🔴LIVE: KIKUNDE MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA,

Ойын-сауық

Пікірлер: 12

  • @erestizacharia4758
    @erestizacharia475822 күн бұрын

    Big up chadema.

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka100822 күн бұрын

    Demonstration ya kumtambulisha Maimuna na kuomba radhi humility yako u mtu wa upekee ndivyo siasa uitaji, kujishusha....

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka100822 күн бұрын

    Uu niudhirisho tosha wewe Mwenyekiti taifa u mtu wa upekee katika siasa tanzania, akuna mtu kama wewe na wandamizi wako: Lissu, Peter Msigwa, Heche, Lema, sugu, John Mnyika, excellence MWALIMU salim etc...

  • @HenryCastuli-jz3cx

    @HenryCastuli-jz3cx

    22 күн бұрын

    Big up chadema

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq22 күн бұрын

    Awamu hii tutafanya maamuzi magum maana ugumu wa maisha unaosababishwa na Hawa jembe na nyundo utatupa ujasili

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka100822 күн бұрын

    Nani kama wewe kisiasa mwalimu wangu wa siasa?

  • @rogersiddy
    @rogersiddy22 күн бұрын

    Mtu wa Camera hujitambui kbs baada utumie fulsa ya kuwaonyesha watu walionyoosha mikoni kuashilia ccm hapiti bado unamchukua LEMA kweli kazi zinawenyewe😂😂

  • @jonathandulle8921

    @jonathandulle8921

    22 күн бұрын

    Hii ni technical, since watu hamna hapo ndomana cameraman hachukui

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga659122 күн бұрын

    haya bhana Lema😂

  • @JoseSimon-mt6oc
    @JoseSimon-mt6oc22 күн бұрын

    Nikweli kbsa mkuu ila kinacho niuma ni nikuhusu kodi ya aridhi nawakati ni mali pekee ya urithi wa mtanziania inakuaje alipie kodi ,maana halisi kuwa aridhi sio mali yetu ndomana tunalipia sasa urithi wetu upo wapi ? Tunapo lipa kodi ya aridhi au jengo inamaana sisi ni wapangaji ukweli hili waliangalie kwa umakin mkubwa hatawezi kuishi kama wapangaji nawakati ni mali yetu halal inakuaje tuilipie?

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar563222 күн бұрын

    Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Ccm imefika mwisho ife kama inavyoua vyama vingine na wengine!

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi22 күн бұрын

    👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

Келесі