Dr. Chris Mauki: Mambo 8 ya Kukusaidia Kuishinda Hofu

Je unahofu? Je unahisi hofu ni mojawapo ya vitu vinavyo kukwamisha maishani? Najua kwamba hofu inaweza kukuzuia kabisa kwenye kuziendea ndoto zako. Nifuatilie hapa nikusaidie jinsi ya kuishinda hofu ili ufanikiwe.

Пікірлер: 89

  • @letticierjohnson6402
    @letticierjohnson64028 ай бұрын

    Mda mrefu nimesumbukiwa nahofu yamambo fulan, yamenitesa sana, Nashukuru leo nimepona naanza kuishi upya. Somo hili nilangu mimi kabisa Daah! Mungu azidi kukufungulia nayawengine Ubarikiwe Dk Chris

  • @AishaThabit-yr4mn
    @AishaThabit-yr4mn2 ай бұрын

    Nasumbuliwa sana nahofu nakupataje

  • @PatriciaMahendeka-cw1ls
    @PatriciaMahendeka-cw1ls Жыл бұрын

    Asante sana Mr umenifunzaa na umenisaidia sanaa sana,maana maisha hayaa duuh,Mungu akutie nguvu na akubariki,siku moja nataman kuwa kama wewe😊

  • @sufoorembo5925
    @sufoorembo59252 жыл бұрын

    Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿

  • @veroodeni2162
    @veroodeni21622 жыл бұрын

    Asant sana Dr umenisaidia Jambo🙏🙏

  • @user-re7ep6tv9s
    @user-re7ep6tv9s11 ай бұрын

    Nashukuru sana kwaimafundisho kwamana nilikuwa nahofu yakuwacwa nimejifunza kabisa

  • @RosemaryMusa-eb2gp
    @RosemaryMusa-eb2gp3 ай бұрын

    Thank you so much, stay blessed.

  • @aikaabdala6366
    @aikaabdala63665 ай бұрын

    Dah mungu hutuma watu kwaajili ya watu ashukiriwe yeye kukuleta hapa na mawazo yako mungu anatupenda sana

  • @muhammedkhamis2566
    @muhammedkhamis25667 ай бұрын

    Asantee sana daktari Mungu akubariki

  • @zawadiwambura9188
    @zawadiwambura91888 ай бұрын

    Nilisaidiwa msaada nikasemezewa Sana naomba mungu niishinde hofu ya msaada

  • @iluminathambulwa7054
    @iluminathambulwa70542 жыл бұрын

    Your very true in sense of understanding keep it up doctor

  • @diannesebastian557
    @diannesebastian5572 жыл бұрын

    Asante baba kwa fundisho

  • @emanuelykandola6584
    @emanuelykandola65843 жыл бұрын

    Barikiwa kaka

  • @nelyrugabo9913
    @nelyrugabo99132 жыл бұрын

    Thank you so much

  • @alisburundi9657
    @alisburundi96572 жыл бұрын

    Asante sana kwaushauli

  • @iddyabdul9898
    @iddyabdul9898 Жыл бұрын

    thank you my brother

  • @hadijaMussa-sc1tk
    @hadijaMussa-sc1tk Жыл бұрын

    Ubarikiwe na mwenyezi mungu

  • @treeza0015
    @treeza0015 Жыл бұрын

    Hapo kwa Meli umenilenga kabisa nashukuru kwa kunisaidia

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Жыл бұрын

    Amina,kweli hofu aiu kile unachokilia ,inakuusu wewe,

  • @theresialucian7002
    @theresialucian70022 жыл бұрын

    Asante kwa somo zuri

  • @purityrehema543
    @purityrehema543 Жыл бұрын

    Asante barikiwa sana

  • @monikaben9248
    @monikaben92482 жыл бұрын

    Dr ubalikiwe sana leo nimepona hofu imenitesa sana

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid69963 ай бұрын

    Asante sana,i will became this fear in the name of Jesus.I had a lot of setbacks because of fear.

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 ай бұрын

    please deal with that and God help you

  • @godfreydavid6996

    @godfreydavid6996

    3 ай бұрын

    @@ChrisMauki1 It's about my marriage brother, countless times I thought about ending my life because I see no light.

  • @Joh_WRLD
    @Joh_WRLD3 жыл бұрын

    Asante saana kuna jambo kubwa sana umenisaidia.

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @mrsmtiulempwembwe8938
    @mrsmtiulempwembwe89382 жыл бұрын

    Hbr dokta

  • @marianamichael5406
    @marianamichael54062 ай бұрын

    Thankyou

  • @kenyanbae2476
    @kenyanbae24762 жыл бұрын

    Asante sana umenipa moyo kakangu sana I say

  • @agnesstuart6755
    @agnesstuart67553 жыл бұрын

    Asant kwa somo zur

  • @joxeesety2616
    @joxeesety26166 ай бұрын

    ASANT Sana Dr

  • @hamisiselemani4927
    @hamisiselemani49272 жыл бұрын

    Asante sana aise maana mie nipo na hofu kila wakati

  • @FatmaRashid-bq6yx

    @FatmaRashid-bq6yx

    3 ай бұрын

    Tupo wengi

  • @MohamedyAthuman-kn8ly
    @MohamedyAthuman-kn8ly3 ай бұрын

    ❤❤❤❤asanteee Sana kaka

  • @mankamushi
    @mankamushi5 ай бұрын

    Asante🙏

  • @queenbundala6188
    @queenbundala61883 жыл бұрын

    Asante doctor masomo yako yanatubariki sana , pia doctor naitaji namba yako ninashida

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @ramadhanidolle1952
    @ramadhanidolle1952 Жыл бұрын

    Asante

  • @mankamushi
    @mankamushi5 ай бұрын

    Asante😢

  • @abachadeboytz1693
    @abachadeboytz16933 жыл бұрын

    Nashukur sana, kwa kipind hicho

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @suzankawishe6154
    @suzankawishe61543 жыл бұрын

    asante sana dr umenisaidia jambo

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @HasaniSalumu-rc6zg
    @HasaniSalumu-rc6zg2 ай бұрын

    Mimi kila nikikutana na mwamke naingiwa nahofu na shindwa kuendelea dr msahada pls🙏

  • @wafelawafela6672
    @wafelawafela66722 жыл бұрын

    Amen Amen 🙏

  • @beatricemabula4783
    @beatricemabula47833 жыл бұрын

    Ahsante sana dk.mauki. jaman nabarikiwa na nahimarika haswa. Hofu tupa kule.

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @salumkikoti2443

    @salumkikoti2443

    2 жыл бұрын

    @@ChrisMauki1 kaka angu m Sina amuna mume wng hi Hali ilianzag kama wk mbl adi niforse kusex nae

  • @thedon8467

    @thedon8467

    Жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @user-gn1nz3do1d
    @user-gn1nz3do1d Жыл бұрын

    Nilipata tatizo nimekuwa nahofu sana mpaka nashindwa kuwa na. Amani

  • @salvinaedward7950
    @salvinaedward795011 ай бұрын

    Asnte doctor hofu na aibu Leo ndio mwsho wake ninakipaji chakusuka Niko nymbn tuu naogpa kujarbu ata kuandika Bango getini ila Leo ndio mwsho wake naamka asaiv naweka bango nimejiamin mm naweza hofu kwangu Leo inakwsha mungu nisaidie mungu wangu🙏

  • @bongotrending2255
    @bongotrending22552 жыл бұрын

    Asante doctor

  • @anneokoth3466

    @anneokoth3466

    4 ай бұрын

    Dr kwanza nishukuru maan mie hofu imenitawal san ktk maisha yangu.lkn nadhani kuanzia leo nipo huru kwani nimekuwa nikijihisia magonjwa nisio nayo kisa naumwa miguu inawak moto pia mgogo pia unawak moto na shingo kuumwa na kiuno na chini ya miguu yan hunyao kuwash😊

  • @agnesstuart6755
    @agnesstuart67553 жыл бұрын

    Somo zuri nimevutiw nalo

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @eleganthomesolutions
    @eleganthomesolutions3 жыл бұрын

    Asante Dr Chris

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @eleganthomesolutions

    @eleganthomesolutions

    2 жыл бұрын

    @@ChrisMauki1 tayari mkuu

  • @DenisKamugisha-zn3ub
    @DenisKamugisha-zn3ub Жыл бұрын

    Dr naomba unishaur nimefiwa na mume wangu mwaka juz gafra nimekaa nae kwa mwaka mmoja nimeogopa mno nikampata mtu aliyenifuta machoz bt chakushangaza nae ameenda Yan fikra zangu zimevurugika naomba ushaur

  • @user-lz8rs3kg7e
    @user-lz8rs3kg7e4 ай бұрын

    nimechelewa sana kukufahamu

  • @CatherineNelson-zn1oc
    @CatherineNelson-zn1oc2 ай бұрын

    Docter nitakupataje Nina Hilo tatizo natamani kupona

  • @bediabahati7700
    @bediabahati770010 ай бұрын

    ❤🙏🏽

  • @samiahmsuya3605
    @samiahmsuya36057 ай бұрын

    Msaada ntatesek hofu na wasi wasi uliopitiliz unanimaliz

  • @mariamdaniel2051
    @mariamdaniel20512 жыл бұрын

    Ahsantee sana dokta

  • @khadijarajab8383
    @khadijarajab83832 жыл бұрын

    🥺jambo la 5 jamani me kabisa

  • @emmanuelallen4430
    @emmanuelallen44303 жыл бұрын

    Asante KWA masomo manzuri yanayojenga familia. Tunaomba no zako za simu ambapo waweza Patikana KWA whasssup. Mungu akubariki

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks 0713407182

  • @allymressa5588

    @allymressa5588

    7 ай бұрын

    ​@@ChrisMauki1 mwanasaikolojia

  • @AshaIddy-pz1qz
    @AshaIddy-pz1qz3 ай бұрын

    Unanisaidiaje dokta mimi nashida hiyo ya hof na waswas

  • @haythamabdallah158
    @haythamabdallah1583 ай бұрын

    Alf pia nlikuw n mawaz sn wkt w kjfngua krbu n kujfngua yn mawaz y ndow

  • @rahimmassawe7023
    @rahimmassawe70233 жыл бұрын

    Naomba ushauli kwanza nnampenz mmoja ila na mtoto moja babake tumeachana mpenz wangu alinitongoza na kuniambia nitakua krash ila mm nilimpenda tu na alisema ana relation sasa kasafir kaenda kuchukua chet ila anapoenda kuna mtu wake ila anasema nimuamun maana hana furaha nae maana anamdharau

  • @ChoroTesla

    @ChoroTesla

    Жыл бұрын

    duuuh

  • @user-lz8rs3kg7e
    @user-lz8rs3kg7e4 ай бұрын

    mm mahusiano yana nipa hofu naogopa kumpoteza ninaye mpenda na kunamigogoro ya hapa na pale sasa napata hofu mno hasa nikiwa mwenyewe

  • @RebekaArfonce-mz5bg
    @RebekaArfonce-mz5bg Жыл бұрын

    Doctor ninapitia kipindi kigumu sana imefikia nakosa usingizi usiku kwa mchana nahitaji msaada zaidi private....nimefikia hatua natak kujifanyia kitu kibaya...naomba nijue jinsi yakukupata japo kwa simu..😭

  • @nacksuma2263

    @nacksuma2263

    11 ай бұрын

    Upo wap

  • @bethfrorambashaagabo4171
    @bethfrorambashaagabo41712 жыл бұрын

    Yaan kam mm ninahofu mpk nahisi ndoa yangu itavunjika 😭😭😭😭

  • @ChoroTesla

    @ChoroTesla

    Жыл бұрын

    ucwaze utakaaa poa tu

  • @frebrickmwamburi5279
    @frebrickmwamburi5279 Жыл бұрын

    Nikitaka kukupata nitakupata vipi

  • @rukayyanabahani6754
    @rukayyanabahani67547 ай бұрын

    Minina shida na namba yakoo

  • @meeklovett7808
    @meeklovett7808 Жыл бұрын

    Jamni nataka kuoona na huyu dct nitampata wap

  • @haythamabdallah158
    @haythamabdallah1583 ай бұрын

    Mm nsmbliw n wasws tng nijfngue nlipt km mshtk hv saiv bd n miez9 tng nijfngue inantes nabnw n kfua moy wapg pg tu nshmlz kil kipimo jmn nin ttz gn n spon nshmlz hd gaw z ges bkzan ges

  • @samiahmsuya3605

    @samiahmsuya3605

    3 ай бұрын

    Wew ni mwenzang jaman kifua wasi was

  • @sufoorembo5925
    @sufoorembo59252 жыл бұрын

    Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 ай бұрын

    yes tunaweza kuarrange session, check us via whatsap 0713407182 or 0658996262

  • @user-wt1rk8wk9c
    @user-wt1rk8wk9c10 ай бұрын

    Asante

  • @neemapeter6278
    @neemapeter62783 жыл бұрын

    Asante

  • @ChrisMauki1

    @ChrisMauki1

    3 жыл бұрын

    • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @tabithasamwel3408

    @tabithasamwel3408

    2 жыл бұрын

    Ahsante doctor nimejifunza kitu mungu akubariki sana.