HISTORIA YA KAGAME / RAIS ALIYEITOA RWANDA MACHINJIONI!

HISTORIA YA KAGAME / RAIS ALIYEITOA RWANDA MACHINJIONI!
Kagame alizaliwa RWANDA, akakulia ukimbizini, akatembelea kucha, akaonja adha ya kuwa mkimbizi, akaapa kurudi kwao, na kweli akarudi kwa mtutu wa bunduki kumaliza dhambi ya ukabila.
Unaijua kuituliza Rwanda haikuwa kazi ya kitoto maana wameuana kwa muda mrefu sana hawa jamaa kwasababu ya dhambi ya ukabila iliyopandikizwa na wakoloni kwa jina la divide and rule.
#PAULKAGAME
kzread.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 840

  • @yasinimasimba8829
    @yasinimasimba88295 жыл бұрын

    kama huyu mtangazaji unamkubali na unakubali kazi yake gonga like

  • @hassanwanje7373

    @hassanwanje7373

    5 жыл бұрын

    Namkubal tena sna

  • @mwitamagesa1034

    @mwitamagesa1034

    5 жыл бұрын

    Namkubali mshikaji kinoma

  • @alphanndimubandi7882

    @alphanndimubandi7882

    5 жыл бұрын

    Yasini Masimba kabisa

  • @valentineshirima1628

    @valentineshirima1628

    4 жыл бұрын

    Raisi kagame nimwanaume mwanaueme shupavu kaipigania nchi yakeh hatakae mpinga hanahakili mungu hambariki

  • @chifupromise9575

    @chifupromise9575

    4 жыл бұрын

    @@hassanwanje7373 n..

  • @vailetmduda6085
    @vailetmduda60855 жыл бұрын

    Nampenda Sana Rais Paul Kagame,Kwa kuleta Amani Rwanda hakika, Sasa hivi watu wanaishi pamoja,Kuna mashule mazuri,Nchi safi..Amani hainunuliwi jamani hongera,hongera sana Kagame.Mungu aendelee kukupigania

  • @yusufally6853

    @yusufally6853

    4 жыл бұрын

    Vailet Mduda ...amina

  • @ngendabamy5549

    @ngendabamy5549

    4 жыл бұрын

    Respect Mr President Kagame,tunakupenda sane

  • @sarahogama9540

    @sarahogama9540

    4 жыл бұрын

    @Kungfu Panda but he saved his country from being ruled by white pple ,,,can u try to compare Rwanda wth other African countries there is a big different

  • @mahonamachela200
    @mahonamachela2004 жыл бұрын

    Mtangazaji uko vizuri Sana wanangu eeeeeee! Tugonge like hapa

  • @justinenvimbe8617

    @justinenvimbe8617

    4 жыл бұрын

    Iyo nimeierewa BBB gapu sana

  • @justinenvimbe8617

    @justinenvimbe8617

    4 жыл бұрын

    Iyo nimeierewa BBB gapu sana

  • @josephkusekwa7399

    @josephkusekwa7399

    4 жыл бұрын

    Kaka Safi sana

  • @josephkusekwa7399

    @josephkusekwa7399

    4 жыл бұрын

    Mtangazaji Mami napenda niwe Kama wewe

  • @jumarashidijumaramdhan6762

    @jumarashidijumaramdhan6762

    3 жыл бұрын

    @@justinenvimbe8617 umetisha

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Asante san ndugu kwa histolia zako nzuri mwenyez MUNGU akuzidishie ubunifu mkubwa zaidi

  • @patrickmwemezipastory5752

    @patrickmwemezipastory5752

    3 жыл бұрын

    Nimekukubali kwa historia

  • @jumamakuri3218
    @jumamakuri32185 жыл бұрын

    Uko sawa kaka! Huna longolongo, una-hit points tu.

  • @aminajamali9930

    @aminajamali9930

    4 жыл бұрын

    I

  • @hajimansab2696

    @hajimansab2696

    4 жыл бұрын

    @@aminajamali9930 8

  • @nasiburashidi7729
    @nasiburashidi77295 жыл бұрын

    Napenda Sana stor zako zinanikumbusha mbali japo sijaviona ninapochoka nasikiliza nakunifariji

  • @nehemiedesire9188
    @nehemiedesire91885 жыл бұрын

    Nice my president 🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @mohamedalinureini4724

    @mohamedalinureini4724

    4 жыл бұрын

    '

  • @wanostra171
    @wanostra1715 жыл бұрын

    Nakupenda sana kijana

  • @alexmurithi1327
    @alexmurithi13274 жыл бұрын

    The people of Rwanda truly knows what they need. Iñ Africa you cannot make a mistake of replacing such a president with another just for democratic change. This is a rare asset in Africa and Rwandase should give him more years in Office.

  • @amosmunezero9958
    @amosmunezero99583 жыл бұрын

    As Burundian, I salute what President Kagame has done, how can Africans unite, if we cant even treat our neighbors fairly, still have tribalism and clan revelry. The rule of law in Rwanda is credible and impressive, I have never felt safer in any other African country before.

  • @gemkachar
    @gemkachar5 жыл бұрын

    Hongera sana kaka. Mafunzo mazuri. Tusipo jifunza historia yetu tutabaki kuwa wajinga na kurudia makosa ya waliotutangulia. Naomba utuletee simulizi ya Pik Botha na Fredereick De Klerk wa Afrika Kusini , John Garang wa Sudan Kusini , Jomo Kenyatta wa Kenya , King Mswati wa Swazi Land.

  • @mhengamkweli3552

    @mhengamkweli3552

    4 жыл бұрын

    Zanzibar yetu

  • @amiryhemed9029

    @amiryhemed9029

    4 жыл бұрын

    Kagame nibabu kubwa

  • @linosjohn9020
    @linosjohn90205 жыл бұрын

    simulizi zako nzuri sana Naomba utupe historia ya dola ya Amerka ( asante)

  • @bluebeamkennel9266

    @bluebeamkennel9266

    5 жыл бұрын

    Nami naisubir sana sana

  • @lutamichael6161

    @lutamichael6161

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @godfreykimanga8637
    @godfreykimanga86374 жыл бұрын

    Mpanazi,umejitaidi kujaribu kueleza histori ya Kagame,lakini acha unafiki wa kuficha ukweli,eleza watu wajue nani alidungua ndege ya Rais Havyarimana.

  • @godwinimbadame6798

    @godwinimbadame6798

    4 жыл бұрын

    itakuwa makala nayo atufanyie

  • @davidmoshi9603

    @davidmoshi9603

    4 жыл бұрын

    Kagame ndo alitungua tena kabla haijashuka uwanja wa dsm hapo

  • @davidmoshi9603

    @davidmoshi9603

    4 жыл бұрын

    Kagame ndo alitungua tena kabla haijashuka uwanja wa dsm hapo

  • @dicksonfocus
    @dicksonfocus5 жыл бұрын

    kazi nzur

  • @jemahaonga727
    @jemahaonga7274 жыл бұрын

    Msimulizi unajua kunikosha aisee unajua kuchambua mambo na usimulizi wako unaeleweka thanx hongera

  • @mohameda.i.baranyikwa6551
    @mohameda.i.baranyikwa65515 жыл бұрын

    Masha Allah, ndugu Mpagaze ni professional kabisaa; Ananias sauti yako huniosha moyo. Ahsanteni kwa kutupeperushia ukweli halisi kuhusu historia ya Rwanda pasipo na upendeleo. Hakika Mheshimiwa Paul Kagama ni Mzalendo pia Shuja kwa Africa na ulimwengu kwa ujumla. Ndugu Ananias au Mpagaze tafadhali wasilianeni nami kwenye: mzalendo3@gmail.com au whatsApp: +1 587-437-4419

  • @msodokidewizzy8802

    @msodokidewizzy8802

    4 жыл бұрын

    Kitabu nataka

  • @bensonmranga1067
    @bensonmranga10674 жыл бұрын

    Mimi nimefatilia Historia vile unaelezea Bro,Hadi mke wangu ananitetesha juu Hukataa kula chakula cha usiku kwa ajili Ya Hadithi Zako Big up bro🤣🤣🤗

  • @eddiezunda1066
    @eddiezunda10665 жыл бұрын

    du wewe ni noma umenifunza mengi ambayo ckuyajua

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa39884 жыл бұрын

    Hongera kwa sauti nzuri

  • @reinampona69
    @reinampona694 жыл бұрын

    Kama kuoga ni usafi taulo lisingechafuka. Uwezi kumrizisha kila mtu.aliofanya kagame anastaili kwanafasi yake .

  • @imagepower3641
    @imagepower36415 жыл бұрын

    unaweza sana naomba story ya kina juu ya vita ya pili ya dunia

  • @alhajkhatib5597
    @alhajkhatib55975 жыл бұрын

    unafaa kua msemaji wa sarikali wewe uko vizuri

  • @peternichoraus5983

    @peternichoraus5983

    4 жыл бұрын

    Mmmmh serikali gan

  • @juniorolumu514

    @juniorolumu514

    4 жыл бұрын

    Niko sawa

  • @eddymwalagho354
    @eddymwalagho3545 жыл бұрын

    Kazi sana Kakangu. 🇰🇪 tunasikiliza simulizi zako.

  • @johnjuda9539

    @johnjuda9539

    4 жыл бұрын

    mayanga bukelebe that is the new constitution befor rwanda and african country between nyerere and poul kagame in 1992 up 1964

  • @hassankisondo9786
    @hassankisondo97864 жыл бұрын

    Nakukubali sana bro na simulizi zako.

  • @gasparmpangaa8329
    @gasparmpangaa83295 жыл бұрын

    Hapo sawa maana nirikua sijasikiriza kabisa Nice stor

  • @Ivugangingo
    @Ivugangingo5 жыл бұрын

    Rwanda to the world!

  • @nguyumohamednguyu4739

    @nguyumohamednguyu4739

    4 жыл бұрын

    Ivugangingo Tv rayivavi

  • @nguyumohamednguyu4739

    @nguyumohamednguyu4739

    4 жыл бұрын

    Raivani

  • @gasanamugaga7600

    @gasanamugaga7600

    4 жыл бұрын

    Asnte sana kagame ni shujaa kbs

  • @basskigltd
    @basskigltd4 жыл бұрын

    documentary ya historian nzuri, hongera baba, mungu akulinde kagame, mungu alinde inchii yetu

  • @irasubizajoseph7020

    @irasubizajoseph7020

    4 жыл бұрын

    Wa africa wengi niwajinga kwani wanahesabu miaka viongizi wanaongozi nchi kuriko kuona vitendo vizuli vyao. Gdafi aliuawa nawazungu kurokana nakutoshilikiana kwa wa Africa eti ana mariza myaka mingi sana sasahivi tunajuta

  • @abdiibrahim4191

    @abdiibrahim4191

    4 жыл бұрын

    G

  • @abdiibrahim4191

    @abdiibrahim4191

    4 жыл бұрын

    @@irasubizajoseph7020 k

  • @bezzy5829
    @bezzy58294 жыл бұрын

    jamaani kilamtu anakipaji chakee kama nawewe unakipaji gonga like nioner

  • @frankkabebe8624

    @frankkabebe8624

    4 жыл бұрын

    I

  • @yohanabalthazary4922
    @yohanabalthazary49224 жыл бұрын

    Nzuri sana hiyo history

  • @bellyjames9035
    @bellyjames90355 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Rais wa Rwanda Poul Kagame,Imana uguwe umjisha c'ane

  • @manswerturasa5686

    @manswerturasa5686

    4 жыл бұрын

    chosi LA kimari.

  • @osiajeston9555

    @osiajeston9555

    4 жыл бұрын

    Belly James six

  • @roosevantlogani6800

    @roosevantlogani6800

    4 жыл бұрын

    Waooo

  • @estheremmanuel3283

    @estheremmanuel3283

    4 жыл бұрын

    Amena

  • @immavox8484

    @immavox8484

    4 жыл бұрын

    Hi

  • @beesmarttv3792
    @beesmarttv37925 жыл бұрын

    Dahh! ! Bro nakukubal sana kwa hiz story zako hongera sana brother

  • @Rwanda600
    @Rwanda6005 жыл бұрын

    Edgar wewe nimtaraam kabisa unaereza historia kuzidi mwenyeji. Big up ! Imeni motivate kukufuata kira mara ujitowa Habari. 6/5 Big up!

  • @ezekielihenga7264

    @ezekielihenga7264

    4 жыл бұрын

    Itawasaidia Wa Afrika kujitambua kuto kutumiwa na wazungu.

  • @josej9888
    @josej98885 жыл бұрын

    Daaha!! Ukabila, Ahsante sana mwl.Nyerere kwa kutuepusha na ukabira, Rest in pease.

  • @rosemarycharles6477

    @rosemarycharles6477

    4 жыл бұрын

    Nyarwanda wote pendaneni acheni ushenzi wenu wa kubaguana kuweni wamoja

  • @andrewmatuta3192

    @andrewmatuta3192

    4 жыл бұрын

    Kagame safi

  • @alfredadriano4566

    @alfredadriano4566

    4 жыл бұрын

    Well done kagame

  • @immanuelswai6679

    @immanuelswai6679

    4 жыл бұрын

    Nani kakwambia nyerere aliondowa ukabilaa!!

  • @darkstar2326

    @darkstar2326

    4 жыл бұрын

    Hiyo ni rest in peace Au rest in please ......dooo kwel tamaduni zisizotuhusu nouma sana

  • @prochesandrea6597
    @prochesandrea65974 жыл бұрын

    Nmeipenda sana brother

  • @allygungu7109
    @allygungu71094 жыл бұрын

    Pamoja xana, nimekukubali yan

  • @nestanarcisserutagengwa3470
    @nestanarcisserutagengwa34705 жыл бұрын

    Namushkuru sana huu mtangazaji, yaan umejitahid kusoma magazeti, vitabu na ku watch documentaries kuhusu history ya Rwanda, hongera sana kaka. Ila kuna tu tofauti tudogo tu. So tembelea Rwanda sasa uoni machini mwako kinachoendelea on the ground. Ukija uni check tuzungmuze na tupeane mambo bhana. Ahsante

  • @linkreuben5804
    @linkreuben58044 жыл бұрын

    Msimuliaji bora kabisa, songa mbele zaidi. Kagame yupo vizuri sana! Mungu ibariki Africa, Ameni!

  • @yembaonosumba2429

    @yembaonosumba2429

    4 жыл бұрын

    Yani uyuko smart sana kagame ameerimika pia ninjanja mwenye amenyoosha inchi imekuwa imezoofika arakini kwasasa ivi iko on Top

  • @juliustweve4870
    @juliustweve48705 жыл бұрын

    Ukitaka kuielewa hii story,andika chozi la kimbary rwanda,ndio utaielewa vizuri

  • @patricalton3940

    @patricalton3940

    5 жыл бұрын

    Ndio,yule Dullah alielezea kwa kirefu sana

  • @rashidhassankadege1455

    @rashidhassankadege1455

    5 жыл бұрын

    Patric Alton dula katumia zaidi ya dakika 100 kulielezea chozi LA kimbali noma sana

  • @idrissamussa6529

    @idrissamussa6529

    5 жыл бұрын

    Yes,yule jamaa wa IKUMBUKWE TV ameielezea kwa undani sana jamaa big up kwake..

  • @sabasimwete3139

    @sabasimwete3139

    4 жыл бұрын

    Sawa nakutakia jmanne njema kagame wewe chapa kazi

  • @sabasimwete3139

    @sabasimwete3139

    4 жыл бұрын

    By sabasi mwete Kama ww ungekuwa kagame ungefanyeje?.

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz7034 жыл бұрын

    Hapo kwenye 'Good for Nothing' umenifanya nifikirie zaidi. Ila ahsante kwa historia Denis pamoja na Ananius.

  • @elvismapendo3999
    @elvismapendo39994 жыл бұрын

    Félicitations à la personne qui nous rappelle l'histoire de notre pays, bravo 👊piga chance

  • @ribesonara636
    @ribesonara6365 жыл бұрын

    God bless you guys

  • @zachariahezlon1288

    @zachariahezlon1288

    4 жыл бұрын

    Ribe Sonara Mimi hapana kabisa

  • @adamkamwakajulius6817
    @adamkamwakajulius68175 жыл бұрын

    Hiko vzr lkn ujaingia ndani.......Habib Anga Ameandika Deep Chozi la Kimbary

  • @ntagaladismas3511

    @ntagaladismas3511

    4 жыл бұрын

    Andika yako kama ulijua iko deep mbona hujaandika?

  • @petermponzi411
    @petermponzi4115 жыл бұрын

    Well done

  • @mohameda.i.baranyikwa6551
    @mohameda.i.baranyikwa65514 жыл бұрын

    A LUTA CONTINUA! Mimi naona Ndugu ANANIAS EDGAR na DENIS MPAGAZE watafute watangazaji wazuri kama wao kutoka kila pembe la Afrika halafu tuwe na Radio/TV enye nguvu kwa Africa nzima; Hivyo tutaachana na Radio/TV za ma beberu ambazo zazidi kuididimiza na kui kejeri Afrika (BBC, VOA, RFI, Sauti ya Ugerumani na kadhalika)

  • @mosestanzania2096
    @mosestanzania20965 жыл бұрын

    Nakubali kaka

  • @bonjouronlinetv2206
    @bonjouronlinetv22065 жыл бұрын

    story nzuri lakin magazet sasahiv yamekua ya uongo, mpaka kichwa cha habari wanaandika habari tofauti na habari yenyew

  • @johnnasunga55
    @johnnasunga555 жыл бұрын

    Mr Edgar thx alot bro tunakufatiria na tutazidi maana ulivyo fafanua hii story ya Rwanda Na operation ya Entebe uko Poa kabisa Big up Bro

  • @Ali_Manzu
    @Ali_Manzu5 жыл бұрын

    Hii kali. Asanteni sana Global kwa makala aina hii yanayoendelea kutufunza sisi wanafunzi wa kizazi cha leo kuhusu historia mbalimbali ya Uongozi,viongozi, mataifa, sera na kadhalika. Najifunza mengi kwa sababu yenu.

  • @mhavilesukari2708
    @mhavilesukari27085 жыл бұрын

    Ananias Edgar,,,,,, unafanya kazi nzuri bro

  • @paulkisatulusana1142
    @paulkisatulusana11424 жыл бұрын

    Viva kagame

  • @saidichelsea4115
    @saidichelsea41155 жыл бұрын

    Uyo ni baba wa taifa ya rwanda ana jenga ichi hakuna ujinga kbs

  • @isihakasabihi1869
    @isihakasabihi18695 жыл бұрын

    Like tafadhali kama unamkubali huyu jamaa

  • @bensonlazaro2351

    @bensonlazaro2351

    4 жыл бұрын

    Sanaaaaa

  • @hemssaidyhenrymusangwa5637
    @hemssaidyhenrymusangwa56374 жыл бұрын

    U only one guy who knows very well about the world 🗺 history

  • @arnoldisdory2420

    @arnoldisdory2420

    4 жыл бұрын

    Who? that

  • @lofisikarunga1496
    @lofisikarunga14964 жыл бұрын

    Hapo bro umekosea sana,kagame ndiye aliyeiingiza Rwanda machinjoni kwa kumuuwa Raisi AVYARIMANA mhutu na ndipo Wahutu wakakasirika.Wangekuwia baba ungefanyaje kwa wale waliokuuwia?

  • @therwandannoble2034

    @therwandannoble2034

    4 жыл бұрын

    Lofisi Karunga Wewe fara kabisa. Ati Havyarimana ni baba wa Wahutu ? Uko mjinga saana. Raisi ye yote yule sio baba wa kabila fulani, bali Raisi ni baba wa INCHI.

  • @ngulithemanhimself9410
    @ngulithemanhimself94105 жыл бұрын

    Asante

  • @abuuaymankhudhaifa7981
    @abuuaymankhudhaifa79814 жыл бұрын

    Wanangu wa Tabara boyz like mingi.

  • @karengaalidiano961
    @karengaalidiano9614 жыл бұрын

    Storry nzri kbs mbn kwet hakun ukabila jmn

  • @ngaruchu1730
    @ngaruchu17304 жыл бұрын

    Mungu akulinde na akilinde kipanji chako, napenda uzimulizi wako sana

  • @babubomba8868
    @babubomba88685 жыл бұрын

    Hongera sana uko vizuri sana Nitafutie historia full ya Rwanda

  • @yasinisaidi74

    @yasinisaidi74

    4 жыл бұрын

    Bakari bakari gambagamba Rwanda

  • @magdalenarusimbi1438
    @magdalenarusimbi14384 жыл бұрын

    Kagame ni baba wa Taifa hilo. Mungu ambariki sana.

  • @brokenigga2842
    @brokenigga28425 жыл бұрын

    601 to view😉

  • @abasibogga4798
    @abasibogga47985 жыл бұрын

    kweli AFRIKA ni moja

  • @mwitimunene2344
    @mwitimunene23445 жыл бұрын

    Edgar. ..msimulizi hodari. .sauti nzuri yenye mvuto

  • @ramadhancharles6517

    @ramadhancharles6517

    4 жыл бұрын

    hivi huyo mtangaz anaitw nan

  • @amaninjau7690

    @amaninjau7690

    4 жыл бұрын

    Duuu kagamee

  • @jamesmwita1758

    @jamesmwita1758

    4 жыл бұрын

    mwiti munene

  • @jamesmwita1758

    @jamesmwita1758

    4 жыл бұрын

    mwiti munene

  • @franckkangeta8295

    @franckkangeta8295

    4 жыл бұрын

    Haujui historia ya Rwanda kaka

  • @chazylben7711
    @chazylben77115 жыл бұрын

    Hapo ndo nimeelewa kwann Mwl Nyerere aliuchukia ukabila.......

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel11795 жыл бұрын

    A good Leader is a leader who create another leader who can create a leader but if he don't then he is not a good leader. Think about if he perished right now whom do you think can leader the country? Think big, Think twice! Good day

  • @hassanovajunior6972

    @hassanovajunior6972

    5 жыл бұрын

    So do you think mr kagame has no replacement in future? Meehn wait and see

  • @therwandannoble2034

    @therwandannoble2034

    5 жыл бұрын

    Moses Samwel You don't know what you're talking about.

  • @emmanuelmongela4787
    @emmanuelmongela47875 жыл бұрын

    Hii stori imenifanya nilie maana Hadi Leo nakumbuka ndugu zangu

  • @neemalkiswaga6126

    @neemalkiswaga6126

    4 жыл бұрын

    Pole

  • @denismsigwa4760

    @denismsigwa4760

    4 жыл бұрын

    Emmanuel Mongela pole sana ndugu

  • @evancekimalando7769

    @evancekimalando7769

    4 жыл бұрын

    Wewe unatujuza mambo makuu mno.keep it up na Mungu akubariki na kukulinda.

  • @jahmanasakwe9530
    @jahmanasakwe95304 жыл бұрын

    Ni ukwel usio pingika sasa Rwanda ipo vizuri.. Mwanaharakat Rais P kagame kaweka usawa na kuzimisha ukabila sasa tunajiita wanyarwanda.. blessed Kagame Jah protect your.. Amani na upendo vidumu milele Mungu ibarki Afrika ❤️💛💚

  • @feruzimarijani3644

    @feruzimarijani3644

    4 жыл бұрын

    haaa kweri Kaka unatisha

  • @yohanamaduhu4289
    @yohanamaduhu42894 жыл бұрын

    wewe kaka kabira gn umekosea kusema wasukuma wanashidana kupamba baisikel zao wakat wanaongoza nchi

  • @paulomziray3527

    @paulomziray3527

    4 жыл бұрын

    Hapo kakosea

  • @immamanyogote2770

    @immamanyogote2770

    4 жыл бұрын

    Unakwama wap mxukuma gani anaeongoza inchi? ??

  • @cizandayishimiye1696
    @cizandayishimiye16964 жыл бұрын

    Mtangazaji nakukubali kila mara kwa kweli from @essianmuscles

  • @johniklend301

    @johniklend301

    4 жыл бұрын

    good stori

  • @mohamediathumani9823
    @mohamediathumani98234 жыл бұрын

    Kaka unawezaaa

  • @liberatuthandrew6257
    @liberatuthandrew62575 жыл бұрын

    Apoa saw a sasa

  • @gustavemandela1241
    @gustavemandela12414 жыл бұрын

    Thanks your works are really great

  • @johnsamweli3870
    @johnsamweli38704 жыл бұрын

    Ukabila hauna nafasi katika nchi yetu maana ni chanzo cha mgawanyiko asante mungu asante nyerere

  • @nehemiedesire9188
    @nehemiedesire91884 жыл бұрын

    Tutafutiye historiya ya Watusi wa Congo banyamurenge

  • @jaquelineirakoze758

    @jaquelineirakoze758

    4 жыл бұрын

    Umeonaee👌👌👌

  • @victoriniriziki4236
    @victoriniriziki42364 жыл бұрын

    Kwa nini utumie maneno "mlnzi wa kimasai?" Huoni kwamba unafikiri Walinzi wote ni Eamasai?

  • @ngoympekotv3114

    @ngoympekotv3114

    4 жыл бұрын

    Victorini Riziki Asante

  • @kachukaimu9987
    @kachukaimu99874 жыл бұрын

    Asante kaka kwa story .. hongera kaka zidisha bidiii 100%

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume62805 жыл бұрын

    mtangazi uko vizur saana historia inaenda powa zaid

  • @rwegasilamwijage9116

    @rwegasilamwijage9116

    4 жыл бұрын

    Kaka upo powa mpaka sio powa wengi tunapata mengi kupitia ww

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga81505 жыл бұрын

    sijawai kuacha kusikiliza story zako😉😉

  • @aureliaboniphace2119

    @aureliaboniphace2119

    4 жыл бұрын

    Ukopoa sanaaaa

  • @josephatkashendwa1177
    @josephatkashendwa11774 жыл бұрын

    Bro I like your notation that stats "Dont play for nothing" As Africans do big, up my young brother from another mother.

  • @patrickmfundili3392

    @patrickmfundili3392

    4 жыл бұрын

    Noma

  • @ramadhanamida9088

    @ramadhanamida9088

    4 жыл бұрын

    🙏🙏🏽

  • @charleslwabi4981

    @charleslwabi4981

    4 жыл бұрын

    L}

  • @mohamedmohamed614
    @mohamedmohamed6145 жыл бұрын

    Kagame ataendelea kubaki juu viva rwanda long life kagame;ila ukitaka kujua asiili ya watutsi ingia Google ndio utapata ukweli

  • @therwandannoble2034

    @therwandannoble2034

    5 жыл бұрын

    Joe mashariah Wewe una kichaa

  • @fastonamos5412
    @fastonamos54125 жыл бұрын

    Kama we mnyarwanda unamuamin kagame gonga like

  • @dawsonmanyama2860

    @dawsonmanyama2860

    4 жыл бұрын

    Safi sana kagame

  • @dannymussae890

    @dannymussae890

    4 жыл бұрын

    Sio kweri

  • @juliusjohnson2605
    @juliusjohnson26054 жыл бұрын

    Tunashukuru Sana kwa ujumbe wako mzurii

  • @PeterPeter-qq2oj
    @PeterPeter-qq2oj5 жыл бұрын

    Ongera broo edga

  • @chrismedard9297
    @chrismedard92975 жыл бұрын

    Asante Kwa story nzuri.. Nilizaliwa huko🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @kaisileinocent1979

    @kaisileinocent1979

    4 жыл бұрын

    Aaa, huko ndo kwetu

  • @josephginawe8083
    @josephginawe80835 жыл бұрын

    Waliosoma Kigonsera sec Tujuane hapa

  • @gabrielmasinde2047
    @gabrielmasinde20474 жыл бұрын

    Kazi nzuri Sana Kaka 👏👏

  • @gegerenne897
    @gegerenne8972 жыл бұрын

    Asante ndugu,kwa kuongelea story yetuu.ubarikiwe

  • @platnumtanya2880
    @platnumtanya28805 жыл бұрын

    naitaji kitabu plz

  • @damasmasanja5976
    @damasmasanja59764 жыл бұрын

    Kagame ni Rais wa kweli kabisa HONGERA NA MUNGU AKUBARIKI

  • @reggiekamau9865
    @reggiekamau98653 жыл бұрын

    Excellent narrator keep up

  • @Dannybahati30
    @Dannybahati304 жыл бұрын

    Tutaftie historia ya Kenyatta,,,,

  • @enosayuka905

    @enosayuka905

    4 жыл бұрын

    Danny Bahati ya kinyatta ipo tayari mbona

  • @raiswamaraishalisi8426
    @raiswamaraishalisi84265 жыл бұрын

    God bless

  • @mohamedbakari3979

    @mohamedbakari3979

    4 жыл бұрын

    Rais wamarais halisi .

  • @edgagarvis5159

    @edgagarvis5159

    4 жыл бұрын

    Uko sawa wajina history zako nazikubar kinoma noma

  • @evansombati3598
    @evansombati35984 жыл бұрын

    Napenda vile unasimulia hizi historia bana! Endelea vivyo hivyo. Hongera

  • @chiokmayol9249
    @chiokmayol92495 жыл бұрын

    Write history about south Sudan

  • @aishaomary7384
    @aishaomary73845 жыл бұрын

    Mungu akulinde Kagame

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz2335 жыл бұрын

    Second World War,,, pleeeeaaseee. Edgar

  • @robertmasatu8423
    @robertmasatu84235 жыл бұрын

    Asante Mwl, wangu Mpagaze

  • @jamesmayunga5802

    @jamesmayunga5802

    5 жыл бұрын

    ROBERT MASATU niteacher?

  • @mahamudali1453

    @mahamudali1453

    4 жыл бұрын

    Hasante kwa faseha ya kiswahili

  • @rachellebahati7512
    @rachellebahati75125 жыл бұрын

    nakupenda bure mtangazaji

  • @eliakimandaye6846

    @eliakimandaye6846

    4 жыл бұрын

    Sawa kabisa

  • @abdulradann308
    @abdulradann3085 жыл бұрын

    Ilaratu tumika feza

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid36195 жыл бұрын

    Uko vizuri braza asiekubali uwezo wako atakua na chuki zake binafsi

Келесі