SIRI KUBWA 6 ZA KUFANIKIWA KWENYE MAISHA | Victor Mwambene.

Ili ufanikiwe unapaswa kuzijua siri wanazozitumia watu kufanikiwa kwenye maisha. Hapa nimeeleza Siri sita unazoweza kuzitumia kufanikiwa sana.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
KANUNI 20 ZA FEDHA.
JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
NGUVU YA KUJUA.

Пікірлер: 30

  • @MonrickSanga
    @MonrickSanga3 ай бұрын

    Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 20 nimekua nikifatiria sana masomesho Yako nahitaji kitabu Cha nguvu yakujua. Asante

  • @fazilinyange9108
    @fazilinyange910826 күн бұрын

    Nakufatilia nikiwa Marekani Unanijenge san kaka mkubwa

  • @MichaelAloycs
    @MichaelAloycs3 ай бұрын

    Nakufatilia nikiwa nchini somalia but mimi ni mtanzania

  • @jemamponzi7142
    @jemamponzi714228 күн бұрын

    Nahitaj kitabu cha Nguvu ya kujua

  • @victormwambene

    @victormwambene

    28 күн бұрын

    Kupata Kitabu Piga 0744126640.

  • @user-ku6th8fb4i
    @user-ku6th8fb4iАй бұрын

    Je huna weza weka malengo kwa project mbili? Mfano: Huna taka huwe mfanya biashara Nauna taka hutimize malengo ya kipaji chako Huna weza hanza nakipi hapo🤔 Naomba jibu tafadhali

  • @Boasmwale-on6gt
    @Boasmwale-on6gt2 ай бұрын

    Nakupata nikiwa Lusaka Zambia 🇿🇲 najegw sana nanamna unavyohasamishaj jamii

  • @AhazyStanley
    @AhazyStanley2 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu Aendeleee Kukupa Afya Njema kwa Ajiri yetu Brother❤👏🏻

  • @jofujumaa2046
    @jofujumaa20462 ай бұрын

    ❤❤❤ My beautiful

  • @Sarah-eo1ch
    @Sarah-eo1ch3 ай бұрын

    Nipo kibaha napenda sana masomo yako mwanangu mungu akutunze

  • @victormwambene

    @victormwambene

    28 күн бұрын

    Aminaa Mama

  • @sethmwanjala
    @sethmwanjala3 ай бұрын

    Nakufatilia ni kiwa iringa mjini

  • @jacobnganga3232
    @jacobnganga32323 ай бұрын

    Somo zuri,nafuatilia nikiwa mkoa wa kati kenya

  • @filberthendry2651
    @filberthendry26513 ай бұрын

    Unamsikiliza Pr Janab ukwel kbsa nakufuatilia Menta wangu

  • @JoyceBoniphace-pz6hs
    @JoyceBoniphace-pz6hs3 ай бұрын

    Asant my brother umetufumbua macho

  • @sethmwanjala
    @sethmwanjala3 ай бұрын

    Mungu akubariki kwa masomo mazuri

  • @Jkb589
    @Jkb5893 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @MirajiShekigendar
    @MirajiShekigendar3 ай бұрын

    Nakufuatilia kaka nakuelewa

  • @Boasmwale-on6gt
    @Boasmwale-on6gt2 ай бұрын

    Wew jembe kaka 🤜🤛

  • @japhethmcoco4016
    @japhethmcoco40163 ай бұрын

    Nashukuru sana kaka somo nzuri sana Nimejifunza kitu

  • @HezronKahero
    @HezronKahero3 ай бұрын

    Kaka mafundisho yako yapo vizuri sana

  • @Richardnibitanga
    @Richardnibitanga3 ай бұрын

    Nagufwatilia nikiwa Burundi

  • @KazarePaul
    @KazarePaulАй бұрын

    Naomba kupata kitabu Cha nguvu ya kujua

  • @victormwambene

    @victormwambene

    Ай бұрын

    Naomba Tuwasiliane Kwa Namba 0744126640 Kupata Kitabu.

  • @jemamponzi7142

    @jemamponzi7142

    28 күн бұрын

    Mi pia naomba nipate kitabu hikoo

  • @salimMdigo-nl6tt
    @salimMdigo-nl6tt3 ай бұрын

    Nakufatilia nikiwa kenya

  • @ramaahke512
    @ramaahke5123 ай бұрын

    👍

  • @johanesjofrey1687
    @johanesjofrey16873 ай бұрын

    Kazi nzuri

  • @johanesjofrey1687
    @johanesjofrey16873 ай бұрын

    Somo limeeleweka kaka

  • @ElishaDonald
    @ElishaDonald3 ай бұрын

    Hakika