HISTORIA YA KAGAME / RAIS ALIYEITOA RWANDA MACHINJIONI!
HISTORIA YA KAGAME / RAIS ALIYEITOA RWANDA MACHINJIONI!
Kagame alizaliwa RWANDA, akakulia ukimbizini, akatembelea kucha, akaonja adha ya kuwa mkimbizi, akaapa kurudi kwao, na kweli akarudi kwa mtutu wa bunduki kumaliza dhambi ya ukabila.
Unaijua kuituliza Rwanda haikuwa kazi ya kitoto maana wameuana kwa muda mrefu sana hawa jamaa kwasababu ya dhambi ya ukabila iliyopandikizwa na wakoloni kwa jina la divide and rule.
#PAULKAGAME
kzread.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 840
kama huyu mtangazaji unamkubali na unakubali kazi yake gonga like
@hassanwanje7373
5 жыл бұрын
Namkubal tena sna
@mwitamagesa1034
5 жыл бұрын
Namkubali mshikaji kinoma
@alphanndimubandi7882
5 жыл бұрын
Yasini Masimba kabisa
@valentineshirima1628
4 жыл бұрын
Raisi kagame nimwanaume mwanaueme shupavu kaipigania nchi yakeh hatakae mpinga hanahakili mungu hambariki
@chifupromise9575
4 жыл бұрын
@@hassanwanje7373 n..
Nampenda Sana Rais Paul Kagame,Kwa kuleta Amani Rwanda hakika, Sasa hivi watu wanaishi pamoja,Kuna mashule mazuri,Nchi safi..Amani hainunuliwi jamani hongera,hongera sana Kagame.Mungu aendelee kukupigania
@yusufally6853
4 жыл бұрын
Vailet Mduda ...amina
@ngendabamy5549
4 жыл бұрын
Respect Mr President Kagame,tunakupenda sane
@sarahogama9540
4 жыл бұрын
@Kungfu Panda but he saved his country from being ruled by white pple ,,,can u try to compare Rwanda wth other African countries there is a big different
Mtangazaji uko vizuri Sana wanangu eeeeeee! Tugonge like hapa
@justinenvimbe8617
4 жыл бұрын
Iyo nimeierewa BBB gapu sana
@justinenvimbe8617
4 жыл бұрын
Iyo nimeierewa BBB gapu sana
@josephkusekwa7399
4 жыл бұрын
Kaka Safi sana
@josephkusekwa7399
4 жыл бұрын
Mtangazaji Mami napenda niwe Kama wewe
@jumarashidijumaramdhan6762
3 жыл бұрын
@@justinenvimbe8617 umetisha
Asante san ndugu kwa histolia zako nzuri mwenyez MUNGU akuzidishie ubunifu mkubwa zaidi
@patrickmwemezipastory5752
3 жыл бұрын
Nimekukubali kwa historia
Uko sawa kaka! Huna longolongo, una-hit points tu.
@aminajamali9930
4 жыл бұрын
I
@hajimansab2696
4 жыл бұрын
@@aminajamali9930 8
Napenda Sana stor zako zinanikumbusha mbali japo sijaviona ninapochoka nasikiliza nakunifariji
Nice my president 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@mohamedalinureini4724
4 жыл бұрын
'
Nakupenda sana kijana
The people of Rwanda truly knows what they need. Iñ Africa you cannot make a mistake of replacing such a president with another just for democratic change. This is a rare asset in Africa and Rwandase should give him more years in Office.
As Burundian, I salute what President Kagame has done, how can Africans unite, if we cant even treat our neighbors fairly, still have tribalism and clan revelry. The rule of law in Rwanda is credible and impressive, I have never felt safer in any other African country before.
Hongera sana kaka. Mafunzo mazuri. Tusipo jifunza historia yetu tutabaki kuwa wajinga na kurudia makosa ya waliotutangulia. Naomba utuletee simulizi ya Pik Botha na Fredereick De Klerk wa Afrika Kusini , John Garang wa Sudan Kusini , Jomo Kenyatta wa Kenya , King Mswati wa Swazi Land.
@mhengamkweli3552
4 жыл бұрын
Zanzibar yetu
@amiryhemed9029
4 жыл бұрын
Kagame nibabu kubwa
simulizi zako nzuri sana Naomba utupe historia ya dola ya Amerka ( asante)
@bluebeamkennel9266
5 жыл бұрын
Nami naisubir sana sana
@lutamichael6161
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
Mpanazi,umejitaidi kujaribu kueleza histori ya Kagame,lakini acha unafiki wa kuficha ukweli,eleza watu wajue nani alidungua ndege ya Rais Havyarimana.
@godwinimbadame6798
4 жыл бұрын
itakuwa makala nayo atufanyie
@davidmoshi9603
4 жыл бұрын
Kagame ndo alitungua tena kabla haijashuka uwanja wa dsm hapo
@davidmoshi9603
4 жыл бұрын
Kagame ndo alitungua tena kabla haijashuka uwanja wa dsm hapo
kazi nzur
Msimulizi unajua kunikosha aisee unajua kuchambua mambo na usimulizi wako unaeleweka thanx hongera
Masha Allah, ndugu Mpagaze ni professional kabisaa; Ananias sauti yako huniosha moyo. Ahsanteni kwa kutupeperushia ukweli halisi kuhusu historia ya Rwanda pasipo na upendeleo. Hakika Mheshimiwa Paul Kagama ni Mzalendo pia Shuja kwa Africa na ulimwengu kwa ujumla. Ndugu Ananias au Mpagaze tafadhali wasilianeni nami kwenye: mzalendo3@gmail.com au whatsApp: +1 587-437-4419
@msodokidewizzy8802
4 жыл бұрын
Kitabu nataka
Mimi nimefatilia Historia vile unaelezea Bro,Hadi mke wangu ananitetesha juu Hukataa kula chakula cha usiku kwa ajili Ya Hadithi Zako Big up bro🤣🤣🤗
du wewe ni noma umenifunza mengi ambayo ckuyajua
Hongera kwa sauti nzuri
Kama kuoga ni usafi taulo lisingechafuka. Uwezi kumrizisha kila mtu.aliofanya kagame anastaili kwanafasi yake .
unaweza sana naomba story ya kina juu ya vita ya pili ya dunia
unafaa kua msemaji wa sarikali wewe uko vizuri
@peternichoraus5983
4 жыл бұрын
Mmmmh serikali gan
@juniorolumu514
4 жыл бұрын
Niko sawa
Kazi sana Kakangu. 🇰🇪 tunasikiliza simulizi zako.
@johnjuda9539
4 жыл бұрын
mayanga bukelebe that is the new constitution befor rwanda and african country between nyerere and poul kagame in 1992 up 1964
Nakukubali sana bro na simulizi zako.
Hapo sawa maana nirikua sijasikiriza kabisa Nice stor
Rwanda to the world!
@nguyumohamednguyu4739
4 жыл бұрын
Ivugangingo Tv rayivavi
@nguyumohamednguyu4739
4 жыл бұрын
Raivani
@gasanamugaga7600
4 жыл бұрын
Asnte sana kagame ni shujaa kbs
documentary ya historian nzuri, hongera baba, mungu akulinde kagame, mungu alinde inchii yetu
@irasubizajoseph7020
4 жыл бұрын
Wa africa wengi niwajinga kwani wanahesabu miaka viongizi wanaongozi nchi kuriko kuona vitendo vizuli vyao. Gdafi aliuawa nawazungu kurokana nakutoshilikiana kwa wa Africa eti ana mariza myaka mingi sana sasahivi tunajuta
@abdiibrahim4191
4 жыл бұрын
G
@abdiibrahim4191
4 жыл бұрын
@@irasubizajoseph7020 k
jamaani kilamtu anakipaji chakee kama nawewe unakipaji gonga like nioner
@frankkabebe8624
4 жыл бұрын
I
Nzuri sana hiyo history
Mungu akubariki sana Rais wa Rwanda Poul Kagame,Imana uguwe umjisha c'ane
@manswerturasa5686
4 жыл бұрын
chosi LA kimari.
@osiajeston9555
4 жыл бұрын
Belly James six
@roosevantlogani6800
4 жыл бұрын
Waooo
@estheremmanuel3283
4 жыл бұрын
Amena
@immavox8484
4 жыл бұрын
Hi
Dahh! ! Bro nakukubal sana kwa hiz story zako hongera sana brother
Edgar wewe nimtaraam kabisa unaereza historia kuzidi mwenyeji. Big up ! Imeni motivate kukufuata kira mara ujitowa Habari. 6/5 Big up!
@ezekielihenga7264
4 жыл бұрын
Itawasaidia Wa Afrika kujitambua kuto kutumiwa na wazungu.
Daaha!! Ukabila, Ahsante sana mwl.Nyerere kwa kutuepusha na ukabira, Rest in pease.
@rosemarycharles6477
4 жыл бұрын
Nyarwanda wote pendaneni acheni ushenzi wenu wa kubaguana kuweni wamoja
@andrewmatuta3192
4 жыл бұрын
Kagame safi
@alfredadriano4566
4 жыл бұрын
Well done kagame
@immanuelswai6679
4 жыл бұрын
Nani kakwambia nyerere aliondowa ukabilaa!!
@darkstar2326
4 жыл бұрын
Hiyo ni rest in peace Au rest in please ......dooo kwel tamaduni zisizotuhusu nouma sana
Nmeipenda sana brother
Pamoja xana, nimekukubali yan
Namushkuru sana huu mtangazaji, yaan umejitahid kusoma magazeti, vitabu na ku watch documentaries kuhusu history ya Rwanda, hongera sana kaka. Ila kuna tu tofauti tudogo tu. So tembelea Rwanda sasa uoni machini mwako kinachoendelea on the ground. Ukija uni check tuzungmuze na tupeane mambo bhana. Ahsante
Msimuliaji bora kabisa, songa mbele zaidi. Kagame yupo vizuri sana! Mungu ibariki Africa, Ameni!
@yembaonosumba2429
4 жыл бұрын
Yani uyuko smart sana kagame ameerimika pia ninjanja mwenye amenyoosha inchi imekuwa imezoofika arakini kwasasa ivi iko on Top
Ukitaka kuielewa hii story,andika chozi la kimbary rwanda,ndio utaielewa vizuri
@patricalton3940
5 жыл бұрын
Ndio,yule Dullah alielezea kwa kirefu sana
@rashidhassankadege1455
5 жыл бұрын
Patric Alton dula katumia zaidi ya dakika 100 kulielezea chozi LA kimbali noma sana
@idrissamussa6529
5 жыл бұрын
Yes,yule jamaa wa IKUMBUKWE TV ameielezea kwa undani sana jamaa big up kwake..
@sabasimwete3139
4 жыл бұрын
Sawa nakutakia jmanne njema kagame wewe chapa kazi
@sabasimwete3139
4 жыл бұрын
By sabasi mwete Kama ww ungekuwa kagame ungefanyeje?.
Hapo kwenye 'Good for Nothing' umenifanya nifikirie zaidi. Ila ahsante kwa historia Denis pamoja na Ananius.
Félicitations à la personne qui nous rappelle l'histoire de notre pays, bravo 👊piga chance
God bless you guys
@zachariahezlon1288
4 жыл бұрын
Ribe Sonara Mimi hapana kabisa
Hiko vzr lkn ujaingia ndani.......Habib Anga Ameandika Deep Chozi la Kimbary
@ntagaladismas3511
4 жыл бұрын
Andika yako kama ulijua iko deep mbona hujaandika?
Well done
A LUTA CONTINUA! Mimi naona Ndugu ANANIAS EDGAR na DENIS MPAGAZE watafute watangazaji wazuri kama wao kutoka kila pembe la Afrika halafu tuwe na Radio/TV enye nguvu kwa Africa nzima; Hivyo tutaachana na Radio/TV za ma beberu ambazo zazidi kuididimiza na kui kejeri Afrika (BBC, VOA, RFI, Sauti ya Ugerumani na kadhalika)
Nakubali kaka
story nzuri lakin magazet sasahiv yamekua ya uongo, mpaka kichwa cha habari wanaandika habari tofauti na habari yenyew
Mr Edgar thx alot bro tunakufatiria na tutazidi maana ulivyo fafanua hii story ya Rwanda Na operation ya Entebe uko Poa kabisa Big up Bro
Hii kali. Asanteni sana Global kwa makala aina hii yanayoendelea kutufunza sisi wanafunzi wa kizazi cha leo kuhusu historia mbalimbali ya Uongozi,viongozi, mataifa, sera na kadhalika. Najifunza mengi kwa sababu yenu.
Ananias Edgar,,,,,, unafanya kazi nzuri bro
Viva kagame
Uyo ni baba wa taifa ya rwanda ana jenga ichi hakuna ujinga kbs
Like tafadhali kama unamkubali huyu jamaa
@bensonlazaro2351
4 жыл бұрын
Sanaaaaa
U only one guy who knows very well about the world 🗺 history
@arnoldisdory2420
4 жыл бұрын
Who? that
Hapo bro umekosea sana,kagame ndiye aliyeiingiza Rwanda machinjoni kwa kumuuwa Raisi AVYARIMANA mhutu na ndipo Wahutu wakakasirika.Wangekuwia baba ungefanyaje kwa wale waliokuuwia?
@therwandannoble2034
4 жыл бұрын
Lofisi Karunga Wewe fara kabisa. Ati Havyarimana ni baba wa Wahutu ? Uko mjinga saana. Raisi ye yote yule sio baba wa kabila fulani, bali Raisi ni baba wa INCHI.
Asante
Wanangu wa Tabara boyz like mingi.
Storry nzri kbs mbn kwet hakun ukabila jmn
Mungu akulinde na akilinde kipanji chako, napenda uzimulizi wako sana
Hongera sana uko vizuri sana Nitafutie historia full ya Rwanda
@yasinisaidi74
4 жыл бұрын
Bakari bakari gambagamba Rwanda
Kagame ni baba wa Taifa hilo. Mungu ambariki sana.
601 to view😉
kweli AFRIKA ni moja
Edgar. ..msimulizi hodari. .sauti nzuri yenye mvuto
@ramadhancharles6517
4 жыл бұрын
hivi huyo mtangaz anaitw nan
@amaninjau7690
4 жыл бұрын
Duuu kagamee
@jamesmwita1758
4 жыл бұрын
mwiti munene
@jamesmwita1758
4 жыл бұрын
mwiti munene
@franckkangeta8295
4 жыл бұрын
Haujui historia ya Rwanda kaka
Hapo ndo nimeelewa kwann Mwl Nyerere aliuchukia ukabila.......
A good Leader is a leader who create another leader who can create a leader but if he don't then he is not a good leader. Think about if he perished right now whom do you think can leader the country? Think big, Think twice! Good day
@hassanovajunior6972
5 жыл бұрын
So do you think mr kagame has no replacement in future? Meehn wait and see
@therwandannoble2034
5 жыл бұрын
Moses Samwel You don't know what you're talking about.
Hii stori imenifanya nilie maana Hadi Leo nakumbuka ndugu zangu
@neemalkiswaga6126
4 жыл бұрын
Pole
@denismsigwa4760
4 жыл бұрын
Emmanuel Mongela pole sana ndugu
@evancekimalando7769
4 жыл бұрын
Wewe unatujuza mambo makuu mno.keep it up na Mungu akubariki na kukulinda.
Ni ukwel usio pingika sasa Rwanda ipo vizuri.. Mwanaharakat Rais P kagame kaweka usawa na kuzimisha ukabila sasa tunajiita wanyarwanda.. blessed Kagame Jah protect your.. Amani na upendo vidumu milele Mungu ibarki Afrika ❤️💛💚
@feruzimarijani3644
4 жыл бұрын
haaa kweri Kaka unatisha
wewe kaka kabira gn umekosea kusema wasukuma wanashidana kupamba baisikel zao wakat wanaongoza nchi
@paulomziray3527
4 жыл бұрын
Hapo kakosea
@immamanyogote2770
4 жыл бұрын
Unakwama wap mxukuma gani anaeongoza inchi? ??
Mtangazaji nakukubali kila mara kwa kweli from @essianmuscles
@johniklend301
4 жыл бұрын
good stori
Kaka unawezaaa
Apoa saw a sasa
Thanks your works are really great
Ukabila hauna nafasi katika nchi yetu maana ni chanzo cha mgawanyiko asante mungu asante nyerere
Tutafutiye historiya ya Watusi wa Congo banyamurenge
@jaquelineirakoze758
4 жыл бұрын
Umeonaee👌👌👌
Kwa nini utumie maneno "mlnzi wa kimasai?" Huoni kwamba unafikiri Walinzi wote ni Eamasai?
@ngoympekotv3114
4 жыл бұрын
Victorini Riziki Asante
Asante kaka kwa story .. hongera kaka zidisha bidiii 100%
mtangazi uko vizur saana historia inaenda powa zaid
@rwegasilamwijage9116
4 жыл бұрын
Kaka upo powa mpaka sio powa wengi tunapata mengi kupitia ww
sijawai kuacha kusikiliza story zako😉😉
@aureliaboniphace2119
4 жыл бұрын
Ukopoa sanaaaa
Bro I like your notation that stats "Dont play for nothing" As Africans do big, up my young brother from another mother.
@patrickmfundili3392
4 жыл бұрын
Noma
@ramadhanamida9088
4 жыл бұрын
🙏🙏🏽
@charleslwabi4981
4 жыл бұрын
L}
Kagame ataendelea kubaki juu viva rwanda long life kagame;ila ukitaka kujua asiili ya watutsi ingia Google ndio utapata ukweli
@therwandannoble2034
5 жыл бұрын
Joe mashariah Wewe una kichaa
Kama we mnyarwanda unamuamin kagame gonga like
@dawsonmanyama2860
4 жыл бұрын
Safi sana kagame
@dannymussae890
4 жыл бұрын
Sio kweri
Tunashukuru Sana kwa ujumbe wako mzurii
Ongera broo edga
Asante Kwa story nzuri.. Nilizaliwa huko🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@kaisileinocent1979
4 жыл бұрын
Aaa, huko ndo kwetu
Waliosoma Kigonsera sec Tujuane hapa
Kazi nzuri Sana Kaka 👏👏
Asante ndugu,kwa kuongelea story yetuu.ubarikiwe
naitaji kitabu plz
Kagame ni Rais wa kweli kabisa HONGERA NA MUNGU AKUBARIKI
Excellent narrator keep up
Tutaftie historia ya Kenyatta,,,,
@enosayuka905
4 жыл бұрын
Danny Bahati ya kinyatta ipo tayari mbona
God bless
@mohamedbakari3979
4 жыл бұрын
Rais wamarais halisi .
@edgagarvis5159
4 жыл бұрын
Uko sawa wajina history zako nazikubar kinoma noma
Napenda vile unasimulia hizi historia bana! Endelea vivyo hivyo. Hongera
Write history about south Sudan
Mungu akulinde Kagame
Second World War,,, pleeeeaaseee. Edgar
Asante Mwl, wangu Mpagaze
@jamesmayunga5802
5 жыл бұрын
ROBERT MASATU niteacher?
@mahamudali1453
4 жыл бұрын
Hasante kwa faseha ya kiswahili
nakupenda bure mtangazaji
@eliakimandaye6846
4 жыл бұрын
Sawa kabisa
Ilaratu tumika feza
Uko vizuri braza asiekubali uwezo wako atakua na chuki zake binafsi