Hatuwezi kukabizi fisi bucha kuuza nyama mtakula na panga
@PetroBaiskeli7 сағат бұрын
Umriwako huwezi kutoa historian ya mtu mzima Kama msigwa
@winifridasaidi15457 сағат бұрын
Sema kamanda umetupa ukweri.Nakupendaga buleee.mungu akuweke miaka mingi kama number za vocha
@ibrahimsalmin68847 сағат бұрын
Mkuki kwa nguruwe binadam unauma hamuoni mama samia anavyotukanwa na mtu wenu Tundu Lisu
@MlishoChomba8 сағат бұрын
Hakikà dada viva chadema viva🎉🎉🎉🎉
@NicholausZongo9 сағат бұрын
Sasa inatusaidia nn wewe mjinga..ata mume wako unaweza kutoa.
@user-hd3xm8bh8o9 сағат бұрын
Ni ukweli mtupu aliwahi kusema Halima Mdee na wenzake wameshindwa kuvumilia ndio maana wamekubali kudanganywa na CCM yeye awezi kudanganywa anauza mitumba tena ndio Kwanza anaenda kuuza nguo za grade kwa kweli uongo mbaya uyu sio mchungaji ni mnafiki wa kupindukia uyu ni kama ngurue anayekula matapishi yake.
@qonquererqanquerer17819 сағат бұрын
Masalamaki Kigaila Benson Nampenda Sana Huyu Kamanda
@AmosmJeremia-u9j9 сағат бұрын
Nimekueleww
@reubenmakalla7459 сағат бұрын
Yaani Msigwa kama Shetani tu. Anatamanibkuwa zaidi ya kila mtu. Shetani alitamani kuwa zaidi ya Mungu matokeo yake alianguka mwenyewe
@magaigwa420410 сағат бұрын
HAYA UNGEYASEMA WAKATI AKIWA CHADEMA YANGELETA MAANA, SASA HIVI NI UZUSHI TU.
@user-bq6jv2mh1e10 сағат бұрын
Ogopa MUNGU wewe mama unasema sana .Tunakujua sana.Huna hofu ya Mungu udingekuwa unasema.Nawewe Huna akiba ya maneno .ayo yote hayafai unaonekana una hasira sanaa. Naona mme wako hana shida sana .Dhu moto wa kuotea mbali. Mpaka unasema kwao ni masikini sana hilo nitusi.Awewe je umetoka kwa Royal kama mbowe .Ogopa Mungu .Ayo matusi.Utahaibika wewe mama Ahibu.
@oddoluambano221111 сағат бұрын
Siasa ndiyo ilivyo dada hata wewe ukiondoka huko utakuwa hivyo. Michango mnapeleka wapi ? Tena hazina kubwa sana
@oddoluambano221111 сағат бұрын
Ongea point wewe ndada, Msigwa yupo juu sana kuliko haya unayosema. Mpuuzi tu wewe Dada
@stephenurasa11 сағат бұрын
Alwaeys unaongea point dada
@elijahsomebody916412 сағат бұрын
Mbona anaongea kama Lisu?? Si aongee sauti yake??
@MonicaKaskaz13 сағат бұрын
Mwacheni Rais wetu
@MonicaKaskaz13 сағат бұрын
Hana sera
@EmmanuelSolile13 сағат бұрын
Waambie lissu
@MonicaKaskaz13 сағат бұрын
Nanyie hongeni,c mnahela za ruzuku mnazifanyia nini? Mwacheni mama yetu
@user-zm7kk1tr5l14 сағат бұрын
dada nakukubari sana😂😂😂😂
@IddyNjaluye16 сағат бұрын
Tundurisu umefirisika si kwa uongo uwo una sera
@ashuramuhammed325716 сағат бұрын
Wewe unamsema makufuli tu hem muache tz bado sana ingekua kenya kishaeleweka zamani lakin kwa siasa izo ccm haiondoki maisha
@user-lj7pu9js1d17 сағат бұрын
Na uchaguzi ujao atashinda kwa mbinu
@HulumaKisakali18 сағат бұрын
Alijua chadema kinamapungufu kwa nini agombe baada ya kushindwa ana bwanwaja Hana jipia kaishiwa sela
@user-ej8ue4dc5g20 сағат бұрын
Hayo unasema leo? Kama ndivyo alivyo na mlijua hayo tangu zamani,mbona mmemkumbatia miaka yote ndani ya chama chenu? Poleni sana.........fungu la kukosa.....wewe binti ni mpumbavu sana.huo ni uamuzi wake,wewe unauingiliaje? Umeumia ndo maana unamkashifu....ila huyo siyo saizi yako hata chembe.
@mtakamatv20 сағат бұрын
Ccm wajinga na msigwa mjinga,wenye akili tunaelewa kaenda ccm kwa njaa zake,hizo mbwembwe zote ambazo ccm wanadhani wanamtumia kuchagua chadema wanazidi kujichafua wenyewe? Yaani ccm wamekosa hoja kiasi kwamba wanatengeneza kick kupitia msigwa ili waeleweke! Kwani kwenye ccm msigwa ni nani?na hayo madaraka kapewa lini? Alisema ccm Wana akili ndogo hivyo wamemkopa chadema akawasaidie wakiamini yeye anaakili.
@mtakamatv20 сағат бұрын
Jokeri
@luvmo0421 сағат бұрын
Populära linawatoka
@nazarethmwakipembe324621 сағат бұрын
Kumbe alifel ndio maana hana misimamo
@Ndingamwanjela21 сағат бұрын
Sasa yote ulikua wapi kutuambia kabla hajatoka chadema nyie wanasiasa washenzi wote Tanzania hakuna siasa
Elim ya mtu katika siasa inahusiana na nini..??? Siasa ni mwonekano wako ktk jamii watu wakiwa na imani na wewe unapewa nafasi lafu mbona unachanganya kinanda na gitaaa...!!!!!!
@TheonestSimon21 сағат бұрын
HACHA KUINGILIA UHURU WA MTU BINAFSI CHAMA SIO UKOO .
@TheonestSimon21 сағат бұрын
HACHA KUINGILIA UHURU WA MTU BINAFSI CHAMA SIO UKOO .
@BernadethaCharles-sv3oy21 сағат бұрын
Mbona haya hukuyasema mwanzo tulieni sindano iwaingie sawasawa!
@TheonestSimon21 сағат бұрын
Ukupashwa kusema aya wewe kwa wakati uu kwani akupaswa kuhama kuama chama kunashida gani ?
@TM-zs3rm22 сағат бұрын
Wanawake Chadema oyee.
@Peterchipemba22 сағат бұрын
Dada tufungue ili tumjue msigwa
@Peterchipemba22 сағат бұрын
Dada umenisuza roho,,upo vizur,,wewe dada mmoja ni sawa na viongozi mia wa ccm
@Nunshumutwafa22 сағат бұрын
Ambayo sio muherewa niwewe tu kwani uoni kinacho endelea ndani ya chadema mboe ana miaka mingapi kwenye nafasi yake ya uwenyekiti nkurunziza.
@Nunshumutwafa22 сағат бұрын
Mbona hayo mnaya sema Sasa hivi.
@amanmwalyambi141622 сағат бұрын
Huyu dada siglada mligo nimempenda sana
@user-cd1qj9hi5m23 сағат бұрын
Dada jiangalie ataunachokiongea unakijua
@hamisiziota159023 сағат бұрын
We mpimbavu
@FlorianKabwa23 сағат бұрын
Dd. Unamjua mkuruziza,?
@hajihassan5433Күн бұрын
Hiyo ndio siasa za Tanzania dada, kwani kuna aliyesemwa vibaya na CHADEMA kuliko MHE. LOWASA? Na ndie baadae alinunuliwa kwa pesa za chama na kupewa ugombea Urais, ingawa biashara ile ililipa maana kaleta Wabunge na Madiwani wengi sana CHADEMA kiasi kwamba inadhani ina nguvu, lakini ukweli ni kwamba Watanzania wameichoka CCM LAKINI hakuna mbadala CHADEMA bado sana kupambana na CCM, kama sisi wenye akili huru hatuoni sera, itikadi wala falsafa ya CHADEMA na vyama vingine ni ipi, vinashughulika na matukio ambayo hayataisha.
@hajihassan5433Күн бұрын
Mhe. Msigwa ameshatwambia habari za kwenye mto aulizwe mamba sio sungura, wewe dada ni sungura. Acha kumponda Msigwa utaaibika kwa sababu uwezo wake unaonekana hadharani ni mkubwa.
Пікірлер
wee. nae hujiittambui
Mbona Mkurunziza alipata divisheni 0 husemi?
Hatuwezi kukabizi fisi bucha kuuza nyama mtakula na panga
Umriwako huwezi kutoa historian ya mtu mzima Kama msigwa
Sema kamanda umetupa ukweri.Nakupendaga buleee.mungu akuweke miaka mingi kama number za vocha
Mkuki kwa nguruwe binadam unauma hamuoni mama samia anavyotukanwa na mtu wenu Tundu Lisu
Hakikà dada viva chadema viva🎉🎉🎉🎉
Sasa inatusaidia nn wewe mjinga..ata mume wako unaweza kutoa.
Ni ukweli mtupu aliwahi kusema Halima Mdee na wenzake wameshindwa kuvumilia ndio maana wamekubali kudanganywa na CCM yeye awezi kudanganywa anauza mitumba tena ndio Kwanza anaenda kuuza nguo za grade kwa kweli uongo mbaya uyu sio mchungaji ni mnafiki wa kupindukia uyu ni kama ngurue anayekula matapishi yake.
Masalamaki Kigaila Benson Nampenda Sana Huyu Kamanda
Nimekueleww
Yaani Msigwa kama Shetani tu. Anatamanibkuwa zaidi ya kila mtu. Shetani alitamani kuwa zaidi ya Mungu matokeo yake alianguka mwenyewe
HAYA UNGEYASEMA WAKATI AKIWA CHADEMA YANGELETA MAANA, SASA HIVI NI UZUSHI TU.
Ogopa MUNGU wewe mama unasema sana .Tunakujua sana.Huna hofu ya Mungu udingekuwa unasema.Nawewe Huna akiba ya maneno .ayo yote hayafai unaonekana una hasira sanaa. Naona mme wako hana shida sana .Dhu moto wa kuotea mbali. Mpaka unasema kwao ni masikini sana hilo nitusi.Awewe je umetoka kwa Royal kama mbowe .Ogopa Mungu .Ayo matusi.Utahaibika wewe mama Ahibu.
Siasa ndiyo ilivyo dada hata wewe ukiondoka huko utakuwa hivyo. Michango mnapeleka wapi ? Tena hazina kubwa sana
Ongea point wewe ndada, Msigwa yupo juu sana kuliko haya unayosema. Mpuuzi tu wewe Dada
Alwaeys unaongea point dada
Mbona anaongea kama Lisu?? Si aongee sauti yake??
Mwacheni Rais wetu
Hana sera
Waambie lissu
Nanyie hongeni,c mnahela za ruzuku mnazifanyia nini? Mwacheni mama yetu
dada nakukubari sana😂😂😂😂
Tundurisu umefirisika si kwa uongo uwo una sera
Wewe unamsema makufuli tu hem muache tz bado sana ingekua kenya kishaeleweka zamani lakin kwa siasa izo ccm haiondoki maisha
Na uchaguzi ujao atashinda kwa mbinu
Alijua chadema kinamapungufu kwa nini agombe baada ya kushindwa ana bwanwaja Hana jipia kaishiwa sela
Hayo unasema leo? Kama ndivyo alivyo na mlijua hayo tangu zamani,mbona mmemkumbatia miaka yote ndani ya chama chenu? Poleni sana.........fungu la kukosa.....wewe binti ni mpumbavu sana.huo ni uamuzi wake,wewe unauingiliaje? Umeumia ndo maana unamkashifu....ila huyo siyo saizi yako hata chembe.
Ccm wajinga na msigwa mjinga,wenye akili tunaelewa kaenda ccm kwa njaa zake,hizo mbwembwe zote ambazo ccm wanadhani wanamtumia kuchagua chadema wanazidi kujichafua wenyewe? Yaani ccm wamekosa hoja kiasi kwamba wanatengeneza kick kupitia msigwa ili waeleweke! Kwani kwenye ccm msigwa ni nani?na hayo madaraka kapewa lini? Alisema ccm Wana akili ndogo hivyo wamemkopa chadema akawasaidie wakiamini yeye anaakili.
Jokeri
Populära linawatoka
Kumbe alifel ndio maana hana misimamo
Sasa yote ulikua wapi kutuambia kabla hajatoka chadema nyie wanasiasa washenzi wote Tanzania hakuna siasa
Siasa hanaga rafiki wakudum wala adui wakudum usisahauli hilo....!!!!
Elim ya mtu katika siasa inahusiana na nini..??? Siasa ni mwonekano wako ktk jamii watu wakiwa na imani na wewe unapewa nafasi lafu mbona unachanganya kinanda na gitaaa...!!!!!!
HACHA KUINGILIA UHURU WA MTU BINAFSI CHAMA SIO UKOO .
HACHA KUINGILIA UHURU WA MTU BINAFSI CHAMA SIO UKOO .
Mbona haya hukuyasema mwanzo tulieni sindano iwaingie sawasawa!
Ukupashwa kusema aya wewe kwa wakati uu kwani akupaswa kuhama kuama chama kunashida gani ?
Wanawake Chadema oyee.
Dada tufungue ili tumjue msigwa
Dada umenisuza roho,,upo vizur,,wewe dada mmoja ni sawa na viongozi mia wa ccm
Ambayo sio muherewa niwewe tu kwani uoni kinacho endelea ndani ya chadema mboe ana miaka mingapi kwenye nafasi yake ya uwenyekiti nkurunziza.
Mbona hayo mnaya sema Sasa hivi.
Huyu dada siglada mligo nimempenda sana
Dada jiangalie ataunachokiongea unakijua
We mpimbavu
Dd. Unamjua mkuruziza,?
Hiyo ndio siasa za Tanzania dada, kwani kuna aliyesemwa vibaya na CHADEMA kuliko MHE. LOWASA? Na ndie baadae alinunuliwa kwa pesa za chama na kupewa ugombea Urais, ingawa biashara ile ililipa maana kaleta Wabunge na Madiwani wengi sana CHADEMA kiasi kwamba inadhani ina nguvu, lakini ukweli ni kwamba Watanzania wameichoka CCM LAKINI hakuna mbadala CHADEMA bado sana kupambana na CCM, kama sisi wenye akili huru hatuoni sera, itikadi wala falsafa ya CHADEMA na vyama vingine ni ipi, vinashughulika na matukio ambayo hayataisha.
Mhe. Msigwa ameshatwambia habari za kwenye mto aulizwe mamba sio sungura, wewe dada ni sungura. Acha kumponda Msigwa utaaibika kwa sababu uwezo wake unaonekana hadharani ni mkubwa.