CCM WAMEJICHANGANYA KWA SHEKHE "MTU ANAKWAMBIA CCM IMENILEA KWANZA HUNA FADHILA KWA WAZAZI WAKO"

IPINDA ONLINE TV........Asante kwa kuchavua Ipinda Online tv........Usisahau kusubscribe Channel yetu

Пікірлер: 35

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps9 күн бұрын

    Hongera sana shehe kwa kuwajuza raia juu ya nchi inavyo liwa na CCM

  • @user-yc7xp4fn7x
    @user-yc7xp4fn7x9 күн бұрын

    Nimekukubali sana 2

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo9 күн бұрын

    Huyu ni sheikh kweli. Naweza hata kumsindikiza msikitini nikaswali nae!! Anajitambua

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54036 күн бұрын

    Safi sana shehe Mungu akulinde

  • @paulsenyael7154
    @paulsenyael71549 күн бұрын

    At least hata robo ya wananchi wangekuwa hivi nchi yetu ingekuwa mbali sana.

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku79159 күн бұрын

    Good presentation of facts

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza19695 күн бұрын

    Point sana

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g9 күн бұрын

    Shekhe unafaa kuwa katibu mwenezi

  • @camilomassao8971
    @camilomassao89719 күн бұрын

    Safi sana Shekhe, umesema kweli kabisa

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances9 күн бұрын

    Washa Moto Shekhe Hawa CCM Wametufikisha Pabaya Mpaka Tuwaondoe Tumechoka Kuongozwa Kienyeji "

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje20729 күн бұрын

    Nondo za maana sn mkuu,umeeleweka

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz9 күн бұрын

    Huyu sheikh anaongea points sana yaani unashawishika.Mungu ambariki sana.

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724Күн бұрын

    HAKUNA SHEIKH HAPO. ALLAH NDIYE ANAYETURUZUKU. KILA JAMBO.

  • @hamzamajenja4891
    @hamzamajenja48919 күн бұрын

    Noma Sanaa

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole39719 күн бұрын

    Kadogoo heshima kwako wakati mwingine wakupangie mkutano wako.

  • @prospermalala6636
    @prospermalala66369 күн бұрын

    MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya vichwani mwa watanganyika waliopo mbele yako imeelewa, Mungu yupo pamoja nawe

  • @allyhasani3750
    @allyhasani37509 күн бұрын

    Unajua shekh unajua, wenzako Wana wivu unaeleweka

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z2 күн бұрын

    Love kwa CHADEMA ❤❤❤❤👏👏👏👏👏🔥🔥🔥❤️❤️❤️👏🏾👏🏾👏🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾

  • @abdallaahabdallaahibrahim6719
    @abdallaahabdallaahibrahim67198 күн бұрын

    Kadoo anafaa kuwa mwenezi wa chama mwenyekiti muangalie huyoo

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw7 күн бұрын

    Kweli kabisa sisi tunaweza kujenga nyumba kila sehemu nyumba nzuri makazi safi hii yote maono madogo wao viongozi ni madalali tu nyumba kibogo hazina ghalama hata kidogo uongo kikubwa ni mipango

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge4188 күн бұрын

    Chadema huyu jamaa ni Hazina azunguke nchi nzima

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa51799 күн бұрын

    chadema mkipata watu kama hawa 5 ccm inaangukaa ,lisuu na mbowe wanatakiwa wapunguze maneno nwapewee hawaa

  • @salama1113
    @salama11137 күн бұрын

    Jitafutie majibu kwa mungu achana na mashekhe chumia matumbo wataenda kujibu kwakutokemea maovu 😂😂😂

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54036 күн бұрын

    Vitu vimepanda bei sukar chai hatunywi

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane7148 күн бұрын

    Mashehe ote wagekua kama ww tugekua mbali

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk8 күн бұрын

    Maharage ya Mbeya mapema yameiva!

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa35646 күн бұрын

    Dah ila ukifikiria kiukweli hakuna usawa hata kidogo kwamba mwingine analipwa m1.8 Kwa mwezi laki5 Kwa Kila kikao Walimu na mwingine laki 3k CCM hawana huruma kabisa

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda9 күн бұрын

    Siyasa ya cdm tunaiyerewa xan xhida jexhi rimekuwa rakujipendekeza

  • @cassimoa9217
    @cassimoa92177 күн бұрын

    Huyo Kawa Shehena, hakuna Sheikh atakayetetea watu wanaoshabikia ushoga

  • @muhsinikoki4060

    @muhsinikoki4060

    4 күн бұрын

    acha usenge

  • @hakiyangu
    @hakiyangu9 күн бұрын

    Kama cdm ni ya wachaga basi hata ccm ni ya pwani, maana viongozi wakuu wenye sauti ni wa ukanda wa pwani

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda13199 күн бұрын

    Kadogo mbona humakizii gari la miloni miatani la kifahari inambeba mtu wa kilo 80 or 90 105 wengine km kina acson tulia ndio kilo 70 labda Bora hiyo pesa wangenunua miradi ya ccm lngewasadia wana ccm wenzao waliochoka mbaya

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h9 күн бұрын

    Kiongozi yoyote unae muona anaisifia ccm ujue anakula keki ya taifa tofauti nahivyo yoyote masikini wa nchi anaeishabikia ccm ujue ni tahila maana akipeleka ndugu yake hospital ya serikali hakuna dawa shule za masikini nchi hii wanafunzi eluf moja mia 2 matundu yavyoo kumi dalasa moja watoto mia 40 alafu mtu mwenye maisha magumu kabisa anakwambia ccm oyee nchi hii watu wanalaana vichwani mwao

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph78779 күн бұрын

    😂

Келесі