EPUKA HAYA KWENYE ENEO LA KAZI - JOEL NANAUKA

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 128

  • @gracekissila4812
    @gracekissila481210 ай бұрын

    Asante kwa mafundisho nimeipenda hiyo ya kuepuka kuchelewa huo ni ugonjwa kwangu yabidi nibadilike

  • @gloriakawago6223
    @gloriakawago622311 ай бұрын

    Kweli kabisa ukiepuka kukaa na watu wambea utafika mbali sana, naendelea kujifunza mengi kupitia wewe nimevuka hatua Moja kwenda nyingine, na ninafanya kile ambacho Nina uwezo nacho, see you at the top my Mental

  • @KMatrix628

    @KMatrix628

    10 ай бұрын

    Kaka una akili sna ww

  • @RogathoMangililwe

    @RogathoMangililwe

    16 күн бұрын

    🎉🎉

  • @nancydenis.9231
    @nancydenis.92312 ай бұрын

    ❤asante Kwa somo

  • @masungaprimaryschool
    @masungaprimaryschool10 ай бұрын

    Shukran Kwa madini unayoendelea kunipatia, be blessed

  • @KasubiJonathan
    @KasubiJonathanАй бұрын

    Nakubaoi Sana kaka mungu akulinde

  • @user-xh3wh9xo6h
    @user-xh3wh9xo6h10 ай бұрын

    Nakukubali sana my bother ishi sana, Mungu akutunze ❤ see you at the top

  • @kulwajumanne5282
    @kulwajumanne528211 ай бұрын

    kweli kabisa kiongozi nakukubari sana ww ni mwalimu wangu wa maisha

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw10 ай бұрын

    Broo Joel we ni mtu na nusu ( it means we ni bingwa) Mungu akubariki sana .

  • @user-wu2ek2cm7w
    @user-wu2ek2cm7w7 ай бұрын

    Mungu akubariki sanaaa

  • @user-ro4dc5ob1t
    @user-ro4dc5ob1t11 ай бұрын

    Ubarikiwe kwa unachokifanya kaka joer

  • @user-es3fb8tv2q
    @user-es3fb8tv2q6 ай бұрын

    Fact brother

  • @rashidsaid1890
    @rashidsaid189010 ай бұрын

    Master wa chakula cha ubongo

  • @user-ks9lf1vu1q
    @user-ks9lf1vu1q11 ай бұрын

    Kwel kabisa

  • @TheodoraRobert-lz5gr
    @TheodoraRobert-lz5gr11 ай бұрын

    Hongera Sana mwalimu mzuri unazidi kunipanua kifikra

  • @mbogotelespholi797
    @mbogotelespholi79710 ай бұрын

    Daaaah??? Kaka joeli kwa kweli umefunza mengi saanaa kupitia video hii, Mungu anisaidie kwa jambo la mwisho, talikaziaa mpaka kieleweke kaka

  • @ahz6907
    @ahz690711 ай бұрын

    Be blessed my brother from another mother....

  • @furahagwasa7312
    @furahagwasa731211 ай бұрын

    Umenifanya tajiri mtoto

  • @RachelKamoga-ws9cx
    @RachelKamoga-ws9cx11 ай бұрын

    God bless you brother 🙏

  • @BikeyBarber
    @BikeyBarber3 ай бұрын

    Great

  • @deusmpili772
    @deusmpili7729 ай бұрын

    Asante kaka umenifanya niwe wa tofauti

  • @fatmamwiru7574
    @fatmamwiru757410 ай бұрын

    Umeongea ukweli mengi yamenigusa,Nimejifunza vingi sana.Ubarikiwe Sanaa

  • @saumumohammed5630
    @saumumohammed563010 ай бұрын

    Nakupenda sana kaka najifunza mengi

  • @abubakarishame2624
    @abubakarishame262410 ай бұрын

    Shukran Mungu kubariki kwa elimu

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul186611 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤Asante ubarikiwe😊😊🎉🎉🎉🎉

  • @IssackMhandi-fp3dc
    @IssackMhandi-fp3dc17 күн бұрын

    Ahsante sana kwa Elimu hii

  • @ibrahimyoungtz4722
    @ibrahimyoungtz472211 ай бұрын

    Asantee sana kwakutupa dalasa vitu vingi najifunza.👍✍️

  • @ingodwetrust.239
    @ingodwetrust.23910 ай бұрын

    Bro I did subscribe now you have good ideas keep it up from 🇺🇸

  • @JamesTiamazyMpoke
    @JamesTiamazyMpoke11 ай бұрын

    Kaka Joel Nanauka hujambo msomaji na mwalimu wangu wa maisha kwa hakika hizi mistari yanaweza kunyooshea njia kwa mahali ambapo kimepinduka asante sana

  • @JamesTiamazyMpoke

    @JamesTiamazyMpoke

    11 ай бұрын

    Kaka Joel Nanauka nipe namba yako ya Whatsapp nipo Kenya Nairobi maanake zile ninazo sikupati vizuri

  • @user-xt4gg8lt4t
    @user-xt4gg8lt4t10 ай бұрын

    Bro, kusema kweli unatoa madini sana asee, SALUTE kwa kuendelea kutupa elimu ya mtaani nimejifunza mengi kupitia video zako.

  • @franciskimaro8028
    @franciskimaro802810 ай бұрын

    kweli kak

  • @floramkumbi3257
    @floramkumbi325710 ай бұрын

    Kwenye biashara kuna mtu ni kama hakutaka nifungue biashara eneo hili au ni wivu kuona napiga hatua basi anapenda kunifumbia mafumbo na kunipandia chuki kwa wafanyabiashara wengine ila mie nafanya kama sielewi chochote na kutojali na kukaa naye mbali naendelea na shughuli zangu kama kawaida. Asante kwa somo najifunza zaidi

  • @user-sf8sr1sg5y

    @user-sf8sr1sg5y

    20 күн бұрын

    Ongera kipenz name nalipitia ili kwaa sasa😢

  • @MussaIssaya-up1zu
    @MussaIssaya-up1zu25 күн бұрын

    Daaah! hapa na mm ni mmoja wao

  • @SembaEronje
    @SembaEronje6 ай бұрын

    👏👏

  • @mkalimkali640
    @mkalimkali64011 ай бұрын

    Asante kiongozi

  • @nicholasmuuria
    @nicholasmuuria11 ай бұрын

    Mwalim asate

  • @Twistanboy05
    @Twistanboy0510 ай бұрын

    kweli kaka,,umeongea fact,,,wapo watu wa dizaini hiyo wengi sana wanao tuzunguka makazini either hii itakuwa ni moja ya fundisho muhimu mishani,,,see you broo

  • @clarasabutoke6907
    @clarasabutoke690711 ай бұрын

    Asante sana

  • @AllyJohn-cp8lw
    @AllyJohn-cp8lwАй бұрын

    naomba vitabu kaka

  • @marionflorian5999
    @marionflorian599910 ай бұрын

    Short summary 1. Usitoe ahadi usiyoweza kutimiza (kuwa over ambitious) hasa kama hauna uwezo wa kuifanya 2. Kujifanya kuwa una mamlaka ambayo hauna. Zingatia mipaka yako. 3. Focusing on minimum expectations, hufanyi jambo la ziada ofisini, epuka kufanya mambo kwa kawaida na kwa mazoea🙌🏾 exceptionality 4. Kurudia makosa yale yale kila wakati sababu ni kupuuzia mambo na una kosa umakini. 5. Usijiunge na wambea (gossip club) watu wanaodiscuss watu wengine🙌🏾 waepuke sanaa. 6. Epuka kuchelewa kazini hii inakufanya uonekane hauko serious, maana watu wana attach muda na seriousness yako. - kuchelewa kuingia ofisini - kuchelewa vikao - kuchelewa kusubmit kazi, lazima ufuatiliwe Asante Joel🙏🏾

  • @YusuphSeleman-qi6sl

    @YusuphSeleman-qi6sl

    10 ай бұрын

    🙏🙏

  • @Twistanboy05

    @Twistanboy05

    10 ай бұрын

    asanten sana nazid kujifunza

  • @ZeraGeofrey

    @ZeraGeofrey

    9 ай бұрын

    Barikiwa

  • @davidawet3214
    @davidawet321411 ай бұрын

    Kuchelewa

  • @neemamsaki1111
    @neemamsaki11113 ай бұрын

    Mimi ni mtumiaji mbaya wa mda siendi kwa wakati 😢😢…. Si mlalizaji wa jambo😢…narudia makosa yaani nabadilika kwanzia leo

  • @anithapol5341

    @anithapol5341

    5 күн бұрын

    😂😂😂 pole

  • @teacher_dory
    @teacher_dory10 ай бұрын

    Asante Kaka Joel , mimi nimejifunza kitu kikubwa sana

  • @bundalathomasyohana-yu3ld
    @bundalathomasyohana-yu3ld4 ай бұрын

    Kaka Joel nimejifunza mengi sana kupitia maelekezo Yako nimeyafuata nimeona kitu Asante

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj9 ай бұрын

    Ujumbe mzuri sana

  • @pulcheriamayombo5780
    @pulcheriamayombo57809 ай бұрын

    Asante kwakweli nachelewa kazini mila siku umenisaidia.

  • @bennygwasa4563
    @bennygwasa456310 ай бұрын

    Asante sana mwl nimepata kitu cha kurekebisha

  • @user-jd5hd4ox5d
    @user-jd5hd4ox5d3 ай бұрын

    Shukran nmejifunza

  • @paulouma3958
    @paulouma395811 ай бұрын

    Nikueli atamimi Niko na iyo shida yaku chelewa

  • @anselmokidaboma9328
    @anselmokidaboma932811 ай бұрын

    Shukrani sana

  • @user-ld3nh3mq2i
    @user-ld3nh3mq2i11 ай бұрын

    Shukran mwalim

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t2 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @JosephEzekiel-tb5re
    @JosephEzekiel-tb5re9 ай бұрын

    Kaka mungu akutunze sana

  • @user-ki5oj6cl3y
    @user-ki5oj6cl3y11 ай бұрын

    Real broo Godbless you.

  • @joycefuraha6403
    @joycefuraha64033 ай бұрын

    Asante sana Kaka Joel

  • @user-pd8yq7ph8n
    @user-pd8yq7ph8n10 ай бұрын

    Hakika unajua Bro na umenifunza Mengi sana kupitia kipindi chako....

  • @timothydav1639
    @timothydav163910 ай бұрын

    Dood

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo2 ай бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu nabadilika kuanzia Leo nimepoteza sana mda 🙏🙏🙏

  • @DoriceDaniel-ct4co
    @DoriceDaniel-ct4co10 ай бұрын

    Nikweli naona ilinikositi Sana Ila baada yakukaa mbali nikaepusha mengi

  • @saumuyahaya8959
    @saumuyahaya895910 ай бұрын

    Mm nakushuru 2

  • @Mahmoudsivah2019
    @Mahmoudsivah201911 ай бұрын

    Ahsante 🎉

  • @jdm1459
    @jdm145911 ай бұрын

    Asante Sana

  • @mzeezidane4060
    @mzeezidane40609 ай бұрын

    Nashukuru sana kazi njema kbx

  • @clarasabutoke6907
    @clarasabutoke690711 ай бұрын

    Waiting

  • @user-jc8ow9gm5e
    @user-jc8ow9gm5e5 ай бұрын

    Nakukubali kaka Joel umenibadilisha San Na kujipa ujasiri kwa kitu chchte ninachoona kwang n sahihi

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum727911 ай бұрын

    Barikiwa sana my brother Joel ❤

  • @johnjosiah5694
    @johnjosiah569410 ай бұрын

    Barikiwa kaka

  • @HaniyaKisingo
    @HaniyaKisingo11 ай бұрын

    Barikiwa wewe ni mwalimu mzuri sana 🎉

  • @user-dn4ko3uc2y

    @user-dn4ko3uc2y

    5 ай бұрын

    Kaka ni kweli

  • @richardvalson4313
    @richardvalson431311 ай бұрын

    Asante kwa Elimu nzuri unayo tuelimisha🙏

  • @user-uh3he6lr4m
    @user-uh3he6lr4m9 ай бұрын

    Yaaan My brother kinachoniferisha nikutoa ahadi ambzo sitoweza kuzifanya

  • @zabronmarco1430
    @zabronmarco143011 ай бұрын

    More thanks

  • @perpetuajambia9021
    @perpetuajambia90214 ай бұрын

    Hongera sana kwa elimu hii. Mungu akubariki

  • @naomimollel2292
    @naomimollel2292Ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @emmanuelmashaka1769
    @emmanuelmashaka176911 ай бұрын

    🙏

  • @williamcosmas1986
    @williamcosmas198610 ай бұрын

    Asante kaka Nanauka

  • @user-jx7nr7ll3x
    @user-jx7nr7ll3x5 сағат бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma323110 ай бұрын

    Remain blessed❤

  • @user-ze9mn4nh9i
    @user-ze9mn4nh9i2 ай бұрын

    asante kwa somo zuri

  • @vascomwalongo451
    @vascomwalongo4517 ай бұрын

    Asante Sana Kaka Joel. Points zote zimenigusa. Ninazifanyia Kazi.

  • @jenithandone3333
    @jenithandone333311 ай бұрын

    Well said

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea515311 ай бұрын

    Sahihi

  • @user-uo4ug1ym2e
    @user-uo4ug1ym2e2 ай бұрын

    Asante 🎉

  • @user-je5wy4bi4d
    @user-je5wy4bi4d10 ай бұрын

    Kaka sio tattoo extraordinary shida unaangalia na sehemu ya kujitoa na kujiongezaa maana utakuta unabebeshwa mizigo mingi na walama ambazo za kazi ulizo jitoleaa alafu wengine ni wanyonyaji tuu hautopata fidia yoyote ya kujitoa kwako

  • @hildakayun6445

    @hildakayun6445

    Ай бұрын

    Reward ya pesa inakuja kutokana na kitu kizur ulichofanya

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga737811 ай бұрын

    Exellent wa hivyo wako wengi sana.

  • @nadiaseif
    @nadiaseif6 ай бұрын

    Shukran sanaa coach🙏nasumbuliwa na kosa la kuchelewa na naelekea kuacha tabia hiy

  • @boyrobby5612
    @boyrobby561210 ай бұрын

    kufika kazini kwa wakati🥲 kuludia makosa😢 kujiweka wewe ndo mkubwa 😭 kufanya kitu kimoja bila kua creat😓 i need change💪

  • @davidfrancis8582
    @davidfrancis85824 ай бұрын

    Thanks

  • @AmisiHassaniTygo
    @AmisiHassaniTygo11 ай бұрын

    See you st the top

  • @user-vx1ji2fm7f
    @user-vx1ji2fm7f5 ай бұрын

    Du kwakweli mungu akupe nguvu kwa ajili ya kutufundisha, ila mimi niko moçambique nilikuwa naomba namba yako ya wtsp ili nikuulize mambo mengine, obrigado Joel .

  • @JRICHARD-qb8wy
    @JRICHARD-qb8wy3 ай бұрын

    Kaka umenifundisha kitu na nitakitendea kazi ubalikiwe kaka🙏🏿🙏🏿

  • @trophywilson7211
    @trophywilson721111 ай бұрын

    Hee kumbe ni Mchungaji huyu Joel Nanauka sijui??aise

  • @masilastahona7010
    @masilastahona701011 ай бұрын

    💯💯

  • @ismailsalum6958
    @ismailsalum695810 ай бұрын

    thank you

  • @user-hr7wl4vg9h
    @user-hr7wl4vg9h11 ай бұрын

    saihii kaka

  • @mosesfrancis8495
    @mosesfrancis84959 күн бұрын

    Hakika

  • @EdwardLaizer-zg5to
    @EdwardLaizer-zg5to9 ай бұрын

    Brother unatufungua kwa asilimia kubwa sanaa,kwa wanao kufutilia watafanikiwa kwa asilimia kubwa sanaa

  • @Patrick-rf6ro
    @Patrick-rf6ro10 ай бұрын

    Asante

  • @elizabethmtei8454
    @elizabethmtei845410 ай бұрын

    somo at a right time am glady to know you

  • @theodoraaloys878

    @theodoraaloys878

    10 ай бұрын

    Hongeera sana kaka uko vizuri.huwa ninapenda mafundisho yako.Mungu akubariki saaana.

  • @jenithandyetabula3805
    @jenithandyetabula380510 ай бұрын

    👏👏👏👏👍

  • @monicakauky8914
    @monicakauky891419 күн бұрын

    Kuepuka,gossip club.

  • @mjemachannel7591
    @mjemachannel759125 күн бұрын

    MAMBO YA KUEPUKA UNAPOKUWA KAZINi 1]Isitoe ahadi ambazo huwezi kuzitimiza.[kumbe unajua haliwezekani ila unashindwa kusema hapa ndio maana unatoa ahadi za uongo] 2] Zingatia mipaka yako ya kazi 3] Epuka kufanya kazi kwa mazoea jaribu kuwa mbunifu 4]Usiwe unarudia makosa yale yale ]utaonekana una dharau na hautaaminika tena 5]Jiepushe na watu wanaopenda kujadili mambo ya Watu wengine 6]Epuka kuwa mchelewaji [itapelekea watu kukuona haupo makini