Fuatilia Mwanzo TV Plus SUBSCRIBE KZread Channel yetu Follow us on X, Facebook and Instagram
Жүктеу.....
Пікірлер: 96
@MuhojaMalicho25 күн бұрын
❤❤❤❤❤ ccm wametuludisha nyuma sana biashara ya utumwan kununua watu
@JesuinaBabili26 күн бұрын
Safi kabisa Makamanda 👍🏽
@issacklyandala702326 күн бұрын
Safi sana, hatutaki Malaya Malaya wa siasa
@user-fe8tx5bo2f26 күн бұрын
Pamoja sana kiongez
@eliasmedutieki757826 күн бұрын
Safi sana wasaliti wote waondoke hongereni kibamba
@Enugundani829926 күн бұрын
rushwa ikiisha nchini CCM.itakufa na pia CCM ikifa rushwa itaisha nchini Tanzania
@gaagwasaugustino2584
25 күн бұрын
Huo ndiyo ukweli ndugu!
@ndogoroedson199
2 күн бұрын
Huu ni usenge wenu! Mtu akienda ccm amenunuliwa na akija chadema amependa mwenyewe! Mjinga mkubwa ww! Na msigwa je! Mpumbavu mmoja ww. Huna akili kabisa basi hata ww utanunuliwa
@odoieriasmonga659126 күн бұрын
kazi nzuri
@peterfedrick645926 күн бұрын
Safi makamanda akafanye biashara nje ya chama
@mathewtesha3139
24 күн бұрын
Safi sana
@tumainimwaifunga388426 күн бұрын
Safi
@JacksonFrances26 күн бұрын
HII NCHI NI HATARI SANA SIJUI NI LINI TUTAKUJA KUPATA VIONGOZI WAZALENDO WENYE NIA YA DHATI YA KUWATUMIKIA WANANCHI BILA TAMAA YA RUSHWA NA KURUBUNIWA😢😢 VERY SAD😔 😔 "
@juliuskitaluka120626 күн бұрын
Kwenye msafara wa mamba na kenge wao
@emanuelsinyinza26 күн бұрын
Nasikia ni za DPW lakini sasa hivi watu wote wameamuka😊
@nakalikyumile323426 күн бұрын
Wasaliti wote kimbiza,iundwe "Oparesheni tokomeza wasaliti wote"
@josephmantago283726 күн бұрын
Wajue nje ya chadema hawana thamani tena. Wapuuzi wakubwa
@joshuac.mashida137826 күн бұрын
Vyama Kama vilabu vya mpira kilabu kikiona kunamchezajizuri co mbaya kununuliwa ,ila watengeneze tu mfumo wakununua nakuuza co mbaya ndg zangu chadema kina hazina kubwa Sana ya viongozi makini kiendelee tu kuzalisha ,ccm na vyama vingine wakalinisheni tu wake wanunue viongozi makini kutoka chama shupavu m4c
@gabrielnjiapanda371024 күн бұрын
Safi sana
@hamisijuma327626 күн бұрын
Na bado!!! mtaisoma namba mpaka chini juu
@DandasiKundi2 күн бұрын
Viongozi msiwe na viongozi wasio na tamaa wenye njaa hamwezi kudanganya mtu wapige kura wawanue tu acheni njaa jaman mpaka wazee ni hatari, je najiuliza chama kinachonunua watu ni hatari kuingiza watu ambao si sahihi. Asante san a
@iddynjonjo26 күн бұрын
Safii sana
@deogratiusmaila676
26 күн бұрын
Very Good
@clemenceparokola26 күн бұрын
Safisha kengewote,na vinyonga ndani ya chama
@emanuelsinyinza26 күн бұрын
Asante sana kiongozi timua timua iendelee sehemu zote. Hizo pesa wameiba wapi.
@gallegalleson442726 күн бұрын
Upendo na mwenzake silinde walinunuliwa jumla jumla na ccm!! ni tabia umalaya malaya wa siasa
@ndogoroedson199
2 күн бұрын
Ww unasubili nn?
@SundaySteven-bz4yq26 күн бұрын
Hao wanachukua rushwa fukuza na ccm atakajifanya amekuja chadema akae benchi maana wanatumwa kutuvuruga mitego Yao awamu hii watakalia kuti kavu
@edsonkahesi860326 күн бұрын
Sisiemu ni adui wa demokrasia ya nchi yetu, TAKUKURU najiuliza huwa hawayaoni haya kwann wanayafumbia macho tu..
@deogratiusmaila676
26 күн бұрын
Kesi ya nyani mpelekee gedere😁😁😁😁
@januarysungura8119
25 күн бұрын
takukuru ndio ccm ,we huoni ya CAG nini wamekifanyia kazi.CCM wanatuchezea sana nchii hii na ukiwafuatilia ni walewale wachache ndio wanaotusumbua wakigawana vyeo kama mavazi.
@ndogoroedson199
2 күн бұрын
Chadema mna demokrasia gan? Mbowe miaka 20 madarakani
@user-cx1xz2is5d26 күн бұрын
Mzeee anakuwa malaya malaya aende akafie mbele
@melchiadepaschal309726 күн бұрын
Welldone
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es26 күн бұрын
Mtu anayenunulika SI Kiongozi halisi,hata Kama angekuwa na ushawishi kiasi gn, ni sawa na mke anayeweza kuchukuliwa na Mwanaume yeyote mwenye Pesa Hali ya kuwa ameolewa.huwezi kusema huyo mke ni mzr au Bora. Vyama vya Siasa Lzma mjifunze kuchuja Viongozi. Kufaulu ktk Harakati za Ukombozi kunategemea Viongozi Imara waaminifu ambao hawanunuliki.
@LastonKatwanga26 күн бұрын
Yaaani ni sawa na kuuza utu wako
@user-we5px7gp2r26 күн бұрын
Ukisoma comment za watu wengine unsgundua nchi yetu ina matahaira mengi sana
@PhilipoMwita-wc1ku26 күн бұрын
Mngemchapa viboko
@ChristianMkumbo-ix2ke26 күн бұрын
Safi sana ayede akakaye na wajinga
@ndogoroedson199
2 күн бұрын
We ndyo mjinga hujui hata kuandika
@RespichTryphone4 күн бұрын
Kiongozi WA staili hiyo hafai nibora wabaki hata wachache walio sahihi
@amanmwalyambi141625 күн бұрын
Safi sana mtu anafukuzwa yupo hapohapo
@abdalahgunda131926 күн бұрын
Huwezi toka upinzani uwende ccm ueshimike kwa watanzania ni kwenda kujiuwa kisasa ktk chama tawala
@dionismutayoba3542
26 күн бұрын
Hamna lolote unaongea pumba,Katambi,Silinde,Naibu waziri wa Afya,Ntatilo Kitira Mkumbo nk.Unataka heshima ipi kama hao wachache waliotoka upinzani wana nafasi nyeti serikalini?Tafakari hoja yako
@nelsonshillah6618
25 күн бұрын
@@dionismutayoba3542hajasema hupati cheo ccm
@Kwelihukuwekahuru
24 күн бұрын
@@dionismutayoba3542 lakini hawana heshima kwa wananchi hilo ndilo tunalosemea na wote hawana hoja za mashiko kwani Mungu hapendi wizi wa kura na usaliti Biblia inasema kura huondoa mashindano na hukomesha watawala
@leahmgunda4154
21 күн бұрын
Achana na hilo kubwa Jinga.
@beinafuu621926 күн бұрын
Wanapata wapi pes?. Luzuku yao unaijua ni bei gan kila mwezi? Sema lingine lakin pesa hipo.
@VITUSPROTUS-wh4mn26 күн бұрын
Fukuza kunguru hao
@VITUSPROTUS-wh4mn26 күн бұрын
Good Good 👍
@joachimkalungwana865426 күн бұрын
Safi saaaanaaaa na majimbo mengine yafuate nyayo
@paulmabena568423 күн бұрын
Ongea seraaa wananunuliwa wana njaa mtawapa nini ??
@nelsonshillah661825 күн бұрын
Mbona huyo mzee haonyeshwi
@sifamushi174717 күн бұрын
Ivi uwa HAMUEZI KUONGEA BILA KUPAYUKAA? APO TU NDO UWA ATUPATAG JIBU....
@JohnKuyumbe3 күн бұрын
Aende huyo akale ccm yake
@user-we5px7gp2r26 күн бұрын
Binadamu unanunulika umekuwa mfugo? Hii ni aibu sana
@jovitadaniel7161
20 күн бұрын
Ndugu usishangae maana hawa wanaonunuliwa ni nyumbu wa serengeti bora hata mfugo!
@MohammedAwadh-gq9si23 күн бұрын
Mnanunuliwa nyie mmekuwa mizigo ? Nyie wenyewe mnajiuza! Kawaida ya mashoga ni kuuzwauzwa! Sasa mjiulize kuna nini chadema?
@MosesMnyantope-zw4ed26 күн бұрын
Duh
@abdallahkihanza48226 күн бұрын
Upendo hajanunuliwa kaenda CCM kwa njaa yake
@joshuaswai8203
25 күн бұрын
Upendo naye ni mlafi wa pesa za ccm eti hajanunuliwa uongo
@MnyamaTolu-kd5ct25 күн бұрын
Takukuru mkowap
@HijaSaid-xd7fg26 күн бұрын
Vp na yule papa anaewahadaa anaekulaga kurosho,ambae ni kada wao alie jificha Chadema
@ErastoHumbo26 күн бұрын
Jamani kumbukeni sum haiuwi malambili wascheni
@moseskusamba43126 күн бұрын
Msigwa mmefanya nini?
@samsonmwijage186926 күн бұрын
Kwa hiyo akina Zito Kabwe na Said Kubenea walipohama chadema na kwenda ACT wazelendo nao walinunuliwa pia?
@jovitadaniel7161
20 күн бұрын
Wale walihama hawakununuliwa maana nchi hii mnunuzi ni mmoja tu!
@bukurunestory354026 күн бұрын
😂😂😂
@alliancemugane158925 күн бұрын
Afadhali nyie mnamaamuzi lakini hapa Jimbo la Bunda mjini kuna viongozi wa Jimbo karibu 95% wanamuunga mkono Mbunge wa zamani aliyefukuzwa uanachama na kamati kuu ya Chama cha Chadema . Wanaendelea kuwaaminisha wanachama na wananchi wa Jimbo kuwa Mbunge huyo anarudi kugombea kwa tiketi ya Chadema. Nashindwa kuelewa hivi uongozi wa juu hawajui upotoshaji huu? Mbona hawachukui hatua?
@severinimkini411626 күн бұрын
Kama kweli kauli inayotoka kwa kada huyu wa Chadema ni sahihi kwamba wana-Chadema wananunuliwa na CCM, je wao CCM hawauziki na kununuliwa nchi za nje ?
@januarysungura8119
25 күн бұрын
wewe unaweza kununua mali feki huku ukiwa unaijua?
@KamwandaNzowa-eo4ur26 күн бұрын
Hata hawo wanaonunuliwa ndiyo wajinga sana Tena hawafaii kabisa
@abdulhakeem95926 күн бұрын
Jamaa mbona unavuta kamba sana.aisee nenda kwenye point
@abubakarimussa913126 күн бұрын
Unajitambulisha sana nenda kwenye point
@paulmabena568423 күн бұрын
Huoni akina tundu na mboww hawaongeii nyamazaa wewee
@margarethpolepole743826 күн бұрын
Haifi mbona Mbona Kanda ya Nyasa rushwa ilitawala kumtoa Msigwa abaki Sugu ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati wanachama wamemchoka
@clemencemkondya856126 күн бұрын
Chadema kwani nichams chakutetea wananchi au nigenge lawahuni wameungana kwa maslahi yao .mfano huu chadema wamepewa ruzuku ya bilioni2.7 za wabunge wa viti maalumu huku wanadai viongozi wachadema kuwa wabunge waviti maalumu sihalali ila ruzuku au pesa nihalali ..
@hassangasaba4565
26 күн бұрын
Wamepewa lwasababu wanambunge mmoja.
@dionismutayoba3542
26 күн бұрын
Haki yao sio hisani Sena lingine
@Kwelihukuwekahuru
26 күн бұрын
Clemence ruzuku haitolewi kwa wabunge wa viti maalum bali mbunge aliyepata kura za wananchi na idadi ya kura za urais wabunge wa viti maalumu hupatikana kwa idadi ya wabunge waliopata kura za kwenye sanduku ukiangalia idadi ya wale wanaosemekana ni wa viti maalumu 19 ni wengi kuliko ambavyo ilitakiwa iwe kwani chadema wana mbunge mmoja tu
@januarysungura8119
25 күн бұрын
alafu kama hujui kitu bora utulie na hawa ndio wana ccm uelewa mdogo ndio maana nchi inadidimia.
@margarethpolepole743826 күн бұрын
Kwani nyie hamuwanunui nyie Wasaka Tonge
@mbikamtanganaki26 күн бұрын
Genge la wauni mwambieni lisu akalee wajukuu kura no 2025
@januarysungura8119
25 күн бұрын
wee mchumia tumbo tupishe
@The1979bornagain26 күн бұрын
Kuna problem la "communication skills" kwa kiongozi kamanda huyu. Maneno mengi yasiyo address hoja kuu. Mfano, umeitisha PC Ili kumfuta uanachama mwanachama kwa kosa la usaliti na rushwa. Tulitegemea kabla ya kutangaza kumfuta uanachama huyo mzee, ueleze amepokea rushwa gani? fedha? Kama ni pesa, shilingi ngapi? Kutoka kwa nani na wapi? Ni ushahidi gani unahalalisha adhabu yake hata kumtangaza mwenzenu kuwa ni mla rushwa na msaliti? Lakini wewe kamanda hapa ulikuwa unalalama tu na maneno mengi yasiyo ktk mpangilio kiasi cha watazamaji kutopata picha kamili ya tukio zima
@Kwelihukuwekahuru
24 күн бұрын
Hayo ni kazi ya TAKUKURU na mahakama hawa wametoa taarifa kama hajapokea rushwa anaweza kukanusha au ashtaki kwa kudhalilishwa huwezi kuongea kila kitu huko mbele kwenye sheria utashindwa kwani ushahidi waweza kuvurugwa
@laurianmodest737226 күн бұрын
Unaongea pumba tu. CCM haijashindwa kitu unapayuka çhini ya serikali ya chama cha mapinduzi. Uhuru ulio nao wa kuongea, kupinga kelele ni Kwa sababu ccm imesimamia amani na utulivu ungekuwa DRC ungepayuka hivyo
@clemencelisonga8261
26 күн бұрын
Ulishawahi fika kongo au umekariri unafikiri wakongo wako kama Tz
@JustinMbilinyi-vz8ud
26 күн бұрын
Makuzi
@donaldmaziku7915
26 күн бұрын
Wewe unaona ccm ndiyo inakusadia sawa, na anayeona haimsaidii pia yuko sawa. Kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake
@godfreymushi6966
26 күн бұрын
We fair and open electiona mkuu uone kama.chi chi eem inapendwa au la simply nad clear acha hasira
@januarysungura8119
25 күн бұрын
kama unadhani nchi huu kuna amani basi aliyekufundisha juu ya tafsiri ya amani alikosea ana au hukumwelewa kwa sababu ya uwezo wako mdogo. Undhani mtu mwenye njaa anapata wapi amani? vipi mtu mwenye tozo lundo na kila aina ya kodi kuzidi hata za mkoloni anapata wapi amani? usione kobe kainama ,ipo siku tutawafundisha tafsiri ya ukimya na amani.
Пікірлер: 96
❤❤❤❤❤ ccm wametuludisha nyuma sana biashara ya utumwan kununua watu
Safi kabisa Makamanda 👍🏽
Safi sana, hatutaki Malaya Malaya wa siasa
Pamoja sana kiongez
Safi sana wasaliti wote waondoke hongereni kibamba
rushwa ikiisha nchini CCM.itakufa na pia CCM ikifa rushwa itaisha nchini Tanzania
@gaagwasaugustino2584
25 күн бұрын
Huo ndiyo ukweli ndugu!
@ndogoroedson199
2 күн бұрын
Huu ni usenge wenu! Mtu akienda ccm amenunuliwa na akija chadema amependa mwenyewe! Mjinga mkubwa ww! Na msigwa je! Mpumbavu mmoja ww. Huna akili kabisa basi hata ww utanunuliwa
kazi nzuri
Safi makamanda akafanye biashara nje ya chama
@mathewtesha3139
24 күн бұрын
Safi sana
Safi
HII NCHI NI HATARI SANA SIJUI NI LINI TUTAKUJA KUPATA VIONGOZI WAZALENDO WENYE NIA YA DHATI YA KUWATUMIKIA WANANCHI BILA TAMAA YA RUSHWA NA KURUBUNIWA😢😢 VERY SAD😔 😔 "
Kwenye msafara wa mamba na kenge wao
Nasikia ni za DPW lakini sasa hivi watu wote wameamuka😊
Wasaliti wote kimbiza,iundwe "Oparesheni tokomeza wasaliti wote"
Wajue nje ya chadema hawana thamani tena. Wapuuzi wakubwa
Vyama Kama vilabu vya mpira kilabu kikiona kunamchezajizuri co mbaya kununuliwa ,ila watengeneze tu mfumo wakununua nakuuza co mbaya ndg zangu chadema kina hazina kubwa Sana ya viongozi makini kiendelee tu kuzalisha ,ccm na vyama vingine wakalinisheni tu wake wanunue viongozi makini kutoka chama shupavu m4c
Safi sana
Na bado!!! mtaisoma namba mpaka chini juu
Viongozi msiwe na viongozi wasio na tamaa wenye njaa hamwezi kudanganya mtu wapige kura wawanue tu acheni njaa jaman mpaka wazee ni hatari, je najiuliza chama kinachonunua watu ni hatari kuingiza watu ambao si sahihi. Asante san a
Safii sana
@deogratiusmaila676
26 күн бұрын
Very Good
Safisha kengewote,na vinyonga ndani ya chama
Asante sana kiongozi timua timua iendelee sehemu zote. Hizo pesa wameiba wapi.
Upendo na mwenzake silinde walinunuliwa jumla jumla na ccm!! ni tabia umalaya malaya wa siasa
@ndogoroedson199
2 күн бұрын
Ww unasubili nn?
Hao wanachukua rushwa fukuza na ccm atakajifanya amekuja chadema akae benchi maana wanatumwa kutuvuruga mitego Yao awamu hii watakalia kuti kavu
Sisiemu ni adui wa demokrasia ya nchi yetu, TAKUKURU najiuliza huwa hawayaoni haya kwann wanayafumbia macho tu..
@deogratiusmaila676
26 күн бұрын
Kesi ya nyani mpelekee gedere😁😁😁😁
@januarysungura8119
25 күн бұрын
takukuru ndio ccm ,we huoni ya CAG nini wamekifanyia kazi.CCM wanatuchezea sana nchii hii na ukiwafuatilia ni walewale wachache ndio wanaotusumbua wakigawana vyeo kama mavazi.
@ndogoroedson199
2 күн бұрын
Chadema mna demokrasia gan? Mbowe miaka 20 madarakani
Mzeee anakuwa malaya malaya aende akafie mbele
Welldone
Mtu anayenunulika SI Kiongozi halisi,hata Kama angekuwa na ushawishi kiasi gn, ni sawa na mke anayeweza kuchukuliwa na Mwanaume yeyote mwenye Pesa Hali ya kuwa ameolewa.huwezi kusema huyo mke ni mzr au Bora. Vyama vya Siasa Lzma mjifunze kuchuja Viongozi. Kufaulu ktk Harakati za Ukombozi kunategemea Viongozi Imara waaminifu ambao hawanunuliki.
Yaaani ni sawa na kuuza utu wako
Ukisoma comment za watu wengine unsgundua nchi yetu ina matahaira mengi sana
Mngemchapa viboko
Safi sana ayede akakaye na wajinga
@ndogoroedson199
2 күн бұрын
We ndyo mjinga hujui hata kuandika
Kiongozi WA staili hiyo hafai nibora wabaki hata wachache walio sahihi
Safi sana mtu anafukuzwa yupo hapohapo
Huwezi toka upinzani uwende ccm ueshimike kwa watanzania ni kwenda kujiuwa kisasa ktk chama tawala
@dionismutayoba3542
26 күн бұрын
Hamna lolote unaongea pumba,Katambi,Silinde,Naibu waziri wa Afya,Ntatilo Kitira Mkumbo nk.Unataka heshima ipi kama hao wachache waliotoka upinzani wana nafasi nyeti serikalini?Tafakari hoja yako
@nelsonshillah6618
25 күн бұрын
@@dionismutayoba3542hajasema hupati cheo ccm
@Kwelihukuwekahuru
24 күн бұрын
@@dionismutayoba3542 lakini hawana heshima kwa wananchi hilo ndilo tunalosemea na wote hawana hoja za mashiko kwani Mungu hapendi wizi wa kura na usaliti Biblia inasema kura huondoa mashindano na hukomesha watawala
@leahmgunda4154
21 күн бұрын
Achana na hilo kubwa Jinga.
Wanapata wapi pes?. Luzuku yao unaijua ni bei gan kila mwezi? Sema lingine lakin pesa hipo.
Fukuza kunguru hao
Good Good 👍
Safi saaaanaaaa na majimbo mengine yafuate nyayo
Ongea seraaa wananunuliwa wana njaa mtawapa nini ??
Mbona huyo mzee haonyeshwi
Ivi uwa HAMUEZI KUONGEA BILA KUPAYUKAA? APO TU NDO UWA ATUPATAG JIBU....
Aende huyo akale ccm yake
Binadamu unanunulika umekuwa mfugo? Hii ni aibu sana
@jovitadaniel7161
20 күн бұрын
Ndugu usishangae maana hawa wanaonunuliwa ni nyumbu wa serengeti bora hata mfugo!
Mnanunuliwa nyie mmekuwa mizigo ? Nyie wenyewe mnajiuza! Kawaida ya mashoga ni kuuzwauzwa! Sasa mjiulize kuna nini chadema?
Duh
Upendo hajanunuliwa kaenda CCM kwa njaa yake
@joshuaswai8203
25 күн бұрын
Upendo naye ni mlafi wa pesa za ccm eti hajanunuliwa uongo
Takukuru mkowap
Vp na yule papa anaewahadaa anaekulaga kurosho,ambae ni kada wao alie jificha Chadema
Jamani kumbukeni sum haiuwi malambili wascheni
Msigwa mmefanya nini?
Kwa hiyo akina Zito Kabwe na Said Kubenea walipohama chadema na kwenda ACT wazelendo nao walinunuliwa pia?
@jovitadaniel7161
20 күн бұрын
Wale walihama hawakununuliwa maana nchi hii mnunuzi ni mmoja tu!
😂😂😂
Afadhali nyie mnamaamuzi lakini hapa Jimbo la Bunda mjini kuna viongozi wa Jimbo karibu 95% wanamuunga mkono Mbunge wa zamani aliyefukuzwa uanachama na kamati kuu ya Chama cha Chadema . Wanaendelea kuwaaminisha wanachama na wananchi wa Jimbo kuwa Mbunge huyo anarudi kugombea kwa tiketi ya Chadema. Nashindwa kuelewa hivi uongozi wa juu hawajui upotoshaji huu? Mbona hawachukui hatua?
Kama kweli kauli inayotoka kwa kada huyu wa Chadema ni sahihi kwamba wana-Chadema wananunuliwa na CCM, je wao CCM hawauziki na kununuliwa nchi za nje ?
@januarysungura8119
25 күн бұрын
wewe unaweza kununua mali feki huku ukiwa unaijua?
Hata hawo wanaonunuliwa ndiyo wajinga sana Tena hawafaii kabisa
Jamaa mbona unavuta kamba sana.aisee nenda kwenye point
Unajitambulisha sana nenda kwenye point
Huoni akina tundu na mboww hawaongeii nyamazaa wewee
Haifi mbona Mbona Kanda ya Nyasa rushwa ilitawala kumtoa Msigwa abaki Sugu ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati wanachama wamemchoka
Chadema kwani nichams chakutetea wananchi au nigenge lawahuni wameungana kwa maslahi yao .mfano huu chadema wamepewa ruzuku ya bilioni2.7 za wabunge wa viti maalumu huku wanadai viongozi wachadema kuwa wabunge waviti maalumu sihalali ila ruzuku au pesa nihalali ..
@hassangasaba4565
26 күн бұрын
Wamepewa lwasababu wanambunge mmoja.
@dionismutayoba3542
26 күн бұрын
Haki yao sio hisani Sena lingine
@Kwelihukuwekahuru
26 күн бұрын
Clemence ruzuku haitolewi kwa wabunge wa viti maalum bali mbunge aliyepata kura za wananchi na idadi ya kura za urais wabunge wa viti maalumu hupatikana kwa idadi ya wabunge waliopata kura za kwenye sanduku ukiangalia idadi ya wale wanaosemekana ni wa viti maalumu 19 ni wengi kuliko ambavyo ilitakiwa iwe kwani chadema wana mbunge mmoja tu
@januarysungura8119
25 күн бұрын
alafu kama hujui kitu bora utulie na hawa ndio wana ccm uelewa mdogo ndio maana nchi inadidimia.
Kwani nyie hamuwanunui nyie Wasaka Tonge
Genge la wauni mwambieni lisu akalee wajukuu kura no 2025
@januarysungura8119
25 күн бұрын
wee mchumia tumbo tupishe
Kuna problem la "communication skills" kwa kiongozi kamanda huyu. Maneno mengi yasiyo address hoja kuu. Mfano, umeitisha PC Ili kumfuta uanachama mwanachama kwa kosa la usaliti na rushwa. Tulitegemea kabla ya kutangaza kumfuta uanachama huyo mzee, ueleze amepokea rushwa gani? fedha? Kama ni pesa, shilingi ngapi? Kutoka kwa nani na wapi? Ni ushahidi gani unahalalisha adhabu yake hata kumtangaza mwenzenu kuwa ni mla rushwa na msaliti? Lakini wewe kamanda hapa ulikuwa unalalama tu na maneno mengi yasiyo ktk mpangilio kiasi cha watazamaji kutopata picha kamili ya tukio zima
@Kwelihukuwekahuru
24 күн бұрын
Hayo ni kazi ya TAKUKURU na mahakama hawa wametoa taarifa kama hajapokea rushwa anaweza kukanusha au ashtaki kwa kudhalilishwa huwezi kuongea kila kitu huko mbele kwenye sheria utashindwa kwani ushahidi waweza kuvurugwa
Unaongea pumba tu. CCM haijashindwa kitu unapayuka çhini ya serikali ya chama cha mapinduzi. Uhuru ulio nao wa kuongea, kupinga kelele ni Kwa sababu ccm imesimamia amani na utulivu ungekuwa DRC ungepayuka hivyo
@clemencelisonga8261
26 күн бұрын
Ulishawahi fika kongo au umekariri unafikiri wakongo wako kama Tz
@JustinMbilinyi-vz8ud
26 күн бұрын
Makuzi
@donaldmaziku7915
26 күн бұрын
Wewe unaona ccm ndiyo inakusadia sawa, na anayeona haimsaidii pia yuko sawa. Kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake
@godfreymushi6966
26 күн бұрын
We fair and open electiona mkuu uone kama.chi chi eem inapendwa au la simply nad clear acha hasira
@januarysungura8119
25 күн бұрын
kama unadhani nchi huu kuna amani basi aliyekufundisha juu ya tafsiri ya amani alikosea ana au hukumwelewa kwa sababu ya uwezo wako mdogo. Undhani mtu mwenye njaa anapata wapi amani? vipi mtu mwenye tozo lundo na kila aina ya kodi kuzidi hata za mkoloni anapata wapi amani? usione kobe kainama ,ipo siku tutawafundisha tafsiri ya ukimya na amani.
Safi sana
Safi
Kujitetea kila leo