"Namtimua leo leo" Rais SAMIA achukizwa na jambo hili, Papo Hapo AMTUMBUA DC, amuagiza haya kwa RC

Ойын-сауық

Пікірлер: 627

  • @user-ug8gg6fg5f
    @user-ug8gg6fg5f10 ай бұрын

    Mama unakosea unawabembeleza wezi. Unakosea Sana mama

  • @mkude

    @mkude

    10 ай бұрын

    Nani kakuambia anawambembeleza,akiwakamata anawatimua

  • @simonhalfani-bh9ur

    @simonhalfani-bh9ur

    10 ай бұрын

    Anawabembeleza sana aiseee,hawa watamsumbua sana,serikalini siyo sehemu ya kubembeleza

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    10 ай бұрын

    Hawabembelezi huyu Rais yuko diplomacy. Anajuwa nini anacho kizungumza. Tusimhukumu tunavyo taka sisi.

  • @Worldunite

    @Worldunite

    10 ай бұрын

    Dawa ni kuwatumbua na sio kuwakanya aisee

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    10 ай бұрын

    ​@@awatifalghanim1106diplomatic kwa nchi hizi za Africa will get u dead. Mnafikia diplomatic baada ya kuwa na utaratibu imara

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro376410 ай бұрын

    RAISI ACHANA TABIA YA UPOLE KUPITA KIASI! HAO WOTE WAONDOKE WAENDE KWA MAMA ZAO!!

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @khlafanmwassa

    @khlafanmwassa

    10 ай бұрын

    Huu sio upole isipokuwa yeye mwenyewe ni tatizo

  • @amaniabdi9755

    @amaniabdi9755

    10 ай бұрын

    Wewe ndo tatizo unataka akamatekamate tu bila ushaidi

  • @elishakayagwa9371

    @elishakayagwa9371

    10 ай бұрын

    ​@@amaniabdi9755Kama wewe ni muislam na unaandika haya basi ni musibaaa kweli

  • @khalfanikaabuka

    @khalfanikaabuka

    3 күн бұрын

    Kazi inafanyika nyamagana Mwanza Mkuu Wa wilaya kila baada ya mwezi miwili makilagi anapita kuwasikiliza wana nchi ongela yake

  • @JayjayNgare
    @JayjayNgare10 ай бұрын

    Mama yy atumbua ma DC na rc daily lkn mawaziri wezi walao mabilion utamskia akiongelea we ss akil kichwan wetu😢

  • @mkude

    @mkude

    10 ай бұрын

    Tutajie Kwa ushahidi waziri gani sasa aliekula mabilioni

  • @daudkhatib-qn5tr

    @daudkhatib-qn5tr

    26 күн бұрын

    Uwoo wizi unamashirikiano ya taasisi nyingi

  • @user-nw1io4cz5u

    @user-nw1io4cz5u

    13 күн бұрын

    Ukitajiwa majina unataka kuchukua hatua gan??​@@mkude

  • @nzarekimoshi2251
    @nzarekimoshi225110 ай бұрын

    Hio system ni CCM mama usijifanye hujui hakuna jipya hapo ndo zenu hizo CCM

  • @fredrickipembe8188

    @fredrickipembe8188

    10 ай бұрын

    Sana tu kaka

  • @patrickjohn4086
    @patrickjohn408610 ай бұрын

    Mama Samia i will blame you, umeamua kuwaachia. I miss magufuli

  • @Ibnimohd-tr6qc

    @Ibnimohd-tr6qc

    10 ай бұрын

    Following Magu

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    10 ай бұрын

    Kama umewabaini waondoe katika ofisi walizopo, mtaani soko liko saturated watu wanatafuta wapi pa kuonyeshaea umahili na weledi wao katika kuhudumia umma.

  • @RewardMmbaga
    @RewardMmbaga10 ай бұрын

    Mama nimekusikiliza nimekuelewa sana,ombi kwa wana Mbarali tunaomba uturudishie arizi yetu

  • @josephudoba5563
    @josephudoba556310 ай бұрын

    Asante raisi ila wewe ni mpole sana tunataka tukuamini ila kitu kimoja tu mama uwe makini na watumishi wako pengine unapoona mabango ya kukupongeza achana nayo pengine unapopongezwa mamluki wametumwa pengine jambo hilohilo unalopongezwa kulifanya linakua halijafanyika wanakupongeza Ili kukuziba macho hivyo nakushauri uachane na pongezi pokea na malalamiko kama unavyopokea pongezi utajua pabovu

  • @neemakingdom4816
    @neemakingdom481610 ай бұрын

    HAWA HARIMASHAURI NI WAIZI SANA SISI WANAICHI TUNABANWA KULIPA UTITIRI WA KODI NI SHIDA MAMA

  • @patrickjohn4086
    @patrickjohn408610 ай бұрын

    Mama kama ndio namna ya kukemea watumishi waizi basi hakuna nchi

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    10 ай бұрын

    Very true!

  • @mkude

    @mkude

    10 ай бұрын

    Unataka akemee vipi au unataka atukane,

  • @hamisisonga9342

    @hamisisonga9342

    10 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂

  • @drallan6879
    @drallan687910 ай бұрын

    polite advice achana na issue ya DP world inakuchafua our dear president nchi inagawanyika

  • @mkude

    @mkude

    10 ай бұрын

    Hapana DPW ni muhimu kuja kuwekeza katika bandari yetu Kwa maslahi ya taifa letu

  • @SuwediYusufu
    @SuwediYusufu10 ай бұрын

    Upole na tanzania vitu viwili tofauti

  • @EliatoshaLema-rw5hm
    @EliatoshaLema-rw5hm10 ай бұрын

    Leo umenifurahisha sana mama yetu .hiyo fuatilia wapo wengi

  • @SangioNgoo

    @SangioNgoo

    10 ай бұрын

    Atafuatilia wangapi na nchi ni kubwa? Bila kubadilisha mfumo ni bure! Kuna mtu alikuwa anatumbua kama Magufuli? Mbona hakuwamalizika? Mnakuwa warahisi sana kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    10 ай бұрын

    ​@@SangioNgoomfumo yeye samia ndio kaubadilisha adi sheria kazibadilisha alivoingia tu kama huamin kasikilize hutuba zake za mwanzo alivo apishwa tu akasema kuna sheria ziliwekwa kubana watumishi wa umma na kubana wawekezaji ambao ndio hao wawekezaji wizi akasema anazifuta hizo sheria na mfumo wa mtangulizi wake sasa we ulitaka mfumo gani wakat wanabadilisha kwa masirahi yao awam hii wizi umezidi mfumo wa jpm ulikua mzur wizi walibaki kidogo sana waishe sema wakamkata uhai wake ila mifumo inabadilishwa na ndio kilicho fanyika sasa huyu anaongea. tu ila udhibiti wa wizi hana ye mwenyewe anaiba ndio maana anakwambia nanyie mle urefu wa kamba zenu kwahiyo mfumo unabadilishwa ndugu

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    10 ай бұрын

    @@SangioNgoo kweli maneno yako ndio mgawanyo wa madaraka..!

  • @ahmedissa7882

    @ahmedissa7882

    10 ай бұрын

    Kila la kheri Mama

  • @daudykasherente8667

    @daudykasherente8667

    10 ай бұрын

    ​@@SangioNgootru

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack618010 ай бұрын

    Mama mm mwanao nakupenda sn lkn namna unavyo ongea na viongoz wanao kwenda tofaut na muongozo wa Nchi una fanya nimkumbuke Magufur,nimesikiliza hutba yko ila nilivyo fika kwenye wafungaj na watu walio nyanganywa aridh yao nineumia sn namna ulivyo hitimisha hlo, yaan umesha jua waz hawakutendewa haki kwa sababu hawana kipato ww km mkuu wa Nchi na mtetez wa wanyonge unashindwa kutoa tamko la wao kupata haki yao et unamuagiza mkuu wa Mkoa wkt unajua waz na yy ni miongon mwa walio wazulum,hapo ndio utaona umuhim wa baba yetu Magufur 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @omanoman-ir1ez

    @omanoman-ir1ez

    10 ай бұрын

    hahahahaa kweli kabisa mama ni mama tu hawezi kuwa kama baba mama yako amefeli

  • @gloryarnanidaud8748

    @gloryarnanidaud8748

    10 ай бұрын

    Aseme wakati mpango mzima anaujua hiyo ni vunga TU.

  • @jackisonmlaari4556

    @jackisonmlaari4556

    10 ай бұрын

    Utatoka 2 2025 c ni kesko

  • @Ibnimohd-tr6qc

    @Ibnimohd-tr6qc

    10 ай бұрын

    Kila zama na nabii wke zam ya mama wa Taifa

  • @simontamba2189

    @simontamba2189

    10 ай бұрын

    You make me cry

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy567810 ай бұрын

    Kwa hili,do' sikupingi mama. Gonga nyundo. ❤

  • @hajihassan5433
    @hajihassan543310 ай бұрын

    Kuupiga mwingi maana yake huo wizi mama! Awamu yako inatisha na hutafika mbali ukiwabembeleza hivyo.

  • @gabrielmarcel3776
    @gabrielmarcel377610 ай бұрын

    Tatizo mama unaongea kuliko kutekeleza, unabembeleza watu wanaokula mali za nchi😢

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    10 ай бұрын

    Yanaishia hapohapo

  • @gorgorabokor7509
    @gorgorabokor750910 ай бұрын

    Mashallah ,mama sifa zote za kiongozi Bora unazo ,kuwapa nasaha ,kuwaadabisha, ,kufatilia,na kutoa maamuzi sahihi , mashallah nakuombea dua njema ,afya njema ,ibada endelevu ,umri mrefu wenyewe ibada na mwisho mwema.

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga758110 ай бұрын

    Shida kubwa umerudisha wezi watumbue

  • @husseinmpuruti1372
    @husseinmpuruti137210 ай бұрын

    mama mama mtu amebainika ameharibu rushwa au wizi mbona unawaacha kama vile zamani mtumishi kibaha Dareslaam eti adhabu yake anahamishiwa mwaza mama hivyo tumbua ili iwe fundisho kwa watumishi wako ukiwaacha wanakuchukulia powa tu eti mama ni mpole tumbua mama usiwaache

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z10 ай бұрын

    Sasa semina kashiriki itakuaje?,au hawalipwi hapo?.kweli unaweza kufa nimeona huruma.

  • @geofreydamas1697
    @geofreydamas169710 ай бұрын

    Toa oder don't complain these people of ccm wanafanya kazi kwa mazoea

  • @user-cj1ft4mw2l
    @user-cj1ft4mw2l10 ай бұрын

    HUYU MAMA ANAONGOZA HII NCHI KIMWINYI SANA NA KIZANZIBA, NCHI IMESHAMSHINDA HII

  • @khamismwadini2169

    @khamismwadini2169

    10 ай бұрын

    Umwinyi huo huo Leo ndio unakufanya ujambe

  • @EliasEmmanuel-kw8wi
    @EliasEmmanuel-kw8wi10 ай бұрын

    Si ndio hao wanaokusifia unaupiga mwingi, acha kazi iendelee mamaaaaa..

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    10 ай бұрын

    nayeye akijisifu kuwa anachawa wake ndio hao

  • @sulemanmndeme8961

    @sulemanmndeme8961

    10 ай бұрын

    Km anafanya kazi ana wajibu wa kusifiwa. Wizi ni sifa ya mtu. Dawa yao ni kutumbua.

  • @allanmbilinyi4826

    @allanmbilinyi4826

    10 ай бұрын

    KAMA HUTAKUWA MKALI NCHI ITAKUSHINDA UWE MKALI PESA UNAKOPA MAJIZI YANACHUKUA.. KINASEHEMU ZILITOWA ML 130 KWA AJILI YA DARAJA MKARARASI ANALALAMIKA AMEPATA ML75 TU DARAJA CHINI YA KIWANGO PIA HAIJAISHA...UWE .KALI MAMA.

  • @karimmunis8302
    @karimmunis830210 ай бұрын

    Leo ndo unajua wamekuweka hapo , hii tabia ya kùpuuza kero za watu wamekoi kutoka kwko

  • @timboxlee919
    @timboxlee91910 ай бұрын

    Mhhh si kweli, mbona huwatumbui wakurungezi na mawaziri wako wakula hela,na miradi inasuasua

  • @peterbangari4273
    @peterbangari427310 ай бұрын

    Samia rais wetu sisi Wana nchi tunzidi kukugundua kuwa huna Nia njema na nchi hii kwa maneno yako haya Yani tatizo unaliona halafu eti unataka lipoti niyanini kama huwezi kuchukuwa maamuzi ya hao wezi unatudanganya kwa kutulagai mbona huchukuwi hatua kwa hao wezi?

  • @victorjames3730
    @victorjames373010 ай бұрын

    Kero ingine ni bandari zetu sikiliza hizo kelele pia?

  • @abuukarata9653
    @abuukarata965310 ай бұрын

    Hao ndio wa bara bwana

  • @subiramwaka9792
    @subiramwaka979210 ай бұрын

    Mwisho wa siku mwananchi ndie anae teseka. Makato na maendelea pia yanacheleshwa. Hongera mama leo umeongea mule mule.

  • @magrethmeela154

    @magrethmeela154

    10 ай бұрын

    Mama ni mzalendo hapendi dhuluma hapendi rushwa hapendi wabadhilifu hongera mazaaa❤

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis363810 ай бұрын

    Mama hii ni system ambayo CCM waliitengeneza. Ni sawa na kofi la kujipiga hamtakiwi kulia

  • @elyotchisanga138
    @elyotchisanga13810 ай бұрын

    Wote wapo chini ya Tulia atimuliwe kwanza yeye hata Kama anachaguliwa na wananchi mzembe huyo

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha838710 ай бұрын

    Ooooh my god. WATUUUUU jamaniiiii khaaaa😢😢😢😢

  • @amadeokinyekile8804
    @amadeokinyekile880410 ай бұрын

    Asanteee sana mheshimiwa Rais dokt Samia kwa kusimamia vizr seriiali

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura428410 ай бұрын

    Upo vizuri mh Rais kwa kusimamia Taifa letu,unaonesha uzalendo wako kwa Taifa lililosimamia, .Binafsi nakupongeza sana kwa maendeleo tunayayona,,

  • @shebitaufik4607
    @shebitaufik460710 ай бұрын

    Kwa sasa mkurugenzi kawa waziri na waziri kawa raisi wakuu wa wilaya ndo usiseme mama yupo vizuri ila watendaji wake daa mungu atusaidie.tuu kwa kweli.

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l27 күн бұрын

    Mama niteuwe hata mimi niwemkuu wawilaya nitaweza cyo kama hao walafi wanakula hawakumbuki hata wenzao kama wapo😊😢😢😢

  • @meshackmayenga969
    @meshackmayenga96910 ай бұрын

    Moja ya maeneo ambayo yanarudisha maendeleo ya nchi yetu kwasasa ni ulaji mkubwa wa hela ya serkali.Hili nidoakubwa kwakweli.Kwa vile sasa mama umeanza kuyaona kuyafuatilia naona mbele majizi yataanza kuogopa.Hongera sana mama yetu.Tupopamoja nawewe mama.

  • @maharagendondo
    @maharagendondo16 сағат бұрын

    MAMA,HIYO MBONA IPO SIKU NYINGI MAMA WATU BADO HAWAJAPUNGUZA, TZ YETU MBONA INAPESA NYINGI TU ZINALIWA TU,

  • @user-zg4uf2sh6x
    @user-zg4uf2sh6x9 ай бұрын

    Hongera mkuu kazi unaenda poa. Viongozi matatizo tusafishie mama

  • @EliyaMwaipopo-hf6nq
    @EliyaMwaipopo-hf6nq10 ай бұрын

    Mama umekua mpolesana nandiomana nchi iinachezewa takukulu mbeya niwala lushwa ukipeleka tatizo umepeleka ulaji wachukuliweatua

  • @gabrielmwikanu1160
    @gabrielmwikanu116010 ай бұрын

    Wanakudharau Mama kwa sababu unawalea. Matukio ya wizi wa fedha huchukui hatua mfano ripoti ya CAG inayowahusu hata Mahakama mbona kimya ? Ripoti ulikabidhiwa ya hayo madudu, Watu wanakosa imani na wewe kwa sababu huchukui hatua kwa wakati na wananchi wakajulishwa. Ndo maana watu wanasema hii ndo Tanzania yetu kiunyonge, rohoni tunaumia.

  • @Worldunite
    @Worldunite10 ай бұрын

    Mama ungewaondoa hao wapigaji, umewasamehe? ina maana hiyo pesa iliyokusanywa kwa udanganyifu jee? Naomba utumbue wote hao vinginevyo huu mchezo hautaisha aisee, naomba uwe mkali sana usikanye wewe ondoa tu watendaji wasiokuwa waaminifu 7:38

  • @omaryluhanga9387
    @omaryluhanga938710 ай бұрын

    Asante Kwa kuliona hilo

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony210 ай бұрын

    Bora hata aliyetumbuliwa kuliko mtumbuaji

  • @zianasalimuhivikunamchunga5224

    @zianasalimuhivikunamchunga5224

    10 ай бұрын

    Huna hayaaaa wewe,

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    10 ай бұрын

    Kunywaa ntalipa ndugu

  • @Ndu-wa.uroony2

    @Ndu-wa.uroony2

    10 ай бұрын

    @@MiriamAbdallah thenkyu!

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi546410 ай бұрын

    Overhaul the whole Mbeya government system kama kweli uko serious. Usirudie kosa kuhusiana taarifa ya CAG last year ulipofikia hatua ya kuwatukana wezi wa fedha za Serikali, ... Shenzi kabisa, ... Ajabu hukuchukuwa hatua yoyote hadi leo. Hapo ndipo mnawapa nafasi Chadema kuwapiga mawe.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca760210 ай бұрын

    Mama piga Kaz nakupenda sana Na Mungu akusimamie

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso576710 ай бұрын

    Suluhisho ni katiba mpya, na maoni ya wananchi, wakuu wa mikoa (magavana) wachaguliwe na wananchi, na asipofanya vema anapigwa chini kwa kura au kushtakiwa ( impeached). Kila.mtu atafanya kazi kwani haiwi kazi ya hisani ya rais,urafiki na kubembelezana kama sasa, Kila Miaka 5 anarudi kuomba kura na umma unaamua aendelee,au wanachagua mwingine wanayemtaka.

  • @gracemima5234
    @gracemima523410 ай бұрын

    Mama uongozi umekushinda. Watanzania wanafhulumiwa na watu wachache . Lugha yako hafifu. Chukuwa hatua

  • @CharlesMasese-cp3oe
    @CharlesMasese-cp3oe10 ай бұрын

    Nafikiria baadhi ya mawaziri nao ufuatiliaji uwepo,channel ni KUBWA mno

  • @victorcephas3618
    @victorcephas361810 ай бұрын

    Tumbua hao wote ni mtandao huo wa ulaji wa fedha zetu sisi wananchi

  • @joellongidare8280
    @joellongidare828014 күн бұрын

    Mama nakupenda sana maana unaogea ukewli

  • @malupex6299
    @malupex629910 ай бұрын

    Mh. upo sahihi kabisa

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro960010 ай бұрын

    Yaani mama unachofanya ni k.m mbwa anayebweka harafu hang'ati

  • @Fundi12345
    @Fundi1234510 ай бұрын

    Mama huo ndo wizi wa tz kufanya tepng ndo zao hao piga chin usilembe mwandiko mswahili humuwezi tunaumia sana Hali mbaya sanaaaaa

  • @mgazamadigamadiga-sg5cd
    @mgazamadigamadiga-sg5cd10 ай бұрын

    Mungu awape maisha maled dunian na akher

  • @deborahmgedzi632
    @deborahmgedzi63210 ай бұрын

    Mungu Baba Mwenyezi tuokoa Wanyonge.

  • @elyotchisanga138
    @elyotchisanga13810 ай бұрын

    Anza na Tulia Aksoni atimuliwe yeye ndie mwangalizi na mwakilishi

  • @oskamsafiri2814
    @oskamsafiri281410 ай бұрын

    Unakuwa mpole mno, kwanza ilitakiwa uwe umewasimamisha then yafate.majitu hayo ndio yanatutesa na kutunyanyasa wananchi

  • @GregoryMgimwa
    @GregoryMgimwaКүн бұрын

    Duu hii ni hatari Rais wetu tunakuombea pambana nao hao

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520Күн бұрын

    Tatizo la mama mpole sana

  • @kisokimhagama9526
    @kisokimhagama952610 ай бұрын

    Asante sana Mama chapkazi.

  • @bakarimkwizu4335
    @bakarimkwizu433510 ай бұрын

    Kuna waninga wachache hawaelewi lakini MAMA uko kazini

  • @ClaudeKimu-o2f
    @ClaudeKimu-o2f3 күн бұрын

    Hongera Sana mama

  • @husseinally3015
    @husseinally301510 ай бұрын

    Mama siku onyesha rangi yako halisi maana wanao haribu wanajulikana

  • @ramadhanisalum2271
    @ramadhanisalum227110 ай бұрын

    Mama hongera xnaa, but punguza upolee penye ukali fanya kweli unaachaje watu 700 wanateseka kwa ajili ya manufaa ya mtu na familiya yake! Ni bora wafe 20 wapone 200 coz katik hao watapatikana wazur watao lipizia hao wapumbavu wanaoharibu then unatukanwa wew kuw nchi waendesha vby coz yao, wape adabu wanayostahik kwa uadilifu, ahsante Allah akuongoze pale penye mapunguf yako:

  • @zakarialuhemeja4179
    @zakarialuhemeja417910 ай бұрын

    Ikiwa huko chini Kuko hivyo na yule wa juu kabisa hapo mbeya mchungulie

  • @wanainchitvrdc6705
    @wanainchitvrdc670510 ай бұрын

    Uyu mama sijui ni kiongozi wa aina gani . Yeye kila siku kazi yake kulalamika kuliko kutoa majawabu na way forward. Kwa kifupi kazi ya uraisi haiwezi .

  • @agastokissatu2667
    @agastokissatu266710 ай бұрын

    ...... Tumsifu Yesu kristo,Leo angalau nimekuelewa kidogo mama,gap ni kubwa mnoo kati ya watawala na maskini,chunguza sana maafisa elimu,kila sehemu ni rushwa tuu

  • @WilliamKileta
    @WilliamKileta10 ай бұрын

    Daaah tunasafari ndefu sana

  • @marklekasango9300

    @marklekasango9300

    10 ай бұрын

    Vibaya mmno

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni10 ай бұрын

    Mama mh Rais upo vizuri shida wanaokuzunguka ss tunajua pia huna maamuzi ya Moja kwa Moja ni mpole sana kwann usiwafukuze hao.....ss wasio na vyeti mlitufukuza bila kigugumizi lakini mafisadi wahujum uchumi wezi na wapiga dili wa nchi hii hubembelezwa

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi109910 ай бұрын

    M a ma asante.sana mungu akuhifadhi wako wengi.wakuatumbua nakuwafukuza.kamahuyohuyoo

  • @emmanueljoseph9188
    @emmanueljoseph918810 ай бұрын

    Ivii unapenda mwizi wa Inch malara wa wataifa wee

  • @user-jw9no5jx5p
    @user-jw9no5jx5p10 ай бұрын

    Bravo Mama,keep it up, Mungu akubariki sana

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim156810 ай бұрын

    Kazi nnayo !Ya Allah tunakuomba mama yetu huyu ashinde Asishindwe Amiin.

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f24 күн бұрын

    Mama Dr Samia Suluhu Hassan Mungu akupe nguvu utekeleze azima na ilani ya Chama kwa wananchi. Na watendaji na maofisaa wanaoporw pesa waende nyumbani.

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed887510 ай бұрын

    MIMI KILICHO NIACHA HOI WALIO TENGENEZA MTANDO WA WIZI WAPO ILA ALIYE PELEKA MAJI UPANDE MMOJA AMEFUKUZWA LAKINI WALIO TAJWA WAPO MKUU WA MKOA MKUU WA WILAYA DASI SIMTETEI ILA HAKI YULE ALIKUWA WA KUONYWA KISA KADI, ZA CHA ILA HILO LA MBEYA AAA TUME KWAKWELI HAKI HAPA DUUUUU ALLAH MWENYEWE ANAJUA

  • @oscarmisiru9725
    @oscarmisiru972510 ай бұрын

    Mama bila bakora watu hawaendi kuwa mkali

  • @patrickjohn4086
    @patrickjohn408610 ай бұрын

    Mpe nguvu majaliwa anaweza

  • @khalidmohammed3396

    @khalidmohammed3396

    10 ай бұрын

    Kabisa bro

  • @salmanmagwe2612

    @salmanmagwe2612

    10 ай бұрын

    Kwani si tayari waziri mkuu ana nguvu?

  • @shabanimungazija7272
    @shabanimungazija727210 ай бұрын

    Mama kama umeuona hayo hongera sana keto ni nyingi lakini hazifiki ukiongea tu ni kichapo

  • @maswamills3161
    @maswamills316123 күн бұрын

    Mama ongea tu,watu wanakula urefu wa kamba zao bora wasivimbiwe.

  • @chichasam9032
    @chichasam903210 ай бұрын

    Acha kubembeleza watu aiseeee we mama veep aiseee mbona unahuruma za ajabu😡😡😡😡

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu377612 күн бұрын

    Kwa hili! Umesema kweli.

  • @user-ck6lf9gg6v
    @user-ck6lf9gg6vАй бұрын

    Kama huwezi kutoa maoni nyamaza sio kutukana. Kiongozi Bora ni yule mwenye busara na sio kutoa maamuzi magumu hongera sana samia.

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu10 ай бұрын

    SIJAWAHI KUSIKIA KIONGOZI MKUBWA ANASEMA KWAMBA ATAENDA KUULIZWA NA MUNGU JUU YA UONGOZI WAKE ,MUNGU AKUTANGULIE MH RAIS TUNAKUPENDAAAAAA❤❤❤❤

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989Күн бұрын

    MAMA HAYO NDIO MAMBO YANAFANYIKA TANZANIA NA WOTE MNAJUA WATUMISHI WA SERIKALI WENGI WEZI. KIKUBWA NI KUTUNGA SHERIA KALI YA WALAJI KUWAFUNGA NA HATA KUNYONGWA.

  • @user-oc2ul4lk4g
    @user-oc2ul4lk4g10 ай бұрын

    Mama kuwa mkali wezi watuupu ulionao hapo unaongea kiupole mama wezi hao wamekuzunguka yaan wasafi hapo ni asilimia 40

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k10 ай бұрын

    Kwa kauli hizi,mambo yatakuwa magumu zaidi,ulemba mbele ya majambazi.Mimi naiona 2025 mbele.Sijui Kama kutakalika.Wenzetu huko Zanzibar najua mko Waungwana.Haya yalitukuta kwa Mwinyi.Nchi ilidorora.Hotuba tamu tamu za nini !!

  • @ottumachachary8925

    @ottumachachary8925

    10 ай бұрын

    😂😂😂 ulemba mbele ya jambazi..

  • @user-ou1ls6oj2f
    @user-ou1ls6oj2f26 күн бұрын

    Mimi napendekeza kina mama wapewe nafasi zaidi kuliko mababa jamani hao wanakutoboa jicho ukiwa umesimama mh rais angalia upya uteuzi wako na ulete katiba mpya ya wanainchi ili kazi yako iwe raisi

  • @alexmatt9504
    @alexmatt950410 ай бұрын

    Mweshimiwa Rais hao wote wanaofanya hayo Madudu hakuna haja ya huruma tumbua wote ,kuna vijana wengi wenye elimu na weledi wa kufanya hizo kazi. Mama hao wabovu wote ndio wanaokuharibia.

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain22 күн бұрын

    Hakuna Rais hapa. Hapo wanaume wanamng'ong'a tu na kumuona kama mshamba fulani hivi

  • @MoudyKisengo
    @MoudyKisengo2 күн бұрын

    Mama apo unaongea ila kuna mijitu aikusikiliz kabisa yan,,inwaza kukuangusha tu yan daaah

  • @KhamisHaji-fd5lw
    @KhamisHaji-fd5lw27 күн бұрын

    Mama samia nakupenda sana kwa uchapakazi wako M/mungu akuongoze,kutokn na nia yako njema watajidhuru wenyewe hao mafisadi ya kiuchumi!

  • @HurumaAntony
    @HurumaAntony24 күн бұрын

    Daaah mama hapo wanakutazama to😊

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi156210 ай бұрын

    Hizo pesa ungekuwa umezitafuta wew usingeongea hivo ngoja tunakuona 2

  • @severamtungi7036
    @severamtungi703610 ай бұрын

    Weka watu wenye hof u ya Mungu,mama ikiwezekana waarabu

  • @patrickjohn4086
    @patrickjohn408610 ай бұрын

    Na mama unaongea kama mzaha, kuwa mkali chukua hatua na fatilia na tuone matokeo

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gxАй бұрын

    Rais hapana amepata sn, tukio kubwa kama hili anaongea lugha laini kama hii?

  • @JonasKiria
    @JonasKiria10 ай бұрын

    🎉arusha mh kumeoza na rushwa

  • @neemasondobi1560
    @neemasondobi156010 ай бұрын

    Inchi imekushinda we unajua kusafiri tu unawachekea ....mwenzio alikuwa anamalizanao hapo hapo

  • @user-vj3gu8ix1n
    @user-vj3gu8ix1n8 ай бұрын

    Kila siku unaongelea kuhusu kuhusu ubazilifu wa fedha kwenye sekta mbalimbali lakini mbona hujatoa amri wakamatwe na kufunguliwa mashtaka ila wanakosoa serikali kwe maada za msingi ndio wanakatwa kila siku it doesn't make sense at all

Келесі