🅻🅸🆅🅴 : MWABUKUSI ANAZUNGUMZA MUDA HUU SAKATA LA KUKATWA NA TLS KUGOMBEA URAIS CHAMA CHA MAWAKILI...
#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Пікірлер: 300
The man's voice in the jungle....powerful voice that brings hope to all members of TLS who are in the side of right....keep going brother u deserve to be leader indeed
UBARIKIWE SANA WAKILI SHUJAA NA JASIRI MSOMI BONIFACE MWABUKUSI 👏🏼👏🏼👏🏼
Kwa kweli TLS haipo kwa ajili ya kusimamia haki Hatusikii sauti yao pale wananchi wa nchi hii wanaonewa TLS inataka akili kubwa ya watu kama huyu Mwabukusu kuinyoosha Big up Mwabukusi
Brother Mwabukusi wewe ni mkweli na ni mzalendo. Waambi e💪🏻💪🏻💪🏻
@hildandumbalo5827
10 күн бұрын
Wamejinyanyasa wenyewe una Yesu brother
@hildandumbalo5827
10 күн бұрын
Powerful, tuko pamoja kaka
@hamisijuma3276
9 күн бұрын
Mwabukusi, Mpina na Katiba Mpya mbona hapendwi???
@AliSalim-yu4mo
6 күн бұрын
Kwa kweli Kwa Mwabukusi kuwa Rais wa TLS ni tatizo maana Chama hichi ni cha Watu wote wasio na vyama na wenye vyama tofauti!sasa yeye ana Marengo wa kisiasa ulio wazi,sasa Kwa hivyo anaikosesha heshima taasisi hii muhimu ya watu ni vyema hao waliomuengua kufanya hivyo!yeye aungsne na Mbowe na wanasiasa wengine watuelimishe wananchi mambo muhimu ya inchi yetu!❤🎉
Yes. Hawa ndio wanasheria tunaowataka hapa Tanganyika. Jamaa anasema, "tutazungumza kwa lugha wanayoielewa hata kwa mkono!!". This is bold and strong statement
Mwabukusi ❤ you. You seem to be working as teachers!! We use our eyes, hands, legs , mouth and the whole body that's why our pupils understand better. No teacher agrees without questioning Why, when, what, which who....Am proud of you 👏 .
Au mchakato unaendeshwa na mamluki wa serikali ndani ya tls? Huyu Mwabukusi anavyoongea hakuna kifungu alichovunja cha Sheria ya chama.
Viva viva Mabukusi, unaitendea haki fani yako ya sheria. Mungu akulinde uendelee kutetea rasilimali za umma wa Taz.
Hongera sana sana Mwanasheria mzalendo wa kweli.
Nyie mtu anaposimamia haki mnakimbilia ukibaraka acheni tabia hiyo kabisa
Ndg Mwabukusi endelea na ujasiri huo huo sisi wenye akili hatuoni kosa lako.wewe unatetea maslahi ya nchi.
@SarahAlphonce-q4e
10 күн бұрын
Kaka kaza buti kweli tumechoka haki inafunikwa kwa wenye madaraka.
Tuko pamoja Sana kamanda wetu
Upewe nafasi yako. Wewe ni mpambanaji. Mara nyingi viongozi hawataki watu walionyooka.
TLS imebanwa koo ni maccmm. Pole brother Boni
@edsonkahesi8603
10 күн бұрын
Kabisa, na hawa ndo wanaoiharibu nchi kwa kuleta viongozi wabovu, wasiojiamini, nakuacha viongozi bora eti ni wachochezi, mara wanamkosoa rais yani kiufupi maciciem hayapendi kiongozi wakuwafumbua watanganyika macho, wanataka raia wengi waendelee kuwa mazuzu, wajinga wajinga ili watawalike vizuri..wakiona kiongozi mwenye vision wanampiga vita, kwa njia zote, kama siyo kumbakizia kesi watampa skendo mbaya ilimradi asipate nafasi ya kuongoza ili waendee kufanya yao. Mfano mzuri tuliona walivyokuwa washambambikizia tuhuma za uhaini huyu wakili, mara amevunja sheria kwa kumkosoa rais hadharani, mara unaweza sikia mhujumu uchumi, mara mkwepa kodi, yani ciciem wana uhuni mwingi kwa mwenye kuwakosoa.
Nakukubali sana mwambukusi tutafika tu haki huwa haipotei ila inachelewa tu.
Kwa Sisi watu wa chini tunaamini unabii wa kweli unasimama kwenye ukweli na msema kweli siku zote huchukiwa na ndiyo gharama ya Nabii. Mhe Wakili Mabukuzi Mungu atakulinda kwa kuwa unasimama kwenye haki.
@adelinelyaruu3036
10 күн бұрын
Haki huinua taifa
Hayo ni maagizo kutoka juu.
Mwambukusi napenda honest Yako. Wewe ni Moja ya viongizi "Strong" katika nchi yetu. Huwa una nimotivate sana Mimi katika kusimamia uwazi na haki. Mungu akupe maisha marefu.
Kwa lissu alivokuwa rais wa tls hakuwa mwanasiasa wa chadema ,acheni ujinga nyinyi mnaopinga hii akili kubwa ya mwabukisi ,
@richardnganya2311
10 күн бұрын
Hata Lissu alikwamishwa sana Hadi alipotumia mbinu mbadala na kuwahishwa Kwa helicopter mkutanoni!!
@TegemeaFutemakatifu
9 күн бұрын
Tena Alikuwa na Kesi kibao, Hawa wamemuondoa huyu Kwa malengo yao
Omba kugombea uraisi chadema mwabukusi unakubarika na watanzania aijapata kutokea. Tunakuomba gombea uraisi chadema
Bro Achana na hii TLS, Gombea uraisi TLS watakutafuta wenyewe baadae.
Big up sana brother,even though ukweli utasimama hata wakipinga na kukuondoa
Ubarikiwe Wakili Mwabukusi.Kwa kweli TLS wametuangusha Wa tanzania. Panahitajika mageuzi katika chombo hiki Cha Wanasheria
Uko sahihi!asante.
Kaka mungu akusimamie tuko pamoja wewe ni mwanasheria wa haki kabisa
Hi. Ni. Kweli. Unasema. Vizuri. Asante. Wambie. Wajijue
Brother wewe nakuelewa sana. Nakuombeaga sana kwa Baba katika jina la Yesu azidi kukulinda juu ya MAADUI.
Big up to you brother Mwabukusi........
Hii nchii kila mtu ni mnafkiii mpaka mawakiliii ...mnashimdwa ku saport huyuu jamaa kweli
Tuko pamoja mwabukusi ,wewe ni big brain brother
Maagizo toka juu, nuru na giza havichangamani kaka# bandari
Mungubakuongoze kaka yangu
Mwabukusu mm nakukubal sana wanakuogopa ila mm nina wazo hata kama ww huna naomba lichukue kagombee ubunge mwaka kesho nilijuta sana cku nimekuona green hurt arusha unakunywa chai nikaogopa kuja japo kukulipia kikombe cha chai nakukubal sanaaaaa
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Mungu iokoe Tanzania!
Mwabukusi for president..you have my vote of confidence bro.
Wa Tanganyika tunahitaji watu wenye udhubutu kama Huyu Wakili.msomi tatizo la kujipendekeza na uoga kuwafurahisha wateuzi hii dhambi Sasa imefika mpaka kwenye Sheria tutaponea wapi kwa mtindo huu TLS mambo mengi wanayanyamazia hawapigi kelele
Uko sahihi sana bro
Mungu akutunze zaidi kaka
Shida inaanzia hapo kwanini tuwe na vyama viwili kwenye nchi Moja ? Mali zinazo zungumziwa ni za Tanganyika kweli umuhimu wa katiba mpya unahitajika wanasheria wetu mlitetee hili TAIFA
U doing a good job brother
I am not fear of an army of lions led by sheep, I fear of the army of sheep led by lions
Ivi Kinjekitile ngwale!.mtemi isike. Mkwawa and other freedom fighters wa Tz wakafufuka leo wakaona hii Tz ilivyo now na maovu yake !Unafikirii watawafanyia nini rulers?? Im not the fool and i cant rejoin with watu wa matumbo yao !! Instead i can work with people who have vision and volunteers and sio watu wakuagalia nini watapata kwa matumbo yao !! NATIONAL INTEREST FIRST THEN OPTIMISTIC PERSON INTERESTE LAKIN SERKALI YA SASA NI PERSONAL INTEREST FIRST THEN NDO INAKUJA LEAST BIASED IMPLEMENTATIONS OF GROUPED NATIONAL INTEREST NA SOMETIMES. NO IMPLEMENTATION ON IT !!OUR LATE FREEDOMS FIGHTER HAWAKUWA NA HII SPIRIT NA HII BAD SOUL AMBAYO MKO NAYO CCM RULERS !!THUS TUKAWA INDEPENDENT UNTIL NOW BUT CCM MNATURUDISHA *10 YA MKOLONI FEW MNATUKANDAMIZA MAJORITY WHY THIS CCM LEADERS??WE AWAITING TO DIE NOW !!PREACH AND practice right !! Tanzania ni mali ya umma na sio ya watu flani flanii!! NO QUITE AGAIN WE WILL SPEAK AND FIGHT FOR NEO CCM COLONISATION UNTIL MY LAST BREATH AND IM RAEDY FOR THAT !!IM WAITING FOR MY DUTIES AND TIME BY NOW!! TANZANIANS DONT SLEEP AGAIN BECAUSE OUR TERRITORY IS NOW BARGAINED AS BRIDE PRICE TO THE FEW FOOL NON ELITES WHILE ELITE WE ARE SEEING IT AND WE STILL SILENT !!,WE NEED HEAVILY PATRIOTIC SUPPORT AGAINST THIS SESSION OF INTERNAL LIBERATION OF OUR COUNTRY FROM FEW DECENT AND MONSTER LEADERS WHO WOUND OUR PROSPERITY AND BROKE THEM WE NEED READNESS OF ALL TANZANIAN WITHOUT ANY REGARDING CRITEA TANZANIAN ELITE AND NON ELITE TO RECONCILIATE AND START OUR EFFORTS OF OUR SECOND nationalization with our common slogan for our future better ness!!mtu msomi ambaye hasaidiii kupushi ustaw na maendeleo ya Taifa lake huyo kwangu ni foool na hafai kuitwa kiongozi wala kusimamia hata usafi wa chooni!!Watanzania wote bila kujali tofauti zetu ni time ya kulikomboa tena taifa letu kwa njia yeyote ile hata ya umwagikaji wa damu kama inawezekana!! Naona sana uchungu pale ninapooona ................hayaendi sawa pamoja na utajiri wa rasilimali tulionao alafu nikiangalia naona maisha ya watu flani hivi waliopo SERIKALIN JINSI MAISHA YAO YANAVYO NAWIRI KWA KUJIPAKULIA WENYEWE HII NATIONAL CAKE YA WATANZANIA WOTE!!!IM REGRET TO BORN IN TANZANIA BUT I WILL FIGHT FOR REEL TANZANIA I WANT
Be blessed
Kuna kitu kizto kinakuja kutoka mbinguni🎉🎉
Ipo siku yote yataisha mambo ya ukandamizaji Kuna watu wanajiona wao tanzania ni yakwao peke yao
Mungu akubariki
saw saww mwambukusi
Ukiwa na utimamu wa akiri huwezi kuiamini TLS
Issue: We, as Africans, must acknowledge that our failure stems from our leaders, who view their positions as hunting grounds rather than opportunities to serve their people.
Tunakuunga mkono ❤
Nchi yetu imeoza Kila mahali. Sijui tukimbilie wapi! Haki haki imepotea.
The Power of God shetani hawezi kushinda
Haki huinua Taifa 🇹🇿🇹🇿
Nenda jimbon ungane chadema ili ungane na jeshi kubwa la chadema
Mwabuksi, You are a big brain brother, Keep hiting hard!.. 🔥🔥
Kwa kazi unazozifanya wewe huna mpinzani katika uchaguzi huu. Ila kiukweli namshukuru sana Mungu kutupa Mtanganyika mhimu kama wewe. Itoshe tu kusema Asante sana Mungu kutupa mtu kama wewe. Ila Serikali na taasisi nyingine za kimaamzi zijifunze mandamano ya Kenya. IPO SIKU na sisi WATANGANYIKA tutakujafanya maamzi magumu Kwa udhalimu huu unaofanywa siku Hadi siku. WATANGANYIKA wa siku hizi siyo mambumbumbu kama ilivyokuwa zamani. We know white and black.
Mkuu tuko pamoja na wewe mpaka waseme
Thank you role model🫡
TLS ni kichochoro cha baadhi ya mawakili kunyanyasi wananchi kwa kuuza haki zao. Wanashawishi wananchi kupeleka kesi mahakamani ikifika huko wanakula upande wa pili. Hivyo mwananchi kutumika kama daraja la kuwatafutia ulaji. Mkiona meseji hii waambieni wapunguze njaa wanachafua TLS.
sema kaka
Msema kweli hao mafisadi hawata kuachia kwasaba wanajua wewe ni mwiba kwao ukiingia TLS utwabana wanataka watu wao ndio wakae hapo
❤❤❤❤🎉
Well done
Mipango ya ccm. Tangu Rugemeleza ameachia ngazi hii TLS imebakia uchi,haina nguvu ipo ki serikali ya mapinduzi zaidi
Yuko na we rafiki yetu mpenda haki
Jaa Baya sana Kaka jaa zao ziko sehem zote zamwili kama vile kasa hawawezi kuwatetea raiya
Hivi kweli kondoo anaweza kupata haki Kwa hakimu fisi ???kweli yaweza kupata haki Kwa hakimu dhalimu.???au malaika aweza kupata haki Kwa hakimu lusufa ....kile kinacho nifurahisha japo kidogo wameustahi uhai wako ...kazi ipo mbele...Mungu akulinde...kweli inagharama yake na kweli inauma....hao unao waona sio peke Yao...
Wapo wasio penda haki Kama hao wanao kubeza no ma mbwa tu
Uko sawa comando
Chama Cha kuwafukuza wamasai
zama za utandawazi wengi tutaumbuka maana kupindiswapindishwa kutasherehekewa, Mungu ibariki.
Mungu akulinde ndugu
Hawa tls tuseme wote wapo kwenye serikali? Wanasimamia Sheria au serikali na viongozi wake.
Brother no retreat no quite fight until last breath. Tupo pamoja kaka.
God bless MWABUKUSI
🔥🔥
Tupo pamoja mkuu
Inauma kwa kweli pambana Mungu yu pamoja nawe
Nyie ndo mnajiita learned brother and sisters ovyoooo, bringback Fatuma and Lissu..
@StevenGendo-vx9jo
10 күн бұрын
Kuma lamama ako mbwa usiyejielewa
Yaan huyu ndio raisi wangu kama hayupo hakuna uchaguzi hatutaki ukanjanja kwenye haki za watu lazima tusimamie haki
Tls branch ya kijani
Sawasawa kabisa Mimi nilijua serikali inahusuka na kutafuta wasio na haki waongoze chama Cha Wana Shelia, hao hawafai hata kidogo kabisa katika jamii
I stand with MWABUKUSI....
TLS inaelekea kuwa Organization ya kichawa....!!! TLS becoming USELESS 😢
@dassustephen731
10 күн бұрын
Bogus organization
Nakukubari mkuu nipo nyuma yako
Kwelii kabisa
✌️🔥
Hakika jnasikitisha zile taasisi zinazotetea haki pia zinaporwa na machaw a wa ccm,,,VIJANA WA TANZANIA LAZIMA MUAMKE ,,,muwe kama vijana wa Kenya muingie barabarani
@GodfreyMwamaso
10 күн бұрын
Watan,ania hawa mashabiki wa simba na yanga wacheza kamari bodaboda vijana wa kitanzania ni waoga machawa hawawezi kuingia barabarani
Mungu atakupigania,usikate tamaa mh
Pambana wakili msomi
Kaka wamekuona wewe unakubalika na ungechukua kiti asubuhi na mapema.
Wasio wanasiasa ndio wakuweza kuleta ukombozi Tanzania Mungu ibarik Tz ipate viongoz kama huyu😢
Ni ushetani tu, Mwabukusi upo sahihi sana sana.
Hoyeeeee sema kweli mwanashelia
Nimeamini TLS ni ma mbwa wanaong'ata bila kupuliza. yani wapo kwaajili ya maslahi ya baadhi ya watu.
Hongera sana.
💪💪👍
Endelea na utetezi Mwabukusi, nchi hii tunaoonewa, maana tunaonekana mabwege maana sheria hutuzifahamu.
Watu kaama hawa ndo potentially kwa serikali yetu in revival sasa CCM through your bogus notions mna offended them thus we losing our future!! We need this person for Fostering and prosperity of our Nation