SUGU AKIRI! SISI KAMA CHADEMA TUMECHOKA!

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi (Sugu), amesema Tanzania kuendelea kukopa fedha ni hasara kwa Taifa kwasababu fedha hizo hazileti matokeo chanya kwa wananchi bali zinawanufaisha wachache.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 2

  • @allysudi4429
    @allysudi442912 күн бұрын

    Jongwe💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa517913 күн бұрын

    chadema bado hamjaichoka

Келесі