DUH! SHEIKH KADOGOO APOKEA SMS NA SIMU ZA KUSHANGAZA KUTOKA KWA MASHEIKH WA CCM, AWAPA ONYO KALI

#TANZANIA: Sheikh Kadogoo apokea SMS na simu za kushangaza kutoka kwa Masheikh wa CCM, awapa onyo kali.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 25

  • @minazsaid2470
    @minazsaid247018 күн бұрын

    Shekhe hongera upo vizuri mungu akulinde

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke18 күн бұрын

    Uko vizuri sana shee kadogo big up

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131918 күн бұрын

    No fear hao ni mashehee ubwabwa na kajimati that only what they expect to get from ccm kadogo tusiwaogope hao ni mashehee kazu na ubwabwa tuu

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t18 күн бұрын

    Hongera baba

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo8 күн бұрын

    Hii ni namba nyingine...ni "jiwe" la kuleta mabadiliko... Allah akulinde!!

  • @fauzseif7344
    @fauzseif73448 күн бұрын

    Huyo sio shekhe kufuga ndevu

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole397118 күн бұрын

    Nakupendaje.

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi141617 күн бұрын

    I admire this shekh

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga388416 күн бұрын

    Shehe umeongea vizuri

  • @prospermalala6636
    @prospermalala663617 күн бұрын

    MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya Taifa na vichwani mwa watanganyika ndiyo maaana, unatumiwa SMS zisizo na afya Kwa Taifa letu

  • @fauzseif7344
    @fauzseif73448 күн бұрын

    Hamna sera bali nikulalamika tu niefanyiwa hivi mimi nifanyaiwa hivi mkifanya makosa muachiwe tu hakuna serekali ya hivyo

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u17 күн бұрын

    Ao mashehe wanao kulaumu wanaasili ya utumwa maana mtumwa anakua anaaki yoyote yakulalamika

  • @JosephIbrahimu
    @JosephIbrahimu17 күн бұрын

    Shehe ukovizi mno

  • @SalumKapona
    @SalumKapona8 күн бұрын

    Haudumu happ

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa517918 күн бұрын

    huyu jamaa ange kua nafasi ya tundu lisuu

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg17 күн бұрын

    Kumbe kunà masheikh wa cccm

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa517918 күн бұрын

    tunaomba bendera za ccm kwa wingiii

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    18 күн бұрын

    Muombe mama yako mama abduli

  • @SalumKapona
    @SalumKapona8 күн бұрын

    Kadogoo umechemka

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106418 күн бұрын

    M SAIZ SIMUAMIN MWANASIASA YEYOTE N UPUUZ TU

  • @BrunoNamanga

    @BrunoNamanga

    18 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw18 күн бұрын

    We muongo chadema hakina nguvu

  • @andrewkissava9184

    @andrewkissava9184

    17 күн бұрын

    Unachuki za kidini na chuki za kisiasa chukiza uchawa kwa mama kilemba

  • @leonardjohnson2058

    @leonardjohnson2058

    8 күн бұрын

    Hakina nguvu basi uchaguz uwe huru

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz10 күн бұрын

    Bandari. Bandari. Bandari

Келесі