#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya kipindi cha #Clouds360 na Mwanadishi wa Vitabu Joel Nanauka
Nanauka uko sawa kabisa pointi zako kila siku huwa ni zenye thamani na research zako huwa za hali ya juu kuliko maelezo.. thanks Broo kwa elimu bora
Ahsante sana nashuku
Mheshimiwa rais wetu pendwa plz sana mama mteue huyu kijana Joel Nnanauka umpe kazin serikalini tena wizarani huko atakusaidia sana.
Joel ww ni wakipekee kabisa mungu akuzidishi nakuhusudu Sana Mr Joel thenk you
Mwanasiasa anawaza kuhusu uchaguzi ujao na kiongozi anawaza kuhusu kizazi kijacho 💪
Naomba mwenye link group la maarifa au joel naliomba plz
Nanauka uko Vizuri nakupa big up Kama ni elimu una sycologe ya ziada
My mentor. See u at the top
Ubarikiwe kaka joele
Great conversation 👏🔥💯👍
Hopefully hii elimu itaangaliwa manake yote hayo yako kwenye jamii yetu
Nmependa hiyo
Kizazi cheque mukifanya.haya mutakuwa na familia na taifa lenye focus.
Uko sawa
Kuna mambo nagundua tunakosea kila ninapomsikiliza joeli nanauka
Kweli kabisa
Brother Joel umeongea ya maana sana hakika nitayafanyia kazi,,,Yesu atusaidie
Ameen Ameen
Huyu jamaa sio wa kuteuliwa Wala kuajiriwa, anejitambua aajiriwi, ukitaka Joel asiende mbinguni ateuliwe ata Aya hutayasikia, yeye abakie hivyohivyo.
Well program,matajiri wa Kiafrica hawawezi ku inspire watu coz wengi wao wamekwepa kodi iliwafanikiwe
Upo. Sawa
Yaan watu kama hawa ndo wenye kippawa cha uongozi
#Nje ya BOX
Joel unanitesa sana!
Unasema ukweli sana.
Sema huyu jamaa inaonyesha anasoma Sana vitu
Barabaran wapo majeuri anakugonga na anakuambia hunifanyi kitu
Nakuelewa Sana nanauka uko sahii kabisa
Nashukuru sana sana🙏🏼
Sasa elimu yako serikali Wana itambua vizuri? Na Kama Wana itambua Wana kuchuliaje?
Leo mmeongea vitu vizito Sana Tanzania tuna watu wenye madini ila tunashindwa kuwatumia tuwache uswali
Wanapewa air time kina gigy money watu wenye akili hawaonwi
@@fahadfaraj6474 tunapenda ujinga ndio maana akili zinaxidi kuwa fupo
Wazungu wanafanya hivyo.Hawana house girl
Utashangaa tunazingatia wajinga tunaacha watu kama hawa wa maana Ee mungu tusaidie
Watu kama nanauka ndo wanafaa kua viongozi Kwenye nchi yetu
Hayoweza kudumu
Ukraine: miaka 31 ya Uhuru katikati ya uvamizi wa Urusi,Miezi 6 tangu kuvamiwa >>>>> kzread.info/dash/bejne/aYebuZmEZrXFcps.html
Пікірлер: 39
Nanauka uko sawa kabisa pointi zako kila siku huwa ni zenye thamani na research zako huwa za hali ya juu kuliko maelezo.. thanks Broo kwa elimu bora
@joelnanauka
Жыл бұрын
Ahsante sana nashuku
Mheshimiwa rais wetu pendwa plz sana mama mteue huyu kijana Joel Nnanauka umpe kazin serikalini tena wizarani huko atakusaidia sana.
Joel ww ni wakipekee kabisa mungu akuzidishi nakuhusudu Sana Mr Joel thenk you
Mwanasiasa anawaza kuhusu uchaguzi ujao na kiongozi anawaza kuhusu kizazi kijacho 💪
Naomba mwenye link group la maarifa au joel naliomba plz
Nanauka uko Vizuri nakupa big up Kama ni elimu una sycologe ya ziada
My mentor. See u at the top
Ubarikiwe kaka joele
Great conversation 👏🔥💯👍
Hopefully hii elimu itaangaliwa manake yote hayo yako kwenye jamii yetu
Nmependa hiyo
Kizazi cheque mukifanya.haya mutakuwa na familia na taifa lenye focus.
Uko sawa
Kuna mambo nagundua tunakosea kila ninapomsikiliza joeli nanauka
Kweli kabisa
Brother Joel umeongea ya maana sana hakika nitayafanyia kazi,,,Yesu atusaidie
@joelnanauka
Жыл бұрын
Ameen Ameen
Huyu jamaa sio wa kuteuliwa Wala kuajiriwa, anejitambua aajiriwi, ukitaka Joel asiende mbinguni ateuliwe ata Aya hutayasikia, yeye abakie hivyohivyo.
Well program,matajiri wa Kiafrica hawawezi ku inspire watu coz wengi wao wamekwepa kodi iliwafanikiwe
Upo. Sawa
Yaan watu kama hawa ndo wenye kippawa cha uongozi
#Nje ya BOX
Joel unanitesa sana!
Unasema ukweli sana.
Sema huyu jamaa inaonyesha anasoma Sana vitu
Barabaran wapo majeuri anakugonga na anakuambia hunifanyi kitu
Nakuelewa Sana nanauka uko sahii kabisa
@joelnanauka
Жыл бұрын
Nashukuru sana sana🙏🏼
Sasa elimu yako serikali Wana itambua vizuri? Na Kama Wana itambua Wana kuchuliaje?
Leo mmeongea vitu vizito Sana Tanzania tuna watu wenye madini ila tunashindwa kuwatumia tuwache uswali
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Wanapewa air time kina gigy money watu wenye akili hawaonwi
@msangodiesel3132
Жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 tunapenda ujinga ndio maana akili zinaxidi kuwa fupo
Wazungu wanafanya hivyo.Hawana house girl
Utashangaa tunazingatia wajinga tunaacha watu kama hawa wa maana Ee mungu tusaidie
Watu kama nanauka ndo wanafaa kua viongozi Kwenye nchi yetu
@devothasimbi6495
2 ай бұрын
Hayoweza kudumu
Ukraine: miaka 31 ya Uhuru katikati ya uvamizi wa Urusi,Miezi 6 tangu kuvamiwa >>>>> kzread.info/dash/bejne/aYebuZmEZrXFcps.html