Wakili Mwabukusi Akata Mizizi Mkataba wa Bandari, 'Hatuwaogopi' Ataka Tulia Ajiuzulu
Kupitia kampeni yao ya #OkoaBandariZetu CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati mbalimbali na viongozi wengine wa kijamii wanafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Bulyaga Temeke.
Wanaharakati na CHADEMA wameendelea kusisitiza mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hauna maslahi mapana kwa nchi. Mkutano huu wa CHADEMA unafanyika ikiwa ni wiki mbili toka CCM kuanza mikutano yao ya hadhara ya kufafanua kuhusu suala la bandari.
Endelea kufuatilia The Chanzo tupo hapa katika viwanja vya Bulyaga kurusha Live
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 921
Safi Sana Mwabukusi YEHOVA AKUTIE NGUVU
Hii nchi kumbe bado ina watu wa maana sana. Wakili Mwabukusi Mungu akutunze kwa ajili ya taifa hili na vizazi vyetu
@mkude
10 ай бұрын
Watu wamaana wapi hao wapo Kwa ajili ya kisiasa tu wapo Kwa ajili ya maslahi Yao,huo uwekezaji hauna shida yoyote watu wanapitoshwa sanaaa
@gifttemba4355
10 ай бұрын
@@mkude ndugu usiongee vibaya ukaja juta acha sisi tunao elewa tushiriki
@ImeldaLikoko
2 күн бұрын
🎉@@gifttemba4355
Facts tupu,,huyu mwabukusi du! Big up commander
Mungu yupo na kaka Mwabukusi
Hongera mwamba,mkombozi wa watanzania
Safi kamanda mwambugusi Mungu akupe maisha marefu
Mungu ibariki nchi yetu na tutoe kwenye hili janga
Mh. Mwabukusi Mungu akubariki,watu kama ninyi ni wachache duniani kwa wenye akili zenye hekima watakuelewa sana lakini wasio na akili zenye akili watakupuuza songea Mbele Mungu akutangulie umetumia utu wako vizuri hakika wewe ni miongoni mwao wasomi vichwa.
tunaomba mzunguke nchi nzima
Mungu akutangurie mwakubusi sisi watanganyika tuko nyuma Yako
Wakili barikiwa sana mungu yupamoja nawe nchi iko nawewe mungu mbele pakakieleweke ili nchi tanzania ibaki kuwasalama.
AKI UMETUVUA NGUO.NIMEGUNDUA ELIMU MUHIMU WACHA TUPELEKE WATOTO SHULE.
Tu namshukuru Mungu kwa kwa kutuletea Mwabukusi baada ya Magufuli moto unazidi kuwaka
@gracemally4398
10 ай бұрын
Mungu akulinde sana mwabukusi,umejitoa Kwa kizazi kijacho
Hongereni sana Wazalendo wa nchi hii kwa kujitoa maisha yenu kwa aili ya vizazi vijavyo
Safii mkuu, mpaka kieleweke. Walisha zoea vya kunyonga!! Mwaka huu vimewapitia puwani. Mungu akujalie afya tele pamoja na wazalendo wenzetu
Wakili Mwabukusi, Mungu akutie nguvu katika mapambano haya. Sisi tupo pamoja nawe.
@FredsonHytham-dx4xk
11 ай бұрын
Mungu yupo nae kwa sababu MUNGU YUPO PMJ NA WAPENDA HAKI
@user-xg9ix9ex9h
11 ай бұрын
Hivi wewe unaesema mungu awe pamoja na yeye kwa lipi kwa matusi anayotukana au
@mkude
10 ай бұрын
Mwenyeezi mungu hawezi kuwa pamoja nae kwasababu anatukana na kupotosha watu
Huyu ndo mwenyew😊
VIVA MWABUKUSI VIVA 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 YKO 💪
Uyu ndiyo profesa siyo wale we wengine waliokuwa bungeni vilaza tu
@KaburuKimath-eu5nf
Ай бұрын
Kwani wataalamu wetu na wasomi wetu wakiungana na matajiri WA nchi hii walishindwa kukaa pamoja waungane pamoja wangeshindwa kuendesha hii bandaiii adi tukodishie watu WA njeee dar
Mungu akulinde mkataba huu ufutwe
Walahi safari hi hawatoboi vibaraka warudishe mapesa ya watu na wale wenye mkataba wawafuate wenzao dubaiiii
Mwambugusi your truly patriotic ..allmight God protect you
I love my country❤❤❤❤tz tetea tanzania tetea bandari zetu
Mungu akulinde unayoongea yatatokea ,au ya atokea leo unasema nimeona mambo fulani hivi hadi nimeshangaa
Wavue nguo wabaki uchi kabisa Wametuzoea Mungu akulinde mwamba
@levinaernest4364
11 ай бұрын
😂😂😂
Ufafanuzi mzuri leo umepatikana 💯
Tunawapa na onyo serikali tabia ya kuuwa watu wanaotetea nchi yetu ole wao na huyu afe tutaandamana tupokimya ila tunajua kinachoendelea huko ndomana wabunge na spika wa bunge anaogopa kusema ukweli anaogopa kufa
@scaveyy5428
11 ай бұрын
Mngeandamana kipindi cha awamu tano watu wasiojulikana walivyokua wanauwa watu
Waziri mkuu anaferi kweli hilo👍
Mungu akulinde na akuongeza wakili mwabukusi
Mungu akubariki. Na kukulinda nakukuangazia nuru ,na uso wake Akupe aman
Huyu bwana anamsimamo sana
@user-xi9lj1gz2p
10 ай бұрын
Ameiva ypo vzr
Pambana dogo mungu yuko pamoja nawewe nakuombea sana
HUYU MWAMBA MBEYA HAKIPOTEA, SITAKAA NIWASAMEE MILELE, HAKI NASEMA,NIEPENDA MBEYA ❤❤❤
Mungu awabariki wote mnaotetea mali za watanzania zisiporwe
Tunahitaji akina Mwambukusi wengi katika Taifa hili. God bless you all.
Mungu akubaliki kwa kila jambo unalolifanya katika taifalako latanzania
Baada ya Magu kaja mwamba, Mungu anazid kutupenda. Sema hatadumu jamaan serikali yetu haiwapendi....😭😭
Nakuelewa sana wakili Msomi.
Ninapokusikiliza Naona bando langu linaisha Kwa haki.
@jamesmaurusss3612
11 ай бұрын
Umeona eeh
Jamani nchi yetu inapigwa na inaendelea kupigwa sana mungu wape nguvu watetez wetu
Hongera Mwamugusi kwa Karama ya sheria na ushujaa.
Ndio maana nchi inamali nyingi lakini inachechemea kimaendeleo Kwa sababu ya wanafiki wachache waswahili Asante wakili mwambukusi
pamoja sana mwamba
Huyu hakika ni mtu aliyejitolea maisha yake kwa ajili ya kuwaelimisha Watanzania juu ya sintofahamu juu ya Mkataba wa DPW.....Mungu akubariki sana Mwabukusi... ✍🙏🙏🙏
@asinahussein2176
10 ай бұрын
Kapewa fungusna chadema kwani uongo
@janemwaipopo
10 ай бұрын
Ndagha Mundu ghwa Kyala Jhesu akwimilile Kangi Amaka ghajheghe miiiñgi Ukukindila Mu ngamu jha Kyala Amen🙏🙏🙏✔️
Watu wamekupenda saana Ila ukienda ccm utapoteza upendo wako
Ujasiri ni uwezo wa kufanya vitu ambavyo wengine wanashidwa kufanya!! Confidence 💯
Kwanini Serikali yangu hawataki kusikia kelele za hawa wasomi wetu? Wakiuacha huo mkataba wakawashirikisha Watanzania wasomi kutuogoza kuupitia mkataba huu itakuwa vibaya. Hebu SERIKALI TUSIKIENI JAMANI MUNGU ATAWAADHIBU
@jumamnemo8383
11 ай бұрын
Hapo hapanpa msomi
@mashramadhani1989
11 ай бұрын
@@jumamnemo8383kuna wanani? Huyu ni msomi wa sheria
@mutalemwamarcelventure.mae2058
11 ай бұрын
nimekuelewa
@mutalemwamarcelventure.mae2058
11 ай бұрын
Hekima hekima Jamani
Hadi nimelia kwauchungu maana watoto na wajukuu zetu hawatakuta kitu.
Mungu akulinde Sana Mzalendo wa Nchi hii hawatakufanya chochote Mungu yu pamoja Nawe tko Nyuma yako kaka niko Tayar kwa lolote kwa ajili ya Tanganyika Yangu Mungu atuongoze katka Vita hii
@majormajomjohn3775
11 ай бұрын
Amen
@majormajomjohn3775
11 ай бұрын
Huyu mwamba anatoa madini tupu
Mwamba kaiva Bandari yetu ibakie
@user-xi9lj1gz2p
10 ай бұрын
Kaiva kinomanoma
Mungu awalinde Mwambusi dokta salaam mbowe lema dokta shivji
Wewe ndiye unaweza kuwa kiongozi mzuri sana.
oooh my god just protect this man
Maneno mazito sana
Mungu atakulinda na mwakani ugombee urais mweshimiwa unafaa kuongoza watanzania
Kwa nini mtanzania anasimama kutetea mkataba kwenye nafasi ya DPW? Tuwe wazi aje DPW na wanasheria wake tujadili. Kinyume na hivyo ni wazi kuwa ni samia na kundi la wachache ni washirika wa DPW.
@saidissa8273
11 ай бұрын
KWA NN APINGE
Asante Mwabukusi kwa kisimama imara kwaajili ya umma wa Watanzania.
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho Mungu yupo Kwa ajili ya watanzania
Namkubari kinoma uyu mwamba
Kaka mungu akulinde usiku na mchana !kila nikikusikiliza natokwa machozi na furaha kumbe Tanzania tuna watu wazalendo kama wewe
nchi yangu tanzania nakupenda😢😢
Recpect mwabukusi viva viva wamezoea tukishinda hili hakika tuna toka utumwani najua huu mchongo marekani yupo nyuma ila hii ngoma ngumu spika arika na wachawi si uri arika machifu wa mbeya
Uko vizuri sana, watanzania tunakuunga mkono hatukubali kuuziwa bandari yetu
Mungu akulinde na kukuepusha na mahangaiko kwa kutusemea watanzania wanyonge na vizazi vijavyoo
God let angel to protect Mwabukusi
Huyu jamaa anakili kubwa sana, huyu ndo anatakiwa awe raisi wa hii nchi
@user-xi9lj1gz2p
10 ай бұрын
Njemaa ametufungua mackio
Watu kamahawa ndiowalitakiwa wawe maraisi wanauchungu na nchi tanzania mungu ibariki tanzania yetu
Nyie ndo wanaume mliowekwa Tanzania na Mungu kwa ajili ya kulinda nchi yetu.msiogopeeeeeee.
Safi sana sana..sana!!!
Tundulisu mamba mbili
Mkataba huu hatutaki, uko vizuri sana Mh wakili wetu mtanzania halisi tunakuunga mkono
Wakili ww ni msomi na mwenye uelewa mkubwa mno, salute kwako
Ndioo' hii ni SAUTI ya wananchi WaTanzania, anayekataa ni mwizi natapeli wa raslimali za Tanzania' Mzalendo yeyote wa nchi yetu Tanzania hawezi kukubaliana na mkataba wakitapeli walio tuletea hawa viongozi majizi, matapeli tena majambazi wanaopora nchi ya Tanzania
Si tulisoma wasitu someshe Tupate waweke wazi Lakini Haya mambo Tunaomba wapiganaji wa pewe nafasi,pia tuwe wahifhadhi wa rugha ya kiswahili nawaombea wote na sisi tuombeane daima ni Tanzania kwa wenye nia watafanikiwa Amin
Mungu yuko mbele yenu lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yote yanawezekana
@MACHOYATAI-jk6fu
11 ай бұрын
Umesema kweli
Uko mzalendo sana 🙏
Msomi hakika usirudi nyuma mbele kwa mbele ww ni jasili wa Leo na kwa kizazi kijacho maneno yko yataishi
@salummohamed2689
11 ай бұрын
Kuna wengine wa upande mwingine walidai wametolewa jalalani!
@salummohamed2689
11 ай бұрын
Hii document iliwaponyoka ni fursa Kwa wanyonge wa Tanganyika.
Tusemeee Kaka tunadhurumiwa Sana na kuonewa ,haki hakuna,mungu akuepushe Ni nawabaya
Safi sana kaka atawakikutishia wajue kwamba mahalo penye Hali ukimtendea unyama Mmoja wanazuka wengine kumi
Kijana Mwambukusi ubarikiwe sana sana. Mungu atakupa afya njema sana. Huyo Mtungi simuelewi kabisa, 2020 hakuona yaliyotokea? Huyo anajua sheria kweli? Ati mlezi mlezi gani anayelemea mtoto mmoja na wengine anabakua kuwatafutia kesi tu?
Mungu tu awalinde viongozi wetu wote mnaupinga nchi yetu kuuzwa ila Watanzania wote tupo nyuma yenu
Rais anayesubiri Udaktari wa kupewa PHD ZA KUPEWA, kahofu kuandika critical desertation, km alishindwa hapo ataiongoza nchi? There people, with intelligence, critical thinkers, analytical and philosophical entity. Being a President doesn't mean you're wise, intelligence with higher performance. Thank you Mr Advocate Mwambukusi.
@patrickKitambo
11 ай бұрын
Tatizo kubwa la hii akili ndogo intaka kuendesha akili kubwa
Sawa mzee tupo pamoja nashukulu Sana binafsi nakuunga mkono Sanaa,
Nadhani hawana hofu ya Mungu
Mungu akulinde unausema ukwel kama magufuli hakika nasi tupo nyuma yako
Nakukubali saana kiongozi
safi sana tufate nyayo za Nyerere magufuli
Eee mwenyezi Mungu nakuomba tusaidie sisi watanzania na Tanzania yetu. Tunakuamini wewe tu amin
Safi sana mwambusi sisi kama wanainchi watanganyika tukopamoja
Ni kweli ndiyo maana walimchukia Magufuli, Mimi nashauri tuendeshe wenyewe mbona enzi za Mwl Nyerere hayo yaliwezekana na kipindi hicho wasomi walikuwa wachache, na kama alitaka u
Tunakushukuru mungu akuri de kwakutembea na kusoma nyaraka ya mkataba tunapenda na tunashukuru kwa kutusomea mkataba !
Hongera wakili mzuri
😢Baba Magu R.I.P
Well said and well understood.
@adelinelyaruu3036
11 ай бұрын
Calling a spade a spade and not a digging spoon
Mwambukusa kwakweli hongeleni sana kwa kupambania watanzania Ibrahim kutokaka kigoma
Mwamba huyu Hapa Shujaaaa wa kweli 💪👍💪💪🤝 chuma Cha Kazi mwabukusi
Mungu akulinde unaeleweka vyema kbs
Kumbe hii dp World sio ya wadubai ni ya mtu humuhumu Tanzania 💔
Jamaa 2tukopamoja sana mungu akutangulie kwenye mapambamo
Mengine mazee mengine mavijana makubwa dah! Nimecheka kinyamaaa😂😂😂😂