"NCHI IMEGEUKA KUWA NCHI YA MACHAWA IMEKUA NCHI YA AJABU SANA" MASAGA KALOLI MKT CHADEMA MKOA MBEYA

IPINDA ONLINE TV.........Asante kwa kuchagua Ipinda Online Tv......Usiisahau Kusubscribe Channel yetu

Пікірлер: 6

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa91318 күн бұрын

    ❤✌️✌️✌️✌️🔥💯

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo57048 күн бұрын

    Waondokeeeee . Tumechoka na mateso na manyanyaso maisha magumuuu

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa73658 күн бұрын

    SAHIHI KABISA MWAMBA.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo28528 күн бұрын

    Sisi uoga ndoshida na ubinafisi mtu akipata yeye basi wengine watajuwa wenyewe

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq8 күн бұрын

    Nduguzangu watanzania pamoja na kuwa tunakanyaga kwenye mbingu zilizofunguka na tunaombewa mafanikio na watumishi wa mungu akina mwamposa Kwa Kodi na utawala wa ccm umasikini hauta ondoka

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h8 күн бұрын

    Kiukweli msanii nchi hii nimmoja tu ney wamitego hayo mengine hayajui ugumu wamaisha waliyonayo wananchi vijijini yaani masanii yote yalioko dar yamegeuka kuwa machawa hatali sana

Келесі