MAMBO HAYA YANAKUCHELEWESHA KUFANIKIWA

Mambo matano (5) yanayochelewesha mafanikio yako:
Mafanikio ya kweli hujengwa na tabia fulani maalum sana na kwa kuwa ni tabia basi huenda kuna muda tunafanya yale yasiyotupeleka popote kimaendeleo iwe kwa kujua au bila kujua. Karibu ujifunze kitu kwenye somo hili la mambo yanayokuchelewesha kufanikiwa
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Mambo5 #Yanayokuchelewesha #kufanikiwa

Пікірлер: 332

  • @linusbenignus2658
    @linusbenignus26584 жыл бұрын

    Somo zuri sana brother . Jambo lingine ambalo linaweza likawa la nyongeza ni " KUIISHI HISTORIA YA KULE ULIKOTOKA" Nikiwa na maana kwamba kuna watu wamekata tamaa kwamba hawawezi kufanikiwa kwa sababu ndani ya ukoo au famila wote wana maisha duni. Kuna wengine utasikia anasema "ntawezaje kununua gari wakati baba yangu hana baiskeli" kwa hiyo unakuta mtu anaishi maisha kwa kuangalia chain ya kwao pasipokutambua kwamba kila mmoja kaumbwa akiwa na greatness ndani yake.

  • @doubet356

    @doubet356

    4 жыл бұрын

    Sure

  • @LawrenceKakuba-xe5zm

    @LawrenceKakuba-xe5zm

    8 ай бұрын

    Thank U

  • @salumyussuf2140
    @salumyussuf21404 жыл бұрын

    Thanks brother, mm kiupande wangu nimejifunza vizur kiasi Kuna marafiki zng nimesoma nao chuo Ila hawanitafuti mpk wawe na shda zao wamekwama kimawazo huja kutaka msaada ktk Hilo Ila once tukianza kutatua tatzo wananisumbua sm hawapokei na miad haitimii au pia huwa na mawazo mfano ufugaji mm nilikubali na nikawa tyr kwa kila ktu Ila wao walinambia kuku hawana soko mm nikaanza peke yng ingawa cjafanikiwa hadi sasa ni mwezi wa 8 huu Ila naamini nitafanikiwa na la kushangaza ni kwamba wao huhitaji kuku Ila hela yng hawanipatii yote mpk Leo nawadai Ila wale watu kando wananua na wanalipa Cash na zote siwadai hebu nipe ushaur wko hapo

  • @whitesonkatunzi1003
    @whitesonkatunzi10033 жыл бұрын

    Dah! mimi tatizo langu kubwa ni uwoga wa kuthubutu na watu watanichukuliaje nikithubut hila zaidi nafurah San mafundisho yako mpak mifano yako kama vile ushawai pitia hizo kitu thanks my brother

  • @muslimo6
    @muslimo63 жыл бұрын

    Kwanza nikitaka kutowa shukran sana! Wallah namshukuru Mola. Ivi Sasa Nina mwezi 2 nakufatiliya na kufanyiya kazi ujumbe wako. Alhamdulillah mafanikiyo nayaona.

  • @mkiyastories3500
    @mkiyastories35004 жыл бұрын

    Nilijilaumu sana kwanini nilichelewa kukufuatilia. Ila nafurahi kwasababu nimemaliza kufuatilia video zako zote. Allah akujalie Kheri na mafanikio zaidi. Nimejifunza mengi na ninaanza kujiona mtu wa tofauti sana..🤝🤝🤝

  • @josephjegizh7767
    @josephjegizh77673 жыл бұрын

    Ndio bro jumanne nimekukubali sana kwa nasaha zako za maisha yetu ya kila siku wewe mkali unaaminika

  • @abdallahmuhammed2279
    @abdallahmuhammed22794 жыл бұрын

    kaka hongera sana kwamafunzo yako mola atakulipa kweli

  • @helenamusa432
    @helenamusa4324 жыл бұрын

    Nakupenda sana Jumanne Ezeden kwa ucheshi ako maneno mazuli yanipayo ujasili kwel schoki kukusikiza yani namuomba Mungu anipatie mume yuko kama we we nipate laha moyoni

  • @elimika7ayo
    @elimika7ayo Жыл бұрын

    Wee noma sana kaka😀😀😃

  • @bekaseurizo8669
    @bekaseurizo86694 жыл бұрын

    Nimependezwa na mafunzo yako kaka Mungu akubariki

  • @meleniaelikana7345
    @meleniaelikana73454 жыл бұрын

    Uko sawa mungu akutumie vile yeye apendavyo,uwe chombo sahihi kwaajili ya wengine akupushe na mabaya ya dunian

  • @dodysngl4428
    @dodysngl44284 жыл бұрын

    Mimi niwa Burundi tena mchristo lakini vidéo zako na shauri zako mengi yakusem ninayo ila mungu aku ongoze sana na akufungue zaidi ili uweze kusaidiy watu wengi kma mimi you are blessed

  • @sharifaabdul4850
    @sharifaabdul48504 жыл бұрын

    Dah ezden wewe kama unanijua vile. Aise dah Mwenyezi Mungu akuweke miaka mingi bado tunakuhitaji mno.

  • @abdullamohd7224
    @abdullamohd72244 жыл бұрын

    Shukrani. Leo nimejifinza kujitoa woga ktk kitu ambacho nakifikira kukifanya

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia138111 ай бұрын

    Nimejifunza kile ninachokiogopa yaan kama biashara naogopa kuanzisha kumbe apo ndo kuna mafanikio yangu Asante Sana kaka 🙏

  • @farajiawesi5254
    @farajiawesi52544 жыл бұрын

    Nilichelewa sanaa

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen58804 жыл бұрын

    Shukran.....Allah akuweke Aamiin 🙏

  • @sylvestermushy7540
    @sylvestermushy7540 Жыл бұрын

    Asante sana bro, kwa point zako nimezielewa endelea kufanya hicho kitu maana unatufundisha vitu vingi sana kwenye uhalisia wa maisha

  • @landemauriac7232
    @landemauriac72324 жыл бұрын

    Haya mafundisho ni zaidi ya shule Asante sana kwaku tu elimisha

  • @wakandanews7677

    @wakandanews7677

    4 жыл бұрын

    Hii ndo shule yenyewe

  • @janethkomba4787
    @janethkomba47879 ай бұрын

    Yaani hapo kunavitu 3 vimenigusa kabisa😂 nimejifunza kitu kipya asante sana

  • @shadyaseif7782
    @shadyaseif77823 жыл бұрын

    MASHALLAH Allah azidi kukupa afya uweze kuendeleza darsa zako....kiukweli nimepata faida nyingi asante

  • @martinamlowe6312
    @martinamlowe63123 жыл бұрын

    Thanks much for this lesson,God bless you

  • @sadikathumani1003
    @sadikathumani10034 жыл бұрын

    Brother kwa masomo haya mungu atakulipa dunian na akhera! Thanks.

  • @LawrenceKakuba-xe5zm
    @LawrenceKakuba-xe5zm9 ай бұрын

    Mungu akubariki bro,mafundisho Yako yananifanya nijitambue na nijiamini kazi njema Mr .

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    9 ай бұрын

    Nashukuru sana kaka

  • @wahidkombokhamis4330
    @wahidkombokhamis43304 жыл бұрын

    Iko poa sana, shukran kaka

  • @masanjamalugwaja9972
    @masanjamalugwaja99722 жыл бұрын

    Wengi tunasoma Hadi vyuoni tukiwa na imani ya kuja kupata ajila ikiwa na maana tunahakikisha kujibu maswali kwa usahiri tunashindwa kujifunza uhalisia wa maisha hatimae tunashindwa hata kufikia mafanikio

  • @verodeuss8007
    @verodeuss80074 жыл бұрын

    Kaka J yaan me najituma sana kwenye kazi lakin nashindwa kitu kimoja tu kutunza hela zangu

  • @madambebiz6179

    @madambebiz6179

    4 жыл бұрын

    ushaur wang Dada kma ukiweka kwenye ACCOUNT naitoa au moins bdo unatumia njia rahis chongesha kibubu cha chuma uwe unadumbukiza na utagute kikundi kidogo kinacho aminika ili PESA yako izunguke uiwekee marengo. I swear utadhukuru one Day

  • @hassanmasoud965

    @hassanmasoud965

    4 жыл бұрын

    Fungua account ya benki

  • @emanuelmwanga4

    @emanuelmwanga4

    4 жыл бұрын

    @@madambebiz6179 Dada ushauri wangu pesa haikai jaribu kueka ktk mzunguko at a kwenye biashara na so lazm uwe na biashar moja apan unaeza ingiza pesa zako ktk biashara mbali mbali

  • @mussalulenga9939

    @mussalulenga9939

    3 жыл бұрын

    Pole ila jiunge na vikundi mbalimbali ,wekeza kwenye biashala ,au fungua fixid accaunt ambayo unakua unaweka hela kila siku hata 5000tzsh kila siku ueke mda wa mwaka utaiona vizuri mno kwa mwaka utakaua 2400000

  • @nasibumtulo3252

    @nasibumtulo3252

    3 жыл бұрын

    @@mussalulenga9939 umenifundisha kitu shukurani

  • @brysonaidan7956
    @brysonaidan79564 жыл бұрын

    Brother shukran nazid kuelimika kila siku ,,ubarikiwe sana.

  • @nashirshaban7066
    @nashirshaban70664 жыл бұрын

    Mashaallah. Nimejifunza. Barakallahu fyk

  • @JumanneShingsha-ks4vb
    @JumanneShingsha-ks4vb11 ай бұрын

    Kwanz kabsaa nashkru sana Kwa kukutna na chanel yako Kwa kwel Mungu akubark 🙏🙏

  • @avitusjovin
    @avitusjovin3 жыл бұрын

    Nakukubali sana kiongozi Yan unanipa ujasili wa mafanikio mpaka najiuliza kwann neme chelewa kuzaliwa

  • @rosepeter8996
    @rosepeter89963 жыл бұрын

    nimecheka,nikaelimika,na nikaishia kukupa like bro👍.good advice be blessed for us;👏👏👏.

  • @lucasmollel2522
    @lucasmollel25224 жыл бұрын

    Aise umeongea some strong point..kuwa muwazii iko poa Sana na it has motivated me a lot.. the best lesson don't listen to people thoughts

  • @worldhiphopcompanybesthiph2610
    @worldhiphopcompanybesthiph26103 жыл бұрын

    Bro I like the way you advice people.thank I get it

  • @shabandar2702
    @shabandar27024 жыл бұрын

    Umenisaidia sana kaka angu

  • @sharifarajabu7255
    @sharifarajabu72554 жыл бұрын

    Shukurn Jazak Allah khayr

  • @deusmanasseh1941
    @deusmanasseh19414 жыл бұрын

    Jamaa EZDEN ,nimekuelewa sana Kaka Be blessed much more!!!!

  • @johntaino6411
    @johntaino64112 жыл бұрын

    Shukrani sana brother kwa kupush my hope na nina imani itafanya kazi, uwoga pia utaondoka yaa

  • @chriskinn7544
    @chriskinn75442 ай бұрын

    Now nimejua nikokundi gani thanks bro naenda kutekeleza majukumu yang now

  • @saleheabdallah3438
    @saleheabdallah34382 жыл бұрын

    Najifunza kujali mda na kufocus kwenye mamb yang ya msing .zaid umenifumbuwa jamb zur ALLAH AKUZIDISHIE ZAID YA HAPO INSHAALLAH

  • @lionelkibwana6688
    @lionelkibwana66884 жыл бұрын

    Broo nakubali sanaa maarifa yakoo 🙏

  • @damarsd4599
    @damarsd45994 жыл бұрын

    Namshukuru Mungu kukupa neama Na hekima ya kutufundisha vile tunavyo kuwa kimaisha, Mungu akubariki Sana

  • @mwashighadijames3018
    @mwashighadijames30184 жыл бұрын

    So encouraging Mr.

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam79516 ай бұрын

    Ahsante sana,,Nimejifunzaa kitu hapoo,, Mungu akubariki sanaaaa

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    2 ай бұрын

    Karibu

  • @theddymkenda7659
    @theddymkenda76594 жыл бұрын

    Nimeipenda kweli

  • @fesalsaid5764
    @fesalsaid57644 жыл бұрын

    Asantesa mungu akubariki sana

  • @josephmethod5509
    @josephmethod55094 жыл бұрын

    Fact. Ila kwa Wanafunzi wengi tunakosea Sanaa hii tunageuza Kama chuo Ni sehemu ya kujifunza kumbe chuo Ni maisha na sio sehemu ya kujifunza.

  • @sipolasafi9225
    @sipolasafi92254 жыл бұрын

    Shukrani sana kaka somo nzuri katika maisha

  • @agustinosanga6754
    @agustinosanga6754 Жыл бұрын

    Asante sana broo MUNGU akubaliki

  • @user-ci2mw8mt2i
    @user-ci2mw8mt2i2 ай бұрын

    Nimechelewa sana ku join success path ila nipo hapa 2024 Sema bro nimependa ulivyofunga show 😊

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    2 ай бұрын

    Karibu sana

  • @jamesmwajombe3429
    @jamesmwajombe34294 жыл бұрын

    Oooh umenifungua akili real you are more gifted and smart

  • @daudiombeni7996
    @daudiombeni79962 жыл бұрын

    Thank you so much bratha

  • @JJTSUPERCLEANER
    @JJTSUPERCLEANER9 ай бұрын

    Hapo nimejifunza 1.kuepuka marafiki weng 2.kjjisimamia

  • @vincentmongi2897
    @vincentmongi28974 жыл бұрын

    Nice lesson,kitu kingine kutumia pesa kwa mambo ambayo sio lazima

  • @rajetjohn7517
    @rajetjohn75173 жыл бұрын

    Yani wanifungua macho and my brain tanx bro mungu akuweke na akupe afya njema

  • @ElimikaTz
    @ElimikaTz4 жыл бұрын

    Well said!👍🏽 kitu kingine nadhani wengi wana shindwa kufanikiwa kwa sababu ya imani zuizi. Kwamba kwasababu mimi ni kitu flani.. labda msichana, mzee, Maskini, sina uzoefu, sijasoma shule n.k basi siwezi kuwa mtu flani Au siwezi kufanya kitu flani. Inasikitisha sana mindset za baadhi ya watu zilivyo fungwa na limiting believes.

  • @joycechaz2840

    @joycechaz2840

    3 жыл бұрын

    Umenena dear yani mimi napataga wazo la kufanya kitu lkn najisemea komyomoyo kuwa cjui kingereza nitawezaje hili jambo basi ndoto zangu zimekuwa zikiishia hewani kwa style hiyo

  • @ElimikaTz

    @ElimikaTz

    3 жыл бұрын

    @@joycechaz2840 pole kwa changamoto hiyo , natumaini kuwa sasa unatambua kuwa unaweza kufanya chochote kile ukituliza akili, kuwa na nia na kufanyia kazi ndoto hiyo. kila la kheri :-)

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl4 жыл бұрын

    Ninapenda Sana einglish yako unapo ongea big up brother

  • @djcolor3238

    @djcolor3238

    2 жыл бұрын

    My brother the word einglish kindly correct spellings.... Jummanne congratulations bro I always learn alot here... may God blesa you... kalasinga from Kenya

  • @kelvinkeejone7371
    @kelvinkeejone73714 жыл бұрын

    What i learn most dont be yes man....Dah mm sema ukweli umensaidia knomaa yaan nlikua naona km ntamboa mshkaji afu mtu flan hv wa "no worry about" thanks brah,i believe now its a time to change

  • @funniestvdo9804
    @funniestvdo9804 Жыл бұрын

    Thank you so much

  • @zaynabhussein6825
    @zaynabhussein68253 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie

  • @careenchengula2682
    @careenchengula26823 жыл бұрын

    Kaka napenda sana masomo yako maana yamenibadirisha sana, Asante kaka.

  • @herielykaluse4422
    @herielykaluse44223 жыл бұрын

    Thanks brother Ezden

  • @shamsiamsaghati
    @shamsiamsaghati Жыл бұрын

    Thanks kwa somo Jazakallah

  • @ashaomary347
    @ashaomary3474 жыл бұрын

    Kaka salama shukran kwa somo

  • @jameskulengwa9333
    @jameskulengwa93332 жыл бұрын

    Ezden napenda sana kazi yako kwani unayo yazungumza ndio yanatokea kwa asilimia kubwa ktk maisha yetu ya kila siku

  • @kidyangle
    @kidyangle Жыл бұрын

    Allah Bariki ili pindi liluke kwenye channel kubwa hapa nchini naimani kitasaidia watu wengi saana ichi kipindi

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    Жыл бұрын

    Amiin...

  • @tausihasheem5051
    @tausihasheem50514 жыл бұрын

    May Allah blessed u....

  • @Patrickpatrick353
    @Patrickpatrick3534 жыл бұрын

    Nakubali ulicho kiongea chote mzee baba

  • @barakanjiku3166
    @barakanjiku31663 жыл бұрын

    Nimejifunza mengi sana kaka uko vizur sana mungu akubark

  • @ngalacaroline8966
    @ngalacaroline89663 жыл бұрын

    Results is the name of the game.. STOP procrastination

  • @mussaambokile3849
    @mussaambokile38493 жыл бұрын

    Point ya tano bro ezden kilchobaki n kutendea kazii sante

  • @safiasuleiman3119
    @safiasuleiman31194 жыл бұрын

    Unanifunua ubongo nzuri Sana ata wanangu nitawaambia wakuwatch umenifundisha elimu hii ata mabinti mitaani na wanangu nitawafundisha so good .

  • @tumajunior6080
    @tumajunior60804 жыл бұрын

    Kuanzia leo nimeondoa uoga ninapo wazia kufungua kz yoyote shukran

  • @libepaul6896
    @libepaul68964 жыл бұрын

    Asante kwa kunipa maarifa

  • @shamsiamsaghati
    @shamsiamsaghati Жыл бұрын

    Nimejifunza mengi Ila hili la kuwa YES MAN yaani unkuta mtu anatumika mpaka unajiuliza huyu kweli hana kazi yoyote ya kufanya. mana twende wapi Sawa nisindikize cjui wapi Sawa kuna shughuli ya mwajuma cjui twende yaani yeye yupo kila wakati anatumia kwenye mambo ya watu Umkute kwenye kulalamika maisha magumu sasa loooh. Hivi hujishughulishi zaidi ya kuvaa vijora kila siku una shughuli utafanikiwa lini Pia kuendekeza starehe watu wengi inawacost lakini wao hawajatambua bado Yaani watu bado hatujajua hata jinsi ya kutumia muda vizuri pia mana mtu kutwa anafatilia udaku mtandaoni hajifunzi mambo yenye kumnufaisha hata

  • @adamusadiki5661
    @adamusadiki56614 жыл бұрын

    Nice nimejifunza big up sana 2ko pamoja

  • @morefireministrychurch177
    @morefireministrychurch1774 жыл бұрын

    Kweli kbs brother God bless you

  • @harmal7_
    @harmal7_4 жыл бұрын

    Elim nzur sana kak

  • @athumankhalfan7836
    @athumankhalfan78363 жыл бұрын

    Asante bro

  • @mathiaslaban8530
    @mathiaslaban85303 жыл бұрын

    Daaaaaah mungu akujarie ili uzidi kutuelimisha mengi zaidi

  • @chieffofofoodinternational4102
    @chieffofofoodinternational41022 жыл бұрын

    Uko vizury broo Yani nimeeelewa sana

  • @gracegrace2561
    @gracegrace25617 ай бұрын

    Thank you 🙏

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye51274 жыл бұрын

    Allah akubarik

  • @jackycute2047
    @jackycute20474 жыл бұрын

    Aise nimejifunza mengi Sana mungu akubariki

  • @goodluckfelix3776
    @goodluckfelix37764 жыл бұрын

    U're my role model Mr. ezden.

  • @benardpeter1853
    @benardpeter18534 жыл бұрын

    Kweni bro MWENYEZI MUNGU akubariki sana

  • @martinezmhinho7941
    @martinezmhinho79413 жыл бұрын

    Thanks broo

  • @musasuccessline9713
    @musasuccessline97134 жыл бұрын

    Kaka asante sana naingia chuo unanijenga sana

  • @saimonwolf5562
    @saimonwolf55623 жыл бұрын

    thank you bro

  • @asiaabbas7179
    @asiaabbas71794 жыл бұрын

    Asante Kaka ezdeni

  • @user-of5sk5yy6q
    @user-of5sk5yy6q8 ай бұрын

    Ukweli mtaalam jambo la uoga nitatizo kubwa

  • @mosesjackson7214
    @mosesjackson72143 жыл бұрын

    Nashukulu unavyo tuelimisha mungu akusaidie san

  • @Mrshillah
    @Mrshillah4 жыл бұрын

    Ipo sawa👍

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Жыл бұрын

    Asante kaka ezden

  • @tomolenty
    @tomolenty Жыл бұрын

    God bless you brother

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl4 жыл бұрын

    Asante unatuelimisha Sana

  • @patrikeramazani3806
    @patrikeramazani38064 жыл бұрын

    Asante

  • @jackisonagost125
    @jackisonagost1253 жыл бұрын

    Asante san bro

  • @footballnewstv858
    @footballnewstv8584 жыл бұрын

    Brother umeongea kweli ili yote ,💯🤝

  • @papaangazisaba803
    @papaangazisaba8034 жыл бұрын

    Mentor Me✊✊

Келесі