Asante kaka niko Kenya na nimekufatilia Kwa miezi mtatu na nashukru nimefanya Mambo ambayo nilikua siyawezi be blessed brother
@tukaesanatu2754Ай бұрын
asante joel,ila mimi nitakuomba wewe unisimamie ,,,,najua una kazi nyingi sana still nitakuomba wewe kila mwezi unanifatilia
@khadijakisingo7920 Жыл бұрын
Kaka Joel nimeyaona matunda kupitia ww una mchango mkubwa sana ktk mafanikio yng haswa 2021 -2022 alhamdulillah nimeongezwa mshahara pia Nina account bank nakushukuru pia namshukuru mungu 🙏💖💖💖
@mariamnestory55433 ай бұрын
Binafsi napenda kukushukuru sana kupitia hili SoMo nmejifunza kitu katika maisha na nitaishi kwenye hii mikakati
@tukaesanatu2754 Жыл бұрын
Joel asante kwa kutufundisha maisha yaani wewe kaka mungu peke yake aendelee kukutunza na kukubariki zaidi unafundisha vizuri sana nafatilia sana video zako.
@king-gtv2010 Жыл бұрын
Yan kaka Joel mungu akubaliki sana ❤🙏🙏🌎 uzidi kwenda viwango vya kimataifa 🌎🌎⛪️
@alexmushi6017
Жыл бұрын
Hakika
@hamadnassor2523
Жыл бұрын
Hongera kaka tunajivunia kwa class zako
@JustaTz
2 ай бұрын
🙏🙏
@halimayahaya55582 ай бұрын
Nashkuru mungu kwenye hizi njia zote nimepita and thank you 🙏
@patelnay412410 ай бұрын
Mungu akubariki Sana,am learning a lot from you,na niseme tu hivi Sasa Nina uwezo wa kujiwekea akiba na kufanya vitu vya maana kupitia wewe, seminar zako na kitabu Cha money formula vimeniboost Sana🙏🏼🙏🏼
@yahyahadji21 Жыл бұрын
Nidhamu ya fedha ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo maishani
@LincolnMoshiАй бұрын
❤❤❤ Bank ya NBC Malengo inasaidia sana utoi pesa mpaka miez 6 nimeijaribu maana M Pesa imenishinda natumia pesa nyng MB na kubeti😮
@AbubakariYahaya-ej9mc
Ай бұрын
Hilo la mb na kubeti ni msiba kqetu
@soccerupdates5 Жыл бұрын
Nimepata hamasa kubwa Kwa hili fundisho lako, Lazima niyafanyie kazi mwaka huu 2023
@omarimtau5162 Жыл бұрын
Ahsanteee Broo nanauka kwa kutewa kwenye njia kuu juu ya nidhamu ya fedha.. njia zote ni nzuri na muhimu sana kuzitumia lakini mimi ningependa kuanza na njia ya kumshirikisha mtu nnae muheshimu na kuweka akiba,, naamini zitanisaidia kama ntazifuata kikamilifu.. **Ubarikiwe sana kwa masaada wako kwenye jamii**
@mariamzambi1995
Жыл бұрын
Amina sana. Nimeipenda hii njia ya kuwa na account bila ATM CARD. ubarikiwe sana . Acc ya WADU POSTA.
@fridalifa7575 Жыл бұрын
Nakuelewa sana brother @Joel Nanauka. Binafsi umenitoa mbali sana kuhusiana na nidhamu ya kifedha. Naendelea kujifunza zaidi🙏🙏
@user-oi8cn7hw8y11 ай бұрын
Thanks my friend for your advice God bless you
@king-gtv2010 Жыл бұрын
Nakukubali sana kaka Joel my Tz mentor I wish Nikuone one day 🙏❤️❤️
@zinhotz5366 Жыл бұрын
Binafsi nikushukuru sana Mimi ni dereva boda boda actually niseme natumia pesa ovyo sana nimejiwekea kiwango kidogo sana Cha shilingi ELFU kumi niweke Kila siku kwenye kazi yangu najiwekea Ndani kwangu ila haiputi siku Tano Nisha chukua so now umenipa njia nzuri na sahihi za kutunza pesa be blessed 🤌
@AshaMaulid-je6dq
Жыл бұрын
Pmk
@saidsaido8064
6 ай бұрын
Boss amekuona
@RoseMbwana
2 ай бұрын
Asante.. mimi nimetafua watu 10 kila trh30 kila mmoja anatoa laki moja
@khamisomary7428
Ай бұрын
Na tena tumia fixed account
@LovelyOutdoors-wd5nh3 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,mimi napenda kutumia njia ya kikoba nilichopata hapo ninunue vitu vya jumla nimechoka na rejareja
@MwasiMhango2 ай бұрын
Since i started following your classes, you have been such a big help kwenye maisha yangu hasa kifedha.Mungu akubariki
@osangoamosi4355 Жыл бұрын
Ahxante sanaa Mr Joel nanauka, hakika umetupa somo bora sanaa MUNGU AKUBARIKI,WEWE NI MTU MHIMU SANAA KTK HII JAMII MUNGU AKUBARIK SANAA
@jumabakary5166
11 ай бұрын
😊😊
@user-fy4tl2te2r5 ай бұрын
Asante sana Kwa elimu nzuri hakika... Mungu akubariki
@martinenkingwa1757 Жыл бұрын
Hongera bro kwa kazi nzuri unayofanya. Maana unatujenga kifikra,mitazamo ili tuache yasiyofaa tuimarishe Hali zetu.
@winfridaadam7951 Жыл бұрын
Nashukur sana kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa kwani nilikuwa sina utumiaji wa pesa vzr ilaa umenifungua sanaa akili yangu tangia nianze kufatiria ndundishi yako. Barikia sana 🙏🙏
@jamesngasi7252 Жыл бұрын
Asante sana kaka leo nimekusikiliza na lipoti ijayo kwa neema ya Mungu itakuwa ni ushuhuda
@lightnessmachua6587 Жыл бұрын
Kaka Joel , Asante Sana kwa mafundisho yako,mm Nina akaunti ya akiba na vikoba.
@atanasmwinyi06 Жыл бұрын
Najivunia sana hii class I believe that one day yes
@allyjuma9365 Жыл бұрын
Nashukuru kaka njia nzuri zaidi ni hiyo ya benk kuzuia kutoa baada ya muda flan nimeipenda ntaifanyia kazi
@solangesoso3100 Жыл бұрын
Ubarikiwe mno kaka Joel na Mungu aendelee kukutumia zaidi
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Be blessed nakukubali sana ndugu shukran
@joycekyando5321 Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi japo nimechelewa
@GloryKakole3 ай бұрын
Njia ninayoona ni best kwangu ni kuweka ikiba kwa upatu na kufanya manunuzi ya ujumla... Ahsante sana kaka🙏🙏
@shabanabdallah3767 ай бұрын
Shukran sana Brother Darasa limeeleweka vzur unastahili maua yako.
@julietmateru578910 ай бұрын
Ubarikiwe Kaka!mafundisho yako mazuri sana
@jerolily3 ай бұрын
Asante sana bro .i have learned A lot 🙏🙏
@rabiaiddi2884 Жыл бұрын
Hongera sana brother kwa somo zuri hata mimi vikoba vimenisaidia sana kwakweli 🙏🏼
@chrismassawe2939 Жыл бұрын
Shukran sana kiongozi kwa Elimu
@paulyusuph7572 Жыл бұрын
Honger sana bro joel nanaukakwasaaa una video 669 zote hiz nimeziangalia na kuvifanyia vitendo asante sana
@magemwaipaja8650 Жыл бұрын
Yaan kuna kitu cha muhimu sana nmekipata hapa Asante kwa ushauri mzuri
@rafiudineassanebartolomeub9930 Жыл бұрын
Nimekukubali sana kaka. Mungu akubaliki sana. Rafiudine Assane Bartolomeu Toka Mozambique
@lebahatikeiya8666 Жыл бұрын
Asante sana brother nimejifunza mengi sana kwako toka nikufahamu
@Sibazurin9 ай бұрын
Hongera sana brother kwa somo zuri Mungu akubariki pia tunasahidika sana
@onesmomnkondya1725 Жыл бұрын
Asante kaka kwa somo hili mimi nipenda sana kutumia zaidi benki mala nyingi kwakuweka akiba
@GodlistenMassawe-nf8isАй бұрын
Be blessed brother umenipa funzo zurii
@user-qe3lo3rn8p10 ай бұрын
Asante kwa ushauri, naendelea kujifunza
@juliusluponde6628 Жыл бұрын
Shukrani sana Kwa somo zuri!
@OscarKalinga-zt3bk3 ай бұрын
More thanks
@priscashairock26795 ай бұрын
MUNGU akubariki Sana our mentor..
@neemaryan9947 Жыл бұрын
Shukrani Mr Nanauka. Kupitia chaneli hii nimefanikiwa jinsi ya kuweka akiba. Cha kujiongezea nitafungua akaunti ya Benki ili nihame m pesa niweke akiba yangu Benki. Ubarikiwe sana.
@zankid9692 Жыл бұрын
Thanks bro nmepatakitu kipya hpo cha "stansting order" be blessed bro🙏
@williamloserian5999 Жыл бұрын
##Nimekuelewa Sana broo...na nashukuru sana kwa SoMo maana kwangu mm hela napata Sana but matumizi makubwa...##
@user-ei6oh7vl8z10 ай бұрын
Thnx me naweza tumia hio njia ya 1 na ya 2 kupitia sacos na uptu asante sana mna biashara yngu ina mwaka sasa iko vle vle haikui na mashallah inatembea vzur tuh
@AbduMadandi-my6dc Жыл бұрын
Aksante sans bi.ejifunza mambo mengi kwako mungu akubarki
@alexmushi6017 Жыл бұрын
Shukrani kiongozi Nanauka tuko pamoj
@manofgod4471 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
@user-re2jl5rn4h10 ай бұрын
Asante kiongozi kwa kifungua vichwa vya wengi
@christermlewa8471 Жыл бұрын
Asante sana kaka na Mimi ni mtumiaji mbaya sana wa pesa mpaka huwa najiombea Mungu aniongoze
@barakajulius5938 Жыл бұрын
Nakuomba Uwe mentor wangu, na unanifuatilia kila mwezi. Asante
@thejames2649 Жыл бұрын
Thank you
@filorammbaga5710Ай бұрын
Asante Joel kwa mafunzo yako. Katika kuweka akiba nashauri watu wa Mungu watumie Utt kama njia nyingine ya uwekeza jwa kuwa wanatoa gawio nzuri kwa mtindo wa compound interest ni nzuri sana .just try!
@christopherndelwa29 ай бұрын
nimeipenda hiyo ya kuweka standing order be blessed brother
@etiennenebus4087 Жыл бұрын
Asante sana baba Joel nanauka
@TANZANIANFIGHT Жыл бұрын
Mungu akuweke maisha mengi kaka, tunataka kuonyesha matunda yako uliyo yapanda kwetu,
@sephaniachaula103011 ай бұрын
Nashukuru sana mungu akubarik sana
@MakrinaPius3 ай бұрын
Asante sana na ubatikewe🙏🏼
@aboymoon997210 ай бұрын
Ahsante sana Kwa elimu Yako nimevutiwa sana na itakufatilia sana🙏🙏
@paulouma3958 Жыл бұрын
Thank you bro
@winfridagbcl271 Жыл бұрын
Ahsante Sana kaka mm nilisikiliza hii na Leo NARUDIA tena nilicheza upatu na mwezi huu napokea milion 7 na Laki mbili nikianza mwez wa 12 mwaka 2022. Mpk Sasa ni miezi nane nashukuru Sana na pesa hiyo nakwenda kufungua biashara ya huduma za kifedha.
@tinoh7_10 ай бұрын
Mungu akuongezee kaka..nakukubali Nivilee hujuh 2..god be with you
@babybhalo8723 Жыл бұрын
Asantee 🙏🙏🙏🙏
@brackskinyozi3280Ай бұрын
Asante sana coach Joel
@user-qz3od7go7h11 ай бұрын
Mbarikiwe mtumishi napenda mafundisho yako
@LadouceKulimushi-qb5oe2 ай бұрын
Asante nimejufunza kwa mafundisho
@medlucas5686 Жыл бұрын
Asante brother
@julioclauditayaye93682 ай бұрын
Kazi njema zote nzuri ubarikiwe
@user-ul2sf9uq6r5 ай бұрын
Vijana wengi unatufundiaha maisha hakika ambayo hatojifunza na kuchukua hatua ni uzembe wake ila kaka inabadilisha maisha ya vijana wengi Mungu akubarik
@franciscarsongea79484 ай бұрын
Asante Kaka ubarikiwe mambo mengi nshayajua sasa makosa ya matumizi ya pesa niko mayo Dana Sasa nshajua njia
@AishaOman-qz7tn Жыл бұрын
Asante kwa somo nimejifunza kitu
@user-vo5df3nu8o10 ай бұрын
Dah,bro nashukulu sana kwa ushauli wako.
@InnocentKimambo Жыл бұрын
Broo asant San
@user-di8ox6xz1j3 ай бұрын
Asnt sana mwl kwa mafundisho yako hakika umenibadilishia sana maisha yangu.. mm natumia vikoba
@user-mk7qe1bt8r9 ай бұрын
Brother ahsanteee sana kwa elimu Yako muhim ya maisha🙏🙏
@user-mu9dy4ml5p7 ай бұрын
Mtumish ahsante Sana najikuta nazidi kubadilika kamaisha kupitia masomoh yako
@user-um6oj8ci9iАй бұрын
Asante tuku pamoja na darasa lako❤
@DionistaMsack3 ай бұрын
Asante sana nimepata funzo
@johnmaduhu9435 Жыл бұрын
Asante sana kaka.
@mathewmartin4413 Жыл бұрын
Asante sana kaka hakika unanipa hatua Kila Leo ndugu
@RegnethSangwa-jv6gr11 ай бұрын
Congratulations to you brother,mawazo yako nayatamani sana
@saumusanjiama699111 ай бұрын
Shukran sana
@emilkasela8398
3 ай бұрын
God bless u
@bernadette6266 Жыл бұрын
Asante Sana Kaka najifuza kwako
@daviddeus3443 Жыл бұрын
Asante Bro kwa hii elimu
@NeboSauloАй бұрын
Be blessed
@trustmhagama2375 Жыл бұрын
Asante kaka elimu unayitoa inanisaidia
@user-vd5fe4ve6l9 ай бұрын
Mungu akulinde uzidikutipatia somo maana daa nakuleewa sana
@LilianfelixFelix-wg3wh7 ай бұрын
Asante sanaa naamini malengu yakununua Gari yatatimiaa
@user-we1wt2kg8m Жыл бұрын
Nakuelewaga sana mwalimu Joel mimi binafsi njia ya vikindi ndo naitumia na naendelea vizuri ila malengo yangu simshirikishi yeyote lakini kuwa peke yangu imenijia vigumu mana kuna mahali nahitaji ushauri ila kwa somo hili nadhani ntaangalia watu ninao wakubali niwashirikishe ili nifikie malengo yangu
@nikolausmnanka93624 ай бұрын
Upo vizur sn umenijenga sn nanauka
@user-ni2cw9tp7d10 ай бұрын
Tremondous amount of respect thank you Mr Nanauka .
@CHIKUMARTIN-oc5ic2 ай бұрын
Nimekupenda bule
@naomikubini970 Жыл бұрын
Kaka Asante Sana unisandia Sana mpaka Sasa nimefanya Mambo ambayo nilikuwa naona siyawezi
Пікірлер: 316
Asante kaka niko Kenya na nimekufatilia Kwa miezi mtatu na nashukru nimefanya Mambo ambayo nilikua siyawezi be blessed brother
asante joel,ila mimi nitakuomba wewe unisimamie ,,,,najua una kazi nyingi sana still nitakuomba wewe kila mwezi unanifatilia
Kaka Joel nimeyaona matunda kupitia ww una mchango mkubwa sana ktk mafanikio yng haswa 2021 -2022 alhamdulillah nimeongezwa mshahara pia Nina account bank nakushukuru pia namshukuru mungu 🙏💖💖💖
Binafsi napenda kukushukuru sana kupitia hili SoMo nmejifunza kitu katika maisha na nitaishi kwenye hii mikakati
Joel asante kwa kutufundisha maisha yaani wewe kaka mungu peke yake aendelee kukutunza na kukubariki zaidi unafundisha vizuri sana nafatilia sana video zako.
Yan kaka Joel mungu akubaliki sana ❤🙏🙏🌎 uzidi kwenda viwango vya kimataifa 🌎🌎⛪️
@alexmushi6017
Жыл бұрын
Hakika
@hamadnassor2523
Жыл бұрын
Hongera kaka tunajivunia kwa class zako
@JustaTz
2 ай бұрын
🙏🙏
Nashkuru mungu kwenye hizi njia zote nimepita and thank you 🙏
Mungu akubariki Sana,am learning a lot from you,na niseme tu hivi Sasa Nina uwezo wa kujiwekea akiba na kufanya vitu vya maana kupitia wewe, seminar zako na kitabu Cha money formula vimeniboost Sana🙏🏼🙏🏼
Nidhamu ya fedha ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo maishani
❤❤❤ Bank ya NBC Malengo inasaidia sana utoi pesa mpaka miez 6 nimeijaribu maana M Pesa imenishinda natumia pesa nyng MB na kubeti😮
@AbubakariYahaya-ej9mc
Ай бұрын
Hilo la mb na kubeti ni msiba kqetu
Nimepata hamasa kubwa Kwa hili fundisho lako, Lazima niyafanyie kazi mwaka huu 2023
Ahsanteee Broo nanauka kwa kutewa kwenye njia kuu juu ya nidhamu ya fedha.. njia zote ni nzuri na muhimu sana kuzitumia lakini mimi ningependa kuanza na njia ya kumshirikisha mtu nnae muheshimu na kuweka akiba,, naamini zitanisaidia kama ntazifuata kikamilifu.. **Ubarikiwe sana kwa masaada wako kwenye jamii**
@mariamzambi1995
Жыл бұрын
Amina sana. Nimeipenda hii njia ya kuwa na account bila ATM CARD. ubarikiwe sana . Acc ya WADU POSTA.
Nakuelewa sana brother @Joel Nanauka. Binafsi umenitoa mbali sana kuhusiana na nidhamu ya kifedha. Naendelea kujifunza zaidi🙏🙏
Thanks my friend for your advice God bless you
Nakukubali sana kaka Joel my Tz mentor I wish Nikuone one day 🙏❤️❤️
Binafsi nikushukuru sana Mimi ni dereva boda boda actually niseme natumia pesa ovyo sana nimejiwekea kiwango kidogo sana Cha shilingi ELFU kumi niweke Kila siku kwenye kazi yangu najiwekea Ndani kwangu ila haiputi siku Tano Nisha chukua so now umenipa njia nzuri na sahihi za kutunza pesa be blessed 🤌
@AshaMaulid-je6dq
Жыл бұрын
Pmk
@saidsaido8064
6 ай бұрын
Boss amekuona
@RoseMbwana
2 ай бұрын
Asante.. mimi nimetafua watu 10 kila trh30 kila mmoja anatoa laki moja
@khamisomary7428
Ай бұрын
Na tena tumia fixed account
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,mimi napenda kutumia njia ya kikoba nilichopata hapo ninunue vitu vya jumla nimechoka na rejareja
Since i started following your classes, you have been such a big help kwenye maisha yangu hasa kifedha.Mungu akubariki
Ahxante sanaa Mr Joel nanauka, hakika umetupa somo bora sanaa MUNGU AKUBARIKI,WEWE NI MTU MHIMU SANAA KTK HII JAMII MUNGU AKUBARIK SANAA
@jumabakary5166
11 ай бұрын
😊😊
Asante sana Kwa elimu nzuri hakika... Mungu akubariki
Hongera bro kwa kazi nzuri unayofanya. Maana unatujenga kifikra,mitazamo ili tuache yasiyofaa tuimarishe Hali zetu.
Nashukur sana kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa kwani nilikuwa sina utumiaji wa pesa vzr ilaa umenifungua sanaa akili yangu tangia nianze kufatiria ndundishi yako. Barikia sana 🙏🙏
Asante sana kaka leo nimekusikiliza na lipoti ijayo kwa neema ya Mungu itakuwa ni ushuhuda
Kaka Joel , Asante Sana kwa mafundisho yako,mm Nina akaunti ya akiba na vikoba.
Najivunia sana hii class I believe that one day yes
Nashukuru kaka njia nzuri zaidi ni hiyo ya benk kuzuia kutoa baada ya muda flan nimeipenda ntaifanyia kazi
Ubarikiwe mno kaka Joel na Mungu aendelee kukutumia zaidi
Be blessed nakukubali sana ndugu shukran
Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi japo nimechelewa
Njia ninayoona ni best kwangu ni kuweka ikiba kwa upatu na kufanya manunuzi ya ujumla... Ahsante sana kaka🙏🙏
Shukran sana Brother Darasa limeeleweka vzur unastahili maua yako.
Ubarikiwe Kaka!mafundisho yako mazuri sana
Asante sana bro .i have learned A lot 🙏🙏
Hongera sana brother kwa somo zuri hata mimi vikoba vimenisaidia sana kwakweli 🙏🏼
Shukran sana kiongozi kwa Elimu
Honger sana bro joel nanaukakwasaaa una video 669 zote hiz nimeziangalia na kuvifanyia vitendo asante sana
Yaan kuna kitu cha muhimu sana nmekipata hapa Asante kwa ushauri mzuri
Nimekukubali sana kaka. Mungu akubaliki sana. Rafiudine Assane Bartolomeu Toka Mozambique
Asante sana brother nimejifunza mengi sana kwako toka nikufahamu
Hongera sana brother kwa somo zuri Mungu akubariki pia tunasahidika sana
Asante kaka kwa somo hili mimi nipenda sana kutumia zaidi benki mala nyingi kwakuweka akiba
Be blessed brother umenipa funzo zurii
Asante kwa ushauri, naendelea kujifunza
Shukrani sana Kwa somo zuri!
More thanks
MUNGU akubariki Sana our mentor..
Shukrani Mr Nanauka. Kupitia chaneli hii nimefanikiwa jinsi ya kuweka akiba. Cha kujiongezea nitafungua akaunti ya Benki ili nihame m pesa niweke akiba yangu Benki. Ubarikiwe sana.
Thanks bro nmepatakitu kipya hpo cha "stansting order" be blessed bro🙏
##Nimekuelewa Sana broo...na nashukuru sana kwa SoMo maana kwangu mm hela napata Sana but matumizi makubwa...##
Thnx me naweza tumia hio njia ya 1 na ya 2 kupitia sacos na uptu asante sana mna biashara yngu ina mwaka sasa iko vle vle haikui na mashallah inatembea vzur tuh
Aksante sans bi.ejifunza mambo mengi kwako mungu akubarki
Shukrani kiongozi Nanauka tuko pamoj
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Asante kiongozi kwa kifungua vichwa vya wengi
Asante sana kaka na Mimi ni mtumiaji mbaya sana wa pesa mpaka huwa najiombea Mungu aniongoze
Nakuomba Uwe mentor wangu, na unanifuatilia kila mwezi. Asante
Thank you
Asante Joel kwa mafunzo yako. Katika kuweka akiba nashauri watu wa Mungu watumie Utt kama njia nyingine ya uwekeza jwa kuwa wanatoa gawio nzuri kwa mtindo wa compound interest ni nzuri sana .just try!
nimeipenda hiyo ya kuweka standing order be blessed brother
Asante sana baba Joel nanauka
Mungu akuweke maisha mengi kaka, tunataka kuonyesha matunda yako uliyo yapanda kwetu,
Nashukuru sana mungu akubarik sana
Asante sana na ubatikewe🙏🏼
Ahsante sana Kwa elimu Yako nimevutiwa sana na itakufatilia sana🙏🙏
Thank you bro
Ahsante Sana kaka mm nilisikiliza hii na Leo NARUDIA tena nilicheza upatu na mwezi huu napokea milion 7 na Laki mbili nikianza mwez wa 12 mwaka 2022. Mpk Sasa ni miezi nane nashukuru Sana na pesa hiyo nakwenda kufungua biashara ya huduma za kifedha.
Mungu akuongezee kaka..nakukubali Nivilee hujuh 2..god be with you
Asantee 🙏🙏🙏🙏
Asante sana coach Joel
Mbarikiwe mtumishi napenda mafundisho yako
Asante nimejufunza kwa mafundisho
Asante brother
Kazi njema zote nzuri ubarikiwe
Vijana wengi unatufundiaha maisha hakika ambayo hatojifunza na kuchukua hatua ni uzembe wake ila kaka inabadilisha maisha ya vijana wengi Mungu akubarik
Asante Kaka ubarikiwe mambo mengi nshayajua sasa makosa ya matumizi ya pesa niko mayo Dana Sasa nshajua njia
Asante kwa somo nimejifunza kitu
Dah,bro nashukulu sana kwa ushauli wako.
Broo asant San
Asnt sana mwl kwa mafundisho yako hakika umenibadilishia sana maisha yangu.. mm natumia vikoba
Brother ahsanteee sana kwa elimu Yako muhim ya maisha🙏🙏
Mtumish ahsante Sana najikuta nazidi kubadilika kamaisha kupitia masomoh yako
Asante tuku pamoja na darasa lako❤
Asante sana nimepata funzo
Asante sana kaka.
Asante sana kaka hakika unanipa hatua Kila Leo ndugu
Congratulations to you brother,mawazo yako nayatamani sana
Shukran sana
@emilkasela8398
3 ай бұрын
God bless u
Asante Sana Kaka najifuza kwako
Asante Bro kwa hii elimu
Be blessed
Asante kaka elimu unayitoa inanisaidia
Mungu akulinde uzidikutipatia somo maana daa nakuleewa sana
Asante sanaa naamini malengu yakununua Gari yatatimiaa
Nakuelewaga sana mwalimu Joel mimi binafsi njia ya vikindi ndo naitumia na naendelea vizuri ila malengo yangu simshirikishi yeyote lakini kuwa peke yangu imenijia vigumu mana kuna mahali nahitaji ushauri ila kwa somo hili nadhani ntaangalia watu ninao wakubali niwashirikishe ili nifikie malengo yangu
Upo vizur sn umenijenga sn nanauka
Tremondous amount of respect thank you Mr Nanauka .
Nimekupenda bule
Kaka Asante Sana unisandia Sana mpaka Sasa nimefanya Mambo ambayo nilikuwa naona siyawezi
ahsante sana mwalimu
Nothing but jaah bless kak❤