AFUENI TANZANIA! USAFIRI MPYA WA ANGANI MWANZA

Katika kuboresha usafiri wa anga , Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amelishauri shirika la ndege nchini (Air Tanzania) kuona umhimu wa kuongeza safari za ndege kutoka Mwanza kwenda makao makuu ya nchi hiyo Dodoma hali itakayosaidia kukuza uchumi wa nchi hiyo.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 3

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i8 күн бұрын

    Safi sana 🎉🎉🎉

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa913117 күн бұрын

    Kila kitu Hadi masherehe kutumalizia pesazetu hovyo kabisa

  • @laheonlinetv2161
    @laheonlinetv216117 күн бұрын

    na jengo la abiria likamilishwe hadhi ya kimataifa ili iwe chachu