TOKA KWA RUGE MUTAHABA

Тәжірибелік нұсқаулар және стиль

Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#RugeMutahaba #EachOneTeachOne #EzdenJumanne

Пікірлер: 171

  • @mudrickmudrick5215
    @mudrickmudrick52155 жыл бұрын

    Tumempoteza Mtu muhimu sana kwenye Jamii..Allah Ampunguzie adhabu za kaburi

  • @shammoha5297
    @shammoha52975 жыл бұрын

    Mungu amlaze pema Ruge Ameen. Hakika atakumbukwa. That was very nice speech 🙌🏽👏🏼👌🏽👍🏽

  • @josephmkindi4633
    @josephmkindi46335 жыл бұрын

    Nzuri sana kaka ezden clip bora zaid ya mwaka 2019 bila shaka itakua hii kama unakubal gonga like

  • @nabsonkifuge5115

    @nabsonkifuge5115

    2 жыл бұрын

    Alikuwa mzalendo asiye na mfano ,alipanda mbegu njema na kutufundisha wengi . Apumzike kwa amani

  • @magdalenamwapinga4847
    @magdalenamwapinga48475 жыл бұрын

    Ushukuriwe Mungu kwa ajili ya huyu Baba! Mtendee sawasawa na mapenzi yako.Hakika umetutoa matongotongo watanzania wengi

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo25045 жыл бұрын

    R.I.P Genius Jasiri Muongoza njia, Umeacha ujumbe mzuri sana kwa sisi vijana. MUNGU akupumzishe mahari pema peponi.

  • @josephinenestory2382
    @josephinenestory23825 жыл бұрын

    Josphine. Tumempoteza mtanzania mwenye uzalendo wa hali ja juu. Tumhenzi kwa kuyatekeleza yale aliyoyasimamia. Poleni wote. Mungu amlaza mahali pema peponi.

  • @rahemahrahemah2719
    @rahemahrahemah27195 жыл бұрын

    Mashaallah! yaani huyu Baba Allah Ailaze roho yake mahali pema peponi 🙏

  • @josedorothea7939
    @josedorothea79395 жыл бұрын

    Waooh, kufundisha wengine kumbe ni vizuli weng wetu ni wachoyo wa elimu, now ntabadirika R. I. P Ruge Mtahaba jasili muongoza njia

  • @prophetjoeAngel24
    @prophetjoeAngel245 жыл бұрын

    Don't be driven away by ideas that don't add anything to your passion. Maneno yako yamekuwa mwanga kwa wengi brother. R.I.P

  • @musason1680
    @musason16802 жыл бұрын

    Mungu ampumzishe salama huyu baba

  • @siwemamelchior1686
    @siwemamelchior16865 жыл бұрын

    Mbegu bora imeharibika . Pakacha limetoboka . Pumzika kwa amani. Repose en paix ➕

  • @dorndet6179
    @dorndet61795 жыл бұрын

    Ruge you were Genius(IQ). RIP.Dear.Thanks to God who brought you in this world.

  • @ramaamakasy1456

    @ramaamakasy1456

    2 жыл бұрын

    Mungu namuomba amsamsamehe madhambi yske

  • @mwanaishasuleiman1653
    @mwanaishasuleiman16535 жыл бұрын

    Mungu ana makusudi yake juu ya kila jambo lkn kama itafanyika kukusanya interview za Ruge zote zinaweza kuendelea kuwaelimisha wanaoziona kwa wakati huu kama mm ndio naanza kujifunza kutoka kwake wakati ameshaondoka Mungu amuweke anapostahili

  • @alfredmaliva8235

    @alfredmaliva8235

    4 жыл бұрын

    Mungu ailaze mahali pema peponi

  • @agathamichael8818
    @agathamichael88185 жыл бұрын

    Daaah bado inauma kwa mtu kama huyu alikuwa ana nondo za ukwel za kutuondoa vijana ujinga....Asante kaka kwa kutukumbusha hilo

  • @tumajuma6917
    @tumajuma69175 жыл бұрын

    R.I.p Ruge🙏.#tajiri wa roho.#jasiri muongoza njia.Tulikupenda ila Mungu alikupenda zaidi.Asante kwa busara zako.Tutakumiss ila tutaonana baadae inshaAllah.

  • @alphamwipopo5725
    @alphamwipopo57255 жыл бұрын

    Everyone should be a social entrepreneur by solving our problems internally. Dr Ruge.

  • @josephinenestory2382
    @josephinenestory23825 жыл бұрын

    Ndiyo maana Mzee Mengi alisema kwenye mazishi ya Ruge, kwamba Ruge ataendelea kuishi.

  • @stumaikaguna1033
    @stumaikaguna10334 жыл бұрын

    Tunakumis sana Ruge Mutahaba,Mwenyez mungu akupumzishe kwa amani

  • @Amylotu
    @Amylotu5 жыл бұрын

    jamani, mjasiri sana kijana wetu.Mungu ilaze salama roho yake pema peponi. Amen

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark63983 жыл бұрын

    Aendelee kupmzika kwa amani Genius 💎🙏🙌💞💥

  • @amalahmad6590
    @amalahmad65905 жыл бұрын

    Daah asante Sana umenipa njia ruge pumzika kwa amani kaka

  • @abdallahyahaya9760
    @abdallahyahaya97603 жыл бұрын

    Brain boss Extra intelligent Man Ruge Mutahaba RIP

  • @karenyunus3929
    @karenyunus39295 жыл бұрын

    Kazi nzuri Ezden. Unatuelimisha kupitia Mtanzania huyu mahili aliyeisaidia jamii yake. Kupitia maisha yake wengi maisha yao yataboreka

  • @mwanahawarajabu1837
    @mwanahawarajabu18372 жыл бұрын

    Rest in.peace boss ruge hadi leo 2/10/2021

  • @dominicmahega1970
    @dominicmahega19705 жыл бұрын

    Nilikuwa naomba ushari kuhusu maisha yangu nilikuwa nahitaji nikueleze historia fupi

  • @musaemanueri7338

    @musaemanueri7338

    4 жыл бұрын

    nimekutana nae kwenye azimio LA kagela luge sitamsaau kaniachia USIA mkubwa sana

  • @ahmadomar2711

    @ahmadomar2711

    3 жыл бұрын

    @@musaemanueri7338 usia upi tujuze na sisi

  • @teresiamutua4487
    @teresiamutua44875 жыл бұрын

    He was a genius Rest in peace

  • @asheryissa6100
    @asheryissa61005 жыл бұрын

    Tangu nianze kuckiliza clip zako Ruge ukiwa unaumwa nikagundua kitu kwamba ulikuwa unaumwa mda mref ila uliamua kuficha saut yako ndan yake km inaoneaha figo zilianza kukutesa kitambo Daah chaupole kisaut najua mengi titafaidika uloyaacha yataendelea

  • @secylovenessadaa4245
    @secylovenessadaa42455 жыл бұрын

    Amen Amen, Mungu akulaze Mahal Pema pepon Rip bro

  • @brightonshakila6406
    @brightonshakila64065 жыл бұрын

    Nakutamani ...nipate kua na hiyo spirit...pumzika pazuri Jasiri.

  • @stevekanemelakatembotz8829
    @stevekanemelakatembotz88295 жыл бұрын

    Hakika huyu Ni JASIRI MUONGOZA NJIA Nachukua fursa hii kukuombea mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kabuli bab pumzika kwa Amani #Baba yetu Ruge mtahaba. Hakika pengo lako halitazibika kirahisi

  • @ashelbisaga9558

    @ashelbisaga9558

    5 жыл бұрын

    Mutahaba alikua mtu wa pekee!!

  • @gembegeelias1254
    @gembegeelias12545 жыл бұрын

    Ni kweli kbx kk unaendelea kubadil maisha yang kwa kunifany kuwa na mtazamo wa mafanikio barikiwa xn na kam kuna namna ya kuwez kynpa support xn km una group la wasap nataman kujifunz zaid

  • @munnawwaryaqoob3414
    @munnawwaryaqoob34145 жыл бұрын

    RIP ruge umetuachia maneno mazuri kaka

  • @ezzlemill6502

    @ezzlemill6502

    5 жыл бұрын

    let us live with words of ruge mutahaba

  • @thegirl1405
    @thegirl14055 жыл бұрын

    Hakika nimeguswa sana na maisha ya Ruge Mutahaba so nimejifunza kitu vingi sana ndani yako ama kwa hakika nimeamini kesho yako itengeneze leo punzika kwa Amani brother Ruge Mutahaba tumekulilia😭😭😭 hata sie tusio kufaham nimejifunza mengi naamini nafasi niliopo nayo kwa sasa ina nafasi kubwa nzuri ya kuongoza njia katika maisha yangu, vijana wenzangu ukigundua umepata hatua yakupiga hatua mbele ishikilie kwa kuing'ang'ani inueni familia zenu, hudumieni wazazi wenu inauma sana mimi naona kuanza sasa najiita ukhty hlm kuongoza njia napigana angalau nionekane angalau kinyota kidogo kinacho ng'aa tueni na moyo kama wa kaka Ruge Mutahaba washikeni wenzenu mikono msiache wanahangaika mitaani R.I.P brother punzika kwa Amani nasi umetuachia jina Ruge Mutahaba muongoza njia nasi tutaongoza njia Insha Allah

  • @thegirl1405

    @thegirl1405

    5 жыл бұрын

    Brother Ruge Mutahaba alikua na akili nyingi sana na mbunifu na alikua mjanja sana alikua anavuta vijana na kuwafanya wawe na maisha yao yawe imara

  • @thegirl1405

    @thegirl1405

    5 жыл бұрын

    Ndugu zangu tusiukubali umaskini hatujazaliwa tuwe maskini hivyo tupige sana vita🏹🏹🏹🏹 na ukiona watu wanakusema sana/kukukatisha tamaa ujue mti wenye matunda cku zote ndio unaopigwa mawe

  • @hidayamussa2589
    @hidayamussa25895 жыл бұрын

    RIP my bro. Please clouds can you compile all fursa semina and archive them into your library so that they can be available for generation to come

  • @francischikwindo2616

    @francischikwindo2616

    5 жыл бұрын

    I appreciate your thinking

  • @lailazingbar935
    @lailazingbar9355 жыл бұрын

    Mwenyez mungu anakusudi rip

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi18885 жыл бұрын

    Santee sanaa kaka kwa kutufungulia dunia...... God bless you

  • @severnekazungu8892
    @severnekazungu88925 жыл бұрын

    Daaah Good speech

  • @laurianj.luzwela2830
    @laurianj.luzwela28305 жыл бұрын

    Nimeipenda sana

  • @jcomplext.v4409
    @jcomplext.v44095 жыл бұрын

    safi sana kaka napenda sana kujifunza somo kubwa kwako ezden unajua kutumia frusa kaka natamani kuwa kama ww na histor ya ruge imenijenga sana na kivo chake ndio sababu ya mm kumjua cjawi mjua awali mungu amlaze mahali pema peponi

  • @stephahObimo
    @stephahObimo5 жыл бұрын

    Brother sikuzote mungu anakujalia kutokana na juhudi na mipango na kutokuwa mbinafsi Hakika tunajifunza kupitia wewe mungu akubaliki

  • @zaitunikivelege5569
    @zaitunikivelege55695 жыл бұрын

    Thanks so much RIP Ruge ..kwa nini sikumfaham mapema nimemjua baada ya kufa ..

  • @salumnjenje7415
    @salumnjenje74155 жыл бұрын

    Aisee imebadili Sana mfumo wa maisha yangu from now...

  • @shemahabdallah5594
    @shemahabdallah55945 жыл бұрын

    Ipo vzur kaka ujumbe mzur kwa vjan

  • @dawsonkaaya4210
    @dawsonkaaya42104 ай бұрын

    Vijana tusisahau kujifunz kutoka kwa Ruge Mtahaba Jumuia ya wazazi tuwakumbushe vijana wetu kuyaenzi ya RUGE.❤

  • @imakulatasingo1983
    @imakulatasingo19835 жыл бұрын

    nilikupenda nitakupenda sana kaka ulale salama tunajifunza mengi kwako

  • @semanasitv8303
    @semanasitv83035 жыл бұрын

    napenda kumwita master mind

  • @danchibomnyama4295
    @danchibomnyama42953 жыл бұрын

    Daah mungu amlaze mahali pema peponi

  • @enockyohana6856
    @enockyohana68565 жыл бұрын

    Bro ezden hii video ikifanikiwa kumfikia kila MTU itafungua kila tatz kwa kila MTU atakae angalia ...kiukwel nivitu muhim tu vimeongeleka

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.29614 жыл бұрын

    Ruge alikuwa anakarama flani. Serikali ijaribu kuyaona mambo msingi kwa jamii. Nakubali jamaa alikuwa "Hero".

  • @LazaroSamwel
    @LazaroSamwel5 жыл бұрын

    kazi nzuri kaka

  • @boniventuremaduga8579
    @boniventuremaduga85795 жыл бұрын

    umeongea point sn! haiwezekan kikund kizima kufanikiwa

  • @obachristopher4389
    @obachristopher43895 жыл бұрын

    Kk asante sanaa

  • @telesiamkumbwa8888
    @telesiamkumbwa88885 жыл бұрын

    hakika ruge alibarikiwa hekima na maono

  • @noeljailo7651
    @noeljailo76515 жыл бұрын

    Voice of revolution in Tanzania

  • @swalehebaraka4028
    @swalehebaraka40285 жыл бұрын

    ruge was ahead of time

  • @godfreykirway4324
    @godfreykirway43244 жыл бұрын

    Mawazo yako yataishi kwa mda mrefu katika nchi hii!!najua ulipo una amani kwani umefanya makubwa!REST IN PARADISE BROTHER!! YOUR LEGACY WILL SURVIVE FOREVER

  • @shijakongejatz8668
    @shijakongejatz86685 жыл бұрын

    Kwel kabisa

  • @castosawaka1473
    @castosawaka14735 жыл бұрын

    EachOne TeachOne This Guy he was very deeply curiosity. Thanks Ezden For MoDetails

  • @clarapeter3662
    @clarapeter36625 жыл бұрын

    dah asante umekuwa mchango katka jamii kuonyesha njia za mafanikio

  • @jeaff19
    @jeaff195 жыл бұрын

    asalam alyqum hongera sana kaka kwa kutuonyesha samani iliyo jificha ambayo kila siku tunayo ila haitambuiiii big up.

  • @bensonbisare1078
    @bensonbisare10785 жыл бұрын

    Ruge alikua vizuri Sana, R. I. P

  • @elipharajapetro8410
    @elipharajapetro84105 жыл бұрын

    True

  • @malkoashaali5430
    @malkoashaali54305 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏gift from God 💕💕💕💕💕💕❣❣

  • @malkoashaali5430
    @malkoashaali54305 жыл бұрын

    We have lost the sun 💕😢😢😢😢😪😪😪

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын

    Very powerful

  • @aliebrahim9423
    @aliebrahim94234 жыл бұрын

    Elimu nzuri sana,ni vitu vya kujifunza.Hilo la Azam limenigusa Sana maana ni mfano uliohai.

  • @mr.chenge5102
    @mr.chenge51025 жыл бұрын

    Mr, uko vzr

  • @upendoj
    @upendoj5 жыл бұрын

    asante kwa ujumbe mzuri, Nakupogea huna matangazo ambayo hayana mantiki, upo tofauti.

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    5 жыл бұрын

    Thanks Upendo

  • @truthprinting8064
    @truthprinting80645 жыл бұрын

    Truth printing, tunaprint Vitabu, kuanzia copy 50

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    5 жыл бұрын

    Please contact me on WhatsApp 0759191076

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz31203 жыл бұрын

    Yote yamenigusa Respect my brother n R-l-P

  • @lightnessjohn7093
    @lightnessjohn70935 жыл бұрын

    Jamani. Poleni

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын

    Brother unazidi ku ni inspire kila siku ujumbe mzuri sana na nmeanza kusoma kitabu kiitwacho #THE SECTET CODE OF SUCCESS naendelea kujifunza kila siku na najiona mpya

  • @mwanakidaally9740
    @mwanakidaally97405 жыл бұрын

    Dah umenigusa natamani ungekuwepo na umenifundisha mengi Rip bro

  • @saidihabibu4431

    @saidihabibu4431

    5 жыл бұрын

    Mwanakida Ally

  • @enockyohana6856
    @enockyohana68565 жыл бұрын

    Asee kaongeza kitu kikubwa sana kweny akili yangu

  • @saadaharoon9591
    @saadaharoon95914 жыл бұрын

    Duu nimechelewa lkn cjakata tamaa mungu akuweke mahali pema

  • @aishaomary7384
    @aishaomary73844 жыл бұрын

    R.i.p Ruge kweli ulikua jasiri muongoza njia

  • @zawadikiss5551
    @zawadikiss55513 жыл бұрын

    Rest in peace bro we miss u dah

  • @enockyohana6856
    @enockyohana68565 жыл бұрын

    Wanao kupenda hawasemi ila wanao kichukia hawakujui..@ ruge

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu25444 жыл бұрын

    Allah akurehemu ruge MUTAHABA

  • @bekarpaul
    @bekarpaul Жыл бұрын

    Dah life is too short.... Jamaa tunaishi na maneno yake mpaka sasa. R.I.P jasiri muongoza njia

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    Жыл бұрын

    Naam

  • @tarikideu8380
    @tarikideu83805 жыл бұрын

    jah bless ruge

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel5 жыл бұрын

    nimejifunza asanteee

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga35355 жыл бұрын

    Duuuu rest in peace mutahaba

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid29062 жыл бұрын

    Amin

  • @chiomanonso274
    @chiomanonso2745 жыл бұрын

    Kweli Rugee asilimia kubwa ya watanzania wachoyo wa material

  • @eliachavala2095
    @eliachavala20955 жыл бұрын

    Barikiwa kaka......kazi nzuri.

  • @malekelachinyama9707
    @malekelachinyama97075 жыл бұрын

    very conscious R.I.P #Ruge

  • @leticiaaugustin4993
    @leticiaaugustin49935 жыл бұрын

    Nimejifunza mengi kupitia Ruge.Pumzika salama kaka.

  • @tarikideu8380
    @tarikideu83805 жыл бұрын

    pigana kuwa mwezi ukixhindwa unakua nyota

  • @rumibarton2359
    @rumibarton23594 жыл бұрын

    Genius huyu

  • @bennyfatel
    @bennyfatel3 ай бұрын

    Critical thinkers .may his soul rest in peace.....we need mutahabas sahii like never before kukomboa bara letu la africa

  • @aliarkam1413
    @aliarkam14134 жыл бұрын

    Nimejifunza mengi Leo

  • @hamidafundi5890
    @hamidafundi58904 жыл бұрын

    Hakika Tanzania na dunia imepoteza mtu! Basi na tutumie hekima zake kutenda, shime vijana wa Tanzania tuifanyie kazi hii!

  • @sumainterprisis9702
    @sumainterprisis97024 жыл бұрын

    Rip Ruge tuzienzini busara na maneno yake na tutembee kwenye maneno yake tutafanikiwa sana tu.

  • @emmanuelmayombo6188
    @emmanuelmayombo61885 жыл бұрын

    Asante

  • @ndikumanajackson9012
    @ndikumanajackson90125 жыл бұрын

    Waafrika ndivyo walivyo mtu mwenye HEKIMA huuliwa

  • @christinen8291

    @christinen8291

    5 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa.

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah68255 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani rugerilla

  • @dishonndolla3077
    @dishonndolla30775 жыл бұрын

    Ase dah! kweli watu wenye mioyo Kama hii kwann wanakufa??

  • @mariammhoja7837
    @mariammhoja78375 жыл бұрын

    nimekuelewa sana R.I.P

  • @richardmmakoi9009
    @richardmmakoi90095 жыл бұрын

    Thanks

Келесі