MBINU YABUNIWA YA KUKOMESHA MAUAJI YA ALBINO

Baada ya Jeshi la polisi mkoani Mwanza kutangaza msako wa kuwakamata waganga wa jadi wanaopiga ramli chonganishi, baadhi ya waganga wa tiba asili wilayani Sengerema wameahidi kushirikiana na jeshi la polisi kuwataja waganga hao ili waweze kuchukuliwa hatua za kisheria hali itakayosaidia kukomesha mauaji ya watu wenye ualibino.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер

    Келесі