Wakili Mwabukusi Ajibu Mapigo, 'Mimi Sio Mtu wa Kutishwa'

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 94

  • @missmwayway4704
    @missmwayway470411 ай бұрын

    M/mungu azidi kukupa Afya njema na maisha marefu na Uzima 😢😢😢😢😢 🤲🤲🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii782311 ай бұрын

    Mungu wetu pekee aliye mkubwa sana anasimama pamoja na mwambukusi na pamoja na watanganyika. AMEN.

  • @KaburuKimath-eu5nf

    @KaburuKimath-eu5nf

    11 ай бұрын

    Mabukusui ubarikiwe sana baba yetu

  • @yohanamdemu9232
    @yohanamdemu923211 ай бұрын

    Mwabukusi wembe ni huohuooooo, Mungu akulindeeeee, udum baba

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter494711 ай бұрын

    Mungu wa Afrika azidi kikulinda zaidi ya maadui zako tunakutegemea sana nasikiliza had natamani niwe na utashi kama wewe.

  • @Evangelism2023
    @Evangelism202311 ай бұрын

    Duh hakika naona ukombo ukitokea kupitia wewe... Yesu akutie nguvu sana. Taifa hili linakuombea

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u11 ай бұрын

    Shujaaaa wanguu 💪👍💪💪 tutaendelea Kuwakemea HAwa Viongozi wapuuzi wakiongozwa na Samia suluhu Hassan mpaka mwisho

  • @benedictmwaibasa2856
    @benedictmwaibasa285611 ай бұрын

    Hongera sana Mwabukusi, maelezo yako yamejengwa kwa vithibitisho (evidence based). Kuna watu wanasema wamesoma sana lakini kwa bahati mbaya wamekosa busara ya kuwashirikisha wananchi badala yake eti wanawaelemisha wananchi.

  • @StephenKimondo-qw3et
    @StephenKimondo-qw3et11 ай бұрын

    Hongera sana kwa msimamo wako kuhusu hili jambo la Bandari. Umeonesha uzalendo wa kiwango cha juu sana kwa nchi yako. Tuko pamoja. Tunakuunga mkono. Tutakuombea kwa Mungu awe mlinzi na mtetezi wako daima. Tunapokuombea, pia huku mitaani tutajitolea kukulinda. Hatutakuacha peke yako. Unayo nguvu ya Umma kila mahali hapa nchini. Huku mitaani una jeshi kubwa la Watanganyika wanaokuunga mkono. Usihofu, nguvu ya umma iko pamoja na wewe!

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga388411 ай бұрын

    Nakuombea sana kwa Mungu Mwabukusi

  • @kapondazenaida-nq5hk
    @kapondazenaida-nq5hk11 ай бұрын

    Mungu atulinde watanzania TANZANIA kwanza tuilinde nchi yetu

  • @jamessuleman2735
    @jamessuleman273511 ай бұрын

    NATAMANI SANA UNGEKUWA BABA YANGU "WE ARE PROUD OF YOU"💪💪💪💪💪💪

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r11 ай бұрын

    Safi kabisa Kaka utaongeaje na majitu mango kiasi hicho wala hawana hata hofu ya Mungu.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo285211 ай бұрын

    Roho inaniuma Sana huyu jamaa anaongea kutoka rohoni mungu atakusimamia

  • @nakali79
    @nakali7911 ай бұрын

    Akili nzuri

  • @scaveyy5428
    @scaveyy542811 ай бұрын

    Hivi huyo jamaa kipindi cha watu wasiojulikana walikua wanauwa watu awamu ya tano alikua wapi kutetea wananchi

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd11 ай бұрын

    Viongozi wasisubili Mambo yaharibike watanzania hatutaki mkataba ukaye vizuri

  • @mariamtassama8202
    @mariamtassama820211 ай бұрын

    Bravo bravo bro we real depend on you

  • @allenmongi4772
    @allenmongi477211 ай бұрын

    Hongera bro Mungu akusimamie

  • @josephmoshi
    @josephmoshi11 ай бұрын

    Kweli mungu pamoja nawe.

  • @joblulandala8614
    @joblulandala861411 ай бұрын

    Hongera kumbe Tz tunawatu makini sana!,

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon592811 ай бұрын

    Nakuelewa saaaaana pambana

  • @williamjoakim304
    @williamjoakim30411 ай бұрын

    Kaka uko vizuri sana,Mungu azidi kukusimamia🔥

  • @albertrugimbana
    @albertrugimbana11 ай бұрын

    Mungu akubariki na akusomamie

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd11 ай бұрын

    Hongeraa mwabukusi😊

  • @apiovlwiwa2576
    @apiovlwiwa257611 ай бұрын

    #Mabukusi....pigilia misumari.....Uzalendo wa nchi kwanza.

  • @Ashangaipaulo-yn1hq
    @Ashangaipaulo-yn1hq11 ай бұрын

    Mungu ata kusaidia uwongo siku sote inauma lasima wanajaribu kufuta aibu yao asionekane kwa kukamatkamata

  • @isayaemmanuel7069

    @isayaemmanuel7069

    11 ай бұрын

    mungu anawaona

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga43811 ай бұрын

    Kumbe tunao watanzania wachache wenye uthubutu na weledi wa mambo na uzalendo wa nchi Mungu akuongoze tuonyeshe njia na sisi tusio jua haya mambo maana sisi wengine ni washereheshaji tu kwenye vijiwe, lakii nyie mliosomea sheria na taaluma zingine zote tuteteeni na sisi

  • @MuddyMwita-ip2mb
    @MuddyMwita-ip2mb11 ай бұрын

    We ni mwanaume mungu akusimamie tuko nyuma yko kw hawa mafisadi

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila218211 ай бұрын

    Bado Kuna sisiemi hawaelewi mpka Sasa 😂😂😂

  • @yawepetro2049
    @yawepetro204911 ай бұрын

    Kwel baba tuko pamoja uoga mwiko

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio360311 ай бұрын

    Huyu ndo mtanzania wakwanza namuona anaakili ukitoa mimi

  • @FrankMakando

    @FrankMakando

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel714911 ай бұрын

    Hii ni Tics b inapandikizwa kwa nguvu baada ya tics A kuzoeleka...lakini tujiulize: kama hakuna anayeshi milele,wala kuondoka na kitu, madaraka,ufisadi,kujilimbikizia ukwasi wa kupindukia kwa kuwatesa wengine faida yake ninini hasa zaidi ya kula na kunywa tukifurahi pamoja?!

  • @roidambwilo6469
    @roidambwilo646911 ай бұрын

    Mungu akuzigile baba yetu ukweli siku sote unauma

  • @allyfaraji4200
    @allyfaraji420011 ай бұрын

    Una baya wakili mwabukusi tupo nyuma yko

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho675411 ай бұрын

    mwanasheria mkuu inavyoonekana kichwa chake kazi yake ni kuota nywere tu na sio kufikili

  • @user-nz6rs9vn3t

    @user-nz6rs9vn3t

    11 ай бұрын

    Ndy kwel

  • @isayaemmanuel7069
    @isayaemmanuel706911 ай бұрын

    Tuko pamoja sana mungu akubaliki sana

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego770311 ай бұрын

    ......kusi we r there with you. Watanzania tutekeleze haki zetu.

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga460611 ай бұрын

    Ww ni mwanaume kabisa

  • @cavinjohn-9648
    @cavinjohn-964811 ай бұрын

    One love my brother

  • @nicolousmwakalengela2258
    @nicolousmwakalengela225811 ай бұрын

    Naaam namna hiyo Chief Huwezi kuwa mpinzani ukiwa kunguru Lazima uwe Jasiri

  • @JosephinaLuoga-lo9os
    @JosephinaLuoga-lo9os7 ай бұрын

    Hakika bro unastahili kuungwa mkono Kwa nguvu zote. Wewe ni mzalendo WA tanganyika

  • @AlfayoMartinOloilole-ji9gc
    @AlfayoMartinOloilole-ji9gc11 ай бұрын

    Sina swali 💪

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli191411 ай бұрын

    Mungu akupe nguvu mzalendo wa kweli wa Tanganyika

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga659111 ай бұрын

    Wewe ni MZALENDO waukweli na Mungu wetu wa Mbinguni aendelee e

  • @zunguissa785
    @zunguissa78511 ай бұрын

    Kama unania ya that I kweli mungu atakutangulia na wanyonge watakukimbilia

  • @frankmushi8892
    @frankmushi889211 ай бұрын

    Nakukubali Niko pamoj nawewe

  • @KibabuJanabi-cu2bp
    @KibabuJanabi-cu2bp11 ай бұрын

    Sawa sawa sawa kabisa kamanda Tanzania kwanza Ukweli haujifichi wewe Mungu akutunze tu Anotisha ni Mungu pekeake hao ukweli unawazuru au unawatia wasiwasi na Binaadamu yoyote Ukimwambia Ukweli huelewa Sasa Kuna Hawa wenzetu wasotaka kuelewa sijui tuwaite Nani jamani huu ni mwaka wa 2023 sio kipindi kile cha 1962 ilikuwa Tanzania watu hawajaenda school wengi na Mapinduzi Yana nguvu lakini saivi Dunia imesepa kila mtu anajua kushinda mwengine Sasa Tuache Tena matumbo baya zaidi wanojua ndo tunawatisha wasiseme tunawafunga jela tunawauwa Sasa hii hatari Tunaitafuta watanzania tunafunga kizazi chenye chuki na SERIKALI Yao siku wakichoka Hawa Watanzania Mungu atuepushe Tutaitafuta Amani kuirejesha itakuwa tabu Tutizame Congo Rwanda Burundi Kenya nk Sasa tunakuombeni Viongozi Msitake Kutupeleka huko Mungu Ibariq Tanzania Mungu wabariq Watoto wa Tanzania Mungu M Bariq Raisi wa Tanzania

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan700611 ай бұрын

    NAONA ANAFAA KUWA MWANA SIASA AUDE CHAMA YEYE NA DR SILAH

  • @sememakolo9360
    @sememakolo936011 ай бұрын

    Komaa nao wanafanya mambo yaajabu wakiambiwa wanasema wametukanwa

  • @allanmbilinyi4826
    @allanmbilinyi482611 ай бұрын

    KUNA WAZALENDO , WAKILI MWABUKUSI NI MZALENDO HALISI TUPO NYUMA YAKO .kitu kibaya ni kibaya TU huwezi kukiremba kiwe kizuri wakati ni kibaya.WASOMI, MAPROFESOR AKINA SHIVJI,AKINA MZEE WARYOBA,TIBAIJUKA WANASEMA MKATABA NI HOVYO,WEWE UNASEMA MKATABA MZURI MBONA UNAJIFEZERESHA,UNAJIZARAURISHA KWANINI USIJIFUNGIE NDANI UUSOME MKATABA KWA MAKINI .NIMJINGA HATA KAMA UMESOMA UMESOMA NINI KAMA NI KAZI UKIPATA KWAKUPITIA KWA WAGANGA WAKIENYEJI HUNAKITU KICHWANI.WENGI WAPE .JIBU HOJA UNAWABAMBIKA WATU KESI UNAWAWEKA NDANI ,UNAWATISHIA KUUA ,CHEO NI DHAMANA MUNGU SIO MJOMBA WAKO.HAKI ITATENDEKA .WATANGANYIKA HATUTAKI MKATABA HUO.AFADHALI KATIBU MKUU WA CCM UMESOMA KWA MAKINI UMEELEWA KITU WANACHOPINGA.

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki819611 ай бұрын

    Mbona HAMKUWATOA WASIOJULIKANA WAUAJI NA MAJAMBAZI WANYANG'ANYI VIONGOZI?? LEO HII NDIO KUNA WANAUMME?? UNGEWALINDA BASI WALIKUWA WANAUWAWAW NA KUTEKWA??

  • @RugemaliraRenatus-rf6yv
    @RugemaliraRenatus-rf6yv11 ай бұрын

    Kinachonishangaza siku zote walikuwepo mpaka tunawekeza pesa pale, kwa mara ya kwanza ikatinga meli yenye magari 30000 tukaambiwa bandari imeanza kutoa matunda baada yakina na miundo mbinu kufanyika , Gafla wanateuliwa kuongoza kitengo mara wanagenguliwa ,mara uwekezaji mpya .mmmh yetu macho.

  • @frankomary3888

    @frankomary3888

    11 ай бұрын

    Usiseme yenu macho tutakao athirika ni ss watanzania.kwenye kupambania haki lazima tushiriki wote ili kuonesha tupo serious

  • @maase2023
    @maase202311 ай бұрын

    Mkataba upo wazi na wote tunausoma hebu tuonyeshe ni wapi palipoandikwa bandari imeuzwa?

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba584111 ай бұрын

    Kama kamati unakaliwa na wanaotoka serikali wananyanyasa mawakili alafuu hicho sheria wafute

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva493711 ай бұрын

    Huyu jamaa na hizi kuna watu ndani ya serikali wako nyuma yke,kuna uwezekano ndani ya serikali kuna wasaliti wengi

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva493711 ай бұрын

    Tulia kazi anayo kwenye ubunge mbeya mjini!!

  • @frankomary3888
    @frankomary388811 ай бұрын

    MUNGU akulinde dhidi ya vita hii kali ya kiuchumi

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u11 ай бұрын

    HII ni Nchi ya WATANGANYIKA sio ya Samia suluhu Hassan

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything11 ай бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌。

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t11 ай бұрын

    Mwabukusi tuko nyuma yako

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga581311 ай бұрын

    Mkanganyiko ni mkubwa Sana.

  • @jenipherkyando4822
    @jenipherkyando482211 ай бұрын

    Watanzania tunajitambua kweli?

  • @leonardZacharia-jg8no
    @leonardZacharia-jg8no11 ай бұрын

    Wanapo Kaa madalakani wanasahau kuwa wapo kwa muzamana wawananchi tutawasubilia kwenye Kula .

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba584111 ай бұрын

    Katiba mpyaaa ipatikane haraka

  • @maase2023
    @maase202311 ай бұрын

    Mkataba upo na sote tunausome through internet media hayo ya kuuzwa bandari ni uzushi tu mnaoleta ambao si kweli kabisa! Bandari imeingia ubia tu na sio kuuzwa acheni uzushi

  • @frankomary3888

    @frankomary3888

    11 ай бұрын

    Si utoke adharani uutetee uo mkataba mbona unajificha uku,au nyie ndo walewale DP

  • @maase2023

    @maase2023

    11 ай бұрын

    @@frankomary3888 ingia Google Andika dp world with tanzania utauona acha kusikia propaganda zao hao

  • @maase2023

    @maase2023

    11 ай бұрын

    @@frankomary3888 hao kina mwambukusi na tundu ni fix tu. Fungua uusome Kisha niambie wapi bandari imeuuzwa

  • @user-io3tw4um4q
    @user-io3tw4um4q11 ай бұрын

    Kaka tuko nyuma yako tumechoka atwendi Burundi wenyewe ndio wataenda

  • @yohanamdemu9232
    @yohanamdemu923211 ай бұрын

    Mwandishi huyu wa habari alistahili aambiwe mpumbavu ana vimaswali vya kipumbavu

  • @rogarthseguke-pw8dp
    @rogarthseguke-pw8dp11 ай бұрын

    Wewe ni chuma Cha pua wewe ni lulu kama hakuna unafki ndani yako

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo517011 ай бұрын

    Muogawewe unaombakampani subiruwone umekanyaga moto subiriukuungze nanjaayakohiyo

  • @danielchacha1305
    @danielchacha130511 ай бұрын

    wewe ni mzalendo unayejitambua

  • @azizbashir
    @azizbashir11 ай бұрын

    VUA SASA NGUO NAONA KICHA CHAKO INAZIDI KUKUA WEWE NI MWEU TUWACHA KELELE

  • @williammbuzimai5744

    @williammbuzimai5744

    11 ай бұрын

    Hata kuandika bado hujui, What more sheria! Kumbe bora ukae kimya.

  • @azizbashir

    @azizbashir

    11 ай бұрын

    HIVI KUNA MTU ANASHINDANA SHERIA HUYO MWABUKUSI CASE HPI KUBWA AMEWAI KUSHINDA NAOMBA CASE. MOJA KWENYE TANZANIA LOWER RIPORT KUNA CASE MWABUKUS AU LISU AMBAYO WALISHINDA MAHAKANI NYINYI WADANGANYIE WATU WA WALIO LOSE MAISHA WANAPENDA KUSIKILIZA VICHAA

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m11 ай бұрын

    Acha uwongo huna lolote sio ww wala mbowe wala lisu wa wasira wala maaskof wala mapadri ulaji wenu wana makanisa sasa utumeuna Kwisha tangu1970mwala pekeyenu makanisa sasa hatutoi bara ongea ht ulie chozi la mwisho

  • @AbdallaJuma-tx5ck
    @AbdallaJuma-tx5ck11 ай бұрын

    Acha ufisadi uwo mpumbavu mmmoja

  • @robertmhikwa8174

    @robertmhikwa8174

    11 ай бұрын

    we ni nilipumbavu lizee

  • @nolascomashelle6838

    @nolascomashelle6838

    11 ай бұрын

    Wwe ndie uvue nguo sababu ujasoma

  • @AntonyMarwa-wc5df
    @AntonyMarwa-wc5df11 ай бұрын

    Macho yako ni mawili ila kila jicho lako linatoa ujumbe fulani. Simama.

  • @dullnach2310
    @dullnach231011 ай бұрын

    Wazee wako wapi waliokuachia uwo urithi bandari wenyewe Zanzibar mpaka wetu chalinze mwisho

  • @akidajulius1581
    @akidajulius158111 ай бұрын

    NAONA YATAMTOKEA KAMA YA FATUMA KALUME, WATANGIA VYETI VYAKE ,

  • @simonmtawa1018

    @simonmtawa1018

    11 ай бұрын

    Mungu akulinde

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji11 ай бұрын

    WACHA UWONGO MGALATIA NJAA KALI UKO KWA MASLAHI YA KANISA SIO YA WANANCHI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿MAASKOFU NAO WANALIA SADAKA ZIMEPUNGUA DP WORLD WAKIJA HAKUNA TENA MAJIZI HATA SINDANO HAIPITI 🥵🥵🥵🥵🥵

  • @godfreymwamaso2424

    @godfreymwamaso2424

    11 ай бұрын

    Yaani taifa letu kuwa na watu wasiyo na uwezo wa kufikiri kama wewe ni tatizo hakuna unachokijua nenda msikitini kaswali huna capacity thinking

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    11 ай бұрын

    @@godfreymwamaso2424 WAGALATIA MNAENDA KANISANI KUNUNUA PAPAI MILION MNAAMBIWA LIMETOKA MBINGUNI 🥵🥵🥵🥵THINKING CAPACITY YENU NI PUMBA THANKS GOD NIMEKIMBIA HUKO 🥵🥵🥵🥵🥵MAASKOFU WENU NI MAJIZI NDIO MAANA WANAPIGA KELELE WAMESAHAU HATA KUSOMA BIBLE HAHAHAHA FROM KYELA TO TUKUYU 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @fredmgalla-xv2gy

    @fredmgalla-xv2gy

    11 ай бұрын

    Nimekubali mwabukusi ni wakili msomi kuliko wasomi wa nchi hii tunaoamini usomi kwa wingi wa vyeti na kuitwa doctor au professor

  • @sifamwakaniemba443

    @sifamwakaniemba443

    11 ай бұрын

    Nonsense

Келесі