Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 285

  • @jichofoundationtv6893
    @jichofoundationtv68933 жыл бұрын

    Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael

  • @highzacknnko4002
    @highzacknnko40023 жыл бұрын

    "Unainua imani yangu kila wakati brooh!!!! Come on brooh Joel!!! Lini utakuja arusha kwa ajili ya kongamano!!!!tunakungoja pia huku

  • @salhaoman5002
    @salhaoman50023 жыл бұрын

    Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @SwaibaZamgina-qs1sc

    @SwaibaZamgina-qs1sc

    10 ай бұрын

    Naomba unicheki

  • @SwaibaZamgina-qs1sc

    @SwaibaZamgina-qs1sc

    10 ай бұрын

    Kuna kitu umeongea kimenigusa

  • @stamiliantony6815

    @stamiliantony6815

    9 ай бұрын

    A111

  • @febroniabernado9043

    @febroniabernado9043

    9 ай бұрын

    Hongera Sana!!!

  • @estamichoromichoro5634

    @estamichoromichoro5634

    8 ай бұрын

    Hii comment imenitoa machozi , maana nimekumbuka mbali sana

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657Ай бұрын

    Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana

  • @franknachimbinya7688
    @franknachimbinya76883 жыл бұрын

    Ingawa tunapita katika magumu, lakini mungu ametupa mlango Wa kutokea means NANAUKA

  • @denissanga454
    @denissanga4543 жыл бұрын

    ajionavo mtu nafsini mwake ndivo alivo,uwezi kushindwa kabla ujakubali kushindwa, nimeelewa vizuli shuklan kwa somo zuli Mr nanauka.

  • @anastaziagerad1646
    @anastaziagerad16463 жыл бұрын

    Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 Жыл бұрын

    nimeiskiliza kwa hisia sana hii

  • @dazboy-sl7cm
    @dazboy-sl7cm25 күн бұрын

    Nataka kuwa mtu mkubwa katika hii dunia hii nanauka mungu akubariki sana

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint98743 жыл бұрын

    Kina kitu kimechoma moyoni kwa kusikiliza maneno yako bro nakupenda sana na unaniongezea ujasiri wa kusonga mbele

  • @abdulrahmanis-hakka3347
    @abdulrahmanis-hakka33473 жыл бұрын

    Kaka Mungu amekufungulia kutuonesha njia tulio wengi sana. Kilichobàki ni kujisalimisha tu.

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 Жыл бұрын

    Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏

  • @myahudichrisostom
    @myahudichrisostom Жыл бұрын

    Najikuta sasa nataka kusikiliza kila unachozungumzia🙏🙏🙏, You are inspiring me into this field, hope you'll see me at the top where you are 💪

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn11 ай бұрын

    Mungu akuweke miaka 1000 kaka hakika umekuwa baraka sana kila ninavyo kusikiliza kuna kitu nachukua barikiw sana 🙏🙏🙏

  • @merryjohn9520
    @merryjohn95202 жыл бұрын

    Barikiwaa mnoo, hakika na imani Mimi ni mtu mkubwa sio mda mrefuu🔥🔥🔥kwa jina la YESU kristo 👏👏👏👏

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Жыл бұрын

    Ameeeen barikiwaa sanaa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @BilalHassan-jj8yo
    @BilalHassan-jj8yo2 ай бұрын

    Amiin ishalaa nakutakia mema molaa akuzidishie barika maisan mwako ishalaa

  • @andrewkszinza7047
    @andrewkszinza70473 жыл бұрын

    Wow am changing my mind to more postive....groly be to GOD

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga85028 ай бұрын

    Mchungaji Mungu amekubadilisha kiasi kwamba namshangaa Mungu sana

  • @neemakweli461
    @neemakweli4613 жыл бұрын

    Asante sana ,ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.

  • @polomondeniss5511
    @polomondeniss55113 жыл бұрын

    Ahsante Sana kwa elimu yako kiongozi, bwana akupe nguvu

  • @dainesimkombo9218
    @dainesimkombo92183 жыл бұрын

    Nakupenda sana maneno yako Kaka mungu ataniongoza siku zote za maisha yangu

  • @fettymdoe2100
    @fettymdoe21003 жыл бұрын

    hpna hii inataka kuntoa machozi kabisa daaaahhhh mwenyeazi MUNGU akuweke Mr joel

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    3 жыл бұрын

    Amen,Songa mbele

  • @lauradeogratias3055
    @lauradeogratias3055 Жыл бұрын

    I am glad for you man of God

  • @emmanuelziro4205
    @emmanuelziro420511 ай бұрын

    Blessed are the wise speakers,I love you brother,let my goal accomplished through your motivational speaking to me

  • @irenekweka7905
    @irenekweka7905 Жыл бұрын

    So blessed today to here ths..I needed ths

  • @johansenjackson960
    @johansenjackson9603 жыл бұрын

    Amen ubalikiwe sana

  • @neemaprisca7126
    @neemaprisca71263 жыл бұрын

    Asante sana presenter,unanitia moyo sana,hakika aonavyo MTU nafsini mwake ndivyo alivyo

  • @festoelias7884
    @festoelias78843 жыл бұрын

    Asante sana ubarikiwe na Mungu

  • @mathiasjohn9979
    @mathiasjohn99792 жыл бұрын

    Kweli wewe ni kifaa cha Mungu,, najivunia Sana

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice80773 жыл бұрын

    Amina, kweli kuna nguvu kubwa ya kukiri kwa kinywa na matendo,by Mithali 18:20-22.

  • @jkyamba3200
    @jkyamba32003 жыл бұрын

    Nimebarikiwa na hili neno kwa kweli.. ubarikiwe na MUNGU

  • @user-os9nb8ub6k
    @user-os9nb8ub6k Жыл бұрын

    Nimefulahi sana kwa maneno hayo na yameniingia kisawasawa lazima nibadilike sana kimaisha na namini sana ❤

  • @DiazPilipili
    @DiazPilipili4 ай бұрын

    Mungu awabariki saaana na kukuzidishiya siku za kwishi

  • @michaeltimoth366
    @michaeltimoth3662 жыл бұрын

    Word....nabadilisha nnavyojiona

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe47673 жыл бұрын

    Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.

  • @luluproches5107
    @luluproches51073 жыл бұрын

    Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia KZread tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏

  • @work24onme
    @work24onme7 ай бұрын

    Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, God Bless YOU, Amen 🙏🏼

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice80773 жыл бұрын

    Mungu akuongezee maarifa, nitabadilisha mawazo mabaya, nakataaa kufeli

  • @DoctorEvarist
    @DoctorEvarist9 ай бұрын

    Asante San kwa elimu yako father 🙏

  • @sangasadick3350
    @sangasadick33503 жыл бұрын

    nmejifunza kumtanguliza #Mungu na kubadili nnavojiona

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Жыл бұрын

    Nakupenda sana brother your the best 🇹🇿🙏.

  • @deogratiasmakali5099
    @deogratiasmakali50992 жыл бұрын

    Mafindisho Yako yanamibariki sana uwepo wako kwangu ni wamhim sana ahsante

  • @daudidaniel230
    @daudidaniel2302 жыл бұрын

    Ahsante sana kwa fundisho hili. Limenitia nguvu sana na nitajibadilisha ninavyojiona. Akili yangu na maisha yangu vitakuwa na nilivyondani yangu.

  • @lucyjuma8478
    @lucyjuma84782 жыл бұрын

    Ninasababu Ya Kusema Ahsanteeee Sana Broo Ubarikiwe Sanaaaa. Mwenyezi Mungu Akuinue

  • @marymgore6714
    @marymgore67143 жыл бұрын

    Aiseee, nimekupenda bure toka vilindi vya moyo wangu,I wish ungekuwa Kaka yangu,umenifurahisha,umenipa ujasiri,umeniondoa ujinga,zaidi umenipa tumaini jipya,nachoweza kusema Mungu azidi kukutunza

  • @baloziwawalemavu1146

    @baloziwawalemavu1146

    Жыл бұрын

    Amen Amen Amen 🙏

  • @elijahanthony7667
    @elijahanthony76672 жыл бұрын

    Wow the God of mercy is working

  • @floraritha1454
    @floraritha14543 жыл бұрын

    Asante sana kaka Joel akika naona kuvuka kwa viwango vya juu sana kupitia mafundisho haya.

  • @franksamson1718

    @franksamson1718

    2 жыл бұрын

    Stand room

  • @uwimananadia6066
    @uwimananadia60663 жыл бұрын

    Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    3 жыл бұрын

    Ameen,Utukufu kwa Mungu

  • @wazirikosianga4120

    @wazirikosianga4120

    Жыл бұрын

    Nanauka uko bize Sana kuihidumua jamii mungu akubariki

  • @rozimwasi6137
    @rozimwasi61373 жыл бұрын

    Asante sana kaka joeli na mungu azidi kukubarik na ulioyasema yaendelee kukaa ndani ya moyo ili niendele kuwa na miutisha katika kutimiza ndoto zangu

  • @richardmisogalya9499
    @richardmisogalya94993 жыл бұрын

    Barikiwa uwe na maisha marefu

  • @paschalinasulle6233
    @paschalinasulle62333 жыл бұрын

    Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world

  • @lucymathias9045
    @lucymathias9045 Жыл бұрын

    Powerful speech🙏joelnanauka

  • @denismtui7833
    @denismtui78333 жыл бұрын

    Blessed Nanauka 🙏

  • @bobog9732
    @bobog97323 жыл бұрын

    💋❤👏👏 Mungu akupe maisha marefu

  • @johariphilemon8630
    @johariphilemon86303 жыл бұрын

    j mungu akuinue zaidi namimi niko nyuma yako

  • @anishiemgala8203
    @anishiemgala82032 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana,Nimejifunza kitu🙏

  • @mwajumayunus2041
    @mwajumayunus20413 жыл бұрын

    You make my day kaka Joel yaaaaaan umenipa ukomavu wa akili leo pamoja na ubongo wangu MUNGU azidi kukuweka kaka yangu ✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kuanzia Leo kitu naenda kujinenea aiseeeee nitakataa roho ya uoga

  • @imanndambo2918
    @imanndambo29183 жыл бұрын

    Unanibariki sana kaka Joel.Mungu aendelee Kuku bariki

  • @hellyfridy
    @hellyfridy8 ай бұрын

    Be blessed. Amen🙏🙏

  • @deboraclass9282
    @deboraclass9282 Жыл бұрын

    Shukrani sana kaka Joel Nanauka! Umeniinua hatua nyingine.

  • @zainabozainaty6188
    @zainabozainaty61883 жыл бұрын

    Ukweli kabisa asanteni endelea kutupa elimu ili tufikie malengo yetu mungu akubariki sana🙏🙏🙏

  • @frankaloyce6438
    @frankaloyce64389 ай бұрын

    Greatest speech never seen before 🤝🤲🔥🔥🇹🇿

  • @gaudencemagwaja6195
    @gaudencemagwaja61953 жыл бұрын

    Braza I real admire u, kongore

  • @winifridaleo4443
    @winifridaleo44433 жыл бұрын

    Mungu azidi kukuinua zaidi kaka nimebarikiwa sana

  • @getrudeelibariki1002
    @getrudeelibariki10023 жыл бұрын

    Asante sana kaka Joel...MUNGU akubariki🙌

  • @sharonerick7729
    @sharonerick77293 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu Kaka Joel

  • @evahealthservice7390
    @evahealthservice73903 жыл бұрын

    Asante, asante sana Nanauka Mungu akuinue zaidi. Mimi ni mwenye mafanikio makubwa sana.

  • @thelesiapaulo7790
    @thelesiapaulo77903 жыл бұрын

    Bwana akuongezee maarifa zaidii,Asnte sana wanoa vichwa vya wengi broo

  • @hiland255fundi5
    @hiland255fundi53 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana kaka yetu,uko na akili za rohoni kuliko kawaida

  • @zabibusephania2415
    @zabibusephania24153 жыл бұрын

    Asant sana Kaka mungu akubariki umenivusha Mahalia.

  • @rizikisengo9297
    @rizikisengo92973 жыл бұрын

    Asante sana kaka mungu akubariki kwa elimu hii.

  • @RoseMandai
    @RoseMandai3 ай бұрын

    Mungu aliyeumba mbingu na nchi aendelee kukutunza

  • @greatman296
    @greatman2963 жыл бұрын

    Good job! Kaka naomba siku ikikupendeza utuandalie video inayohusu vitabu gan vizur ambavyo mtu anaeanza kuosoma anaweza kuanza navyo! Tofaut na ulivoandika ww, maana vyako karibia vyote nimesoma

  • @makandaigarobi4765
    @makandaigarobi4765 Жыл бұрын

    Asante

  • @davidkengambi491
    @davidkengambi4913 жыл бұрын

    Hii ni video ambayo imenijengea Kitu Kikubwa sana...na ninapenda Sana Kuisikiliza , Napenda Imani za hivi

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    3 жыл бұрын

    Nashukuru Sana🙏

  • @barakaephraimu7503
    @barakaephraimu7503 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana Joel ww n Lulu ya Tanzania najifunza mengi juu yako

  • @amakamraqterry5920
    @amakamraqterry59202 жыл бұрын

    Amen mtumishi thanks

  • @joelparmwat6029
    @joelparmwat60295 ай бұрын

    Amen god bless you 🙏🙏

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark63983 жыл бұрын

    Ubarikiwe xana Mkuu

  • @BonfriInsuranceAgency
    @BonfriInsuranceAgency Жыл бұрын

    Nashukuru Mungu asubuhi leo umeinua hisia zangu

  • @chotark1881
    @chotark1881 Жыл бұрын

    huyu jamaa alistahili kuwa mchungaji mwema kabisa , hongera kaka nakukubali sana

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo26333 жыл бұрын

    Mafundisho yako yananisaidia sana Asante.

  • @manmaster536
    @manmaster5362 жыл бұрын

    Sawaaaaaa pastor

  • @danielmhonia5217
    @danielmhonia52173 жыл бұрын

    Kaka @joel Mungu akubariki Sana.

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius59103 жыл бұрын

    Ameen nabarikiwa zaidi kaka

  • @gastomasawe9176
    @gastomasawe91762 жыл бұрын

    Jamaa upo vizuri Sana aisee Kwa mafunzo

  • @aminaothman2136
    @aminaothman21369 ай бұрын

    Shukran najikuta mie kabisa

  • @allyshabani7791
    @allyshabani77913 жыл бұрын

    Asante sana brother

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 Жыл бұрын

    upo makin sana kaka🎉

  • @sifamdaki966
    @sifamdaki9663 жыл бұрын

    I'm crying😭😭mimi nasemaga kwamba siku moja nitakuwa mtu mkubwa sana, nitakuwa mfanya biashara mkubwa sn wananicheka ila hawajui nguvu ilioko ndani yng hawajui jinsi ninavyojiona😭asantee sn kaka Joel unanipa nguvu zakufikia ndoto zang hakuna anae nimini ila ipo siku nitatoa ushuhuda nitaisimulia dunia na kunyesha watu mbele za mungu hakuna kinachoshindikana

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    3 жыл бұрын

    Ameen Sifa na itakuwa

  • @charlesjisangiyi9148
    @charlesjisangiyi91483 жыл бұрын

    I had got good idea nice appreciate you

  • @victaeliud948
    @victaeliud9483 жыл бұрын

    Nimekupenda bure....bro... Stay blessed

  • @user-ft2me7xz1z
    @user-ft2me7xz1z5 ай бұрын

    Congratulations kaka yangu

  • @agnesjackson2364
    @agnesjackson23643 жыл бұрын

    Nakupenda sana kaka Jo najifunza vitu vingi

  • @kenyantotoz4244
    @kenyantotoz42443 жыл бұрын

    Sauti peke yake ni Baraka kwako,,, congratulations bro

  • @naomyerasto1305
    @naomyerasto13053 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana kaka yangu🙏

  • @abdullahbarwani8306
    @abdullahbarwani83063 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana kaka asante

  • @margrethmalangalila3069
    @margrethmalangalila30693 жыл бұрын

    Thanks kaka Mungu akubariki

  • @yussufissabilantanye9894
    @yussufissabilantanye98943 жыл бұрын

    Salute you kaka!