Njia 4 Rahisi Za Kujenga Nidhamu Ya Fedha Ili Utimize Malengo Yako

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 316

  • @elizabethmwaka2921
    @elizabethmwaka2921 Жыл бұрын

    Asante kaka niko Kenya na nimekufatilia Kwa miezi mtatu na nashukru nimefanya Mambo ambayo nilikua siyawezi be blessed brother

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754Ай бұрын

    asante joel,ila mimi nitakuomba wewe unisimamie ,,,,najua una kazi nyingi sana still nitakuomba wewe kila mwezi unanifatilia

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Жыл бұрын

    Kaka Joel nimeyaona matunda kupitia ww una mchango mkubwa sana ktk mafanikio yng haswa 2021 -2022 alhamdulillah nimeongezwa mshahara pia Nina account bank nakushukuru pia namshukuru mungu 🙏💖💖💖

  • @mariamnestory5543
    @mariamnestory55433 ай бұрын

    Binafsi napenda kukushukuru sana kupitia hili SoMo nmejifunza kitu katika maisha na nitaishi kwenye hii mikakati

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Жыл бұрын

    Joel asante kwa kutufundisha maisha yaani wewe kaka mungu peke yake aendelee kukutunza na kukubariki zaidi unafundisha vizuri sana nafatilia sana video zako.

  • @king-gtv2010
    @king-gtv2010 Жыл бұрын

    Yan kaka Joel mungu akubaliki sana ❤🙏🙏🌎 uzidi kwenda viwango vya kimataifa 🌎🌎⛪️

  • @alexmushi6017

    @alexmushi6017

    Жыл бұрын

    Hakika

  • @hamadnassor2523

    @hamadnassor2523

    Жыл бұрын

    Hongera kaka tunajivunia kwa class zako

  • @JustaTz

    @JustaTz

    2 ай бұрын

    🙏🙏

  • @halimayahaya5558
    @halimayahaya55582 ай бұрын

    Nashkuru mungu kwenye hizi njia zote nimepita and thank you 🙏

  • @patelnay4124
    @patelnay412410 ай бұрын

    Mungu akubariki Sana,am learning a lot from you,na niseme tu hivi Sasa Nina uwezo wa kujiwekea akiba na kufanya vitu vya maana kupitia wewe, seminar zako na kitabu Cha money formula vimeniboost Sana🙏🏼🙏🏼

  • @yahyahadji21
    @yahyahadji21 Жыл бұрын

    Nidhamu ya fedha ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo maishani

  • @LincolnMoshi
    @LincolnMoshiАй бұрын

    ❤❤❤ Bank ya NBC Malengo inasaidia sana utoi pesa mpaka miez 6 nimeijaribu maana M Pesa imenishinda natumia pesa nyng MB na kubeti😮

  • @AbubakariYahaya-ej9mc

    @AbubakariYahaya-ej9mc

    Ай бұрын

    Hilo la mb na kubeti ni msiba kqetu

  • @soccerupdates5
    @soccerupdates5 Жыл бұрын

    Nimepata hamasa kubwa Kwa hili fundisho lako, Lazima niyafanyie kazi mwaka huu 2023

  • @omarimtau5162
    @omarimtau5162 Жыл бұрын

    Ahsanteee Broo nanauka kwa kutewa kwenye njia kuu juu ya nidhamu ya fedha.. njia zote ni nzuri na muhimu sana kuzitumia lakini mimi ningependa kuanza na njia ya kumshirikisha mtu nnae muheshimu na kuweka akiba,, naamini zitanisaidia kama ntazifuata kikamilifu.. **Ubarikiwe sana kwa masaada wako kwenye jamii**

  • @mariamzambi1995

    @mariamzambi1995

    Жыл бұрын

    Amina sana. Nimeipenda hii njia ya kuwa na account bila ATM CARD. ubarikiwe sana . Acc ya WADU POSTA.

  • @fridalifa7575
    @fridalifa7575 Жыл бұрын

    Nakuelewa sana brother @Joel Nanauka. Binafsi umenitoa mbali sana kuhusiana na nidhamu ya kifedha. Naendelea kujifunza zaidi🙏🙏

  • @user-oi8cn7hw8y
    @user-oi8cn7hw8y11 ай бұрын

    Thanks my friend for your advice God bless you

  • @king-gtv2010
    @king-gtv2010 Жыл бұрын

    Nakukubali sana kaka Joel my Tz mentor I wish Nikuone one day 🙏❤️❤️

  • @zinhotz5366
    @zinhotz5366 Жыл бұрын

    Binafsi nikushukuru sana Mimi ni dereva boda boda actually niseme natumia pesa ovyo sana nimejiwekea kiwango kidogo sana Cha shilingi ELFU kumi niweke Kila siku kwenye kazi yangu najiwekea Ndani kwangu ila haiputi siku Tano Nisha chukua so now umenipa njia nzuri na sahihi za kutunza pesa be blessed 🤌

  • @AshaMaulid-je6dq

    @AshaMaulid-je6dq

    Жыл бұрын

    Pmk

  • @saidsaido8064

    @saidsaido8064

    6 ай бұрын

    Boss amekuona

  • @RoseMbwana

    @RoseMbwana

    2 ай бұрын

    Asante.. mimi nimetafua watu 10 kila trh30 kila mmoja anatoa laki moja

  • @khamisomary7428

    @khamisomary7428

    Ай бұрын

    Na tena tumia fixed account

  • @LovelyOutdoors-wd5nh
    @LovelyOutdoors-wd5nh3 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,mimi napenda kutumia njia ya kikoba nilichopata hapo ninunue vitu vya jumla nimechoka na rejareja

  • @MwasiMhango
    @MwasiMhango2 ай бұрын

    Since i started following your classes, you have been such a big help kwenye maisha yangu hasa kifedha.Mungu akubariki

  • @osangoamosi4355
    @osangoamosi4355 Жыл бұрын

    Ahxante sanaa Mr Joel nanauka, hakika umetupa somo bora sanaa MUNGU AKUBARIKI,WEWE NI MTU MHIMU SANAA KTK HII JAMII MUNGU AKUBARIK SANAA

  • @jumabakary5166

    @jumabakary5166

    11 ай бұрын

    😊😊

  • @user-fy4tl2te2r
    @user-fy4tl2te2r5 ай бұрын

    Asante sana Kwa elimu nzuri hakika... Mungu akubariki

  • @martinenkingwa1757
    @martinenkingwa1757 Жыл бұрын

    Hongera bro kwa kazi nzuri unayofanya. Maana unatujenga kifikra,mitazamo ili tuache yasiyofaa tuimarishe Hali zetu.

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Жыл бұрын

    Nashukur sana kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa kwani nilikuwa sina utumiaji wa pesa vzr ilaa umenifungua sanaa akili yangu tangia nianze kufatiria ndundishi yako. Barikia sana 🙏🙏

  • @jamesngasi7252
    @jamesngasi7252 Жыл бұрын

    Asante sana kaka leo nimekusikiliza na lipoti ijayo kwa neema ya Mungu itakuwa ni ushuhuda

  • @lightnessmachua6587
    @lightnessmachua6587 Жыл бұрын

    Kaka Joel , Asante Sana kwa mafundisho yako,mm Nina akaunti ya akiba na vikoba.

  • @atanasmwinyi06
    @atanasmwinyi06 Жыл бұрын

    Najivunia sana hii class I believe that one day yes

  • @allyjuma9365
    @allyjuma9365 Жыл бұрын

    Nashukuru kaka njia nzuri zaidi ni hiyo ya benk kuzuia kutoa baada ya muda flan nimeipenda ntaifanyia kazi

  • @solangesoso3100
    @solangesoso3100 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mno kaka Joel na Mungu aendelee kukutumia zaidi

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Жыл бұрын

    Be blessed nakukubali sana ndugu shukran

  • @joycekyando5321
    @joycekyando5321 Жыл бұрын

    Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi japo nimechelewa

  • @GloryKakole
    @GloryKakole3 ай бұрын

    Njia ninayoona ni best kwangu ni kuweka ikiba kwa upatu na kufanya manunuzi ya ujumla... Ahsante sana kaka🙏🙏

  • @shabanabdallah376
    @shabanabdallah3767 ай бұрын

    Shukran sana Brother Darasa limeeleweka vzur unastahili maua yako.

  • @julietmateru5789
    @julietmateru578910 ай бұрын

    Ubarikiwe Kaka!mafundisho yako mazuri sana

  • @jerolily
    @jerolily3 ай бұрын

    Asante sana bro .i have learned A lot 🙏🙏

  • @rabiaiddi2884
    @rabiaiddi2884 Жыл бұрын

    Hongera sana brother kwa somo zuri hata mimi vikoba vimenisaidia sana kwakweli 🙏🏼

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Жыл бұрын

    Shukran sana kiongozi kwa Elimu

  • @paulyusuph7572
    @paulyusuph7572 Жыл бұрын

    Honger sana bro joel nanaukakwasaaa una video 669 zote hiz nimeziangalia na kuvifanyia vitendo asante sana

  • @magemwaipaja8650
    @magemwaipaja8650 Жыл бұрын

    Yaan kuna kitu cha muhimu sana nmekipata hapa Asante kwa ushauri mzuri

  • @rafiudineassanebartolomeub9930
    @rafiudineassanebartolomeub9930 Жыл бұрын

    Nimekukubali sana kaka. Mungu akubaliki sana. Rafiudine Assane Bartolomeu Toka Mozambique

  • @lebahatikeiya8666
    @lebahatikeiya8666 Жыл бұрын

    Asante sana brother nimejifunza mengi sana kwako toka nikufahamu

  • @Sibazurin
    @Sibazurin9 ай бұрын

    Hongera sana brother kwa somo zuri Mungu akubariki pia tunasahidika sana

  • @onesmomnkondya1725
    @onesmomnkondya1725 Жыл бұрын

    Asante kaka kwa somo hili mimi nipenda sana kutumia zaidi benki mala nyingi kwakuweka akiba

  • @GodlistenMassawe-nf8is
    @GodlistenMassawe-nf8isАй бұрын

    Be blessed brother umenipa funzo zurii

  • @user-qe3lo3rn8p
    @user-qe3lo3rn8p10 ай бұрын

    Asante kwa ushauri, naendelea kujifunza

  • @juliusluponde6628
    @juliusluponde6628 Жыл бұрын

    Shukrani sana Kwa somo zuri!

  • @OscarKalinga-zt3bk
    @OscarKalinga-zt3bk3 ай бұрын

    More thanks

  • @priscashairock2679
    @priscashairock26795 ай бұрын

    MUNGU akubariki Sana our mentor..

  • @neemaryan9947
    @neemaryan9947 Жыл бұрын

    Shukrani Mr Nanauka. Kupitia chaneli hii nimefanikiwa jinsi ya kuweka akiba. Cha kujiongezea nitafungua akaunti ya Benki ili nihame m pesa niweke akiba yangu Benki. Ubarikiwe sana.

  • @zankid9692
    @zankid9692 Жыл бұрын

    Thanks bro nmepatakitu kipya hpo cha "stansting order" be blessed bro🙏

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 Жыл бұрын

    ##Nimekuelewa Sana broo...na nashukuru sana kwa SoMo maana kwangu mm hela napata Sana but matumizi makubwa...##

  • @user-ei6oh7vl8z
    @user-ei6oh7vl8z10 ай бұрын

    Thnx me naweza tumia hio njia ya 1 na ya 2 kupitia sacos na uptu asante sana mna biashara yngu ina mwaka sasa iko vle vle haikui na mashallah inatembea vzur tuh

  • @AbduMadandi-my6dc
    @AbduMadandi-my6dc Жыл бұрын

    Aksante sans bi.ejifunza mambo mengi kwako mungu akubarki

  • @alexmushi6017
    @alexmushi6017 Жыл бұрын

    Shukrani kiongozi Nanauka tuko pamoj

  • @manofgod4471
    @manofgod4471 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @user-re2jl5rn4h
    @user-re2jl5rn4h10 ай бұрын

    Asante kiongozi kwa kifungua vichwa vya wengi

  • @christermlewa8471
    @christermlewa8471 Жыл бұрын

    Asante sana kaka na Mimi ni mtumiaji mbaya sana wa pesa mpaka huwa najiombea Mungu aniongoze

  • @barakajulius5938
    @barakajulius5938 Жыл бұрын

    Nakuomba Uwe mentor wangu, na unanifuatilia kila mwezi. Asante

  • @thejames2649
    @thejames2649 Жыл бұрын

    Thank you

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710Ай бұрын

    Asante Joel kwa mafunzo yako. Katika kuweka akiba nashauri watu wa Mungu watumie Utt kama njia nyingine ya uwekeza jwa kuwa wanatoa gawio nzuri kwa mtindo wa compound interest ni nzuri sana .just try!

  • @christopherndelwa2
    @christopherndelwa29 ай бұрын

    nimeipenda hiyo ya kuweka standing order be blessed brother

  • @etiennenebus4087
    @etiennenebus4087 Жыл бұрын

    Asante sana baba Joel nanauka

  • @TANZANIANFIGHT
    @TANZANIANFIGHT Жыл бұрын

    Mungu akuweke maisha mengi kaka, tunataka kuonyesha matunda yako uliyo yapanda kwetu,

  • @sephaniachaula1030
    @sephaniachaula103011 ай бұрын

    Nashukuru sana mungu akubarik sana

  • @MakrinaPius
    @MakrinaPius3 ай бұрын

    Asante sana na ubatikewe🙏🏼

  • @aboymoon9972
    @aboymoon997210 ай бұрын

    Ahsante sana Kwa elimu Yako nimevutiwa sana na itakufatilia sana🙏🙏

  • @paulouma3958
    @paulouma3958 Жыл бұрын

    Thank you bro

  • @winfridagbcl271
    @winfridagbcl271 Жыл бұрын

    Ahsante Sana kaka mm nilisikiliza hii na Leo NARUDIA tena nilicheza upatu na mwezi huu napokea milion 7 na Laki mbili nikianza mwez wa 12 mwaka 2022. Mpk Sasa ni miezi nane nashukuru Sana na pesa hiyo nakwenda kufungua biashara ya huduma za kifedha.

  • @tinoh7_
    @tinoh7_10 ай бұрын

    Mungu akuongezee kaka..nakukubali Nivilee hujuh 2..god be with you

  • @babybhalo8723
    @babybhalo8723 Жыл бұрын

    Asantee 🙏🙏🙏🙏

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280Ай бұрын

    Asante sana coach Joel

  • @user-qz3od7go7h
    @user-qz3od7go7h11 ай бұрын

    Mbarikiwe mtumishi napenda mafundisho yako

  • @LadouceKulimushi-qb5oe
    @LadouceKulimushi-qb5oe2 ай бұрын

    Asante nimejufunza kwa mafundisho

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Жыл бұрын

    Asante brother

  • @julioclauditayaye9368
    @julioclauditayaye93682 ай бұрын

    Kazi njema zote nzuri ubarikiwe

  • @user-ul2sf9uq6r
    @user-ul2sf9uq6r5 ай бұрын

    Vijana wengi unatufundiaha maisha hakika ambayo hatojifunza na kuchukua hatua ni uzembe wake ila kaka inabadilisha maisha ya vijana wengi Mungu akubarik

  • @franciscarsongea7948
    @franciscarsongea79484 ай бұрын

    Asante Kaka ubarikiwe mambo mengi nshayajua sasa makosa ya matumizi ya pesa niko mayo Dana Sasa nshajua njia

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn Жыл бұрын

    Asante kwa somo nimejifunza kitu

  • @user-vo5df3nu8o
    @user-vo5df3nu8o10 ай бұрын

    Dah,bro nashukulu sana kwa ushauli wako.

  • @InnocentKimambo
    @InnocentKimambo Жыл бұрын

    Broo asant San

  • @user-di8ox6xz1j
    @user-di8ox6xz1j3 ай бұрын

    Asnt sana mwl kwa mafundisho yako hakika umenibadilishia sana maisha yangu.. mm natumia vikoba

  • @user-mk7qe1bt8r
    @user-mk7qe1bt8r9 ай бұрын

    Brother ahsanteee sana kwa elimu Yako muhim ya maisha🙏🙏

  • @user-mu9dy4ml5p
    @user-mu9dy4ml5p7 ай бұрын

    Mtumish ahsante Sana najikuta nazidi kubadilika kamaisha kupitia masomoh yako

  • @user-um6oj8ci9i
    @user-um6oj8ci9iАй бұрын

    Asante tuku pamoja na darasa lako❤

  • @DionistaMsack
    @DionistaMsack3 ай бұрын

    Asante sana nimepata funzo

  • @johnmaduhu9435
    @johnmaduhu9435 Жыл бұрын

    Asante sana kaka.

  • @mathewmartin4413
    @mathewmartin4413 Жыл бұрын

    Asante sana kaka hakika unanipa hatua Kila Leo ndugu

  • @RegnethSangwa-jv6gr
    @RegnethSangwa-jv6gr11 ай бұрын

    Congratulations to you brother,mawazo yako nayatamani sana

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama699111 ай бұрын

    Shukran sana

  • @emilkasela8398

    @emilkasela8398

    3 ай бұрын

    God bless u

  • @bernadette6266
    @bernadette6266 Жыл бұрын

    Asante Sana Kaka najifuza kwako

  • @daviddeus3443
    @daviddeus3443 Жыл бұрын

    Asante Bro kwa hii elimu

  • @NeboSaulo
    @NeboSauloАй бұрын

    Be blessed

  • @trustmhagama2375
    @trustmhagama2375 Жыл бұрын

    Asante kaka elimu unayitoa inanisaidia

  • @user-vd5fe4ve6l
    @user-vd5fe4ve6l9 ай бұрын

    Mungu akulinde uzidikutipatia somo maana daa nakuleewa sana

  • @LilianfelixFelix-wg3wh
    @LilianfelixFelix-wg3wh7 ай бұрын

    Asante sanaa naamini malengu yakununua Gari yatatimiaa

  • @user-we1wt2kg8m
    @user-we1wt2kg8m Жыл бұрын

    Nakuelewaga sana mwalimu Joel mimi binafsi njia ya vikindi ndo naitumia na naendelea vizuri ila malengo yangu simshirikishi yeyote lakini kuwa peke yangu imenijia vigumu mana kuna mahali nahitaji ushauri ila kwa somo hili nadhani ntaangalia watu ninao wakubali niwashirikishe ili nifikie malengo yangu

  • @nikolausmnanka9362
    @nikolausmnanka93624 ай бұрын

    Upo vizur sn umenijenga sn nanauka

  • @user-ni2cw9tp7d
    @user-ni2cw9tp7d10 ай бұрын

    Tremondous amount of respect thank you Mr Nanauka .

  • @CHIKUMARTIN-oc5ic
    @CHIKUMARTIN-oc5ic2 ай бұрын

    Nimekupenda bule

  • @naomikubini970
    @naomikubini970 Жыл бұрын

    Kaka Asante Sana unisandia Sana mpaka Sasa nimefanya Mambo ambayo nilikuwa naona siyawezi

  • @harunaselupanga2146
    @harunaselupanga2146 Жыл бұрын

    ahsante sana mwalimu

  • @VestinaLupembe
    @VestinaLupembe2 ай бұрын

    Nothing but jaah bless kak❤