This is official channel of Dr. Chris Mauki. Subscribe for the best learning on relationships, family and parenting, personal development and other inspirational content
Nimevumilia miaka 15 na kanitesa sana mpaka leo bado anipeleka mahakaman watoto wanalia wakisema mama mbona ulimchagua baba wa ivi yaan nalia tu mimi'
@AbiraiLunje51 минут бұрын
Duuuh😭😭😭
@AbiraiLunjeСағат бұрын
You are right
@AshaMethod-j4b2 сағат бұрын
Mimi nimeachan naye anabadili wanawake Kila siku alfu anamaliza anakuja kukuomba msamaha
@abigaelmwadena22622 сағат бұрын
asante sana kwa somo hili umenifunguavmacho😊
@OdetteKahambu3 сағат бұрын
Na shukuru sana baba. Ndio maana napenda sana masomo yako
@LucieGolden5 сағат бұрын
Asante sana dr kumbe namm ninayo bhn😊
@beatricemwita43807 сағат бұрын
Kaka Chris naomba msaada Mimi naamua kabisa kusamehe na ninamtangazia muhusika msamaha ila najikuta siwezi kusahau na ninakuwa na uchungu Mimi nilikuwa kwenye mahusiano mpk tukapata mtoto sasa ana miaka 7 ila baba wa mtoto hajawahi kuja hata kumuona mtoto hivyo ni jambo linaloniumiza sana nikaamua kumpigia na kumtangazia msamaha na nikakata Mawasiliano naye nikawa na amani sana moyoni na ninamshukuru Mungu ananibariki nalea mwanangu,yeye baba wa mtoto hajawahi kuhudumia mtoto kwa miaka yote hiyo 7 kwa kitu chochote kile hivyo inaniumiza ila wk iliyopita kanipigia kuomba msamaha nikifikiri nimepona ila moyo umejaa uchungu nashindwa kusahau naomba msaada wako nifanye nini niweze kutoka kwenye hii hali, nahitaji kufurahia maisha na mwanangu naomba msaada wako
@KennedyLudovicky13 сағат бұрын
Laiti ningeiona hii cilp kabla cjamwambia mtu madhaifu Yangu ningejiona mwenye bht sana ataivyo MUNGU namshukr sana kama naona mwanga Tena kwenye maisha yangu😢😢
@olphanyamweya315413 сағат бұрын
Asantii Dr chri mauki hii taifikiza Kwa watoto wangu ❤
@user-sx3id3rv8l13 сағат бұрын
Nimependa hii point👉 jichanganye...
@user-sx3id3rv8l13 сағат бұрын
I have learn a lesson through this..🔥🔥🔥
@user-xt5rn7kw3p14 сағат бұрын
Wengine wanaomba msamaha na kesho anarudia yale yale
@benardwankoka344715 сағат бұрын
Imekua fupi sana❤
@user-paschalrebeca317 сағат бұрын
Thanks dr. Nimejifunza kitu
@wemakalamu353818 сағат бұрын
Ubarikiwe 👍👍
@RenaldaZeramula18 сағат бұрын
Huyu mzee.naye.anatafuta nchumba
@sophialaurent240619 сағат бұрын
Najifunza kila cku na cjawai kujuta kufuatilia mada zako
@FRANCISCAMWAKATAGE20 сағат бұрын
❤
@user-mi2vl7tv6y22 сағат бұрын
Mtu akitaka kukuona anajupataje kaka
@zechariasaul7314Күн бұрын
Aisee....hili limenigusa...umenifundisha kitu
@OdetteKahambuКүн бұрын
Amen
@HappynesibarongoКүн бұрын
Asante.kwa ushauri. wako. Dr. chriis. mauki. ubalikiwe
@gloryMusa-fy2xdКүн бұрын
Thanks 🙏🙏
@SteveAvelinBuretterКүн бұрын
Waoooooo ameen
@NaimahKhalifasalimКүн бұрын
Ikiwa hupend haya huwa huyaskii 😅
@godwinlubuva4159Күн бұрын
Yaan umenisema me kabisaaaa
@JohnCongolaisКүн бұрын
Iko Sawa ile
@VaticanVivaКүн бұрын
Umetisha mkubwa
@Bernadette-wn4mqКүн бұрын
Asante sana
@TundaEmanuel-ns8kjКүн бұрын
❤
@samwelmigera7274Күн бұрын
Ubarikiwe
@Mwajuma-bx7wkКүн бұрын
Umeongea ukweli sana kama ulikuepo
@adolffTeobardiChimbalaКүн бұрын
Dah asantee sana Dr huu ujumbe ni wakwangu kabisa Acha nifanye maamuzi sasa
@DanielErnestyКүн бұрын
Asante kaka hili somo nimelipenda
@rebeccqhnyqngoso3772Күн бұрын
True Amen and Amen
@rebeccqhnyqngoso3772Күн бұрын
True Dr charis
@pendo8082Күн бұрын
👏 👏 👏 bravo
@joycecharles6799Күн бұрын
Nmepigwa na butwaa😢
@LightnessAntony-v7mКүн бұрын
Waooo napenda mafundisho yako nimepata kit👍👍
@Youthsimpact-uv8mp2 күн бұрын
Asante sana
@HarryNgugi2 күн бұрын
Thanks
@carolineawadhy55042 күн бұрын
Asante sana
@jamesfanuel45952 күн бұрын
Woooow ujumbe mzuri ushauri mzuri Sana yaani umenifunza jambo
@AishaOman-qz7tn2 күн бұрын
Barikiwa sana
@Bernadette-wn4mq2 күн бұрын
Jamani nina swali nataka mtu yeyote ule anisaidiye kunielekeza apa je kuowa au kuolewa bila ku funga ndowa yakubarikiwa kanisani je ni sahii au sio sahii
@beatricemwita43802 күн бұрын
Inategemeana na level yako ya imani kiimani ndoa ni Ile iliyobarikiwa madhabahuni,Mimi nimemkataa mwanaume kwa sababu hiyo yaani anataka kutoa mahari tu half anahesabu ni ndoa wkt kwa imani yangu nakuwa nipo kifungoni, na kama mtu anakupenda kweli anapaswa awe proud na wewe awe tayari kuionyesha dunia ktk wanawake wote huyo ndiyo sahihi kwangu na hiyo inathibitishwa kwa kufunga ndoa kiimani ila kiserikali ipo pia ila madhabahu haiitambui hivyo unakuwa kwenye mkwamo kiimani
@Bernadette-wn4mq2 күн бұрын
@@beatricemwita4380 Asante sana nashkuru kwa ushauri wako ata na mimi pia kuna kijana nipo naye ila ataki ndowa na imani yangu ahipo hivyo anavyo taka apo ndo kuna shida sijui itakwaje
@AishaOman-qz7tn2 күн бұрын
@@Bernadette-wn4mqchunguza kwa makin dear uenda ana ndoa na ndo maana anakwambia hivyo fanya uchunguz mdogo mdog na kama awez kuoa kanisan au kwa iman yako muache aende omba mungu akupe wako wanaume ni waongo sana na ni vzr kuolewa na mtu mwenye iman Sawa na wew
@Bernadette-wn4mqКүн бұрын
@@AishaOman-qz7tn Asante sana
@NuratyAlly-lq7xc53 минут бұрын
@@AishaOman-qz7tntuko wengi
@twiseghekisilu88452 күн бұрын
Kama tupo kwenye ndoa nifanyeje???tuachane au???
@eliamanminja60082 күн бұрын
Ubarikiwe sana kwa masomo
@UnpopularDiscussion2 күн бұрын
Sasa ukishamuambia mwanaume namna mke wake hana busara, then what? 😅😅😅
Пікірлер
🎉
Nimevumilia miaka 15 na kanitesa sana mpaka leo bado anipeleka mahakaman watoto wanalia wakisema mama mbona ulimchagua baba wa ivi yaan nalia tu mimi'
Duuuh😭😭😭
You are right
Mimi nimeachan naye anabadili wanawake Kila siku alfu anamaliza anakuja kukuomba msamaha
asante sana kwa somo hili umenifunguavmacho😊
Na shukuru sana baba. Ndio maana napenda sana masomo yako
Asante sana dr kumbe namm ninayo bhn😊
Kaka Chris naomba msaada Mimi naamua kabisa kusamehe na ninamtangazia muhusika msamaha ila najikuta siwezi kusahau na ninakuwa na uchungu Mimi nilikuwa kwenye mahusiano mpk tukapata mtoto sasa ana miaka 7 ila baba wa mtoto hajawahi kuja hata kumuona mtoto hivyo ni jambo linaloniumiza sana nikaamua kumpigia na kumtangazia msamaha na nikakata Mawasiliano naye nikawa na amani sana moyoni na ninamshukuru Mungu ananibariki nalea mwanangu,yeye baba wa mtoto hajawahi kuhudumia mtoto kwa miaka yote hiyo 7 kwa kitu chochote kile hivyo inaniumiza ila wk iliyopita kanipigia kuomba msamaha nikifikiri nimepona ila moyo umejaa uchungu nashindwa kusahau naomba msaada wako nifanye nini niweze kutoka kwenye hii hali, nahitaji kufurahia maisha na mwanangu naomba msaada wako
Laiti ningeiona hii cilp kabla cjamwambia mtu madhaifu Yangu ningejiona mwenye bht sana ataivyo MUNGU namshukr sana kama naona mwanga Tena kwenye maisha yangu😢😢
Asantii Dr chri mauki hii taifikiza Kwa watoto wangu ❤
Nimependa hii point👉 jichanganye...
I have learn a lesson through this..🔥🔥🔥
Wengine wanaomba msamaha na kesho anarudia yale yale
Imekua fupi sana❤
Thanks dr. Nimejifunza kitu
Ubarikiwe 👍👍
Huyu mzee.naye.anatafuta nchumba
Najifunza kila cku na cjawai kujuta kufuatilia mada zako
❤
Mtu akitaka kukuona anajupataje kaka
Aisee....hili limenigusa...umenifundisha kitu
Amen
Asante.kwa ushauri. wako. Dr. chriis. mauki. ubalikiwe
Thanks 🙏🙏
Waoooooo ameen
Ikiwa hupend haya huwa huyaskii 😅
Yaan umenisema me kabisaaaa
Iko Sawa ile
Umetisha mkubwa
Asante sana
❤
Ubarikiwe
Umeongea ukweli sana kama ulikuepo
Dah asantee sana Dr huu ujumbe ni wakwangu kabisa Acha nifanye maamuzi sasa
Asante kaka hili somo nimelipenda
True Amen and Amen
True Dr charis
👏 👏 👏 bravo
Nmepigwa na butwaa😢
Waooo napenda mafundisho yako nimepata kit👍👍
Asante sana
Thanks
Asante sana
Woooow ujumbe mzuri ushauri mzuri Sana yaani umenifunza jambo
Barikiwa sana
Jamani nina swali nataka mtu yeyote ule anisaidiye kunielekeza apa je kuowa au kuolewa bila ku funga ndowa yakubarikiwa kanisani je ni sahii au sio sahii
Inategemeana na level yako ya imani kiimani ndoa ni Ile iliyobarikiwa madhabahuni,Mimi nimemkataa mwanaume kwa sababu hiyo yaani anataka kutoa mahari tu half anahesabu ni ndoa wkt kwa imani yangu nakuwa nipo kifungoni, na kama mtu anakupenda kweli anapaswa awe proud na wewe awe tayari kuionyesha dunia ktk wanawake wote huyo ndiyo sahihi kwangu na hiyo inathibitishwa kwa kufunga ndoa kiimani ila kiserikali ipo pia ila madhabahu haiitambui hivyo unakuwa kwenye mkwamo kiimani
@@beatricemwita4380 Asante sana nashkuru kwa ushauri wako ata na mimi pia kuna kijana nipo naye ila ataki ndowa na imani yangu ahipo hivyo anavyo taka apo ndo kuna shida sijui itakwaje
@@Bernadette-wn4mqchunguza kwa makin dear uenda ana ndoa na ndo maana anakwambia hivyo fanya uchunguz mdogo mdog na kama awez kuoa kanisan au kwa iman yako muache aende omba mungu akupe wako wanaume ni waongo sana na ni vzr kuolewa na mtu mwenye iman Sawa na wew
@@AishaOman-qz7tn Asante sana
@@AishaOman-qz7tntuko wengi
Kama tupo kwenye ndoa nifanyeje???tuachane au???
Ubarikiwe sana kwa masomo
Sasa ukishamuambia mwanaume namna mke wake hana busara, then what? 😅😅😅