Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo

Пікірлер: 42

  • @FELISTERPETER-jf9jv
    @FELISTERPETER-jf9jv2 күн бұрын

    Mimi mwanangu ana kipaji cha usanii wa mziki yaani akitoka shule ananitungia wimbo hapo hapo unaonihusu. Na unakuta kwenye begi lake kuna daftari limejaa nyimbo. Kila akirudi nachukua daftari naficha na pia akirudi tena unakuta ana kingine kimejaa nyimbo

  • @judicalosika7642
    @judicalosika76423 күн бұрын

    🇮🇱Eric, hakika, mtu asipige AKILI YAKO. Nashukuru sana kwa ujumbe huu. Mimi huwa nawaeleza jamaa zangu kuwa, "...ongeza madini makini kichwani...."

  • @patrickkatana8823
    @patrickkatana88233 күн бұрын

    I really love this always 🎉

  • @THADEOCHUNDU-eu3ez
    @THADEOCHUNDU-eu3ezКүн бұрын

    Unasoma degree una jina kubwa na pesa, utafeli kweli.

  • @EmmanuelShilunga-m5c
    @EmmanuelShilunga-m5c13 күн бұрын

    Mungu ni mwema

  • @user-dq4qi2pn2s
    @user-dq4qi2pn2s2 күн бұрын

    Well done my brother

  • @IgnassSwa-gd9iy
    @IgnassSwa-gd9iyАй бұрын

    Erick shigongo baba angu nakuomba no yako...naomba Sana baba angu usipuuze

  • @omaryisingo5697

    @omaryisingo5697

    Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤😅

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635Ай бұрын

    Hongera sana, Mh. E. Shigongo

  • @user-rw4qn6zh6n
    @user-rw4qn6zh6nАй бұрын

    Very correct yaani ukiwa mwaminifu bas wew ni tajr tyr

  • @LUCASLUPIMO
    @LUCASLUPIMO18 күн бұрын

    Mweshimiwa shigogo nime kuerewa sana ntafanyia kazii

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1eeАй бұрын

    Eric Shingongo. One of the the best Author ever known

  • @YohanaMwaibeseisaya
    @YohanaMwaibeseisaya5 күн бұрын

    Yes!

  • @godfreymasondaabel1904
    @godfreymasondaabel19046 күн бұрын

    Hongera sanaa Mheshimiwa

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526Ай бұрын

    Ujumbe umenibariki😢😢 naanza leo kutokuwa na matumizi yasiyo na lazima

  • @hamasikatv

    @hamasikatv

    20 күн бұрын

    Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza

  • @user-uy1df5so8c
    @user-uy1df5so8c15 күн бұрын

    Mafunzo mazuri kabisa haya🎉

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1eeАй бұрын

    Moja kati ya kitu wazazi wa kiafrika wanacho sahau kabisaa ni kutozingatia vipawa na talent za watoto wao. tunapoteza watu wakubwa wengi sana kwa kutokutambua nini ni bora na mtoto anaweza kufanya. kipaji ni kitu mtu anachoweza kufanya bila ugumu(kwa urahisi) . kuna watoto wengi hawawezi hata kuongea, ila kuna watoto wanaweza kusimama hata mbele ya kanisa au msikiti mzima na kuongea bila woga wala kusita sita. huo ni mfano wa kimoja tu kati ya vingi wazazi na walezi wasivyo viona. Kuna mtoto anakimbia kila sehemu akitumwa hata iwe karibu kiasi gani ataenda anakimbia na atarudi ana kimbia hata liwe jua kali la saa saba. lakini hakuna anae zingatia hayo. kila mtu ana focus na Sayansi tuuu, kumbe kuna utajiri mkubwa ambao kila mtu Mungu amempa kupitia kipaji. KIPAJI NI ZAWDI KUU NA YA THAMANI MNO AMBAYO MTU HUPEWA NA MUNGU . KIPAJI

  • @majutodaud-ye3nx
    @majutodaud-ye3nx10 күн бұрын

    Ahsante sana Eric

  • @MwanzalimaLeonard
    @MwanzalimaLeonardАй бұрын

    Ni mwanga mzur wenye kutoa hamasa!

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390Ай бұрын

    Yaani nisoma magareti yako Kila siku, uko good sana

  • @GabrielLaizer
    @GabrielLaizer5 күн бұрын

    ❤ AMEEEN MWALIMU

  • @johngibson3089
    @johngibson308913 күн бұрын

    Asante Eric Shigongo

  • @mariamsabuni608
    @mariamsabuni60810 күн бұрын

    Ni kweli kabisa Mungu atusaidie

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892Ай бұрын

    Yaani huwa unibariki sana❤❤❤God bless you

  • @user-kl5ji9ue2q
    @user-kl5ji9ue2qАй бұрын

    Mungu ni mkuu Sana 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471Ай бұрын

    Asante sana🫶🙏

  • @SamwelSenwa
    @SamwelSenwa14 күн бұрын

    Mafunzo mazurii

  • @RynoFiree
    @RynoFireeАй бұрын

    Inspired speech Mungu akubariki Sana kaka Shigongo

  • @Thisislilian
    @ThisislilianАй бұрын

    This is so powerful

  • @Magdalena-tz7uk
    @Magdalena-tz7ukАй бұрын

    Shukran 🙏 kwamafunzo mazuri

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513Ай бұрын

    Ahsante Eric Be blessed

  • @MUSAMSAFIRI-th3gi
    @MUSAMSAFIRI-th3gi13 күн бұрын

    Asante sana🙏

  • @neemaemanuel7715
    @neemaemanuel7715Ай бұрын

    Fact sana ,ahsante

  • @masomekitwala3758
    @masomekitwala375814 күн бұрын

    Amen

  • @user-oc2zp6cg3z
    @user-oc2zp6cg3zАй бұрын

    Great advise Wiseman👊

  • @rodamakalwe57
    @rodamakalwe57Ай бұрын

    Nataman sana nipate hata namba yako

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3wАй бұрын

    Asante sana

  • @user-kw6bv9qp4e
    @user-kw6bv9qp4eАй бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @masomekitwala3758
    @masomekitwala375814 күн бұрын

    Tulikutana Lamadi,( sereñgeti) tuliongea mengi,plz nisaidie no yako

  • @user-hv6qw2zw2y
    @user-hv6qw2zw2yАй бұрын

    Asante sana kiongozi

  • @user-wn2su2fj9d
    @user-wn2su2fj9dАй бұрын

    Kongole

Келесі