HUYU SIO MLEVI MBONA ANA AKILI HIVI? I DIWANI NA MTENDAJI WAUMBUKA I MASIKINI WANANYIMWA

Ойын-сауық

►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder #Makonda #Mlevi #ziara #Siku6ZaMoto

Пікірлер: 31

  • @MariamuJames-g9n
    @MariamuJames-g9nКүн бұрын

    Mungu naomba simanjiro apate mkuu wa mkoa au wilaya kama makonda viongozi wote wa simanjiro hawana kazi makonda omba uhamishiwe simanjiro au uwe RAISI WA TANZANIA

  • @musaamos2431
    @musaamos243114 күн бұрын

    😂😂😂😂 mtu aliyelewa akisema amesema ukweli

  • @johpixel4108
    @johpixel410823 күн бұрын

    Walevi hua wanazungumza ukwel

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga758125 күн бұрын

    JPM wa 2

  • @user-iw7gk7xt1h
    @user-iw7gk7xt1h18 күн бұрын

    Mungu akulinde makonda

  • @faridsalehmohamed1230
    @faridsalehmohamed123024 күн бұрын

    Kuchimba kisima mita 300 milion mia sita 6 huu wizi mkubwa kabisa

  • @mr.erickmwacha8575

    @mr.erickmwacha8575

    9 күн бұрын

    only in TZ

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga9 күн бұрын

    Anawajua ni wezi ameshafanya vikao vya ndani anajua kila kitu watumishi hawana ukweli wowote,yaan hizo hela zote hamna maji? Hata alieishia la pili B humdanganyi hizo hesabu.

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub998520 күн бұрын

    Kwenye hesabu Kuna madudu mengi sana. RC makonda piga spana. Wabane mafisadi wote. Nchi inashindwa kuendelea chanzo ni haya madudu

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge414120 күн бұрын

    Shida ataondoka makonda mambo hatakuwa Yale Yale ndo shia ya ccm yni shida sio neno ccm shida wanaobeba hil nno la ccm

  • @musaamos2431
    @musaamos243114 күн бұрын

    Huyu dada Anaoneka mwizi tu

  • @lizybagamba2067
    @lizybagamba206719 күн бұрын

    Dada ako na confidence ad raha..

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga628720 күн бұрын

    Makonda hoyeeeee

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala616216 күн бұрын

    Nchi wanaitafuna kwelikweli

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j13 күн бұрын

    Kwanini waulizwe swali Wayne maelezo wakati wamesoma?

  • @user-ch2xi5zm8y
    @user-ch2xi5zm8y20 күн бұрын

    Tuplia mbali

  • @josephlorri431
    @josephlorri43113 күн бұрын

    In vino veritas

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp23 күн бұрын

    😂😂😂

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine710826 күн бұрын

    Piga supana

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio405426 күн бұрын

    SUPANA SUPANA SUPANA MPAKA KIELEWEKE ARUSHA 😂😂😂

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j13 күн бұрын

    Schenck nae a toe kero za walevi pia

  • @noelmsimbe3293
    @noelmsimbe329317 күн бұрын

    Huyu jamaa huwa hasikilizi wanachosema watumishi ili tu awafurahishe wananchi Sasa mtu anasema kitu kinaeleweka kabisa ye anamkatisha katisha ili aonekane tu ana makosa sipendi hii tabia yake , kweli anafanya kazi nzuri lakini aache watu wajieleze waeleweke sio kuwakatisha katisha then yeye ndio anakua hajaelewa.

  • @jitabojilala6162

    @jitabojilala6162

    16 күн бұрын

    Hivi unaonakabisa anajikanyaga kanyaga aendelee ili amdhalikishe? Kumbuka alikabidhiwa mzigo na waziri wa TAMISEM mchengerwa madudu yaliyopo yaani ukiwapa waongee ni madudu na kukidhalilisha chama

  • @azaellivingston7415

    @azaellivingston7415

    15 күн бұрын

    mlevi akiongea hamalizi siku ukiwa kiongozi utaelewa

  • @user-oj3lv6et4n

    @user-oj3lv6et4n

    14 күн бұрын

    Kweli ww ni mbumbumbu tena ngazi ya chekechea

  • @deozomboko8949

    @deozomboko8949

    14 күн бұрын

    Wewe jamaa una cheki kwa😂

  • @user-wi8og3sv4j

    @user-wi8og3sv4j

    13 күн бұрын

    Jibu swali kisomi kama umesoma kama unajibu kamaunajibu kama masai amba hujaenda hata darasa moja hata hajawahi kupeleka ngombe mnadani hafai kuwa msimamizi wa ofisi ya serikali

Келесі