Wakili Mwabukusi Ajibu Mapigo, 'Mimi Sio Mtu wa Kutishwa'
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 94
M/mungu azidi kukupa Afya njema na maisha marefu na Uzima 😢😢😢😢😢 🤲🤲🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mungu wetu pekee aliye mkubwa sana anasimama pamoja na mwambukusi na pamoja na watanganyika. AMEN.
@KaburuKimath-eu5nf
11 ай бұрын
Mabukusui ubarikiwe sana baba yetu
Mwabukusi wembe ni huohuooooo, Mungu akulindeeeee, udum baba
Mungu wa Afrika azidi kikulinda zaidi ya maadui zako tunakutegemea sana nasikiliza had natamani niwe na utashi kama wewe.
Duh hakika naona ukombo ukitokea kupitia wewe... Yesu akutie nguvu sana. Taifa hili linakuombea
Shujaaaa wanguu 💪👍💪💪 tutaendelea Kuwakemea HAwa Viongozi wapuuzi wakiongozwa na Samia suluhu Hassan mpaka mwisho
Hongera sana Mwabukusi, maelezo yako yamejengwa kwa vithibitisho (evidence based). Kuna watu wanasema wamesoma sana lakini kwa bahati mbaya wamekosa busara ya kuwashirikisha wananchi badala yake eti wanawaelemisha wananchi.
Hongera sana kwa msimamo wako kuhusu hili jambo la Bandari. Umeonesha uzalendo wa kiwango cha juu sana kwa nchi yako. Tuko pamoja. Tunakuunga mkono. Tutakuombea kwa Mungu awe mlinzi na mtetezi wako daima. Tunapokuombea, pia huku mitaani tutajitolea kukulinda. Hatutakuacha peke yako. Unayo nguvu ya Umma kila mahali hapa nchini. Huku mitaani una jeshi kubwa la Watanganyika wanaokuunga mkono. Usihofu, nguvu ya umma iko pamoja na wewe!
Nakuombea sana kwa Mungu Mwabukusi
Mungu atulinde watanzania TANZANIA kwanza tuilinde nchi yetu
NATAMANI SANA UNGEKUWA BABA YANGU "WE ARE PROUD OF YOU"💪💪💪💪💪💪
Safi kabisa Kaka utaongeaje na majitu mango kiasi hicho wala hawana hata hofu ya Mungu.
Roho inaniuma Sana huyu jamaa anaongea kutoka rohoni mungu atakusimamia
Akili nzuri
Hivi huyo jamaa kipindi cha watu wasiojulikana walikua wanauwa watu awamu ya tano alikua wapi kutetea wananchi
Viongozi wasisubili Mambo yaharibike watanzania hatutaki mkataba ukaye vizuri
Bravo bravo bro we real depend on you
Hongera bro Mungu akusimamie
Kweli mungu pamoja nawe.
Hongera kumbe Tz tunawatu makini sana!,
Nakuelewa saaaaana pambana
Kaka uko vizuri sana,Mungu azidi kukusimamia🔥
Mungu akubariki na akusomamie
Hongeraa mwabukusi😊
#Mabukusi....pigilia misumari.....Uzalendo wa nchi kwanza.
Mungu ata kusaidia uwongo siku sote inauma lasima wanajaribu kufuta aibu yao asionekane kwa kukamatkamata
@isayaemmanuel7069
11 ай бұрын
mungu anawaona
Kumbe tunao watanzania wachache wenye uthubutu na weledi wa mambo na uzalendo wa nchi Mungu akuongoze tuonyeshe njia na sisi tusio jua haya mambo maana sisi wengine ni washereheshaji tu kwenye vijiwe, lakii nyie mliosomea sheria na taaluma zingine zote tuteteeni na sisi
We ni mwanaume mungu akusimamie tuko nyuma yko kw hawa mafisadi
Bado Kuna sisiemi hawaelewi mpka Sasa 😂😂😂
Kwel baba tuko pamoja uoga mwiko
Huyu ndo mtanzania wakwanza namuona anaakili ukitoa mimi
@FrankMakando
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Hii ni Tics b inapandikizwa kwa nguvu baada ya tics A kuzoeleka...lakini tujiulize: kama hakuna anayeshi milele,wala kuondoka na kitu, madaraka,ufisadi,kujilimbikizia ukwasi wa kupindukia kwa kuwatesa wengine faida yake ninini hasa zaidi ya kula na kunywa tukifurahi pamoja?!
Mungu akuzigile baba yetu ukweli siku sote unauma
Una baya wakili mwabukusi tupo nyuma yko
mwanasheria mkuu inavyoonekana kichwa chake kazi yake ni kuota nywere tu na sio kufikili
@user-nz6rs9vn3t
11 ай бұрын
Ndy kwel
Tuko pamoja sana mungu akubaliki sana
......kusi we r there with you. Watanzania tutekeleze haki zetu.
Ww ni mwanaume kabisa
One love my brother
Naaam namna hiyo Chief Huwezi kuwa mpinzani ukiwa kunguru Lazima uwe Jasiri
Hakika bro unastahili kuungwa mkono Kwa nguvu zote. Wewe ni mzalendo WA tanganyika
Sina swali 💪
Mungu akupe nguvu mzalendo wa kweli wa Tanganyika
Wewe ni MZALENDO waukweli na Mungu wetu wa Mbinguni aendelee e
Kama unania ya that I kweli mungu atakutangulia na wanyonge watakukimbilia
Nakukubali Niko pamoj nawewe
Sawa sawa sawa kabisa kamanda Tanzania kwanza Ukweli haujifichi wewe Mungu akutunze tu Anotisha ni Mungu pekeake hao ukweli unawazuru au unawatia wasiwasi na Binaadamu yoyote Ukimwambia Ukweli huelewa Sasa Kuna Hawa wenzetu wasotaka kuelewa sijui tuwaite Nani jamani huu ni mwaka wa 2023 sio kipindi kile cha 1962 ilikuwa Tanzania watu hawajaenda school wengi na Mapinduzi Yana nguvu lakini saivi Dunia imesepa kila mtu anajua kushinda mwengine Sasa Tuache Tena matumbo baya zaidi wanojua ndo tunawatisha wasiseme tunawafunga jela tunawauwa Sasa hii hatari Tunaitafuta watanzania tunafunga kizazi chenye chuki na SERIKALI Yao siku wakichoka Hawa Watanzania Mungu atuepushe Tutaitafuta Amani kuirejesha itakuwa tabu Tutizame Congo Rwanda Burundi Kenya nk Sasa tunakuombeni Viongozi Msitake Kutupeleka huko Mungu Ibariq Tanzania Mungu wabariq Watoto wa Tanzania Mungu M Bariq Raisi wa Tanzania
NAONA ANAFAA KUWA MWANA SIASA AUDE CHAMA YEYE NA DR SILAH
Komaa nao wanafanya mambo yaajabu wakiambiwa wanasema wametukanwa
KUNA WAZALENDO , WAKILI MWABUKUSI NI MZALENDO HALISI TUPO NYUMA YAKO .kitu kibaya ni kibaya TU huwezi kukiremba kiwe kizuri wakati ni kibaya.WASOMI, MAPROFESOR AKINA SHIVJI,AKINA MZEE WARYOBA,TIBAIJUKA WANASEMA MKATABA NI HOVYO,WEWE UNASEMA MKATABA MZURI MBONA UNAJIFEZERESHA,UNAJIZARAURISHA KWANINI USIJIFUNGIE NDANI UUSOME MKATABA KWA MAKINI .NIMJINGA HATA KAMA UMESOMA UMESOMA NINI KAMA NI KAZI UKIPATA KWAKUPITIA KWA WAGANGA WAKIENYEJI HUNAKITU KICHWANI.WENGI WAPE .JIBU HOJA UNAWABAMBIKA WATU KESI UNAWAWEKA NDANI ,UNAWATISHIA KUUA ,CHEO NI DHAMANA MUNGU SIO MJOMBA WAKO.HAKI ITATENDEKA .WATANGANYIKA HATUTAKI MKATABA HUO.AFADHALI KATIBU MKUU WA CCM UMESOMA KWA MAKINI UMEELEWA KITU WANACHOPINGA.
Mbona HAMKUWATOA WASIOJULIKANA WAUAJI NA MAJAMBAZI WANYANG'ANYI VIONGOZI?? LEO HII NDIO KUNA WANAUMME?? UNGEWALINDA BASI WALIKUWA WANAUWAWAW NA KUTEKWA??
Kinachonishangaza siku zote walikuwepo mpaka tunawekeza pesa pale, kwa mara ya kwanza ikatinga meli yenye magari 30000 tukaambiwa bandari imeanza kutoa matunda baada yakina na miundo mbinu kufanyika , Gafla wanateuliwa kuongoza kitengo mara wanagenguliwa ,mara uwekezaji mpya .mmmh yetu macho.
@frankomary3888
11 ай бұрын
Usiseme yenu macho tutakao athirika ni ss watanzania.kwenye kupambania haki lazima tushiriki wote ili kuonesha tupo serious
Mkataba upo wazi na wote tunausoma hebu tuonyeshe ni wapi palipoandikwa bandari imeuzwa?
Kama kamati unakaliwa na wanaotoka serikali wananyanyasa mawakili alafuu hicho sheria wafute
Huyu jamaa na hizi kuna watu ndani ya serikali wako nyuma yke,kuna uwezekano ndani ya serikali kuna wasaliti wengi
Tulia kazi anayo kwenye ubunge mbeya mjini!!
MUNGU akulinde dhidi ya vita hii kali ya kiuchumi
HII ni Nchi ya WATANGANYIKA sio ya Samia suluhu Hassan
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌。
Mwabukusi tuko nyuma yako
Mkanganyiko ni mkubwa Sana.
Watanzania tunajitambua kweli?
Wanapo Kaa madalakani wanasahau kuwa wapo kwa muzamana wawananchi tutawasubilia kwenye Kula .
Katiba mpyaaa ipatikane haraka
Mkataba upo na sote tunausome through internet media hayo ya kuuzwa bandari ni uzushi tu mnaoleta ambao si kweli kabisa! Bandari imeingia ubia tu na sio kuuzwa acheni uzushi
@frankomary3888
11 ай бұрын
Si utoke adharani uutetee uo mkataba mbona unajificha uku,au nyie ndo walewale DP
@maase2023
11 ай бұрын
@@frankomary3888 ingia Google Andika dp world with tanzania utauona acha kusikia propaganda zao hao
@maase2023
11 ай бұрын
@@frankomary3888 hao kina mwambukusi na tundu ni fix tu. Fungua uusome Kisha niambie wapi bandari imeuuzwa
Kaka tuko nyuma yako tumechoka atwendi Burundi wenyewe ndio wataenda
Mwandishi huyu wa habari alistahili aambiwe mpumbavu ana vimaswali vya kipumbavu
Wewe ni chuma Cha pua wewe ni lulu kama hakuna unafki ndani yako
Muogawewe unaombakampani subiruwone umekanyaga moto subiriukuungze nanjaayakohiyo
wewe ni mzalendo unayejitambua
VUA SASA NGUO NAONA KICHA CHAKO INAZIDI KUKUA WEWE NI MWEU TUWACHA KELELE
@williammbuzimai5744
11 ай бұрын
Hata kuandika bado hujui, What more sheria! Kumbe bora ukae kimya.
@azizbashir
11 ай бұрын
HIVI KUNA MTU ANASHINDANA SHERIA HUYO MWABUKUSI CASE HPI KUBWA AMEWAI KUSHINDA NAOMBA CASE. MOJA KWENYE TANZANIA LOWER RIPORT KUNA CASE MWABUKUS AU LISU AMBAYO WALISHINDA MAHAKANI NYINYI WADANGANYIE WATU WA WALIO LOSE MAISHA WANAPENDA KUSIKILIZA VICHAA
Acha uwongo huna lolote sio ww wala mbowe wala lisu wa wasira wala maaskof wala mapadri ulaji wenu wana makanisa sasa utumeuna Kwisha tangu1970mwala pekeyenu makanisa sasa hatutoi bara ongea ht ulie chozi la mwisho
Acha ufisadi uwo mpumbavu mmmoja
@robertmhikwa8174
11 ай бұрын
we ni nilipumbavu lizee
@nolascomashelle6838
11 ай бұрын
Wwe ndie uvue nguo sababu ujasoma
Macho yako ni mawili ila kila jicho lako linatoa ujumbe fulani. Simama.
Wazee wako wapi waliokuachia uwo urithi bandari wenyewe Zanzibar mpaka wetu chalinze mwisho
NAONA YATAMTOKEA KAMA YA FATUMA KALUME, WATANGIA VYETI VYAKE ,
@simonmtawa1018
11 ай бұрын
Mungu akulinde
WACHA UWONGO MGALATIA NJAA KALI UKO KWA MASLAHI YA KANISA SIO YA WANANCHI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿MAASKOFU NAO WANALIA SADAKA ZIMEPUNGUA DP WORLD WAKIJA HAKUNA TENA MAJIZI HATA SINDANO HAIPITI 🥵🥵🥵🥵🥵
@godfreymwamaso2424
11 ай бұрын
Yaani taifa letu kuwa na watu wasiyo na uwezo wa kufikiri kama wewe ni tatizo hakuna unachokijua nenda msikitini kaswali huna capacity thinking
@OmmyJames-xn7ji
11 ай бұрын
@@godfreymwamaso2424 WAGALATIA MNAENDA KANISANI KUNUNUA PAPAI MILION MNAAMBIWA LIMETOKA MBINGUNI 🥵🥵🥵🥵THINKING CAPACITY YENU NI PUMBA THANKS GOD NIMEKIMBIA HUKO 🥵🥵🥵🥵🥵MAASKOFU WENU NI MAJIZI NDIO MAANA WANAPIGA KELELE WAMESAHAU HATA KUSOMA BIBLE HAHAHAHA FROM KYELA TO TUKUYU 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@fredmgalla-xv2gy
11 ай бұрын
Nimekubali mwabukusi ni wakili msomi kuliko wasomi wa nchi hii tunaoamini usomi kwa wingi wa vyeti na kuitwa doctor au professor
@sifamwakaniemba443
11 ай бұрын
Nonsense