Hongera sana shehe kwa kuwajuza raia juu ya nchi inavyo liwa na CCM
@user-yc7xp4fn7x9 күн бұрын
Nimekukubali sana 2
@DiwaniMwafongo9 күн бұрын
Huyu ni sheikh kweli. Naweza hata kumsindikiza msikitini nikaswali nae!! Anajitambua
@neemanziku54036 күн бұрын
Safi sana shehe Mungu akulinde
@paulsenyael71549 күн бұрын
At least hata robo ya wananchi wangekuwa hivi nchi yetu ingekuwa mbali sana.
@donaldmaziku79159 күн бұрын
Good presentation of facts
@yassinhamza19695 күн бұрын
Point sana
@user-xs3ko8pg2g9 күн бұрын
Shekhe unafaa kuwa katibu mwenezi
@camilomassao89719 күн бұрын
Safi sana Shekhe, umesema kweli kabisa
@JacksonFrances9 күн бұрын
Washa Moto Shekhe Hawa CCM Wametufikisha Pabaya Mpaka Tuwaondoe Tumechoka Kuongozwa Kienyeji "
@kichenjekichenje20729 күн бұрын
Nondo za maana sn mkuu,umeeleweka
@MathewNathan-yb2bz9 күн бұрын
Huyu sheikh anaongea points sana yaani unashawishika.Mungu ambariki sana.
@allymohamed2724Күн бұрын
HAKUNA SHEIKH HAPO. ALLAH NDIYE ANAYETURUZUKU. KILA JAMBO.
@hamzamajenja48919 күн бұрын
Noma Sanaa
@ulimbagakipole39719 күн бұрын
Kadogoo heshima kwako wakati mwingine wakupangie mkutano wako.
@prospermalala66369 күн бұрын
MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya vichwani mwa watanganyika waliopo mbele yako imeelewa, Mungu yupo pamoja nawe
@allyhasani37509 күн бұрын
Unajua shekh unajua, wenzako Wana wivu unaeleweka
@user-uz9mw1ie6z2 күн бұрын
Love kwa CHADEMA ❤❤❤❤👏👏👏👏👏🔥🔥🔥❤️❤️❤️👏🏾👏🏾👏🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾
@abdallaahabdallaahibrahim67198 күн бұрын
Kadoo anafaa kuwa mwenezi wa chama mwenyekiti muangalie huyoo
@fidelfidel-jz4iw7 күн бұрын
Kweli kabisa sisi tunaweza kujenga nyumba kila sehemu nyumba nzuri makazi safi hii yote maono madogo wao viongozi ni madalali tu nyumba kibogo hazina ghalama hata kidogo uongo kikubwa ni mipango
@giftkalenge4188 күн бұрын
Chadema huyu jamaa ni Hazina azunguke nchi nzima
@kaaakwakutuliaa51799 күн бұрын
chadema mkipata watu kama hawa 5 ccm inaangukaa ,lisuu na mbowe wanatakiwa wapunguze maneno nwapewee hawaa
@salama11137 күн бұрын
Jitafutie majibu kwa mungu achana na mashekhe chumia matumbo wataenda kujibu kwakutokemea maovu 😂😂😂
@neemanziku54036 күн бұрын
Vitu vimepanda bei sukar chai hatunywi
@ezekielmatondane7148 күн бұрын
Mashehe ote wagekua kama ww tugekua mbali
@IsayaSosolo-nx8zk8 күн бұрын
Maharage ya Mbeya mapema yameiva!
@Kakamkubwa35646 күн бұрын
Dah ila ukifikiria kiukweli hakuna usawa hata kidogo kwamba mwingine analipwa m1.8 Kwa mwezi laki5 Kwa Kila kikao Walimu na mwingine laki 3k CCM hawana huruma kabisa
@RajabuLanda9 күн бұрын
Siyasa ya cdm tunaiyerewa xan xhida jexhi rimekuwa rakujipendekeza
@cassimoa92177 күн бұрын
Huyo Kawa Shehena, hakuna Sheikh atakayetetea watu wanaoshabikia ushoga
@muhsinikoki4060
4 күн бұрын
acha usenge
@hakiyangu9 күн бұрын
Kama cdm ni ya wachaga basi hata ccm ni ya pwani, maana viongozi wakuu wenye sauti ni wa ukanda wa pwani
@abdalahgunda13199 күн бұрын
Kadogo mbona humakizii gari la miloni miatani la kifahari inambeba mtu wa kilo 80 or 90 105 wengine km kina acson tulia ndio kilo 70 labda Bora hiyo pesa wangenunua miradi ya ccm lngewasadia wana ccm wenzao waliochoka mbaya
@user-io6yj9fs2h9 күн бұрын
Kiongozi yoyote unae muona anaisifia ccm ujue anakula keki ya taifa tofauti nahivyo yoyote masikini wa nchi anaeishabikia ccm ujue ni tahila maana akipeleka ndugu yake hospital ya serikali hakuna dawa shule za masikini nchi hii wanafunzi eluf moja mia 2 matundu yavyoo kumi dalasa moja watoto mia 40 alafu mtu mwenye maisha magumu kabisa anakwambia ccm oyee nchi hii watu wanalaana vichwani mwao
Пікірлер: 35
Hongera sana shehe kwa kuwajuza raia juu ya nchi inavyo liwa na CCM
Nimekukubali sana 2
Huyu ni sheikh kweli. Naweza hata kumsindikiza msikitini nikaswali nae!! Anajitambua
Safi sana shehe Mungu akulinde
At least hata robo ya wananchi wangekuwa hivi nchi yetu ingekuwa mbali sana.
Good presentation of facts
Point sana
Shekhe unafaa kuwa katibu mwenezi
Safi sana Shekhe, umesema kweli kabisa
Washa Moto Shekhe Hawa CCM Wametufikisha Pabaya Mpaka Tuwaondoe Tumechoka Kuongozwa Kienyeji "
Nondo za maana sn mkuu,umeeleweka
Huyu sheikh anaongea points sana yaani unashawishika.Mungu ambariki sana.
HAKUNA SHEIKH HAPO. ALLAH NDIYE ANAYETURUZUKU. KILA JAMBO.
Noma Sanaa
Kadogoo heshima kwako wakati mwingine wakupangie mkutano wako.
MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya vichwani mwa watanganyika waliopo mbele yako imeelewa, Mungu yupo pamoja nawe
Unajua shekh unajua, wenzako Wana wivu unaeleweka
Love kwa CHADEMA ❤❤❤❤👏👏👏👏👏🔥🔥🔥❤️❤️❤️👏🏾👏🏾👏🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾
Kadoo anafaa kuwa mwenezi wa chama mwenyekiti muangalie huyoo
Kweli kabisa sisi tunaweza kujenga nyumba kila sehemu nyumba nzuri makazi safi hii yote maono madogo wao viongozi ni madalali tu nyumba kibogo hazina ghalama hata kidogo uongo kikubwa ni mipango
Chadema huyu jamaa ni Hazina azunguke nchi nzima
chadema mkipata watu kama hawa 5 ccm inaangukaa ,lisuu na mbowe wanatakiwa wapunguze maneno nwapewee hawaa
Jitafutie majibu kwa mungu achana na mashekhe chumia matumbo wataenda kujibu kwakutokemea maovu 😂😂😂
Vitu vimepanda bei sukar chai hatunywi
Mashehe ote wagekua kama ww tugekua mbali
Maharage ya Mbeya mapema yameiva!
Dah ila ukifikiria kiukweli hakuna usawa hata kidogo kwamba mwingine analipwa m1.8 Kwa mwezi laki5 Kwa Kila kikao Walimu na mwingine laki 3k CCM hawana huruma kabisa
Siyasa ya cdm tunaiyerewa xan xhida jexhi rimekuwa rakujipendekeza
Huyo Kawa Shehena, hakuna Sheikh atakayetetea watu wanaoshabikia ushoga
@muhsinikoki4060
4 күн бұрын
acha usenge
Kama cdm ni ya wachaga basi hata ccm ni ya pwani, maana viongozi wakuu wenye sauti ni wa ukanda wa pwani
Kadogo mbona humakizii gari la miloni miatani la kifahari inambeba mtu wa kilo 80 or 90 105 wengine km kina acson tulia ndio kilo 70 labda Bora hiyo pesa wangenunua miradi ya ccm lngewasadia wana ccm wenzao waliochoka mbaya
Kiongozi yoyote unae muona anaisifia ccm ujue anakula keki ya taifa tofauti nahivyo yoyote masikini wa nchi anaeishabikia ccm ujue ni tahila maana akipeleka ndugu yake hospital ya serikali hakuna dawa shule za masikini nchi hii wanafunzi eluf moja mia 2 matundu yavyoo kumi dalasa moja watoto mia 40 alafu mtu mwenye maisha magumu kabisa anakwambia ccm oyee nchi hii watu wanalaana vichwani mwao
😂