 күн бұрын

    🔥🔥

  • @linogodson6478
    @linogodson647810 күн бұрын

    Tupo pamoja mkuu

  • @user-wl5np6sv3i
    @user-wl5np6sv3i10 күн бұрын

    Inauma kwa kweli pambana Mungu yu pamoja nawe

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar719810 күн бұрын

    Nyie ndo mnajiita learned brother and sisters ovyoooo, bringback Fatuma and Lissu..

  • @StevenGendo-vx9jo

    @StevenGendo-vx9jo

    10 күн бұрын

    Kuma lamama ako mbwa usiyejielewa

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria517410 күн бұрын

    Yaan huyu ndio raisi wangu kama hayupo hakuna uchaguzi hatutaki ukanjanja kwenye haki za watu lazima tusimamie haki

  • @helencyprian8745
    @helencyprian874510 күн бұрын

    Tls branch ya kijani

  • @ThobiasMasabire
    @ThobiasMasabire10 күн бұрын

    Sawasawa kabisa Mimi nilijua serikali inahusuka na kutafuta wasio na haki waongoze chama Cha Wana Shelia, hao hawafai hata kidogo kabisa katika jamii

  • @bensonjoseph8845
    @bensonjoseph884510 күн бұрын

    I stand with MWABUKUSI....

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up10 күн бұрын

    TLS inaelekea kuwa Organization ya kichawa....!!! TLS becoming USELESS 😢

  • @dassustephen731

    @dassustephen731

    10 күн бұрын

    Bogus organization

  • @JamesFrelimo-rz8ub
    @JamesFrelimo-rz8ub6 күн бұрын

    Nakukubari mkuu nipo nyuma yako

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni9 күн бұрын

    Kwelii kabisa

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh197910 күн бұрын

    ✌️🔥

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou10 күн бұрын

    Hakika jnasikitisha zile taasisi zinazotetea haki pia zinaporwa na machaw a wa ccm,,,VIJANA WA TANZANIA LAZIMA MUAMKE ,,,muwe kama vijana wa Kenya muingie barabarani

  • @GodfreyMwamaso

    @GodfreyMwamaso

    10 күн бұрын

    Watan,ania hawa mashabiki wa simba na yanga wacheza kamari bodaboda vijana wa kitanzania ni waoga machawa hawawezi kuingia barabarani

  • @titusrobert5890
    @titusrobert589010 күн бұрын

    Mungu atakupigania,usikate tamaa mh

  • @godfreykahabi1964
    @godfreykahabi196410 күн бұрын

    Pambana wakili msomi

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o10 күн бұрын

    Kaka wamekuona wewe unakubalika na ungechukua kiti asubuhi na mapema.

  • @ezralameck4150
    @ezralameck41509 күн бұрын

    Wasio wanasiasa ndio wakuweza kuleta ukombozi Tanzania Mungu ibarik Tz ipate viongoz kama huyu😢

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g10 күн бұрын

    Ni ushetani tu, Mwabukusi upo sahihi sana sana.

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni9 күн бұрын

    Hoyeeeee sema kweli mwanashelia

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein9 күн бұрын

    Nimeamini TLS ni ma mbwa wanaong'ata bila kupuliza. yani wapo kwaajili ya maslahi ya baadhi ya watu.

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
    @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to10 күн бұрын

    Hongera sana.

  • @AlexChawe
    @AlexChawe10 күн бұрын

    💪💪👍

  • @user-yz7hl9sr3q
    @user-yz7hl9sr3q9 күн бұрын

    Endelea na utetezi Mwabukusi, nchi hii tunaoonewa, maana tunaonekana mabwege maana sheria hutuzifahamu.

  • @bonifasmashingia
    @bonifasmashingia10 күн бұрын

    Watu kaama hawa ndo potentially kwa serikali yetu in revival sasa CCM through your bogus notions mna offended them thus we losing our future!! We need this person for Fostering and prosperity of our Nation

Келесі