LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 101

  • @julianafaustine6178
    @julianafaustine61787 күн бұрын

    Amen ubarikiwe mnoo mtu WA Mungu, hakika Mungu anakutumia kubadili maisha ya watu

  • @frankjoshua6869
    @frankjoshua6869 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana, kwa maana unatusaidia vijana wengi sana kwa masomo yako japo hatujitokezi na kushukuru, binafsi umenisaidia sana katika swala la kujiali, kitabu chako cha Timiza malengo yako kimenisaidia sana nakumbuka mwaka 2017 nilikua natamani kufanya kitu changu mwenyewe lakini nilikua nimenasa kwenye office za watu na nilikua sielewi natokaje, baada tu yakusoma Timiza malengo yako hakika nilipata ujasili na atimaye mwak 2019 nikaanza kujitegemea na kufanya kazi yangu mwenyewe aiseee Mungu akutunze sana kaka yangu.

  • @user-ts4jr7ok1e
    @user-ts4jr7ok1e11 ай бұрын

    ❤❤ umenitoa mbali sana Mungu akubariki

  • @meggy5268
    @meggy52686 ай бұрын

    Mungu anisaidie nipone na nitoke kwenye mambo ya hofu na nijipe mouo

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын

    Kaka ubarikiwe sana wewe ni life kocha wangu kila siku unanimotivate kusonga mbele

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Жыл бұрын

    Joel Joel saa 12; kamili ndo naamka nakutana na hii click🙏Jana nimepata cop ya Cheri changu Cha ndoa,Cheti kilipotea,Mme wangu alinikimbia na watot wetu wawili akawatelekeza,ameoa na amezaa na mwanamk kamuwek kwenye nyumba niliyojenga nae,nataka anipe tarak lakini Nina Hofu Sana Asante Sana,

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga85028 ай бұрын

    Amen, Mwalimu Dr Joel nanauka ubarikiwe sana nakufuatilia upo vizuri sn

  • @sharifasuleiman8297
    @sharifasuleiman8297 Жыл бұрын

    Wewe ni daktar tosha mungu akubariki🙏

  • @user-fx5gu6xs5o
    @user-fx5gu6xs5o10 ай бұрын

    Kaka kwakweli umekua mwalim mzuli na umekua sehem yabalaka kwawengi masomo yako yamesaidia wengi balikiwa sana kaka

  • @chirwaellace1093
    @chirwaellace10939 ай бұрын

    Nimefanya maamuzi yakuacha kazi mda wowote, watu wananiuliza kwanini unaacha kazi kabla haujapata ingine. Kiukweri hii kazi Sina amani nao

  • @tengarashid4703

    @tengarashid4703

    9 ай бұрын

    Huna Aman nayo??? Bila shaka uko chini ya mtu

  • @kelvinarnold
    @kelvinarnold Жыл бұрын

    🎉ni kwel kuishi kwa kuhofia watu ni hatari sana kwenye maisha ya kila cku,barkiwa sana mtumishi

  • @JudithNakajumo
    @JudithNakajumo Жыл бұрын

    Kaka mungu akubariki Sana...kuna mengi nimefanya Kwa mafunzo yako na nimekaa sawa sasa kaka

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 Жыл бұрын

    Ahsante sana kaka,nimejifunza mengi na naendelea kujifunza Mwenyezi Mungu azid kukubariki

  • @yahyasirlim4928
    @yahyasirlim4928 Жыл бұрын

    sijutiiii mbs zangu zikiisha kwa kujifunza kwa kutizama video zako life coach

  • @mussalrugegwa6147
    @mussalrugegwa6147 Жыл бұрын

    Asante sana kaka yangu kwa kuniokoa maan na hofu ya kuanza upya kwasababu nimejiestablish kwenye eneo moja mda mrefu

  • @victorrock6660

    @victorrock6660

    Жыл бұрын

    Big up m2 wangu

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Жыл бұрын

    Petro alizama kwasababu ya hofu Asante kwa ujumbe mzuri siku haipiti bila kusikia ujumbe wako

  • @janeflorencesajjabi1545
    @janeflorencesajjabi1545 Жыл бұрын

    BARIKIWA Joel, MUNGU Akulinde na Kukutunza uzidi kutuelimisha.

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 Жыл бұрын

    Ukweli mtupu hofu ni mbaya , 🎙️

  • @dulesame1193
    @dulesame1193 Жыл бұрын

    Kwa sasa naishi kwenye furaha baada ya Kujua kusudi langu hapa duniani ahsante sana na nabii *+ Joel nanauka

  • @chrissmalloy9
    @chrissmalloy9 Жыл бұрын

    Kabisaa kaka unaongea vitu muhimu sana kwenye maisha

  • @WapekeeMwashua-oo9fv
    @WapekeeMwashua-oo9fv Жыл бұрын

    Asante Kaka mungu akupe maalifazaidi usikate tamaa unatuelimisha

  • @user-su8po8yr4m
    @user-su8po8yr4m3 ай бұрын

    Hongela Sana kaka Make nine elewa vitu vingi kwako na nimejitambua palefu sana hatali

  • @kikometecnology9963
    @kikometecnology99636 ай бұрын

    Mungubazidi kukutumia zaid juu ya watu wake mungu akulinde sana kaka wengi bado tunakuitaji

  • @zuberymasalu1452
    @zuberymasalu1452 Жыл бұрын

    Hofu ndio inatufanya tushindwe hata kutimiza malengo yetu ila hongera sana Mr kwa somo Zur endelea kubalikiwa

  • @meryjohn7215
    @meryjohn72157 ай бұрын

    Hofu nyngine inatokana na maisha waliyoishi kuanzia walipokuwa watot inatesa sana

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Жыл бұрын

    Hofu ni kikwazo katika kuanza jambo nisahihi kabisa mungu nitie ujasili kwajuhudi ninazozifanya kuondondokana na tatizo hili naweza🇹🇿🙏.

  • @saidside2838
    @saidside28386 ай бұрын

    Badoo najifunza mwnyezi mungu akuwekee tuzd kupata elim kaka

  • @yokimrossie3536
    @yokimrossie3536 Жыл бұрын

    Aise Leo umeniamsha kwenye usingz mzito Mungu akubariki akupe afya njema uzidi kutufungua

  • @issakatety3535
    @issakatety3535 Жыл бұрын

    Kaka nakushukuru sana niliweza kuzishinda hofu za kuanza muda mrefu sana nilivoanza kukufatilia

  • @PASKALILUANDA
    @PASKALILUANDA Жыл бұрын

    Hiyo nzuri San

  • @BernardMango-wr4hb
    @BernardMango-wr4hbАй бұрын

    Asante kaka joel Umenitibuleo kaka

  • @user-lu4lj5sy2x
    @user-lu4lj5sy2x10 ай бұрын

    Asantee🥰🥰🥰🥰🥰

  • @samwelmpenda8573
    @samwelmpenda8573 Жыл бұрын

    Nakubal Sana akaka

  • @vadolcedefao323
    @vadolcedefao32315 күн бұрын

    Asnt san

  • @niyongabogady1100
    @niyongabogady1100 Жыл бұрын

    Huu ni Mwalimu wangu pia tangu naanza kufuata mafundisho yake yamenijenga sana .

  • @HappinessHarman-nt6zc
    @HappinessHarman-nt6zc Жыл бұрын

    Kweli hofu ni ugonjwa unaonisumbua mungu nisaidie

  • @mohamedkudura8114
    @mohamedkudura8114 Жыл бұрын

    Allah AKULIPE KHERI,darsa tamu

  • @RehemaHaji-pc2nh
    @RehemaHaji-pc2nh Жыл бұрын

    Shukrani sana, ubarikiwe

  • @JamesKaminde-ig1xr
    @JamesKaminde-ig1xr2 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Жыл бұрын

    Barikiwa sana kaka najifunz vingi kupitia Chanel yako 🙏🙏katika safari ya kila mmoja anakaratasi yake ya mtihani

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Жыл бұрын

    Hofu ilinikuta lkn alhamdulillah nipo out of my contry na life linasonga mwanzo nilipata shida mungu akubariki

  • @northerntanzaniatv4033
    @northerntanzaniatv4033 Жыл бұрын

    Hii imenigusa sana kaka barikiwa

  • @RamadhanMtaki-sw1gx
    @RamadhanMtaki-sw1gx9 ай бұрын

    Shukrani mkubwa mungu hawe nawe

  • @user-oq4fv5ed7u
    @user-oq4fv5ed7uАй бұрын

    Barikiwa mtumishi

  • @shukuranirebecca4877
    @shukuranirebecca4877 Жыл бұрын

    Thank you kwa mafunzo mazuri

  • @user-qd6sd9iw6m
    @user-qd6sd9iw6m4 ай бұрын

    Good advice

  • @wemaRichard-rb1hj
    @wemaRichard-rb1hj Жыл бұрын

    Umensaidia Sana kwasababu ninamtaji lakini naogopa kuanza

  • @nduhe_victor
    @nduhe_victor9 ай бұрын

  • @user-ig8kf5rx8s
    @user-ig8kf5rx8s10 ай бұрын

    ❤ umeelewek doctor

  • @FrolaJoram-eg1ng
    @FrolaJoram-eg1ng Жыл бұрын

    Asante kaka Joel

  • @user-gy1lb9fo2b
    @user-gy1lb9fo2b10 ай бұрын

    Sawa kabisa Joel

  • @hassanomary7353
    @hassanomary7353 Жыл бұрын

    Shukran tunakuelewa

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo71495 ай бұрын

    You're correct my brother, don't compare with another person ❤❤

  • @macksemuyango6108
    @macksemuyango6108 Жыл бұрын

    Ewe Mwenyezi Mungu naomba unitie nguvu katika nyakati hizi ninazopitia ili nyakati hizo ninazopitia nizishinde!!!

  • @user-lu4lj5sy2x

    @user-lu4lj5sy2x

    10 ай бұрын

    Amin yarab n mimi pia

  • @brendamunuo6844
    @brendamunuo68448 ай бұрын

    Nashukuru kaka❤❤

  • @amazingnecla
    @amazingnecla Жыл бұрын

    Blessed with a great

  • @Mamoshbizekampuni-qt1fg
    @Mamoshbizekampuni-qt1fg Жыл бұрын

    Mwaka Jana nilinunua vifaranga wa kuku wa mayai 300 nimepambana kuwakuza kwa gharama kubwa mwisho nimekuza kuku 50 tu ninao sasa, na hao pia had I sasa hawajtaga, nikikumbuks pesa nyingi sana nimepotezs kuku niliopata ni wachache sana pia hata hao had sasa hawajataga naendelra kuealisha tu, nataka niwauze nianzishe biashara mpya

  • @user-by1bm7db8o
    @user-by1bm7db8o7 ай бұрын

    Asante kaka nanauka

  • @gracelaizerkisyoki7279
    @gracelaizerkisyoki7279 Жыл бұрын

    Barikiwa kaka

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Жыл бұрын

    UBARIKIWE

  • @deboralaiton-ge8mf
    @deboralaiton-ge8mf Жыл бұрын

    Amina mungu akutie nguvu ya kutusaidia

  • @EnosMark-jk6xf
    @EnosMark-jk6xf11 ай бұрын

    Shukulan sana

  • @mashikudeus-hh2jv
    @mashikudeus-hh2jv Жыл бұрын

    Exactly 💯

  • @pleasethank2962
    @pleasethank2962 Жыл бұрын

    18,40,60. Kbl y kuielewa kanuni hii ilikuwa ni changamoto kwangu lkn kuna siku nlikuskia ukielezea nikawa responsible nayo na Leo umeirudia tn nazidi kuwa imara..KWA KWELI UBARIKIWE sana MR. JOEL NANAUKA.

  • @richardmartin6429

    @richardmartin6429

    Жыл бұрын

    Sina chakuongeza zaidi yakusema Ubarikiwe.

  • @user-op2mo8wt3q
    @user-op2mo8wt3q Жыл бұрын

    Nice speech

  • @user-oq3so2no8y
    @user-oq3so2no8y7 ай бұрын

    Hifu inatutesa wengii kaka...

  • @reganimushi8062
    @reganimushi8062 Жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @Mamoshbizekampuni-qt1fg
    @Mamoshbizekampuni-qt1fg Жыл бұрын

    Hapa nimepambana nimepata pesa kias fulan sasa nswaza ninunue chakula cha kuku kutagisha kama watu wanavyonishauli au nianzishe biashara mpya, nashindwa kuamua niendee su nibadili muelekeo maana niliishi hali ngumu sana so hii hela niliyopa naogopa isije ikapotea kama mwanzo

  • @user-kj1yo8rl5p
    @user-kj1yo8rl5p10 ай бұрын

    Joel nanauka!!? Tafadhar naomba tuwasiliane

  • @gerraldgready8051
    @gerraldgready8051 Жыл бұрын

    Nateseka na hofu ya kupoteza kila mara

  • @asiamsemo6172
    @asiamsemo61725 ай бұрын

    Mmm hta mimi naogopa sana bt nashkuru kusikiliza hii i am doin it want i want to do now .

  • @CharlesMabula-lg1fl
    @CharlesMabula-lg1fl11 ай бұрын

    Nawezaje kujua kama mungu amesema namimi katika jambo flan?

  • @almightymapp
    @almightymapp Жыл бұрын

    My name is UShinde I am from america

  • @deborasimon422
    @deborasimon42210 ай бұрын

    Amen

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    🔥❤️🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    📝🙌🏿

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Asante sana

  • @kakawamashariki8978

    @kakawamashariki8978

    Жыл бұрын

    Salaam za pongezi toka mwanza 🐟

  • @ZulfaIsike
    @ZulfaIsike Жыл бұрын

    Tukikuhtaji tunakupataje

  • @farijanibakari9018
    @farijanibakari9018 Жыл бұрын

    Nahitaji kitabu kaka

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Жыл бұрын

    Nimejifinza kopoteza ilinipighe hatuwa nanifanikiwe

  • @baboudeira9249
    @baboudeira9249 Жыл бұрын

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @ZulfaIsike
    @ZulfaIsike Жыл бұрын

    Ninashida ya wewe nafanyaje

  • @jonasebuela8975
    @jonasebuela8975 Жыл бұрын

    Sasa kaka tutajuwa je kama Mungu anasena tuhanze kitu kipya?

  • @ChristianMkea-mb1cr
    @ChristianMkea-mb1cr Жыл бұрын

    0 please

  • @nkambamadata603
    @nkambamadata603 Жыл бұрын

    Amen, mtumishi

  • @shadrickmukumba9562
    @shadrickmukumba9562 Жыл бұрын

    HOFU NI KIKWAZO KIKUBWA SANA. NA HATA WATU WENGINE UNAPO WAELEZA MPANGO WAKO WANAKUTIA HOFU TU

  • @user-xz2yu4hv4w

    @user-xz2yu4hv4w

    6 ай бұрын

    😂😂

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Жыл бұрын

    ASANTE KWASOMO ZURI

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    #SeeYouAtTheTop

  • @salumally0601
    @salumally0601 Жыл бұрын

    Hakika hofu ni tatizo kubwa sana

  • @imahsumaye2765
    @imahsumaye2765 Жыл бұрын

    Samahani mwalimu ,,,,, nitajuaje kuwa MUNGU ndo ameniambia nisirizike??? Au nitajuaje siyo kusudi la MUNGU kuwepo nilipo???

  • @daudkanyelele2017
    @daudkanyelele2017 Жыл бұрын

    Jamn mm nahitaji hard copy za vitabu ...pia na ushauli kaka joeli naomba na mm unipe mda wako wakzngumza na ww hata dk tatu tu upofu. Na hofu zitaisha

  • @frankjoshua6869
    @frankjoshua6869 Жыл бұрын

    Njia gani nitumie ili kupata mwekezaji kwenye kazi ninayo fanya, maana natamani ila sielewi naweza kumpata vipi.

  • @ibraimoissiaca6058

    @ibraimoissiaca6058

    Жыл бұрын

    Mwekezaji si wewe apo

  • @karimomary8089
    @karimomary80899 ай бұрын

    Kaka elimu yako binafsi inanisaidia pakubwa pia nawaza namna ya kupata vtabu vyiako navpta vp me nipo shinyanga

  • @brendamunuo6844
    @brendamunuo68448 ай бұрын