MBOWE BALAA! AWADAKA WANACCM WALIOLETA VUURUGU KTK MKUTANO WAKE, AMTAJA RAIS SAMIA NA WAZIRI MKUU

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 39

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t19 күн бұрын

    Mbowe mungu akutunze akubariki sana piga kazi

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo830818 күн бұрын

    Big up Mbowe on education given to our primitive Tanzania.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131919 күн бұрын

    This is voice of chadema powerforce use people to protect opposition responsibility of opposition is to building lmotion into Tanzania population lncage them to know they power is on the they hand protect they right time of complain has to be slid nguvu ya chadema ni watu wenyewe ktk taifa lao wichowafanyia hao ccm huko Tanga kuwatimua walipojaribu kuzui mkutano wa chadema hiyo ndio peaple s power

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u19 күн бұрын

    BRAVO KOMREDI MBOWE....VIVA CHADEMA....VIVA NGUVU YA UMMA!

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n19 күн бұрын

    Wape Makavu Washamba Hao Tumewachoka WATUACHIE NCHI Yetu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131919 күн бұрын

    Tengenezeni vijana wamoto mbele ya ujinga kuweka na barabara ya uwerevu ili muelewane ktk wezi wa kura

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto501419 күн бұрын

    Crucial points

  • @AishaNdinadyo
    @AishaNdinadyo19 күн бұрын

    Nitakufa nikiwa chadema

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory354019 күн бұрын

    Piga kazi Kamanda Mbowe

  • @danielkanso
    @danielkanso19 күн бұрын

    Imeenda hiyo wafundishe hao hawaelewi

  • @TheresiaKwaslema
    @TheresiaKwaslema18 күн бұрын

    Mwenyekiti Mbowe kwanza nakupongeza sana sana kwa kujubali kutumia keki ya familia yako kutuelimisha sisi watanzania ambao tumefanywa kuwa wajinga wa kudumu na watawala wa nchi hii,

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala702319 күн бұрын

    Watu wamechoka sana maramba umaskini mkubwa

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy439119 күн бұрын

    Bangladeshi, wanazuia uwanja wetu!!

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli336519 күн бұрын

    Hongera mwenyekiti kuwaeleza ukweli

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c18 күн бұрын

    Achia uwenyekiti utuminishe

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese19 күн бұрын

    Mala hii tunawabwaga 2025 imesha hiyo

  • @MichaelMwasese

    @MichaelMwasese

    19 күн бұрын

    😮😮😮

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    19 күн бұрын

    Thubutu mkipata njoo nikupe laki moja

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    19 күн бұрын

    ​@@margarethpolepole7438Nami wakipata nitamuongezea laki moja,CHAGADEMA SACCOS

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa615919 күн бұрын

    Misukule inafikir chadema ni sacos mbowe nyuma yake kuna nguvu ya uma fisiemu hamtamuweza mtachemka

  • @majutoomari7445
    @majutoomari744519 күн бұрын

    😂😂😂

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r19 күн бұрын

    Saccos ni ya mama yako?

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z18 күн бұрын

    Mwenyekiti wa mchongo

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja364419 күн бұрын

    Tapeli mkubwa huyu,ameifanya chadema SACCOS yake.

  • @AugustinoPeter-rn9bn

    @AugustinoPeter-rn9bn

    19 күн бұрын

    Na wewe je ni tapeli wa wapi?

  • @user-bx3ko9ft5t

    @user-bx3ko9ft5t

    19 күн бұрын

    Bora sakosi kuliko nyinyi mlio uza nchiii yetu

  • @abubakarimussa9131

    @abubakarimussa9131

    18 күн бұрын

    Nikuulize kwani alimtapeli baba yako ama mama ama moja ya familia yako ? Ama upumbavu wenu wa ccm ndio unavyo wadanganya hivyo acha ufara amka acha kulala mshamba wewe

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    18 күн бұрын

    @@abubakarimussa9131 alimtapeli mama yako hadi akaachana na baba yako,au unajizima data unajifanya hukumbuki kuwa ndiyo sababu ya wewe na dada yako kukosa malezi?

  • @mathiaszakaria7052

    @mathiaszakaria7052

    18 күн бұрын

    Nyie ndo wauza nchi mliojaa laana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743819 күн бұрын

    Wamekuchoka kwanini uwe Mwenyekiti wewe kila siku achia Vijana toka hapo na Chama chako chà Saccoss Bib Vikoba ndiyo maana Msigwa kaondoka unafanya Chama mali yako Mfukoni

  • @user-lt1nr4tk9r

    @user-lt1nr4tk9r

    19 күн бұрын

    Unataka apewe baba ako aongoze

  • @charlesmwambinga4355

    @charlesmwambinga4355

    19 күн бұрын

    Kwani Nani kakuambia Mabadiliko Ya Viongozi ndo Democrasia...Hujui kitu sikia, Uingireza Malkia/Mfalme kaongoza miaka mingapi ? China Mingapi? Kagame mingapi? Nyerere Mingapi? Kaunda Mingapi? Putin Mingapi? Ishue sio uongozi ishue ni sera Nzuri , haki , mipango mizuri na uongozi bora..shida Baadhi ya Wa Tz wengi Tunapenda kusikia, ubea, Taarifa za kusikia sio kusoma na kujifunza ndo maana tunaweza kuhamishwaa kwenye agenda ya msingi kupitia simba na Yanga au Zuchu na Diamond au Picha Chafu mtandoni za wa baadhi ya wasani ndo inakua topic vichwani mwetu ila suala la Uzalendo wa Nchi yako tunasahau.

  • @Flaviosafari

    @Flaviosafari

    19 күн бұрын

    Kwasababu ana akili na stamina na misuli na ukomavu na ubavu wa kuongoza chama kushindana na nzi wa kijani.

  • @msabahaali758

    @msabahaali758

    19 күн бұрын

    sisi tumeridhika au u atka aongoze mama ako we mjinga

  • @issacklyandala7023

    @issacklyandala7023

    19 күн бұрын

    Nyerere akaa ccm miaka24 mbaka alipochoka mwenyewe, mbowe yupo sana mbaka mfe

Келесі