Historia ya Rais 'THOMAS SANKARA' Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU

Historia ya Rais 'THOMAS SANKARA' Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
Nchini Burkina Faso katika kipindi cha utawala wa kampeteni Thomas Sankara, mambo yalikuwa shwari mno na hasa hiyo ilitokana na uzalendo wa rais huyo anayetajwa katika historia kuwa ni mmoja wa wapambanaji na wamfano barani Afrika.
Lakini hatma ya rais Sankara ni kuuawa kikatili tena na rafiki yake kipenzi kampten Blaise Compaore, hali iliyomfanya Compaore kushika nchi hiyo na kuiongoza kwa miaka 27.Global Tv, imekuletea historia ya kiongozi huyo.
#THOMASSANKARA
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.

Пікірлер: 549

  • @selemandenja2951
    @selemandenja29515 жыл бұрын

    mauaji yake yalirabiitiwa na kupangwa na nchi ya france .historia ya sankara haitofauni na comrade patrice emery lumumba wa congo kwani nae aliuwawa na watesaji na wakoloni mambo leo EU,USA ,Lumumba aliuliwa na majeenti waCIA na juzi kati serikali ya belgium imekili na kuiomba radhi ikulu ya kinshansa kwa kuhusika na mauaji ya lumumba.

  • @husnatgamaah1335

    @husnatgamaah1335

    5 жыл бұрын

    Seleman Denja daaah hata wakiomba msamaha ni too late😢😢😢😢

  • @bensonkikoko5576

    @bensonkikoko5576

    5 жыл бұрын

    Seleman Denja

  • @carloschikawe7271

    @carloschikawe7271

    4 жыл бұрын

    aisee unanikosha sana kaka Edgar

  • @wangash6144

    @wangash6144

    4 жыл бұрын

    Tulete story ya kabila Ethiopia inayowa fanya watoto kuolewa na 7 years

  • @juliethhouseofdesigns147

    @juliethhouseofdesigns147

    4 жыл бұрын

    Yaani wanaua mtu wa muhim alafu wanakuja kuomba msamaha adi uchungu

  • @SAM_163
    @SAM_1635 жыл бұрын

    R.i.p Thomas Sankara "the face of Africa"!!!!!❤ from 🇹🇿

  • @josephatkashendwa1177
    @josephatkashendwa11774 жыл бұрын

    Kama mzalendo wa bara la Afrika Gonga like hapa......."You can not cary fundamental change if u don't have a certain a mount of madness" (huwezi fanya mabadiliko makubwa kama huna ukiachaa).

  • @alfredkibet

    @alfredkibet

    4 жыл бұрын

    Like it

  • @vicentrevocatus9353

    @vicentrevocatus9353

    3 жыл бұрын

    Afilika, viongozi mwamba,, mm nitajivunia kuwa muafrica,, never change origin home,

  • @gracedaniel1924
    @gracedaniel19245 жыл бұрын

    Love from KENYA thanks president Sankara

  • @ramadhanthabeety105
    @ramadhanthabeety1053 жыл бұрын

    Kifo cha Rais Magufuli kimenifanya nirudie kutazama hii may your souls rest in Paradise our Champ 🙏

  • @Ronald-gh6jl

    @Ronald-gh6jl

    3 жыл бұрын

    Sankara na magufuli all gone,best African leaders don't live long,, may their souls continue to rest in peace 🙏🙏

  • @deograciakashaigili5973

    @deograciakashaigili5973

    2 жыл бұрын

    Kabisa inaumiza sana. Waafrika MUNGU anatuona!

  • @mohidinmohamed7653
    @mohidinmohamed76535 жыл бұрын

    Best president in the world!!!!!

  • @FrancisAMligo
    @FrancisAMligo5 жыл бұрын

    We need these leaders in Africa. Well done Sankara.

  • @brysonuronu5862

    @brysonuronu5862

    5 жыл бұрын

    Am telling u

  • @jacksonlameck6174

    @jacksonlameck6174

    5 жыл бұрын

    @@brysonuronu5862 Kofi ulumide

  • @mojamal007
    @mojamal0075 жыл бұрын

    Hiyo Pande Ya Wabunge Wa Kenya Hujakosea Kabisa. Na Bado Hawatosheki, Wanaiba Kila Siku. Walafi Sana.

  • @sadickjuma1594

    @sadickjuma1594

    4 жыл бұрын

    Hapo pa Kenya umegonga ndipo ndo maana mie na familia Yangu nlihamia hapa Tz

  • @mtungilandegeya6312
    @mtungilandegeya63125 жыл бұрын

    KAMANDA HAKIKA KIPAJI UNACHO!!! HONGERA SANA. RIP THOMAS SANKARA.

  • @damarissantangelos9329
    @damarissantangelos93294 жыл бұрын

    I Love Thomas Sankara....from Kenya

  • @ashamnyambu4056
    @ashamnyambu40564 жыл бұрын

    Thomas Noel Isidore Sankara,Julius Nyerere,Kwame Nkrumah,Malcolm X,Nelson Mandela,Patrice Lumumba,Martin Luther King,your spirit never dies

  • @patkawal30

    @patkawal30

    3 жыл бұрын

    Maghufuli JP

  • @georgemassebu2083

    @georgemassebu2083

    2 жыл бұрын

    Ongezea John Pombe Magufuli

  • @saidbakari3124

    @saidbakari3124

    Жыл бұрын

    Ongezea na John Joseph Pombe Magufuli

  • @sugarray312
    @sugarray3125 жыл бұрын

    Ahsante broo! Kwa historia yenye mafundisho kwa vizazi endelevu

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison5 жыл бұрын

    Man U know I can listen to you 24/7 bila without getting tired we need more histories from you

  • @johnopiyo4103

    @johnopiyo4103

    2 жыл бұрын

    Huyu jamaa ako sawa.

  • @dottomakanyanga5214
    @dottomakanyanga52145 жыл бұрын

    Mungu endelea kuitunza roho ya hayati Thomas Sankara mahali salama milele amina,Mhadhiri wangu Denis na Msimulizi unayesimulia hongereni sana Mungu awaongezee ujuzi zaidi ili tuzijue historia za viongozi shujaa

  • @seifmatimbwa4379
    @seifmatimbwa43795 жыл бұрын

    Aliongoza kwa mfano...R.I.P Thomas Sankara

  • @clqudiaemmanuel7740
    @clqudiaemmanuel77405 жыл бұрын

    Mekupenda bureee kpnz changu Thomas Sankara hakika haiwezi rejea Tena hakika hata Mungu anakuona ulipo pumzika kwa amani kpnz Cha wengi

  • @davidfrank2658

    @davidfrank2658

    5 жыл бұрын

    Natamani kulia bhana

  • @nelsonandanyi
    @nelsonandanyi5 жыл бұрын

    Haichokeshi maskioni, uyu alitumwa na Mungu, may he rest in peace then, now n forever..

  • @kennethjana4259
    @kennethjana42593 жыл бұрын

    Thank you T. Sankara. God bless you. Your light will always SHINE!

  • @selector728
    @selector7285 жыл бұрын

    Aisee huyu mtangazaji ana sauti nzuri sana nimeipenda...let late comrade sankara rest safely in peace

  • @funnygirl6762

    @funnygirl6762

    4 жыл бұрын

    Rest in p .shujaa

  • @tintz3157
    @tintz31575 жыл бұрын

    Kaka tuletee na historia ya Steve biko Uko vizuri mzee hongera sana

  • @emmanuelmgeni1704

    @emmanuelmgeni1704

    4 жыл бұрын

    Tin Tz eti magufuri nae anafata nyayo zake thomas

  • @alfredmsimutowe4013

    @alfredmsimutowe4013

    4 жыл бұрын

    Steve biko alikuwa hero sana na ndiye alianzsha msemo wa black is beautiful

  • @shaimamabrouk9937
    @shaimamabrouk99375 жыл бұрын

    Kizuri Daima hakidum Dunian. Inna lillah Wainnalillah.Rajiun. Allah mpumzishe kwaaman Shujaa wako Amiin.

  • @nassorkaitira5135
    @nassorkaitira51355 жыл бұрын

    Huyu ni rais in nature

  • @billyotienojuma9932
    @billyotienojuma99325 жыл бұрын

    ukweli kabisa Kenyan Mps are earning alot

  • @stanslausmajalla6882
    @stanslausmajalla68825 жыл бұрын

    He who feeds you,controls you,R.I.P President Thomas Sankara,we will miss you forever bro.

  • @jbjaphet1465
    @jbjaphet14655 жыл бұрын

    Wow naipenda sana hii story ya Thomas kwani wa president wasasa wanasomea wapi mbona hawana hakiri kama zawa president wazamani Nipo New York Syracuse

  • @njerithiru407
    @njerithiru4074 жыл бұрын

    President Thomas Sankara was a focused, visionary and charasmatic leader.with his cleanliness campaign and health care am certain he would have led war against Covid-19 in Africa...lost a characteristic leader. 👌editor ! from ... Kenya

  • @jacksonmagola3442
    @jacksonmagola34425 жыл бұрын

    The great one never happen again!

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi18645 жыл бұрын

    Ni kweli kwa hilo la Wabunge wa Kenya.

  • @mcoc9491
    @mcoc94914 жыл бұрын

    ""You can not carryout a fundamental changes without a certain amount of madness """ good idear

  • @adrianomussa6754
    @adrianomussa67545 жыл бұрын

    R.I.P President Thomas Sankara We will remember you so much in Africa and wordwide as well

  • @mussasaimon2012

    @mussasaimon2012

    5 жыл бұрын

    Alikua vizur sana

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias54552 жыл бұрын

    Rip my heros Thomas Sankara love from BURUNDI

  • @edwardgwaspika4943
    @edwardgwaspika49435 жыл бұрын

    So touching!

  • @hamisisha
    @hamisisha5 жыл бұрын

    Ahsante sana kwa kutuletea historia ya huyu shujaa. Mwenyezi mungu amuweke pahala pema amin

  • @edwinkimani4557
    @edwinkimani45574 жыл бұрын

    A leader that was God fearing. God blessed that leader n the country. He was god's chosen n anointed. R. I. P my bro.

  • @alfredomendoza2280
    @alfredomendoza22803 жыл бұрын

    A natureza é maravilhosa

  • @barakachami8218
    @barakachami82185 жыл бұрын

    Kwel mwenye upendo wa kwel awadumu ktk maisha Rest in peace Tomas Sankara

  • @michaelthobias9967

    @michaelthobias9967

    3 жыл бұрын

    Mtu mwema hadumu anauliwa tambua Hilo ndugu

  • @renatusmisigaro6332
    @renatusmisigaro63325 жыл бұрын

    JPM ana maaono kama ya Tomas nimefatilia historia hii sijaona utofauti kati ya viongoz hawa wawili! Ila kuna mijitu haitaweza kuona kwa sasa mpaka historia ya Mzee magu ianzwe andikwa na kusimuliwa namna hii!!

  • @dennisnyambane8530
    @dennisnyambane85303 жыл бұрын

    My all time hero! Rest in peace ✌ my African hero.

  • @sandrawanjiko2022
    @sandrawanjiko20225 жыл бұрын

    Nimempa na roho yangu yote, Mwenyezi Mungu ailinde roho.

  • @michaeljohn6381
    @michaeljohn63815 жыл бұрын

    Africa ni viongozi wachache sana wenye uzalendo na nchizao Mungu ampunguzie azabu ya kaburi ni shujaa mwenye wazifa

  • @godfreyahmed180

    @godfreyahmed180

    4 жыл бұрын

    Huyu jamaa alikuwa kiongz Bora sana

  • @zabronpaul3625
    @zabronpaul36255 жыл бұрын

    Watu wazuri wanachukiwa wabaya wanapendwa R.I.P Thomas Sankara

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz2335 жыл бұрын

    UNATANGAZA VIZURI SANAAA DAH KAMA Vile. DW BON

  • @ryobajohn7177

    @ryobajohn7177

    5 жыл бұрын

    nkwabi. em tumpen sapot

  • @patrickmbogo7805
    @patrickmbogo78055 жыл бұрын

    Daima nitapenda zaidi misimamo ya huyu shuja.R.I.P Thomas Sankara

  • @jamestony8944

    @jamestony8944

    5 жыл бұрын

    Magufuli afate nyayo hizo

  • @henryosoro7696
    @henryosoro76965 жыл бұрын

    Alikuwa mzuri kweli Huyo sankara

  • @bravo2546
    @bravo25465 жыл бұрын

    Ni kweli hapa Kenya wabunge wanavuma mamilioni +254

  • @ifruitx2096
    @ifruitx20965 жыл бұрын

    Kweli kabisa kenya yetu inapngoza dunia mzima kwa viongozi kulipwa mtonyo

  • @mrhalane6393
    @mrhalane63935 жыл бұрын

    Kweli vizuri havidumu pumzika kwa amani

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon65555 жыл бұрын

    Napenda sana kusomaga historia ya sankara,alikuwa ni shujaa na hatotokea tena kama huyu,rip shujaa Sankara,hongera mtangazaji unasauti inayosikika vizuriii,natamani kuendelea kukusikiliza

  • @solo-manjerusalem5732

    @solo-manjerusalem5732

    4 жыл бұрын

    Unaupata wapi unabii huo kama hatatokea mwingine?

  • @user-rx7jg6kh9h

    @user-rx7jg6kh9h

    10 ай бұрын

    Kapatikana mrithi wake Ibrahim Traore

  • @joshuakiwovele8664
    @joshuakiwovele86645 жыл бұрын

    Huyu mtangazaji mmempat cjui nimfananishe na nani anajua sana

  • @startonengineerings8924
    @startonengineerings89245 жыл бұрын

    A Edgar unajua bro daa,"TUSOMAGE BIBLE HATA KMA HATUTAKI KWENDA MBINGUNI"....

  • @sahiyaalliy5598
    @sahiyaalliy55985 жыл бұрын

    We love you sankara

  • @esterabonga7947
    @esterabonga79475 жыл бұрын

    Ndo tatizo watu wema uwa awakawihi duniani 😭😭😭

  • @samsonfulgence6170

    @samsonfulgence6170

    3 жыл бұрын

    Awakawihi😀😀😀

  • @eliyajoseph6862

    @eliyajoseph6862

    3 жыл бұрын

    Hii ni kwasababu wanamaadui wengi sana

  • @alexinonda3340
    @alexinonda33405 жыл бұрын

    Napenda hizi taarifa za wakuu wa ulimwengu

  • @babiornewton1008
    @babiornewton10085 жыл бұрын

    I'm supporting u 100 percent

  • @shammoha5297
    @shammoha52975 жыл бұрын

    Unayo sauti nzuri bro. Natumai we mtangazaji bora ehh🤗👍🏽

  • @duncanmulama7246

    @duncanmulama7246

    5 жыл бұрын

    Enyewe

  • @geoffreywangeci8472
    @geoffreywangeci84725 жыл бұрын

    I wish I would the next be the next Sankara, lest in peace father Africa

  • @fjmwkamo4819
    @fjmwkamo48195 жыл бұрын

    Safi sana RIP

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge55435 жыл бұрын

    😭😭😭😭r.i.p sankala mungu akupumzishe kwa amani

  • @shidamashauri7582

    @shidamashauri7582

    5 жыл бұрын

    Mamb

  • @razackmwandonje7201

    @razackmwandonje7201

    5 жыл бұрын

    Sure b

  • @selector728

    @selector728

    5 жыл бұрын

    sio sankala ni sankara

  • @cyrus6433
    @cyrus64335 жыл бұрын

    RIP my hero forever.

  • @jojogalleriaphotography7786
    @jojogalleriaphotography77862 жыл бұрын

    Aluta continua!!! Shujaaaa Sankara Kiongozi Hero4Life. Mtangazaji Asante Historia ya Sankara Imenitia Nguvu Sana Natamani Africa ipate Kiongozi kama Sankara Live Long Burkina Faso.

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61775 жыл бұрын

    Mungu akulaze mahala pema peponi magufuri wa bukinafaso thomas sankara

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo1875 жыл бұрын

    Mmmh alikuwa vizuri sana

  • @ubwayassini5443
    @ubwayassini54435 жыл бұрын

    Safi

  • @faridasabu8946
    @faridasabu89465 жыл бұрын

    Safi sana histori yake!rip sankara

  • @savioponera7886
    @savioponera78863 жыл бұрын

    Hakika ww mtangazaji uko vizur xana Kwa kazi yako hakika mungu akupe maisha malefu AMENI

  • @alimaumba5351
    @alimaumba53515 жыл бұрын

    Umeongea point bro tangu uhuru tunakopa mpaka leo tunakopeshwa tujiulize ,mabadiliko muhimu kwa viongozi wetu wa kiafrika ushauri tuu kwa sababu afrika tulishatawaliwa...

  • @peterkutoh3699

    @peterkutoh3699

    4 жыл бұрын

    Hata juzi May 2020...Tumekopa aise

  • @prosperpuro1712
    @prosperpuro17124 жыл бұрын

    Daaah naenjoi sana

  • @cedrickmc4283
    @cedrickmc42835 жыл бұрын

    so much love to sankara

  • @mariapatric7107
    @mariapatric71073 жыл бұрын

    RIP my true hero

  • @victorjoseph8582
    @victorjoseph85825 жыл бұрын

    Yamenitoka machozi Mungu mlaze mahali pema peponi Amin

  • @masssjasscard9147
    @masssjasscard91474 жыл бұрын

    Mtangazaji upo vizuri sana

  • @user-tb4lj6zv5p
    @user-tb4lj6zv5p5 жыл бұрын

    THOMAS SANKARA best president burkina faso has ever had / rather africa at large

  • @robgriffin361
    @robgriffin3614 жыл бұрын

    Soo sad rip

  • @silvesterandrea2815
    @silvesterandrea28155 жыл бұрын

    God bless our Africa.

  • @dalali_leonard6898

    @dalali_leonard6898

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭 R I P RAIS WA KWELI

  • @VotanVotan-gb3hd
    @VotanVotan-gb3hd10 ай бұрын

    Ahsante Kwa taarifa nzuri

  • @evanskatunzi6729
    @evanskatunzi67295 жыл бұрын

    Nimekuelewa mtangazajiii documentary yako imecmama safi sanaa

  • @agreymsemwa8021
    @agreymsemwa80215 жыл бұрын

    Kizur hakidumu Dah Rip Thomas Sankara

  • @omaryshafii50
    @omaryshafii505 жыл бұрын

    Naukumbuka ule wimbo Balisidya wenye maneno yanayosema" ni mashaka ya hangaiko wema hawana maisha" Sankara ameacha athari iliyotukuka Afrika na dunia kote ama hakika wema hauozi.. Mungu amrehemu RIP shujaa Sankara

  • @martinjohn7382
    @martinjohn73825 жыл бұрын

    A man of the people

  • @estheroscar6520
    @estheroscar65206 ай бұрын

    Mimi nimependa kijana mwenzangu uliyatoa maisha yako kwa ajili ya ichi yako safi Tomas sakara

  • @hamedmohammedjafari6114
    @hamedmohammedjafari61145 жыл бұрын

    Unaongea vzri maa shaa Allah...... Kizuri hakidumu kweli

  • @jamesmayunga5802
    @jamesmayunga58025 жыл бұрын

    hahaha et unasikia Kenya wabunge wanaongoza kwa mshahara, nimependa iyo life style ya Thomas sankala

  • @emmashmwesh5373
    @emmashmwesh5373 Жыл бұрын

    Dennis lugha yako ni yakuridhisha kweli kiswahili sanifu,napenda unavyo suka na kusukika nakara zako,,, your the best ever had history narrator in Swahili language

  • @boniphacejohn961
    @boniphacejohn9615 жыл бұрын

    Unajua kusimlia big up broo

  • @tungundanya9569
    @tungundanya95695 жыл бұрын

    Rip Thomas 🙏

  • @adensir630
    @adensir6305 жыл бұрын

    NeVeR happen..A man like him

  • @nelsonandanyi
    @nelsonandanyi5 жыл бұрын

    One of the best with Pepe of Uruguay.

  • @agayadam5511
    @agayadam55115 жыл бұрын

    Burkina Faso is my best country

  • @abubakaryally48

    @abubakaryally48

    5 жыл бұрын

    raisi aliyekataa mshahara

  • @marwachacha1524
    @marwachacha15245 жыл бұрын

    Huna hata kiwanja unaitwa meneja 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @agnessmwasanga6263
    @agnessmwasanga62635 жыл бұрын

    sir denis hongera yako,napenda sana story hizi

  • @ellynestory1611
    @ellynestory16115 жыл бұрын

    asante

  • @khalfanshahabakar7866
    @khalfanshahabakar78665 жыл бұрын

    Big up

  • @zuberykharoub6868
    @zuberykharoub68684 жыл бұрын

    Bro uko vizuri sana kwenye kutangaza👏👏

  • @kasarambajuma270
    @kasarambajuma2703 жыл бұрын

    kasalamba juma Sankara mungu wetu akurehem Ameni.

  • @geresonochieng7098
    @geresonochieng70984 жыл бұрын

    Nimeipenda sana

  • @omarabdallah8430
    @omarabdallah84305 жыл бұрын

    Daaaaaah noma kwel

  • @petermahimbo9450
    @petermahimbo94505 жыл бұрын

    Currently presidents should listern this.

  • @christopherowino1816
    @christopherowino18165 жыл бұрын

    Globol TV mubarikiwe zaidi ya wote, kwa historian yenyu nzuri sana

  • @timothzullu4665
    @timothzullu4665 Жыл бұрын

    Jamaa unajuw sema BIG UP

  • @mariammwaniki3464
    @mariammwaniki34645 жыл бұрын

    More History 😘😘😘😘🇰🇪🇰🇪🇰🇪