Lema Amshukia Mkurugenzi wa Babati Baada ya Kutaka Kuzuia Helikopta ya CHADEMA Kutua.
Amezungumza haya kwenye mkutano wa hadhara wa CHADEMA uliyofanyika leo Jumamosi Juni 28, 2024 mjini Babati mkoa wa Manyara ni katika ziara ya chama hicho ya nchi nzima.
Пікірлер: 12
Hongera chadema.
Big up San mh lema,
Wewe ni kichws kabisa yasn tunawahitaji akina Lema kama kumi tu nchi hii
HEKO VIONGOZI HEKO WANANCHI ❤
Huyo naye mkurugenzi ovyo,au chadema mlitaka helkopta itue kichwani mwake,Lema punguza matusi husitue vyumbani mwa watu.
Big BRAIN
Tatizo letu Elimu hatuna
Waisrael au waarabu!! Hao ndio mtakaowaleta mkitawala?
Acha matusi toa sababu
Unaongea kihuni kabisa!!!
Unatukana sasa hivi, ukipata madaraka si utatuona nyani. Hopless meeting addressing. Tell us what your CHADEMA is going to do for Tanzanians.
@erestizacharia4758
9 күн бұрын
Kwanini mlikuwa mnawanyima uwanja chadema, wao sio watanzania?