VIDEO: SPIKA TULIA NA HALIMA MDEE WAVUTANA VIFUNGU VYA SHERIA ISHU 'MKATABA WA BANDARI'

Mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee amechangia maelezo ya Serikali kuhusu mapendekezo ya kuridhia mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji kazi wa Bandari Tanzania ambapo amesema manufaa ambayo yanatarajiwa kupatikana iwapo Bunge litaridhia azimio hilo ni pamoja na kuongezeka kwa Mapato ya Serikali.

Пікірлер: 908

  • @rehemaabdallah9370
    @rehemaabdallah9370 Жыл бұрын

    Mungu akuzidishie maarifa Halima mdee uko vizuri sana

  • @emmanuelafrica
    @emmanuelafrica Жыл бұрын

    Barikiwa sana dada Mungu akuzidishie umeonesha Mwanga ila huwezi kubadili chochote acha tuliwe tulimkosea sana Mungu 😭😭😭

  • @hussenaaghe2760

    @hussenaaghe2760

    Жыл бұрын

    Barikiwa chama gani chadema hamtabi

  • @ayubusimake

    @ayubusimake

    Жыл бұрын

    @@hussenaaghe2760 ß

  • @gloryclement6400
    @gloryclement6400 Жыл бұрын

    Natamani upinzani wangekuwepo hata 10 tu hapo bungeni.😢😢hili swala Lingeisha chap Sana!! Halima mdee🔥🔥🔥!! Unajitahidi mama

  • @emanuelandronicus2574
    @emanuelandronicus2574 Жыл бұрын

    Prophetess halima mdee🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏Mungu akulinde

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri6961 Жыл бұрын

    Mheshimiwa Halima Mdee ishi miaka mingii…unaongea points sana👏👏👏👏

  • @user-yh3do3pk4y

    @user-yh3do3pk4y

    10 ай бұрын

    Tumia akili

  • @fatmaayoub8298
    @fatmaayoub8298 Жыл бұрын

    Ishi sana Mheshimiwa Mdee you're a true Hero of Tanzania..your legacy will remain always 💪💪💪🙏

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Жыл бұрын

    Mh Halima Mungu akutangulie kwa kila kitu unachofanya na kubariki kazi zako pamoja na tumbo lilolokuzaa Hakika ww ni mfano wa kuigwa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui Жыл бұрын

    Nakupenda sana dadaangu Halima, Hawa wengine bana!! Mungu tusaidie.

  • @yassinkimolo2943

    @yassinkimolo2943

    Жыл бұрын

    Halifax unaumia sana kwasababu unajaribu kuelewesha hayo mazuzu malarushwa hayaelewi

  • @danielworshiper6002
    @danielworshiper6002 Жыл бұрын

    Mdee mmoja ni sawasawa na wabunge wote wanaume wa CCM........ Nakupenda Halima Mdeee

  • @fatmaayoub8298

    @fatmaayoub8298

    Жыл бұрын

    ❤️❤️❤️💪💪💪

  • @neemamasimba2981

    @neemamasimba2981

    10 ай бұрын

    Bravo bravo bravo bravo, Halima Mdee

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Жыл бұрын

    Halima ana hoja kali sana ila wamemkatisha katisha ile asiseme ukweli daah bongo nyoso wallah 🙌

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles579110 ай бұрын

    Tunaangamia kwa ujinga wetu peke yetu,wanaoongea ukweli wanazibwa midomo kisa ulafi wa wachache wenye Dola😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu ingilia kati

  • @dawndawn387
    @dawndawn387 Жыл бұрын

    Inaumiza kuona speaker wetu anakuwa namna hii ! Hili ni jambo kubwa ambalo wanainchi tulitakiwa tuelemishwe kwa muda wa kutosha .Mungu ibariki Tanzania

  • @lubangompyalimi8922

    @lubangompyalimi8922

    Жыл бұрын

    Spika wakati mwingine hafai kabisa.analinda ufisadi unaotaka kufanywa bandalini.

  • @mustafahakim-iq7dj

    @mustafahakim-iq7dj

    Жыл бұрын

    We umesoma wapi mpaka unamuona mwanasheria anakosea au ni fikira zako tu

  • @calistustitus4566
    @calistustitus4566 Жыл бұрын

    Uyu spika ni boya kuwai kutokea na ana wadharilisha watu wa mbeya linafiki sana

  • @birianination7097

    @birianination7097

    Жыл бұрын

    Spika ajampinga ila anahakikisha kilamtu anasema vitu vilivyo kwenye mkataba

  • @kefajoseph158

    @kefajoseph158

    Жыл бұрын

    @@birianination7097 spika gani msenge huyo anamsaidia Samia kuuza nchi

  • @birianination7097

    @birianination7097

    Жыл бұрын

    @@kefajoseph158 ni wapi nchi imeuzwa, Usikute unafikiri kua huu mkataba unao zungumzwa ndio mkataba wa makubaliano ya kazi.

  • @user-nn8um3qh6y

    @user-nn8um3qh6y

    Жыл бұрын

    Huku kwetu tunanufaika na tamasha lake la utamaduni na diamond alimleta tulia wewe

  • @flavianmashimi6327
    @flavianmashimi6327 Жыл бұрын

    Maoni yangu ni kwamba. Mjadala huu umegeuzwa kubwa malumbano ya uchama na siyo uhalisia. Chama tawala ninaona kinajitahidi kuhakikisha kinawavuruga wapinzani ili wananchi wasiwaelewe na kuwa brand kama WAPOTOSHAJI ili kulinda makubaliano yaliyosainiwa chini ya usimamizi wa Mwenyekiti wa chama. Kinachoangaliwa hapo ni maslahi ya chama na siyo nchi. Sisi wananchi tulio makini kufuatilia tunaona majadiliano yamekuwa malumbano na vipengele tata halitashughulikiwa. Mungu ainusuru nchi yetu

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Жыл бұрын

    Kweli umeongea

  • @exavelyjohn346

    @exavelyjohn346

    Жыл бұрын

    Kwani siye twasoma ili iweje km kila kitu twategemea kusaidiwa

  • @margarethsaramaki3966

    @margarethsaramaki3966

    Жыл бұрын

    Kwenye point za maana zinakuja TAARIFA Mwaitara anaongea utumbo wanampa muda aseme tu UJINGA Wana tabia mbaya utadhani Chadema siyo wa Tanzania sijui wabunge gani hawa kwenye majimbo next time tuwapige chini hawafai

  • @engmwalukasa9764

    @engmwalukasa9764

    Жыл бұрын

    Naungana na wewe... Bungeni saizi ni vyama tu... CCM wanajinadi kabisa kuwa hoja inayoamzishwa na mwenyekiti wao haipaswi kupingwa...

  • @engmwalukasa9764

    @engmwalukasa9764

    Жыл бұрын

    @@margarethsaramaki3966 Nakuunga mkono... Mtu akiwa anaunga hoja yao... Wanampa muda wa kutosha... Lkn mtu akiwa anapinga wanaishia kumkosoa...

  • @IreneFabiani-ug3en
    @IreneFabiani-ug3en10 ай бұрын

    Ishi saaaaana halima❤️tunakupenda mungu akupe maisha marefu tunakuombea pia 🙏

  • @andrewpaul6531
    @andrewpaul6531 Жыл бұрын

    Inauma na kusikitisha sana kwa viongozi walopewa dhamana wanakosa uzalendo na nchi yao 😢😢

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Жыл бұрын

    SAFI SANAA BI HALIMA MDEE.

  • @Fardadihd

    @Fardadihd

    Жыл бұрын

    Tulimezeshwa ujinga kuhusu bandari nilimsikiliza anaongea pumba mdee sijui km halewi

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Жыл бұрын

    Halima ni kichwa sana!Inapendeza mno.Spika wa bunge ni kichwa sana yuko makini na ni smart sana.Nimeamini wadada wembamba ni vichwa sana.

  • @kasangagregory5747

    @kasangagregory5747

    Жыл бұрын

    Hapo kama mvivu kusoma na kufikiri unabaki unatoa macho.

  • @mimikimanga3126

    @mimikimanga3126

    Жыл бұрын

    Sanaaaa yani

  • @EditaJoseph-zo9dv

    @EditaJoseph-zo9dv

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂 kwahiyo wanene 🤪

  • @jumannemohamedy1456

    @jumannemohamedy1456

    Жыл бұрын

    Tena spika ni kichwa kweli kweli wala sio masihara Tanzania 🇹🇿 tume barikiwa kuwa na wanawake vichwa sana na ndio maana wame aminiwa na wana wajibika

  • @ndayimanase7123

    @ndayimanase7123

    Жыл бұрын

    Spika kapangwa hajadili anatetea mkataba, hajadili chochote but ukwel mkataba n mchongo persee

  • @PROFESSOR_OF_THE_CENTURY
    @PROFESSOR_OF_THE_CENTURY Жыл бұрын

    Daaah ukitumia akili ktk hii speech ya mdee na tulia utagundua kuna mmoja yupo kwa ajili ya maslahi ya chama na mwingine yupo kwa maslahi ya nchi. Ni huruma sanaa😢😢😢😢One day ukweli utasimama

  • @aishatarimotarimo2689

    @aishatarimotarimo2689

    Жыл бұрын

    Exactly

  • @feaonlinetv210

    @feaonlinetv210

    Жыл бұрын

    Hayo matumaini ya One day ndiyo yanatumaliza,

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Жыл бұрын

    Halima mdogo wetu, dada yetu Umeeeleza kwa mapana yake ipo siku utakumbukwa

  • @judithgeorge1756
    @judithgeorge1756 Жыл бұрын

    Nakupenda sana halima mdee

  • @didasmartine7665

    @didasmartine7665

    Жыл бұрын

    Nakubali mdee

  • @ibrahimtesha2733
    @ibrahimtesha2733 Жыл бұрын

    Naona kama Halima amevurugwa vurugwa asieleze alichotaka tujue, hadi muda wake umeisha kwa taarifa za "hovyo" tu. Sijaelewa, na nadhani waTZ wengi wanachanganywa ili tu kuitetea Serikali. Naona umuhimu wa kuahirisha jambo hilo tupate nafasi ya kukubaliana kama wananchi. Bandari si mali ya kukodishwa ovyo hivyo ninavyoona! Kama tulishakosea, bora tujenge uwezo wa kumiliki wenyewe hata kama tutaendelea polepole.

  • @jamhuri_imala3976

    @jamhuri_imala3976

    Жыл бұрын

    nikweri kaka

  • @realswahilicultural8140

    @realswahilicultural8140

    Жыл бұрын

    Alima Hana kitu ni muzuka tu anao😅

  • @evancegidion9155

    @evancegidion9155

    Жыл бұрын

    Bandari sio mali ya Tulia,na akina ..... mnaowashabikia mhimu ujumbe ukiacha inaendelea mtu ana uwezo kuchangia chochote tulia acha ubabe

  • @ANJELACHALE-od3ki

    @ANJELACHALE-od3ki

    Жыл бұрын

    Uko sahihi,bandari ibaki kusimamia na watanzania wenyewe.

  • @ANJELACHALE-od3ki

    @ANJELACHALE-od3ki

    Жыл бұрын

    Tuiboreshe vizuri bandari yetu na tuisimamie vyema.

  • @MariaCassian-ys7pt
    @MariaCassian-ys7pt3 ай бұрын

    Mtuakiongea vitu vizuri utasikia taarifa ilikumpotezea tu mtu point zake HALIMA chukua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @scolamwamokye2096
    @scolamwamokye2096 Жыл бұрын

    You're strong my sister that's y,, hukutaka kustaafu bunge!! Live long great woman (lawyer)of Tanzania 😊

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Жыл бұрын

    R. I. P JPM. Hakika ulikuwa shujaa kweli kweli. Majizi wamerudi tena, hawana huruma wala uzalendo kwa nchi maana sio watanganyika hivyo huuza kila kitu. Tumepata Rais bomu kuwahi kutokea tangu dunia iubwe. Ee Mola tuepushe na haya majizi.

  • @anthonyleonard7273

    @anthonyleonard7273

    Жыл бұрын

    Magufuli ndo chanzo cha haya matatizo… kuweka wabunge wote wa ccm

  • @kefajoseph158

    @kefajoseph158

    Жыл бұрын

    Kabisa jamaa yule ni SHETANI watanzania

  • @kefajoseph158

    @kefajoseph158

    Жыл бұрын

    @@anthonyleonard7273 umeona eee

  • @margarethsaramaki3966

    @margarethsaramaki3966

    Жыл бұрын

    @@kefajoseph158 wakubali wakatae Mbuge wa Chadema akisimama Bungeni ni TAARIFA wana uweledi wa kutosha sana mimi siko chama chochote ila ukweli ni huo Halima ni juu juu zaidi🥰🥰

  • @josephstephen1079

    @josephstephen1079

    Жыл бұрын

    Alichokosea ni kuua upinzani na madhara yake ndiyo haya sasa

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Жыл бұрын

    Watanzania tuamke miaka60 yauhulu bado hatuwezi kujenga bandali yetu bado tunangangania ccm kwanini tusibadili chama maana hawa watu wameshashindwa kuendesha hii inchi

  • @ChristerShao
    @ChristerShao11 ай бұрын

    Halima ni jembe tangu sana.Tumekuelewa mwanangu,Tulia amekubana sana,wale wa ndiyo wakikazana kuomba mitaarifa wakumbuke yupo hasiyedanganywa.Halima mungu akulinde saana akuinue umeweka alama ya kuigwa.

  • @shangwejumanne466
    @shangwejumanne466 Жыл бұрын

    Halima Mdee keep it up kuna siku watakukumbuka huyo sijui naibu waziri Mama hata haoogopi wanatetea kitu kitakachotafina mpk vitukuu bahasha za Kaki zinachanika ila haki ya watanzania itawatafuna Halima siku moja utakuwa kinara just keep it up Si

  • @ImanMwanji-rd3lu
    @ImanMwanji-rd3lu Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana harima mungu akubariki

  • @malakimollel6044

    @malakimollel6044

    Жыл бұрын

    Sio harima ni halima. Asante.

  • @user-hw3iy8jo3w
    @user-hw3iy8jo3w Жыл бұрын

    Nakuapia huyu spika anacho kitenda kwa wapinzani sio Sawa ila tunamuachia mungu atasimama na ww

  • @anncharlesombijaombija3056
    @anncharlesombijaombija3056 Жыл бұрын

    Kwanini Zanzibar aiuzwi anajuwa akishatuuza anarudi kwao mungu tusaidie

  • @user-bj6bs9do2f
    @user-bj6bs9do2f4 ай бұрын

    Bando langu Nalitumia Vyema kuwasikiliza Watu kama hawa Yani Mbunge Mmoja Wa Upinzani kama Wabunge Elfu M1 Wamafisiemu🤣🤣Big Up Halima mdee A.k.A Sauti Ya Zege

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Жыл бұрын

    Halima mdee nakupenda sana wngu saut yako tu mdee Halima nakupenda sana saut yako

  • @epifaniaminja6284
    @epifaniaminja6284 Жыл бұрын

    Hongera sana Halima. Umetuwakilisha vyema waTanzania. Speaker ingependeza zaidi kuwa neutral bila kuegemea upande mmoja.

  • @kefajoseph158

    @kefajoseph158

    Жыл бұрын

    Umeona eee

  • @scopy0428
    @scopy0428 Жыл бұрын

    Kuna Baadhi Ya Wabunge huwa wanapotosha jamii kwa kias kikubwa sana Hongera sana Mh Spika Madam Tulia Akson.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Жыл бұрын

    Spika: -mwalimu anavyosimamia wanafunzi _mchungaji/padre Kanisani _waziri wa katiba na sheria _chuef whip Kwa ufupi haonekani kama kiongozi wa bunge..maana anavuruga michango ya wabunge.. Bi kidude kavuruga bunge...ovyo

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 Жыл бұрын

    Uyo Halima mdee kweli yako na Akili nyingi sana kabisa

  • @josehaulee1508
    @josehaulee1508 Жыл бұрын

    Ila huyu mama anajua kutengeneza hoja sanaa basiii tuu yaan

  • @jamhuri_imala3976

    @jamhuri_imala3976

    Жыл бұрын

    tumshauli tu aunt yetu aweanaenda kwenye points mojakwa moja itamsaidia na kupunguza maswali ili kuokoa muda

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 Жыл бұрын

    Spika Wetu Tulia Akson Upo Vizuri Sana,Sana,Tena Sana. Hawa Wapotoshaji Ukiwabananisha Namna Hii Wote Watafunga Midomo Yao.

  • @nangugu1657
    @nangugu1657 Жыл бұрын

    Harima mdee nguvu Yako tumeiona umepambana mama ila waache wapitishe mikataba. Kama neema Itakuwepo tukapata magufuli mwingine huenda atavunja hiyo mikataba tena. Lakini nimeumia sipika Ktk majibizano ya halima na yeye Ameahidi kuulinda Mdaa Kwanini kampa sekunde 30 Amemlindia wapi mda hapo Watanzania Tujifunze sana haya Mambo. Ushauli Mkataba wa miaka 100 kama ni kweli selekali iangalie Kwa umakini kwani Waliopitisha Mkataba hawatakuwa wapo madalakani Kwa miaka yote hiyo apana Bali Watakuwa wamewaachia changamoto Vizazi vijavyo wajuku na vituku zungumzeni Kwa masrahi ya Vizazi vijavyo pia Litazameni Kwa umakini Asanteni

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Жыл бұрын

    Wabunge wa CCM waovyoo kabisa

  • @sanaanimaisha4072
    @sanaanimaisha4072 Жыл бұрын

    So planned, and decided before hearing. It breaks my heart

  • @TM.Sullusi

    @TM.Sullusi

    Жыл бұрын

    Hatari sana😥😥😥

  • @IddyRashidi-vf9jm

    @IddyRashidi-vf9jm

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z6x8qbCEltnMdqg.html😢😢😢

  • @Bensonfrank25

    @Bensonfrank25

    Жыл бұрын

    🤝

  • @norahsteven2662
    @norahsteven2662 Жыл бұрын

    Love you so much halima mdee😍😍

  • @raysetallent1588
    @raysetallent1588 Жыл бұрын

    QOUTE... KUTOKA KWA WAKILI MSOMI ...MR.. BONIFACE MWABUKUSI KAMA SISI HATUNA AKILI ZA KUONGOZA HI BANDARI WATAKUJA WATOTO WETU WENYE AKILI ZAIDI YETU KUONGOZA ... HONGERA SANA DADA YANGU HALIMA MDEE ELIMU INAKUSAIDIA SANA 💯💯 HUJASOMA BURE .... SISI KAMA WANANCHI TUNAOMBA BARAZA LA MAWAKILI NA MWANASHERIA MKUU WAKAE WALICHABUE KISHERIA ... BILA KUKIUKA KATIBA ...NB.. KATIBA IFUATWE YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YAAN TANGANYIKA NA ZANZIBAR

  • @methuselategemeomanace5213
    @methuselategemeomanace5213 Жыл бұрын

    Hamuwezi kutumia siku Moja kufanya mjadala wa Jambo lililotumia siku nyingi za mchaakato huu. Mind you kwamba muangalie maamzi yaliyoyanyika siyo sahihi. Sanjali na Hilo Madam Sipika najua wewe hujakaa hicho kiti hujakaa hovyo umekaa kiutaratibu, Mdee anachoongea Ni kitu kuntu. Na na cha msingi once more nitalishuhudia as long as Mungu atatupatia uhai.

  • @zenj1986
    @zenj1986 Жыл бұрын

    Spika upo vizuri. Wallahi tungekupata zamani basi Tanzania ingekuwa na mikataba ya uhakika. Mama Tulia chukua fomu ya urais

  • @SBMEDIA79

    @SBMEDIA79

    Жыл бұрын

    Kwendraaaaa

  • @ndayimanase7123

    @ndayimanase7123

    Жыл бұрын

    Uzur wake n upi kutetea ujinga

  • @zainabuselemani6709

    @zainabuselemani6709

    Жыл бұрын

    anapotosha unasema ni mzur anachokiteta ni nn asa apo

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Жыл бұрын

    TULIA ANATAKA KILA KITU KIWEKWE WAZI KWA MASLAHI YA NCHI SIO KUROPOKA ROPOKA TU.

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Жыл бұрын

    ​@@zainabuselemani6709 UTAJUWAJE WAKATI HUNA ELIMU???

  • @LoxloxJuma
    @LoxloxJuma Жыл бұрын

    Wamemchanganya halima wamemto katika reli mungu akulinde

  • @jacktonetiibuza9970
    @jacktonetiibuza9970 Жыл бұрын

    Karibu chadema kwetu tena my sister 2025 tena bungeni salute kwako dada

  • @mhinahalfan2694
    @mhinahalfan2694 Жыл бұрын

    Hongera sana Halima, Leo ulikuwa unawekana sawa na mwalimu wako . Kwa pamoja mmefanya mjadala kuwa mzuri sana....

  • @directorbony185

    @directorbony185

    Жыл бұрын

    Kumenoga

  • @rajabtwahakombo
    @rajabtwahakombo Жыл бұрын

    Da inasikitisha sana Yani taarifa taarifa taarifa inaonekana kama sio haki kuchambua

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Жыл бұрын

    Kwahiyo mbunge miaka yote haikuwa series sio ,,mjadala wa Leo ndio muhimu sana dahh ,,,kwann tunafunywa watoto wadogo kwani watanzania kuwa wapole na nchi yetu ndio mtupeleke mnavyotaka kweli ama tunaonekana hatuna haki ama hatuwezi kupiga na kuandamana ila ee MWENYEZI mungu tusaidie sana ,,wabunge wamekuwa kama watoto wa chekechea ,,ee mwendazake tutakukumbuka daima😢

  • @loycep7785
    @loycep7785 Жыл бұрын

    Hata mimi ndg zangu watanzania nani aliyeturoga Mungu ametupatia akili na utajiri mwingi wa kuweza kunufaika sis watanzania ktk Taifa letu Leo mnatanga kujichanganya kudanganywa na hizi zawafi hamsomi neno la Mungu kukosa Upendo nyumbani kwetu na kwa kushirikiana kujenga Taifa kuliko kujiuza utumwani tunaona hivi hivi Tena miaka mingi hivyo kwa hiyo kizazi kijacho kitafsidi ni uTanzania wao Jamani mwogopeni Mungu msijinufaisha wenyewe Mungu hadhihakiwi Nchi hii ni yetu Mataifa mengi wanaitamani Mara ushoga ili watoto wasiendelee kuzaliwa ili Taifa life tuje kutawaliwa na mali zetu zitahifishwe Mungu anaona sirini Tuombee Taifa letu jamani watumishi tupaze sauti zetu kwa Mungu wetu yeye anaweza kubadilisha hata kama pesa imetolewa hatutaki kuuziwa Bandari zetu

  • @raymondstewart228
    @raymondstewart228 Жыл бұрын

    Sina Imani na tulia akson Sina Imani Nae kabisa

  • @alexkakwaya4383
    @alexkakwaya4383 Жыл бұрын

    In every law there is a loophole. Halima mdee anaiona hiyo loophole lkn spika haioni au anajifanya haioni.

  • @ndayimanase7123

    @ndayimanase7123

    Жыл бұрын

    Vitu viko planned kuwa ipite tu hakukuwa na majadiano yeyote ndo maana halimaanapingwa

  • @kefajoseph158

    @kefajoseph158

    Жыл бұрын

    Huyo malaya tulia anataka tuuzwe

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Жыл бұрын

    Anajifanya haoni

  • @lucykinabo

    @lucykinabo

    Жыл бұрын

    Hyu spika anajifanya haelew

  • @lucykinabo

    @lucykinabo

    Жыл бұрын

    Hyu spika anajifanya haelew

  • @goodwellmutambo7607
    @goodwellmutambo7607 Жыл бұрын

    HALIMA kichwa sana yaani ukitaka kujuwa kwamba CCM hamnazo eti mwana fa ni waziri

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 Жыл бұрын

    Hatutaki mkataba huu! Ulazima unatokea kwenye Bunge Kupitisha! Bunge likipitisha inakuwa Sheria...

  • @nicolausmundi
    @nicolausmundi Жыл бұрын

    Spika umepangwa cha kusema ndiyo maana unajibu hoja Za halima bila kujali zina mantic gani kwa baadaye

  • @agathaaroni7783
    @agathaaroni7783 Жыл бұрын

    Nilichogundua hawa wabunge wanatetea vitamb tu mana wanaacha kujadili vit tuelewe wanang’ang’ana tu kukubali huo mkataba😢Mungu tukumbuke.

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    Жыл бұрын

    Mungu kamwe hatajiingiza kwenye mambo kama haya

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 Жыл бұрын

    Kuna vitu vinafanywa hovyo mno na wafanyakazi wa serikali na njia nzuri ni kubinafsisha: -Uhamiaji -Bandari -Reli,police,TRA n.k kwa manufaa ya watanzania kwani hata nabii gani aje hawa watu wataendelea kula rushwa tu na kutusumbua sisi Raia

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Жыл бұрын

    Halima km halima anajitahid sana huyu mama lkn anabanwa banwa kwa sbb anaongea point

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Жыл бұрын

    Uko.vizuri harima mdee kuna watu wako nje Wana akili ila nyie Mungu kawachagua muwe mbele

  • @yassinkimolo2943

    @yassinkimolo2943

    Жыл бұрын

    Nashauri mikoa yote yenye bandari ifanya maandamano kupinga huu upuuzi

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Жыл бұрын

    Maswali anayoulizwa mdee ni ya mtego mdee yuko sahii

  • @Joseph-wz3jy
    @Joseph-wz3jy2 ай бұрын

    Nakupongesa halima mdee umeonge point safi sana

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Жыл бұрын

    Safi sana halima mdei maana ujanja ujanja umezidi inchi hii

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 Жыл бұрын

    Yani vitu vinaandikwa kwa Kingereza yanakua kama mambo ya Fei na Yanga tusizunguke mbuyu Ili jambo kama nchi hatutaki sababu atuna tunachopoteza , ipo cku kama nchi tunakuja kuzuiliwa mlangoni kwenye Ardhi yetu wenyewe

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Жыл бұрын

    Spika unalazimisha

  • @kayunganandelema8688
    @kayunganandelema8688 Жыл бұрын

    Dada halima wanakupoteza Ili ushindwe kuongea na lengo tusijuee wananchii huko hao wabunge wa CCM kazi nikusaport kilakituu mungu tusaidiee

  • @benjaminnungu8428
    @benjaminnungu8428 Жыл бұрын

    Mungu atatupa wate na wao, Amen.

  • @bettyrugemalila9185
    @bettyrugemalila9185 Жыл бұрын

    Safi cna Halima,hao wengine ni makofi tu

  • @shafee9128
    @shafee9128 Жыл бұрын

    Ukweli unapanda kwa miguu Uwongo unapanda kwa lift Mungu atakulipa khalima wajina wa Mamaa yangu

  • @eliasjoseph8830
    @eliasjoseph883010 ай бұрын

    Hongera sana halima mdee kwa kutetea maslahi mapana ya nchi yetu

  • @sharifalengima5605
    @sharifalengima5605 Жыл бұрын

    Nalia Sana na elimu hurahisisha Sana utendaji kazi Tulia mama Asante

  • @zeyzey5439
    @zeyzey5439 Жыл бұрын

    Halima MUNGU WAMBINGIN AKULINDE

  • @flavianmashimi6327
    @flavianmashimi6327 Жыл бұрын

    Nashauri Serikali ifanye due diligence kujua hizo kesi alizonazo DP World huko nje ni za kweli na je, hakuna njia nyingine ya kuongeza ufanisi?? Dhana ya PPP si mbaya lakini maslahi ya nchi yazingatiwe na si hofu ya kuona kuwa chama kitaonekana cha hovyo. Bandari ni yetu sote kwa sasa tunaweza kuonekana hatuwezi kufanya lolote kwa vile tuko nje ya Bunge naona wameishapitisha. Hiyo mikataba itakayofanywa tuione, tuione, na Bunge liwe live. Pia Wabunge waheshimiane wanatusikitisha hizo taarifa, zimekuwa nyingine ni uvurugaji. Tunajua Caucasus za vyama zimekaa na kuweka mikakati ya kulindana. Hebu kila mbunge achangie maoni yake na siyo kabla hajaanza kutoa hoja yake ya msingi ananyanyuka mtu " Taarifa" majaribu flow wananchi tunakosa ukweli

  • @justinamwirabi5730
    @justinamwirabi5730 Жыл бұрын

    Hongera Halima nimekuelewa Sana.

  • @arcadilamu396
    @arcadilamu396 Жыл бұрын

    Halima anaongea point Spika anaongea porojo kwa kuruhusu taarifa nyingi ili zimkwamishe Mdee,kwa maana hiyo Spika na Rais ni kitu kimoja wanaolenga kuupitisha kwa haraka

  • @HuliloDonard-gu9bp
    @HuliloDonard-gu9bp Жыл бұрын

    Harima mdee ww nichuma kweli hunanidhamu yauoga.

  • @birianination7097

    @birianination7097

    Жыл бұрын

    Halima kafeli, anasema lazima wapewe miradi yote ya bandari, ila akiombwa aoneshe wapi kwenye mkataba hawezi, sasa kivipi

  • @getrudewillson308
    @getrudewillson308 Жыл бұрын

    Japo Mimi sio msomi ,elim yangu ni 0 Kwa elim ya ki MUNGU Yani ekima ya ki MUNGU aliyo nipa , nikwamba amjashindwa kuiendesha bandali na kama ajira zinazo zungumzwa , zinaweza kutolewa ata Sasa akujashindikana ajila kutolewa? naomba bandali isibinafisishwe. Maana atakae chukua bandali ataweza kupangiwa jinsi ya kulipisha ushuru hivyo watanzania ni kama tuna uzwa niaka mia Moja sio mchezo , jamani haki ya watz ntadaiwa nikononi mwenu jamani waeshimiwa wabunge, msaidieni mama atutakiiiii ibinafisiswe.

  • @SurprisedCamping-ri7nc

    @SurprisedCamping-ri7nc

    5 ай бұрын

    1

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Жыл бұрын

    Kweli kufundisha ni wito.halima anatumia nguvu kufundisha.hajui anachofanya.

  • @abdulrahmanmwadini5925

    @abdulrahmanmwadini5925

    Жыл бұрын

    True

  • @VinriPL
    @VinriPL Жыл бұрын

    Ja chcąca znależć piosenkę zespołu Tulia z dziś :) youtub : TRZYMAJ POLITYKĘ TANZANII XD Pozdrawiam Tanzanie z Polski :D Me wanting to find a Tulia band song from today :) youtube : KEEP TANZANIA'S POLICY XD Greetings to Tanzania from Poland :D

  • @fidelisjeremias3145
    @fidelisjeremias3145 Жыл бұрын

    Mbona kama tuliaa anakandamiza

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Жыл бұрын

    KAULI ZA KAMA KAMA HAZINA MSINGI NI UJINGA.

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 Жыл бұрын

    Hongra dada alima wanawake mnaweza kweli itabaki kuwa kweli

  • @jonasimwanzi3632

    @jonasimwanzi3632

    Жыл бұрын

    Munawza nini munatupeleka tu akuna lolote eshimuni waume zenu

  • @shalommgalawe3800
    @shalommgalawe3800 Жыл бұрын

    Tumeibiwa kweupeeee....! Njaa na tamaa ni kitovu cha ushetani, sasa tushajiuza for 100 years.... We can only pray, hoping miracles will save our sorry assez from ourselves!

  • @princekarani7836
    @princekarani7836 Жыл бұрын

    Halima mdee wamemdistruct kinouma yani ile wamchanganye hasiulize kwa uhuru

  • @nicolausmundi
    @nicolausmundi Жыл бұрын

    Kiukweli Tanzania hatuna bunge lindeni hoja za watu

  • @lightnesssanka1928

    @lightnesssanka1928

    Жыл бұрын

    Huyu nikichwa jamani Mimi napenda sasa

  • @zainabuselemani6709

    @zainabuselemani6709

    Жыл бұрын

    @@lightnesssanka1928 na asa mdee au tulia

  • @mtabevilaini6527

    @mtabevilaini6527

    Жыл бұрын

    Mdee

  • @JacksonMahenge-qx6ev
    @JacksonMahenge-qx6ev Жыл бұрын

    hichi kichwa, mskilizen vzur sana mdee

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Жыл бұрын

    Wanamchanganya tu wakitetea miugali yao sisi wananchi tuko na Halima Mdee.

  • @emmanuelraphael679
    @emmanuelraphael679 Жыл бұрын

    Daah hii nchi hii mungu atusaidie tu

  • @TumainielKitundu
    @TumainielKitundu Жыл бұрын

    Niliposoma tweet moja inayosema "Kuna walio lipwa kuikosoa na waliolipwa kuitetea" sasa naelewa kuuzwa hakuji kwa wakati moja, kila ajae atauza kitakacho mnufaisha!

  • @Jessiefrank872
    @Jessiefrank872 Жыл бұрын

    💐💐💐💐 to her

  • @margarethsaramaki3966

    @margarethsaramaki3966

    Жыл бұрын

    Halima well said

  • @lightnesssanka1928

    @lightnesssanka1928

    Жыл бұрын

    Halima mmy uku vizuri

  • @lightnesssanka1928

    @lightnesssanka1928

    Жыл бұрын

    Ila spika jitahidi kua Makini wewe

  • @lightnesssanka1928

    @lightnesssanka1928

    Жыл бұрын

    Hapo sawa asikilizwe

  • @tinaruben1539

    @tinaruben1539

    Жыл бұрын

    Mmmmmmhhh hapa ni kumuomba MUNGU TUUU HATUTETEEE.

  • @abdonesrom5009
    @abdonesrom5009 Жыл бұрын

    Nawaombea muelewane kwaajiri ya ujenzi wa Taifa letu MUNGU Awabariki wabunge wetuu nawapenda

  • @Missionary_work
    @Missionary_work Жыл бұрын

    HUYU SPEAKER, HAFAI KABISA.

  • @justusjulius9279
    @justusjulius9279 Жыл бұрын

    Shule za kata mlitujengea ninyi vijana tumesoma na saivi tunajitambua vzr tuu japo hatujanufaika na hzo Elimu ila zinatusaidia Kwa mapana yake vijana wa kitanzania si wajinga tena.

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 Жыл бұрын

    Tunatakiwa tuwe na plan za mda mrefu tu invest kwenye ujuzi/Elemu vijana wajifunze kwa manufaa ya baadae vya bure vina gharama

  • @sophiashomary8542
    @sophiashomary8542 Жыл бұрын

    mange kawajaza ujinga humuu na wengne wanawachukia waarabu wakijua ztakuwa sheria za kiislam mange anasupport ushoga ndo maana awatak waarab

  • @philemonlwoga9065
    @philemonlwoga9065 Жыл бұрын

    Halima mdee unaeleweka

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Жыл бұрын

    Tulia kichwa boga safi sana halima mwakani chukua nchi chadema mwacheni halima wetu apige kazi tuwaburuze hawa ccm wa hovyo kabisa

  • @neemagift4921
    @neemagift4921 Жыл бұрын

    Ni kweli kaona mbali

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Жыл бұрын

    Alima.Mdee dadangu uko sahihi kabisa dada yani akili yako kama vile Rais wetu Mpendwa J.P Magufuli. Yani Alima Mdee ubarikiwe sana kwakweli

  • @ibrahimsuleyman9465
    @ibrahimsuleyman9465 Жыл бұрын

    Mtu na mwalimu wake!!

  • @skateweaver

    @skateweaver

    Жыл бұрын

    Nimeipenda hii

Келесі