SIRI KUBWA 6 ZA KUFANIKIWA KWENYE MAISHA | Victor Mwambene.
Ili ufanikiwe unapaswa kuzijua siri wanazozitumia watu kufanikiwa kwenye maisha. Hapa nimeeleza Siri sita unazoweza kuzitumia kufanikiwa sana.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
KANUNI 20 ZA FEDHA.
JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
NGUVU YA KUJUA.
Пікірлер: 30
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 20 nimekua nikifatiria sana masomesho Yako nahitaji kitabu Cha nguvu yakujua. Asante
Nakufatilia nikiwa Marekani Unanijenge san kaka mkubwa
Nakufatilia nikiwa nchini somalia but mimi ni mtanzania
Nahitaj kitabu cha Nguvu ya kujua
@victormwambene
28 күн бұрын
Kupata Kitabu Piga 0744126640.
Je huna weza weka malengo kwa project mbili? Mfano: Huna taka huwe mfanya biashara Nauna taka hutimize malengo ya kipaji chako Huna weza hanza nakipi hapo🤔 Naomba jibu tafadhali
Nakupata nikiwa Lusaka Zambia 🇿🇲 najegw sana nanamna unavyohasamishaj jamii
Mwenyezi Mungu Aendeleee Kukupa Afya Njema kwa Ajiri yetu Brother❤👏🏻
❤❤❤ My beautiful
Nipo kibaha napenda sana masomo yako mwanangu mungu akutunze
@victormwambene
28 күн бұрын
Aminaa Mama
Nakufatilia ni kiwa iringa mjini
Somo zuri,nafuatilia nikiwa mkoa wa kati kenya
Unamsikiliza Pr Janab ukwel kbsa nakufuatilia Menta wangu
Asant my brother umetufumbua macho
Mungu akubariki kwa masomo mazuri
❤❤❤
Nakufuatilia kaka nakuelewa
Wew jembe kaka 🤜🤛
Nashukuru sana kaka somo nzuri sana Nimejifunza kitu
Kaka mafundisho yako yapo vizuri sana
Nagufwatilia nikiwa Burundi
Naomba kupata kitabu Cha nguvu ya kujua
@victormwambene
Ай бұрын
Naomba Tuwasiliane Kwa Namba 0744126640 Kupata Kitabu.
@jemamponzi7142
28 күн бұрын
Mi pia naomba nipate kitabu hikoo
Nakufatilia nikiwa kenya
👍
Kazi nzuri
Somo limeeleweka kaka
Hakika