Asante kwa mafundisho nimeipenda hiyo ya kuepuka kuchelewa huo ni ugonjwa kwangu yabidi nibadilike
@gloriakawago622311 ай бұрын
Kweli kabisa ukiepuka kukaa na watu wambea utafika mbali sana, naendelea kujifunza mengi kupitia wewe nimevuka hatua Moja kwenda nyingine, na ninafanya kile ambacho Nina uwezo nacho, see you at the top my Mental
@KMatrix628
10 ай бұрын
Kaka una akili sna ww
@RogathoMangililwe
16 күн бұрын
🎉🎉
@nancydenis.92312 ай бұрын
❤asante Kwa somo
@masungaprimaryschool10 ай бұрын
Shukran Kwa madini unayoendelea kunipatia, be blessed
@KasubiJonathanАй бұрын
Nakubaoi Sana kaka mungu akulinde
@user-xh3wh9xo6h10 ай бұрын
Nakukubali sana my bother ishi sana, Mungu akutunze ❤ see you at the top
@kulwajumanne528211 ай бұрын
kweli kabisa kiongozi nakukubari sana ww ni mwalimu wangu wa maisha
@saidsheha-wn4qw10 ай бұрын
Broo Joel we ni mtu na nusu ( it means we ni bingwa) Mungu akubariki sana .
@user-wu2ek2cm7w7 ай бұрын
Mungu akubariki sanaaa
@user-ro4dc5ob1t11 ай бұрын
Ubarikiwe kwa unachokifanya kaka joer
@user-es3fb8tv2q6 ай бұрын
Fact brother
@rashidsaid189010 ай бұрын
Master wa chakula cha ubongo
@user-ks9lf1vu1q11 ай бұрын
Kwel kabisa
@TheodoraRobert-lz5gr11 ай бұрын
Hongera Sana mwalimu mzuri unazidi kunipanua kifikra
@mbogotelespholi79710 ай бұрын
Daaaah??? Kaka joeli kwa kweli umefunza mengi saanaa kupitia video hii, Mungu anisaidie kwa jambo la mwisho, talikaziaa mpaka kieleweke kaka
@ahz690711 ай бұрын
Be blessed my brother from another mother....
@furahagwasa731211 ай бұрын
Umenifanya tajiri mtoto
@RachelKamoga-ws9cx11 ай бұрын
God bless you brother 🙏
@BikeyBarber3 ай бұрын
Great
@deusmpili7729 ай бұрын
Asante kaka umenifanya niwe wa tofauti
@fatmamwiru757410 ай бұрын
Umeongea ukweli mengi yamenigusa,Nimejifunza vingi sana.Ubarikiwe Sanaa
@saumumohammed563010 ай бұрын
Nakupenda sana kaka najifunza mengi
@abubakarishame262410 ай бұрын
Shukran Mungu kubariki kwa elimu
@agnesspaul186611 ай бұрын
❤❤❤❤❤Asante ubarikiwe😊😊🎉🎉🎉🎉
@IssackMhandi-fp3dc17 күн бұрын
Ahsante sana kwa Elimu hii
@ibrahimyoungtz472211 ай бұрын
Asantee sana kwakutupa dalasa vitu vingi najifunza.👍✍️
@ingodwetrust.23910 ай бұрын
Bro I did subscribe now you have good ideas keep it up from 🇺🇸
@JamesTiamazyMpoke11 ай бұрын
Kaka Joel Nanauka hujambo msomaji na mwalimu wangu wa maisha kwa hakika hizi mistari yanaweza kunyooshea njia kwa mahali ambapo kimepinduka asante sana
@JamesTiamazyMpoke
11 ай бұрын
Kaka Joel Nanauka nipe namba yako ya Whatsapp nipo Kenya Nairobi maanake zile ninazo sikupati vizuri
@user-xt4gg8lt4t10 ай бұрын
Bro, kusema kweli unatoa madini sana asee, SALUTE kwa kuendelea kutupa elimu ya mtaani nimejifunza mengi kupitia video zako.
@franciskimaro802810 ай бұрын
kweli kak
@floramkumbi325710 ай бұрын
Kwenye biashara kuna mtu ni kama hakutaka nifungue biashara eneo hili au ni wivu kuona napiga hatua basi anapenda kunifumbia mafumbo na kunipandia chuki kwa wafanyabiashara wengine ila mie nafanya kama sielewi chochote na kutojali na kukaa naye mbali naendelea na shughuli zangu kama kawaida. Asante kwa somo najifunza zaidi
@user-sf8sr1sg5y
20 күн бұрын
Ongera kipenz name nalipitia ili kwaa sasa😢
@MussaIssaya-up1zu25 күн бұрын
Daaah! hapa na mm ni mmoja wao
@SembaEronje6 ай бұрын
👏👏
@mkalimkali64011 ай бұрын
Asante kiongozi
@nicholasmuuria11 ай бұрын
Mwalim asate
@Twistanboy0510 ай бұрын
kweli kaka,,umeongea fact,,,wapo watu wa dizaini hiyo wengi sana wanao tuzunguka makazini either hii itakuwa ni moja ya fundisho muhimu mishani,,,see you broo
@clarasabutoke690711 ай бұрын
Asante sana
@AllyJohn-cp8lwАй бұрын
naomba vitabu kaka
@marionflorian599910 ай бұрын
Short summary 1. Usitoe ahadi usiyoweza kutimiza (kuwa over ambitious) hasa kama hauna uwezo wa kuifanya 2. Kujifanya kuwa una mamlaka ambayo hauna. Zingatia mipaka yako. 3. Focusing on minimum expectations, hufanyi jambo la ziada ofisini, epuka kufanya mambo kwa kawaida na kwa mazoea🙌🏾 exceptionality 4. Kurudia makosa yale yale kila wakati sababu ni kupuuzia mambo na una kosa umakini. 5. Usijiunge na wambea (gossip club) watu wanaodiscuss watu wengine🙌🏾 waepuke sanaa. 6. Epuka kuchelewa kazini hii inakufanya uonekane hauko serious, maana watu wana attach muda na seriousness yako. - kuchelewa kuingia ofisini - kuchelewa vikao - kuchelewa kusubmit kazi, lazima ufuatiliwe Asante Joel🙏🏾
@YusuphSeleman-qi6sl
10 ай бұрын
🙏🙏
@Twistanboy05
10 ай бұрын
asanten sana nazid kujifunza
@ZeraGeofrey
9 ай бұрын
Barikiwa
@davidawet321411 ай бұрын
Kuchelewa
@neemamsaki11113 ай бұрын
Mimi ni mtumiaji mbaya wa mda siendi kwa wakati 😢😢…. Si mlalizaji wa jambo😢…narudia makosa yaani nabadilika kwanzia leo
@anithapol5341
5 күн бұрын
😂😂😂 pole
@teacher_dory10 ай бұрын
Asante Kaka Joel , mimi nimejifunza kitu kikubwa sana
@bundalathomasyohana-yu3ld4 ай бұрын
Kaka Joel nimejifunza mengi sana kupitia maelekezo Yako nimeyafuata nimeona kitu Asante
@zabrongermanus-co1jj9 ай бұрын
Ujumbe mzuri sana
@pulcheriamayombo57809 ай бұрын
Asante kwakweli nachelewa kazini mila siku umenisaidia.
@bennygwasa456310 ай бұрын
Asante sana mwl nimepata kitu cha kurekebisha
@user-jd5hd4ox5d3 ай бұрын
Shukran nmejifunza
@paulouma395811 ай бұрын
Nikueli atamimi Niko na iyo shida yaku chelewa
@anselmokidaboma932811 ай бұрын
Shukrani sana
@user-ld3nh3mq2i11 ай бұрын
Shukran mwalim
@user-ru6ct4rh3t2 ай бұрын
🙏🙏🙏
@JosephEzekiel-tb5re9 ай бұрын
Kaka mungu akutunze sana
@user-ki5oj6cl3y11 ай бұрын
Real broo Godbless you.
@joycefuraha64033 ай бұрын
Asante sana Kaka Joel
@user-pd8yq7ph8n10 ай бұрын
Hakika unajua Bro na umenifunza Mengi sana kupitia kipindi chako....
@timothydav163910 ай бұрын
Dood
@JemaMbwilo2 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu nabadilika kuanzia Leo nimepoteza sana mda 🙏🙏🙏
@DoriceDaniel-ct4co10 ай бұрын
Nikweli naona ilinikositi Sana Ila baada yakukaa mbali nikaepusha mengi
@saumuyahaya895910 ай бұрын
Mm nakushuru 2
@Mahmoudsivah201911 ай бұрын
Ahsante 🎉
@jdm145911 ай бұрын
Asante Sana
@mzeezidane40609 ай бұрын
Nashukuru sana kazi njema kbx
@clarasabutoke690711 ай бұрын
Waiting
@user-jc8ow9gm5e5 ай бұрын
Nakukubali kaka Joel umenibadilisha San Na kujipa ujasiri kwa kitu chchte ninachoona kwang n sahihi
@faudhiasalum727911 ай бұрын
Barikiwa sana my brother Joel ❤
@johnjosiah569410 ай бұрын
Barikiwa kaka
@HaniyaKisingo11 ай бұрын
Barikiwa wewe ni mwalimu mzuri sana 🎉
@user-dn4ko3uc2y
5 ай бұрын
Kaka ni kweli
@richardvalson431311 ай бұрын
Asante kwa Elimu nzuri unayo tuelimisha🙏
@user-uh3he6lr4m9 ай бұрын
Yaaan My brother kinachoniferisha nikutoa ahadi ambzo sitoweza kuzifanya
@zabronmarco143011 ай бұрын
More thanks
@perpetuajambia90214 ай бұрын
Hongera sana kwa elimu hii. Mungu akubariki
@naomimollel2292Ай бұрын
Kweli kabisa
@emmanuelmashaka176911 ай бұрын
🙏
@williamcosmas198610 ай бұрын
Asante kaka Nanauka
@user-jx7nr7ll3x5 сағат бұрын
❤❤❤❤❤
@gracekagoma323110 ай бұрын
Remain blessed❤
@user-ze9mn4nh9i2 ай бұрын
asante kwa somo zuri
@vascomwalongo4517 ай бұрын
Asante Sana Kaka Joel. Points zote zimenigusa. Ninazifanyia Kazi.
@jenithandone333311 ай бұрын
Well said
@stanleyandrea515311 ай бұрын
Sahihi
@user-uo4ug1ym2e2 ай бұрын
Asante 🎉
@user-je5wy4bi4d10 ай бұрын
Kaka sio tattoo extraordinary shida unaangalia na sehemu ya kujitoa na kujiongezaa maana utakuta unabebeshwa mizigo mingi na walama ambazo za kazi ulizo jitoleaa alafu wengine ni wanyonyaji tuu hautopata fidia yoyote ya kujitoa kwako
@hildakayun6445
Ай бұрын
Reward ya pesa inakuja kutokana na kitu kizur ulichofanya
@mabulamasunga737811 ай бұрын
Exellent wa hivyo wako wengi sana.
@nadiaseif6 ай бұрын
Shukran sanaa coach🙏nasumbuliwa na kosa la kuchelewa na naelekea kuacha tabia hiy
@boyrobby561210 ай бұрын
kufika kazini kwa wakati🥲 kuludia makosa😢 kujiweka wewe ndo mkubwa 😭 kufanya kitu kimoja bila kua creat😓 i need change💪
@davidfrancis85824 ай бұрын
Thanks
@AmisiHassaniTygo11 ай бұрын
See you st the top
@user-vx1ji2fm7f5 ай бұрын
Du kwakweli mungu akupe nguvu kwa ajili ya kutufundisha, ila mimi niko moçambique nilikuwa naomba namba yako ya wtsp ili nikuulize mambo mengine, obrigado Joel .
@JRICHARD-qb8wy3 ай бұрын
Kaka umenifundisha kitu na nitakitendea kazi ubalikiwe kaka🙏🏿🙏🏿
@trophywilson721111 ай бұрын
Hee kumbe ni Mchungaji huyu Joel Nanauka sijui??aise
@masilastahona701011 ай бұрын
💯💯
@ismailsalum695810 ай бұрын
thank you
@user-hr7wl4vg9h11 ай бұрын
saihii kaka
@mosesfrancis84959 күн бұрын
Hakika
@EdwardLaizer-zg5to9 ай бұрын
Brother unatufungua kwa asilimia kubwa sanaa,kwa wanao kufutilia watafanikiwa kwa asilimia kubwa sanaa
@Patrick-rf6ro10 ай бұрын
Asante
@elizabethmtei845410 ай бұрын
somo at a right time am glady to know you
@theodoraaloys878
10 ай бұрын
Hongeera sana kaka uko vizuri.huwa ninapenda mafundisho yako.Mungu akubariki saaana.
@jenithandyetabula380510 ай бұрын
👏👏👏👏👍
@monicakauky891419 күн бұрын
Kuepuka,gossip club.
@mjemachannel759125 күн бұрын
MAMBO YA KUEPUKA UNAPOKUWA KAZINi 1]Isitoe ahadi ambazo huwezi kuzitimiza.[kumbe unajua haliwezekani ila unashindwa kusema hapa ndio maana unatoa ahadi za uongo] 2] Zingatia mipaka yako ya kazi 3] Epuka kufanya kazi kwa mazoea jaribu kuwa mbunifu 4]Usiwe unarudia makosa yale yale ]utaonekana una dharau na hautaaminika tena 5]Jiepushe na watu wanaopenda kujadili mambo ya Watu wengine 6]Epuka kuwa mchelewaji [itapelekea watu kukuona haupo makini
Пікірлер: 128
Asante kwa mafundisho nimeipenda hiyo ya kuepuka kuchelewa huo ni ugonjwa kwangu yabidi nibadilike
Kweli kabisa ukiepuka kukaa na watu wambea utafika mbali sana, naendelea kujifunza mengi kupitia wewe nimevuka hatua Moja kwenda nyingine, na ninafanya kile ambacho Nina uwezo nacho, see you at the top my Mental
@KMatrix628
10 ай бұрын
Kaka una akili sna ww
@RogathoMangililwe
16 күн бұрын
🎉🎉
❤asante Kwa somo
Shukran Kwa madini unayoendelea kunipatia, be blessed
Nakubaoi Sana kaka mungu akulinde
Nakukubali sana my bother ishi sana, Mungu akutunze ❤ see you at the top
kweli kabisa kiongozi nakukubari sana ww ni mwalimu wangu wa maisha
Broo Joel we ni mtu na nusu ( it means we ni bingwa) Mungu akubariki sana .
Mungu akubariki sanaaa
Ubarikiwe kwa unachokifanya kaka joer
Fact brother
Master wa chakula cha ubongo
Kwel kabisa
Hongera Sana mwalimu mzuri unazidi kunipanua kifikra
Daaaah??? Kaka joeli kwa kweli umefunza mengi saanaa kupitia video hii, Mungu anisaidie kwa jambo la mwisho, talikaziaa mpaka kieleweke kaka
Be blessed my brother from another mother....
Umenifanya tajiri mtoto
God bless you brother 🙏
Great
Asante kaka umenifanya niwe wa tofauti
Umeongea ukweli mengi yamenigusa,Nimejifunza vingi sana.Ubarikiwe Sanaa
Nakupenda sana kaka najifunza mengi
Shukran Mungu kubariki kwa elimu
❤❤❤❤❤Asante ubarikiwe😊😊🎉🎉🎉🎉
Ahsante sana kwa Elimu hii
Asantee sana kwakutupa dalasa vitu vingi najifunza.👍✍️
Bro I did subscribe now you have good ideas keep it up from 🇺🇸
Kaka Joel Nanauka hujambo msomaji na mwalimu wangu wa maisha kwa hakika hizi mistari yanaweza kunyooshea njia kwa mahali ambapo kimepinduka asante sana
@JamesTiamazyMpoke
11 ай бұрын
Kaka Joel Nanauka nipe namba yako ya Whatsapp nipo Kenya Nairobi maanake zile ninazo sikupati vizuri
Bro, kusema kweli unatoa madini sana asee, SALUTE kwa kuendelea kutupa elimu ya mtaani nimejifunza mengi kupitia video zako.
kweli kak
Kwenye biashara kuna mtu ni kama hakutaka nifungue biashara eneo hili au ni wivu kuona napiga hatua basi anapenda kunifumbia mafumbo na kunipandia chuki kwa wafanyabiashara wengine ila mie nafanya kama sielewi chochote na kutojali na kukaa naye mbali naendelea na shughuli zangu kama kawaida. Asante kwa somo najifunza zaidi
@user-sf8sr1sg5y
20 күн бұрын
Ongera kipenz name nalipitia ili kwaa sasa😢
Daaah! hapa na mm ni mmoja wao
👏👏
Asante kiongozi
Mwalim asate
kweli kaka,,umeongea fact,,,wapo watu wa dizaini hiyo wengi sana wanao tuzunguka makazini either hii itakuwa ni moja ya fundisho muhimu mishani,,,see you broo
Asante sana
naomba vitabu kaka
Short summary 1. Usitoe ahadi usiyoweza kutimiza (kuwa over ambitious) hasa kama hauna uwezo wa kuifanya 2. Kujifanya kuwa una mamlaka ambayo hauna. Zingatia mipaka yako. 3. Focusing on minimum expectations, hufanyi jambo la ziada ofisini, epuka kufanya mambo kwa kawaida na kwa mazoea🙌🏾 exceptionality 4. Kurudia makosa yale yale kila wakati sababu ni kupuuzia mambo na una kosa umakini. 5. Usijiunge na wambea (gossip club) watu wanaodiscuss watu wengine🙌🏾 waepuke sanaa. 6. Epuka kuchelewa kazini hii inakufanya uonekane hauko serious, maana watu wana attach muda na seriousness yako. - kuchelewa kuingia ofisini - kuchelewa vikao - kuchelewa kusubmit kazi, lazima ufuatiliwe Asante Joel🙏🏾
@YusuphSeleman-qi6sl
10 ай бұрын
🙏🙏
@Twistanboy05
10 ай бұрын
asanten sana nazid kujifunza
@ZeraGeofrey
9 ай бұрын
Barikiwa
Kuchelewa
Mimi ni mtumiaji mbaya wa mda siendi kwa wakati 😢😢…. Si mlalizaji wa jambo😢…narudia makosa yaani nabadilika kwanzia leo
@anithapol5341
5 күн бұрын
😂😂😂 pole
Asante Kaka Joel , mimi nimejifunza kitu kikubwa sana
Kaka Joel nimejifunza mengi sana kupitia maelekezo Yako nimeyafuata nimeona kitu Asante
Ujumbe mzuri sana
Asante kwakweli nachelewa kazini mila siku umenisaidia.
Asante sana mwl nimepata kitu cha kurekebisha
Shukran nmejifunza
Nikueli atamimi Niko na iyo shida yaku chelewa
Shukrani sana
Shukran mwalim
🙏🙏🙏
Kaka mungu akutunze sana
Real broo Godbless you.
Asante sana Kaka Joel
Hakika unajua Bro na umenifunza Mengi sana kupitia kipindi chako....
Dood
Asante sana mtumishi wa Mungu nabadilika kuanzia Leo nimepoteza sana mda 🙏🙏🙏
Nikweli naona ilinikositi Sana Ila baada yakukaa mbali nikaepusha mengi
Mm nakushuru 2
Ahsante 🎉
Asante Sana
Nashukuru sana kazi njema kbx
Waiting
Nakukubali kaka Joel umenibadilisha San Na kujipa ujasiri kwa kitu chchte ninachoona kwang n sahihi
Barikiwa sana my brother Joel ❤
Barikiwa kaka
Barikiwa wewe ni mwalimu mzuri sana 🎉
@user-dn4ko3uc2y
5 ай бұрын
Kaka ni kweli
Asante kwa Elimu nzuri unayo tuelimisha🙏
Yaaan My brother kinachoniferisha nikutoa ahadi ambzo sitoweza kuzifanya
More thanks
Hongera sana kwa elimu hii. Mungu akubariki
Kweli kabisa
🙏
Asante kaka Nanauka
❤❤❤❤❤
Remain blessed❤
asante kwa somo zuri
Asante Sana Kaka Joel. Points zote zimenigusa. Ninazifanyia Kazi.
Well said
Sahihi
Asante 🎉
Kaka sio tattoo extraordinary shida unaangalia na sehemu ya kujitoa na kujiongezaa maana utakuta unabebeshwa mizigo mingi na walama ambazo za kazi ulizo jitoleaa alafu wengine ni wanyonyaji tuu hautopata fidia yoyote ya kujitoa kwako
@hildakayun6445
Ай бұрын
Reward ya pesa inakuja kutokana na kitu kizur ulichofanya
Exellent wa hivyo wako wengi sana.
Shukran sanaa coach🙏nasumbuliwa na kosa la kuchelewa na naelekea kuacha tabia hiy
kufika kazini kwa wakati🥲 kuludia makosa😢 kujiweka wewe ndo mkubwa 😭 kufanya kitu kimoja bila kua creat😓 i need change💪
Thanks
See you st the top
Du kwakweli mungu akupe nguvu kwa ajili ya kutufundisha, ila mimi niko moçambique nilikuwa naomba namba yako ya wtsp ili nikuulize mambo mengine, obrigado Joel .
Kaka umenifundisha kitu na nitakitendea kazi ubalikiwe kaka🙏🏿🙏🏿
Hee kumbe ni Mchungaji huyu Joel Nanauka sijui??aise
💯💯
thank you
saihii kaka
Hakika
Brother unatufungua kwa asilimia kubwa sanaa,kwa wanao kufutilia watafanikiwa kwa asilimia kubwa sanaa
Asante
somo at a right time am glady to know you
@theodoraaloys878
10 ай бұрын
Hongeera sana kaka uko vizuri.huwa ninapenda mafundisho yako.Mungu akubariki saaana.
👏👏👏👏👍
Kuepuka,gossip club.
MAMBO YA KUEPUKA UNAPOKUWA KAZINi 1]Isitoe ahadi ambazo huwezi kuzitimiza.[kumbe unajua haliwezekani ila unashindwa kusema hapa ndio maana unatoa ahadi za uongo] 2] Zingatia mipaka yako ya kazi 3] Epuka kufanya kazi kwa mazoea jaribu kuwa mbunifu 4]Usiwe unarudia makosa yale yale ]utaonekana una dharau na hautaaminika tena 5]Jiepushe na watu wanaopenda kujadili mambo ya Watu wengine 6]Epuka kuwa mchelewaji [itapelekea watu kukuona haupo makini