HUYU SIO MLEVI MBONA ANA AKILI HIVI? I DIWANI NA MTENDAJI WAUMBUKA I MASIKINI WANANYIMWA
Ойын-сауық
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder #Makonda #Mlevi #ziara #Siku6ZaMoto
Пікірлер: 31
Mungu naomba simanjiro apate mkuu wa mkoa au wilaya kama makonda viongozi wote wa simanjiro hawana kazi makonda omba uhamishiwe simanjiro au uwe RAISI WA TANZANIA
😂😂😂😂 mtu aliyelewa akisema amesema ukweli
Walevi hua wanazungumza ukwel
JPM wa 2
Mungu akulinde makonda
Kuchimba kisima mita 300 milion mia sita 6 huu wizi mkubwa kabisa
@mr.erickmwacha8575
9 күн бұрын
only in TZ
Anawajua ni wezi ameshafanya vikao vya ndani anajua kila kitu watumishi hawana ukweli wowote,yaan hizo hela zote hamna maji? Hata alieishia la pili B humdanganyi hizo hesabu.
Kwenye hesabu Kuna madudu mengi sana. RC makonda piga spana. Wabane mafisadi wote. Nchi inashindwa kuendelea chanzo ni haya madudu
Shida ataondoka makonda mambo hatakuwa Yale Yale ndo shia ya ccm yni shida sio neno ccm shida wanaobeba hil nno la ccm
Huyu dada Anaoneka mwizi tu
Dada ako na confidence ad raha..
Makonda hoyeeeee
Nchi wanaitafuna kwelikweli
Kwanini waulizwe swali Wayne maelezo wakati wamesoma?
Tuplia mbali
In vino veritas
😂😂😂
Piga supana
SUPANA SUPANA SUPANA MPAKA KIELEWEKE ARUSHA 😂😂😂
Schenck nae a toe kero za walevi pia
Huyu jamaa huwa hasikilizi wanachosema watumishi ili tu awafurahishe wananchi Sasa mtu anasema kitu kinaeleweka kabisa ye anamkatisha katisha ili aonekane tu ana makosa sipendi hii tabia yake , kweli anafanya kazi nzuri lakini aache watu wajieleze waeleweke sio kuwakatisha katisha then yeye ndio anakua hajaelewa.
@jitabojilala6162
16 күн бұрын
Hivi unaonakabisa anajikanyaga kanyaga aendelee ili amdhalikishe? Kumbuka alikabidhiwa mzigo na waziri wa TAMISEM mchengerwa madudu yaliyopo yaani ukiwapa waongee ni madudu na kukidhalilisha chama
@azaellivingston7415
15 күн бұрын
mlevi akiongea hamalizi siku ukiwa kiongozi utaelewa
@user-oj3lv6et4n
14 күн бұрын
Kweli ww ni mbumbumbu tena ngazi ya chekechea
@deozomboko8949
14 күн бұрын
Wewe jamaa una cheki kwa😂
@user-wi8og3sv4j
13 күн бұрын
Jibu swali kisomi kama umesoma kama unajibu kamaunajibu kama masai amba hujaenda hata darasa moja hata hajawahi kupeleka ngombe mnadani hafai kuwa msimamizi wa ofisi ya serikali