Wazazi Msikilizeni kwa Umakini 'Joel Nanauka' I Ni Somo Kubwa I Mtoto Anajifunza kwa Kuangalia

Спорт

#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya kipindi cha #Clouds360 na Mwanadishi wa Vitabu Joel Nanauka

Пікірлер: 39

  • @omarimtau5162
    @omarimtau5162 Жыл бұрын

    Nanauka uko sawa kabisa pointi zako kila siku huwa ni zenye thamani na research zako huwa za hali ya juu kuliko maelezo.. thanks Broo kwa elimu bora

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    Ahsante sana nashuku

  • @colombanipaulo8953
    @colombanipaulo8953 Жыл бұрын

    Mheshimiwa rais wetu pendwa plz sana mama mteue huyu kijana Joel Nnanauka umpe kazin serikalini tena wizarani huko atakusaidia sana.

  • @massoudussi6710
    @massoudussi6710 Жыл бұрын

    Joel ww ni wakipekee kabisa mungu akuzidishi nakuhusudu Sana Mr Joel thenk you

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Жыл бұрын

    Mwanasiasa anawaza kuhusu uchaguzi ujao na kiongozi anawaza kuhusu kizazi kijacho 💪

  • @hendrypeter6182
    @hendrypeter61822 ай бұрын

    Naomba mwenye link group la maarifa au joel naliomba plz

  • @josephthadey8405
    @josephthadey8405 Жыл бұрын

    Nanauka uko Vizuri nakupa big up Kama ni elimu una sycologe ya ziada

  • @ahz6907
    @ahz6907 Жыл бұрын

    My mentor. See u at the top

  • @songolomeshake6206
    @songolomeshake620610 ай бұрын

    Ubarikiwe kaka joele

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Жыл бұрын

    Great conversation 👏🔥💯👍

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 Жыл бұрын

    Hopefully hii elimu itaangaliwa manake yote hayo yako kwenye jamii yetu

  • @magangabucha
    @magangabucha Жыл бұрын

    Nmependa hiyo

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga571021 күн бұрын

    Kizazi cheque mukifanya.haya mutakuwa na familia na taifa lenye focus.

  • @joshuajackson3827
    @joshuajackson3827 Жыл бұрын

    Uko sawa

  • @abuuharuna2214
    @abuuharuna2214 Жыл бұрын

    Kuna mambo nagundua tunakosea kila ninapomsikiliza joeli nanauka

  • @saidagalu2914
    @saidagalu2914 Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @mattyhappy1581
    @mattyhappy1581 Жыл бұрын

    Brother Joel umeongea ya maana sana hakika nitayafanyia kazi,,,Yesu atusaidie

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    Ameen Ameen

  • @stevensamwel4854
    @stevensamwel48546 ай бұрын

    Huyu jamaa sio wa kuteuliwa Wala kuajiriwa, anejitambua aajiriwi, ukitaka Joel asiende mbinguni ateuliwe ata Aya hutayasikia, yeye abakie hivyohivyo.

  • @jamesshao538
    @jamesshao538 Жыл бұрын

    Well program,matajiri wa Kiafrica hawawezi ku inspire watu coz wengi wao wamekwepa kodi iliwafanikiwe

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Жыл бұрын

    Upo. Sawa

  • @user-bq9jt9uj7q
    @user-bq9jt9uj7q6 ай бұрын

    Yaan watu kama hawa ndo wenye kippawa cha uongozi

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech Жыл бұрын

    #Nje ya BOX

  • @stevensamwel4854
    @stevensamwel48546 ай бұрын

    Joel unanitesa sana!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Unasema ukweli sana.

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 Жыл бұрын

    Sema huyu jamaa inaonyesha anasoma Sana vitu

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Жыл бұрын

    Barabaran wapo majeuri anakugonga na anakuambia hunifanyi kitu

  • @damianandrew3074
    @damianandrew3074 Жыл бұрын

    Nakuelewa Sana nanauka uko sahii kabisa

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    Nashukuru sana sana🙏🏼

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Жыл бұрын

    Sasa elimu yako serikali Wana itambua vizuri? Na Kama Wana itambua Wana kuchuliaje?

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Жыл бұрын

    Leo mmeongea vitu vizito Sana Tanzania tuna watu wenye madini ila tunashindwa kuwatumia tuwache uswali

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Wanapewa air time kina gigy money watu wenye akili hawaonwi

  • @msangodiesel3132

    @msangodiesel3132

    Жыл бұрын

    @@fahadfaraj6474 tunapenda ujinga ndio maana akili zinaxidi kuwa fupo

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    Wazungu wanafanya hivyo.Hawana house girl

  • @user-bq9jt9uj7q
    @user-bq9jt9uj7q6 ай бұрын

    Utashangaa tunazingatia wajinga tunaacha watu kama hawa wa maana Ee mungu tusaidie

  • @christianmosha
    @christianmosha Жыл бұрын

    Watu kama nanauka ndo wanafaa kua viongozi Kwenye nchi yetu

  • @devothasimbi6495

    @devothasimbi6495

    2 ай бұрын

    Hayoweza kudumu

  • @wiliamhenry3298
    @wiliamhenry3298 Жыл бұрын

    Ukraine: miaka 31 ya Uhuru katikati ya uvamizi wa Urusi,Miezi 6 tangu kuvamiwa >>>>> kzread.info/dash/bejne/aYebuZmEZrXFcps.html

Келесі