Welcome to Success Path Network, where we believe in the power of knowledge-sharing and growth.
Our channel is dedicated to capacity building and self-development, and our slogan, "Each One Teach One," reflects our commitment to helping you unlock your full potential.
Join us on this journey of personal and professional growth as we share valuable insights, practical tips, and inspiring stories to empower you along your success path.
Subscribe today and let's embark on this transformative journey together! 🌟
Пікірлер
Asante Sana nimejifunza
Asante nimejifunza kitu kikubwa jiamini
Mm nimeogopa
❤❤❤
habri mr ezden nilikuw naomba unisaidiye vitabu ambavyo vitaongeza maarifa yang katik biashara na maisha kiujumla
asante sana kaka angu
Blaza nakwelewa sana nipo mozambique
Blaza powa mimi nipo Mozambique naitwa shibwana dula❤😅
Broo unanipa motisha sana respect sana
Asante doctor means tuna pasta elim ya blue kabisa.. Hapo mimi vyote vimenigusa na nimuhimu kwa afya yangu🙁😞😞😔😔
ni kweli bro, nakumbuka tulikua watoto wengi tunaoimba miaka kumi baadae nilibaki peke yangu ninayeimba,,, mola akujalie kwa kutukumbusha ❤❤❤
Kwa maisha ya sasa wengi ni wasanii kweli, Mana Kila mtu anataka awe juu ya mwengine napia n Kila mtu hufanya Kila mbinu japo adhulumu lakn asonge, n wachache wenye kukata tamaaa. 🎉 Mauwa kwakoo ❤😂
Kaka ubarikiwe kbs Hiyo tabia hata mm nilikuwa nilishakumbwa nayo
Mungu akupe maisha marefu sanaa bro ezden. Mimi tabia za watu ziliniadhiri sana hadi nikawa nabagua watu wakuzungumza nao
Napataje kitabu jmn nataman kujua kiingereza
Mm wamenikwaza wengi tena wangi wamenionea ana,nimekuwa mtu wa kujiuliza nn nimewakosea.lkn waliishia pabaya bila hta mm kulipiza kisasi.
🤝 tunaendelea kujifunza
Asante sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Naomba kujiunga na group lenu la whatssap mkuu
💯
Matibabu ya pid
Kujirazimisha katika kuanza kufanya mambo
Kila unapo zidi kukua kaka sautiako inazidi kufutia kwenye matangazo mimi niko Mozambique ila nakufatilia toka mashwali 25
💯
💯
Nikwel kuna mdada nampenda mkalii siyo pow ila ananiambia nimpe muda anichunguze ..asee hadii leo nachunguzwa ..alf sasa wala anatamaaa😅😅
Mafunzo yako nimeyapenda sana
Shukran sana ndugu yangu karibu sana
Doctor mm nawashwa Sana sinaraha
loooh nimeelewa sana
Karibu sana. Raha ya kuelewa hili ni kuyaweka haya mafunzo kwenye vitendo Ili tuone matokeo
Kaka kweli kabisa,umenibadilisha sana na nimebadilisha wengine pia kupitia wewe.🙏
Shukran sana ndugu yangu. Nicheki WhatsApp tuongee jambo 0759191076
🔥✅
Nakuona mwanafamilia
Hongera sana maneno machache ,matendo zaidi itaonyesha uaminifu wa mtu asante
Bila shaka
Mm nilifunga mwezi mzima wa,Ramadhan niliondoa kilo9 hili la kufunga ndo no1 Docta
Mm nilifunga mwezi mzima wa,Ramadhan niliondoa kilo9 hili la kufunga ndo no1 Docta
Hata wanasayansi wamethibisha kuwa mtu akifunga japo mwezi mmoja katika mwaka ni hatua nzuri sana kiafya ya kutoa sehemu kubwa ya siku mwilini. Lakini kwa sisi waislam kuna faida kubwa zaidi kuliko hilo la kiafya ikiwa mwezi huo utafungwa kwa usahihi. Asante sana kwa mrejesho wako.
Asante sana kwa hii taarifa...inaelimisha vema...❤🎉
Shukran sana ndugu yangu. Karibu sana
Doctar mimi mwanangu anamiaka miwili na nusu yeye ukimuuzi tu anazimia dakika 5 had nusu saa haf cjui tatizo ninini
Nakushauri ukamuone daktari Ili aweze kumfanyia vipimo na kumfuatilia kwa ukaribu.
Hiki soft copy yake haipatikani.? Nahitaji tafadhari.👏
Tafadhali wasiliana na mwandishi katika namba yake kwenye description
Pombe mbaya sana jitihada unajitahd lkn hujui unarudije kiukweli bnafc ni muhanga mnisaidie
Good
🎉🎉🎉
Barikiwa sana
Good bro keep it up
Thank you so much
Asante Kwa madini kaka
Je kuna uwezekano wa kupata full scholarship ya pilot nchi yyte ile.?
Asante shekhe
Ni sahihi 🎉💯
Asante sana
Asante. Tunaowamiini mara nyingi hutufanyia hiyana
Ni kweli kabisa usemayo... Na hii imefanya baadhi ya watu kuacha kabisa kuamini na kusaidia wengine sababu ya kuumizwa na waliopita
Shukrani kwa somo zuri ila naomba kuongezea kitu hapo,, naamini miongoni mwa njia za kuweza kumtambua mtu wa kuaminika ni kupitia kupima level ya ubinafsi uliopo ndani yake. Ubinafsi ni hali ya mtu kuhitaji kila kitu kizuri kiweze kumnufaisha yeye pekee na si jamii nzima. Watu wa aina hiyo mara zote huwa wakificha mambo yao mengi kwa dhumuni la kutaka kujinufaisha na kutamani kufahamu ya wengine ili wajijazie pia. Watu wabinafsi ni ngumu kufanya nao kazi au jambo lolote la kheri kutokana na mioyo yao kuwa mizito kufanya kitu kwa Manufaa ya jamii au watu wengine bali hatamani kila jambo jema liwe lao pekee,, hata ma kazini wapo wengi hivyo kusababisha makampuni kuzorota, miradi kutokamilika na pia mambo yote yasiyo walenga wao moja kwa moja kutofanikiwa.
Dah nimekuelewa sana ndugu yangu katika hili naungana nawe mkono. Asante kwa kutuongezea kitu kwenye somo letu. Each One Teach One!
Shukran jaziira alhamdulilah
Karibu sana