UOZO HUU WAMCHEFUA RAIS SAMIA, AWA MBOGO BALAA, AMTAJA MAKONDA KWENYE HILI

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 105

  • @josephudoba5563
    @josephudoba55634 ай бұрын

    Mama mpole sana badilika kidogo uonyeshe sura ya mama mkali ndie mlezi Bora

  • @marymgimwa
    @marymgimwa4 ай бұрын

    Mungu aliyemuumba makonda amlinde yeyote aliyekinyume nae kufa na afe

  • @IsraelUrasa
    @IsraelUrasaАй бұрын

    Kweli makonda siyotuu mkuu wa mkoa Arusha ila nimtumishi wa mungu

  • @mashaurimageme2678
    @mashaurimageme26784 ай бұрын

    Asante mama kwa kuona makonda Anafanya kanzi zuri

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula4 ай бұрын

    Mh , Uko Vizuri Sana !, Msema Kweli ni Mpendwa wa Mungu .

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33154 ай бұрын

    ,inshaalah mjane na watoto wake watano yatima Allah atawapa haki yao haki haipotei inachelewa

  • @user-fx3sk9kh1s
    @user-fx3sk9kh1s4 ай бұрын

    Mama shkamoo , saf sana mwenyezimungu akupe maisha marefu

  • @selinalawala2270
    @selinalawala22704 ай бұрын

    Kweli wananchi hatuna Raha , tunatamani siku mmoja hii nchi ibadilike, haki za watu hazifanyiwi kazi vizuri.

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru91404 ай бұрын

    Sasa mama baaday ya kuwabain hao wez unawachukulia hatuwa GANA tatzo mama unalalamika tu mbona watu wenye njaa wanaiba vyuma vya reli mnawachukulia hatua je hao wanaoiba mabilion nashangaa unawaangalia tu kama vp tumpe makonda nchi hii au kasbu Majaliwa Ndo awanyooshe

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta4 ай бұрын

    Hongera Sana mama yetu 🎉kuna mjambazi na majangili yanawajangilia watu Ardhi zao ,kisha Wana matumbo kama vigoma vya asili,hatuna furaha kweli hawa watu wenye nafasi serekalini ,kwenye taasisi wanawajambazia watu ,tuko wakimbizi kwenye nchi yetu

  • @user-ll4qd3km9e
    @user-ll4qd3km9e4 ай бұрын

    hongera mama

  • @IsraelUrasa
    @IsraelUrasaАй бұрын

    Mama aridhi imeleta maumivu kwa watu mama samia

  • @restitutalucian78
    @restitutalucian784 ай бұрын

    Jamani kwani madini tena hamna? Hizo maliasili imebaki historia. Mhh7😢

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu6994 ай бұрын

    Hao watu wanyongwe tu Mama mtoto usipo mchapa anazoea vibaya.

  • @user-rn6ft5yz2l
    @user-rn6ft5yz2l27 күн бұрын

    Mama unasema kweli kunamajizi yanavuruga tunakusingizia wewe yabane mama yetu

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467Ай бұрын

    Aksante kulegeza kikokotoo,lakini warudishe denominator kwenye formula urudi 540, Kama itakuwa hii 580, haitasaidia

  • @mangesajoseph5284
    @mangesajoseph52844 ай бұрын

    Mama na rais wetu wa jamhuri ya Tanzania ipo siku utashinda tuzo ya normal .watanzania tunaimani na wewe mama upo vizuri utashinda kwa kishindo 2025

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima52813 ай бұрын

    Kwa maana nyingine raia wajiandae kisaikolijia kulipa kodi...utendaji ukipimwa kwa makusanyo nchi hii, masikini wataumia sana.

  • @user-cn5qh4qr3j
    @user-cn5qh4qr3j3 ай бұрын

    Mama kasulu ya kigoma wanaichi tuishi Kama sio watanzania mlima sunzu diwani na timu yake wanatupora aridhi na hatuna msaada kila kiongozikaonjeshwa maslahi tunsmba msaada uchunguzi ufanyike wa mgogoro huu

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz4 ай бұрын

    Ahsante mama kwa kuligundua hilo

  • @fredyjoackimu-bk1tf
    @fredyjoackimu-bk1tf3 ай бұрын

    Thank you Mama,ila wachukulie hatua hao wanaokukwamisha

  • @JohnOkechi-m7b
    @JohnOkechi-m7b28 күн бұрын

    Raisi analipwa mshahara munge alipwa mshahara nk lakini viongozi wa ngazi ya kijiji na kitongoji hawalipwi chochote na wao ndo walinzi niwao ndiyo chanzo cha migogolo ya aridhi na mengi hayana haki kwasababu viongozi wananunuliwa

  • @success-only
    @success-only4 ай бұрын

    Ingelikuwa yakweli unayoyasema usingekuwa Una wabagua wamasai ktk kanda ya kazkazini Lkn huwa unazungumza hiki na kufanya jingine kiukweli Wananchi tumekochoka

  • @hasanichengula68

    @hasanichengula68

    4 ай бұрын

    Sema wewe siyo wanainchi misijamchoka bado namwitaji

  • @godsonishengoma5378

    @godsonishengoma5378

    4 ай бұрын

    @@hasanichengula68 asilimia kbwa ya wananch tumemchoka.. Nashangaa kmkbal hali hata dini yako haimruhusu.. Kmbk yey ni mwanamke kapewa saut ya kbembeleza hata aongee kwa ukali vp hawez ms2ua m2 ndo mana anachoagza kwa wasaidizi wake hakzingatiwi..

  • @sheilamarandu2750
    @sheilamarandu27504 ай бұрын

    Sana mama mimi mjane nimedhulumiwa na wifi na ana mtandao mkubwa kila mahali nimeenda sijafaulu mama asante ninaenda kumuona waziri slaa

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter49473 ай бұрын

    Inawezekana Rais sio mbaya kama wananchi wanavyomfikiria inamaanishabwatendaji wake ndio wanajinufaisha na kufanya Rais achukiwe na Wananchi

  • @mangesajoseph5284
    @mangesajoseph52844 ай бұрын

    Utashinda tunzo ya norbel siku Moja mama nakukubali Sana mama

  • @OswardMadege-gd7yo
    @OswardMadege-gd7yo4 ай бұрын

    Asiye na kitu basi tu ni mateso nchi hii rais unachosema ni kweli ila Hawa watu Hawana hofu ya Mungu kabisa

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani11864 ай бұрын

    Mama Hao unaowambia nendeni mkafanyie kazi ni Hao hao unawaombia kila siku au unawabadilisha mama sidhani kama watabadilika😢

  • @thetruth8979
    @thetruth89794 ай бұрын

    Hiyo kweli kabisa

  • @willymgaya7618
    @willymgaya76184 ай бұрын

    MH. RAIS, HAO WEZI USIWAONGELEE TU JUKWANI. TUNAOMBA WAKAMATWE NA WASHITAKIWE. NDIPO CCM TUTAWAELEWA.

  • @seifusengondo9170
    @seifusengondo91703 ай бұрын

    anatupa stori au atapambana nao hao majambazi wa kalamu

  • @jesusnametv4935
    @jesusnametv49353 ай бұрын

    mama anaupiga mwingi halafu anaibiwa kila siku ,

  • @user-nh7ie5kz7l
    @user-nh7ie5kz7lАй бұрын

    shikamoo

  • @andrewmalamsha3042
    @andrewmalamsha30424 ай бұрын

    Rais anaumia sana ujue

  • @danielkanso
    @danielkanso4 ай бұрын

    Naam kiongozi umegusa. Mambo muhimu sana inahitajika ufuatiliaji wa hali ya juu sana Raisi baadhi watendaji wa serikali hawako sawa wanaonea sana watu

  • @user-kp2jf5jc2i
    @user-kp2jf5jc2i4 ай бұрын

    LKN, KWA NN MNANG'ANG'ANIA KUTUTAWALA WKT KILA SIKU MNALALAMIKIANA KIUTENDAJI HAMUWEZI JAMANI, SI MTOKE?

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa1984 ай бұрын

    Yani nchi yangu hilivyo na utawala,uongozi wa ovyoo imagine raisi kiongozi wa nchi hanakubali kuna wizi na ubadhilifu kwenye serikali yake...ccm ni chama cha wezi na utawala wake ni ovyooo kabisa..katiba mpya ndio solution ya yote hayo..

  • @user-ck1kw5cu8y
    @user-ck1kw5cu8y4 ай бұрын

    Mama asante sana kwa kuwaeleza ukweli Mama tunamba ututazame pia kwenye swala la ukusanyaji wa Fedha za Taka Mama watu hatuna Amani sh 3000 MAMA kwa mwezi tunaomba tazama na hili Mama

  • @sheilamarandu2750
    @sheilamarandu27504 ай бұрын

    Kweli mama

  • @user13375
    @user13375Ай бұрын

    Na ww upo😮

  • @user-zo7lf4qp6m
    @user-zo7lf4qp6m4 ай бұрын

    Unawalea vibaya mama

  • @sheilamarandu2750
    @sheilamarandu27504 ай бұрын

    Mama chukulia watendaji wa ardhi sheria ni wabaya mno unauliza kiwanja kipo wapi mbezi ukiserch wanasema kipo morogoro watendaji wako wa ardhi wanakuangusha mno

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140Ай бұрын

    Ww uwe unawasikiliza wananchi shida zao kama mtanguliz wako unawatuma watu wez kazi alaf unawabembeleza w mama ww huoni tatzo nenda mwenyew

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga62874 ай бұрын

    Hiii ni shida

  • @MunsiCosmas-tg2df
    @MunsiCosmas-tg2df3 ай бұрын

    Ama kwel hapa du Kaz ipo

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla85224 ай бұрын

    Wanauziana mizigo bila risiti za tra,na TRA pia wanahusika na baadhi ya wafanyabiashara wakubwa kariakoo, ndo maana waligomaa store zisisajaliwe,hebu mama mhe,rais uje uangalie.sasa hivi Magherafelt kariakoo zimekuwa magodawni

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33154 ай бұрын

    ,wakuu mkoa WA wilaya waliopita walikuwepo nawanajua lakini ndio hivyo

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx75474 ай бұрын

    Mama imarisha vitengo vya ukaguzi wa ndani na uwalinde ili ukusaidie kudhibiti mianya ya wizi wa fedha za serikali.

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn4 ай бұрын

    Ardhi hakuna mahakama mama

  • @kulwamaguzmaguzu2202
    @kulwamaguzmaguzu22024 ай бұрын

    Umeme mama vp

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q4 ай бұрын

    Mama tuletee makonda wilaya yachunya tafadhari tunakuomba mama chonde

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33154 ай бұрын

    ,hospitali ya mabilioni inateketea wenye haki yao wanazalilika

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it4 ай бұрын

    Wambie mamangu

  • @shabanimataka8418
    @shabanimataka84184 ай бұрын

    Rais ao watu usiwaombe kuwa waadilifu ao ni kuwalazinisha wawe sawa na wasipokuwa ivyo watimue na atakae onekana anahaki za watu lazima azitoe na sio kumtoa sehem 1 kwenda nyengine

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu6994 ай бұрын

    Hawa wezi tunashidwa kuwashughulikia aswa wa vikundi feki kwa ajili ni wana CCM ifike wakati hii roho ya ccm ife kabisa tunachekeana xna, Alafu tunafunga safari za Nje kuomba misada na mikopo ndani tunashidwa kusimamia rasilimali zetu, umasikini utadumu adi Yesu aludi

  • @irumvadonciella7937
    @irumvadonciella79374 ай бұрын

    Wapo busy nakuandika utafikilia wanenda kulitendea haki very sad

  • @OswardMadege-gd7yo
    @OswardMadege-gd7yo4 ай бұрын

    Wananchi kweli wamechoka na wizi wa wahudumu wa serikali Sasa wanadamu Hawa wamemwachia Mungu tu Hali ya wananchi ni ngumu

  • @Cryptocurrency_Tanzania
    @Cryptocurrency_Tanzania4 ай бұрын

    Wewe ndio final say after God Mama.. angalia sheria inataka nini kisha watu hao sheria ifanye kazi yake. ..

  • @magorymara5515

    @magorymara5515

    4 ай бұрын

    Sheria inafanya kazi mtu anapokuwa gerezani lakin hii ya kupangiwa kazi nyingne basi ujue sheria inalea uozo hawa jamaa wanaibiwa sana na wanaiba sana

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz4 ай бұрын

    Sijawahi kuona serikali kama hii watu wanaupiga mwingi sana halafu wanamsifia hahaha kwa kweli chukua chako mapema soon uchaguzi

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani84344 ай бұрын

    Shida hamuchukui hatua hilo ndio tatizo sasa watu wanafanya mchezo munachekeana sana

  • @NzilentaIssa
    @NzilentaIssa4 ай бұрын

    Dawinurodi

  • @hajihassan5433
    @hajihassan54334 ай бұрын

    Mama ukienda hivi watakuvua mpaka vidani ulivyovaa, ni mpole mno! Mhe. Magufuli alikuwa akizungumzia wizi aliimanisha na kimsingi bila kunyonga Mafisadi hadharani hatutakwenda popote.

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla85224 ай бұрын

    Matrilioni zinapotea kariakoo tuu,kwa seconds 0.05seconds mnaibiwa mitaani

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33154 ай бұрын

    ,mashekh na maimamu imekuwa NI tatizo

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33154 ай бұрын

    Sema mama huku tanga mama mjane kazulumiwa haki zake na taasisi moja ya kidini mwisho mahakama nayo ikawapa taasisi hiyo hospitali ya mabilioni inateketea wakuuwamkoa WA wilaya wapo

  • @elioimer8423
    @elioimer84234 ай бұрын

    Wamasai mnawanyang’anya ardhi , ng’ombe zao kila mahali katika nchi hii lakini , hivi mnataka waende wapi. Wakienda Zanzibar ni tabu kwa sababu mnawanyima kufuata mila na desturi yao. Waache wakae kwenye ardhi yao kwani mnawafanya watangetange kila kona. Ni tabular na manyanyaso katika ardhi na nchi yao

  • @FredHerman-vs8yw
    @FredHerman-vs8yw4 ай бұрын

    Mama ao ndiyo wanaokufelisha usiwachekee

  • @user-yd3cj5xs1z
    @user-yd3cj5xs1z4 ай бұрын

    Mama kwanini usibadilike ukawa kama mama wa kambo??? Usiwe mpoele watanzania wanataka wapekekeshwe kama punda, kuwa kama King "magufuli"

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara33984 ай бұрын

    Badilisheni katibatu ndodawa 2

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene54 ай бұрын

    Waambie hawa unaowateuwa hawatupendi sisi wanyonge !!!

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga65763 ай бұрын

    Tunamtaka Alhapi Bwana kwanini hamtaki kumteuwa, faha sisi wanne kwa furaha sikweli watu wanaishi kwa uchungu ivi aliye sema muongo kabisa

  • @SafariMsafi-um1pz
    @SafariMsafi-um1pz4 ай бұрын

    Jifunzeni kwa magufuli alivyokuwa akifanya kwa majipu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca76024 ай бұрын

    Mama Mwaka 2025 kura zetu zinakuhusu, makonda kumrudisha MAKONDA CCM amewaamsha sana hai wavivu. Mungu akuweke

  • @edmundrutahiwa

    @edmundrutahiwa

    3 ай бұрын

    Huna akili kiazi wewe

  • @user-tu8tl2lg4b
    @user-tu8tl2lg4b4 ай бұрын

    Kalimeni sio shamba

  • @danielkanso
    @danielkanso4 ай бұрын

    Wamasai vip jama mbona wanateseka sana nafikiri hawa watu watazamwe kwa jicho la tatu

  • @user-nb8ot8be9f
    @user-nb8ot8be9f4 ай бұрын

    Tena mama hao wanamchukia maklonda sana

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz4 ай бұрын

    Huyu mama tumpe kura. Anaonyesha uzalendo hasa.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74384 ай бұрын

    Mbona huwafukuzi kama hayati magufuli alivyokuwa anawafukuza wewe unawalea mama mijizi fanya kweli

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo90644 ай бұрын

    Mtaa wa amana Kuna milori mikubwa Barbara zinaharibiwa

  • @user-ze2wh2we9y
    @user-ze2wh2we9y4 ай бұрын

    Tunawasubiri 2025 tumewachoka

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere19624 ай бұрын

    Angalia kwenye madini wanaochukua maliseni wananyanyasa sana

  • @DavisNchinga
    @DavisNchinga4 ай бұрын

    Lukwa ichunguzwe

  • @user-ze2wh2we9y
    @user-ze2wh2we9y4 ай бұрын

    Mama wanakuchukulia poa 2025 wanatoa ushinde ili waendelee kuiba mama fata nyayo za JPM tumbua majipu Bila hivyo KWA maneno huwawezi Hilo ni kundi hatari kikulacho linguini mwako

  • @user-yd2hi7bl8o
    @user-yd2hi7bl8o4 ай бұрын

    Watendaji wako hawana lolote kazi kukusifia 2 mama

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg4 ай бұрын

    Hizi makonda amazogawa zinatoka wapi jamani Rais wetu Mama yetu mpendwa, au ni mshahara wake ndio anaougawa

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do4 ай бұрын

    Ndo maana wanataka ugombee Tena ili waendelee kuiba

  • @user-zw9es5gx5w
    @user-zw9es5gx5w4 ай бұрын

    Ngorongoro kimezidi kunyang'anywa aridhi zutu

  • @magorymara5515

    @magorymara5515

    4 ай бұрын

    Huko token token ili tupate maeneo ya utalii mkijenga huko tutatalii wapi

  • @SalumChema
    @SalumChemaАй бұрын

    Hadi.vijiji.mgobe.lewa.msambiazi.kalekwa.welei.kwambaazi.god.sheni.nakwambia.mamakamahujui.na.vinahati.lakn.hawataki.watuwamezuiliwa.kulima.wanapanda.miti.mkoa.wa.Tanga.wilaya,,korogwe..mkoa.Tanga.nakadizimerudiswa,na.wanavijiji.tunaombalifanyiekazi.Toka,75.vijii.vipo.kilatunapoendatunakwama.wakatu.tuliletwa.Na.nyerere

  • @mangesajoseph5284
    @mangesajoseph52844 ай бұрын

    Mama piga kazi na makonda yupo vizuri Sana wewe ndiyo rais wetu wanyonge Hadi 2035

  • @aminibraisonngwiso3175
    @aminibraisonngwiso31754 ай бұрын

    Asante umetusemea kabisaa mama yetu,tunakushukuru sana

  • @aminibraisonngwiso3175

    @aminibraisonngwiso3175

    4 ай бұрын

    Yaani kupitia maneno ya kuridhisha kama haya anayosema Mkuu wa nchi tayari tuna matumaini ya kupata haki zetu.na ni kweli kuna wababe wa ardhi sio mchezo ni hatari.lakini Hongera Mama kwa kuthamini wanyonge tunahisi unyonge kwisha habari yake.

  • @nemeskimbe376
    @nemeskimbe3764 ай бұрын

    Sasa nani wa kusimamia kama hutokuwa mkali mama wanakuchukulia poa na maisha yanakuwa magumu kwa mwananchi

  • @user-ei4ls8pq4s
    @user-ei4ls8pq4s3 ай бұрын

    Mitano tena kwa Mama. hasa wizara ya ardhi umetuvalisha nguo kwa kweli. Mungu mwema.

  • @RudelphZabron
    @RudelphZabron4 ай бұрын

    Mheshimiwa Rais huwezi kuondoa migogoro ya aridhi kama bado Sheria ya aridhi bado inasema aridhi ni Mali ya umma na inahodhiwa na Rais kwa manufaa ya wananchi wote Mh.Rais badilisha Sheria ya umilikiaji wa aridhi.

  • @user-jz4tz9pn5c

    @user-jz4tz9pn5c

    4 ай бұрын

    Abadil iweje

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene54 ай бұрын

    Mgogoro wa Ardhi mimi hapa nimepolwa nusu ya kiwanja changu ninacholipia hsti ysngu toka 1982kimepolwa na bint anaesema anafanya kazi kwa waziri mkuu hashauliwi namtu

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os4 ай бұрын

    Watieni watu jela. Wanyongeni maharamia hawa. Kuwaomba watendaji waende wakafanye kazi umeomba sana. Washukie sasa mama Samia . Binadamu inaelekea haendi mstari ulionyooka hadi mijekedi. Wagonge hawa wavaa tai na suti wanaoitafuna hii nchi. Lawama dhamana dhima iko kwako. KUWA MKALI

  • @user-cn5qh4qr3j
    @user-cn5qh4qr3j3 ай бұрын

    Mama kasulu ya kigoma wanaichi tuishi Kama sio watanzania mlima sunzu diwani na timu yake wanatupora aridhi na hatuna msaada kila kiongozikaonjeshwa maslahi tunsmba msaada uchunguzi ufanyike wa mgogoro huu

  • @AgustiAgustisabinisilayo
    @AgustiAgustisabinisilayo3 ай бұрын

    Mama tunakupenda ila kuna wanao kuangushwa makomdaaa baba laooo

Келесі