Chris Mauki

Chris Mauki

This is official channel of Dr. Chris Mauki. Subscribe for the best learning on relationships, family and parenting, personal development and other inspirational content

Пікірлер

  • @user-paschalrebeca3
    @user-paschalrebeca328 минут бұрын

    🎉

  • @ClintonSospeter-q3o
    @ClintonSospeter-q3o38 минут бұрын

    Nimevumilia miaka 15 na kanitesa sana mpaka leo bado anipeleka mahakaman watoto wanalia wakisema mama mbona ulimchagua baba wa ivi yaan nalia tu mimi'

  • @AbiraiLunje
    @AbiraiLunje51 минут бұрын

    Duuuh😭😭😭

  • @AbiraiLunje
    @AbiraiLunjeСағат бұрын

    You are right

  • @AshaMethod-j4b
    @AshaMethod-j4b2 сағат бұрын

    Mimi nimeachan naye anabadili wanawake Kila siku alfu anamaliza anakuja kukuomba msamaha

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena22622 сағат бұрын

    asante sana kwa somo hili umenifunguavmacho😊

  • @OdetteKahambu
    @OdetteKahambu3 сағат бұрын

    Na shukuru sana baba. Ndio maana napenda sana masomo yako

  • @LucieGolden
    @LucieGolden5 сағат бұрын

    Asante sana dr kumbe namm ninayo bhn😊

  • @beatricemwita4380
    @beatricemwita43807 сағат бұрын

    Kaka Chris naomba msaada Mimi naamua kabisa kusamehe na ninamtangazia muhusika msamaha ila najikuta siwezi kusahau na ninakuwa na uchungu Mimi nilikuwa kwenye mahusiano mpk tukapata mtoto sasa ana miaka 7 ila baba wa mtoto hajawahi kuja hata kumuona mtoto hivyo ni jambo linaloniumiza sana nikaamua kumpigia na kumtangazia msamaha na nikakata Mawasiliano naye nikawa na amani sana moyoni na ninamshukuru Mungu ananibariki nalea mwanangu,yeye baba wa mtoto hajawahi kuhudumia mtoto kwa miaka yote hiyo 7 kwa kitu chochote kile hivyo inaniumiza ila wk iliyopita kanipigia kuomba msamaha nikifikiri nimepona ila moyo umejaa uchungu nashindwa kusahau naomba msaada wako nifanye nini niweze kutoka kwenye hii hali, nahitaji kufurahia maisha na mwanangu naomba msaada wako

  • @KennedyLudovicky
    @KennedyLudovicky13 сағат бұрын

    Laiti ningeiona hii cilp kabla cjamwambia mtu madhaifu Yangu ningejiona mwenye bht sana ataivyo MUNGU namshukr sana kama naona mwanga Tena kwenye maisha yangu😢😢

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya315413 сағат бұрын

    Asantii Dr chri mauki hii taifikiza Kwa watoto wangu ❤

  • @user-sx3id3rv8l
    @user-sx3id3rv8l13 сағат бұрын

    Nimependa hii point👉 jichanganye...

  • @user-sx3id3rv8l
    @user-sx3id3rv8l13 сағат бұрын

    I have learn a lesson through this..🔥🔥🔥

  • @user-xt5rn7kw3p
    @user-xt5rn7kw3p14 сағат бұрын

    Wengine wanaomba msamaha na kesho anarudia yale yale

  • @benardwankoka3447
    @benardwankoka344715 сағат бұрын

    Imekua fupi sana❤

  • @user-paschalrebeca3
    @user-paschalrebeca317 сағат бұрын

    Thanks dr. Nimejifunza kitu

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu353818 сағат бұрын

    Ubarikiwe 👍👍

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula18 сағат бұрын

    Huyu mzee.naye.anatafuta nchumba

  • @sophialaurent2406
    @sophialaurent240619 сағат бұрын

    Najifunza kila cku na cjawai kujuta kufuatilia mada zako

  • @FRANCISCAMWAKATAGE
    @FRANCISCAMWAKATAGE20 сағат бұрын

  • @user-mi2vl7tv6y
    @user-mi2vl7tv6y22 сағат бұрын

    Mtu akitaka kukuona anajupataje kaka

  • @zechariasaul7314
    @zechariasaul7314Күн бұрын

    Aisee....hili limenigusa...umenifundisha kitu

  • @OdetteKahambu
    @OdetteKahambuКүн бұрын

    Amen

  • @Happynesibarongo
    @HappynesibarongoКүн бұрын

    Asante.kwa ushauri. wako. Dr. chriis. mauki. ubalikiwe

  • @gloryMusa-fy2xd
    @gloryMusa-fy2xdКүн бұрын

    Thanks 🙏🙏

  • @SteveAvelinBuretter
    @SteveAvelinBuretterКүн бұрын

    Waoooooo ameen

  • @NaimahKhalifasalim
    @NaimahKhalifasalimКүн бұрын

    Ikiwa hupend haya huwa huyaskii 😅

  • @godwinlubuva4159
    @godwinlubuva4159Күн бұрын

    Yaan umenisema me kabisaaaa

  • @JohnCongolais
    @JohnCongolaisКүн бұрын

    Iko Sawa ile

  • @VaticanViva
    @VaticanVivaКүн бұрын

    Umetisha mkubwa

  • @Bernadette-wn4mq
    @Bernadette-wn4mqКүн бұрын

    Asante sana

  • @TundaEmanuel-ns8kj
    @TundaEmanuel-ns8kjКүн бұрын

  • @samwelmigera7274
    @samwelmigera7274Күн бұрын

    Ubarikiwe

  • @Mwajuma-bx7wk
    @Mwajuma-bx7wkКүн бұрын

    Umeongea ukweli sana kama ulikuepo

  • @adolffTeobardiChimbala
    @adolffTeobardiChimbalaКүн бұрын

    Dah asantee sana Dr huu ujumbe ni wakwangu kabisa Acha nifanye maamuzi sasa

  • @DanielErnesty
    @DanielErnestyКүн бұрын

    Asante kaka hili somo nimelipenda

  • @rebeccqhnyqngoso3772
    @rebeccqhnyqngoso3772Күн бұрын

    True Amen and Amen

  • @rebeccqhnyqngoso3772
    @rebeccqhnyqngoso3772Күн бұрын

    True Dr charis

  • @pendo8082
    @pendo8082Күн бұрын

    👏 👏 👏 bravo

  • @joycecharles6799
    @joycecharles6799Күн бұрын

    Nmepigwa na butwaa😢

  • @LightnessAntony-v7m
    @LightnessAntony-v7mКүн бұрын

    Waooo napenda mafundisho yako nimepata kit👍👍

  • @Youthsimpact-uv8mp
    @Youthsimpact-uv8mp2 күн бұрын

    Asante sana

  • @HarryNgugi
    @HarryNgugi2 күн бұрын

    Thanks

  • @carolineawadhy5504
    @carolineawadhy55042 күн бұрын

    Asante sana

  • @jamesfanuel4595
    @jamesfanuel45952 күн бұрын

    Woooow ujumbe mzuri ushauri mzuri Sana yaani umenifunza jambo

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn2 күн бұрын

    Barikiwa sana

  • @Bernadette-wn4mq
    @Bernadette-wn4mq2 күн бұрын

    Jamani nina swali nataka mtu yeyote ule anisaidiye kunielekeza apa je kuowa au kuolewa bila ku funga ndowa yakubarikiwa kanisani je ni sahii au sio sahii

  • @beatricemwita4380
    @beatricemwita43802 күн бұрын

    Inategemeana na level yako ya imani kiimani ndoa ni Ile iliyobarikiwa madhabahuni,Mimi nimemkataa mwanaume kwa sababu hiyo yaani anataka kutoa mahari tu half anahesabu ni ndoa wkt kwa imani yangu nakuwa nipo kifungoni, na kama mtu anakupenda kweli anapaswa awe proud na wewe awe tayari kuionyesha dunia ktk wanawake wote huyo ndiyo sahihi kwangu na hiyo inathibitishwa kwa kufunga ndoa kiimani ila kiserikali ipo pia ila madhabahu haiitambui hivyo unakuwa kwenye mkwamo kiimani

  • @Bernadette-wn4mq
    @Bernadette-wn4mq2 күн бұрын

    @@beatricemwita4380 Asante sana nashkuru kwa ushauri wako ata na mimi pia kuna kijana nipo naye ila ataki ndowa na imani yangu ahipo hivyo anavyo taka apo ndo kuna shida sijui itakwaje

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn2 күн бұрын

    ​@@Bernadette-wn4mqchunguza kwa makin dear uenda ana ndoa na ndo maana anakwambia hivyo fanya uchunguz mdogo mdog na kama awez kuoa kanisan au kwa iman yako muache aende omba mungu akupe wako wanaume ni waongo sana na ni vzr kuolewa na mtu mwenye iman Sawa na wew

  • @Bernadette-wn4mq
    @Bernadette-wn4mqКүн бұрын

    @@AishaOman-qz7tn Asante sana

  • @NuratyAlly-lq7xc
    @NuratyAlly-lq7xc53 минут бұрын

    ​@@AishaOman-qz7tntuko wengi

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu88452 күн бұрын

    Kama tupo kwenye ndoa nifanyeje???tuachane au???

  • @eliamanminja6008
    @eliamanminja60082 күн бұрын

    Ubarikiwe sana kwa masomo

  • @UnpopularDiscussion
    @UnpopularDiscussion2 күн бұрын

    Sasa ukishamuambia mwanaume namna mke wake hana busara, then what? 😅😅😅