Wakili Mwabukusi Akata Mizizi Mkataba wa Bandari, 'Hatuwaogopi' Ataka Tulia Ajiuzulu

Kupitia kampeni yao ya #OkoaBandariZetu CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati mbalimbali na viongozi wengine wa kijamii wanafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Bulyaga Temeke.
Wanaharakati na CHADEMA wameendelea kusisitiza mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hauna maslahi mapana kwa nchi. Mkutano huu wa CHADEMA unafanyika ikiwa ni wiki mbili toka CCM kuanza mikutano yao ya hadhara ya kufafanua kuhusu suala la bandari.
Endelea kufuatilia The Chanzo tupo hapa katika viwanja vya Bulyaga kurusha Live
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 921

  • @godfreymeagisa1871
    @godfreymeagisa187111 ай бұрын

    Safi Sana Mwabukusi YEHOVA AKUTIE NGUVU

  • @alfredzunda4655
    @alfredzunda465511 ай бұрын

    Hii nchi kumbe bado ina watu wa maana sana. Wakili Mwabukusi Mungu akutunze kwa ajili ya taifa hili na vizazi vyetu

  • @mkude

    @mkude

    10 ай бұрын

    Watu wamaana wapi hao wapo Kwa ajili ya kisiasa tu wapo Kwa ajili ya maslahi Yao,huo uwekezaji hauna shida yoyote watu wanapitoshwa sanaaa

  • @gifttemba4355

    @gifttemba4355

    10 ай бұрын

    @@mkude ndugu usiongee vibaya ukaja juta acha sisi tunao elewa tushiriki

  • @ImeldaLikoko

    @ImeldaLikoko

    2 күн бұрын

    🎉​@@gifttemba4355

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga151811 ай бұрын

    Facts tupu,,huyu mwabukusi du! Big up commander

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan289011 ай бұрын

    Mungu yupo na kaka Mwabukusi

  • @laizerkesoi-qf4yw
    @laizerkesoi-qf4yw11 ай бұрын

    Hongera mwamba,mkombozi wa watanzania

  • @jacoblongo6814
    @jacoblongo681411 ай бұрын

    Safi kamanda mwambugusi Mungu akupe maisha marefu

  • @starvista823
    @starvista82311 ай бұрын

    Mungu ibariki nchi yetu na tutoe kwenye hili janga

  • @annamhina8385
    @annamhina838511 ай бұрын

    Mh. Mwabukusi Mungu akubariki,watu kama ninyi ni wachache duniani kwa wenye akili zenye hekima watakuelewa sana lakini wasio na akili zenye akili watakupuuza songea Mbele Mungu akutangulie umetumia utu wako vizuri hakika wewe ni miongoni mwao wasomi vichwa.

  • @ProsperNgeniuko
    @ProsperNgeniuko11 ай бұрын

    tunaomba mzunguke nchi nzima

  • @mohamedpaul8048
    @mohamedpaul804811 ай бұрын

    Mungu akutangurie mwakubusi sisi watanganyika tuko nyuma Yako

  • @user-vc2hk9kr1c
    @user-vc2hk9kr1c11 ай бұрын

    Wakili barikiwa sana mungu yupamoja nawe nchi iko nawewe mungu mbele pakakieleweke ili nchi tanzania ibaki kuwasalama.

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda277311 ай бұрын

    AKI UMETUVUA NGUO.NIMEGUNDUA ELIMU MUHIMU WACHA TUPELEKE WATOTO SHULE.

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo11 ай бұрын

    Tu namshukuru Mungu kwa kwa kutuletea Mwabukusi baada ya Magufuli moto unazidi kuwaka

  • @gracemally4398

    @gracemally4398

    10 ай бұрын

    Mungu akulinde sana mwabukusi,umejitoa Kwa kizazi kijacho

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter494711 ай бұрын

    Hongereni sana Wazalendo wa nchi hii kwa kujitoa maisha yenu kwa aili ya vizazi vijavyo

  • @evodirudo4813
    @evodirudo481311 ай бұрын

    Safii mkuu, mpaka kieleweke. Walisha zoea vya kunyonga!! Mwaka huu vimewapitia puwani. Mungu akujalie afya tele pamoja na wazalendo wenzetu

  • @HermasKwigizile-lz6ks
    @HermasKwigizile-lz6ks11 ай бұрын

    Wakili Mwabukusi, Mungu akutie nguvu katika mapambano haya. Sisi tupo pamoja nawe.

  • @FredsonHytham-dx4xk

    @FredsonHytham-dx4xk

    11 ай бұрын

    Mungu yupo nae kwa sababu MUNGU YUPO PMJ NA WAPENDA HAKI

  • @user-xg9ix9ex9h

    @user-xg9ix9ex9h

    11 ай бұрын

    Hivi wewe unaesema mungu awe pamoja na yeye kwa lipi kwa matusi anayotukana au

  • @mkude

    @mkude

    10 ай бұрын

    Mwenyeezi mungu hawezi kuwa pamoja nae kwasababu anatukana na kupotosha watu

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t11 ай бұрын

    Huyu ndo mwenyew😊

  • @missmwayway4704
    @missmwayway470411 ай бұрын

    VIVA MWABUKUSI VIVA 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 YKO 💪

  • @allyfaraji4200
    @allyfaraji420011 ай бұрын

    Uyu ndiyo profesa siyo wale we wengine waliokuwa bungeni vilaza tu

  • @KaburuKimath-eu5nf

    @KaburuKimath-eu5nf

    Ай бұрын

    Kwani wataalamu wetu na wasomi wetu wakiungana na matajiri WA nchi hii walishindwa kukaa pamoja waungane pamoja wangeshindwa kuendesha hii bandaiii adi tukodishie watu WA njeee dar

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa468711 ай бұрын

    Mungu akulinde mkataba huu ufutwe

  • @Clement-px8eg
    @Clement-px8eg11 ай бұрын

    Walahi safari hi hawatoboi vibaraka warudishe mapesa ya watu na wale wenye mkataba wawafuate wenzao dubaiiii

  • @mzalendohuru...4967
    @mzalendohuru...496711 ай бұрын

    Mwambugusi your truly patriotic ..allmight God protect you

  • @magrethsengati2564
    @magrethsengati256411 ай бұрын

    I love my country❤❤❤❤tz tetea tanzania tetea bandari zetu

  • @RugemaliraRenatus-rf6yv
    @RugemaliraRenatus-rf6yv11 ай бұрын

    Mungu akulinde unayoongea yatatokea ,au ya atokea leo unasema nimeona mambo fulani hivi hadi nimeshangaa

  • @lionmkushi9641
    @lionmkushi964111 ай бұрын

    Wavue nguo wabaki uchi kabisa Wametuzoea Mungu akulinde mwamba

  • @levinaernest4364

    @levinaernest4364

    11 ай бұрын

    😂😂😂

  • @giftmkilindi1486
    @giftmkilindi148611 ай бұрын

    Ufafanuzi mzuri leo umepatikana 💯

  • @GenovevarKavikule-it2wc
    @GenovevarKavikule-it2wc11 ай бұрын

    Tunawapa na onyo serikali tabia ya kuuwa watu wanaotetea nchi yetu ole wao na huyu afe tutaandamana tupokimya ila tunajua kinachoendelea huko ndomana wabunge na spika wa bunge anaogopa kusema ukweli anaogopa kufa

  • @scaveyy5428

    @scaveyy5428

    11 ай бұрын

    Mngeandamana kipindi cha awamu tano watu wasiojulikana walivyokua wanauwa watu

  • @musamwambene1323
    @musamwambene132311 ай бұрын

    Waziri mkuu anaferi kweli hilo👍

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga639011 ай бұрын

    Mungu akulinde na akuongeza wakili mwabukusi

  • @user-tp1qv6ss6i
    @user-tp1qv6ss6i11 ай бұрын

    Mungu akubariki. Na kukulinda nakukuangazia nuru ,na uso wake Akupe aman

  • @h.jrugashaula1296
    @h.jrugashaula129611 ай бұрын

    Huyu bwana anamsimamo sana

  • @user-xi9lj1gz2p

    @user-xi9lj1gz2p

    10 ай бұрын

    Ameiva ypo vzr

  • @eliantupwa2737
    @eliantupwa273711 ай бұрын

    Pambana dogo mungu yuko pamoja nawewe nakuombea sana

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa19811 ай бұрын

    HUYU MWAMBA MBEYA HAKIPOTEA, SITAKAA NIWASAMEE MILELE, HAKI NASEMA,NIEPENDA MBEYA ❤❤❤

  • @mobilempula545
    @mobilempula54511 ай бұрын

    Mungu awabariki wote mnaotetea mali za watanzania zisiporwe

  • @sospetersebastian5575
    @sospetersebastian557511 ай бұрын

    Tunahitaji akina Mwambukusi wengi katika Taifa hili. God bless you all.

  • @SALIMUAMILI-ub4vz
    @SALIMUAMILI-ub4vz11 ай бұрын

    Mungu akubaliki kwa kila jambo unalolifanya katika taifalako latanzania

  • @yakobojoseph965
    @yakobojoseph96511 ай бұрын

    Baada ya Magu kaja mwamba, Mungu anazid kutupenda. Sema hatadumu jamaan serikali yetu haiwapendi....😭😭

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon706311 ай бұрын

    Nakuelewa sana wakili Msomi.

  • @georgekamosi9501
    @georgekamosi950111 ай бұрын

    Ninapokusikiliza Naona bando langu linaisha Kwa haki.

  • @jamesmaurusss3612

    @jamesmaurusss3612

    11 ай бұрын

    Umeona eeh

  • @malembobulongo3856
    @malembobulongo385611 ай бұрын

    Jamani nchi yetu inapigwa na inaendelea kupigwa sana mungu wape nguvu watetez wetu

  • @faustinemangula8424
    @faustinemangula842411 ай бұрын

    Hongera Mwamugusi kwa Karama ya sheria na ushujaa.

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd11 ай бұрын

    Ndio maana nchi inamali nyingi lakini inachechemea kimaendeleo Kwa sababu ya wanafiki wachache waswahili Asante wakili mwambukusi

  • @user-tj2ve6go2y
    @user-tj2ve6go2y11 ай бұрын

    pamoja sana mwamba

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles802911 ай бұрын

    Huyu hakika ni mtu aliyejitolea maisha yake kwa ajili ya kuwaelimisha Watanzania juu ya sintofahamu juu ya Mkataba wa DPW.....Mungu akubariki sana Mwabukusi... ✍🙏🙏🙏

  • @asinahussein2176

    @asinahussein2176

    10 ай бұрын

    Kapewa fungusna chadema kwani uongo

  • @janemwaipopo

    @janemwaipopo

    10 ай бұрын

    Ndagha Mundu ghwa Kyala Jhesu akwimilile Kangi Amaka ghajheghe miiiñgi Ukukindila Mu ngamu jha Kyala Amen🙏🙏🙏✔️

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula222711 ай бұрын

    Watu wamekupenda saana Ila ukienda ccm utapoteza upendo wako

  • @nasonkaguli9061
    @nasonkaguli906111 ай бұрын

    Ujasiri ni uwezo wa kufanya vitu ambavyo wengine wanashidwa kufanya!! Confidence 💯

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat635211 ай бұрын

    Kwanini Serikali yangu hawataki kusikia kelele za hawa wasomi wetu? Wakiuacha huo mkataba wakawashirikisha Watanzania wasomi kutuogoza kuupitia mkataba huu itakuwa vibaya. Hebu SERIKALI TUSIKIENI JAMANI MUNGU ATAWAADHIBU

  • @jumamnemo8383

    @jumamnemo8383

    11 ай бұрын

    Hapo hapanpa msomi

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    11 ай бұрын

    ​@@jumamnemo8383kuna wanani? Huyu ni msomi wa sheria

  • @mutalemwamarcelventure.mae2058

    @mutalemwamarcelventure.mae2058

    11 ай бұрын

    nimekuelewa

  • @mutalemwamarcelventure.mae2058

    @mutalemwamarcelventure.mae2058

    11 ай бұрын

    Hekima hekima Jamani

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa533611 ай бұрын

    Hadi nimelia kwauchungu maana watoto na wajukuu zetu hawatakuta kitu.

  • @DAVDChalse-db6tz
    @DAVDChalse-db6tz11 ай бұрын

    Mungu akulinde Sana Mzalendo wa Nchi hii hawatakufanya chochote Mungu yu pamoja Nawe tko Nyuma yako kaka niko Tayar kwa lolote kwa ajili ya Tanganyika Yangu Mungu atuongoze katka Vita hii

  • @majormajomjohn3775

    @majormajomjohn3775

    11 ай бұрын

    Amen

  • @majormajomjohn3775

    @majormajomjohn3775

    11 ай бұрын

    Huyu mwamba anatoa madini tupu

  • @mwitamayebe1761
    @mwitamayebe176111 ай бұрын

    Mwamba kaiva Bandari yetu ibakie

  • @user-xi9lj1gz2p

    @user-xi9lj1gz2p

    10 ай бұрын

    Kaiva kinomanoma

  • @hafsamnenga1942
    @hafsamnenga194211 ай бұрын

    Mungu awalinde Mwambusi dokta salaam mbowe lema dokta shivji

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga737811 ай бұрын

    Wewe ndiye unaweza kuwa kiongozi mzuri sana.

  • @josephmwita6012
    @josephmwita601211 ай бұрын

    oooh my god just protect this man

  • @jumagembe9877
    @jumagembe987711 ай бұрын

    Maneno mazito sana

  • @gloryminja8852
    @gloryminja885211 ай бұрын

    Mungu atakulinda na mwakani ugombee urais mweshimiwa unafaa kuongoza watanzania

  • @samakisamaki3226
    @samakisamaki322611 ай бұрын

    Kwa nini mtanzania anasimama kutetea mkataba kwenye nafasi ya DPW? Tuwe wazi aje DPW na wanasheria wake tujadili. Kinyume na hivyo ni wazi kuwa ni samia na kundi la wachache ni washirika wa DPW.

  • @saidissa8273

    @saidissa8273

    11 ай бұрын

    KWA NN APINGE

  • @emmanuelmbuya6223
    @emmanuelmbuya622311 ай бұрын

    Asante Mwabukusi kwa kisimama imara kwaajili ya umma wa Watanzania.

  • @fabianambuta5471
    @fabianambuta547111 ай бұрын

    Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho Mungu yupo Kwa ajili ya watanzania

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk11 ай бұрын

    Namkubari kinoma uyu mwamba

  • @dr.johnsonnyamohanga6147
    @dr.johnsonnyamohanga614711 ай бұрын

    Kaka mungu akulinde usiku na mchana !kila nikikusikiliza natokwa machozi na furaha kumbe Tanzania tuna watu wazalendo kama wewe

  • @officialdanijay6521
    @officialdanijay652111 ай бұрын

    nchi yangu tanzania nakupenda😢😢

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias774811 ай бұрын

    Recpect mwabukusi viva viva wamezoea tukishinda hili hakika tuna toka utumwani najua huu mchongo marekani yupo nyuma ila hii ngoma ngumu spika arika na wachawi si uri arika machifu wa mbeya

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b11 ай бұрын

    Uko vizuri sana, watanzania tunakuunga mkono hatukubali kuuziwa bandari yetu

  • @alexkipemba3655
    @alexkipemba365511 ай бұрын

    Mungu akulinde na kukuepusha na mahangaiko kwa kutusemea watanzania wanyonge na vizazi vijavyoo

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule501711 ай бұрын

    God let angel to protect Mwabukusi

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo11 ай бұрын

    Huyu jamaa anakili kubwa sana, huyu ndo anatakiwa awe raisi wa hii nchi

  • @user-xi9lj1gz2p

    @user-xi9lj1gz2p

    10 ай бұрын

    Njemaa ametufungua mackio

  • @user-vc2hk9kr1c
    @user-vc2hk9kr1c11 ай бұрын

    Watu kamahawa ndiowalitakiwa wawe maraisi wanauchungu na nchi tanzania mungu ibariki tanzania yetu

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa724310 ай бұрын

    Nyie ndo wanaume mliowekwa Tanzania na Mungu kwa ajili ya kulinda nchi yetu.msiogopeeeeeee.

  • @peternyambui7492
    @peternyambui749211 ай бұрын

    Safi sana sana..sana!!!

  • @assayusuph3295
    @assayusuph329511 ай бұрын

    Tundulisu mamba mbili

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b11 ай бұрын

    Mkataba huu hatutaki, uko vizuri sana Mh wakili wetu mtanzania halisi tunakuunga mkono

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi860311 ай бұрын

    Wakili ww ni msomi na mwenye uelewa mkubwa mno, salute kwako

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs433011 ай бұрын

    Ndioo' hii ni SAUTI ya wananchi WaTanzania, anayekataa ni mwizi natapeli wa raslimali za Tanzania' Mzalendo yeyote wa nchi yetu Tanzania hawezi kukubaliana na mkataba wakitapeli walio tuletea hawa viongozi majizi, matapeli tena majambazi wanaopora nchi ya Tanzania

  • @mutalemwamarcelventure.mae2058
    @mutalemwamarcelventure.mae205811 ай бұрын

    Si tulisoma wasitu someshe Tupate waweke wazi Lakini Haya mambo Tunaomba wapiganaji wa pewe nafasi,pia tuwe wahifhadhi wa rugha ya kiswahili nawaombea wote na sisi tuombeane daima ni Tanzania kwa wenye nia watafanikiwa Amin

  • @davidkabwogi3346
    @davidkabwogi334611 ай бұрын

    Mungu yuko mbele yenu lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yote yanawezekana

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    11 ай бұрын

    Umesema kweli

  • @amosepimacknyanda639
    @amosepimacknyanda63911 ай бұрын

    Uko mzalendo sana 🙏

  • @samwelrobertmwakatobe6467
    @samwelrobertmwakatobe646711 ай бұрын

    Msomi hakika usirudi nyuma mbele kwa mbele ww ni jasili wa Leo na kwa kizazi kijacho maneno yko yataishi

  • @salummohamed2689

    @salummohamed2689

    11 ай бұрын

    Kuna wengine wa upande mwingine walidai wametolewa jalalani!

  • @salummohamed2689

    @salummohamed2689

    11 ай бұрын

    Hii document iliwaponyoka ni fursa Kwa wanyonge wa Tanganyika.

  • @user-xc4gr6by1y
    @user-xc4gr6by1y11 ай бұрын

    Tusemeee Kaka tunadhurumiwa Sana na kuonewa ,haki hakuna,mungu akuepushe Ni nawabaya

  • @phrolinAnton-lp6xl
    @phrolinAnton-lp6xl11 ай бұрын

    Safi sana kaka atawakikutishia wajue kwamba mahalo penye Hali ukimtendea unyama Mmoja wanazuka wengine kumi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666211 ай бұрын

    Kijana Mwambukusi ubarikiwe sana sana. Mungu atakupa afya njema sana. Huyo Mtungi simuelewi kabisa, 2020 hakuona yaliyotokea? Huyo anajua sheria kweli? Ati mlezi mlezi gani anayelemea mtoto mmoja na wengine anabakua kuwatafutia kesi tu?

  • @mimutiengungatimollel3794
    @mimutiengungatimollel379411 ай бұрын

    Mungu tu awalinde viongozi wetu wote mnaupinga nchi yetu kuuzwa ila Watanzania wote tupo nyuma yenu

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo830811 ай бұрын

    Rais anayesubiri Udaktari wa kupewa PHD ZA KUPEWA, kahofu kuandika critical desertation, km alishindwa hapo ataiongoza nchi? There people, with intelligence, critical thinkers, analytical and philosophical entity. Being a President doesn't mean you're wise, intelligence with higher performance. Thank you Mr Advocate Mwambukusi.

  • @patrickKitambo

    @patrickKitambo

    11 ай бұрын

    Tatizo kubwa la hii akili ndogo intaka kuendesha akili kubwa

  • @LusajoMwajeka-tf1nj
    @LusajoMwajeka-tf1nj10 ай бұрын

    Sawa mzee tupo pamoja nashukulu Sana binafsi nakuunga mkono Sanaa,

  • @user-de4no8od7s
    @user-de4no8od7s10 ай бұрын

    Nadhani hawana hofu ya Mungu

  • @user-pv9zm7zk4n
    @user-pv9zm7zk4n11 ай бұрын

    Mungu akulinde unausema ukwel kama magufuli hakika nasi tupo nyuma yako

  • @barakamaendeleo5202
    @barakamaendeleo520211 ай бұрын

    Nakukubali saana kiongozi

  • @PetroKiyeyeu-hz7qk
    @PetroKiyeyeu-hz7qk10 ай бұрын

    safi sana tufate nyayo za Nyerere magufuli

  • @thomaslunyenza3507
    @thomaslunyenza350711 ай бұрын

    Eee mwenyezi Mungu nakuomba tusaidie sisi watanzania na Tanzania yetu. Tunakuamini wewe tu amin

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi313111 ай бұрын

    Safi sana mwambusi sisi kama wanainchi watanganyika tukopamoja

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson446411 ай бұрын

    Ni kweli ndiyo maana walimchukia Magufuli, Mimi nashauri tuendeshe wenyewe mbona enzi za Mwl Nyerere hayo yaliwezekana na kipindi hicho wasomi walikuwa wachache, na kama alitaka u

  • @DeusiSetivin-ls9uz
    @DeusiSetivin-ls9uz11 ай бұрын

    Tunakushukuru mungu akuri de kwakutembea na kusoma nyaraka ya mkataba tunapenda na tunashukuru kwa kutusomea mkataba !

  • @user-oi5vo8qn7n
    @user-oi5vo8qn7n10 ай бұрын

    Hongera wakili mzuri

  • @jumanjiku163
    @jumanjiku16311 ай бұрын

    😢Baba Magu R.I.P

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka522411 ай бұрын

    Well said and well understood.

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    11 ай бұрын

    Calling a spade a spade and not a digging spoon

  • @IBRAHIMUSADICK-iv2rl
    @IBRAHIMUSADICK-iv2rl11 ай бұрын

    Mwambukusa kwakweli hongeleni sana kwa kupambania watanzania Ibrahim kutokaka kigoma

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u11 ай бұрын

    Mwamba huyu Hapa Shujaaaa wa kweli 💪👍💪💪🤝 chuma Cha Kazi mwabukusi

  • @DanielKazimoto-do8rt
    @DanielKazimoto-do8rt11 ай бұрын

    Mungu akulinde unaeleweka vyema kbs

  • @bettymeshack7759
    @bettymeshack775911 ай бұрын

    Kumbe hii dp World sio ya wadubai ni ya mtu humuhumu Tanzania 💔

  • @MartinSiimay-jj9jk
    @MartinSiimay-jj9jk11 ай бұрын

    Jamaa 2tukopamoja sana mungu akutangulie kwenye mapambamo

  • @bonnymakuke3153
    @bonnymakuke315311 ай бұрын

    Mengine mazee mengine mavijana makubwa dah! Nimecheka kinyamaaa😂😂😂😂