CHADEMA YAMDAKA KIONGOZI ALIYENUNULIKA NA CCM, KAMATI YAKAA, WAMTIMUWA ASUBUHI KWEUPE

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 96

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho25 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤ ccm wametuludisha nyuma sana biashara ya utumwan kununua watu

  • @JesuinaBabili
    @JesuinaBabili26 күн бұрын

    Safi kabisa Makamanda 👍🏽

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala702326 күн бұрын

    Safi sana, hatutaki Malaya Malaya wa siasa

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f26 күн бұрын

    Pamoja sana kiongez

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki757826 күн бұрын

    Safi sana wasaliti wote waondoke hongereni kibamba

  • @Enugundani8299
    @Enugundani829926 күн бұрын

    rushwa ikiisha nchini CCM.itakufa na pia CCM ikifa rushwa itaisha nchini Tanzania

  • @gaagwasaugustino2584

    @gaagwasaugustino2584

    25 күн бұрын

    Huo ndiyo ukweli ndugu!

  • @ndogoroedson199

    @ndogoroedson199

    2 күн бұрын

    Huu ni usenge wenu! Mtu akienda ccm amenunuliwa na akija chadema amependa mwenyewe! Mjinga mkubwa ww! Na msigwa je! Mpumbavu mmoja ww. Huna akili kabisa basi hata ww utanunuliwa

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga659126 күн бұрын

    kazi nzuri

  • @peterfedrick6459
    @peterfedrick645926 күн бұрын

    Safi makamanda akafanye biashara nje ya chama

  • @mathewtesha3139

    @mathewtesha3139

    24 күн бұрын

    Safi sana

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga388426 күн бұрын

    Safi

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances26 күн бұрын

    HII NCHI NI HATARI SANA SIJUI NI LINI TUTAKUJA KUPATA VIONGOZI WAZALENDO WENYE NIA YA DHATI YA KUWATUMIKIA WANANCHI BILA TAMAA YA RUSHWA NA KURUBUNIWA😢😢 VERY SAD😔 😔 "

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka120626 күн бұрын

    Kwenye msafara wa mamba na kenge wao

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza26 күн бұрын

    Nasikia ni za DPW lakini sasa hivi watu wote wameamuka😊

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile323426 күн бұрын

    Wasaliti wote kimbiza,iundwe "Oparesheni tokomeza wasaliti wote"

  • @josephmantago2837
    @josephmantago283726 күн бұрын

    Wajue nje ya chadema hawana thamani tena. Wapuuzi wakubwa

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida137826 күн бұрын

    Vyama Kama vilabu vya mpira kilabu kikiona kunamchezajizuri co mbaya kununuliwa ,ila watengeneze tu mfumo wakununua nakuuza co mbaya ndg zangu chadema kina hazina kubwa Sana ya viongozi makini kiendelee tu kuzalisha ,ccm na vyama vingine wakalinisheni tu wake wanunue viongozi makini kutoka chama shupavu m4c

  • @gabrielnjiapanda3710
    @gabrielnjiapanda371024 күн бұрын

    Safi sana

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma327626 күн бұрын

    Na bado!!! mtaisoma namba mpaka chini juu

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi2 күн бұрын

    Viongozi msiwe na viongozi wasio na tamaa wenye njaa hamwezi kudanganya mtu wapige kura wawanue tu acheni njaa jaman mpaka wazee ni hatari, je najiuliza chama kinachonunua watu ni hatari kuingiza watu ambao si sahihi. Asante san a

  • @iddynjonjo
    @iddynjonjo26 күн бұрын

    Safii sana

  • @deogratiusmaila676

    @deogratiusmaila676

    26 күн бұрын

    Very Good

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola26 күн бұрын

    Safisha kengewote,na vinyonga ndani ya chama

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza26 күн бұрын

    Asante sana kiongozi timua timua iendelee sehemu zote. Hizo pesa wameiba wapi.

  • @gallegalleson4427
    @gallegalleson442726 күн бұрын

    Upendo na mwenzake silinde walinunuliwa jumla jumla na ccm!! ni tabia umalaya malaya wa siasa

  • @ndogoroedson199

    @ndogoroedson199

    2 күн бұрын

    Ww unasubili nn?

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq26 күн бұрын

    Hao wanachukua rushwa fukuza na ccm atakajifanya amekuja chadema akae benchi maana wanatumwa kutuvuruga mitego Yao awamu hii watakalia kuti kavu

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi860326 күн бұрын

    Sisiemu ni adui wa demokrasia ya nchi yetu, TAKUKURU najiuliza huwa hawayaoni haya kwann wanayafumbia macho tu..

  • @deogratiusmaila676

    @deogratiusmaila676

    26 күн бұрын

    Kesi ya nyani mpelekee gedere😁😁😁😁

  • @januarysungura8119

    @januarysungura8119

    25 күн бұрын

    takukuru ndio ccm ,we huoni ya CAG nini wamekifanyia kazi.CCM wanatuchezea sana nchii hii na ukiwafuatilia ni walewale wachache ndio wanaotusumbua wakigawana vyeo kama mavazi.

  • @ndogoroedson199

    @ndogoroedson199

    2 күн бұрын

    Chadema mna demokrasia gan? Mbowe miaka 20 madarakani

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d26 күн бұрын

    Mzeee anakuwa malaya malaya aende akafie mbele

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal309726 күн бұрын

    Welldone

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es26 күн бұрын

    Mtu anayenunulika SI Kiongozi halisi,hata Kama angekuwa na ushawishi kiasi gn, ni sawa na mke anayeweza kuchukuliwa na Mwanaume yeyote mwenye Pesa Hali ya kuwa ameolewa.huwezi kusema huyo mke ni mzr au Bora. Vyama vya Siasa Lzma mjifunze kuchuja Viongozi. Kufaulu ktk Harakati za Ukombozi kunategemea Viongozi Imara waaminifu ambao hawanunuliki.

  • @LastonKatwanga
    @LastonKatwanga26 күн бұрын

    Yaaani ni sawa na kuuza utu wako

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r26 күн бұрын

    Ukisoma comment za watu wengine unsgundua nchi yetu ina matahaira mengi sana

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku26 күн бұрын

    Mngemchapa viboko

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke26 күн бұрын

    Safi sana ayede akakaye na wajinga

  • @ndogoroedson199

    @ndogoroedson199

    2 күн бұрын

    We ndyo mjinga hujui hata kuandika

  • @RespichTryphone
    @RespichTryphone4 күн бұрын

    Kiongozi WA staili hiyo hafai nibora wabaki hata wachache walio sahihi

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi141625 күн бұрын

    Safi sana mtu anafukuzwa yupo hapohapo

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131926 күн бұрын

    Huwezi toka upinzani uwende ccm ueshimike kwa watanzania ni kwenda kujiuwa kisasa ktk chama tawala

  • @dionismutayoba3542

    @dionismutayoba3542

    26 күн бұрын

    Hamna lolote unaongea pumba,Katambi,Silinde,Naibu waziri wa Afya,Ntatilo Kitira Mkumbo nk.Unataka heshima ipi kama hao wachache waliotoka upinzani wana nafasi nyeti serikalini?Tafakari hoja yako

  • @nelsonshillah6618

    @nelsonshillah6618

    25 күн бұрын

    ​@@dionismutayoba3542hajasema hupati cheo ccm

  • @Kwelihukuwekahuru

    @Kwelihukuwekahuru

    24 күн бұрын

    @@dionismutayoba3542 lakini hawana heshima kwa wananchi hilo ndilo tunalosemea na wote hawana hoja za mashiko kwani Mungu hapendi wizi wa kura na usaliti Biblia inasema kura huondoa mashindano na hukomesha watawala

  • @leahmgunda4154

    @leahmgunda4154

    21 күн бұрын

    Achana na hilo kubwa Jinga.

  • @beinafuu6219
    @beinafuu621926 күн бұрын

    Wanapata wapi pes?. Luzuku yao unaijua ni bei gan kila mwezi? Sema lingine lakin pesa hipo.

  • @VITUSPROTUS-wh4mn
    @VITUSPROTUS-wh4mn26 күн бұрын

    Fukuza kunguru hao

  • @VITUSPROTUS-wh4mn
    @VITUSPROTUS-wh4mn26 күн бұрын

    Good Good 👍

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana865426 күн бұрын

    Safi saaaanaaaa na majimbo mengine yafuate nyayo

  • @paulmabena5684
    @paulmabena568423 күн бұрын

    Ongea seraaa wananunuliwa wana njaa mtawapa nini ??

  • @nelsonshillah6618
    @nelsonshillah661825 күн бұрын

    Mbona huyo mzee haonyeshwi

  • @sifamushi1747
    @sifamushi174717 күн бұрын

    Ivi uwa HAMUEZI KUONGEA BILA KUPAYUKAA? APO TU NDO UWA ATUPATAG JIBU....

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe3 күн бұрын

    Aende huyo akale ccm yake

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r26 күн бұрын

    Binadamu unanunulika umekuwa mfugo? Hii ni aibu sana

  • @jovitadaniel7161

    @jovitadaniel7161

    20 күн бұрын

    Ndugu usishangae maana hawa wanaonunuliwa ni nyumbu wa serengeti bora hata mfugo!

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si23 күн бұрын

    Mnanunuliwa nyie mmekuwa mizigo ? Nyie wenyewe mnajiuza! Kawaida ya mashoga ni kuuzwauzwa! Sasa mjiulize kuna nini chadema?

  • @MosesMnyantope-zw4ed
    @MosesMnyantope-zw4ed26 күн бұрын

    Duh

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza48226 күн бұрын

    Upendo hajanunuliwa kaenda CCM kwa njaa yake

  • @joshuaswai8203

    @joshuaswai8203

    25 күн бұрын

    Upendo naye ni mlafi wa pesa za ccm eti hajanunuliwa uongo

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct25 күн бұрын

    Takukuru mkowap

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg26 күн бұрын

    Vp na yule papa anaewahadaa anaekulaga kurosho,ambae ni kada wao alie jificha Chadema

  • @ErastoHumbo
    @ErastoHumbo26 күн бұрын

    Jamani kumbukeni sum haiuwi malambili wascheni

  • @moseskusamba431
    @moseskusamba43126 күн бұрын

    Msigwa mmefanya nini?

  • @samsonmwijage1869
    @samsonmwijage186926 күн бұрын

    Kwa hiyo akina Zito Kabwe na Said Kubenea walipohama chadema na kwenda ACT wazelendo nao walinunuliwa pia?

  • @jovitadaniel7161

    @jovitadaniel7161

    20 күн бұрын

    Wale walihama hawakununuliwa maana nchi hii mnunuzi ni mmoja tu!

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory354026 күн бұрын

    😂😂😂

  • @alliancemugane1589
    @alliancemugane158925 күн бұрын

    Afadhali nyie mnamaamuzi lakini hapa Jimbo la Bunda mjini kuna viongozi wa Jimbo karibu 95% wanamuunga mkono Mbunge wa zamani aliyefukuzwa uanachama na kamati kuu ya Chama cha Chadema . Wanaendelea kuwaaminisha wanachama na wananchi wa Jimbo kuwa Mbunge huyo anarudi kugombea kwa tiketi ya Chadema. Nashindwa kuelewa hivi uongozi wa juu hawajui upotoshaji huu? Mbona hawachukui hatua?

  • @severinimkini4116
    @severinimkini411626 күн бұрын

    Kama kweli kauli inayotoka kwa kada huyu wa Chadema ni sahihi kwamba wana-Chadema wananunuliwa na CCM, je wao CCM hawauziki na kununuliwa nchi za nje ?

  • @januarysungura8119

    @januarysungura8119

    25 күн бұрын

    wewe unaweza kununua mali feki huku ukiwa unaijua?

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur26 күн бұрын

    Hata hawo wanaonunuliwa ndiyo wajinga sana Tena hawafaii kabisa

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem95926 күн бұрын

    Jamaa mbona unavuta kamba sana.aisee nenda kwenye point

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa913126 күн бұрын

    Unajitambulisha sana nenda kwenye point

  • @paulmabena5684
    @paulmabena568423 күн бұрын

    Huoni akina tundu na mboww hawaongeii nyamazaa wewee

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743826 күн бұрын

    Haifi mbona Mbona Kanda ya Nyasa rushwa ilitawala kumtoa Msigwa abaki Sugu ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati wanachama wamemchoka

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya856126 күн бұрын

    Chadema kwani nichams chakutetea wananchi au nigenge lawahuni wameungana kwa maslahi yao .mfano huu chadema wamepewa ruzuku ya bilioni2.7 za wabunge wa viti maalumu huku wanadai viongozi wachadema kuwa wabunge waviti maalumu sihalali ila ruzuku au pesa nihalali ..

  • @hassangasaba4565

    @hassangasaba4565

    26 күн бұрын

    Wamepewa lwasababu wanambunge mmoja.

  • @dionismutayoba3542

    @dionismutayoba3542

    26 күн бұрын

    Haki yao sio hisani Sena lingine

  • @Kwelihukuwekahuru

    @Kwelihukuwekahuru

    26 күн бұрын

    Clemence ruzuku haitolewi kwa wabunge wa viti maalum bali mbunge aliyepata kura za wananchi na idadi ya kura za urais wabunge wa viti maalumu hupatikana kwa idadi ya wabunge waliopata kura za kwenye sanduku ukiangalia idadi ya wale wanaosemekana ni wa viti maalumu 19 ni wengi kuliko ambavyo ilitakiwa iwe kwani chadema wana mbunge mmoja tu

  • @januarysungura8119

    @januarysungura8119

    25 күн бұрын

    alafu kama hujui kitu bora utulie na hawa ndio wana ccm uelewa mdogo ndio maana nchi inadidimia.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743826 күн бұрын

    Kwani nyie hamuwanunui nyie Wasaka Tonge

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki26 күн бұрын

    Genge la wauni mwambieni lisu akalee wajukuu kura no 2025

  • @januarysungura8119

    @januarysungura8119

    25 күн бұрын

    wee mchumia tumbo tupishe

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain26 күн бұрын

    Kuna problem la "communication skills" kwa kiongozi kamanda huyu. Maneno mengi yasiyo address hoja kuu. Mfano, umeitisha PC Ili kumfuta uanachama mwanachama kwa kosa la usaliti na rushwa. Tulitegemea kabla ya kutangaza kumfuta uanachama huyo mzee, ueleze amepokea rushwa gani? fedha? Kama ni pesa, shilingi ngapi? Kutoka kwa nani na wapi? Ni ushahidi gani unahalalisha adhabu yake hata kumtangaza mwenzenu kuwa ni mla rushwa na msaliti? Lakini wewe kamanda hapa ulikuwa unalalama tu na maneno mengi yasiyo ktk mpangilio kiasi cha watazamaji kutopata picha kamili ya tukio zima

  • @Kwelihukuwekahuru

    @Kwelihukuwekahuru

    24 күн бұрын

    Hayo ni kazi ya TAKUKURU na mahakama hawa wametoa taarifa kama hajapokea rushwa anaweza kukanusha au ashtaki kwa kudhalilishwa huwezi kuongea kila kitu huko mbele kwenye sheria utashindwa kwani ushahidi waweza kuvurugwa

  • @laurianmodest7372
    @laurianmodest737226 күн бұрын

    Unaongea pumba tu. CCM haijashindwa kitu unapayuka çhini ya serikali ya chama cha mapinduzi. Uhuru ulio nao wa kuongea, kupinga kelele ni Kwa sababu ccm imesimamia amani na utulivu ungekuwa DRC ungepayuka hivyo

  • @clemencelisonga8261

    @clemencelisonga8261

    26 күн бұрын

    Ulishawahi fika kongo au umekariri unafikiri wakongo wako kama Tz

  • @JustinMbilinyi-vz8ud

    @JustinMbilinyi-vz8ud

    26 күн бұрын

    Makuzi

  • @donaldmaziku7915

    @donaldmaziku7915

    26 күн бұрын

    Wewe unaona ccm ndiyo inakusadia sawa, na anayeona haimsaidii pia yuko sawa. Kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake

  • @godfreymushi6966

    @godfreymushi6966

    26 күн бұрын

    We fair and open electiona mkuu uone kama.chi chi eem inapendwa au la simply nad clear acha hasira

  • @januarysungura8119

    @januarysungura8119

    25 күн бұрын

    kama unadhani nchi huu kuna amani basi aliyekufundisha juu ya tafsiri ya amani alikosea ana au hukumwelewa kwa sababu ya uwezo wako mdogo. Undhani mtu mwenye njaa anapata wapi amani? vipi mtu mwenye tozo lundo na kila aina ya kodi kuzidi hata za mkoloni anapata wapi amani? usione kobe kainama ,ipo siku tutawafundisha tafsiri ya ukimya na amani.

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge785025 күн бұрын

    Safi sana

  • @karushakamusa5525
    @karushakamusa552526 күн бұрын

    Safi

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji892324 күн бұрын

    Kujitetea kila leo

Келесі