ASKOFU MWANAMAPINDUZI AMVAA MSIGWA, "HAFAI, CCM MNASHADADIA! NI NANI HASA?, WATU WANATEKWA MKO KMYA"

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 16

  • @FilbertEmmanuely
    @FilbertEmmanuely5 күн бұрын

    Barikiwa mchunhaji

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi8 күн бұрын

    Mungu alisema Imani nimaji au mafuta uongo

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga623813 күн бұрын

    Askofu Mwanamapinduzi nimefarijika sana na ujumbe ambao umetupa pamoja na viongozi wa dini wengine. Mungu unayemtumikia akubariki na akupe kusimamia haki hiyo mpaka mwisho. Tunakuombea.💗

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo686913 күн бұрын

    Hakika umenena ukweli

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi8 күн бұрын

    Kaimbe pambio kanisani

  • @allonjoseph5467
    @allonjoseph546713 күн бұрын

    baba mch umeeleweka

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb11 күн бұрын

    Mchungaji wewe ni msema kweli hii nchi tunaumizwa sana na majizi ya ccm

  • @BonifaceKomba
    @BonifaceKomba9 күн бұрын

    Asante Kwa kutupa elimu usichoke kaka Bado watanzania wajinga niwengi

  • @allyfutto8763
    @allyfutto876313 күн бұрын

    Huyu jamaani3noma zama mpya

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743813 күн бұрын

    Kwa hiyo wewe unataka tulete fujo nchini tuanze kuuwana kwa Tanzania haiwezekani acha ushawishi wako

  • @user-mf7xy3sf6q
    @user-mf7xy3sf6q13 күн бұрын

    Wew ndo asikofu mkweeeeeel wenginge machawa tu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743813 күн бұрын

    Askofu pole sanaaaa yaliyotokea Kenya Tanzania hayawezi kufika sisi nchi yetu hatukupata Uhuru kwa kumwaga damu acha kabisa ushawishi kama huo hao wanasumbuliwa na ukabila na udini

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743813 күн бұрын

    Kwani hana haki ya kuhama mbona Lowasana Sumaye walihamia Chadema cha ajabu nini

  • @maspro6294
    @maspro629413 күн бұрын

    Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu na ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako Lina nuka kama Choo

  • @leahmgunda4154

    @leahmgunda4154

    13 күн бұрын

    Wewe wasema mbwa wenzio wanasaluti kwake.

  • @erickmsigala138

    @erickmsigala138

    13 күн бұрын

    Unaongelea matakoni nchi hii siyo mama yako una mamlaka gani zaidi ya kunuka chawa mbwa wewe

Келесі