Kwa uchungu MAKONDA afichua ukweli wote, MAKONTENA yake yaliyokamatwa kipindi cha MAGUFULI

Ойын-сауық

Пікірлер: 73

  • @eradiusdezideri
    @eradiusdezideri8 күн бұрын

    Makonda safi sana piga kazi Mungu akutangulie

  • @user-sc1gx5zi8i
    @user-sc1gx5zi8i11 күн бұрын

    Hata saizi mh. Wanasema kuwa huyu anajitafutia jina. Lakini mungu akulinde nasi tunakuombea

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene511 күн бұрын

    Mhe Makonda mkuu wa Mkoa Wa Arusha wafundishe hao kazihawajui wamekalia yulee huyuuu hawatoshi mungu awaone haooo piga kazi wewe nikiongozi wawanyonge wateteeee mpaka mwisho ❤🎉🎉🎉

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk11 күн бұрын

    Kiongozi wa kweli mungu akulinde

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy633611 күн бұрын

    Amen mh hayo maombi kiboko watandikee sawasawa na sisi tunakuombea

  • @kastorkidumu6579
    @kastorkidumu657911 күн бұрын

    Nakuona mbali sana rais ajae

  • @fransismsaki303
    @fransismsaki30310 күн бұрын

    Piga Kaz mkuu mwenyezi mungu akulinde

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd11 күн бұрын

    makonda Nakuona mbali mno

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw9 күн бұрын

    pambana kama,, wazalendo wa kweli vita huwa ni Kali sana

  • @eliyalaiza6768
    @eliyalaiza676810 күн бұрын

    Tatizo tukiwapata watu kama hawa ambao mda wote wanamtukuza mungu huwa hawakaagi sana sjui kwanini

  • @geey7893

    @geey7893

    8 күн бұрын

    Wanalishwa sumu wanakufa

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas154710 күн бұрын

    Wewe piga kazi Mungu anakupigania.

  • @stephenkilalacharles1981
    @stephenkilalacharles198111 күн бұрын

    Fact man of God.

  • @brunotemu8069
    @brunotemu806911 күн бұрын

    Good broo pambana na Jiji la East Africa ❤

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia794011 күн бұрын

    My leader

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz110 күн бұрын

    Watu Wana Roho mbaya tu

  • @amourmunga8356
    @amourmunga83569 күн бұрын

    Makonda nskupenda sana bro

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz10 күн бұрын

    Makonda uko sahihi

  • @JacksonMbites
    @JacksonMbites11 күн бұрын

    Huyu Makonda namuona Akiwa Rais wa Tanzania

  • @bitutuatemba2164
    @bitutuatemba216411 күн бұрын

    Keep on my brother @ Hon Paul Makonda

  • @davidnyambuche352
    @davidnyambuche35211 күн бұрын

    Maombi ya kusambaratisha vikao vya sirini😅😅😅

  • @YusuphNdakama
    @YusuphNdakama7 күн бұрын

    Makonda Hongeraaa sanaaa kaka!hakika unajua pande mbili uongozi na maisha harisia ya mwananchi

  • @user-qx4pc3rx8g
    @user-qx4pc3rx8g9 күн бұрын

    Safi sana

  • @user-im9ly7vt6b
    @user-im9ly7vt6b10 күн бұрын

    Uko sahihi lakini sio la kukumbuka sababu aliokua waziri wa fedha ni boss wako😅

  • @Micaelamerico8699
    @Micaelamerico869911 күн бұрын

    Makonda ni president ujae kaza buti

  • @user-tt6ks8vx6v
    @user-tt6ks8vx6v10 күн бұрын

    Makonda mkoa wa Mara uko hovyo sanaaaaa hasa ktk huduma za Afya...watu wanakufa wakiwa wanasubiri huduma...madactari na wauguzi wamkoa huu wengi niwababe sanaaa..tunataman ungekuwa kwenye mkoa wetu utusaidie ktk hili Ndgu zetu wanapoteza maisha kwa uzembe kbs wa watoa huduma..yani inasikitisha sanaaa Tunaye mkuu wetu wa mkoa lkn nikama Simba aliyekufa ni afadhali ya mbwa aliye hai Watu niwazembe Sana mahospitalini..Juzi nilikuwa nyasho hospital nikasikia mama mmoja analia kwa uchungu akisema HIVI NININI KILICHOMUUWA MAGUFULII...INASIKITISHA SANA BAADHI YA WAUGUZI NA MADACTARI WA HOVYO HAWA KUENDELEA KUWEPO

  • @geey7893

    @geey7893

    8 күн бұрын

    Huo Mkoa wetu umeshindikana kaka. Sjui tulilaaniwa na Nyerere

  • @eng.lazarongoro

    @eng.lazarongoro

    7 күн бұрын

    Liandike kwenye page ya waziri wa afya na umtagi samia huku kwa makonda hakuna kitu mi nakaa nyakato nimesikitishwa sana

  • @BakariMapua-t9u
    @BakariMapua-t9u7 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kweli

  • @salumjabir813
    @salumjabir81311 күн бұрын

    Siasa za bongoo😂😂

  • @emmanuelaloyce932
    @emmanuelaloyce9326 күн бұрын

    Huyu jamaa,awe president wa Tz,,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale477111 күн бұрын

    Go up📤 God bless you bro

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106411 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @paulmaganga9700
    @paulmaganga97004 күн бұрын

    Makonda soon unakuja kuwa Rais

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball31624 күн бұрын

    Muongo wewe na nyumba uliyotaka kumtapeli GSM Nayo Utasemaje? Mshahara wa mkuu wa Mkoa amepata wapi hela ya kununua nyumba eneo hilo??

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z6 күн бұрын

    Makonda MUNGU azidi kukulinda na kukuongezea ujasiri

  • @dennisngonyani1795
    @dennisngonyani179510 күн бұрын

    POLE MATATIZO HAYO YAPO SEHEMU NYINGI NCHINI

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu62499 күн бұрын

    Mtasema tu ..😂😂

  • @sujaiazicani9510
    @sujaiazicani95109 күн бұрын

    🎉

  • @user-mt3jc6no5w
    @user-mt3jc6no5w9 күн бұрын

    Mr. Makonda mwanzoni sikukuelewa pindi uko Dar maana nilipenda kusikia habar za vijiweni na sikuwahi kukufuatlia ila kwa sasa nimekuelewa vzr , pepea kama iwekanavyo tunakuunga mkono

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu14859 күн бұрын

    Makonda tunamuomba Kilimanjaro aje afanye jambo!

  • @ibrahimjoseph3221
    @ibrahimjoseph32216 күн бұрын

    Kama makonda yule aliweza aliweza kufanyiwa yooote hayo vp mpinzani au mwananchi wa kawaida kuna watu wanarudishwa nyuma wanafilisiwa kwa mambo ambaya awajayatenda

  • @bny3595
    @bny359511 күн бұрын

    Wewe ndo ulizingua ....hukufata utaratibu wa kuleta vitu kutoka nje

  • @denisyohana8104

    @denisyohana8104

    11 күн бұрын

    au wewe naye ulikuwa mmoja wao🧐

  • @paulsibu5770

    @paulsibu5770

    11 күн бұрын

    Makonda ni kiongozi mzuri bro

  • @bny3595

    @bny3595

    11 күн бұрын

    Mimi sikatai kwamba anafanya vizurri....lakini kwenye hio issue yeye ndo alizingua ...hivo vitu alikua anahitaji apate msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi....yeye hakufanya communication nzurri na raisi....sasaivi anazungumza...hata kama ni kweli Kuna hayo mambo yalitokea sijui kupigwa vita na watu....ila kwa upande mwengine alizingua alitakiwa amshirikishe raisi kuanzia mwanzo ....sasa anakuja mwishoni alafu anataka msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi kwa mujibu wa katiba

  • @ndetitave466

    @ndetitave466

    11 күн бұрын

    Ndo wale wale

  • @JosephineDeus-tb5tr

    @JosephineDeus-tb5tr

    11 күн бұрын

    Muongo

  • @karyori69
    @karyori6911 күн бұрын

    Transparency sio Transparent!

  • @josephmussa0625

    @josephmussa0625

    11 күн бұрын

    Ila umeelewa😂

  • @gregory6165

    @gregory6165

    11 күн бұрын

    wajinga kama nyie mnaangaliaga spelling mnaacha content

  • @georgemhalla8853

    @georgemhalla8853

    10 күн бұрын

    Sawa mwalimu, ulichokiona ndo hicho tu??😢😢,

  • @JosephineDeus-tb5tr
    @JosephineDeus-tb5tr11 күн бұрын

    Na magu alikupiga vita?Muongo

  • @kefamwakipesile275

    @kefamwakipesile275

    11 күн бұрын

    Hajasema magu!! Amesema watu walimpelekea Rais magu taarifa ambayo sio sahihi

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    11 күн бұрын

    Daddy alimpenda mako da kwa kazi nzuri kushinda kiongozi yoyote Ila wale kwenye wivu ndio walimchanganya daddy

  • @kwisa4899
    @kwisa489911 күн бұрын

    unaagizaje vitu pasipo kuwasiliana na mamlaka ?

  • @nicasissa

    @nicasissa

    10 күн бұрын

    Shida ukishawasiliana nao, wanaanzisha choko, mara oooh ooh ooh

  • @Nijuzetzdigital

    @Nijuzetzdigital

    9 күн бұрын

    ofisi ya mkoa ni mamlaka vilevile halaf msaada ni siyo taarifa ni unaweza hakuna anayeukataa

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    8 күн бұрын

    ​@@Nijuzetzdigitalhakuna alie juu ya sheria ndugu yangu Mkuu wa mkoa anausikakaje Kwene ofc za TRA na Bandari tumia akili kidogo

  • @LameckZakaria-qg9vv

    @LameckZakaria-qg9vv

    8 күн бұрын

    Alichelewa kumwambia magu

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s10 күн бұрын

    We mwongo ilikua mpigaji magum ataperiwi

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r10 күн бұрын

    Mccm bhana hayana hata akili, Sasa Hilo jambo mbona lilikuwa dogo tu

  • @hoseastephen4508
    @hoseastephen450810 күн бұрын

    Tapeli

  • @BabaZuu-fq8zj

    @BabaZuu-fq8zj

    9 күн бұрын

    Taperi nani sasa kuma ww ungekua kenya ushakufa mbwa wew

  • @hoseastephen4508

    @hoseastephen4508

    9 күн бұрын

    @@BabaZuu-fq8zj Na atawapiga sana pumbu watu msokuwa na akili kama wewe

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106411 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @IbrahimHajiDini
    @IbrahimHajiDini8 күн бұрын

    🎉

Келесі