Tunashukuru Saba Kenya midia kwa kutusadia tanzania ktk doable standard lnfometion kwenya Dunia japokuwa wanaojiita kwa Swahili lntanationol midia wakati tuna shida kubwa ktk habari kwenye kiwango Cha kimataifa km Kenya Zambia Malawi na nchi zingine za kiafrica asente Kenya tunashukuru Sana kwa Hilo
@abdalahgunda13196 сағат бұрын
We thanks Kenya midia realize what is happening in Tanzania different with this call themselves lntanationol Swahili midia they think we tanzania we are fullish.but we tanzania people we have seen this long time this call themselves Swahili lntanationol midia we will.do whatever pressure is on doable standard lnfometion on lntanationol standard blocked case of local language we will trying by any means realize on social media
@allyfutto87637 сағат бұрын
Huyu jamaani3noma zama mpya
@johakhimu.mgembe.32977 сағат бұрын
Ole wenu Wana Sheria mnawatwisha wenzenu mizigo Ambayo Wenyewe Amuibebi.Kama Hata huko Uonezi Ufanywa hivyo Kwingine Tutegemee Vipi.Ukimya wa hiki Chama .ni kudharirisha na Aibu kwa Mfumo Haki .Msiingize Ukunguni na Uchawa .Wanaominya Haki ya Ndg.Mwabukusi Awana malengo Mema na Wtz. Wenye Dhamira na Nia Safi. Ya Haki kutamalaki hapo kabra Amjaenda kutetea Masuala Muhimu ya Taifa na Jamii.Mmetia Aibu.kuuwa Maadiri Mema ya Hiko Chama.Haki itendeke ktk Boksi la Maamuzi.KURA.Harali..❤😮😮😮😮
@ibrahimkibira99437 сағат бұрын
Safi sana this our country 😢 😞
@fredrickmwakalinga63909 сағат бұрын
Apewe ulinzi kinyume na hivyo wasiojulikana watampitia kama mwewe ccm sio pw
@AthumanDauda9 сағат бұрын
Akili kubwa sana
@ReganChuwa9 сағат бұрын
Hongeraaa mzeee
@ReganChuwa9 сағат бұрын
Congrats grandpa god protect you❤❤❤❤
@user-zu8ou2oe4c10 сағат бұрын
Safi sana kibatala umeonyesha ukomavu na hakika ww ni wakili bora tanzania lisaidieni taifa nyie mnao jua sheria
@user-ii7yw9ng5d10 сағат бұрын
Hii ni ushahidi tosha kuwa mifumo yote inayounda serikali haiaminiki!
@erestizacharia475810 сағат бұрын
Hongereni jmn.
@mchungajimpigauzitv570310 сағат бұрын
Mungu awapiganie ili mwendelee kujipatiya liziki
@bibletv981811 сағат бұрын
Mbona unamtetea huku unampigia mtu kampeni?
@ceciliamagalabajimmy439111 сағат бұрын
Safi sana wakili msomi.❤❤❤
@ramadhanmahongole929311 сағат бұрын
Mpeni mwambukusi urais wa TLS yule ni mtetezi wa wanyonge
@maspro629411 сағат бұрын
Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu na ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako Lina nuka kama Choo
@leahmgunda41546 сағат бұрын
Wewe wasema mbwa wenzio wanasaluti kwake.
@SundaySteven-bz4yq11 сағат бұрын
Kama mtu anasifa mwacheni ashindwe Kwa kura siyo kumuwekea vikwazo mwabukusi tuko vizuri
@jamesmboneko295211 сағат бұрын
Wewe ni Shujaa, Umewakilisha Watanzania tulio wengi. Ujumbe umewafikia
@fredyfile62312 сағат бұрын
Ss kama srkl inapindua huu uchaguzi mdogo hivi wamawakili sembuse huu unaokuja wa nchi nzimaaa hahaahahha shem sana.
@user-ii7yw9ng5d10 сағат бұрын
Nadhani Dola inapenyeza watu wa kuulinda udhaifu Kila "field of aspect",tutayaona mengi muda ukifika!
@stewartdyamvunye-wz6rn8 сағат бұрын
Sio shem sana bali ni kilio na kusaga meno sana.
@user-fx3xj3on5j12 сағат бұрын
Mawakili hebu mpeni huyo mwamba hiyo nafasi , naamini watawala watajifinza kusimamia sheria. Sio kuzitunga kisha kuzivunja.
@user-fx3xj3on5j12 сағат бұрын
Yaani Kibatala , nakupa big up , msikubali kuwekewa kiongozi asiyetokana na maamuzi ya mawakili wote.
@WigesaNyerere12 сағат бұрын
Achukue tu,ili tujue mbichi na mbivu za bandari na wamasai sheria inasemaje,maana nanukuu mijitu ina kengeuka tu.
@allonjoseph546712 сағат бұрын
baba mch umeeleweka
@user-gy5gu1mn4x12 сағат бұрын
Chadema oyeee ✌️❤️🇹🇿🇹🇿
@user-gy5gu1mn4x12 сағат бұрын
Mabukusi oyeeeeee
@yasinkaunda155212 сағат бұрын
alitakiwa atandikwe mpumbavu huyu na hawa chadema ndo sababu wanatetea ujinga
@allonjoseph546712 сағат бұрын
hivi ww umekamilika????
@fredrickmwakalinga63909 сағат бұрын
Akili zako finyu kwani kama hampendi na wananchi wameunga mkono juwa awesome kama kwa watanganyika
Kama ameachiliwa kweli Hongera sana Ni kweli Mme tumia akili huyu akapimwe Afya ya Akili.
@kakawataifa675212 сағат бұрын
Atakayempigia kura mwabukusi atabarikiwa mpaka ashangae
@harunamtiko11713 сағат бұрын
Kama usingempgia kura 😂😂 mh mwabukusi ni jembe bhn tutakufa nae.
@mlangotv846513 сағат бұрын
Safi sana Wakili, nyie ndio wa kuokoa hili taifa, tunawategemea sana, nyie ni watu muhimu
@user-pf2qk8fz9o13 сағат бұрын
Safi saaana wakili msomi kwa darasa huru 😊😊 Asante sana
@sammykateregga623815 сағат бұрын
Askofu Mwanamapinduzi nimefarijika sana na ujumbe ambao umetupa pamoja na viongozi wa dini wengine. Mungu unayemtumikia akubariki na akupe kusimamia haki hiyo mpaka mwisho. Tunakuombea.💗
@sospeterodhiambo686916 сағат бұрын
Hakika umenena ukweli
@user-mf7xy3sf6q17 сағат бұрын
Wew ndo asikofu mkweeeeeel wenginge machawa tu
@amosmerama368017 сағат бұрын
Kamati ya maadili inaitishwa na SPika, huku akisema amemkosea heshima SPika!!! Najiuliza TU SPika yeye akimkosea heshima mbunge wa kawaida anapelekwa wapi??? Elimu yetu ipo TU ni basi tu
@wamojasanga594823 сағат бұрын
2025 gwajima ndani ya ikulu kupitia ticket ya chadema tunza hii utaniamini shalom
Muda wa kulalamika km chama kikuu Cha upinzani kosa kuuwawa kiongozi wenu peleleka viongozi wenu na vijana jasiri kujibu swala la kingu kwani tanzania kwanza vyama tanzania ni ya watanzania wote bila kuogopana kuweni jusiri mkikubali kuuwawa bila kuitikisa ccm wenye rohoo mbaya ndani ya ccm mtakuwa sio chama kikuu Cha upinzani mtakisoofisha chama muda wa chadema kulalamika uishe bobilize watu jibu mashambulizi kukubali kuuwawa na viongozi wajinga ktk nchi wakati tanzania ni yetu sote wambieni wananchi nchi ni ya watanzania wote akitokea mwana ccm anampiga kiongozi wa upinzani liamsheni kutetea viongozi wenu fundisheni watanzania kujua haki muda mwinengine wao wenyewe kuktetea viongozi wao fundisheni watanzania kujua haki na maamuzi mbadala viongozi wa kuu pekayao wenyewe Wana kazi ya kutetea viongozi wao kitaifa hakuna kuogopa mtu kisa kavaa kijani au kiongozi yoyote yule mwenye mamlaka ya kumua mtanzania yoyote yule kisa vyama akifanya hivyo ni kumshigulikia km mulifu mwingine yoyote yule Tanzania sio mali ya mtu ni ya watanzania wote bila vyama
@odoieriasmonga6591Күн бұрын
kiukweli tulitakiwa tuwe na viongozi wa madhehebu wenye kujiamini kama wewe ila walijazwa hofu kipindi cha mwendazake
@margarethpolepole7438Күн бұрын
Nendenii zènu umechokwa na chama chenu Chadema Saccoss
@emmanuelymganga5737Күн бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌
@FlaviosafariКүн бұрын
Daaah ni kweli... Tushtue! Tumelala sana.
@abdalahgunda1319Күн бұрын
We have religious leader have power behurf of tanzanian population but vary disupoint no unit country it has rich on vary tensive stuetuetion all resources hold by forenor we cant Riley on this call mp they have lost darection of late julias kambarege Nyerere left power to them today religious leader are fear people whale are vary close with the tanzania community religious leader you wait Antilles be slevering together with Tanzania population is where you will be see that is the Denger wekerup now voice of this ccm leadership let them we are in Denger position loan is not development any national to have good economy is the locel sayantist can achieve better economy not loan then seem money you buy foren carence all profile remain on foren carence no better economy did Tanzania prapar tanzania sayantist on development country if not how can we tet better economy how about farming technology do we prapar them locel sayantist anyway but religious leader wekerup voice to avoid been slevering kilichobaki ni kuuzana tukawe manamba ktk nchi zilizoendelea
@elibarikimollel7149Күн бұрын
Mtumishi wa Mungu tunafarijiwa na maneno yako ya kweli kama Neno lake lilivyo kweli na amina, tunawaomba watumishi wengine Masheikh wa Misikiti na Wachungaji wa Makanisa wajitokeze kukemea maovu nchini kote wasikae kimya kuunga mkono ukimya wa serikali maana lazima watatoa hesabu zao mbele za Mwenyezi Mungu wanayemtumikia!...
@tungarazalucas1478Күн бұрын
Kauli hizi hazina chochote endeleeni tu na mambo yenu
@EzraBagushiКүн бұрын
Mh uko vizuri Mungu akulinde tu watanzania tunakuona tuhuma za waziri wa kilimo zilikuwa sahihi.
Пікірлер
Tunashukuru Saba Kenya midia kwa kutusadia tanzania ktk doable standard lnfometion kwenya Dunia japokuwa wanaojiita kwa Swahili lntanationol midia wakati tuna shida kubwa ktk habari kwenye kiwango Cha kimataifa km Kenya Zambia Malawi na nchi zingine za kiafrica asente Kenya tunashukuru Sana kwa Hilo
We thanks Kenya midia realize what is happening in Tanzania different with this call themselves lntanationol Swahili midia they think we tanzania we are fullish.but we tanzania people we have seen this long time this call themselves Swahili lntanationol midia we will.do whatever pressure is on doable standard lnfometion on lntanationol standard blocked case of local language we will trying by any means realize on social media
Huyu jamaani3noma zama mpya
Ole wenu Wana Sheria mnawatwisha wenzenu mizigo Ambayo Wenyewe Amuibebi.Kama Hata huko Uonezi Ufanywa hivyo Kwingine Tutegemee Vipi.Ukimya wa hiki Chama .ni kudharirisha na Aibu kwa Mfumo Haki .Msiingize Ukunguni na Uchawa .Wanaominya Haki ya Ndg.Mwabukusi Awana malengo Mema na Wtz. Wenye Dhamira na Nia Safi. Ya Haki kutamalaki hapo kabra Amjaenda kutetea Masuala Muhimu ya Taifa na Jamii.Mmetia Aibu.kuuwa Maadiri Mema ya Hiko Chama.Haki itendeke ktk Boksi la Maamuzi.KURA.Harali..❤😮😮😮😮
Safi sana this our country 😢 😞
Apewe ulinzi kinyume na hivyo wasiojulikana watampitia kama mwewe ccm sio pw
Akili kubwa sana
Hongeraaa mzeee
Congrats grandpa god protect you❤❤❤❤
Safi sana kibatala umeonyesha ukomavu na hakika ww ni wakili bora tanzania lisaidieni taifa nyie mnao jua sheria
Hii ni ushahidi tosha kuwa mifumo yote inayounda serikali haiaminiki!
Hongereni jmn.
Mungu awapiganie ili mwendelee kujipatiya liziki
Mbona unamtetea huku unampigia mtu kampeni?
Safi sana wakili msomi.❤❤❤
Mpeni mwambukusi urais wa TLS yule ni mtetezi wa wanyonge
Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu na ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako Lina nuka kama Choo
Wewe wasema mbwa wenzio wanasaluti kwake.
Kama mtu anasifa mwacheni ashindwe Kwa kura siyo kumuwekea vikwazo mwabukusi tuko vizuri
Wewe ni Shujaa, Umewakilisha Watanzania tulio wengi. Ujumbe umewafikia
Ss kama srkl inapindua huu uchaguzi mdogo hivi wamawakili sembuse huu unaokuja wa nchi nzimaaa hahaahahha shem sana.
Nadhani Dola inapenyeza watu wa kuulinda udhaifu Kila "field of aspect",tutayaona mengi muda ukifika!
Sio shem sana bali ni kilio na kusaga meno sana.
Mawakili hebu mpeni huyo mwamba hiyo nafasi , naamini watawala watajifinza kusimamia sheria. Sio kuzitunga kisha kuzivunja.
Yaani Kibatala , nakupa big up , msikubali kuwekewa kiongozi asiyetokana na maamuzi ya mawakili wote.
Achukue tu,ili tujue mbichi na mbivu za bandari na wamasai sheria inasemaje,maana nanukuu mijitu ina kengeuka tu.
baba mch umeeleweka
Chadema oyeee ✌️❤️🇹🇿🇹🇿
Mabukusi oyeeeeee
alitakiwa atandikwe mpumbavu huyu na hawa chadema ndo sababu wanatetea ujinga
hivi ww umekamilika????
Akili zako finyu kwani kama hampendi na wananchi wameunga mkono juwa awesome kama kwa watanganyika
Tunawaachia nyinyi ,tulippembeni sio mawakili tunsmuona Mwambukusi.
Kama ameachiliwa kweli Hongera sana Ni kweli Mme tumia akili huyu akapimwe Afya ya Akili.
Atakayempigia kura mwabukusi atabarikiwa mpaka ashangae
Kama usingempgia kura 😂😂 mh mwabukusi ni jembe bhn tutakufa nae.
Safi sana Wakili, nyie ndio wa kuokoa hili taifa, tunawategemea sana, nyie ni watu muhimu
Safi saaana wakili msomi kwa darasa huru 😊😊 Asante sana
Askofu Mwanamapinduzi nimefarijika sana na ujumbe ambao umetupa pamoja na viongozi wa dini wengine. Mungu unayemtumikia akubariki na akupe kusimamia haki hiyo mpaka mwisho. Tunakuombea.💗
Hakika umenena ukweli
Wew ndo asikofu mkweeeeeel wenginge machawa tu
Kamati ya maadili inaitishwa na SPika, huku akisema amemkosea heshima SPika!!! Najiuliza TU SPika yeye akimkosea heshima mbunge wa kawaida anapelekwa wapi??? Elimu yetu ipo TU ni basi tu
2025 gwajima ndani ya ikulu kupitia ticket ya chadema tunza hii utaniamini shalom
Mwigulu
Hongera Sana
Huyo aliyefira....walikubaliana au alimlazimisha huyo binti??? Manake isijekuwa walikubaliana alafu dada anatafuta Kiki!
Muda wa kulalamika km chama kikuu Cha upinzani kosa kuuwawa kiongozi wenu peleleka viongozi wenu na vijana jasiri kujibu swala la kingu kwani tanzania kwanza vyama tanzania ni ya watanzania wote bila kuogopana kuweni jusiri mkikubali kuuwawa bila kuitikisa ccm wenye rohoo mbaya ndani ya ccm mtakuwa sio chama kikuu Cha upinzani mtakisoofisha chama muda wa chadema kulalamika uishe bobilize watu jibu mashambulizi kukubali kuuwawa na viongozi wajinga ktk nchi wakati tanzania ni yetu sote wambieni wananchi nchi ni ya watanzania wote akitokea mwana ccm anampiga kiongozi wa upinzani liamsheni kutetea viongozi wenu fundisheni watanzania kujua haki muda mwinengine wao wenyewe kuktetea viongozi wao fundisheni watanzania kujua haki na maamuzi mbadala viongozi wa kuu pekayao wenyewe Wana kazi ya kutetea viongozi wao kitaifa hakuna kuogopa mtu kisa kavaa kijani au kiongozi yoyote yule mwenye mamlaka ya kumua mtanzania yoyote yule kisa vyama akifanya hivyo ni kumshigulikia km mulifu mwingine yoyote yule Tanzania sio mali ya mtu ni ya watanzania wote bila vyama
kiukweli tulitakiwa tuwe na viongozi wa madhehebu wenye kujiamini kama wewe ila walijazwa hofu kipindi cha mwendazake
Nendenii zènu umechokwa na chama chenu Chadema Saccoss
👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌
Daaah ni kweli... Tushtue! Tumelala sana.
We have religious leader have power behurf of tanzanian population but vary disupoint no unit country it has rich on vary tensive stuetuetion all resources hold by forenor we cant Riley on this call mp they have lost darection of late julias kambarege Nyerere left power to them today religious leader are fear people whale are vary close with the tanzania community religious leader you wait Antilles be slevering together with Tanzania population is where you will be see that is the Denger wekerup now voice of this ccm leadership let them we are in Denger position loan is not development any national to have good economy is the locel sayantist can achieve better economy not loan then seem money you buy foren carence all profile remain on foren carence no better economy did Tanzania prapar tanzania sayantist on development country if not how can we tet better economy how about farming technology do we prapar them locel sayantist anyway but religious leader wekerup voice to avoid been slevering kilichobaki ni kuuzana tukawe manamba ktk nchi zilizoendelea
Mtumishi wa Mungu tunafarijiwa na maneno yako ya kweli kama Neno lake lilivyo kweli na amina, tunawaomba watumishi wengine Masheikh wa Misikiti na Wachungaji wa Makanisa wajitokeze kukemea maovu nchini kote wasikae kimya kuunga mkono ukimya wa serikali maana lazima watatoa hesabu zao mbele za Mwenyezi Mungu wanayemtumikia!...
Kauli hizi hazina chochote endeleeni tu na mambo yenu
Mh uko vizuri Mungu akulinde tu watanzania tunakuona tuhuma za waziri wa kilimo zilikuwa sahihi.