AFUENI TANZANIA! USAFIRI MPYA WA ANGANI MWANZA
Katika kuboresha usafiri wa anga , Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amelishauri shirika la ndege nchini (Air Tanzania) kuona umhimu wa kuongeza safari za ndege kutoka Mwanza kwenda makao makuu ya nchi hiyo Dodoma hali itakayosaidia kukuza uchumi wa nchi hiyo.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Пікірлер: 3
Safi sana 🎉🎉🎉
Kila kitu Hadi masherehe kutumalizia pesazetu hovyo kabisa
na jengo la abiria likamilishwe hadhi ya kimataifa ili iwe chachu