Amen ubarikiwe mnoo mtu WA Mungu, hakika Mungu anakutumia kubadili maisha ya watu
@frankjoshua6869 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana, kwa maana unatusaidia vijana wengi sana kwa masomo yako japo hatujitokezi na kushukuru, binafsi umenisaidia sana katika swala la kujiali, kitabu chako cha Timiza malengo yako kimenisaidia sana nakumbuka mwaka 2017 nilikua natamani kufanya kitu changu mwenyewe lakini nilikua nimenasa kwenye office za watu na nilikua sielewi natokaje, baada tu yakusoma Timiza malengo yako hakika nilipata ujasili na atimaye mwak 2019 nikaanza kujitegemea na kufanya kazi yangu mwenyewe aiseee Mungu akutunze sana kaka yangu.
@user-ts4jr7ok1e11 ай бұрын
❤❤ umenitoa mbali sana Mungu akubariki
@meggy52686 ай бұрын
Mungu anisaidie nipone na nitoke kwenye mambo ya hofu na nijipe mouo
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Kaka ubarikiwe sana wewe ni life kocha wangu kila siku unanimotivate kusonga mbele
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Joel Joel saa 12; kamili ndo naamka nakutana na hii click🙏Jana nimepata cop ya Cheri changu Cha ndoa,Cheti kilipotea,Mme wangu alinikimbia na watot wetu wawili akawatelekeza,ameoa na amezaa na mwanamk kamuwek kwenye nyumba niliyojenga nae,nataka anipe tarak lakini Nina Hofu Sana Asante Sana,
@felsonsanga85028 ай бұрын
Amen, Mwalimu Dr Joel nanauka ubarikiwe sana nakufuatilia upo vizuri sn
@sharifasuleiman8297 Жыл бұрын
Wewe ni daktar tosha mungu akubariki🙏
@user-fx5gu6xs5o10 ай бұрын
Kaka kwakweli umekua mwalim mzuli na umekua sehem yabalaka kwawengi masomo yako yamesaidia wengi balikiwa sana kaka
@chirwaellace10939 ай бұрын
Nimefanya maamuzi yakuacha kazi mda wowote, watu wananiuliza kwanini unaacha kazi kabla haujapata ingine. Kiukweri hii kazi Sina amani nao
@tengarashid4703
9 ай бұрын
Huna Aman nayo??? Bila shaka uko chini ya mtu
@kelvinarnold Жыл бұрын
🎉ni kwel kuishi kwa kuhofia watu ni hatari sana kwenye maisha ya kila cku,barkiwa sana mtumishi
@JudithNakajumo Жыл бұрын
Kaka mungu akubariki Sana...kuna mengi nimefanya Kwa mafunzo yako na nimekaa sawa sasa kaka
@annamallya8756 Жыл бұрын
Ahsante sana kaka,nimejifunza mengi na naendelea kujifunza Mwenyezi Mungu azid kukubariki
@yahyasirlim4928 Жыл бұрын
sijutiiii mbs zangu zikiisha kwa kujifunza kwa kutizama video zako life coach
@mussalrugegwa6147 Жыл бұрын
Asante sana kaka yangu kwa kuniokoa maan na hofu ya kuanza upya kwasababu nimejiestablish kwenye eneo moja mda mrefu
@victorrock6660
Жыл бұрын
Big up m2 wangu
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Petro alizama kwasababu ya hofu Asante kwa ujumbe mzuri siku haipiti bila kusikia ujumbe wako
@janeflorencesajjabi1545 Жыл бұрын
BARIKIWA Joel, MUNGU Akulinde na Kukutunza uzidi kutuelimisha.
@timothykengere2535 Жыл бұрын
Ukweli mtupu hofu ni mbaya , 🎙️
@dulesame1193 Жыл бұрын
Kwa sasa naishi kwenye furaha baada ya Kujua kusudi langu hapa duniani ahsante sana na nabii *+ Joel nanauka
@chrissmalloy9 Жыл бұрын
Kabisaa kaka unaongea vitu muhimu sana kwenye maisha
@WapekeeMwashua-oo9fv Жыл бұрын
Asante Kaka mungu akupe maalifazaidi usikate tamaa unatuelimisha
@user-su8po8yr4m3 ай бұрын
Hongela Sana kaka Make nine elewa vitu vingi kwako na nimejitambua palefu sana hatali
@kikometecnology99636 ай бұрын
Mungubazidi kukutumia zaid juu ya watu wake mungu akulinde sana kaka wengi bado tunakuitaji
@zuberymasalu1452 Жыл бұрын
Hofu ndio inatufanya tushindwe hata kutimiza malengo yetu ila hongera sana Mr kwa somo Zur endelea kubalikiwa
@meryjohn72157 ай бұрын
Hofu nyngine inatokana na maisha waliyoishi kuanzia walipokuwa watot inatesa sana
@nurdininanjota4056 Жыл бұрын
Hofu ni kikwazo katika kuanza jambo nisahihi kabisa mungu nitie ujasili kwajuhudi ninazozifanya kuondondokana na tatizo hili naweza🇹🇿🙏.
@saidside28386 ай бұрын
Badoo najifunza mwnyezi mungu akuwekee tuzd kupata elim kaka
@yokimrossie3536 Жыл бұрын
Aise Leo umeniamsha kwenye usingz mzito Mungu akubariki akupe afya njema uzidi kutufungua
@issakatety3535 Жыл бұрын
Kaka nakushukuru sana niliweza kuzishinda hofu za kuanza muda mrefu sana nilivoanza kukufatilia
@PASKALILUANDA Жыл бұрын
Hiyo nzuri San
@BernardMango-wr4hbАй бұрын
Asante kaka joel Umenitibuleo kaka
@user-lu4lj5sy2x10 ай бұрын
Asantee🥰🥰🥰🥰🥰
@samwelmpenda8573 Жыл бұрын
Nakubal Sana akaka
@vadolcedefao32315 күн бұрын
Asnt san
@niyongabogady1100 Жыл бұрын
Huu ni Mwalimu wangu pia tangu naanza kufuata mafundisho yake yamenijenga sana .
@HappinessHarman-nt6zc Жыл бұрын
Kweli hofu ni ugonjwa unaonisumbua mungu nisaidie
@mohamedkudura8114 Жыл бұрын
Allah AKULIPE KHERI,darsa tamu
@RehemaHaji-pc2nh Жыл бұрын
Shukrani sana, ubarikiwe
@JamesKaminde-ig1xr2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@khadijashabaninimba7890 Жыл бұрын
Barikiwa sana kaka najifunz vingi kupitia Chanel yako 🙏🙏katika safari ya kila mmoja anakaratasi yake ya mtihani
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Hofu ilinikuta lkn alhamdulillah nipo out of my contry na life linasonga mwanzo nilipata shida mungu akubariki
@northerntanzaniatv4033 Жыл бұрын
Hii imenigusa sana kaka barikiwa
@RamadhanMtaki-sw1gx9 ай бұрын
Shukrani mkubwa mungu hawe nawe
@user-oq4fv5ed7uАй бұрын
Barikiwa mtumishi
@shukuranirebecca4877 Жыл бұрын
Thank you kwa mafunzo mazuri
@user-qd6sd9iw6m4 ай бұрын
Good advice
@wemaRichard-rb1hj Жыл бұрын
Umensaidia Sana kwasababu ninamtaji lakini naogopa kuanza
@nduhe_victor9 ай бұрын
❤
@user-ig8kf5rx8s10 ай бұрын
❤ umeelewek doctor
@FrolaJoram-eg1ng Жыл бұрын
Asante kaka Joel
@user-gy1lb9fo2b10 ай бұрын
Sawa kabisa Joel
@hassanomary7353 Жыл бұрын
Shukran tunakuelewa
@kuruthumukondo71495 ай бұрын
You're correct my brother, don't compare with another person ❤❤
@macksemuyango6108 Жыл бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu naomba unitie nguvu katika nyakati hizi ninazopitia ili nyakati hizo ninazopitia nizishinde!!!
@user-lu4lj5sy2x
10 ай бұрын
Amin yarab n mimi pia
@brendamunuo68448 ай бұрын
Nashukuru kaka❤❤
@amazingnecla Жыл бұрын
Blessed with a great
@Mamoshbizekampuni-qt1fg Жыл бұрын
Mwaka Jana nilinunua vifaranga wa kuku wa mayai 300 nimepambana kuwakuza kwa gharama kubwa mwisho nimekuza kuku 50 tu ninao sasa, na hao pia had I sasa hawajtaga, nikikumbuks pesa nyingi sana nimepotezs kuku niliopata ni wachache sana pia hata hao had sasa hawajataga naendelra kuealisha tu, nataka niwauze nianzishe biashara mpya
@user-by1bm7db8o7 ай бұрын
Asante kaka nanauka
@gracelaizerkisyoki7279 Жыл бұрын
Barikiwa kaka
@aderiderkihupi7240 Жыл бұрын
UBARIKIWE
@deboralaiton-ge8mf Жыл бұрын
Amina mungu akutie nguvu ya kutusaidia
@EnosMark-jk6xf11 ай бұрын
Shukulan sana
@mashikudeus-hh2jv Жыл бұрын
Exactly 💯
@pleasethank2962 Жыл бұрын
18,40,60. Kbl y kuielewa kanuni hii ilikuwa ni changamoto kwangu lkn kuna siku nlikuskia ukielezea nikawa responsible nayo na Leo umeirudia tn nazidi kuwa imara..KWA KWELI UBARIKIWE sana MR. JOEL NANAUKA.
@richardmartin6429
Жыл бұрын
Sina chakuongeza zaidi yakusema Ubarikiwe.
@user-op2mo8wt3q Жыл бұрын
Nice speech
@user-oq3so2no8y7 ай бұрын
Hifu inatutesa wengii kaka...
@reganimushi8062 Жыл бұрын
Amen 🙏
@Mamoshbizekampuni-qt1fg Жыл бұрын
Hapa nimepambana nimepata pesa kias fulan sasa nswaza ninunue chakula cha kuku kutagisha kama watu wanavyonishauli au nianzishe biashara mpya, nashindwa kuamua niendee su nibadili muelekeo maana niliishi hali ngumu sana so hii hela niliyopa naogopa isije ikapotea kama mwanzo
@user-kj1yo8rl5p10 ай бұрын
Joel nanauka!!? Tafadhar naomba tuwasiliane
@gerraldgready8051 Жыл бұрын
Nateseka na hofu ya kupoteza kila mara
@asiamsemo61725 ай бұрын
Mmm hta mimi naogopa sana bt nashkuru kusikiliza hii i am doin it want i want to do now .
@CharlesMabula-lg1fl11 ай бұрын
Nawezaje kujua kama mungu amesema namimi katika jambo flan?
Пікірлер: 101
Amen ubarikiwe mnoo mtu WA Mungu, hakika Mungu anakutumia kubadili maisha ya watu
Mungu akubariki sana, kwa maana unatusaidia vijana wengi sana kwa masomo yako japo hatujitokezi na kushukuru, binafsi umenisaidia sana katika swala la kujiali, kitabu chako cha Timiza malengo yako kimenisaidia sana nakumbuka mwaka 2017 nilikua natamani kufanya kitu changu mwenyewe lakini nilikua nimenasa kwenye office za watu na nilikua sielewi natokaje, baada tu yakusoma Timiza malengo yako hakika nilipata ujasili na atimaye mwak 2019 nikaanza kujitegemea na kufanya kazi yangu mwenyewe aiseee Mungu akutunze sana kaka yangu.
❤❤ umenitoa mbali sana Mungu akubariki
Mungu anisaidie nipone na nitoke kwenye mambo ya hofu na nijipe mouo
Kaka ubarikiwe sana wewe ni life kocha wangu kila siku unanimotivate kusonga mbele
Joel Joel saa 12; kamili ndo naamka nakutana na hii click🙏Jana nimepata cop ya Cheri changu Cha ndoa,Cheti kilipotea,Mme wangu alinikimbia na watot wetu wawili akawatelekeza,ameoa na amezaa na mwanamk kamuwek kwenye nyumba niliyojenga nae,nataka anipe tarak lakini Nina Hofu Sana Asante Sana,
Amen, Mwalimu Dr Joel nanauka ubarikiwe sana nakufuatilia upo vizuri sn
Wewe ni daktar tosha mungu akubariki🙏
Kaka kwakweli umekua mwalim mzuli na umekua sehem yabalaka kwawengi masomo yako yamesaidia wengi balikiwa sana kaka
Nimefanya maamuzi yakuacha kazi mda wowote, watu wananiuliza kwanini unaacha kazi kabla haujapata ingine. Kiukweri hii kazi Sina amani nao
@tengarashid4703
9 ай бұрын
Huna Aman nayo??? Bila shaka uko chini ya mtu
🎉ni kwel kuishi kwa kuhofia watu ni hatari sana kwenye maisha ya kila cku,barkiwa sana mtumishi
Kaka mungu akubariki Sana...kuna mengi nimefanya Kwa mafunzo yako na nimekaa sawa sasa kaka
Ahsante sana kaka,nimejifunza mengi na naendelea kujifunza Mwenyezi Mungu azid kukubariki
sijutiiii mbs zangu zikiisha kwa kujifunza kwa kutizama video zako life coach
Asante sana kaka yangu kwa kuniokoa maan na hofu ya kuanza upya kwasababu nimejiestablish kwenye eneo moja mda mrefu
@victorrock6660
Жыл бұрын
Big up m2 wangu
Petro alizama kwasababu ya hofu Asante kwa ujumbe mzuri siku haipiti bila kusikia ujumbe wako
BARIKIWA Joel, MUNGU Akulinde na Kukutunza uzidi kutuelimisha.
Ukweli mtupu hofu ni mbaya , 🎙️
Kwa sasa naishi kwenye furaha baada ya Kujua kusudi langu hapa duniani ahsante sana na nabii *+ Joel nanauka
Kabisaa kaka unaongea vitu muhimu sana kwenye maisha
Asante Kaka mungu akupe maalifazaidi usikate tamaa unatuelimisha
Hongela Sana kaka Make nine elewa vitu vingi kwako na nimejitambua palefu sana hatali
Mungubazidi kukutumia zaid juu ya watu wake mungu akulinde sana kaka wengi bado tunakuitaji
Hofu ndio inatufanya tushindwe hata kutimiza malengo yetu ila hongera sana Mr kwa somo Zur endelea kubalikiwa
Hofu nyngine inatokana na maisha waliyoishi kuanzia walipokuwa watot inatesa sana
Hofu ni kikwazo katika kuanza jambo nisahihi kabisa mungu nitie ujasili kwajuhudi ninazozifanya kuondondokana na tatizo hili naweza🇹🇿🙏.
Badoo najifunza mwnyezi mungu akuwekee tuzd kupata elim kaka
Aise Leo umeniamsha kwenye usingz mzito Mungu akubariki akupe afya njema uzidi kutufungua
Kaka nakushukuru sana niliweza kuzishinda hofu za kuanza muda mrefu sana nilivoanza kukufatilia
Hiyo nzuri San
Asante kaka joel Umenitibuleo kaka
Asantee🥰🥰🥰🥰🥰
Nakubal Sana akaka
Asnt san
Huu ni Mwalimu wangu pia tangu naanza kufuata mafundisho yake yamenijenga sana .
Kweli hofu ni ugonjwa unaonisumbua mungu nisaidie
Allah AKULIPE KHERI,darsa tamu
Shukrani sana, ubarikiwe
Ubarikiwe sana mtumishi
Barikiwa sana kaka najifunz vingi kupitia Chanel yako 🙏🙏katika safari ya kila mmoja anakaratasi yake ya mtihani
Hofu ilinikuta lkn alhamdulillah nipo out of my contry na life linasonga mwanzo nilipata shida mungu akubariki
Hii imenigusa sana kaka barikiwa
Shukrani mkubwa mungu hawe nawe
Barikiwa mtumishi
Thank you kwa mafunzo mazuri
Good advice
Umensaidia Sana kwasababu ninamtaji lakini naogopa kuanza
❤
❤ umeelewek doctor
Asante kaka Joel
Sawa kabisa Joel
Shukran tunakuelewa
You're correct my brother, don't compare with another person ❤❤
Ewe Mwenyezi Mungu naomba unitie nguvu katika nyakati hizi ninazopitia ili nyakati hizo ninazopitia nizishinde!!!
@user-lu4lj5sy2x
10 ай бұрын
Amin yarab n mimi pia
Nashukuru kaka❤❤
Blessed with a great
Mwaka Jana nilinunua vifaranga wa kuku wa mayai 300 nimepambana kuwakuza kwa gharama kubwa mwisho nimekuza kuku 50 tu ninao sasa, na hao pia had I sasa hawajtaga, nikikumbuks pesa nyingi sana nimepotezs kuku niliopata ni wachache sana pia hata hao had sasa hawajataga naendelra kuealisha tu, nataka niwauze nianzishe biashara mpya
Asante kaka nanauka
Barikiwa kaka
UBARIKIWE
Amina mungu akutie nguvu ya kutusaidia
Shukulan sana
Exactly 💯
18,40,60. Kbl y kuielewa kanuni hii ilikuwa ni changamoto kwangu lkn kuna siku nlikuskia ukielezea nikawa responsible nayo na Leo umeirudia tn nazidi kuwa imara..KWA KWELI UBARIKIWE sana MR. JOEL NANAUKA.
@richardmartin6429
Жыл бұрын
Sina chakuongeza zaidi yakusema Ubarikiwe.
Nice speech
Hifu inatutesa wengii kaka...
Amen 🙏
Hapa nimepambana nimepata pesa kias fulan sasa nswaza ninunue chakula cha kuku kutagisha kama watu wanavyonishauli au nianzishe biashara mpya, nashindwa kuamua niendee su nibadili muelekeo maana niliishi hali ngumu sana so hii hela niliyopa naogopa isije ikapotea kama mwanzo
Joel nanauka!!? Tafadhar naomba tuwasiliane
Nateseka na hofu ya kupoteza kila mara
Mmm hta mimi naogopa sana bt nashkuru kusikiliza hii i am doin it want i want to do now .
Nawezaje kujua kama mungu amesema namimi katika jambo flan?
My name is UShinde I am from america
Amen
🔥❤️🙏
📝🙌🏿
Asante sana
@kakawamashariki8978
Жыл бұрын
Salaam za pongezi toka mwanza 🐟
Tukikuhtaji tunakupataje
Nahitaji kitabu kaka
Nimejifinza kopoteza ilinipighe hatuwa nanifanikiwe
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ninashida ya wewe nafanyaje
Sasa kaka tutajuwa je kama Mungu anasena tuhanze kitu kipya?
0 please
Amen, mtumishi
HOFU NI KIKWAZO KIKUBWA SANA. NA HATA WATU WENGINE UNAPO WAELEZA MPANGO WAKO WANAKUTIA HOFU TU
@user-xz2yu4hv4w
6 ай бұрын
😂😂
ASANTE KWASOMO ZURI
@joelnanauka
Жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
Hakika hofu ni tatizo kubwa sana
Samahani mwalimu ,,,,, nitajuaje kuwa MUNGU ndo ameniambia nisirizike??? Au nitajuaje siyo kusudi la MUNGU kuwepo nilipo???
Jamn mm nahitaji hard copy za vitabu ...pia na ushauli kaka joeli naomba na mm unipe mda wako wakzngumza na ww hata dk tatu tu upofu. Na hofu zitaisha
Njia gani nitumie ili kupata mwekezaji kwenye kazi ninayo fanya, maana natamani ila sielewi naweza kumpata vipi.
@ibraimoissiaca6058
Жыл бұрын
Mwekezaji si wewe apo
Kaka elimu yako binafsi inanisaidia pakubwa pia nawaza namna ya kupata vtabu vyiako navpta vp me nipo shinyanga
❤