MWAKAJOKA,MDUDE,HAONGA,MWALUSANYA,MCHUNGAJI MWASHITETE NA VIONGOZI WENGINE WA CHADEMA WAAPA....
SIASA NI MAISHA MSIKUBALI MTU ACHEZE NA MAISHA YENU
Жүктеу.....
Пікірлер: 13
@saimonisichimata855913 күн бұрын
Chadema moja hiyo✌️✌️✌️✌️✌️✌️
@usembiphonedar563213 күн бұрын
Asante wananchi kwa kuitikia wito kuhudhuria mikutano ya chadema kusikiliza elimu na sera bora. Chadema ni chama kinachohubiri haki,hivyo Mungu husimama katika haki! Ikatae ccm uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa mitaa,vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi.
@francissimwinga-gb2vd6 күн бұрын
Chadema inamajembe
@mariaanthoniangowi937613 күн бұрын
Pambaneni wanaume tunawaaminia
@PaskaliBaha13 күн бұрын
✌️✌️✌️
@aronimanirakiza565511 күн бұрын
Misuse. Niagara Lisu. Joni. Ache. Rena Nguni. Mungu awarinde
@danielkanso13 күн бұрын
Safi cdm mnaeleweka
@IbrahimKasambala-ts8re13 күн бұрын
Jamani chadema tukaze but achana na habari ya msigwa kajimaliza mwenyew kisiasa
@abdalahgunda131913 күн бұрын
Mikakati ya kuwatengeza watanzania kisaikojia kuwa sasahivi ni kuakikisha kwenda kumtetea kiongozi aliochanguliwia uchaguzi ni kuitisha maandamano atakae kataa huko kumuazibu hakuna duka wala soko kufunguliwa kwenda wote msatsri wa mbele kubishana kwa mawe iwe popte pa le mwizi wa kura ni mwizi km mwezi mwingine
@abdalahgunda13194 күн бұрын
Kunakitu mnasahau. Ccm haina shida na wana siasa ccm lnashida na mfumo wa zamani wa kisiasa msigwA sio sulisho ndani ya ccm kwakua ccm lnawasomi wenye phd na level zingine za elimu ambayo wana elimu kubwa na wenye nguvu ktk ccm kuliko msigwA lakini hawa sauti ndani ya ccm
@FrankMwakatundu-cu6bd13 күн бұрын
VYAWA HOYEEE NINAWAONA WANA WA VYAWA WANA MAGEUZI. LEO NIMEKUSIKIA KUMBE WEWE NI MWAMBA, CHADEMA INA HAZINA YA VIONGOZI.
@FrankMwakatundu-cu6bd13 күн бұрын
LEO NIMWKUSIKIA MH. FRANK MWAKAJOKA KUMBE WEWE NI MWAMBA KWELI KWELI, CHADEMA HAKIKA IMEJAA HAZINA YA VIONGOZI BORA NI MATUNDA YA SIASA SAFI ZA MH. MBOWE M/ KITI CHADEMA TAIFA. MH. MBOWE NITAMKUMBUKA DAIMA KAMA MMOJA WA WANA SIASA BORA DUNIANI!!!
Пікірлер: 13
Chadema moja hiyo✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Asante wananchi kwa kuitikia wito kuhudhuria mikutano ya chadema kusikiliza elimu na sera bora. Chadema ni chama kinachohubiri haki,hivyo Mungu husimama katika haki! Ikatae ccm uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa mitaa,vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi.
Chadema inamajembe
Pambaneni wanaume tunawaaminia
✌️✌️✌️
Misuse. Niagara Lisu. Joni. Ache. Rena Nguni. Mungu awarinde
Safi cdm mnaeleweka
Jamani chadema tukaze but achana na habari ya msigwa kajimaliza mwenyew kisiasa
Mikakati ya kuwatengeza watanzania kisaikojia kuwa sasahivi ni kuakikisha kwenda kumtetea kiongozi aliochanguliwia uchaguzi ni kuitisha maandamano atakae kataa huko kumuazibu hakuna duka wala soko kufunguliwa kwenda wote msatsri wa mbele kubishana kwa mawe iwe popte pa le mwizi wa kura ni mwizi km mwezi mwingine
Kunakitu mnasahau. Ccm haina shida na wana siasa ccm lnashida na mfumo wa zamani wa kisiasa msigwA sio sulisho ndani ya ccm kwakua ccm lnawasomi wenye phd na level zingine za elimu ambayo wana elimu kubwa na wenye nguvu ktk ccm kuliko msigwA lakini hawa sauti ndani ya ccm
VYAWA HOYEEE NINAWAONA WANA WA VYAWA WANA MAGEUZI. LEO NIMEKUSIKIA KUMBE WEWE NI MWAMBA, CHADEMA INA HAZINA YA VIONGOZI.
LEO NIMWKUSIKIA MH. FRANK MWAKAJOKA KUMBE WEWE NI MWAMBA KWELI KWELI, CHADEMA HAKIKA IMEJAA HAZINA YA VIONGOZI BORA NI MATUNDA YA SIASA SAFI ZA MH. MBOWE M/ KITI CHADEMA TAIFA. MH. MBOWE NITAMKUMBUKA DAIMA KAMA MMOJA WA WANA SIASA BORA DUNIANI!!!