Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael
@highzacknnko40023 жыл бұрын
"Unainua imani yangu kila wakati brooh!!!! Come on brooh Joel!!! Lini utakuja arusha kwa ajili ya kongamano!!!!tunakungoja pia huku
@salhaoman50023 жыл бұрын
Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@SwaibaZamgina-qs1sc
10 ай бұрын
Naomba unicheki
@SwaibaZamgina-qs1sc
10 ай бұрын
Kuna kitu umeongea kimenigusa
@stamiliantony6815
9 ай бұрын
A111
@febroniabernado9043
9 ай бұрын
Hongera Sana!!!
@estamichoromichoro5634
8 ай бұрын
Hii comment imenitoa machozi , maana nimekumbuka mbali sana
@petermunuo1657Ай бұрын
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
@franknachimbinya76883 жыл бұрын
Ingawa tunapita katika magumu, lakini mungu ametupa mlango Wa kutokea means NANAUKA
@denissanga4543 жыл бұрын
ajionavo mtu nafsini mwake ndivo alivo,uwezi kushindwa kabla ujakubali kushindwa, nimeelewa vizuli shuklan kwa somo zuli Mr nanauka.
@anastaziagerad16463 жыл бұрын
Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana
@official_rayob.8351 Жыл бұрын
nimeiskiliza kwa hisia sana hii
@dazboy-sl7cm25 күн бұрын
Nataka kuwa mtu mkubwa katika hii dunia hii nanauka mungu akubariki sana
@trillhappybeautypoint98743 жыл бұрын
Kina kitu kimechoma moyoni kwa kusikiliza maneno yako bro nakupenda sana na unaniongezea ujasiri wa kusonga mbele
@abdulrahmanis-hakka33473 жыл бұрын
Kaka Mungu amekufungulia kutuonesha njia tulio wengi sana. Kilichobàki ni kujisalimisha tu.
@deboramuhoja1777 Жыл бұрын
Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏
@myahudichrisostom Жыл бұрын
Najikuta sasa nataka kusikiliza kila unachozungumzia🙏🙏🙏, You are inspiring me into this field, hope you'll see me at the top where you are 💪
@AishaOman-qz7tn11 ай бұрын
Mungu akuweke miaka 1000 kaka hakika umekuwa baraka sana kila ninavyo kusikiliza kuna kitu nachukua barikiw sana 🙏🙏🙏
@merryjohn95202 жыл бұрын
Barikiwaa mnoo, hakika na imani Mimi ni mtu mkubwa sio mda mrefuu🔥🔥🔥kwa jina la YESU kristo 👏👏👏👏
Wow am changing my mind to more postive....groly be to GOD
@felsonsanga85028 ай бұрын
Mchungaji Mungu amekubadilisha kiasi kwamba namshangaa Mungu sana
@neemakweli4613 жыл бұрын
Asante sana ,ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
@polomondeniss55113 жыл бұрын
Ahsante Sana kwa elimu yako kiongozi, bwana akupe nguvu
@dainesimkombo92183 жыл бұрын
Nakupenda sana maneno yako Kaka mungu ataniongoza siku zote za maisha yangu
@fettymdoe21003 жыл бұрын
hpna hii inataka kuntoa machozi kabisa daaaahhhh mwenyeazi MUNGU akuweke Mr joel
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Amen,Songa mbele
@lauradeogratias3055 Жыл бұрын
I am glad for you man of God
@emmanuelziro420511 ай бұрын
Blessed are the wise speakers,I love you brother,let my goal accomplished through your motivational speaking to me
@irenekweka7905 Жыл бұрын
So blessed today to here ths..I needed ths
@johansenjackson9603 жыл бұрын
Amen ubalikiwe sana
@neemaprisca71263 жыл бұрын
Asante sana presenter,unanitia moyo sana,hakika aonavyo MTU nafsini mwake ndivyo alivyo
@festoelias78843 жыл бұрын
Asante sana ubarikiwe na Mungu
@mathiasjohn99792 жыл бұрын
Kweli wewe ni kifaa cha Mungu,, najivunia Sana
@bonifacebeatrice80773 жыл бұрын
Amina, kweli kuna nguvu kubwa ya kukiri kwa kinywa na matendo,by Mithali 18:20-22.
@jkyamba32003 жыл бұрын
Nimebarikiwa na hili neno kwa kweli.. ubarikiwe na MUNGU
@user-os9nb8ub6k Жыл бұрын
Nimefulahi sana kwa maneno hayo na yameniingia kisawasawa lazima nibadilike sana kimaisha na namini sana ❤
@DiazPilipili4 ай бұрын
Mungu awabariki saaana na kukuzidishiya siku za kwishi
@michaeltimoth3662 жыл бұрын
Word....nabadilisha nnavyojiona
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.
@luluproches51073 жыл бұрын
Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia KZread tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏
@work24onme7 ай бұрын
Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, God Bless YOU, Amen 🙏🏼
@bonifacebeatrice80773 жыл бұрын
Mungu akuongezee maarifa, nitabadilisha mawazo mabaya, nakataaa kufeli
@DoctorEvarist9 ай бұрын
Asante San kwa elimu yako father 🙏
@sangasadick33503 жыл бұрын
nmejifunza kumtanguliza #Mungu na kubadili nnavojiona
@nurdininanjota4056 Жыл бұрын
Nakupenda sana brother your the best 🇹🇿🙏.
@deogratiasmakali50992 жыл бұрын
Mafindisho Yako yanamibariki sana uwepo wako kwangu ni wamhim sana ahsante
@daudidaniel2302 жыл бұрын
Ahsante sana kwa fundisho hili. Limenitia nguvu sana na nitajibadilisha ninavyojiona. Akili yangu na maisha yangu vitakuwa na nilivyondani yangu.
@lucyjuma84782 жыл бұрын
Ninasababu Ya Kusema Ahsanteeee Sana Broo Ubarikiwe Sanaaaa. Mwenyezi Mungu Akuinue
Asante sana kaka Joel akika naona kuvuka kwa viwango vya juu sana kupitia mafundisho haya.
@franksamson1718
2 жыл бұрын
Stand room
@uwimananadia60663 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Ameen,Utukufu kwa Mungu
@wazirikosianga4120
Жыл бұрын
Nanauka uko bize Sana kuihidumua jamii mungu akubariki
@rozimwasi61373 жыл бұрын
Asante sana kaka joeli na mungu azidi kukubarik na ulioyasema yaendelee kukaa ndani ya moyo ili niendele kuwa na miutisha katika kutimiza ndoto zangu
@richardmisogalya94993 жыл бұрын
Barikiwa uwe na maisha marefu
@paschalinasulle62333 жыл бұрын
Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world
@lucymathias9045 Жыл бұрын
Powerful speech🙏joelnanauka
@denismtui78333 жыл бұрын
Blessed Nanauka 🙏
@bobog97323 жыл бұрын
💋❤👏👏 Mungu akupe maisha marefu
@johariphilemon86303 жыл бұрын
j mungu akuinue zaidi namimi niko nyuma yako
@anishiemgala82032 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana,Nimejifunza kitu🙏
@mwajumayunus20413 жыл бұрын
You make my day kaka Joel yaaaaaan umenipa ukomavu wa akili leo pamoja na ubongo wangu MUNGU azidi kukuweka kaka yangu ✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kuanzia Leo kitu naenda kujinenea aiseeeee nitakataa roho ya uoga
@imanndambo29183 жыл бұрын
Unanibariki sana kaka Joel.Mungu aendelee Kuku bariki
@hellyfridy8 ай бұрын
Be blessed. Amen🙏🙏
@deboraclass9282 Жыл бұрын
Shukrani sana kaka Joel Nanauka! Umeniinua hatua nyingine.
@zainabozainaty61883 жыл бұрын
Ukweli kabisa asanteni endelea kutupa elimu ili tufikie malengo yetu mungu akubariki sana🙏🙏🙏
@frankaloyce64389 ай бұрын
Greatest speech never seen before 🤝🤲🔥🔥🇹🇿
@gaudencemagwaja61953 жыл бұрын
Braza I real admire u, kongore
@winifridaleo44433 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua zaidi kaka nimebarikiwa sana
@getrudeelibariki10023 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel...MUNGU akubariki🙌
@sharonerick77293 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu Kaka Joel
@evahealthservice73903 жыл бұрын
Asante, asante sana Nanauka Mungu akuinue zaidi. Mimi ni mwenye mafanikio makubwa sana.
@thelesiapaulo77903 жыл бұрын
Bwana akuongezee maarifa zaidii,Asnte sana wanoa vichwa vya wengi broo
@hiland255fundi53 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka yetu,uko na akili za rohoni kuliko kawaida
@zabibusephania24153 жыл бұрын
Asant sana Kaka mungu akubariki umenivusha Mahalia.
@rizikisengo92973 жыл бұрын
Asante sana kaka mungu akubariki kwa elimu hii.
@RoseMandai3 ай бұрын
Mungu aliyeumba mbingu na nchi aendelee kukutunza
@greatman2963 жыл бұрын
Good job! Kaka naomba siku ikikupendeza utuandalie video inayohusu vitabu gan vizur ambavyo mtu anaeanza kuosoma anaweza kuanza navyo! Tofaut na ulivoandika ww, maana vyako karibia vyote nimesoma
@makandaigarobi4765 Жыл бұрын
Asante
@davidkengambi4913 жыл бұрын
Hii ni video ambayo imenijengea Kitu Kikubwa sana...na ninapenda Sana Kuisikiliza , Napenda Imani za hivi
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Nashukuru Sana🙏
@barakaephraimu7503 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Joel ww n Lulu ya Tanzania najifunza mengi juu yako
@amakamraqterry59202 жыл бұрын
Amen mtumishi thanks
@joelparmwat60295 ай бұрын
Amen god bless you 🙏🙏
@fedharmmark63983 жыл бұрын
Ubarikiwe xana Mkuu
@BonfriInsuranceAgency Жыл бұрын
Nashukuru Mungu asubuhi leo umeinua hisia zangu
@chotark1881 Жыл бұрын
huyu jamaa alistahili kuwa mchungaji mwema kabisa , hongera kaka nakukubali sana
@janethpallangyo26333 жыл бұрын
Mafundisho yako yananisaidia sana Asante.
@manmaster5362 жыл бұрын
Sawaaaaaa pastor
@danielmhonia52173 жыл бұрын
Kaka @joel Mungu akubariki Sana.
@shukranjulius59103 жыл бұрын
Ameen nabarikiwa zaidi kaka
@gastomasawe91762 жыл бұрын
Jamaa upo vizuri Sana aisee Kwa mafunzo
@aminaothman21369 ай бұрын
Shukran najikuta mie kabisa
@allyshabani77913 жыл бұрын
Asante sana brother
@official_rayob.8351 Жыл бұрын
upo makin sana kaka🎉
@sifamdaki9663 жыл бұрын
I'm crying😭😭mimi nasemaga kwamba siku moja nitakuwa mtu mkubwa sana, nitakuwa mfanya biashara mkubwa sn wananicheka ila hawajui nguvu ilioko ndani yng hawajui jinsi ninavyojiona😭asantee sn kaka Joel unanipa nguvu zakufikia ndoto zang hakuna anae nimini ila ipo siku nitatoa ushuhuda nitaisimulia dunia na kunyesha watu mbele za mungu hakuna kinachoshindikana
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Ameen Sifa na itakuwa
@charlesjisangiyi91483 жыл бұрын
I had got good idea nice appreciate you
@victaeliud9483 жыл бұрын
Nimekupenda bure....bro... Stay blessed
@user-ft2me7xz1z5 ай бұрын
Congratulations kaka yangu
@agnesjackson23643 жыл бұрын
Nakupenda sana kaka Jo najifunza vitu vingi
@kenyantotoz42443 жыл бұрын
Sauti peke yake ni Baraka kwako,,, congratulations bro
Пікірлер: 285
Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael
"Unainua imani yangu kila wakati brooh!!!! Come on brooh Joel!!! Lini utakuja arusha kwa ajili ya kongamano!!!!tunakungoja pia huku
Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@SwaibaZamgina-qs1sc
10 ай бұрын
Naomba unicheki
@SwaibaZamgina-qs1sc
10 ай бұрын
Kuna kitu umeongea kimenigusa
@stamiliantony6815
9 ай бұрын
A111
@febroniabernado9043
9 ай бұрын
Hongera Sana!!!
@estamichoromichoro5634
8 ай бұрын
Hii comment imenitoa machozi , maana nimekumbuka mbali sana
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
Ingawa tunapita katika magumu, lakini mungu ametupa mlango Wa kutokea means NANAUKA
ajionavo mtu nafsini mwake ndivo alivo,uwezi kushindwa kabla ujakubali kushindwa, nimeelewa vizuli shuklan kwa somo zuli Mr nanauka.
Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana
nimeiskiliza kwa hisia sana hii
Nataka kuwa mtu mkubwa katika hii dunia hii nanauka mungu akubariki sana
Kina kitu kimechoma moyoni kwa kusikiliza maneno yako bro nakupenda sana na unaniongezea ujasiri wa kusonga mbele
Kaka Mungu amekufungulia kutuonesha njia tulio wengi sana. Kilichobàki ni kujisalimisha tu.
Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏
Najikuta sasa nataka kusikiliza kila unachozungumzia🙏🙏🙏, You are inspiring me into this field, hope you'll see me at the top where you are 💪
Mungu akuweke miaka 1000 kaka hakika umekuwa baraka sana kila ninavyo kusikiliza kuna kitu nachukua barikiw sana 🙏🙏🙏
Barikiwaa mnoo, hakika na imani Mimi ni mtu mkubwa sio mda mrefuu🔥🔥🔥kwa jina la YESU kristo 👏👏👏👏
Ameeeen barikiwaa sanaa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Amiin ishalaa nakutakia mema molaa akuzidishie barika maisan mwako ishalaa
Wow am changing my mind to more postive....groly be to GOD
Mchungaji Mungu amekubadilisha kiasi kwamba namshangaa Mungu sana
Asante sana ,ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
Ahsante Sana kwa elimu yako kiongozi, bwana akupe nguvu
Nakupenda sana maneno yako Kaka mungu ataniongoza siku zote za maisha yangu
hpna hii inataka kuntoa machozi kabisa daaaahhhh mwenyeazi MUNGU akuweke Mr joel
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Amen,Songa mbele
I am glad for you man of God
Blessed are the wise speakers,I love you brother,let my goal accomplished through your motivational speaking to me
So blessed today to here ths..I needed ths
Amen ubalikiwe sana
Asante sana presenter,unanitia moyo sana,hakika aonavyo MTU nafsini mwake ndivyo alivyo
Asante sana ubarikiwe na Mungu
Kweli wewe ni kifaa cha Mungu,, najivunia Sana
Amina, kweli kuna nguvu kubwa ya kukiri kwa kinywa na matendo,by Mithali 18:20-22.
Nimebarikiwa na hili neno kwa kweli.. ubarikiwe na MUNGU
Nimefulahi sana kwa maneno hayo na yameniingia kisawasawa lazima nibadilike sana kimaisha na namini sana ❤
Mungu awabariki saaana na kukuzidishiya siku za kwishi
Word....nabadilisha nnavyojiona
Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.
Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia KZread tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏
Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, God Bless YOU, Amen 🙏🏼
Mungu akuongezee maarifa, nitabadilisha mawazo mabaya, nakataaa kufeli
Asante San kwa elimu yako father 🙏
nmejifunza kumtanguliza #Mungu na kubadili nnavojiona
Nakupenda sana brother your the best 🇹🇿🙏.
Mafindisho Yako yanamibariki sana uwepo wako kwangu ni wamhim sana ahsante
Ahsante sana kwa fundisho hili. Limenitia nguvu sana na nitajibadilisha ninavyojiona. Akili yangu na maisha yangu vitakuwa na nilivyondani yangu.
Ninasababu Ya Kusema Ahsanteeee Sana Broo Ubarikiwe Sanaaaa. Mwenyezi Mungu Akuinue
Aiseee, nimekupenda bure toka vilindi vya moyo wangu,I wish ungekuwa Kaka yangu,umenifurahisha,umenipa ujasiri,umeniondoa ujinga,zaidi umenipa tumaini jipya,nachoweza kusema Mungu azidi kukutunza
@baloziwawalemavu1146
Жыл бұрын
Amen Amen Amen 🙏
Wow the God of mercy is working
Asante sana kaka Joel akika naona kuvuka kwa viwango vya juu sana kupitia mafundisho haya.
@franksamson1718
2 жыл бұрын
Stand room
Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Ameen,Utukufu kwa Mungu
@wazirikosianga4120
Жыл бұрын
Nanauka uko bize Sana kuihidumua jamii mungu akubariki
Asante sana kaka joeli na mungu azidi kukubarik na ulioyasema yaendelee kukaa ndani ya moyo ili niendele kuwa na miutisha katika kutimiza ndoto zangu
Barikiwa uwe na maisha marefu
Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world
Powerful speech🙏joelnanauka
Blessed Nanauka 🙏
💋❤👏👏 Mungu akupe maisha marefu
j mungu akuinue zaidi namimi niko nyuma yako
Ubarikiwe Sana,Nimejifunza kitu🙏
You make my day kaka Joel yaaaaaan umenipa ukomavu wa akili leo pamoja na ubongo wangu MUNGU azidi kukuweka kaka yangu ✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kuanzia Leo kitu naenda kujinenea aiseeeee nitakataa roho ya uoga
Unanibariki sana kaka Joel.Mungu aendelee Kuku bariki
Be blessed. Amen🙏🙏
Shukrani sana kaka Joel Nanauka! Umeniinua hatua nyingine.
Ukweli kabisa asanteni endelea kutupa elimu ili tufikie malengo yetu mungu akubariki sana🙏🙏🙏
Greatest speech never seen before 🤝🤲🔥🔥🇹🇿
Braza I real admire u, kongore
Mungu azidi kukuinua zaidi kaka nimebarikiwa sana
Asante sana kaka Joel...MUNGU akubariki🙌
Mungu akupe maisha marefu Kaka Joel
Asante, asante sana Nanauka Mungu akuinue zaidi. Mimi ni mwenye mafanikio makubwa sana.
Bwana akuongezee maarifa zaidii,Asnte sana wanoa vichwa vya wengi broo
Ubarikiwe sana kaka yetu,uko na akili za rohoni kuliko kawaida
Asant sana Kaka mungu akubariki umenivusha Mahalia.
Asante sana kaka mungu akubariki kwa elimu hii.
Mungu aliyeumba mbingu na nchi aendelee kukutunza
Good job! Kaka naomba siku ikikupendeza utuandalie video inayohusu vitabu gan vizur ambavyo mtu anaeanza kuosoma anaweza kuanza navyo! Tofaut na ulivoandika ww, maana vyako karibia vyote nimesoma
Asante
Hii ni video ambayo imenijengea Kitu Kikubwa sana...na ninapenda Sana Kuisikiliza , Napenda Imani za hivi
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Nashukuru Sana🙏
Ubarikiwe sana Joel ww n Lulu ya Tanzania najifunza mengi juu yako
Amen mtumishi thanks
Amen god bless you 🙏🙏
Ubarikiwe xana Mkuu
Nashukuru Mungu asubuhi leo umeinua hisia zangu
huyu jamaa alistahili kuwa mchungaji mwema kabisa , hongera kaka nakukubali sana
Mafundisho yako yananisaidia sana Asante.
Sawaaaaaa pastor
Kaka @joel Mungu akubariki Sana.
Ameen nabarikiwa zaidi kaka
Jamaa upo vizuri Sana aisee Kwa mafunzo
Shukran najikuta mie kabisa
Asante sana brother
upo makin sana kaka🎉
I'm crying😭😭mimi nasemaga kwamba siku moja nitakuwa mtu mkubwa sana, nitakuwa mfanya biashara mkubwa sn wananicheka ila hawajui nguvu ilioko ndani yng hawajui jinsi ninavyojiona😭asantee sn kaka Joel unanipa nguvu zakufikia ndoto zang hakuna anae nimini ila ipo siku nitatoa ushuhuda nitaisimulia dunia na kunyesha watu mbele za mungu hakuna kinachoshindikana
@joelnanauka
3 жыл бұрын
Ameen Sifa na itakuwa
I had got good idea nice appreciate you
Nimekupenda bure....bro... Stay blessed
Congratulations kaka yangu
Nakupenda sana kaka Jo najifunza vitu vingi
Sauti peke yake ni Baraka kwako,,, congratulations bro
Mungu akubariki sana kaka yangu🙏
Kazi nzuri sana kaka asante
Thanks kaka Mungu akubariki
Salute you kaka!