UOZO HUU WAMCHEFUA RAIS SAMIA, AWA MBOGO BALAA, AMTAJA MAKONDA KWENYE HILI
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 105
@josephudoba55634 ай бұрын
Mama mpole sana badilika kidogo uonyeshe sura ya mama mkali ndie mlezi Bora
@marymgimwa4 ай бұрын
Mungu aliyemuumba makonda amlinde yeyote aliyekinyume nae kufa na afe
@IsraelUrasaАй бұрын
Kweli makonda siyotuu mkuu wa mkoa Arusha ila nimtumishi wa mungu
@mashaurimageme26784 ай бұрын
Asante mama kwa kuona makonda Anafanya kanzi zuri
@GilbertNhigula4 ай бұрын
Mh , Uko Vizuri Sana !, Msema Kweli ni Mpendwa wa Mungu .
@aminaosman33154 ай бұрын
,inshaalah mjane na watoto wake watano yatima Allah atawapa haki yao haki haipotei inachelewa
@user-fx3sk9kh1s4 ай бұрын
Mama shkamoo , saf sana mwenyezimungu akupe maisha marefu
@selinalawala22704 ай бұрын
Kweli wananchi hatuna Raha , tunatamani siku mmoja hii nchi ibadilike, haki za watu hazifanyiwi kazi vizuri.
@ponsianomnyaru91404 ай бұрын
Sasa mama baaday ya kuwabain hao wez unawachukulia hatuwa GANA tatzo mama unalalamika tu mbona watu wenye njaa wanaiba vyuma vya reli mnawachukulia hatua je hao wanaoiba mabilion nashangaa unawaangalia tu kama vp tumpe makonda nchi hii au kasbu Majaliwa Ndo awanyooshe
@CatherineMbatta4 ай бұрын
Hongera Sana mama yetu 🎉kuna mjambazi na majangili yanawajangilia watu Ardhi zao ,kisha Wana matumbo kama vigoma vya asili,hatuna furaha kweli hawa watu wenye nafasi serekalini ,kwenye taasisi wanawajambazia watu ,tuko wakimbizi kwenye nchi yetu
@user-ll4qd3km9e4 ай бұрын
hongera mama
@IsraelUrasaАй бұрын
Mama aridhi imeleta maumivu kwa watu mama samia
@restitutalucian784 ай бұрын
Jamani kwani madini tena hamna? Hizo maliasili imebaki historia. Mhh7😢
@hamishatibu6994 ай бұрын
Hao watu wanyongwe tu Mama mtoto usipo mchapa anazoea vibaya.
@user-rn6ft5yz2l27 күн бұрын
Mama unasema kweli kunamajizi yanavuruga tunakusingizia wewe yabane mama yetu
@josephmchila6467Ай бұрын
Aksante kulegeza kikokotoo,lakini warudishe denominator kwenye formula urudi 540, Kama itakuwa hii 580, haitasaidia
@mangesajoseph52844 ай бұрын
Mama na rais wetu wa jamhuri ya Tanzania ipo siku utashinda tuzo ya normal .watanzania tunaimani na wewe mama upo vizuri utashinda kwa kishindo 2025
@nenolauzima52813 ай бұрын
Kwa maana nyingine raia wajiandae kisaikolijia kulipa kodi...utendaji ukipimwa kwa makusanyo nchi hii, masikini wataumia sana.
@user-cn5qh4qr3j3 ай бұрын
Mama kasulu ya kigoma wanaichi tuishi Kama sio watanzania mlima sunzu diwani na timu yake wanatupora aridhi na hatuna msaada kila kiongozikaonjeshwa maslahi tunsmba msaada uchunguzi ufanyike wa mgogoro huu
@MathewNathan-yb2bz4 ай бұрын
Ahsante mama kwa kuligundua hilo
@fredyjoackimu-bk1tf3 ай бұрын
Thank you Mama,ila wachukulie hatua hao wanaokukwamisha
@JohnOkechi-m7b28 күн бұрын
Raisi analipwa mshahara munge alipwa mshahara nk lakini viongozi wa ngazi ya kijiji na kitongoji hawalipwi chochote na wao ndo walinzi niwao ndiyo chanzo cha migogolo ya aridhi na mengi hayana haki kwasababu viongozi wananunuliwa
@success-only4 ай бұрын
Ingelikuwa yakweli unayoyasema usingekuwa Una wabagua wamasai ktk kanda ya kazkazini Lkn huwa unazungumza hiki na kufanya jingine kiukweli Wananchi tumekochoka
@hasanichengula68
4 ай бұрын
Sema wewe siyo wanainchi misijamchoka bado namwitaji
@godsonishengoma5378
4 ай бұрын
@@hasanichengula68 asilimia kbwa ya wananch tumemchoka.. Nashangaa kmkbal hali hata dini yako haimruhusu.. Kmbk yey ni mwanamke kapewa saut ya kbembeleza hata aongee kwa ukali vp hawez ms2ua m2 ndo mana anachoagza kwa wasaidizi wake hakzingatiwi..
@sheilamarandu27504 ай бұрын
Sana mama mimi mjane nimedhulumiwa na wifi na ana mtandao mkubwa kila mahali nimeenda sijafaulu mama asante ninaenda kumuona waziri slaa
@madaiincubationcenter49473 ай бұрын
Inawezekana Rais sio mbaya kama wananchi wanavyomfikiria inamaanishabwatendaji wake ndio wanajinufaisha na kufanya Rais achukiwe na Wananchi
@mangesajoseph52844 ай бұрын
Utashinda tunzo ya norbel siku Moja mama nakukubali Sana mama
@OswardMadege-gd7yo4 ай бұрын
Asiye na kitu basi tu ni mateso nchi hii rais unachosema ni kweli ila Hawa watu Hawana hofu ya Mungu kabisa
@ullujaffariyohani11864 ай бұрын
Mama Hao unaowambia nendeni mkafanyie kazi ni Hao hao unawaombia kila siku au unawabadilisha mama sidhani kama watabadilika😢
@thetruth89794 ай бұрын
Hiyo kweli kabisa
@willymgaya76184 ай бұрын
MH. RAIS, HAO WEZI USIWAONGELEE TU JUKWANI. TUNAOMBA WAKAMATWE NA WASHITAKIWE. NDIPO CCM TUTAWAELEWA.
@seifusengondo91703 ай бұрын
anatupa stori au atapambana nao hao majambazi wa kalamu
@jesusnametv49353 ай бұрын
mama anaupiga mwingi halafu anaibiwa kila siku ,
@user-nh7ie5kz7lАй бұрын
shikamoo
@andrewmalamsha30424 ай бұрын
Rais anaumia sana ujue
@danielkanso4 ай бұрын
Naam kiongozi umegusa. Mambo muhimu sana inahitajika ufuatiliaji wa hali ya juu sana Raisi baadhi watendaji wa serikali hawako sawa wanaonea sana watu
@user-kp2jf5jc2i4 ай бұрын
LKN, KWA NN MNANG'ANG'ANIA KUTUTAWALA WKT KILA SIKU MNALALAMIKIANA KIUTENDAJI HAMUWEZI JAMANI, SI MTOKE?
@mchunguliechibwa1984 ай бұрын
Yani nchi yangu hilivyo na utawala,uongozi wa ovyoo imagine raisi kiongozi wa nchi hanakubali kuna wizi na ubadhilifu kwenye serikali yake...ccm ni chama cha wezi na utawala wake ni ovyooo kabisa..katiba mpya ndio solution ya yote hayo..
@user-ck1kw5cu8y4 ай бұрын
Mama asante sana kwa kuwaeleza ukweli Mama tunamba ututazame pia kwenye swala la ukusanyaji wa Fedha za Taka Mama watu hatuna Amani sh 3000 MAMA kwa mwezi tunaomba tazama na hili Mama
@sheilamarandu27504 ай бұрын
Kweli mama
@user13375Ай бұрын
Na ww upo😮
@user-zo7lf4qp6m4 ай бұрын
Unawalea vibaya mama
@sheilamarandu27504 ай бұрын
Mama chukulia watendaji wa ardhi sheria ni wabaya mno unauliza kiwanja kipo wapi mbezi ukiserch wanasema kipo morogoro watendaji wako wa ardhi wanakuangusha mno
@ponsianomnyaru9140Ай бұрын
Ww uwe unawasikiliza wananchi shida zao kama mtanguliz wako unawatuma watu wez kazi alaf unawabembeleza w mama ww huoni tatzo nenda mwenyew
@elizalutiga62874 ай бұрын
Hiii ni shida
@MunsiCosmas-tg2df3 ай бұрын
Ama kwel hapa du Kaz ipo
@mufaddalmoawalla85224 ай бұрын
Wanauziana mizigo bila risiti za tra,na TRA pia wanahusika na baadhi ya wafanyabiashara wakubwa kariakoo, ndo maana waligomaa store zisisajaliwe,hebu mama mhe,rais uje uangalie.sasa hivi Magherafelt kariakoo zimekuwa magodawni
@aminaosman33154 ай бұрын
,wakuu mkoa WA wilaya waliopita walikuwepo nawanajua lakini ndio hivyo
@deven.oauditx75474 ай бұрын
Mama imarisha vitengo vya ukaguzi wa ndani na uwalinde ili ukusaidie kudhibiti mianya ya wizi wa fedha za serikali.
@RoseKimishabhalemi-oz9bn4 ай бұрын
Ardhi hakuna mahakama mama
@kulwamaguzmaguzu22024 ай бұрын
Umeme mama vp
@user-zi1gp6dc2q4 ай бұрын
Mama tuletee makonda wilaya yachunya tafadhari tunakuomba mama chonde
@aminaosman33154 ай бұрын
,hospitali ya mabilioni inateketea wenye haki yao wanazalilika
@ankoanko-zz7it4 ай бұрын
Wambie mamangu
@shabanimataka84184 ай бұрын
Rais ao watu usiwaombe kuwa waadilifu ao ni kuwalazinisha wawe sawa na wasipokuwa ivyo watimue na atakae onekana anahaki za watu lazima azitoe na sio kumtoa sehem 1 kwenda nyengine
@hamishatibu6994 ай бұрын
Hawa wezi tunashidwa kuwashughulikia aswa wa vikundi feki kwa ajili ni wana CCM ifike wakati hii roho ya ccm ife kabisa tunachekeana xna, Alafu tunafunga safari za Nje kuomba misada na mikopo ndani tunashidwa kusimamia rasilimali zetu, umasikini utadumu adi Yesu aludi
@irumvadonciella79374 ай бұрын
Wapo busy nakuandika utafikilia wanenda kulitendea haki very sad
@OswardMadege-gd7yo4 ай бұрын
Wananchi kweli wamechoka na wizi wa wahudumu wa serikali Sasa wanadamu Hawa wamemwachia Mungu tu Hali ya wananchi ni ngumu
@Cryptocurrency_Tanzania4 ай бұрын
Wewe ndio final say after God Mama.. angalia sheria inataka nini kisha watu hao sheria ifanye kazi yake. ..
@magorymara5515
4 ай бұрын
Sheria inafanya kazi mtu anapokuwa gerezani lakin hii ya kupangiwa kazi nyingne basi ujue sheria inalea uozo hawa jamaa wanaibiwa sana na wanaiba sana
@KhaleedHamad-vl7lz4 ай бұрын
Sijawahi kuona serikali kama hii watu wanaupiga mwingi sana halafu wanamsifia hahaha kwa kweli chukua chako mapema soon uchaguzi
@bwagizoselemani84344 ай бұрын
Shida hamuchukui hatua hilo ndio tatizo sasa watu wanafanya mchezo munachekeana sana
@NzilentaIssa4 ай бұрын
Dawinurodi
@hajihassan54334 ай бұрын
Mama ukienda hivi watakuvua mpaka vidani ulivyovaa, ni mpole mno! Mhe. Magufuli alikuwa akizungumzia wizi aliimanisha na kimsingi bila kunyonga Mafisadi hadharani hatutakwenda popote.
Sema mama huku tanga mama mjane kazulumiwa haki zake na taasisi moja ya kidini mwisho mahakama nayo ikawapa taasisi hiyo hospitali ya mabilioni inateketea wakuuwamkoa WA wilaya wapo
@elioimer84234 ай бұрын
Wamasai mnawanyang’anya ardhi , ng’ombe zao kila mahali katika nchi hii lakini , hivi mnataka waende wapi. Wakienda Zanzibar ni tabu kwa sababu mnawanyima kufuata mila na desturi yao. Waache wakae kwenye ardhi yao kwani mnawafanya watangetange kila kona. Ni tabular na manyanyaso katika ardhi na nchi yao
@FredHerman-vs8yw4 ай бұрын
Mama ao ndiyo wanaokufelisha usiwachekee
@user-yd3cj5xs1z4 ай бұрын
Mama kwanini usibadilike ukawa kama mama wa kambo??? Usiwe mpoele watanzania wanataka wapekekeshwe kama punda, kuwa kama King "magufuli"
@mariamumechara33984 ай бұрын
Badilisheni katibatu ndodawa 2
@menelus911mene54 ай бұрын
Waambie hawa unaowateuwa hawatupendi sisi wanyonge !!!
@evancykashaga65763 ай бұрын
Tunamtaka Alhapi Bwana kwanini hamtaki kumteuwa, faha sisi wanne kwa furaha sikweli watu wanaishi kwa uchungu ivi aliye sema muongo kabisa
@SafariMsafi-um1pz4 ай бұрын
Jifunzeni kwa magufuli alivyokuwa akifanya kwa majipu
@hawaelymaricca76024 ай бұрын
Mama Mwaka 2025 kura zetu zinakuhusu, makonda kumrudisha MAKONDA CCM amewaamsha sana hai wavivu. Mungu akuweke
@edmundrutahiwa
3 ай бұрын
Huna akili kiazi wewe
@user-tu8tl2lg4b4 ай бұрын
Kalimeni sio shamba
@danielkanso4 ай бұрын
Wamasai vip jama mbona wanateseka sana nafikiri hawa watu watazamwe kwa jicho la tatu
@user-nb8ot8be9f4 ай бұрын
Tena mama hao wanamchukia maklonda sana
@melkizedekwiliam-hi7bz4 ай бұрын
Huyu mama tumpe kura. Anaonyesha uzalendo hasa.
@margarethpolepole74384 ай бұрын
Mbona huwafukuzi kama hayati magufuli alivyokuwa anawafukuza wewe unawalea mama mijizi fanya kweli
@mamlomamlo90644 ай бұрын
Mtaa wa amana Kuna milori mikubwa Barbara zinaharibiwa
@user-ze2wh2we9y4 ай бұрын
Tunawasubiri 2025 tumewachoka
@lameckbalekere19624 ай бұрын
Angalia kwenye madini wanaochukua maliseni wananyanyasa sana
@DavisNchinga4 ай бұрын
Lukwa ichunguzwe
@user-ze2wh2we9y4 ай бұрын
Mama wanakuchukulia poa 2025 wanatoa ushinde ili waendelee kuiba mama fata nyayo za JPM tumbua majipu Bila hivyo KWA maneno huwawezi Hilo ni kundi hatari kikulacho linguini mwako
@user-yd2hi7bl8o4 ай бұрын
Watendaji wako hawana lolote kazi kukusifia 2 mama
@HijaSaid-xd7fg4 ай бұрын
Hizi makonda amazogawa zinatoka wapi jamani Rais wetu Mama yetu mpendwa, au ni mshahara wake ndio anaougawa
@DaimaNyakunga-jb6do4 ай бұрын
Ndo maana wanataka ugombee Tena ili waendelee kuiba
@user-zw9es5gx5w4 ай бұрын
Ngorongoro kimezidi kunyang'anywa aridhi zutu
@magorymara5515
4 ай бұрын
Huko token token ili tupate maeneo ya utalii mkijenga huko tutatalii wapi
Mama piga kazi na makonda yupo vizuri Sana wewe ndiyo rais wetu wanyonge Hadi 2035
@aminibraisonngwiso31754 ай бұрын
Asante umetusemea kabisaa mama yetu,tunakushukuru sana
@aminibraisonngwiso3175
4 ай бұрын
Yaani kupitia maneno ya kuridhisha kama haya anayosema Mkuu wa nchi tayari tuna matumaini ya kupata haki zetu.na ni kweli kuna wababe wa ardhi sio mchezo ni hatari.lakini Hongera Mama kwa kuthamini wanyonge tunahisi unyonge kwisha habari yake.
@nemeskimbe3764 ай бұрын
Sasa nani wa kusimamia kama hutokuwa mkali mama wanakuchukulia poa na maisha yanakuwa magumu kwa mwananchi
@user-ei4ls8pq4s3 ай бұрын
Mitano tena kwa Mama. hasa wizara ya ardhi umetuvalisha nguo kwa kweli. Mungu mwema.
@RudelphZabron4 ай бұрын
Mheshimiwa Rais huwezi kuondoa migogoro ya aridhi kama bado Sheria ya aridhi bado inasema aridhi ni Mali ya umma na inahodhiwa na Rais kwa manufaa ya wananchi wote Mh.Rais badilisha Sheria ya umilikiaji wa aridhi.
@user-jz4tz9pn5c
4 ай бұрын
Abadil iweje
@menelus911mene54 ай бұрын
Mgogoro wa Ardhi mimi hapa nimepolwa nusu ya kiwanja changu ninacholipia hsti ysngu toka 1982kimepolwa na bint anaesema anafanya kazi kwa waziri mkuu hashauliwi namtu
@Mundi-oz7os4 ай бұрын
Watieni watu jela. Wanyongeni maharamia hawa. Kuwaomba watendaji waende wakafanye kazi umeomba sana. Washukie sasa mama Samia . Binadamu inaelekea haendi mstari ulionyooka hadi mijekedi. Wagonge hawa wavaa tai na suti wanaoitafuna hii nchi. Lawama dhamana dhima iko kwako. KUWA MKALI
@user-cn5qh4qr3j3 ай бұрын
Mama kasulu ya kigoma wanaichi tuishi Kama sio watanzania mlima sunzu diwani na timu yake wanatupora aridhi na hatuna msaada kila kiongozikaonjeshwa maslahi tunsmba msaada uchunguzi ufanyike wa mgogoro huu
@AgustiAgustisabinisilayo3 ай бұрын
Mama tunakupenda ila kuna wanao kuangushwa makomdaaa baba laooo
Пікірлер: 105
Mama mpole sana badilika kidogo uonyeshe sura ya mama mkali ndie mlezi Bora
Mungu aliyemuumba makonda amlinde yeyote aliyekinyume nae kufa na afe
Kweli makonda siyotuu mkuu wa mkoa Arusha ila nimtumishi wa mungu
Asante mama kwa kuona makonda Anafanya kanzi zuri
Mh , Uko Vizuri Sana !, Msema Kweli ni Mpendwa wa Mungu .
,inshaalah mjane na watoto wake watano yatima Allah atawapa haki yao haki haipotei inachelewa
Mama shkamoo , saf sana mwenyezimungu akupe maisha marefu
Kweli wananchi hatuna Raha , tunatamani siku mmoja hii nchi ibadilike, haki za watu hazifanyiwi kazi vizuri.
Sasa mama baaday ya kuwabain hao wez unawachukulia hatuwa GANA tatzo mama unalalamika tu mbona watu wenye njaa wanaiba vyuma vya reli mnawachukulia hatua je hao wanaoiba mabilion nashangaa unawaangalia tu kama vp tumpe makonda nchi hii au kasbu Majaliwa Ndo awanyooshe
Hongera Sana mama yetu 🎉kuna mjambazi na majangili yanawajangilia watu Ardhi zao ,kisha Wana matumbo kama vigoma vya asili,hatuna furaha kweli hawa watu wenye nafasi serekalini ,kwenye taasisi wanawajambazia watu ,tuko wakimbizi kwenye nchi yetu
hongera mama
Mama aridhi imeleta maumivu kwa watu mama samia
Jamani kwani madini tena hamna? Hizo maliasili imebaki historia. Mhh7😢
Hao watu wanyongwe tu Mama mtoto usipo mchapa anazoea vibaya.
Mama unasema kweli kunamajizi yanavuruga tunakusingizia wewe yabane mama yetu
Aksante kulegeza kikokotoo,lakini warudishe denominator kwenye formula urudi 540, Kama itakuwa hii 580, haitasaidia
Mama na rais wetu wa jamhuri ya Tanzania ipo siku utashinda tuzo ya normal .watanzania tunaimani na wewe mama upo vizuri utashinda kwa kishindo 2025
Kwa maana nyingine raia wajiandae kisaikolijia kulipa kodi...utendaji ukipimwa kwa makusanyo nchi hii, masikini wataumia sana.
Mama kasulu ya kigoma wanaichi tuishi Kama sio watanzania mlima sunzu diwani na timu yake wanatupora aridhi na hatuna msaada kila kiongozikaonjeshwa maslahi tunsmba msaada uchunguzi ufanyike wa mgogoro huu
Ahsante mama kwa kuligundua hilo
Thank you Mama,ila wachukulie hatua hao wanaokukwamisha
Raisi analipwa mshahara munge alipwa mshahara nk lakini viongozi wa ngazi ya kijiji na kitongoji hawalipwi chochote na wao ndo walinzi niwao ndiyo chanzo cha migogolo ya aridhi na mengi hayana haki kwasababu viongozi wananunuliwa
Ingelikuwa yakweli unayoyasema usingekuwa Una wabagua wamasai ktk kanda ya kazkazini Lkn huwa unazungumza hiki na kufanya jingine kiukweli Wananchi tumekochoka
@hasanichengula68
4 ай бұрын
Sema wewe siyo wanainchi misijamchoka bado namwitaji
@godsonishengoma5378
4 ай бұрын
@@hasanichengula68 asilimia kbwa ya wananch tumemchoka.. Nashangaa kmkbal hali hata dini yako haimruhusu.. Kmbk yey ni mwanamke kapewa saut ya kbembeleza hata aongee kwa ukali vp hawez ms2ua m2 ndo mana anachoagza kwa wasaidizi wake hakzingatiwi..
Sana mama mimi mjane nimedhulumiwa na wifi na ana mtandao mkubwa kila mahali nimeenda sijafaulu mama asante ninaenda kumuona waziri slaa
Inawezekana Rais sio mbaya kama wananchi wanavyomfikiria inamaanishabwatendaji wake ndio wanajinufaisha na kufanya Rais achukiwe na Wananchi
Utashinda tunzo ya norbel siku Moja mama nakukubali Sana mama
Asiye na kitu basi tu ni mateso nchi hii rais unachosema ni kweli ila Hawa watu Hawana hofu ya Mungu kabisa
Mama Hao unaowambia nendeni mkafanyie kazi ni Hao hao unawaombia kila siku au unawabadilisha mama sidhani kama watabadilika😢
Hiyo kweli kabisa
MH. RAIS, HAO WEZI USIWAONGELEE TU JUKWANI. TUNAOMBA WAKAMATWE NA WASHITAKIWE. NDIPO CCM TUTAWAELEWA.
anatupa stori au atapambana nao hao majambazi wa kalamu
mama anaupiga mwingi halafu anaibiwa kila siku ,
shikamoo
Rais anaumia sana ujue
Naam kiongozi umegusa. Mambo muhimu sana inahitajika ufuatiliaji wa hali ya juu sana Raisi baadhi watendaji wa serikali hawako sawa wanaonea sana watu
LKN, KWA NN MNANG'ANG'ANIA KUTUTAWALA WKT KILA SIKU MNALALAMIKIANA KIUTENDAJI HAMUWEZI JAMANI, SI MTOKE?
Yani nchi yangu hilivyo na utawala,uongozi wa ovyoo imagine raisi kiongozi wa nchi hanakubali kuna wizi na ubadhilifu kwenye serikali yake...ccm ni chama cha wezi na utawala wake ni ovyooo kabisa..katiba mpya ndio solution ya yote hayo..
Mama asante sana kwa kuwaeleza ukweli Mama tunamba ututazame pia kwenye swala la ukusanyaji wa Fedha za Taka Mama watu hatuna Amani sh 3000 MAMA kwa mwezi tunaomba tazama na hili Mama
Kweli mama
Na ww upo😮
Unawalea vibaya mama
Mama chukulia watendaji wa ardhi sheria ni wabaya mno unauliza kiwanja kipo wapi mbezi ukiserch wanasema kipo morogoro watendaji wako wa ardhi wanakuangusha mno
Ww uwe unawasikiliza wananchi shida zao kama mtanguliz wako unawatuma watu wez kazi alaf unawabembeleza w mama ww huoni tatzo nenda mwenyew
Hiii ni shida
Ama kwel hapa du Kaz ipo
Wanauziana mizigo bila risiti za tra,na TRA pia wanahusika na baadhi ya wafanyabiashara wakubwa kariakoo, ndo maana waligomaa store zisisajaliwe,hebu mama mhe,rais uje uangalie.sasa hivi Magherafelt kariakoo zimekuwa magodawni
,wakuu mkoa WA wilaya waliopita walikuwepo nawanajua lakini ndio hivyo
Mama imarisha vitengo vya ukaguzi wa ndani na uwalinde ili ukusaidie kudhibiti mianya ya wizi wa fedha za serikali.
Ardhi hakuna mahakama mama
Umeme mama vp
Mama tuletee makonda wilaya yachunya tafadhari tunakuomba mama chonde
,hospitali ya mabilioni inateketea wenye haki yao wanazalilika
Wambie mamangu
Rais ao watu usiwaombe kuwa waadilifu ao ni kuwalazinisha wawe sawa na wasipokuwa ivyo watimue na atakae onekana anahaki za watu lazima azitoe na sio kumtoa sehem 1 kwenda nyengine
Hawa wezi tunashidwa kuwashughulikia aswa wa vikundi feki kwa ajili ni wana CCM ifike wakati hii roho ya ccm ife kabisa tunachekeana xna, Alafu tunafunga safari za Nje kuomba misada na mikopo ndani tunashidwa kusimamia rasilimali zetu, umasikini utadumu adi Yesu aludi
Wapo busy nakuandika utafikilia wanenda kulitendea haki very sad
Wananchi kweli wamechoka na wizi wa wahudumu wa serikali Sasa wanadamu Hawa wamemwachia Mungu tu Hali ya wananchi ni ngumu
Wewe ndio final say after God Mama.. angalia sheria inataka nini kisha watu hao sheria ifanye kazi yake. ..
@magorymara5515
4 ай бұрын
Sheria inafanya kazi mtu anapokuwa gerezani lakin hii ya kupangiwa kazi nyingne basi ujue sheria inalea uozo hawa jamaa wanaibiwa sana na wanaiba sana
Sijawahi kuona serikali kama hii watu wanaupiga mwingi sana halafu wanamsifia hahaha kwa kweli chukua chako mapema soon uchaguzi
Shida hamuchukui hatua hilo ndio tatizo sasa watu wanafanya mchezo munachekeana sana
Dawinurodi
Mama ukienda hivi watakuvua mpaka vidani ulivyovaa, ni mpole mno! Mhe. Magufuli alikuwa akizungumzia wizi aliimanisha na kimsingi bila kunyonga Mafisadi hadharani hatutakwenda popote.
Matrilioni zinapotea kariakoo tuu,kwa seconds 0.05seconds mnaibiwa mitaani
,mashekh na maimamu imekuwa NI tatizo
Sema mama huku tanga mama mjane kazulumiwa haki zake na taasisi moja ya kidini mwisho mahakama nayo ikawapa taasisi hiyo hospitali ya mabilioni inateketea wakuuwamkoa WA wilaya wapo
Wamasai mnawanyang’anya ardhi , ng’ombe zao kila mahali katika nchi hii lakini , hivi mnataka waende wapi. Wakienda Zanzibar ni tabu kwa sababu mnawanyima kufuata mila na desturi yao. Waache wakae kwenye ardhi yao kwani mnawafanya watangetange kila kona. Ni tabular na manyanyaso katika ardhi na nchi yao
Mama ao ndiyo wanaokufelisha usiwachekee
Mama kwanini usibadilike ukawa kama mama wa kambo??? Usiwe mpoele watanzania wanataka wapekekeshwe kama punda, kuwa kama King "magufuli"
Badilisheni katibatu ndodawa 2
Waambie hawa unaowateuwa hawatupendi sisi wanyonge !!!
Tunamtaka Alhapi Bwana kwanini hamtaki kumteuwa, faha sisi wanne kwa furaha sikweli watu wanaishi kwa uchungu ivi aliye sema muongo kabisa
Jifunzeni kwa magufuli alivyokuwa akifanya kwa majipu
Mama Mwaka 2025 kura zetu zinakuhusu, makonda kumrudisha MAKONDA CCM amewaamsha sana hai wavivu. Mungu akuweke
@edmundrutahiwa
3 ай бұрын
Huna akili kiazi wewe
Kalimeni sio shamba
Wamasai vip jama mbona wanateseka sana nafikiri hawa watu watazamwe kwa jicho la tatu
Tena mama hao wanamchukia maklonda sana
Huyu mama tumpe kura. Anaonyesha uzalendo hasa.
Mbona huwafukuzi kama hayati magufuli alivyokuwa anawafukuza wewe unawalea mama mijizi fanya kweli
Mtaa wa amana Kuna milori mikubwa Barbara zinaharibiwa
Tunawasubiri 2025 tumewachoka
Angalia kwenye madini wanaochukua maliseni wananyanyasa sana
Lukwa ichunguzwe
Mama wanakuchukulia poa 2025 wanatoa ushinde ili waendelee kuiba mama fata nyayo za JPM tumbua majipu Bila hivyo KWA maneno huwawezi Hilo ni kundi hatari kikulacho linguini mwako
Watendaji wako hawana lolote kazi kukusifia 2 mama
Hizi makonda amazogawa zinatoka wapi jamani Rais wetu Mama yetu mpendwa, au ni mshahara wake ndio anaougawa
Ndo maana wanataka ugombee Tena ili waendelee kuiba
Ngorongoro kimezidi kunyang'anywa aridhi zutu
@magorymara5515
4 ай бұрын
Huko token token ili tupate maeneo ya utalii mkijenga huko tutatalii wapi
Hadi.vijiji.mgobe.lewa.msambiazi.kalekwa.welei.kwambaazi.god.sheni.nakwambia.mamakamahujui.na.vinahati.lakn.hawataki.watuwamezuiliwa.kulima.wanapanda.miti.mkoa.wa.Tanga.wilaya,,korogwe..mkoa.Tanga.nakadizimerudiswa,na.wanavijiji.tunaombalifanyiekazi.Toka,75.vijii.vipo.kilatunapoendatunakwama.wakatu.tuliletwa.Na.nyerere
Mama piga kazi na makonda yupo vizuri Sana wewe ndiyo rais wetu wanyonge Hadi 2035
Asante umetusemea kabisaa mama yetu,tunakushukuru sana
@aminibraisonngwiso3175
4 ай бұрын
Yaani kupitia maneno ya kuridhisha kama haya anayosema Mkuu wa nchi tayari tuna matumaini ya kupata haki zetu.na ni kweli kuna wababe wa ardhi sio mchezo ni hatari.lakini Hongera Mama kwa kuthamini wanyonge tunahisi unyonge kwisha habari yake.
Sasa nani wa kusimamia kama hutokuwa mkali mama wanakuchukulia poa na maisha yanakuwa magumu kwa mwananchi
Mitano tena kwa Mama. hasa wizara ya ardhi umetuvalisha nguo kwa kweli. Mungu mwema.
Mheshimiwa Rais huwezi kuondoa migogoro ya aridhi kama bado Sheria ya aridhi bado inasema aridhi ni Mali ya umma na inahodhiwa na Rais kwa manufaa ya wananchi wote Mh.Rais badilisha Sheria ya umilikiaji wa aridhi.
@user-jz4tz9pn5c
4 ай бұрын
Abadil iweje
Mgogoro wa Ardhi mimi hapa nimepolwa nusu ya kiwanja changu ninacholipia hsti ysngu toka 1982kimepolwa na bint anaesema anafanya kazi kwa waziri mkuu hashauliwi namtu
Watieni watu jela. Wanyongeni maharamia hawa. Kuwaomba watendaji waende wakafanye kazi umeomba sana. Washukie sasa mama Samia . Binadamu inaelekea haendi mstari ulionyooka hadi mijekedi. Wagonge hawa wavaa tai na suti wanaoitafuna hii nchi. Lawama dhamana dhima iko kwako. KUWA MKALI
Mama kasulu ya kigoma wanaichi tuishi Kama sio watanzania mlima sunzu diwani na timu yake wanatupora aridhi na hatuna msaada kila kiongozikaonjeshwa maslahi tunsmba msaada uchunguzi ufanyike wa mgogoro huu
Mama tunakupenda ila kuna wanao kuangushwa makomdaaa baba laooo