BAADA YA MSIGWA KUHAMA CHAMA(CHADEMA) VIONGOZI WA CHADEMA MIKOA YA MBEYA NA SONGWE WATOA YA MOYONI.
CHADEMA NDIO CHAMA PEKEE CHAKUWASEMA WANANCHI
Жүктеу.....
Пікірлер: 45
@odoieriasmonga659113 күн бұрын
Msigwa tamaa ya madaraka inamsumbua
@tumainimwaifunga388413 күн бұрын
Umeongea vizuri
@yassinnabwera427313 күн бұрын
Uko sahihi kiongozi,Chadema haiwezi kusambaratika eti kisa Peter Msigwa.
@DeusAloyce13 күн бұрын
Msigwa ni sawa na Mwajuma
@MashakaMagesa13 күн бұрын
Halitoka Siraa na Ziko lakini mapambano bado yanaendelea
@sagandamalechampullo65913 күн бұрын
EXCELLENT SAID, CHADEMA IMEWANOA NA KUWAIMARISHA WATU WENGI SANA, HASA VIJANA
@SundaySteven-bz4yq13 күн бұрын
Mimi naamini wanainchi mukilinde hiki chama maana hata uhuru tulionao nikwakua ccm wanaiogopa chadema vinginevyo tungepigwa viboko
@user-zg4yz7je8d13 күн бұрын
Kwanza ata ukiliona likichwa cha msigwa ni kama msukure
@Aminmwansile-we8vn13 күн бұрын
Ameondoka pekee yake hata familia yake imemkataa
@user-fr7jj1bo7y13 күн бұрын
Msigwa njaa imepanda kichwani na uvumilivu umemshinda sasa ajiandae ccm kumlisha matapishi yake mwenyewe..
@tobiaspaul920312 күн бұрын
Anaenda kupewa ukuu wa wilaya, siasa hawez tena
@Nicolasmosereta12 күн бұрын
Mimi naamini Chadema ni mwiba mkali kwa taifa hili endelea kupiga kwenye mshono vyama viko vingi Tanzania ila chama kinachoandamwa sana ni Chadema mimi naamini mna kitu endelea kupigana
@melchiadepaschal309713 күн бұрын
Mi binafsi, mtu yeyote anaendoka chadema, sioni shida, Kuna vipaji Vinahitaj nafasi
@neemanziku540313 күн бұрын
Njaa tu imempeleka, ila ukweli utabaki moyon mwake amejifunga mdomo hataongea ukweli Tena nenda huko
@user-lm3lt7xx6l10 күн бұрын
Sawa iwe kafanyiwa figisu nde ende ccm chama kinoumiza watu
@zebedayokatamaduni967613 күн бұрын
Chadema ngome nzito. Tuko pamoja makamanda
@mamlomamlo906413 күн бұрын
Labda kaingia ccm kuiharibu ccm
@brownaled257613 күн бұрын
Good point
@GeophreyMsomba13 күн бұрын
Muache aende kwaniyeye Nani vijanawapo.
@PaskaliCharles-pz8ds13 күн бұрын
Aondoke mwenyewe ana njaa kali akaungane na mafisadi ya nchi hii
@JohnMwankina-sb6zb13 күн бұрын
Msigwa alikuwa anawafundisha wanachadema jinsi ya kumjua msaliti ndani ya chama,sasa yeye kayafanya msaliti,kumbe hata alivyokuwa mkt wa Kanda ya Nyasa alikuwa kiongoz msaliti,
@sagandamalechampullo65913 күн бұрын
YEYE AKAPUMZIKE TU, SPEED NA NGUVU CHADEMA ATUACHIE SISI VIJANA WAPIGANIA HAKI NA UHURU WA WATU
@NardhisMhagama-sy3eq12 күн бұрын
Kumbe walikuwa wanalalamika rushwa kumbe walimtosa kwasababu alikuwa anagawa rushwa kutoka Kwa msukuma walimshitukia
@user-lm3lt7xx6l10 күн бұрын
Chadema wachen imani kuiweka pemben mnatakiwa mufurahi ALAH hukuondolea tafiki mnaf au hata mke ulikosalo lina heri na nyie unaweza ukaling'ang'ania jambo kumbe linashari na wewe unaweza ukaona unaikosa pesa kumbe heri yako
@ClementLushino13 күн бұрын
Ameenda kutafuta teuzi za mama Ma RC, DC wakurungezi na nyingine nyingi ana jipya.
@aloycemisigalo398313 күн бұрын
Msigwa alihongwa pesa, haya sio maneno yangu ni maneno ya Msukuma aliongea mapema sana. Huyu Msigwa kajishushia kheshima.
@user-my5yp6xx5s13 күн бұрын
amejimaliza mwenyewe maana haoni mbali ajifunze kwa akina nasali,waitara katambi,zito ,slaa, sumaye, lowasa,nyarandu, nawengine wengine msigwa alikuwa anataka cheo
@user-oy5dz5xl8s13 күн бұрын
Jamani msijadili tena ya msigwa amechagua lake hilo hana tena nguvu,maana kwetu acheni kabisa.
@rebekakulwa615913 күн бұрын
Chadema kina mitambo miamba mingi fisiyemu toka waanze kununua haijaisha ndo inaongezeka kwa kasi mtajua hamjui
@user-bl3go5yr8u13 күн бұрын
Safi sana kwa busara zako kiongozi wetu sisi tupo pamoja na hili lituimarishe zaidi
@user-ef2ln1mx3s13 күн бұрын
Ameona awai pesa za bandari na anaweza kupewa kauwazili ili nae apate pa kupigia dili uyu ni msigwa anakwambia yeye awezi kushindwa
@isackphilipo987013 күн бұрын
Nilikuwa mfuasi wa msigwa ila kwa sasa siwezi kuwa mfuasi wa Yuda eskarioti tena hana mvuto tena amesha kufa kiasiasa
@user-oy5dz5xl8s13 күн бұрын
Watachanganya majina ya wapiga kura
@user-hu9bf7nw4c12 күн бұрын
Mtu anaeenda ccm ,ujue sio mtetezi wa wananchi ,siku zote wanaotetea na kujali kuvisemea vitu vya wananchi ni chadema ,ila huyo kaenda ccm kupiga hela tu wala sio mzalendo huyo
@coolsinare882413 күн бұрын
halima nae alikuwa maarufu..dr Slaa..Zito kabwe nawengine ni haki yake aende kokote tu ni sawa..mi ukiniuliza alishavamiwa huyo ni hatari kama angeendelea kuwepo kwenye chama chenu..pigeni na shampen kabisa
@tibbsminja257513 күн бұрын
Ana Haki ya kwenda kokote. Ajiulize mara 2 huyo huyo aliyempokea na anamsifia kuwa anataka kushirikiana naye na anatoa hela za miradi! Ajiulize NYALANDU alipokelewa kama yeye ni miaka ngapi sasa imepita hatumsikii!! SUMAYE alirudi wapi unamsikia? Nenda salama! Kukosa tu uongozi kimekulamba!!
Пікірлер: 45
Msigwa tamaa ya madaraka inamsumbua
Umeongea vizuri
Uko sahihi kiongozi,Chadema haiwezi kusambaratika eti kisa Peter Msigwa.
Msigwa ni sawa na Mwajuma
Halitoka Siraa na Ziko lakini mapambano bado yanaendelea
EXCELLENT SAID, CHADEMA IMEWANOA NA KUWAIMARISHA WATU WENGI SANA, HASA VIJANA
Mimi naamini wanainchi mukilinde hiki chama maana hata uhuru tulionao nikwakua ccm wanaiogopa chadema vinginevyo tungepigwa viboko
Kwanza ata ukiliona likichwa cha msigwa ni kama msukure
Ameondoka pekee yake hata familia yake imemkataa
Msigwa njaa imepanda kichwani na uvumilivu umemshinda sasa ajiandae ccm kumlisha matapishi yake mwenyewe..
Anaenda kupewa ukuu wa wilaya, siasa hawez tena
Mimi naamini Chadema ni mwiba mkali kwa taifa hili endelea kupiga kwenye mshono vyama viko vingi Tanzania ila chama kinachoandamwa sana ni Chadema mimi naamini mna kitu endelea kupigana
Mi binafsi, mtu yeyote anaendoka chadema, sioni shida, Kuna vipaji Vinahitaj nafasi
Njaa tu imempeleka, ila ukweli utabaki moyon mwake amejifunga mdomo hataongea ukweli Tena nenda huko
Sawa iwe kafanyiwa figisu nde ende ccm chama kinoumiza watu
Chadema ngome nzito. Tuko pamoja makamanda
Labda kaingia ccm kuiharibu ccm
Good point
Muache aende kwaniyeye Nani vijanawapo.
Aondoke mwenyewe ana njaa kali akaungane na mafisadi ya nchi hii
Msigwa alikuwa anawafundisha wanachadema jinsi ya kumjua msaliti ndani ya chama,sasa yeye kayafanya msaliti,kumbe hata alivyokuwa mkt wa Kanda ya Nyasa alikuwa kiongoz msaliti,
YEYE AKAPUMZIKE TU, SPEED NA NGUVU CHADEMA ATUACHIE SISI VIJANA WAPIGANIA HAKI NA UHURU WA WATU
Kumbe walikuwa wanalalamika rushwa kumbe walimtosa kwasababu alikuwa anagawa rushwa kutoka Kwa msukuma walimshitukia
Chadema wachen imani kuiweka pemben mnatakiwa mufurahi ALAH hukuondolea tafiki mnaf au hata mke ulikosalo lina heri na nyie unaweza ukaling'ang'ania jambo kumbe linashari na wewe unaweza ukaona unaikosa pesa kumbe heri yako
Ameenda kutafuta teuzi za mama Ma RC, DC wakurungezi na nyingine nyingi ana jipya.
Msigwa alihongwa pesa, haya sio maneno yangu ni maneno ya Msukuma aliongea mapema sana. Huyu Msigwa kajishushia kheshima.
amejimaliza mwenyewe maana haoni mbali ajifunze kwa akina nasali,waitara katambi,zito ,slaa, sumaye, lowasa,nyarandu, nawengine wengine msigwa alikuwa anataka cheo
Jamani msijadili tena ya msigwa amechagua lake hilo hana tena nguvu,maana kwetu acheni kabisa.
Chadema kina mitambo miamba mingi fisiyemu toka waanze kununua haijaisha ndo inaongezeka kwa kasi mtajua hamjui
Safi sana kwa busara zako kiongozi wetu sisi tupo pamoja na hili lituimarishe zaidi
Ameona awai pesa za bandari na anaweza kupewa kauwazili ili nae apate pa kupigia dili uyu ni msigwa anakwambia yeye awezi kushindwa
Nilikuwa mfuasi wa msigwa ila kwa sasa siwezi kuwa mfuasi wa Yuda eskarioti tena hana mvuto tena amesha kufa kiasiasa
Watachanganya majina ya wapiga kura
Mtu anaeenda ccm ,ujue sio mtetezi wa wananchi ,siku zote wanaotetea na kujali kuvisemea vitu vya wananchi ni chadema ,ila huyo kaenda ccm kupiga hela tu wala sio mzalendo huyo
halima nae alikuwa maarufu..dr Slaa..Zito kabwe nawengine ni haki yake aende kokote tu ni sawa..mi ukiniuliza alishavamiwa huyo ni hatari kama angeendelea kuwepo kwenye chama chenu..pigeni na shampen kabisa
Ana Haki ya kwenda kokote. Ajiulize mara 2 huyo huyo aliyempokea na anamsifia kuwa anataka kushirikiana naye na anatoa hela za miradi! Ajiulize NYALANDU alipokelewa kama yeye ni miaka ngapi sasa imepita hatumsikii!! SUMAYE alirudi wapi unamsikia? Nenda salama! Kukosa tu uongozi kimekulamba!!
MAJASIRI HAWACHOKII
Wewe umeenza juzi naumezaliwa juzi kwenye Siasa sema mmechukia kwasababu anakiwango
@user-bx3ko9ft5t
13 күн бұрын
Hana kiwango chadema itadumu milele magufuli alishindwa ataweza msigwa kweli
@MalamboSelijusi
12 күн бұрын
@@user-bx3ko9ft5t magufuli hakushindwa sipokua chadema nikitega uchumi ambacho kinakizi matakwa ccm nakwa wahusika wenyewe
Mjinga sana musgwa chadema tupo imara
Msigwa kazeeka anataka aende ccm akapumzike siasa
Jamaani huyu feki mchugaji mwacheni chama nikamali kula msigwa nitamaa atarudi tu
Lakini Msigwa amewakeraaaaa na bado sana mtakerekaaa
Msigwa na mpina ni mapacha 😮ila chadema ni matapeli wazoefu