Viongozi wa Kijeshi Mali, Bukina Faso na Niger Waunganisha Nchi Zao, Waunda Shirikisho la Sahel

Jumamosi ya Julai 6, 2024 viongozi wa kijeshi wa mataifa ya Naija, Bukina Faso na Mali wametia saini makubaliano ya kuunda Shirikisho la Nchi za Sahili yaani Alliance of Sahel States.
Makubaliano hayo yaliwekwa saini na Jenerali Abdourahmane Tchian wa Naija, Kepteni Ibrahim Traore wa Bukina Faso na Kanali Assimi Goita wa mali katika sherehe zilizofanyika jijini Niamey nchini Naija baada ya mkutano wa wakuu hao wa nchi.
Lengo la shirikisho hilo jipya wameeleza kuwa ni kujenga utengamano mpya wa uchumi, siasa na ulinzi wa nchi hizo za Afrika magahribi.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 36

  • @user-zz6vf8ry2p
    @user-zz6vf8ry2p12 күн бұрын

    Nchi za kiafrika ambazo Marais wao Bado wanajipendekeza kwa wazungu inabidi wananchi tuwatoe madarakani kwa nguvu

  • @samuelndungukaranja5627

    @samuelndungukaranja5627

    4 күн бұрын

    Kenya tuko hapo kutwa iyo jamaa inaitwa ruto

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam12 күн бұрын

    Zanzibar tunatafuta njia ya kutoka ktk muungano usio na maslah na ss

  • @Kingstonbagamoyo

    @Kingstonbagamoyo

    9 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤🎉

  • @OmerSuley-gl7go

    @OmerSuley-gl7go

    8 күн бұрын

    KABISA KIJANA hivi sasa ni miaka 60 hatuoni faida ya Muungano ❤

  • @user-cg1vd5jr8t

    @user-cg1vd5jr8t

    5 күн бұрын

    Hami j we kula urojo tu Kisha ulale

  • @LugomeRisasi

    @LugomeRisasi

    18 сағат бұрын

    Wewe jamaa hauna hakili waafrika inatakiwa tuungane ili tuwe na nguvu ili tuweke Sheria zetu zitakazo ilinda Africa wewe unataka tugawanyike

  • @LugomeRisasi

    @LugomeRisasi

    18 сағат бұрын

    ​@@OmerSuley-gl7gowanzazibar hamuoni faida ya muungano kweli mbona ninyi mnamiliki aridhi huku bara lakini wa bara hawamiliki Zanzibar kuweka na akili basi Mimi binafsi naunga mkono tuweke Sheria ya kulinda watu wa Africa

  • @user-ol2vd1zv7u
    @user-ol2vd1zv7u10 күн бұрын

    good job❤

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m11 күн бұрын

    Inabidi nchi zote za afrika zitengeneze shirikisho la kijeshi na tutengeneze mabomu ya atomic ya shirikisho

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu238011 күн бұрын

    Safi sana

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz101812 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu awatangulie

  • @hizzasheshe3209
    @hizzasheshe320911 күн бұрын

    hawa vingozi wan niazakweli kwa wananchiwoa

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo9 күн бұрын

    Kongole sana umoja ní nguvú,ibra,goita,show show,babylon out,,,,,allahu barik

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina6312 күн бұрын

    Nmeipenda hii

  • @samuelndungukaranja5627
    @samuelndungukaranja56274 күн бұрын

    Ruto must go

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo422112 күн бұрын

    Respect 💪

  • @TozzyMay
    @TozzyMay13 күн бұрын

    Nimefurahi kupata hii habari Walichokifanya Mungu wa Afrika awatangulie Akili nzuri hii

  • @BakariMsoka
    @BakariMsoka4 күн бұрын

    Wametisha sana

  • @gervas58
    @gervas587 күн бұрын

    Nimeipenda sana

  • @hizzasheshe3209
    @hizzasheshe320911 күн бұрын

    eweemola wahaki wajaalie waja wako hawa wenye nia yazati ya kufuua uchumi wa nchizao wafanikiwe

  • @DrLachi19
    @DrLachi1910 күн бұрын

    Magharibi na sio mangaribi

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki12 күн бұрын

    Naamini raia hawateswi chini ya uongozi wa kijeshi.

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo422112 күн бұрын

    Watu weus tuache kudanganywa na waxungu ili waendelee kutunyonya

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson226112 күн бұрын

    Rais Rutto ndo Kwanza Kaenda kuwafuata wamagharibi na wamarekani Kuja kujenga base East Africa 😂😂😂 Africa hii sijui nani katuroga

  • @leahmgunda4154

    @leahmgunda4154

    9 күн бұрын

    Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa jirani.

  • @godfreyfrugence4176

    @godfreyfrugence4176

    7 күн бұрын

    Mim ningekuwa ndo rais wa Tanzania namim ningeenda kuungana na mrusi mali niger na burkinafasso vile vile ningeleta base ya jeshi la russia nchin mwangu kwaajili ya mafunz mapya kwa jeshi langu kudhibit magaid watakajitokeza nchin mwangu

  • @user-vf8wv8hi5b
    @user-vf8wv8hi5b13 күн бұрын

    Nimewapende hao wanajeshin

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha63138 күн бұрын

    Good

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid769413 күн бұрын

    Viva sahel

  • @islamsultan8563
    @islamsultan85638 күн бұрын

    Hii Safi Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @EsterPaul-jt5im
    @EsterPaul-jt5im12 күн бұрын

    Saruti wakuu

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wx13 күн бұрын

    Og sn

  • @WillyNzowa
    @WillyNzowa11 күн бұрын

    Nchi zingine za afrika zijifunze apa

Келесі