Hio system ni CCM mama usijifanye hujui hakuna jipya hapo ndo zenu hizo CCM
@fredrickipembe8188
10 ай бұрын
Sana tu kaka
@patrickjohn408610 ай бұрын
Mama Samia i will blame you, umeamua kuwaachia. I miss magufuli
@Ibnimohd-tr6qc
10 ай бұрын
Following Magu
@festokemibala5832
10 ай бұрын
Kama umewabaini waondoe katika ofisi walizopo, mtaani soko liko saturated watu wanatafuta wapi pa kuonyeshaea umahili na weledi wao katika kuhudumia umma.
@RewardMmbaga10 ай бұрын
Mama nimekusikiliza nimekuelewa sana,ombi kwa wana Mbarali tunaomba uturudishie arizi yetu
@josephudoba556310 ай бұрын
Asante raisi ila wewe ni mpole sana tunataka tukuamini ila kitu kimoja tu mama uwe makini na watumishi wako pengine unapoona mabango ya kukupongeza achana nayo pengine unapopongezwa mamluki wametumwa pengine jambo hilohilo unalopongezwa kulifanya linakua halijafanyika wanakupongeza Ili kukuziba macho hivyo nakushauri uachane na pongezi pokea na malalamiko kama unavyopokea pongezi utajua pabovu
@neemakingdom481610 ай бұрын
HAWA HARIMASHAURI NI WAIZI SANA SISI WANAICHI TUNABANWA KULIPA UTITIRI WA KODI NI SHIDA MAMA
@patrickjohn408610 ай бұрын
Mama kama ndio namna ya kukemea watumishi waizi basi hakuna nchi
@hajihassan5433
10 ай бұрын
Very true!
@mkude
10 ай бұрын
Unataka akemee vipi au unataka atukane,
@hamisisonga9342
10 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
@drallan687910 ай бұрын
polite advice achana na issue ya DP world inakuchafua our dear president nchi inagawanyika
@mkude
10 ай бұрын
Hapana DPW ni muhimu kuja kuwekeza katika bandari yetu Kwa maslahi ya taifa letu
@SuwediYusufu10 ай бұрын
Upole na tanzania vitu viwili tofauti
@EliatoshaLema-rw5hm10 ай бұрын
Leo umenifurahisha sana mama yetu .hiyo fuatilia wapo wengi
@SangioNgoo
10 ай бұрын
Atafuatilia wangapi na nchi ni kubwa? Bila kubadilisha mfumo ni bure! Kuna mtu alikuwa anatumbua kama Magufuli? Mbona hakuwamalizika? Mnakuwa warahisi sana kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
@aishaalbalushaishabalush8291
10 ай бұрын
@@SangioNgoomfumo yeye samia ndio kaubadilisha adi sheria kazibadilisha alivoingia tu kama huamin kasikilize hutuba zake za mwanzo alivo apishwa tu akasema kuna sheria ziliwekwa kubana watumishi wa umma na kubana wawekezaji ambao ndio hao wawekezaji wizi akasema anazifuta hizo sheria na mfumo wa mtangulizi wake sasa we ulitaka mfumo gani wakat wanabadilisha kwa masirahi yao awam hii wizi umezidi mfumo wa jpm ulikua mzur wizi walibaki kidogo sana waishe sema wakamkata uhai wake ila mifumo inabadilishwa na ndio kilicho fanyika sasa huyu anaongea. tu ila udhibiti wa wizi hana ye mwenyewe anaiba ndio maana anakwambia nanyie mle urefu wa kamba zenu kwahiyo mfumo unabadilishwa ndugu
@hassanmfaume4522
10 ай бұрын
@@SangioNgoo kweli maneno yako ndio mgawanyo wa madaraka..!
@ahmedissa7882
10 ай бұрын
Kila la kheri Mama
@daudykasherente8667
10 ай бұрын
@@SangioNgootru
@huseinshedrack618010 ай бұрын
Mama mm mwanao nakupenda sn lkn namna unavyo ongea na viongoz wanao kwenda tofaut na muongozo wa Nchi una fanya nimkumbuke Magufur,nimesikiliza hutba yko ila nilivyo fika kwenye wafungaj na watu walio nyanganywa aridh yao nineumia sn namna ulivyo hitimisha hlo, yaan umesha jua waz hawakutendewa haki kwa sababu hawana kipato ww km mkuu wa Nchi na mtetez wa wanyonge unashindwa kutoa tamko la wao kupata haki yao et unamuagiza mkuu wa Mkoa wkt unajua waz na yy ni miongon mwa walio wazulum,hapo ndio utaona umuhim wa baba yetu Magufur 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@omanoman-ir1ez
10 ай бұрын
hahahahaa kweli kabisa mama ni mama tu hawezi kuwa kama baba mama yako amefeli
@gloryarnanidaud8748
10 ай бұрын
Aseme wakati mpango mzima anaujua hiyo ni vunga TU.
@jackisonmlaari4556
10 ай бұрын
Utatoka 2 2025 c ni kesko
@Ibnimohd-tr6qc
10 ай бұрын
Kila zama na nabii wke zam ya mama wa Taifa
@simontamba2189
10 ай бұрын
You make me cry
@robsonlotyloy567810 ай бұрын
Kwa hili,do' sikupingi mama. Gonga nyundo. ❤
@hajihassan543310 ай бұрын
Kuupiga mwingi maana yake huo wizi mama! Awamu yako inatisha na hutafika mbali ukiwabembeleza hivyo.
@gabrielmarcel377610 ай бұрын
Tatizo mama unaongea kuliko kutekeleza, unabembeleza watu wanaokula mali za nchi😢
@judyngowi391
10 ай бұрын
Yanaishia hapohapo
@gorgorabokor750910 ай бұрын
Mashallah ,mama sifa zote za kiongozi Bora unazo ,kuwapa nasaha ,kuwaadabisha, ,kufatilia,na kutoa maamuzi sahihi , mashallah nakuombea dua njema ,afya njema ,ibada endelevu ,umri mrefu wenyewe ibada na mwisho mwema.
@albertbunyinyiga758110 ай бұрын
Shida kubwa umerudisha wezi watumbue
@husseinmpuruti137210 ай бұрын
mama mama mtu amebainika ameharibu rushwa au wizi mbona unawaacha kama vile zamani mtumishi kibaha Dareslaam eti adhabu yake anahamishiwa mwaza mama hivyo tumbua ili iwe fundisho kwa watumishi wako ukiwaacha wanakuchukulia powa tu eti mama ni mpole tumbua mama usiwaache
@user-rs4vz2vt9z10 ай бұрын
Sasa semina kashiriki itakuaje?,au hawalipwi hapo?.kweli unaweza kufa nimeona huruma.
@geofreydamas169710 ай бұрын
Toa oder don't complain these people of ccm wanafanya kazi kwa mazoea
@user-cj1ft4mw2l10 ай бұрын
HUYU MAMA ANAONGOZA HII NCHI KIMWINYI SANA NA KIZANZIBA, NCHI IMESHAMSHINDA HII
@khamismwadini2169
10 ай бұрын
Umwinyi huo huo Leo ndio unakufanya ujambe
@EliasEmmanuel-kw8wi10 ай бұрын
Si ndio hao wanaokusifia unaupiga mwingi, acha kazi iendelee mamaaaaa..
@aishaalbalushaishabalush8291
10 ай бұрын
nayeye akijisifu kuwa anachawa wake ndio hao
@sulemanmndeme8961
10 ай бұрын
Km anafanya kazi ana wajibu wa kusifiwa. Wizi ni sifa ya mtu. Dawa yao ni kutumbua.
@allanmbilinyi4826
10 ай бұрын
KAMA HUTAKUWA MKALI NCHI ITAKUSHINDA UWE MKALI PESA UNAKOPA MAJIZI YANACHUKUA.. KINASEHEMU ZILITOWA ML 130 KWA AJILI YA DARAJA MKARARASI ANALALAMIKA AMEPATA ML75 TU DARAJA CHINI YA KIWANGO PIA HAIJAISHA...UWE .KALI MAMA.
@karimmunis830210 ай бұрын
Leo ndo unajua wamekuweka hapo , hii tabia ya kùpuuza kero za watu wamekoi kutoka kwko
@timboxlee91910 ай бұрын
Mhhh si kweli, mbona huwatumbui wakurungezi na mawaziri wako wakula hela,na miradi inasuasua
@peterbangari427310 ай бұрын
Samia rais wetu sisi Wana nchi tunzidi kukugundua kuwa huna Nia njema na nchi hii kwa maneno yako haya Yani tatizo unaliona halafu eti unataka lipoti niyanini kama huwezi kuchukuwa maamuzi ya hao wezi unatudanganya kwa kutulagai mbona huchukuwi hatua kwa hao wezi?
@victorjames373010 ай бұрын
Kero ingine ni bandari zetu sikiliza hizo kelele pia?
@abuukarata965310 ай бұрын
Hao ndio wa bara bwana
@subiramwaka979210 ай бұрын
Mwisho wa siku mwananchi ndie anae teseka. Makato na maendelea pia yanacheleshwa. Hongera mama leo umeongea mule mule.
@magrethmeela154
10 ай бұрын
Mama ni mzalendo hapendi dhuluma hapendi rushwa hapendi wabadhilifu hongera mazaaa❤
@salimkhamis363810 ай бұрын
Mama hii ni system ambayo CCM waliitengeneza. Ni sawa na kofi la kujipiga hamtakiwi kulia
@elyotchisanga13810 ай бұрын
Wote wapo chini ya Tulia atimuliwe kwanza yeye hata Kama anachaguliwa na wananchi mzembe huyo
@berthamakortha838710 ай бұрын
Ooooh my god. WATUUUUU jamaniiiii khaaaa😢😢😢😢
@amadeokinyekile880410 ай бұрын
Asanteee sana mheshimiwa Rais dokt Samia kwa kusimamia vizr seriiali
@paulrwechungura428410 ай бұрын
Upo vizuri mh Rais kwa kusimamia Taifa letu,unaonesha uzalendo wako kwa Taifa lililosimamia, .Binafsi nakupongeza sana kwa maendeleo tunayayona,,
@shebitaufik460710 ай бұрын
Kwa sasa mkurugenzi kawa waziri na waziri kawa raisi wakuu wa wilaya ndo usiseme mama yupo vizuri ila watendaji wake daa mungu atusaidie.tuu kwa kweli.
@user-ex9sd8wm4l27 күн бұрын
Mama niteuwe hata mimi niwemkuu wawilaya nitaweza cyo kama hao walafi wanakula hawakumbuki hata wenzao kama wapo😊😢😢😢
@meshackmayenga96910 ай бұрын
Moja ya maeneo ambayo yanarudisha maendeleo ya nchi yetu kwasasa ni ulaji mkubwa wa hela ya serkali.Hili nidoakubwa kwakweli.Kwa vile sasa mama umeanza kuyaona kuyafuatilia naona mbele majizi yataanza kuogopa.Hongera sana mama yetu.Tupopamoja nawewe mama.
@maharagendondo16 сағат бұрын
MAMA,HIYO MBONA IPO SIKU NYINGI MAMA WATU BADO HAWAJAPUNGUZA, TZ YETU MBONA INAPESA NYINGI TU ZINALIWA TU,
@user-zg4uf2sh6x9 ай бұрын
Hongera mkuu kazi unaenda poa. Viongozi matatizo tusafishie mama
@EliyaMwaipopo-hf6nq10 ай бұрын
Mama umekua mpolesana nandiomana nchi iinachezewa takukulu mbeya niwala lushwa ukipeleka tatizo umepeleka ulaji wachukuliweatua
@gabrielmwikanu116010 ай бұрын
Wanakudharau Mama kwa sababu unawalea. Matukio ya wizi wa fedha huchukui hatua mfano ripoti ya CAG inayowahusu hata Mahakama mbona kimya ? Ripoti ulikabidhiwa ya hayo madudu, Watu wanakosa imani na wewe kwa sababu huchukui hatua kwa wakati na wananchi wakajulishwa. Ndo maana watu wanasema hii ndo Tanzania yetu kiunyonge, rohoni tunaumia.
@Worldunite10 ай бұрын
Mama ungewaondoa hao wapigaji, umewasamehe? ina maana hiyo pesa iliyokusanywa kwa udanganyifu jee? Naomba utumbue wote hao vinginevyo huu mchezo hautaisha aisee, naomba uwe mkali sana usikanye wewe ondoa tu watendaji wasiokuwa waaminifu 7:38
@omaryluhanga938710 ай бұрын
Asante Kwa kuliona hilo
@Ndu-wa.uroony210 ай бұрын
Bora hata aliyetumbuliwa kuliko mtumbuaji
@zianasalimuhivikunamchunga5224
10 ай бұрын
Huna hayaaaa wewe,
@MiriamAbdallah
10 ай бұрын
Kunywaa ntalipa ndugu
@Ndu-wa.uroony2
10 ай бұрын
@@MiriamAbdallah thenkyu!
@pirminmatumizi546410 ай бұрын
Overhaul the whole Mbeya government system kama kweli uko serious. Usirudie kosa kuhusiana taarifa ya CAG last year ulipofikia hatua ya kuwatukana wezi wa fedha za Serikali, ... Shenzi kabisa, ... Ajabu hukuchukuwa hatua yoyote hadi leo. Hapo ndipo mnawapa nafasi Chadema kuwapiga mawe.
@hawaelymaricca760210 ай бұрын
Mama piga Kaz nakupenda sana Na Mungu akusimamie
@jumbeojaso576710 ай бұрын
Suluhisho ni katiba mpya, na maoni ya wananchi, wakuu wa mikoa (magavana) wachaguliwe na wananchi, na asipofanya vema anapigwa chini kwa kura au kushtakiwa ( impeached). Kila.mtu atafanya kazi kwani haiwi kazi ya hisani ya rais,urafiki na kubembelezana kama sasa, Kila Miaka 5 anarudi kuomba kura na umma unaamua aendelee,au wanachagua mwingine wanayemtaka.
@gracemima523410 ай бұрын
Mama uongozi umekushinda. Watanzania wanafhulumiwa na watu wachache . Lugha yako hafifu. Chukuwa hatua
@CharlesMasese-cp3oe10 ай бұрын
Nafikiria baadhi ya mawaziri nao ufuatiliaji uwepo,channel ni KUBWA mno
@victorcephas361810 ай бұрын
Tumbua hao wote ni mtandao huo wa ulaji wa fedha zetu sisi wananchi
@joellongidare828014 күн бұрын
Mama nakupenda sana maana unaogea ukewli
@malupex629910 ай бұрын
Mh. upo sahihi kabisa
@clarencelazaro960010 ай бұрын
Yaani mama unachofanya ni k.m mbwa anayebweka harafu hang'ati
@Fundi1234510 ай бұрын
Mama huo ndo wizi wa tz kufanya tepng ndo zao hao piga chin usilembe mwandiko mswahili humuwezi tunaumia sana Hali mbaya sanaaaaa
@mgazamadigamadiga-sg5cd10 ай бұрын
Mungu awape maisha maled dunian na akher
@deborahmgedzi63210 ай бұрын
Mungu Baba Mwenyezi tuokoa Wanyonge.
@elyotchisanga13810 ай бұрын
Anza na Tulia Aksoni atimuliwe yeye ndie mwangalizi na mwakilishi
@oskamsafiri281410 ай бұрын
Unakuwa mpole mno, kwanza ilitakiwa uwe umewasimamisha then yafate.majitu hayo ndio yanatutesa na kutunyanyasa wananchi
@GregoryMgimwaКүн бұрын
Duu hii ni hatari Rais wetu tunakuombea pambana nao hao
@zainabumartin9520Күн бұрын
Tatizo la mama mpole sana
@kisokimhagama952610 ай бұрын
Asante sana Mama chapkazi.
@bakarimkwizu433510 ай бұрын
Kuna waninga wachache hawaelewi lakini MAMA uko kazini
@ClaudeKimu-o2f3 күн бұрын
Hongera Sana mama
@husseinally301510 ай бұрын
Mama siku onyesha rangi yako halisi maana wanao haribu wanajulikana
@ramadhanisalum227110 ай бұрын
Mama hongera xnaa, but punguza upolee penye ukali fanya kweli unaachaje watu 700 wanateseka kwa ajili ya manufaa ya mtu na familiya yake! Ni bora wafe 20 wapone 200 coz katik hao watapatikana wazur watao lipizia hao wapumbavu wanaoharibu then unatukanwa wew kuw nchi waendesha vby coz yao, wape adabu wanayostahik kwa uadilifu, ahsante Allah akuongoze pale penye mapunguf yako:
@zakarialuhemeja417910 ай бұрын
Ikiwa huko chini Kuko hivyo na yule wa juu kabisa hapo mbeya mchungulie
@wanainchitvrdc670510 ай бұрын
Uyu mama sijui ni kiongozi wa aina gani . Yeye kila siku kazi yake kulalamika kuliko kutoa majawabu na way forward. Kwa kifupi kazi ya uraisi haiwezi .
@agastokissatu266710 ай бұрын
...... Tumsifu Yesu kristo,Leo angalau nimekuelewa kidogo mama,gap ni kubwa mnoo kati ya watawala na maskini,chunguza sana maafisa elimu,kila sehemu ni rushwa tuu
@WilliamKileta10 ай бұрын
Daaah tunasafari ndefu sana
@marklekasango9300
10 ай бұрын
Vibaya mmno
@Deonfnyoni10 ай бұрын
Mama mh Rais upo vizuri shida wanaokuzunguka ss tunajua pia huna maamuzi ya Moja kwa Moja ni mpole sana kwann usiwafukuze hao.....ss wasio na vyeti mlitufukuza bila kigugumizi lakini mafisadi wahujum uchumi wezi na wapiga dili wa nchi hii hubembelezwa
@hamisihemedi109910 ай бұрын
M a ma asante.sana mungu akuhifadhi wako wengi.wakuatumbua nakuwafukuza.kamahuyohuyoo
@emmanueljoseph918810 ай бұрын
Ivii unapenda mwizi wa Inch malara wa wataifa wee
@user-jw9no5jx5p10 ай бұрын
Bravo Mama,keep it up, Mungu akubariki sana
@mbarouksalim156810 ай бұрын
Kazi nnayo !Ya Allah tunakuomba mama yetu huyu ashinde Asishindwe Amiin.
@user-gp5wx1ev9f24 күн бұрын
Mama Dr Samia Suluhu Hassan Mungu akupe nguvu utekeleze azima na ilani ya Chama kwa wananchi. Na watendaji na maofisaa wanaoporw pesa waende nyumbani.
@marijanimohamed887510 ай бұрын
MIMI KILICHO NIACHA HOI WALIO TENGENEZA MTANDO WA WIZI WAPO ILA ALIYE PELEKA MAJI UPANDE MMOJA AMEFUKUZWA LAKINI WALIO TAJWA WAPO MKUU WA MKOA MKUU WA WILAYA DASI SIMTETEI ILA HAKI YULE ALIKUWA WA KUONYWA KISA KADI, ZA CHA ILA HILO LA MBEYA AAA TUME KWAKWELI HAKI HAPA DUUUUU ALLAH MWENYEWE ANAJUA
@oscarmisiru972510 ай бұрын
Mama bila bakora watu hawaendi kuwa mkali
@patrickjohn408610 ай бұрын
Mpe nguvu majaliwa anaweza
@khalidmohammed3396
10 ай бұрын
Kabisa bro
@salmanmagwe2612
10 ай бұрын
Kwani si tayari waziri mkuu ana nguvu?
@shabanimungazija727210 ай бұрын
Mama kama umeuona hayo hongera sana keto ni nyingi lakini hazifiki ukiongea tu ni kichapo
@maswamills316123 күн бұрын
Mama ongea tu,watu wanakula urefu wa kamba zao bora wasivimbiwe.
@chichasam903210 ай бұрын
Acha kubembeleza watu aiseeee we mama veep aiseee mbona unahuruma za ajabu😡😡😡😡
@nashonkibayayu377612 күн бұрын
Kwa hili! Umesema kweli.
@user-ck6lf9gg6vАй бұрын
Kama huwezi kutoa maoni nyamaza sio kutukana. Kiongozi Bora ni yule mwenye busara na sio kutoa maamuzi magumu hongera sana samia.
@BIGBOSS-hl3bu10 ай бұрын
SIJAWAHI KUSIKIA KIONGOZI MKUBWA ANASEMA KWAMBA ATAENDA KUULIZWA NA MUNGU JUU YA UONGOZI WAKE ,MUNGU AKUTANGULIE MH RAIS TUNAKUPENDAAAAAA❤❤❤❤
@mashramadhani1989Күн бұрын
MAMA HAYO NDIO MAMBO YANAFANYIKA TANZANIA NA WOTE MNAJUA WATUMISHI WA SERIKALI WENGI WEZI. KIKUBWA NI KUTUNGA SHERIA KALI YA WALAJI KUWAFUNGA NA HATA KUNYONGWA.
@user-oc2ul4lk4g10 ай бұрын
Mama kuwa mkali wezi watuupu ulionao hapo unaongea kiupole mama wezi hao wamekuzunguka yaan wasafi hapo ni asilimia 40
@user-gc1ez1yv4k10 ай бұрын
Kwa kauli hizi,mambo yatakuwa magumu zaidi,ulemba mbele ya majambazi.Mimi naiona 2025 mbele.Sijui Kama kutakalika.Wenzetu huko Zanzibar najua mko Waungwana.Haya yalitukuta kwa Mwinyi.Nchi ilidorora.Hotuba tamu tamu za nini !!
@ottumachachary8925
10 ай бұрын
😂😂😂 ulemba mbele ya jambazi..
@user-ou1ls6oj2f26 күн бұрын
Mimi napendekeza kina mama wapewe nafasi zaidi kuliko mababa jamani hao wanakutoboa jicho ukiwa umesimama mh rais angalia upya uteuzi wako na ulete katiba mpya ya wanainchi ili kazi yako iwe raisi
@alexmatt950410 ай бұрын
Mweshimiwa Rais hao wote wanaofanya hayo Madudu hakuna haja ya huruma tumbua wote ,kuna vijana wengi wenye elimu na weledi wa kufanya hizo kazi. Mama hao wabovu wote ndio wanaokuharibia.
@The1979bornagain22 күн бұрын
Hakuna Rais hapa. Hapo wanaume wanamng'ong'a tu na kumuona kama mshamba fulani hivi
@MoudyKisengo2 күн бұрын
Mama apo unaongea ila kuna mijitu aikusikiliz kabisa yan,,inwaza kukuangusha tu yan daaah
@KhamisHaji-fd5lw27 күн бұрын
Mama samia nakupenda sana kwa uchapakazi wako M/mungu akuongoze,kutokn na nia yako njema watajidhuru wenyewe hao mafisadi ya kiuchumi!
@HurumaAntony24 күн бұрын
Daaah mama hapo wanakutazama to😊
@jalaryababilasi156210 ай бұрын
Hizo pesa ungekuwa umezitafuta wew usingeongea hivo ngoja tunakuona 2
@severamtungi703610 ай бұрын
Weka watu wenye hof u ya Mungu,mama ikiwezekana waarabu
@patrickjohn408610 ай бұрын
Na mama unaongea kama mzaha, kuwa mkali chukua hatua na fatilia na tuone matokeo
@emmanuelmlowe-ew7gxАй бұрын
Rais hapana amepata sn, tukio kubwa kama hili anaongea lugha laini kama hii?
@JonasKiria10 ай бұрын
🎉arusha mh kumeoza na rushwa
@neemasondobi156010 ай бұрын
Inchi imekushinda we unajua kusafiri tu unawachekea ....mwenzio alikuwa anamalizanao hapo hapo
@user-vj3gu8ix1n8 ай бұрын
Kila siku unaongelea kuhusu kuhusu ubazilifu wa fedha kwenye sekta mbalimbali lakini mbona hujatoa amri wakamatwe na kufunguliwa mashtaka ila wanakosoa serikali kwe maada za msingi ndio wanakatwa kila siku it doesn't make sense at all
Пікірлер: 627
Mama unakosea unawabembeleza wezi. Unakosea Sana mama
@mkude
10 ай бұрын
Nani kakuambia anawambembeleza,akiwakamata anawatimua
@simonhalfani-bh9ur
10 ай бұрын
Anawabembeleza sana aiseee,hawa watamsumbua sana,serikalini siyo sehemu ya kubembeleza
@awatifalghanim1106
10 ай бұрын
Hawabembelezi huyu Rais yuko diplomacy. Anajuwa nini anacho kizungumza. Tusimhukumu tunavyo taka sisi.
@Worldunite
10 ай бұрын
Dawa ni kuwatumbua na sio kuwakanya aisee
@fahadfaraj6474
10 ай бұрын
@@awatifalghanim1106diplomatic kwa nchi hizi za Africa will get u dead. Mnafikia diplomatic baada ya kuwa na utaratibu imara
RAISI ACHANA TABIA YA UPOLE KUPITA KIASI! HAO WOTE WAONDOKE WAENDE KWA MAMA ZAO!!
@awatifalghanim1106
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@khlafanmwassa
10 ай бұрын
Huu sio upole isipokuwa yeye mwenyewe ni tatizo
@amaniabdi9755
10 ай бұрын
Wewe ndo tatizo unataka akamatekamate tu bila ushaidi
@elishakayagwa9371
10 ай бұрын
@@amaniabdi9755Kama wewe ni muislam na unaandika haya basi ni musibaaa kweli
@khalfanikaabuka
3 күн бұрын
Kazi inafanyika nyamagana Mwanza Mkuu Wa wilaya kila baada ya mwezi miwili makilagi anapita kuwasikiliza wana nchi ongela yake
Mama yy atumbua ma DC na rc daily lkn mawaziri wezi walao mabilion utamskia akiongelea we ss akil kichwan wetu😢
@mkude
10 ай бұрын
Tutajie Kwa ushahidi waziri gani sasa aliekula mabilioni
@daudkhatib-qn5tr
26 күн бұрын
Uwoo wizi unamashirikiano ya taasisi nyingi
@user-nw1io4cz5u
13 күн бұрын
Ukitajiwa majina unataka kuchukua hatua gan??@@mkude
Hio system ni CCM mama usijifanye hujui hakuna jipya hapo ndo zenu hizo CCM
@fredrickipembe8188
10 ай бұрын
Sana tu kaka
Mama Samia i will blame you, umeamua kuwaachia. I miss magufuli
@Ibnimohd-tr6qc
10 ай бұрын
Following Magu
@festokemibala5832
10 ай бұрын
Kama umewabaini waondoe katika ofisi walizopo, mtaani soko liko saturated watu wanatafuta wapi pa kuonyeshaea umahili na weledi wao katika kuhudumia umma.
Mama nimekusikiliza nimekuelewa sana,ombi kwa wana Mbarali tunaomba uturudishie arizi yetu
Asante raisi ila wewe ni mpole sana tunataka tukuamini ila kitu kimoja tu mama uwe makini na watumishi wako pengine unapoona mabango ya kukupongeza achana nayo pengine unapopongezwa mamluki wametumwa pengine jambo hilohilo unalopongezwa kulifanya linakua halijafanyika wanakupongeza Ili kukuziba macho hivyo nakushauri uachane na pongezi pokea na malalamiko kama unavyopokea pongezi utajua pabovu
HAWA HARIMASHAURI NI WAIZI SANA SISI WANAICHI TUNABANWA KULIPA UTITIRI WA KODI NI SHIDA MAMA
Mama kama ndio namna ya kukemea watumishi waizi basi hakuna nchi
@hajihassan5433
10 ай бұрын
Very true!
@mkude
10 ай бұрын
Unataka akemee vipi au unataka atukane,
@hamisisonga9342
10 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
polite advice achana na issue ya DP world inakuchafua our dear president nchi inagawanyika
@mkude
10 ай бұрын
Hapana DPW ni muhimu kuja kuwekeza katika bandari yetu Kwa maslahi ya taifa letu
Upole na tanzania vitu viwili tofauti
Leo umenifurahisha sana mama yetu .hiyo fuatilia wapo wengi
@SangioNgoo
10 ай бұрын
Atafuatilia wangapi na nchi ni kubwa? Bila kubadilisha mfumo ni bure! Kuna mtu alikuwa anatumbua kama Magufuli? Mbona hakuwamalizika? Mnakuwa warahisi sana kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
@aishaalbalushaishabalush8291
10 ай бұрын
@@SangioNgoomfumo yeye samia ndio kaubadilisha adi sheria kazibadilisha alivoingia tu kama huamin kasikilize hutuba zake za mwanzo alivo apishwa tu akasema kuna sheria ziliwekwa kubana watumishi wa umma na kubana wawekezaji ambao ndio hao wawekezaji wizi akasema anazifuta hizo sheria na mfumo wa mtangulizi wake sasa we ulitaka mfumo gani wakat wanabadilisha kwa masirahi yao awam hii wizi umezidi mfumo wa jpm ulikua mzur wizi walibaki kidogo sana waishe sema wakamkata uhai wake ila mifumo inabadilishwa na ndio kilicho fanyika sasa huyu anaongea. tu ila udhibiti wa wizi hana ye mwenyewe anaiba ndio maana anakwambia nanyie mle urefu wa kamba zenu kwahiyo mfumo unabadilishwa ndugu
@hassanmfaume4522
10 ай бұрын
@@SangioNgoo kweli maneno yako ndio mgawanyo wa madaraka..!
@ahmedissa7882
10 ай бұрын
Kila la kheri Mama
@daudykasherente8667
10 ай бұрын
@@SangioNgootru
Mama mm mwanao nakupenda sn lkn namna unavyo ongea na viongoz wanao kwenda tofaut na muongozo wa Nchi una fanya nimkumbuke Magufur,nimesikiliza hutba yko ila nilivyo fika kwenye wafungaj na watu walio nyanganywa aridh yao nineumia sn namna ulivyo hitimisha hlo, yaan umesha jua waz hawakutendewa haki kwa sababu hawana kipato ww km mkuu wa Nchi na mtetez wa wanyonge unashindwa kutoa tamko la wao kupata haki yao et unamuagiza mkuu wa Mkoa wkt unajua waz na yy ni miongon mwa walio wazulum,hapo ndio utaona umuhim wa baba yetu Magufur 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@omanoman-ir1ez
10 ай бұрын
hahahahaa kweli kabisa mama ni mama tu hawezi kuwa kama baba mama yako amefeli
@gloryarnanidaud8748
10 ай бұрын
Aseme wakati mpango mzima anaujua hiyo ni vunga TU.
@jackisonmlaari4556
10 ай бұрын
Utatoka 2 2025 c ni kesko
@Ibnimohd-tr6qc
10 ай бұрын
Kila zama na nabii wke zam ya mama wa Taifa
@simontamba2189
10 ай бұрын
You make me cry
Kwa hili,do' sikupingi mama. Gonga nyundo. ❤
Kuupiga mwingi maana yake huo wizi mama! Awamu yako inatisha na hutafika mbali ukiwabembeleza hivyo.
Tatizo mama unaongea kuliko kutekeleza, unabembeleza watu wanaokula mali za nchi😢
@judyngowi391
10 ай бұрын
Yanaishia hapohapo
Mashallah ,mama sifa zote za kiongozi Bora unazo ,kuwapa nasaha ,kuwaadabisha, ,kufatilia,na kutoa maamuzi sahihi , mashallah nakuombea dua njema ,afya njema ,ibada endelevu ,umri mrefu wenyewe ibada na mwisho mwema.
Shida kubwa umerudisha wezi watumbue
mama mama mtu amebainika ameharibu rushwa au wizi mbona unawaacha kama vile zamani mtumishi kibaha Dareslaam eti adhabu yake anahamishiwa mwaza mama hivyo tumbua ili iwe fundisho kwa watumishi wako ukiwaacha wanakuchukulia powa tu eti mama ni mpole tumbua mama usiwaache
Sasa semina kashiriki itakuaje?,au hawalipwi hapo?.kweli unaweza kufa nimeona huruma.
Toa oder don't complain these people of ccm wanafanya kazi kwa mazoea
HUYU MAMA ANAONGOZA HII NCHI KIMWINYI SANA NA KIZANZIBA, NCHI IMESHAMSHINDA HII
@khamismwadini2169
10 ай бұрын
Umwinyi huo huo Leo ndio unakufanya ujambe
Si ndio hao wanaokusifia unaupiga mwingi, acha kazi iendelee mamaaaaa..
@aishaalbalushaishabalush8291
10 ай бұрын
nayeye akijisifu kuwa anachawa wake ndio hao
@sulemanmndeme8961
10 ай бұрын
Km anafanya kazi ana wajibu wa kusifiwa. Wizi ni sifa ya mtu. Dawa yao ni kutumbua.
@allanmbilinyi4826
10 ай бұрын
KAMA HUTAKUWA MKALI NCHI ITAKUSHINDA UWE MKALI PESA UNAKOPA MAJIZI YANACHUKUA.. KINASEHEMU ZILITOWA ML 130 KWA AJILI YA DARAJA MKARARASI ANALALAMIKA AMEPATA ML75 TU DARAJA CHINI YA KIWANGO PIA HAIJAISHA...UWE .KALI MAMA.
Leo ndo unajua wamekuweka hapo , hii tabia ya kùpuuza kero za watu wamekoi kutoka kwko
Mhhh si kweli, mbona huwatumbui wakurungezi na mawaziri wako wakula hela,na miradi inasuasua
Samia rais wetu sisi Wana nchi tunzidi kukugundua kuwa huna Nia njema na nchi hii kwa maneno yako haya Yani tatizo unaliona halafu eti unataka lipoti niyanini kama huwezi kuchukuwa maamuzi ya hao wezi unatudanganya kwa kutulagai mbona huchukuwi hatua kwa hao wezi?
Kero ingine ni bandari zetu sikiliza hizo kelele pia?
Hao ndio wa bara bwana
Mwisho wa siku mwananchi ndie anae teseka. Makato na maendelea pia yanacheleshwa. Hongera mama leo umeongea mule mule.
@magrethmeela154
10 ай бұрын
Mama ni mzalendo hapendi dhuluma hapendi rushwa hapendi wabadhilifu hongera mazaaa❤
Mama hii ni system ambayo CCM waliitengeneza. Ni sawa na kofi la kujipiga hamtakiwi kulia
Wote wapo chini ya Tulia atimuliwe kwanza yeye hata Kama anachaguliwa na wananchi mzembe huyo
Ooooh my god. WATUUUUU jamaniiiii khaaaa😢😢😢😢
Asanteee sana mheshimiwa Rais dokt Samia kwa kusimamia vizr seriiali
Upo vizuri mh Rais kwa kusimamia Taifa letu,unaonesha uzalendo wako kwa Taifa lililosimamia, .Binafsi nakupongeza sana kwa maendeleo tunayayona,,
Kwa sasa mkurugenzi kawa waziri na waziri kawa raisi wakuu wa wilaya ndo usiseme mama yupo vizuri ila watendaji wake daa mungu atusaidie.tuu kwa kweli.
Mama niteuwe hata mimi niwemkuu wawilaya nitaweza cyo kama hao walafi wanakula hawakumbuki hata wenzao kama wapo😊😢😢😢
Moja ya maeneo ambayo yanarudisha maendeleo ya nchi yetu kwasasa ni ulaji mkubwa wa hela ya serkali.Hili nidoakubwa kwakweli.Kwa vile sasa mama umeanza kuyaona kuyafuatilia naona mbele majizi yataanza kuogopa.Hongera sana mama yetu.Tupopamoja nawewe mama.
MAMA,HIYO MBONA IPO SIKU NYINGI MAMA WATU BADO HAWAJAPUNGUZA, TZ YETU MBONA INAPESA NYINGI TU ZINALIWA TU,
Hongera mkuu kazi unaenda poa. Viongozi matatizo tusafishie mama
Mama umekua mpolesana nandiomana nchi iinachezewa takukulu mbeya niwala lushwa ukipeleka tatizo umepeleka ulaji wachukuliweatua
Wanakudharau Mama kwa sababu unawalea. Matukio ya wizi wa fedha huchukui hatua mfano ripoti ya CAG inayowahusu hata Mahakama mbona kimya ? Ripoti ulikabidhiwa ya hayo madudu, Watu wanakosa imani na wewe kwa sababu huchukui hatua kwa wakati na wananchi wakajulishwa. Ndo maana watu wanasema hii ndo Tanzania yetu kiunyonge, rohoni tunaumia.
Mama ungewaondoa hao wapigaji, umewasamehe? ina maana hiyo pesa iliyokusanywa kwa udanganyifu jee? Naomba utumbue wote hao vinginevyo huu mchezo hautaisha aisee, naomba uwe mkali sana usikanye wewe ondoa tu watendaji wasiokuwa waaminifu 7:38
Asante Kwa kuliona hilo
Bora hata aliyetumbuliwa kuliko mtumbuaji
@zianasalimuhivikunamchunga5224
10 ай бұрын
Huna hayaaaa wewe,
@MiriamAbdallah
10 ай бұрын
Kunywaa ntalipa ndugu
@Ndu-wa.uroony2
10 ай бұрын
@@MiriamAbdallah thenkyu!
Overhaul the whole Mbeya government system kama kweli uko serious. Usirudie kosa kuhusiana taarifa ya CAG last year ulipofikia hatua ya kuwatukana wezi wa fedha za Serikali, ... Shenzi kabisa, ... Ajabu hukuchukuwa hatua yoyote hadi leo. Hapo ndipo mnawapa nafasi Chadema kuwapiga mawe.
Mama piga Kaz nakupenda sana Na Mungu akusimamie
Suluhisho ni katiba mpya, na maoni ya wananchi, wakuu wa mikoa (magavana) wachaguliwe na wananchi, na asipofanya vema anapigwa chini kwa kura au kushtakiwa ( impeached). Kila.mtu atafanya kazi kwani haiwi kazi ya hisani ya rais,urafiki na kubembelezana kama sasa, Kila Miaka 5 anarudi kuomba kura na umma unaamua aendelee,au wanachagua mwingine wanayemtaka.
Mama uongozi umekushinda. Watanzania wanafhulumiwa na watu wachache . Lugha yako hafifu. Chukuwa hatua
Nafikiria baadhi ya mawaziri nao ufuatiliaji uwepo,channel ni KUBWA mno
Tumbua hao wote ni mtandao huo wa ulaji wa fedha zetu sisi wananchi
Mama nakupenda sana maana unaogea ukewli
Mh. upo sahihi kabisa
Yaani mama unachofanya ni k.m mbwa anayebweka harafu hang'ati
Mama huo ndo wizi wa tz kufanya tepng ndo zao hao piga chin usilembe mwandiko mswahili humuwezi tunaumia sana Hali mbaya sanaaaaa
Mungu awape maisha maled dunian na akher
Mungu Baba Mwenyezi tuokoa Wanyonge.
Anza na Tulia Aksoni atimuliwe yeye ndie mwangalizi na mwakilishi
Unakuwa mpole mno, kwanza ilitakiwa uwe umewasimamisha then yafate.majitu hayo ndio yanatutesa na kutunyanyasa wananchi
Duu hii ni hatari Rais wetu tunakuombea pambana nao hao
Tatizo la mama mpole sana
Asante sana Mama chapkazi.
Kuna waninga wachache hawaelewi lakini MAMA uko kazini
Hongera Sana mama
Mama siku onyesha rangi yako halisi maana wanao haribu wanajulikana
Mama hongera xnaa, but punguza upolee penye ukali fanya kweli unaachaje watu 700 wanateseka kwa ajili ya manufaa ya mtu na familiya yake! Ni bora wafe 20 wapone 200 coz katik hao watapatikana wazur watao lipizia hao wapumbavu wanaoharibu then unatukanwa wew kuw nchi waendesha vby coz yao, wape adabu wanayostahik kwa uadilifu, ahsante Allah akuongoze pale penye mapunguf yako:
Ikiwa huko chini Kuko hivyo na yule wa juu kabisa hapo mbeya mchungulie
Uyu mama sijui ni kiongozi wa aina gani . Yeye kila siku kazi yake kulalamika kuliko kutoa majawabu na way forward. Kwa kifupi kazi ya uraisi haiwezi .
...... Tumsifu Yesu kristo,Leo angalau nimekuelewa kidogo mama,gap ni kubwa mnoo kati ya watawala na maskini,chunguza sana maafisa elimu,kila sehemu ni rushwa tuu
Daaah tunasafari ndefu sana
@marklekasango9300
10 ай бұрын
Vibaya mmno
Mama mh Rais upo vizuri shida wanaokuzunguka ss tunajua pia huna maamuzi ya Moja kwa Moja ni mpole sana kwann usiwafukuze hao.....ss wasio na vyeti mlitufukuza bila kigugumizi lakini mafisadi wahujum uchumi wezi na wapiga dili wa nchi hii hubembelezwa
M a ma asante.sana mungu akuhifadhi wako wengi.wakuatumbua nakuwafukuza.kamahuyohuyoo
Ivii unapenda mwizi wa Inch malara wa wataifa wee
Bravo Mama,keep it up, Mungu akubariki sana
Kazi nnayo !Ya Allah tunakuomba mama yetu huyu ashinde Asishindwe Amiin.
Mama Dr Samia Suluhu Hassan Mungu akupe nguvu utekeleze azima na ilani ya Chama kwa wananchi. Na watendaji na maofisaa wanaoporw pesa waende nyumbani.
MIMI KILICHO NIACHA HOI WALIO TENGENEZA MTANDO WA WIZI WAPO ILA ALIYE PELEKA MAJI UPANDE MMOJA AMEFUKUZWA LAKINI WALIO TAJWA WAPO MKUU WA MKOA MKUU WA WILAYA DASI SIMTETEI ILA HAKI YULE ALIKUWA WA KUONYWA KISA KADI, ZA CHA ILA HILO LA MBEYA AAA TUME KWAKWELI HAKI HAPA DUUUUU ALLAH MWENYEWE ANAJUA
Mama bila bakora watu hawaendi kuwa mkali
Mpe nguvu majaliwa anaweza
@khalidmohammed3396
10 ай бұрын
Kabisa bro
@salmanmagwe2612
10 ай бұрын
Kwani si tayari waziri mkuu ana nguvu?
Mama kama umeuona hayo hongera sana keto ni nyingi lakini hazifiki ukiongea tu ni kichapo
Mama ongea tu,watu wanakula urefu wa kamba zao bora wasivimbiwe.
Acha kubembeleza watu aiseeee we mama veep aiseee mbona unahuruma za ajabu😡😡😡😡
Kwa hili! Umesema kweli.
Kama huwezi kutoa maoni nyamaza sio kutukana. Kiongozi Bora ni yule mwenye busara na sio kutoa maamuzi magumu hongera sana samia.
SIJAWAHI KUSIKIA KIONGOZI MKUBWA ANASEMA KWAMBA ATAENDA KUULIZWA NA MUNGU JUU YA UONGOZI WAKE ,MUNGU AKUTANGULIE MH RAIS TUNAKUPENDAAAAAA❤❤❤❤
MAMA HAYO NDIO MAMBO YANAFANYIKA TANZANIA NA WOTE MNAJUA WATUMISHI WA SERIKALI WENGI WEZI. KIKUBWA NI KUTUNGA SHERIA KALI YA WALAJI KUWAFUNGA NA HATA KUNYONGWA.
Mama kuwa mkali wezi watuupu ulionao hapo unaongea kiupole mama wezi hao wamekuzunguka yaan wasafi hapo ni asilimia 40
Kwa kauli hizi,mambo yatakuwa magumu zaidi,ulemba mbele ya majambazi.Mimi naiona 2025 mbele.Sijui Kama kutakalika.Wenzetu huko Zanzibar najua mko Waungwana.Haya yalitukuta kwa Mwinyi.Nchi ilidorora.Hotuba tamu tamu za nini !!
@ottumachachary8925
10 ай бұрын
😂😂😂 ulemba mbele ya jambazi..
Mimi napendekeza kina mama wapewe nafasi zaidi kuliko mababa jamani hao wanakutoboa jicho ukiwa umesimama mh rais angalia upya uteuzi wako na ulete katiba mpya ya wanainchi ili kazi yako iwe raisi
Mweshimiwa Rais hao wote wanaofanya hayo Madudu hakuna haja ya huruma tumbua wote ,kuna vijana wengi wenye elimu na weledi wa kufanya hizo kazi. Mama hao wabovu wote ndio wanaokuharibia.
Hakuna Rais hapa. Hapo wanaume wanamng'ong'a tu na kumuona kama mshamba fulani hivi
Mama apo unaongea ila kuna mijitu aikusikiliz kabisa yan,,inwaza kukuangusha tu yan daaah
Mama samia nakupenda sana kwa uchapakazi wako M/mungu akuongoze,kutokn na nia yako njema watajidhuru wenyewe hao mafisadi ya kiuchumi!
Daaah mama hapo wanakutazama to😊
Hizo pesa ungekuwa umezitafuta wew usingeongea hivo ngoja tunakuona 2
Weka watu wenye hof u ya Mungu,mama ikiwezekana waarabu
Na mama unaongea kama mzaha, kuwa mkali chukua hatua na fatilia na tuone matokeo
Rais hapana amepata sn, tukio kubwa kama hili anaongea lugha laini kama hii?
🎉arusha mh kumeoza na rushwa
Inchi imekushinda we unajua kusafiri tu unawachekea ....mwenzio alikuwa anamalizanao hapo hapo
Kila siku unaongelea kuhusu kuhusu ubazilifu wa fedha kwenye sekta mbalimbali lakini mbona hujatoa amri wakamatwe na kufunguliwa mashtaka ila wanakosoa serikali kwe maada za msingi ndio wanakatwa kila siku it doesn't make sense at all