MBUNGE SHIGONGO AELEZA MAKOSA ALIYOFANYA KWENYE UJANA, MARAFIKI WALIVYOMRUDISHA KWENYE UMASKINI..

MBUNGE SHIGONGO AELEZA MAKOSA ALIYOFANYA KWENYE UJANA, MARAFIKI WALIVYOMRUDISHA KWENYE UMASKINI..
Mbunge Wa Buchosa Eric Shigongo May 14 amezungumza na wanafunzi wa chuo cha biashara (CBE) campas ya Dodoma.
Akizungumza na wanafunzi hao Shigongo amewaeleza kuwa kama wanataka kutumiza ndoto zao wachague marafiki wema maana yeye wakati anatafuta maisha aliwai kushindwa kufikia malengo kwa sababu akuchagua marafiki bora.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 18

  • @mavumbiwawa-ws7jj
    @mavumbiwawa-ws7jj Жыл бұрын

    Ninamshukuru Santa Mungu kukuumba mheshimiwa Shigongo kwani maneno Yako yamenitia moto na ninaamini kupitia maneno Yako BWANA atanifikisha Mahalia pa kuwatia moto wengine nilikuea nimekata tamaa.Mungu akupe maisha marefu zaidi

  • @JoyceNdunguru-lg1ug
    @JoyceNdunguru-lg1ug7 күн бұрын

    Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri.🙏🙏🙏🔥🔥🔥

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter11082 жыл бұрын

    Asante sana, japo bungeni hawakuelewi but nondo zako zinanikomboa always

  • @user-od9cf7lp9v
    @user-od9cf7lp9v10 ай бұрын

    Eric your very bright na unaiona future na kwel indeep kutoka moyon unazungumzaa,,, nataman kufanikiwa kama ilivyo kwako na MUNGU ATUSAIDIE VIJANA NA WATANZANIA WENZANGU. UBARIKIWE SANA KIONGOZI

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay2 жыл бұрын

    Safi sana Eric kwa kuelimisha vijana.

  • @SechySeche-hm6bd
    @SechySeche-hm6bd17 күн бұрын

    Our country, our home, our brothers and sisters, our Loved ones.

  • @shigongojulius1494
    @shigongojulius1494 Жыл бұрын

    Nice brother

  • @nasmahjustine6471
    @nasmahjustine64712 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu102 жыл бұрын

    Wewe ni mbunge sio motivation speker ,, fanya kazi yako ya ubunge jomba

  • @seraphiamligo8143

    @seraphiamligo8143

    2 жыл бұрын

    Unajua kabla ya ubunge alikua anafanya nini? Punguza kuropoka

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    2 жыл бұрын

    @@seraphiamligo8143 nikijua itanisadia nini limbukeni ww

  • @seraphiamligo8143

    @seraphiamligo8143

    2 жыл бұрын

    Punguza kuropoka mwanaume.. Wanaume wenzio hawatanui midomo hivyo,au namna gani wewe

  • @alexanderdustan8872

    @alexanderdustan8872

    2 жыл бұрын

    Your brain does not work properly

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Hee

  • @nasmahjustine6471
    @nasmahjustine64712 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

Келесі