DUH! SHEIKH KADOGOO APOKEA SMS NA SIMU ZA KUSHANGAZA KUTOKA KWA MASHEIKH WA CCM, AWAPA ONYO KALI
#TANZANIA: Sheikh Kadogoo apokea SMS na simu za kushangaza kutoka kwa Masheikh wa CCM, awapa onyo kali.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Пікірлер: 25
Shekhe hongera upo vizuri mungu akulinde
Uko vizuri sana shee kadogo big up
No fear hao ni mashehee ubwabwa na kajimati that only what they expect to get from ccm kadogo tusiwaogope hao ni mashehee kazu na ubwabwa tuu
Hongera baba
Hii ni namba nyingine...ni "jiwe" la kuleta mabadiliko... Allah akulinde!!
Huyo sio shekhe kufuga ndevu
Nakupendaje.
I admire this shekh
Shehe umeongea vizuri
MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya Taifa na vichwani mwa watanganyika ndiyo maaana, unatumiwa SMS zisizo na afya Kwa Taifa letu
Hamna sera bali nikulalamika tu niefanyiwa hivi mimi nifanyaiwa hivi mkifanya makosa muachiwe tu hakuna serekali ya hivyo
Ao mashehe wanao kulaumu wanaasili ya utumwa maana mtumwa anakua anaaki yoyote yakulalamika
Shehe ukovizi mno
Haudumu happ
huyu jamaa ange kua nafasi ya tundu lisuu
Kumbe kunà masheikh wa cccm
tunaomba bendera za ccm kwa wingiii
@abubakarimussa9131
18 күн бұрын
Muombe mama yako mama abduli
Kadogoo umechemka
M SAIZ SIMUAMIN MWANASIASA YEYOTE N UPUUZ TU
@BrunoNamanga
18 күн бұрын
😂😂😂😂😂
We muongo chadema hakina nguvu
@andrewkissava9184
17 күн бұрын
Unachuki za kidini na chuki za kisiasa chukiza uchawa kwa mama kilemba
@leonardjohnson2058
8 күн бұрын
Hakina nguvu basi uchaguz uwe huru
Bandari. Bandari. Bandari