Dr. Chris Mauki: Mambo 8 ya Kukusaidia Kuishinda Hofu
Je unahofu? Je unahisi hofu ni mojawapo ya vitu vinavyo kukwamisha maishani? Najua kwamba hofu inaweza kukuzuia kabisa kwenye kuziendea ndoto zako. Nifuatilie hapa nikusaidie jinsi ya kuishinda hofu ili ufanikiwe.
Пікірлер: 89
Mda mrefu nimesumbukiwa nahofu yamambo fulan, yamenitesa sana, Nashukuru leo nimepona naanza kuishi upya. Somo hili nilangu mimi kabisa Daah! Mungu azidi kukufungulia nayawengine Ubarikiwe Dk Chris
Nasumbuliwa sana nahofu nakupataje
Asante sana Mr umenifunzaa na umenisaidia sanaa sana,maana maisha hayaa duuh,Mungu akutie nguvu na akubariki,siku moja nataman kuwa kama wewe😊
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
Asant sana Dr umenisaidia Jambo🙏🙏
Nashukuru sana kwaimafundisho kwamana nilikuwa nahofu yakuwacwa nimejifunza kabisa
Thank you so much, stay blessed.
Dah mungu hutuma watu kwaajili ya watu ashukiriwe yeye kukuleta hapa na mawazo yako mungu anatupenda sana
Asantee sana daktari Mungu akubariki
Nilisaidiwa msaada nikasemezewa Sana naomba mungu niishinde hofu ya msaada
Your very true in sense of understanding keep it up doctor
Asante baba kwa fundisho
Barikiwa kaka
Thank you so much
Asante sana kwaushauli
thank you my brother
Ubarikiwe na mwenyezi mungu
Hapo kwa Meli umenilenga kabisa nashukuru kwa kunisaidia
Amina,kweli hofu aiu kile unachokilia ,inakuusu wewe,
Asante kwa somo zuri
Asante barikiwa sana
Dr ubalikiwe sana leo nimepona hofu imenitesa sana
Asante sana,i will became this fear in the name of Jesus.I had a lot of setbacks because of fear.
@ChrisMauki1
3 ай бұрын
please deal with that and God help you
@godfreydavid6996
3 ай бұрын
@@ChrisMauki1 It's about my marriage brother, countless times I thought about ending my life because I see no light.
Asante saana kuna jambo kubwa sana umenisaidia.
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Hbr dokta
Thankyou
Asante sana umenipa moyo kakangu sana I say
Asant kwa somo zur
ASANT Sana Dr
Asante sana aise maana mie nipo na hofu kila wakati
@FatmaRashid-bq6yx
3 ай бұрын
Tupo wengi
❤❤❤❤asanteee Sana kaka
Asante🙏
Asante doctor masomo yako yanatubariki sana , pia doctor naitaji namba yako ninashida
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante
Asante😢
Nashukur sana, kwa kipind hicho
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
asante sana dr umenisaidia jambo
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Mimi kila nikikutana na mwamke naingiwa nahofu na shindwa kuendelea dr msahada pls🙏
Amen Amen 🙏
Ahsante sana dk.mauki. jaman nabarikiwa na nahimarika haswa. Hofu tupa kule.
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@salumkikoti2443
2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 kaka angu m Sina amuna mume wng hi Hali ilianzag kama wk mbl adi niforse kusex nae
@thedon8467
Жыл бұрын
😅😅😅😅
Nilipata tatizo nimekuwa nahofu sana mpaka nashindwa kuwa na. Amani
Asnte doctor hofu na aibu Leo ndio mwsho wake ninakipaji chakusuka Niko nymbn tuu naogpa kujarbu ata kuandika Bango getini ila Leo ndio mwsho wake naamka asaiv naweka bango nimejiamin mm naweza hofu kwangu Leo inakwsha mungu nisaidie mungu wangu🙏
Asante doctor
@anneokoth3466
4 ай бұрын
Dr kwanza nishukuru maan mie hofu imenitawal san ktk maisha yangu.lkn nadhani kuanzia leo nipo huru kwani nimekuwa nikijihisia magonjwa nisio nayo kisa naumwa miguu inawak moto pia mgogo pia unawak moto na shingo kuumwa na kiuno na chini ya miguu yan hunyao kuwash😊
Somo zuri nimevutiw nalo
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante Dr Chris
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@eleganthomesolutions
2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 tayari mkuu
Dr naomba unishaur nimefiwa na mume wangu mwaka juz gafra nimekaa nae kwa mwaka mmoja nimeogopa mno nikampata mtu aliyenifuta machoz bt chakushangaza nae ameenda Yan fikra zangu zimevurugika naomba ushaur
nimechelewa sana kukufahamu
Docter nitakupataje Nina Hilo tatizo natamani kupona
❤🙏🏽
Msaada ntatesek hofu na wasi wasi uliopitiliz unanimaliz
Ahsantee sana dokta
🥺jambo la 5 jamani me kabisa
Asante KWA masomo manzuri yanayojenga familia. Tunaomba no zako za simu ambapo waweza Patikana KWA whasssup. Mungu akubariki
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks 0713407182
@allymressa5588
7 ай бұрын
@@ChrisMauki1 mwanasaikolojia
Unanisaidiaje dokta mimi nashida hiyo ya hof na waswas
Alf pia nlikuw n mawaz sn wkt w kjfngua krbu n kujfngua yn mawaz y ndow
Naomba ushauli kwanza nnampenz mmoja ila na mtoto moja babake tumeachana mpenz wangu alinitongoza na kuniambia nitakua krash ila mm nilimpenda tu na alisema ana relation sasa kasafir kaenda kuchukua chet ila anapoenda kuna mtu wake ila anasema nimuamun maana hana furaha nae maana anamdharau
@ChoroTesla
Жыл бұрын
duuuh
mm mahusiano yana nipa hofu naogopa kumpoteza ninaye mpenda na kunamigogoro ya hapa na pale sasa napata hofu mno hasa nikiwa mwenyewe
Doctor ninapitia kipindi kigumu sana imefikia nakosa usingizi usiku kwa mchana nahitaji msaada zaidi private....nimefikia hatua natak kujifanyia kitu kibaya...naomba nijue jinsi yakukupata japo kwa simu..😭
@nacksuma2263
11 ай бұрын
Upo wap
Yaan kam mm ninahofu mpk nahisi ndoa yangu itavunjika 😭😭😭😭
@ChoroTesla
Жыл бұрын
ucwaze utakaaa poa tu
Nikitaka kukupata nitakupata vipi
Minina shida na namba yakoo
Jamni nataka kuoona na huyu dct nitampata wap
Mm nsmbliw n wasws tng nijfngue nlipt km mshtk hv saiv bd n miez9 tng nijfngue inantes nabnw n kfua moy wapg pg tu nshmlz kil kipimo jmn nin ttz gn n spon nshmlz hd gaw z ges bkzan ges
@samiahmsuya3605
3 ай бұрын
Wew ni mwenzang jaman kifua wasi was
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
@ChrisMauki1
3 ай бұрын
yes tunaweza kuarrange session, check us via whatsap 0713407182 or 0658996262
Asante
Asante
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@tabithasamwel3408
2 жыл бұрын
Ahsante doctor nimejifunza kitu mungu akubariki sana.