⚫️
⚫️#LIVE: HIZI NDIZO TABIA ZA WEWE KUFANIKIWA, SHUGHULIKA NAZO | SHIGONGO DARASA
Ni katika kipindi cha Darasa na Mtangazaji Lucas Masungwa pamoja na Mkurugenzi wa Global Group Erick Shigongo akizungumzia namna ambavyo mtu anatakiwa Pambana ili kubadili tabia inayoweza kumkwamisha kuelekea mafanikio yake na kuwafanya watu wakuamini
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 23
❤nimefurahi kuku tana na huyu father Eric mazingila niliyo pitia yamefanana na yangu wakati utoto wangu nimejua habari ya Eric kwenye kitabu cha umasikini hadi MAFANIKIO kazi nzuri sana uandishi wa TOFAUTI
Kipindi kizuri, kwakweli hata mimi nimejifunza kitu hasa hapo katika matumizi ktk vitu muhimu tu,asante sana Eric shigongo we l❤ you.
Shigongo nakukubali sana kaka asante sana kaka na ubarikiwe sana kaka
Nakukubali brother
Nakufatilia sana kiongozi wangu Eric Shigongo.
helo..this is erick patience...... napenda masomo ya erick shigongo....its my wishes to meet you Sir
Kuhusu tabia niliipenda tabia YANGU yakupenda kusoma wakati nipo na umri wa miaka 8 MALIFA na ujuzi niliwasumbua walezi na baba yangu
Nakuombea uzima Kaka,tuendelee kupata madini
Ahsante sana Mr.shigongo from grobal Tv
Asante kwa Elimu nzuri
Nakukubali sana kaka shigongo
Kweli natamani sana nipunguze asira ila inanimate shida kuacha
Hongera kaka
pamija san bwana shigongo nakukubali kiongozi
Nimekuelewa xana
Nimekupata
Vitabu urinyo vionesha vya Eric shigongo nime vipenda TAYARI nasoma VIZURI sana
Kuanzia leo nitajitahidi nisikose kipindi chako
Nilikuwa mlaji wa pemba ( udongi) nikawa nakula adi najichukia nimeamua kwa sku moja nikajizuia nikafunga adi sas yapata miez miwil hata nikijarb kula naisi kutapika nashukuru imenisaidia japo ni ngumu ila maamzi tu
Hichi kipindi kipo kila au vp
Kwel Kaka Erick n ukwel mtupu na ambaye anakufuatilia akiamua anabadilika ukwel na kupata mafanikio
@LubinzaRichard-yk7cv
10 ай бұрын
Tupo pamoja kaka