SIO LAZIMA KIPAJI ILI UFANIKIWE, TAZAMA HII
Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Nilichojifunza ni kwamba kuna mambo mengi sana muhimu ambayo ili mtu aweze kufanikiwa anahitaji kuwa nayo, nayo ni bora na muhimu zaidi kuliko kuwa na kipaji tu. Basi somo hili ni muhimu sana hata kwa wale wanaotambua kuwa wanavipaji mbalimbali wanawezaje kujiongezea thamani.
JINSI YA KUTAMBUA KIPAJI CHAKO : • JINSI YA KUGUNDUA KIPA...
Fuatilia kwa makini mambo haya saba:
1. Take responsibility for your life (Tambua maisha yako ni jukumu lako)
2. Be Organized (Jipange Vizuri)
3. Learn to take action (Kuwa mtu wa vitendo sio maneno tu)
4. Learn to network with other successful people (Jichanganye na waliofanikiwa)
5. Read a lot (Soma sana vitabu)
6. Persevere (Jifunze uvumilivu)
7. Pay attention to your health (Jali afya yako)
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#SuccessPath #EachOneTeachOne #EzdenJumanne
Пікірлер: 93
Asante kwa kufuatilia. Unaweza kujiunga na group langu la whatsapp ili kupata mengi zaidi. Tuma meseji ya whatsapp kwenda namba hii 0759191076. Tukutane kwenye group!!!
@chrismassawe326
5 жыл бұрын
Asant sana mwalimu wangu
@deogratiousmerchiory5935
5 жыл бұрын
Niunge kwenye group lako..0752324496
@zuberimanoti665
4 жыл бұрын
Naitwa Zuberi niko kunduchi mtongani Kinondon dar. nahitaji kujiunga na group la whatsap no. 0787852149
@njuujera1415
4 жыл бұрын
Shukran Sana Ezden nakufatilia sana na nimebadilika kwa asilimia kubwa sana. I love you
Thanks broo🙏🙏, Wengi huwa hatu comment but ni Member Wazuri wa masomo yako
Kaka Ezden nakupend san umenibadirisha kwa kiasi kikubwa sasa naipa haki dunia yang na akhera yang pia hongera kwa mzazi alokuzaa wallah alizaa chema
Daaaa! Somo limeniingia mpaka nimetoka kwenye makelele ya watu nikaenda kusikiliza kwa umakini sana shukuraa brother nimepata mengi kwenye hili somo 💞💞 Ahsante sana brother Allah bless you 🙏 🙏
@thegirl1405
5 жыл бұрын
Subhannalah unamiliki mali zote hata sadaka hutoi, ibada mtu anaiona ngumu😥😥 cku zote napenda kuwa karibu na watu walio nizidi maalifa ili nami niwe kama wao
Hujambo,nafurahiya masomo yako kila somo unayo fundisha Mwenyezi Mungu akujalie na kuzidishie uendelee kufundisha wasiojua(shule ya ajabu!!!)
Asante sana bro umenijenga sana ,mahalia nilikuwa na Kosea ubarikiwe sana na malifa mazuri
Mafunzo yako ni mazuri sana! Mwenyezi Mungu akuongezee umri ufundishe wengi zaidi
Nakukubali kaka mungu akuongoze zaidi
Asante sana brother Ezden kwa kazi njema uifanyayo ya kutoa elimu kwa njia hii.Keep heart and move forward.Ubarikiwe
#ezden nakufwatilia sana ,,,,, nakukubar ,,big up
Allh akupe afya njema uzidi kutupa elimu nzuri
Nimekubali pale ulipochangia. Kwamba ukiwa fukara no mtihani,ukiwa maskini no mtihani,ukiwa Tahiti ni mtihani. Sasa ktk umaskini na ufukara pamatakiwa uchambuzi sahihi. Watu wengi wanaona utajibiwa ni kumiliki Mali, lakini kuna kuwa na watoto, afya, maradi, tuseme alhamdulilah ktk kila jambo.
Nakubaliana na yote ulosema. Mungu akubariki daima
Asante sana broo
Thanks so much kwa mafundisho mazuri bro 🙏
Asante kaka kwa kunipa muogozo katika maisha ......
Ni muda wa kubadili tabia. The earlier the better. Thanks bro, Allah akulipe kheri
Thank you Allah bless you
Kaka asante sana napenda kusoma vitabu unaweza kunisaidia ni vitabu vya haina gani ni vizuri kusoma
Asante kwa Elimu dawa....
Asalam aleikum Kaka ezden jumanne . Somo ni zuri sana . Mimi ilikuwa nahitaji kujuwa no jinsi gani tunaweza kurekod sauti nzuri
From bujumbura Burundi right now im listening to you from south africa you so professional
@yasirykasanga7164
Жыл бұрын
Lj
Duh somo zuri sana.🙌 Allah azidi kukubarik kaka.
Nice one. Talent never enough
Asante safi sana
Asant sana 🙏🙏
Safi sana nimejifunza hatua nyingine
Thenk you kaka ezden
Shukran
Asante sana
very powerful👍
Asanteh Kaka mimi niliweza kutambua kipaji changu
Mungu akubariki Sana kaka
Safi sana.
Ahsante sana kaka Kila siku unanizidishia mawazo yanayopelekea kufanikiwa Kwa lazima
Kweli kabisa nimejifunza
Nice work brother
Sawa,kak@ mipango ndio kila kitu,,,,!!!
Nakubar sana braza 🔥🔥 #eachoneteachone
Somo hili nimeelewa sana asante kaka kwa somo zur
@successpathnetwork
5 жыл бұрын
Asante sana
Thanks
Allah akujaalie uwe na moyo uwo uwo brother
Good bless you my kakaaa maana napata vitu adimmm 🙏🙏🙏
NDIO MWENYEZI MUNGU ANAVYOTAKA ..JAHIID KTK KAZI((ASBABU)).NAKUPATA BROTHER
Asante
Thx
nakukubali sana Ezden
@successpathnetwork
4 жыл бұрын
Shukrani kaka
@bobowrld9628
4 жыл бұрын
Ooyeea
daaa shukrani sana
@juliusmhuvile3814
5 жыл бұрын
Ok
Nimeisikiliza hii video zaidi ya mara 2. Naipa marks ni moja ya video bora kabisa ktk Channel za KZread!
mafanikio ni jambo la mtu binafsi. Na jambo sahihi ni kujua njia sahihi na kujaki muda.
Hakika nimejifunza
Good boy
Vizuri
Its true we a not born to play
Mimi haya mambo ya.hii vidio hata moja siwezi kufanya.hadi mwakani inshaallah.nini nakaapekeyangu.nadhinda pekeyangu toka nimepanda hapa gorofani nimwaka sasa hata nje sijatoka.nimekusikiliza kaka hapa natafuta nauli tu. Nirudi Tanzania.kaka umenitoa gizani tena umeniyoa kwenye kifungo na upofu Wa macho.najutia mudawangu
@maryammaram2612
5 жыл бұрын
Pole 3 usikate tamaa bado dunia inakusubiri
Kaka naendeleya kupata mafunzo nashukru nimeanza kubadilika nanikweli yafatuwe nasubra. Atasiku izinaamka Niko vizuri sijachoka anashukru nimepata mafunzo naendeleya kusoma ubarikiwe
Kaka unamtengeneza bilionea kesho ninaiva sikubada yasiku
Naelewa sana ila nina ombi moja toka kwako kaka kama unaweza kunishauri nishauri nifanyeje????
Brother shukulani nayaona mafanikio mbele yangu sasa brother kw kubadilika kwanzia leo brother
Ezden vp je vp
@mohammedshali6926
2 жыл бұрын
Mimi nivuvi je nataka kujipaga kufanikiwa
Mimi nahitajia kuwa dactari naanzia wap
Kaka shemima yako. Bro nipo na rafiki yangu kwasasa nikama ndugu yangu tuna hitaji kufungua kampuni yetu. kbs plz nakuomba nisaidie namba yko kwan nahitaji kuongea na ww
Shule ya ajabu!
ndugu yangu nakuomba sana tena sana ndugu yangu katika imani ezden naomba mawasiliano yako ndugu yangu naomba unipigie au unibipu katika namba hii 0678818359 nina mazungumzo ya muhimu sana nawewe ndugu yangu nakuomba katika hilo au nitumie namba yako nikupigie ndugu yangu.
@successpathnetwork
5 жыл бұрын
0759191076
kaka najifunza mengi sana kwako
Brother naomba uwe mzalendo kwanza kwa kuzungumza na kutufundisha kwa kutumia lugha ya kiswahili maana kuna point za kiingeleza kiukweli wengine hatujasoma so hatuelewi so jitahidi kututafsilia au kuacha kutumia kiingeleza chako
@successpathnetwork
5 жыл бұрын
Really???!!! Niamini mimi, wengi wanafeli kwasababu ya visingizio visivyokuwa na maana. Hili somo point zote nimesema kwa kingereza na kuzifafanua kwa kiswahili. Unashindwa kulichukulia positive kwamba iwe sehemu ya wewe at least kufahamu baadhi ya misemo na maneno ya kingereza??! hii ni faida kwa msemaji wa kiswahili! Jitahidi kuangalia vitu katika upande positive. Nimeamua kukujibu sababu naona kuna somo kubwa litakupitia ukiendelea na hiyo mentality.
@kush_kidy97
5 жыл бұрын
@@successpathnetwork kweli kabisaa
@mauamohamedy3796
5 жыл бұрын
Brayson Zawad mhhh
@mgallason...5686
5 жыл бұрын
jamaa yangu bryson zawad inapaswa utambue msemo mmoja kuwa kitabu usichokielewa jua kwamba haujatungiwa wewe Bali yupo atakayekisoma na kukielewa . . . ezden ametafsiri kila alichokiongea binafsi sijasoma Bali nimemuelewa barabara, katika hii dunia epuka sana kulaumu hata pasipo na sababu ya msingi, utafanikiwa kwa mambo mengi sana na utambue msemo mwingine usemao kulaumu ni mchezo mzuri wa wakosaji au wanaofeli. Tafuta kila namna ya kuelewa masomo Kama haya na kuacha kabisa lawama, la sivyo usijiingize kwenye kuangalia video au masomo Kama haya ambayo TANZANIA na watanzania, inayahitaji sana kuliko kuangalia video za muziki au zisizokuwa na mashiko. Achana na chuki binafsi, haisaidii hata Kama EZDEN angetumia lugha KISWAHILI pengine ungekuja na lawama nyingine. penda sana anachokifanya naomba uniamini.
@neemalkiswaga6126
5 жыл бұрын
@@successpathnetwork Kaka unavyomix na kingereza na unafafananu Kwa kiswahil tunajifunza misamiati mipya ya kingereza so msamehe bure hayuko makin👏
Asante sana bro
nakubalii kk