TOKA KWA RUGE MUTAHABA
Тәжірибелік нұсқаулар және стиль
Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#RugeMutahaba #EachOneTeachOne #EzdenJumanne
Пікірлер: 171
Tumempoteza Mtu muhimu sana kwenye Jamii..Allah Ampunguzie adhabu za kaburi
Mungu amlaze pema Ruge Ameen. Hakika atakumbukwa. That was very nice speech 🙌🏽👏🏼👌🏽👍🏽
Nzuri sana kaka ezden clip bora zaid ya mwaka 2019 bila shaka itakua hii kama unakubal gonga like
@nabsonkifuge5115
2 жыл бұрын
Alikuwa mzalendo asiye na mfano ,alipanda mbegu njema na kutufundisha wengi . Apumzike kwa amani
Ushukuriwe Mungu kwa ajili ya huyu Baba! Mtendee sawasawa na mapenzi yako.Hakika umetutoa matongotongo watanzania wengi
R.I.P Genius Jasiri Muongoza njia, Umeacha ujumbe mzuri sana kwa sisi vijana. MUNGU akupumzishe mahari pema peponi.
Josphine. Tumempoteza mtanzania mwenye uzalendo wa hali ja juu. Tumhenzi kwa kuyatekeleza yale aliyoyasimamia. Poleni wote. Mungu amlaza mahali pema peponi.
Mashaallah! yaani huyu Baba Allah Ailaze roho yake mahali pema peponi 🙏
Waooh, kufundisha wengine kumbe ni vizuli weng wetu ni wachoyo wa elimu, now ntabadirika R. I. P Ruge Mtahaba jasili muongoza njia
Don't be driven away by ideas that don't add anything to your passion. Maneno yako yamekuwa mwanga kwa wengi brother. R.I.P
Mungu ampumzishe salama huyu baba
Mbegu bora imeharibika . Pakacha limetoboka . Pumzika kwa amani. Repose en paix ➕
Ruge you were Genius(IQ). RIP.Dear.Thanks to God who brought you in this world.
@ramaamakasy1456
2 жыл бұрын
Mungu namuomba amsamsamehe madhambi yske
Mungu ana makusudi yake juu ya kila jambo lkn kama itafanyika kukusanya interview za Ruge zote zinaweza kuendelea kuwaelimisha wanaoziona kwa wakati huu kama mm ndio naanza kujifunza kutoka kwake wakati ameshaondoka Mungu amuweke anapostahili
@alfredmaliva8235
4 жыл бұрын
Mungu ailaze mahali pema peponi
Daaah bado inauma kwa mtu kama huyu alikuwa ana nondo za ukwel za kutuondoa vijana ujinga....Asante kaka kwa kutukumbusha hilo
R.I.p Ruge🙏.#tajiri wa roho.#jasiri muongoza njia.Tulikupenda ila Mungu alikupenda zaidi.Asante kwa busara zako.Tutakumiss ila tutaonana baadae inshaAllah.
Everyone should be a social entrepreneur by solving our problems internally. Dr Ruge.
Ndiyo maana Mzee Mengi alisema kwenye mazishi ya Ruge, kwamba Ruge ataendelea kuishi.
Tunakumis sana Ruge Mutahaba,Mwenyez mungu akupumzishe kwa amani
jamani, mjasiri sana kijana wetu.Mungu ilaze salama roho yake pema peponi. Amen
Aendelee kupmzika kwa amani Genius 💎🙏🙌💞💥
Daah asante Sana umenipa njia ruge pumzika kwa amani kaka
Brain boss Extra intelligent Man Ruge Mutahaba RIP
Kazi nzuri Ezden. Unatuelimisha kupitia Mtanzania huyu mahili aliyeisaidia jamii yake. Kupitia maisha yake wengi maisha yao yataboreka
Rest in.peace boss ruge hadi leo 2/10/2021
Nilikuwa naomba ushari kuhusu maisha yangu nilikuwa nahitaji nikueleze historia fupi
@musaemanueri7338
4 жыл бұрын
nimekutana nae kwenye azimio LA kagela luge sitamsaau kaniachia USIA mkubwa sana
@ahmadomar2711
3 жыл бұрын
@@musaemanueri7338 usia upi tujuze na sisi
He was a genius Rest in peace
Tangu nianze kuckiliza clip zako Ruge ukiwa unaumwa nikagundua kitu kwamba ulikuwa unaumwa mda mref ila uliamua kuficha saut yako ndan yake km inaoneaha figo zilianza kukutesa kitambo Daah chaupole kisaut najua mengi titafaidika uloyaacha yataendelea
Amen Amen, Mungu akulaze Mahal Pema pepon Rip bro
Nakutamani ...nipate kua na hiyo spirit...pumzika pazuri Jasiri.
Hakika huyu Ni JASIRI MUONGOZA NJIA Nachukua fursa hii kukuombea mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kabuli bab pumzika kwa Amani #Baba yetu Ruge mtahaba. Hakika pengo lako halitazibika kirahisi
@ashelbisaga9558
5 жыл бұрын
Mutahaba alikua mtu wa pekee!!
Ni kweli kbx kk unaendelea kubadil maisha yang kwa kunifany kuwa na mtazamo wa mafanikio barikiwa xn na kam kuna namna ya kuwez kynpa support xn km una group la wasap nataman kujifunz zaid
RIP ruge umetuachia maneno mazuri kaka
@ezzlemill6502
5 жыл бұрын
let us live with words of ruge mutahaba
Hakika nimeguswa sana na maisha ya Ruge Mutahaba so nimejifunza kitu vingi sana ndani yako ama kwa hakika nimeamini kesho yako itengeneze leo punzika kwa Amani brother Ruge Mutahaba tumekulilia😭😭😭 hata sie tusio kufaham nimejifunza mengi naamini nafasi niliopo nayo kwa sasa ina nafasi kubwa nzuri ya kuongoza njia katika maisha yangu, vijana wenzangu ukigundua umepata hatua yakupiga hatua mbele ishikilie kwa kuing'ang'ani inueni familia zenu, hudumieni wazazi wenu inauma sana mimi naona kuanza sasa najiita ukhty hlm kuongoza njia napigana angalau nionekane angalau kinyota kidogo kinacho ng'aa tueni na moyo kama wa kaka Ruge Mutahaba washikeni wenzenu mikono msiache wanahangaika mitaani R.I.P brother punzika kwa Amani nasi umetuachia jina Ruge Mutahaba muongoza njia nasi tutaongoza njia Insha Allah
@thegirl1405
5 жыл бұрын
Brother Ruge Mutahaba alikua na akili nyingi sana na mbunifu na alikua mjanja sana alikua anavuta vijana na kuwafanya wawe na maisha yao yawe imara
@thegirl1405
5 жыл бұрын
Ndugu zangu tusiukubali umaskini hatujazaliwa tuwe maskini hivyo tupige sana vita🏹🏹🏹🏹 na ukiona watu wanakusema sana/kukukatisha tamaa ujue mti wenye matunda cku zote ndio unaopigwa mawe
RIP my bro. Please clouds can you compile all fursa semina and archive them into your library so that they can be available for generation to come
@francischikwindo2616
5 жыл бұрын
I appreciate your thinking
Mwenyez mungu anakusudi rip
Santee sanaa kaka kwa kutufungulia dunia...... God bless you
Daaah Good speech
Nimeipenda sana
safi sana kaka napenda sana kujifunza somo kubwa kwako ezden unajua kutumia frusa kaka natamani kuwa kama ww na histor ya ruge imenijenga sana na kivo chake ndio sababu ya mm kumjua cjawi mjua awali mungu amlaze mahali pema peponi
Brother sikuzote mungu anakujalia kutokana na juhudi na mipango na kutokuwa mbinafsi Hakika tunajifunza kupitia wewe mungu akubaliki
Thanks so much RIP Ruge ..kwa nini sikumfaham mapema nimemjua baada ya kufa ..
Aisee imebadili Sana mfumo wa maisha yangu from now...
Ipo vzur kaka ujumbe mzur kwa vjan
Vijana tusisahau kujifunz kutoka kwa Ruge Mtahaba Jumuia ya wazazi tuwakumbushe vijana wetu kuyaenzi ya RUGE.❤
nilikupenda nitakupenda sana kaka ulale salama tunajifunza mengi kwako
napenda kumwita master mind
Daah mungu amlaze mahali pema peponi
Bro ezden hii video ikifanikiwa kumfikia kila MTU itafungua kila tatz kwa kila MTU atakae angalia ...kiukwel nivitu muhim tu vimeongeleka
Ruge alikuwa anakarama flani. Serikali ijaribu kuyaona mambo msingi kwa jamii. Nakubali jamaa alikuwa "Hero".
kazi nzuri kaka
umeongea point sn! haiwezekan kikund kizima kufanikiwa
Kk asante sanaa
hakika ruge alibarikiwa hekima na maono
Voice of revolution in Tanzania
ruge was ahead of time
Mawazo yako yataishi kwa mda mrefu katika nchi hii!!najua ulipo una amani kwani umefanya makubwa!REST IN PARADISE BROTHER!! YOUR LEGACY WILL SURVIVE FOREVER
Kwel kabisa
EachOne TeachOne This Guy he was very deeply curiosity. Thanks Ezden For MoDetails
dah asante umekuwa mchango katka jamii kuonyesha njia za mafanikio
asalam alyqum hongera sana kaka kwa kutuonyesha samani iliyo jificha ambayo kila siku tunayo ila haitambuiiii big up.
Ruge alikua vizuri Sana, R. I. P
True
🙏🙏🙏🙏🙏🙏gift from God 💕💕💕💕💕💕❣❣
We have lost the sun 💕😢😢😢😢😪😪😪
Very powerful
Elimu nzuri sana,ni vitu vya kujifunza.Hilo la Azam limenigusa Sana maana ni mfano uliohai.
Mr, uko vzr
asante kwa ujumbe mzuri, Nakupogea huna matangazo ambayo hayana mantiki, upo tofauti.
@successpathnetwork
5 жыл бұрын
Thanks Upendo
Truth printing, tunaprint Vitabu, kuanzia copy 50
@successpathnetwork
5 жыл бұрын
Please contact me on WhatsApp 0759191076
Yote yamenigusa Respect my brother n R-l-P
Jamani. Poleni
Brother unazidi ku ni inspire kila siku ujumbe mzuri sana na nmeanza kusoma kitabu kiitwacho #THE SECTET CODE OF SUCCESS naendelea kujifunza kila siku na najiona mpya
Dah umenigusa natamani ungekuwepo na umenifundisha mengi Rip bro
@saidihabibu4431
5 жыл бұрын
Mwanakida Ally
Asee kaongeza kitu kikubwa sana kweny akili yangu
Duu nimechelewa lkn cjakata tamaa mungu akuweke mahali pema
R.i.p Ruge kweli ulikua jasiri muongoza njia
Rest in peace bro we miss u dah
Wanao kupenda hawasemi ila wanao kichukia hawakujui..@ ruge
Allah akurehemu ruge MUTAHABA
Dah life is too short.... Jamaa tunaishi na maneno yake mpaka sasa. R.I.P jasiri muongoza njia
@successpathnetwork
Жыл бұрын
Naam
jah bless ruge
nimejifunza asanteee
Duuuu rest in peace mutahaba
Amin
Kweli Rugee asilimia kubwa ya watanzania wachoyo wa material
Barikiwa kaka......kazi nzuri.
very conscious R.I.P #Ruge
Nimejifunza mengi kupitia Ruge.Pumzika salama kaka.
pigana kuwa mwezi ukixhindwa unakua nyota
Genius huyu
Critical thinkers .may his soul rest in peace.....we need mutahabas sahii like never before kukomboa bara letu la africa
Nimejifunza mengi Leo
Hakika Tanzania na dunia imepoteza mtu! Basi na tutumie hekima zake kutenda, shime vijana wa Tanzania tuifanyie kazi hii!
Rip Ruge tuzienzini busara na maneno yake na tutembee kwenye maneno yake tutafanikiwa sana tu.
Asante
Waafrika ndivyo walivyo mtu mwenye HEKIMA huuliwa
@christinen8291
5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa.
Pumzika kwa amani rugerilla
Ase dah! kweli watu wenye mioyo Kama hii kwann wanakufa??
nimekuelewa sana R.I.P
Thanks