MUGABE: Rais Aliyepania Kuwakomesha WAZUNGU Wakakoma Watu Wake!
MUGABE: Rais Aliyepania Kuwakomesha WAZUNGU Wakakoma Watu Wake!
Ukisikia watu wanasema tuko nyuma yako 'be careful' maana ukigeuka unaweza usiwakute. Hii nimeiona 'live' kwa Robert Mugabe pale alipojitoa muhanga kuwakwida mabeberu kwa maslahi ya Afrika, wakaumia wananchi wake kwa vikwazo vya uchumi na diplomasia, viongozi wa Afrika wakamtelekeza, leo hii amekufa viongozi wanashindana kumsifia Mugabe kwa mbwembwe na mikogo kwa sababu marehemu hatukanwi. Haya ndiyo maajabu makuu ya viongozi wa Afrika!
Tatizo la Afrika ukiwa kiongozi mzuri ni sawa na kuchagua kifo, wasipokuua basi watakukwamisha kama walivyomkwamisha Nyerere na ujamaa wake, Mandela na msahama wake, Kaunda na suti zake na Mugabe na misimamo yake.
#historiayamugabe
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos Here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos Here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.TZ Facebook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App:
Пікірлер: 275
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi mzee
@eddyfrank6333
3 жыл бұрын
0000p
Daa wewe jamaa unaweza sanaa kazi hii,,, hongera
Na mimi niwekee li love ♥️♥️ bro Ananias edga we ni mwamba tu
I love this. Please tuhadithie kuhusu Ukombozi wa Kenya na Mau Mau
@dezfaste3654
3 жыл бұрын
😅😅😅
Pamoja Sana Ananias Edger ❤️
Umepata saut inayo sikika broo na kwa bahat nzur zaid unajua kuitumia... Hongera sna kaka
@gosbertrwezahura3645
3 жыл бұрын
Yuko sawa kabisa.
Ananiasi edga we kidume kabisa unaelimu yahali yajuu kabisa kwa simulizi za history big up.
Gonga like twende sawa Lakini tufanyie ya E.Patrice.Lumumba
@josephmbele6892
4 жыл бұрын
Bob Rama Phyno tayari mbona
Hupo vizuri ktk utangazaji,daah mwisho wa habari unakura dili LA matangazo"unatisha"
He was a good leader ..he removed the colonialist away from the country ...and let the people of Africa to be happy...we thank God for giving the Africa the leader who we will never forget him as he helped the Africa against colonialist ....rest in peace Robert Mugabe may God be with you amen😥😥
Daah we jamaa upo vizuri,kwenye kuhadithia tu??.......umetisha
Interesting! listening from Kenya my lovely country kumbe my favourite politician Raila betrayed mugabe? didn't know very educating story big up bro
@Bigboy-nx3nc
4 жыл бұрын
Big Bossman Bossman sad but he did
Nampenda sana unavyodadavua Taarifa zako hongra sana
a very fantastic and true representation
Mungu abariki afrika
Umehadithia vizuri sana ,good
_nakukubali sana kaka_
Kumbe Mugabe siyo rais wa kwanza wa Zimbabwe...!
Safi sana broo
Ahsante Anania edga nakpenda sana ndg yng habar ni njema mno
Alikua kidume kweli. R. I. P mugabe
@enosnunduvenasmlala5665
4 жыл бұрын
Mambo
@sadokihongoli984
4 жыл бұрын
hi
@HassanHassan-sr3fq
4 жыл бұрын
Nitafute asiah .Niko zenji
@ashurayusuph4032
3 жыл бұрын
Hi
We jamaa nuksi, sana unaijulia ikitu
asante Edigar iyi nilikua nai subiriya kwa hamu asante sana
Tunashukuru sana Mr Denis mpagaze na Ananias Edgar, ongera sana!
Brazza Ananias huu mziki unaitwaje ninautaka
Amani Hakika vita umepigana komredi Mugabe. Pumzika kwa amai
Big brooo gonga cheers🥂
Majitu yanamsifia msimuliaji badala ya kujikita kwenye mada husiku na kutoa maoni yao.watu wa hii nchi bna!
Juu Sana bro
Simulizi imempata msimuliaji.
@malcomg1004
4 жыл бұрын
Hahahaa
@issamwakilembe9606
4 жыл бұрын
Juma Michael kakololo
@samsonhaule3647
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
Nakubali sana kaka
Nimeipenda hii👏
Yan ananias uwaga narudia historia zake kma nyimbo bila kujali MB zangu uyuu jamaa katishaaa
@Suleimansalum
4 жыл бұрын
nyengine huwa nafanya kama kichombezo cha usingizi hatari sana
@adamjuma1643
3 жыл бұрын
@@Suleimansalum mtiga unamuacha wapi
Powa nimekuelewa sana
nakukubali
Big up bro
Hongera sana kaka kwa kaz nzr
Afrika kwanza, sema waafrika sisi ni wadumwa wa afrika ndyo maana ukiwa kiongozi bora kwanza wananchi wako watakupinga.
@gosbertrwezahura3645
3 жыл бұрын
Mfano mzuri sana ni Rais Magufuli.
Sina chakukupa bro Ila nikuombee Afya njema kila wakati
Hahaha.. Simulizi inaisha huku bado masikio yanahamu kusikia... Barikiwa Sana...
Daaah kweli Kaka
Kkk watu tunachati sana sio siri
Bro dah respect sana yani ivi much appreciated for you
Endeleleeni vivyo hivyo na kazi nzuri.
Noma sana simulizi hizi tamu sana
Mpagaze hatarii voice
Nzuri unapovyoisoma... Na ndio maana Africa titaishi nyuma... Viongozi wetu ni kama walirogwa na kundanganywa na wazungu
Hakika tuna utumwa was fikra, misimamo ya watawala tuliowapa kura,zinatutesa masikini!!
Good 🔥🔥
Yani wewe mtangazaji ukiwaunatanga atakama nilikua na mawazo yanaondoka
MZEE MZIMA. WE MISS YOU. RIP
Safi sanaaa
Comrade Mugabe ni aina ya viongozi tunaowahitaji Africa na bahati mbaya sana Kuna wapumbavu wengi tu tunashiriki kuwapigia Vita na kuungana na Mzungu.
Et mchungaji alizinguaaa nakupenda sana et
Ujumbe mzito Sana kaka
Nakubaliana nawe kabisa brother
Africa mungu azidi kuibariki na kuilinda
Unasimulia na kuelimisha kwa maneno makali na matamu, thanks
Biggest fan bro big up
Dah Majembe ya Africa yanaondoka hivyo lkn Mungu ni mwema yanakuja majembe mengine kama mh magufuli yanaendeleza misimamo na kukataa ufisadi dhuluma na rushwa na kupigania wanyonge na kuleta maendeleo chanya Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania
Nakubali kaka
Hahaha,aisee umesema kweli.Waafrika jamani tufunguke macho.Tuache ku salitiana.
@matelavoleth7850
4 жыл бұрын
Herald Loshi
@heraldloshi1864
4 жыл бұрын
@Matela Voleth👍🏾👍🏾🙏🙏
Great Vid
upo sawa kaka ila hapo kwa raila odinga sikupaelewa
From 🇧🇮 Saudia Asnt kak
Ediga Wewe ni msomaji mzuri Sana Sana, siwezi acha kusoma makala zako. pia mpagaze ni muandaaji mzuri Sana wa Habari.
Nakukubari sana
great story
Asante anas
pongez kwako ananias ,umeonesha maana ya kuwa mbunifu unatumia ulichopewa
@stevenleonard5285
4 жыл бұрын
Yani jamaa hana mpizani kwakweri anasimlia vzr sana
History nzuri tuletee history ya abeid amani karume Alie kuwa rais wa Zanzibar
@tareeq6744
4 жыл бұрын
Mbona ipo tayari
I like it
Uko vizir sana
Upo vizuri baba. Mpaka GNM unasimulia
Aisee
You are the King
Good
nice
Very interesting
Safi sana
Unasauti nzuri sana American tunakufata sana bro
Sauti yako hunivuta saana, #Ananias Edgar
Liko good sana
73/33 mmmmh sio mbaya kumbe mama wtoto wng hajazaliwa 💥💥🙏🙏😁😎
Good job
Hatari. Historia ya pili ya Mugabe na bado ina sisimua kutoka kwenu. Loo! Mna kipawa kikubwa mno. Hongera kwenu wote mkiwa watatu.
Diamond
Nice work
mpagaze ukojuuu👏🏻🇹🇿
Kamanda nimependa jinsi unavyoiangalia picha. Ni werevu wachache wanaojua kuangalia mambo kwa namna yako Karibu chamani.
Atarii sana
Safi sana yaani
Historia nzuri
Ukisikia watu wako nyuma be careful unaweza geuka nyuma usiwakute dah bonge moja ya neno asee muugabe my hero na maneno ya kishatoka hayarudishiki mdomoni
Huyu Edgar namkumbali sana
Simuliz ya Nyelere
Respect bro
Misimamo ni hatari Sana Tanzania nayo inaelekea
we are here
Nakubar