Lema Amshukia Mkurugenzi wa Babati Baada ya Kutaka Kuzuia Helikopta ya CHADEMA Kutua.

Amezungumza haya kwenye mkutano wa hadhara wa CHADEMA uliyofanyika leo Jumamosi Juni 28, 2024 mjini Babati mkoa wa Manyara ni katika ziara ya chama hicho ya nchi nzima.

Пікірлер: 12

  • @RobertMaffa
    @RobertMaffa10 күн бұрын

    Hongera chadema.

  • @user-cz5sd6ys8i
    @user-cz5sd6ys8i10 күн бұрын

    Big up San mh lema,

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok10 күн бұрын

    Wewe ni kichws kabisa yasn tunawahitaji akina Lema kama kumi tu nchi hii

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko58039 күн бұрын

    HEKO VIONGOZI HEKO WANANCHI ❤

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku10 күн бұрын

    Huyo naye mkurugenzi ovyo,au chadema mlitaka helkopta itue kichwani mwake,Lema punguza matusi husitue vyumbani mwa watu.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko58039 күн бұрын

    Big BRAIN

  • @williamnyakasi2323
    @williamnyakasi232310 күн бұрын

    Tatizo letu Elimu hatuna

  • @josephbundala1475
    @josephbundala14759 күн бұрын

    Waisrael au waarabu!! Hao ndio mtakaowaleta mkitawala?

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps10 күн бұрын

    Acha matusi toa sababu

  • @josephbundala1475
    @josephbundala14759 күн бұрын

    Unaongea kihuni kabisa!!!

  • @josephbundala1475
    @josephbundala14759 күн бұрын

    Unatukana sasa hivi, ukipata madaraka si utatuona nyani. Hopless meeting addressing. Tell us what your CHADEMA is going to do for Tanzanians.

  • @erestizacharia4758

    @erestizacharia4758

    9 күн бұрын

    Kwanini mlikuwa mnawanyima uwanja chadema, wao sio watanzania?

Келесі