Viongozi wa Kijeshi Mali, Bukina Faso na Niger Waunganisha Nchi Zao, Waunda Shirikisho la Sahel
Jumamosi ya Julai 6, 2024 viongozi wa kijeshi wa mataifa ya Naija, Bukina Faso na Mali wametia saini makubaliano ya kuunda Shirikisho la Nchi za Sahili yaani Alliance of Sahel States.
Makubaliano hayo yaliwekwa saini na Jenerali Abdourahmane Tchian wa Naija, Kepteni Ibrahim Traore wa Bukina Faso na Kanali Assimi Goita wa mali katika sherehe zilizofanyika jijini Niamey nchini Naija baada ya mkutano wa wakuu hao wa nchi.
Lengo la shirikisho hilo jipya wameeleza kuwa ni kujenga utengamano mpya wa uchumi, siasa na ulinzi wa nchi hizo za Afrika magahribi.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 36
Nchi za kiafrika ambazo Marais wao Bado wanajipendekeza kwa wazungu inabidi wananchi tuwatoe madarakani kwa nguvu
@samuelndungukaranja5627
4 күн бұрын
Kenya tuko hapo kutwa iyo jamaa inaitwa ruto
Zanzibar tunatafuta njia ya kutoka ktk muungano usio na maslah na ss
@Kingstonbagamoyo
9 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉
@OmerSuley-gl7go
8 күн бұрын
KABISA KIJANA hivi sasa ni miaka 60 hatuoni faida ya Muungano ❤
@user-cg1vd5jr8t
5 күн бұрын
Hami j we kula urojo tu Kisha ulale
@LugomeRisasi
18 сағат бұрын
Wewe jamaa hauna hakili waafrika inatakiwa tuungane ili tuwe na nguvu ili tuweke Sheria zetu zitakazo ilinda Africa wewe unataka tugawanyike
@LugomeRisasi
18 сағат бұрын
@@OmerSuley-gl7gowanzazibar hamuoni faida ya muungano kweli mbona ninyi mnamiliki aridhi huku bara lakini wa bara hawamiliki Zanzibar kuweka na akili basi Mimi binafsi naunga mkono tuweke Sheria ya kulinda watu wa Africa
good job❤
Inabidi nchi zote za afrika zitengeneze shirikisho la kijeshi na tutengeneze mabomu ya atomic ya shirikisho
Safi sana
Mwenyezi Mungu awatangulie
hawa vingozi wan niazakweli kwa wananchiwoa
Kongole sana umoja ní nguvú,ibra,goita,show show,babylon out,,,,,allahu barik
Nmeipenda hii
Ruto must go
Respect 💪
Nimefurahi kupata hii habari Walichokifanya Mungu wa Afrika awatangulie Akili nzuri hii
Wametisha sana
Nimeipenda sana
eweemola wahaki wajaalie waja wako hawa wenye nia yazati ya kufuua uchumi wa nchizao wafanikiwe
Magharibi na sio mangaribi
Naamini raia hawateswi chini ya uongozi wa kijeshi.
Watu weus tuache kudanganywa na waxungu ili waendelee kutunyonya
Rais Rutto ndo Kwanza Kaenda kuwafuata wamagharibi na wamarekani Kuja kujenga base East Africa 😂😂😂 Africa hii sijui nani katuroga
@leahmgunda4154
9 күн бұрын
Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa jirani.
@godfreyfrugence4176
7 күн бұрын
Mim ningekuwa ndo rais wa Tanzania namim ningeenda kuungana na mrusi mali niger na burkinafasso vile vile ningeleta base ya jeshi la russia nchin mwangu kwaajili ya mafunz mapya kwa jeshi langu kudhibit magaid watakajitokeza nchin mwangu
Nimewapende hao wanajeshin
Good
Viva sahel
Hii Safi Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Saruti wakuu
Og sn
Nchi zingine za afrika zijifunze apa