UNASEMAJE WEWE ? TRA HAWAJUI HESABU, NJOO HAPA USEME VIZURI

Пікірлер: 50

  • @patoojonas8519
    @patoojonas8519 Жыл бұрын

    Tutamkumbuka magufuli daima milele

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Жыл бұрын

    Mungu akubaliki Sana Tena sana waziri mkuu, Chukua pointi hizo hata sekta ya madereva Haina mtetezi bungeni kwenye zile nafasi 10 tukumbukwe madere

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Жыл бұрын

    JOHN POMBE MAGUFULII AMMKAAAAAA HUKU WANANCHI MASIKINI WANAKUFAAAAAAA BABA.

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Жыл бұрын

    Magufuri bado atakumbukwa kwa kuendesha nchi kibabe lakini alikua anasaidia sana upuuzi kama wa hawa wajinga tra

  • @luckygmdegela8477

    @luckygmdegela8477

    Жыл бұрын

    magufuli ndie alikuwa RAIS hawa wengine wezi tu

  • @mohamedelmi7435

    @mohamedelmi7435

    Жыл бұрын

    Wakati wa magu nfio rushea ilikuwa kubwa kuliko sahivi, kitu kidogo una tishwa na ujumi chumi sisi ndio tunajuws ukweli

  • @butungo1

    @butungo1

    Жыл бұрын

    Nilimpenda JPM

  • @FreeGod368

    @FreeGod368

    Жыл бұрын

    @@mohamedelmi7435 we unaongea kidini peleka mavi huko

  • @Worldunite

    @Worldunite

    Жыл бұрын

    ​@@mohamedelmi7435 una uhakika wewe??? Labda ulikuwa nje

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Жыл бұрын

    Tutakumbuka, JPM aliwaita wafanya biashara Ikulu na akawasikiliza changamoto zao na vile vile aliwaita wachimbaji madini na kuwasikiliza. inabidi tujifunze kama serikali yetu ni ya wananchi basi vilio vya wananchi lazima visikilizwe. Taasisi za serikali nyingi zina shida wengi wa watumishi wake wao wanaona wameukata! Kitu ambacho kinakaribisha rushwa!

  • @ahmadimbazi5843
    @ahmadimbazi5843 Жыл бұрын

    Fact

  • @senyagwadickson9084
    @senyagwadickson9084 Жыл бұрын

    Huu ni mfumo wa hovyo wa chama cha mapinduzi CCM CCM ilikuwa nzuri wakati wa JPM ,

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Жыл бұрын

    Wapeni tu kura za kutosha mpaka mtaelewa

  • @bakarithegeoinformatician7406

    @bakarithegeoinformatician7406

    Жыл бұрын

    Ingekuwa nzuri angebadilidha katiba

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 Жыл бұрын

    Ha ha ha!!! TRA wanajua namba hawajui hesabu!!!!!😁😁😁

  • @BarakaKatamba-xm2if
    @BarakaKatamba-xm2if Жыл бұрын

    Wapo pale mikumi wanatusumbua Sanaa nauli wanajipangiaa wao mkuu tusaidie na hilo

  • @frankemmanuel5239

    @frankemmanuel5239

    Жыл бұрын

    Hahaha

  • @chombasimon
    @chombasimon Жыл бұрын

    Kiongozi unatakiwa kustaafu kwa Hali hii, utachafuka. Watu wanyonge tulikuamini sana pamoja na jpm.

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya47709 ай бұрын

    Hao t.r.a wafuatiriwe mali wanazomiliki zilinganishwe na mishahara wanayolipwa

  • @Gidionmbwaga
    @Gidionmbwaga Жыл бұрын

    TRA wanajua namba siyo hesabu nikwel kabisa.

  • @jeremiamsuya1820
    @jeremiamsuya18206 күн бұрын

    Ndio vizur chadema wpate chans

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Жыл бұрын

    Daaa!! Mjombaa kaongea point Sana Sana serikali yachukueni hayaaa

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud1577 Жыл бұрын

    Hamjawapiga shaba tu: ao TRA

  • @gabrieljohn6422
    @gabrieljohn642211 күн бұрын

    Daaah hii nchi CCM mlipo ifikisha MUNGU anajua

  • @shabanishemzize5655
    @shabanishemzize56555 күн бұрын

    Kweli kwa tanga mtihani kweli kweli

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi62378 күн бұрын

    Safii. Sana jamaa ameongea pwenti wafanya biashara tuwe na wawakilishi bungeni😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87639 ай бұрын

    Nhi yote ni walarushea sasa mripuku umekuwa mkubwa hakuna atakayepona maisha yatakuwa magumu sana sifa mbaya kwa serikali na nchinzima jumla 🇹🇿

  • @philemonbenjamin4225
    @philemonbenjamin4225 Жыл бұрын

    Kaka nimekuku bali

  • @senyagwadickson9084
    @senyagwadickson9084 Жыл бұрын

    Siku ileile wakati wafanyabiashara walipokuwa wanalalamikia kuhusu hawa wajinga wa TRA jpm angewafukuza siku ileile pamoja na huyo waziri wao mwenye kiburi na huyo mama waziri wa biashara hajui kitu chochote

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 Жыл бұрын

    Kwa kweli wanajeuri mno

  • @user-vh7ll3vp7w
    @user-vh7ll3vp7w9 күн бұрын

    Maginga' kama,, Maginga,,

  • @user-we7uq1qh7p
    @user-we7uq1qh7p8 күн бұрын

    Wezi hao waache kuiba tufukuze washenzi hao kenge kbs wanaendesha magari mazuri na family zao nikuchoma izo nyumba na magari

  • @jeremiamsuya1820
    @jeremiamsuya18206 күн бұрын

    Hawa sasa tutawa shughulikia hatakwa mapanga

  • @deusdickson
    @deusdickson Жыл бұрын

    Wanajua namba nn!!

  • @ennyngalawa2809
    @ennyngalawa2809 Жыл бұрын

    Hawakutii mamlaka

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Жыл бұрын

    TRA inanuka Rushwa tupu

  • @SoplataNdimbo-hf7lc

    @SoplataNdimbo-hf7lc

    Жыл бұрын

    Jamani mugufuli amka kidogo uje uone nchi yako

  • @SoplataNdimbo-hf7lc

    @SoplataNdimbo-hf7lc

    Жыл бұрын

    Mkataa pema pabaya pametuita

  • @JacksonMolely-kd7lr
    @JacksonMolely-kd7lr Жыл бұрын

    @

  • @hassanmasoud8167
    @hassanmasoud8167 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-jm8tr2ex4m
    @user-jm8tr2ex4m9 күн бұрын

    Hii nchi inatakiwa umafia wa kufa mtu Yani mtu akikuonea kwenye biashara yako ni kumpoteza tu

  • @emmanuelndahan9815

    @emmanuelndahan9815

    8 күн бұрын

    Piga ndumba2

  • @user-jm8tr2ex4m

    @user-jm8tr2ex4m

    8 күн бұрын

    No way hapa mwendo wa kuwapiga utamaduni tu ( kama utakumbuka yule askari aliye zuia gari ya samaki hadi wakaoza, kilichomkuta

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 Жыл бұрын

    kama kar limebalishwa maumbile je mabint wakibadilisha makaliyo .wanalipa tra .pret nomba imendondoka je nikilidisha no zile zile ni kosa

  • @issashekh4726

    @issashekh4726

    3 күн бұрын

    😂😂

  • @mashachaney2048
    @mashachaney2048 Жыл бұрын

    Wanaume wanaumia hawa..wanaongea kwa maumivuuu😢😢

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do6 күн бұрын

    Tanzania raisi hayopo

  • @chombasimon
    @chombasimon Жыл бұрын

    Kiongozi unatakiwa kustaafu kwa Hali hii, utachafuka. Watu wanyonge tulikuamini sana pamoja na jpm.

  • @swedinjaidi4658

    @swedinjaidi4658

    Жыл бұрын

    Sasa ye na TRA anahusikaje hapo mwigulu ndio muhusika na waziri wa biashara na viwanda

  • @Maalim_Samatta

    @Maalim_Samatta

    Жыл бұрын

    @@swedinjaidi4658 asa we Kwa fikra zako unadhani Kwa nn ameitwa waziri mkui?????

Келесі