IPINDA ONLINE TV

IPINDA ONLINE TV

This channel consist Of Entertainment ,news and different programs about society, Reaction and normal story telling video where explain the details with commentary.

Пікірлер

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa736513 сағат бұрын

    SAHIHI KABISA MWAMBA.

  • @FrankolaisLukumay-tx8vr
    @FrankolaisLukumay-tx8vr15 сағат бұрын

    Hawa ccm ngoja tu

  • @RamadhanAlly-cf7du
    @RamadhanAlly-cf7du17 сағат бұрын

    Kuna baazi ya miaskar ya hii nchi kama kama misenge iv ety

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h19 сағат бұрын

    Sugu wenye akili wanakuelewa sana mazuzu hawakuelewi wao nikidumu chama chamapinduzi dawa hospital hakuna

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka20 сағат бұрын

    Polisi acheni uonevu

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka20 сағат бұрын

    Kwanini mnaendelea kunyanyasa wananchi

  • @orestsanga6294
    @orestsanga629420 сағат бұрын

    Yaani jeshi la polisi linaongozwa kitoto utazani hawana shughuli muhimu za kufanya ili kulijenga taifa lao

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain994722 сағат бұрын

    Kweri umeongea Mh Lema

  • @ERNESTSuleiman
    @ERNESTSuleiman22 сағат бұрын

    Achana nae huyo ni msakatonge,Acha akabebwe

  • @camilomassao8971
    @camilomassao897123 сағат бұрын

    Safi sana Shekhe, umesema kweli kabisa

  • @hakiyangu
    @hakiyanguКүн бұрын

    Kama cdm ni ya wachaga basi hata ccm ni ya pwani, maana viongozi wakuu wenye sauti ni wa ukanda wa pwani

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971Күн бұрын

    Kadogoo heshima kwako wakati mwingine wakupangie mkutano wako.

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750Күн бұрын

    Unajua shekh unajua, wenzako Wana wivu unaeleweka

  • @MussaSuleiman-ui9fy
    @MussaSuleiman-ui9fyКүн бұрын

    Hao walioondoka ccm acha waondoke sisi hatuna shida nawananachama

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_Күн бұрын

    Tokeni zenu hapa kwani hana Chama?? Mhe Ana Chama na wana utaratibu wao, kila siku kuleta taharuki kwenye jamii, Janja yenu mbona inajulikana, acheni haya maujinga , eti wananchi ? wa wapi? Mbeya au Shinyanga?

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_Күн бұрын

    Hii nyongeza ya utumbo inahangaika tu na kutafuta umaarufu, tutaona mwisho utakavyo kuwa, hata uropoke nini Chadema hawawezi kukupa Uenyekiti au Kuwa Mgombe Urais , wamejipanga

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2hКүн бұрын

    Kiongozi yoyote unae muona anaisifia ccm ujue anakula keki ya taifa tofauti nahivyo yoyote masikini wa nchi anaeishabikia ccm ujue ni tahila maana akipeleka ndugu yake hospital ya serikali hakuna dawa shule za masikini nchi hii wanafunzi eluf moja mia 2 matundu yavyoo kumi dalasa moja watoto mia 40 alafu mtu mwenye maisha magumu kabisa anakwambia ccm oyee nchi hii watu wanalaana vichwani mwao

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrancesКүн бұрын

    CHADEMA MUWE MAKINI NA MAMLUKI , INATAKIWA WAONDOENI HAWAFAI"

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1nКүн бұрын

    mama yake amesha muhamisha yupo Dar.

  • @MateiFlav
    @MateiFlavКүн бұрын

    Acheni uonevu askari

  • @nyamrolamajani444
    @nyamrolamajani444Күн бұрын

    Mhhhhh!!! 😊🙉🙉

  • @RajabuLanda
    @RajabuLandaКүн бұрын

    Siyasa ya cdm tunaiyerewa xan xhida jexhi rimekuwa rakujipendekeza

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongoКүн бұрын

    Huyu ni sheikh kweli. Naweza hata kumsindikiza msikitini nikaswali nae!! Anajitambua

  • @KajoSalali
    @KajoSalaliКүн бұрын

    Piga kaz jembe le2 augu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319Күн бұрын

    Kadogo mbona humakizii gari la miloni miatani la kifahari inambeba mtu wa kilo 80 or 90 105 wengine km kina acson tulia ndio kilo 70 labda Bora hiyo pesa wangenunua miradi ya ccm lngewasadia wana ccm wenzao waliochoka mbaya

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877Күн бұрын

    😂

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bzКүн бұрын

    Huyu sheikh anaongea points sana yaani unashawishika.Mungu ambariki sana.

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072Күн бұрын

    Nondo za maana sn mkuu,umeeleweka

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915Күн бұрын

    Good presentation of facts

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179Күн бұрын

    chadema mkipata watu kama hawa 5 ccm inaangukaa ,lisuu na mbowe wanatakiwa wapunguze maneno nwapewee hawaa

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6psКүн бұрын

    Hongera sana shehe kwa kuwajuza raia juu ya nchi inavyo liwa na CCM

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636Күн бұрын

    MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya vichwani mwa watanganyika waliopo mbele yako imeelewa, Mungu yupo pamoja nawe

  • @paulsenyael7154
    @paulsenyael7154Күн бұрын

    At least hata robo ya wananchi wangekuwa hivi nchi yetu ingekuwa mbali sana.

  • @hamzamajenja4891
    @hamzamajenja4891Күн бұрын

    Noma Sanaa

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2gКүн бұрын

    Shekhe unafaa kuwa katibu mwenezi

  • @user-yc7xp4fn7x
    @user-yc7xp4fn7xКүн бұрын

    Nimekukubali sana 2

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrancesКүн бұрын

    Washa Moto Shekhe Hawa CCM Wametufikisha Pabaya Mpaka Tuwaondoe Tumechoka Kuongozwa Kienyeji "

  • @BenedictoKagoma
    @BenedictoKagomaКүн бұрын

    mama pitisha katiba mpya tunaomba

  • @BenedictoKagoma
    @BenedictoKagomaКүн бұрын

    ccm jaman mumekula xana waachieni nao chadema hata miaka 5

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606Күн бұрын

    Mwigulu andhalau sana

  • @user-ks7tr1fd5d
    @user-ks7tr1fd5dКүн бұрын

    Waooooooo ipinda moja hiyo love sana kwe2

  • @user-ks7tr1fd5d
    @user-ks7tr1fd5dКүн бұрын

    Ahsanteh sana fimbo ya musa Mungu awatie nguvu kaz nzuri sana. Ni kweli hapa dunian 2napita

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oqКүн бұрын

    Tatizo mnapaniki ongeeni kwa utaratibu mtafika

  • @RamadhanAlly-cf7du
    @RamadhanAlly-cf7du17 сағат бұрын

    Hata ingekuwa we ungepank kwan kuna baaz ya miaskar ya hii haijatambui

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oqКүн бұрын

    Tatizo mnapaniki ongeeni kwa utaratibu mtafika

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938Күн бұрын

    Huyu polisi kajituma atashitakiwa binafsi kwa chochote atakachofanya kinyume!

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199Күн бұрын

    Ujinga mtupu chadema ndyo nan? Nenda katunze mumeo huko

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2liКүн бұрын

    Ulikuwa mgambo kituo Cha polisi meta kumbuka ulivyoo kuwa unasumbuwa raiya wewe eti ni nabii na mtetezi WA haki za binadamu tushike lipi ukumbuke uliyo yafanya huko nyuma acha kuwachafuwa askari wetu wanafanya kazi vizuri tu pale iwambi na Mbalizi acha kutuchonganisha na askari wetu. Taperi wewe unatafuta kichaka Cha kujifichia nabii faki mchungaji feki tumekujuwa mzurumaji

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2liКүн бұрын

    Hapana usiwape lawama matrafki Hilo Loli lilipata itrafu. Ya mfumo WA break wewe mchungaji feki unajifanya mtetezi WA haki za binadamu mbona wewe ni tapeli kunakesi iyunga unataka kumzurumu mtu haki yake ulimkopa pesa ukawekea gari lako alafu unamshitaki wakati ujamlipa pesa zake wewe acha kuchonganisha serikali na raiya ulikuwa wapi muda wote Sheria zipo

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rmКүн бұрын

    Shujaa sana

  • @StevenMasunga-fd7xf
    @StevenMasunga-fd7xfКүн бұрын

    Vita wataileta hao machawa ccm