Historia ya Rais 'THOMAS SANKARA' Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
Historia ya Rais 'THOMAS SANKARA' Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
Nchini Burkina Faso katika kipindi cha utawala wa kampeteni Thomas Sankara, mambo yalikuwa shwari mno na hasa hiyo ilitokana na uzalendo wa rais huyo anayetajwa katika historia kuwa ni mmoja wa wapambanaji na wamfano barani Afrika.
Lakini hatma ya rais Sankara ni kuuawa kikatili tena na rafiki yake kipenzi kampten Blaise Compaore, hali iliyomfanya Compaore kushika nchi hiyo na kuiongoza kwa miaka 27.Global Tv, imekuletea historia ya kiongozi huyo.
#THOMASSANKARA
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.
Пікірлер: 549
mauaji yake yalirabiitiwa na kupangwa na nchi ya france .historia ya sankara haitofauni na comrade patrice emery lumumba wa congo kwani nae aliuwawa na watesaji na wakoloni mambo leo EU,USA ,Lumumba aliuliwa na majeenti waCIA na juzi kati serikali ya belgium imekili na kuiomba radhi ikulu ya kinshansa kwa kuhusika na mauaji ya lumumba.
@husnatgamaah1335
5 жыл бұрын
Seleman Denja daaah hata wakiomba msamaha ni too late😢😢😢😢
@bensonkikoko5576
5 жыл бұрын
Seleman Denja
@carloschikawe7271
4 жыл бұрын
aisee unanikosha sana kaka Edgar
@wangash6144
4 жыл бұрын
Tulete story ya kabila Ethiopia inayowa fanya watoto kuolewa na 7 years
@juliethhouseofdesigns147
4 жыл бұрын
Yaani wanaua mtu wa muhim alafu wanakuja kuomba msamaha adi uchungu
R.i.p Thomas Sankara "the face of Africa"!!!!!❤ from 🇹🇿
Kama mzalendo wa bara la Afrika Gonga like hapa......."You can not cary fundamental change if u don't have a certain a mount of madness" (huwezi fanya mabadiliko makubwa kama huna ukiachaa).
@alfredkibet
4 жыл бұрын
Like it
@vicentrevocatus9353
3 жыл бұрын
Afilika, viongozi mwamba,, mm nitajivunia kuwa muafrica,, never change origin home,
Love from KENYA thanks president Sankara
Kifo cha Rais Magufuli kimenifanya nirudie kutazama hii may your souls rest in Paradise our Champ 🙏
@Ronald-gh6jl
3 жыл бұрын
Sankara na magufuli all gone,best African leaders don't live long,, may their souls continue to rest in peace 🙏🙏
@deograciakashaigili5973
2 жыл бұрын
Kabisa inaumiza sana. Waafrika MUNGU anatuona!
Best president in the world!!!!!
We need these leaders in Africa. Well done Sankara.
@brysonuronu5862
5 жыл бұрын
Am telling u
@jacksonlameck6174
5 жыл бұрын
@@brysonuronu5862 Kofi ulumide
Hiyo Pande Ya Wabunge Wa Kenya Hujakosea Kabisa. Na Bado Hawatosheki, Wanaiba Kila Siku. Walafi Sana.
@sadickjuma1594
4 жыл бұрын
Hapo pa Kenya umegonga ndipo ndo maana mie na familia Yangu nlihamia hapa Tz
KAMANDA HAKIKA KIPAJI UNACHO!!! HONGERA SANA. RIP THOMAS SANKARA.
I Love Thomas Sankara....from Kenya
Thomas Noel Isidore Sankara,Julius Nyerere,Kwame Nkrumah,Malcolm X,Nelson Mandela,Patrice Lumumba,Martin Luther King,your spirit never dies
@patkawal30
3 жыл бұрын
Maghufuli JP
@georgemassebu2083
2 жыл бұрын
Ongezea John Pombe Magufuli
@saidbakari3124
Жыл бұрын
Ongezea na John Joseph Pombe Magufuli
Ahsante broo! Kwa historia yenye mafundisho kwa vizazi endelevu
Man U know I can listen to you 24/7 bila without getting tired we need more histories from you
@johnopiyo4103
2 жыл бұрын
Huyu jamaa ako sawa.
Mungu endelea kuitunza roho ya hayati Thomas Sankara mahali salama milele amina,Mhadhiri wangu Denis na Msimulizi unayesimulia hongereni sana Mungu awaongezee ujuzi zaidi ili tuzijue historia za viongozi shujaa
Aliongoza kwa mfano...R.I.P Thomas Sankara
Mekupenda bureee kpnz changu Thomas Sankara hakika haiwezi rejea Tena hakika hata Mungu anakuona ulipo pumzika kwa amani kpnz Cha wengi
@davidfrank2658
5 жыл бұрын
Natamani kulia bhana
Haichokeshi maskioni, uyu alitumwa na Mungu, may he rest in peace then, now n forever..
Thank you T. Sankara. God bless you. Your light will always SHINE!
Aisee huyu mtangazaji ana sauti nzuri sana nimeipenda...let late comrade sankara rest safely in peace
@funnygirl6762
4 жыл бұрын
Rest in p .shujaa
Kaka tuletee na historia ya Steve biko Uko vizuri mzee hongera sana
@emmanuelmgeni1704
4 жыл бұрын
Tin Tz eti magufuri nae anafata nyayo zake thomas
@alfredmsimutowe4013
4 жыл бұрын
Steve biko alikuwa hero sana na ndiye alianzsha msemo wa black is beautiful
Kizuri Daima hakidum Dunian. Inna lillah Wainnalillah.Rajiun. Allah mpumzishe kwaaman Shujaa wako Amiin.
Huyu ni rais in nature
ukweli kabisa Kenyan Mps are earning alot
He who feeds you,controls you,R.I.P President Thomas Sankara,we will miss you forever bro.
Wow naipenda sana hii story ya Thomas kwani wa president wasasa wanasomea wapi mbona hawana hakiri kama zawa president wazamani Nipo New York Syracuse
President Thomas Sankara was a focused, visionary and charasmatic leader.with his cleanliness campaign and health care am certain he would have led war against Covid-19 in Africa...lost a characteristic leader. 👌editor ! from ... Kenya
The great one never happen again!
Ni kweli kwa hilo la Wabunge wa Kenya.
""You can not carryout a fundamental changes without a certain amount of madness """ good idear
R.I.P President Thomas Sankara We will remember you so much in Africa and wordwide as well
@mussasaimon2012
5 жыл бұрын
Alikua vizur sana
Rip my heros Thomas Sankara love from BURUNDI
So touching!
Ahsante sana kwa kutuletea historia ya huyu shujaa. Mwenyezi mungu amuweke pahala pema amin
A leader that was God fearing. God blessed that leader n the country. He was god's chosen n anointed. R. I. P my bro.
A natureza é maravilhosa
Kwel mwenye upendo wa kwel awadumu ktk maisha Rest in peace Tomas Sankara
@michaelthobias9967
3 жыл бұрын
Mtu mwema hadumu anauliwa tambua Hilo ndugu
JPM ana maaono kama ya Tomas nimefatilia historia hii sijaona utofauti kati ya viongoz hawa wawili! Ila kuna mijitu haitaweza kuona kwa sasa mpaka historia ya Mzee magu ianzwe andikwa na kusimuliwa namna hii!!
My all time hero! Rest in peace ✌ my African hero.
Nimempa na roho yangu yote, Mwenyezi Mungu ailinde roho.
Africa ni viongozi wachache sana wenye uzalendo na nchizao Mungu ampunguzie azabu ya kaburi ni shujaa mwenye wazifa
@godfreyahmed180
4 жыл бұрын
Huyu jamaa alikuwa kiongz Bora sana
Watu wazuri wanachukiwa wabaya wanapendwa R.I.P Thomas Sankara
UNATANGAZA VIZURI SANAAA DAH KAMA Vile. DW BON
@ryobajohn7177
5 жыл бұрын
nkwabi. em tumpen sapot
Daima nitapenda zaidi misimamo ya huyu shuja.R.I.P Thomas Sankara
@jamestony8944
5 жыл бұрын
Magufuli afate nyayo hizo
Alikuwa mzuri kweli Huyo sankara
Ni kweli hapa Kenya wabunge wanavuma mamilioni +254
Kweli kabisa kenya yetu inapngoza dunia mzima kwa viongozi kulipwa mtonyo
Kweli vizuri havidumu pumzika kwa amani
Napenda sana kusomaga historia ya sankara,alikuwa ni shujaa na hatotokea tena kama huyu,rip shujaa Sankara,hongera mtangazaji unasauti inayosikika vizuriii,natamani kuendelea kukusikiliza
@solo-manjerusalem5732
4 жыл бұрын
Unaupata wapi unabii huo kama hatatokea mwingine?
@user-rx7jg6kh9h
10 ай бұрын
Kapatikana mrithi wake Ibrahim Traore
Huyu mtangazaji mmempat cjui nimfananishe na nani anajua sana
A Edgar unajua bro daa,"TUSOMAGE BIBLE HATA KMA HATUTAKI KWENDA MBINGUNI"....
We love you sankara
Ndo tatizo watu wema uwa awakawihi duniani 😭😭😭
@samsonfulgence6170
3 жыл бұрын
Awakawihi😀😀😀
@eliyajoseph6862
3 жыл бұрын
Hii ni kwasababu wanamaadui wengi sana
Napenda hizi taarifa za wakuu wa ulimwengu
I'm supporting u 100 percent
Unayo sauti nzuri bro. Natumai we mtangazaji bora ehh🤗👍🏽
@duncanmulama7246
5 жыл бұрын
Enyewe
I wish I would the next be the next Sankara, lest in peace father Africa
Safi sana RIP
😭😭😭😭r.i.p sankala mungu akupumzishe kwa amani
@shidamashauri7582
5 жыл бұрын
Mamb
@razackmwandonje7201
5 жыл бұрын
Sure b
@selector728
5 жыл бұрын
sio sankala ni sankara
RIP my hero forever.
Aluta continua!!! Shujaaaa Sankara Kiongozi Hero4Life. Mtangazaji Asante Historia ya Sankara Imenitia Nguvu Sana Natamani Africa ipate Kiongozi kama Sankara Live Long Burkina Faso.
Mungu akulaze mahala pema peponi magufuri wa bukinafaso thomas sankara
Mmmh alikuwa vizuri sana
Safi
Safi sana histori yake!rip sankara
Hakika ww mtangazaji uko vizur xana Kwa kazi yako hakika mungu akupe maisha malefu AMENI
Umeongea point bro tangu uhuru tunakopa mpaka leo tunakopeshwa tujiulize ,mabadiliko muhimu kwa viongozi wetu wa kiafrika ushauri tuu kwa sababu afrika tulishatawaliwa...
@peterkutoh3699
4 жыл бұрын
Hata juzi May 2020...Tumekopa aise
Daaah naenjoi sana
so much love to sankara
RIP my true hero
Yamenitoka machozi Mungu mlaze mahali pema peponi Amin
Mtangazaji upo vizuri sana
THOMAS SANKARA best president burkina faso has ever had / rather africa at large
Soo sad rip
God bless our Africa.
@dalali_leonard6898
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 R I P RAIS WA KWELI
Ahsante Kwa taarifa nzuri
Nimekuelewa mtangazajiii documentary yako imecmama safi sanaa
Kizur hakidumu Dah Rip Thomas Sankara
Naukumbuka ule wimbo Balisidya wenye maneno yanayosema" ni mashaka ya hangaiko wema hawana maisha" Sankara ameacha athari iliyotukuka Afrika na dunia kote ama hakika wema hauozi.. Mungu amrehemu RIP shujaa Sankara
A man of the people
Mimi nimependa kijana mwenzangu uliyatoa maisha yako kwa ajili ya ichi yako safi Tomas sakara
Unaongea vzri maa shaa Allah...... Kizuri hakidumu kweli
hahaha et unasikia Kenya wabunge wanaongoza kwa mshahara, nimependa iyo life style ya Thomas sankala
Dennis lugha yako ni yakuridhisha kweli kiswahili sanifu,napenda unavyo suka na kusukika nakara zako,,, your the best ever had history narrator in Swahili language
Unajua kusimlia big up broo
Rip Thomas 🙏
NeVeR happen..A man like him
One of the best with Pepe of Uruguay.
Burkina Faso is my best country
@abubakaryally48
5 жыл бұрын
raisi aliyekataa mshahara
Huna hata kiwanja unaitwa meneja 😂😂😂😂😂😂😂😂
sir denis hongera yako,napenda sana story hizi
asante
Big up
Bro uko vizuri sana kwenye kutangaza👏👏
kasalamba juma Sankara mungu wetu akurehem Ameni.
Nimeipenda sana
Daaaaaah noma kwel
Currently presidents should listern this.
Globol TV mubarikiwe zaidi ya wote, kwa historian yenyu nzuri sana
Jamaa unajuw sema BIG UP
More History 😘😘😘😘🇰🇪🇰🇪🇰🇪