SIO LAZIMA KIPAJI ILI UFANIKIWE, TAZAMA HII

Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Nilichojifunza ni kwamba kuna mambo mengi sana muhimu ambayo ili mtu aweze kufanikiwa anahitaji kuwa nayo, nayo ni bora na muhimu zaidi kuliko kuwa na kipaji tu. Basi somo hili ni muhimu sana hata kwa wale wanaotambua kuwa wanavipaji mbalimbali wanawezaje kujiongezea thamani.
JINSI YA KUTAMBUA KIPAJI CHAKO : • JINSI YA KUGUNDUA KIPA...
Fuatilia kwa makini mambo haya saba:
1. Take responsibility for your life (Tambua maisha yako ni jukumu lako)
2. Be Organized (Jipange Vizuri)
3. Learn to take action (Kuwa mtu wa vitendo sio maneno tu)
4. Learn to network with other successful people (Jichanganye na waliofanikiwa)
5. Read a lot (Soma sana vitabu)
6. Persevere (Jifunze uvumilivu)
7. Pay attention to your health (Jali afya yako)
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#SuccessPath #EachOneTeachOne #EzdenJumanne

Пікірлер: 93

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork5 жыл бұрын

    Asante kwa kufuatilia. Unaweza kujiunga na group langu la whatsapp ili kupata mengi zaidi. Tuma meseji ya whatsapp kwenda namba hii 0759191076. Tukutane kwenye group!!!

  • @chrismassawe326

    @chrismassawe326

    5 жыл бұрын

    Asant sana mwalimu wangu

  • @deogratiousmerchiory5935

    @deogratiousmerchiory5935

    5 жыл бұрын

    Niunge kwenye group lako..0752324496

  • @zuberimanoti665

    @zuberimanoti665

    4 жыл бұрын

    Naitwa Zuberi niko kunduchi mtongani Kinondon dar. nahitaji kujiunga na group la whatsap no. 0787852149

  • @njuujera1415

    @njuujera1415

    4 жыл бұрын

    Shukran Sana Ezden nakufatilia sana na nimebadilika kwa asilimia kubwa sana. I love you

  • @shabaninamala1727
    @shabaninamala17275 жыл бұрын

    Thanks broo🙏🙏, Wengi huwa hatu comment but ni Member Wazuri wa masomo yako

  • @shuaibmussa3625
    @shuaibmussa36255 жыл бұрын

    Kaka Ezden nakupend san umenibadirisha kwa kiasi kikubwa sasa naipa haki dunia yang na akhera yang pia hongera kwa mzazi alokuzaa wallah alizaa chema

  • @thegirl1405
    @thegirl14055 жыл бұрын

    Daaaa! Somo limeniingia mpaka nimetoka kwenye makelele ya watu nikaenda kusikiliza kwa umakini sana shukuraa brother nimepata mengi kwenye hili somo 💞💞 Ahsante sana brother Allah bless you 🙏 🙏

  • @thegirl1405

    @thegirl1405

    5 жыл бұрын

    Subhannalah unamiliki mali zote hata sadaka hutoi, ibada mtu anaiona ngumu😥😥 cku zote napenda kuwa karibu na watu walio nizidi maalifa ili nami niwe kama wao

  • @jescabulimu2107
    @jescabulimu21074 жыл бұрын

    Hujambo,nafurahiya masomo yako kila somo unayo fundisha Mwenyezi Mungu akujalie na kuzidishie uendelee kufundisha wasiojua(shule ya ajabu!!!)

  • @monikaxenia5629
    @monikaxenia56294 жыл бұрын

    Asante sana bro umenijenga sana ,mahalia nilikuwa na Kosea ubarikiwe sana na malifa mazuri

  • @allthingsafrican
    @allthingsafrican3 жыл бұрын

    Mafunzo yako ni mazuri sana! Mwenyezi Mungu akuongezee umri ufundishe wengi zaidi

  • @gamarsaid8406
    @gamarsaid84064 жыл бұрын

    Nakukubali kaka mungu akuongoze zaidi

  • @nkanuliyelaurent6955
    @nkanuliyelaurent69553 жыл бұрын

    Asante sana brother Ezden kwa kazi njema uifanyayo ya kutoa elimu kwa njia hii.Keep heart and move forward.Ubarikiwe

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie29265 жыл бұрын

    #ezden nakufwatilia sana ,,,,, nakukubar ,,big up

  • @rajabuabdala2411
    @rajabuabdala24115 жыл бұрын

    Allh akupe afya njema uzidi kutupa elimu nzuri

  • @sss3s867
    @sss3s8674 жыл бұрын

    Nimekubali pale ulipochangia. Kwamba ukiwa fukara no mtihani,ukiwa maskini no mtihani,ukiwa Tahiti ni mtihani. Sasa ktk umaskini na ufukara pamatakiwa uchambuzi sahihi. Watu wengi wanaona utajibiwa ni kumiliki Mali, lakini kuna kuwa na watoto, afya, maradi, tuseme alhamdulilah ktk kila jambo.

  • @harithbarwany254
    @harithbarwany2544 жыл бұрын

    Nakubaliana na yote ulosema. Mungu akubariki daima

  • @johnvicenthmuna5151
    @johnvicenthmuna51515 жыл бұрын

    Asante sana broo

  • @tinahosea9930
    @tinahosea99303 жыл бұрын

    Thanks so much kwa mafundisho mazuri bro 🙏

  • @mudcoba5416
    @mudcoba54165 жыл бұрын

    Asante kaka kwa kunipa muogozo katika maisha ......

  • @sulejureij3799
    @sulejureij37995 жыл бұрын

    Ni muda wa kubadili tabia. The earlier the better. Thanks bro, Allah akulipe kheri

  • @zainabkassim922
    @zainabkassim9224 жыл бұрын

    Thank you Allah bless you

  • @swimcoachabel1105
    @swimcoachabel11055 жыл бұрын

    Kaka asante sana napenda kusoma vitabu unaweza kunisaidia ni vitabu vya haina gani ni vizuri kusoma

  • @ramafrica9016
    @ramafrica90165 жыл бұрын

    Asante kwa Elimu dawa....

  • @lailatmussa3881
    @lailatmussa38813 жыл бұрын

    Asalam aleikum Kaka ezden jumanne . Somo ni zuri sana . Mimi ilikuwa nahitaji kujuwa no jinsi gani tunaweza kurekod sauti nzuri

  • @nzeyimanasadiki6531
    @nzeyimanasadiki65315 жыл бұрын

    From bujumbura Burundi right now im listening to you from south africa you so professional

  • @yasirykasanga7164

    @yasirykasanga7164

    Жыл бұрын

    Lj

  • @wemamussa480
    @wemamussa4805 жыл бұрын

    Duh somo zuri sana.🙌 Allah azidi kukubarik kaka.

  • @mdtv2625
    @mdtv26255 жыл бұрын

    Nice one. Talent never enough

  • @jasminemachake1033
    @jasminemachake10335 жыл бұрын

    Asante safi sana

  • @deboramenard1855
    @deboramenard18552 жыл бұрын

    Asant sana 🙏🙏

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe3265 жыл бұрын

    Safi sana nimejifunza hatua nyingine

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus54772 жыл бұрын

    Thenk you kaka ezden

  • @shefanasibu7033
    @shefanasibu70334 жыл бұрын

    Shukran

  • @mosesmgunda5955
    @mosesmgunda59555 жыл бұрын

    Asante sana

  • @mgallason...5686
    @mgallason...56865 жыл бұрын

    very powerful👍

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga61265 жыл бұрын

    Asanteh Kaka mimi niliweza kutambua kipaji changu

  • @matokeomudende3414
    @matokeomudende34144 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana kaka

  • @ngendakumanasalumdiki4885
    @ngendakumanasalumdiki48855 жыл бұрын

    Safi sana.

  • @jumamussa9116
    @jumamussa91165 жыл бұрын

    Ahsante sana kaka Kila siku unanizidishia mawazo yanayopelekea kufanikiwa Kwa lazima

  • @Msomiandrew
    @Msomiandrew4 жыл бұрын

    Kweli kabisa nimejifunza

  • @thecreater4671
    @thecreater46713 жыл бұрын

    Nice work brother

  • @nsikakuamos5279
    @nsikakuamos52795 жыл бұрын

    Sawa,kak@ mipango ndio kila kitu,,,,!!!

  • @Muka_26
    @Muka_265 жыл бұрын

    Nakubar sana braza 🔥🔥 #eachoneteachone

  • @eliaspaul5063
    @eliaspaul50635 жыл бұрын

    Somo hili nimeelewa sana asante kaka kwa somo zur

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    5 жыл бұрын

    Asante sana

  • @fettyfetty6091
    @fettyfetty60915 жыл бұрын

    Thanks

  • @muhsinyahaya4763
    @muhsinyahaya47634 жыл бұрын

    Allah akujaalie uwe na moyo uwo uwo brother

  • @felisterdaniel6316
    @felisterdaniel63165 жыл бұрын

    Good bless you my kakaaa maana napata vitu adimmm 🙏🙏🙏

  • @deathrow8004
    @deathrow80045 жыл бұрын

    NDIO MWENYEZI MUNGU ANAVYOTAKA ..JAHIID KTK KAZI((ASBABU)).NAKUPATA BROTHER

  • @tatuatut7542
    @tatuatut75425 жыл бұрын

    Asante

  • @saadarahman7172
    @saadarahman71725 жыл бұрын

    Thx

  • @bobowrld9628
    @bobowrld96284 жыл бұрын

    nakukubali sana Ezden

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    4 жыл бұрын

    Shukrani kaka

  • @bobowrld9628

    @bobowrld9628

    4 жыл бұрын

    Ooyeea

  • @wilfredidangat768
    @wilfredidangat7685 жыл бұрын

    daaa shukrani sana

  • @juliusmhuvile3814

    @juliusmhuvile3814

    5 жыл бұрын

    Ok

  • @eliudimwigi8368
    @eliudimwigi83684 жыл бұрын

    Nimeisikiliza hii video zaidi ya mara 2. Naipa marks ni moja ya video bora kabisa ktk Channel za KZread!

  • @emanuelasseri9062
    @emanuelasseri90625 жыл бұрын

    mafanikio ni jambo la mtu binafsi. Na jambo sahihi ni kujua njia sahihi na kujaki muda.

  • @salomemtani5687
    @salomemtani56875 жыл бұрын

    Hakika nimejifunza

  • @halimasaid4977
    @halimasaid49775 жыл бұрын

    Good boy

  • @djcoco_designer5739
    @djcoco_designer57393 жыл бұрын

    Vizuri

  • @awamkhalid5361
    @awamkhalid53615 жыл бұрын

    Its true we a not born to play

  • @tatuatut7542
    @tatuatut75425 жыл бұрын

    Mimi haya mambo ya.hii vidio hata moja siwezi kufanya.hadi mwakani inshaallah.nini nakaapekeyangu.nadhinda pekeyangu toka nimepanda hapa gorofani nimwaka sasa hata nje sijatoka.nimekusikiliza kaka hapa natafuta nauli tu. Nirudi Tanzania.kaka umenitoa gizani tena umeniyoa kwenye kifungo na upofu Wa macho.najutia mudawangu

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    5 жыл бұрын

    Pole 3 usikate tamaa bado dunia inakusubiri

  • @leilamohamed7445
    @leilamohamed74455 жыл бұрын

    Kaka naendeleya kupata mafunzo nashukru nimeanza kubadilika nanikweli yafatuwe nasubra. Atasiku izinaamka Niko vizuri sijachoka anashukru nimepata mafunzo naendeleya kusoma ubarikiwe

  • @woltabenadi2184
    @woltabenadi21845 жыл бұрын

    Kaka unamtengeneza bilionea kesho ninaiva sikubada yasiku

  • @abdullykapole9617
    @abdullykapole96174 жыл бұрын

    Naelewa sana ila nina ombi moja toka kwako kaka kama unaweza kunishauri nishauri nifanyeje????

  • @felixlwitiko1481
    @felixlwitiko14815 жыл бұрын

    Brother shukulani nayaona mafanikio mbele yangu sasa brother kw kubadilika kwanzia leo brother

  • @mohammedshali6926
    @mohammedshali69262 жыл бұрын

    Ezden vp je vp

  • @mohammedshali6926

    @mohammedshali6926

    2 жыл бұрын

    Mimi nivuvi je nataka kujipaga kufanikiwa

  • @bilalirashid6267
    @bilalirashid62672 жыл бұрын

    Mimi nahitajia kuwa dactari naanzia wap

  • @peterkingili5305
    @peterkingili53055 жыл бұрын

    Kaka shemima yako. Bro nipo na rafiki yangu kwasasa nikama ndugu yangu tuna hitaji kufungua kampuni yetu. kbs plz nakuomba nisaidie namba yko kwan nahitaji kuongea na ww

  • @jescabulimu2107
    @jescabulimu21074 жыл бұрын

    Shule ya ajabu!

  • @saidally2950
    @saidally29505 жыл бұрын

    ndugu yangu nakuomba sana tena sana ndugu yangu katika imani ezden naomba mawasiliano yako ndugu yangu naomba unipigie au unibipu katika namba hii 0678818359 nina mazungumzo ya muhimu sana nawewe ndugu yangu nakuomba katika hilo au nitumie namba yako nikupigie ndugu yangu.

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    5 жыл бұрын

    0759191076

  • @roberthdismas6493
    @roberthdismas64935 жыл бұрын

    kaka najifunza mengi sana kwako

  • @braysonzawad4705
    @braysonzawad47055 жыл бұрын

    Brother naomba uwe mzalendo kwanza kwa kuzungumza na kutufundisha kwa kutumia lugha ya kiswahili maana kuna point za kiingeleza kiukweli wengine hatujasoma so hatuelewi so jitahidi kututafsilia au kuacha kutumia kiingeleza chako

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    5 жыл бұрын

    Really???!!! Niamini mimi, wengi wanafeli kwasababu ya visingizio visivyokuwa na maana. Hili somo point zote nimesema kwa kingereza na kuzifafanua kwa kiswahili. Unashindwa kulichukulia positive kwamba iwe sehemu ya wewe at least kufahamu baadhi ya misemo na maneno ya kingereza??! hii ni faida kwa msemaji wa kiswahili! Jitahidi kuangalia vitu katika upande positive. Nimeamua kukujibu sababu naona kuna somo kubwa litakupitia ukiendelea na hiyo mentality.

  • @kush_kidy97

    @kush_kidy97

    5 жыл бұрын

    @@successpathnetwork kweli kabisaa

  • @mauamohamedy3796

    @mauamohamedy3796

    5 жыл бұрын

    Brayson Zawad mhhh

  • @mgallason...5686

    @mgallason...5686

    5 жыл бұрын

    jamaa yangu bryson zawad inapaswa utambue msemo mmoja kuwa kitabu usichokielewa jua kwamba haujatungiwa wewe Bali yupo atakayekisoma na kukielewa . . . ezden ametafsiri kila alichokiongea binafsi sijasoma Bali nimemuelewa barabara, katika hii dunia epuka sana kulaumu hata pasipo na sababu ya msingi, utafanikiwa kwa mambo mengi sana na utambue msemo mwingine usemao kulaumu ni mchezo mzuri wa wakosaji au wanaofeli. Tafuta kila namna ya kuelewa masomo Kama haya na kuacha kabisa lawama, la sivyo usijiingize kwenye kuangalia video au masomo Kama haya ambayo TANZANIA na watanzania, inayahitaji sana kuliko kuangalia video za muziki au zisizokuwa na mashiko. Achana na chuki binafsi, haisaidii hata Kama EZDEN angetumia lugha KISWAHILI pengine ungekuja na lawama nyingine. penda sana anachokifanya naomba uniamini.

  • @neemalkiswaga6126

    @neemalkiswaga6126

    5 жыл бұрын

    @@successpathnetwork Kaka unavyomix na kingereza na unafafananu Kwa kiswahil tunajifunza misamiati mipya ya kingereza so msamehe bure hayuko makin👏

  • @sebastianmtemi4902
    @sebastianmtemi49025 жыл бұрын

    Asante sana bro

  • @razakimohamed4903
    @razakimohamed49034 жыл бұрын

    nakubalii kk