MAMBO HAYA YANAKUCHELEWESHA KUFANIKIWA
Mambo matano (5) yanayochelewesha mafanikio yako:
Mafanikio ya kweli hujengwa na tabia fulani maalum sana na kwa kuwa ni tabia basi huenda kuna muda tunafanya yale yasiyotupeleka popote kimaendeleo iwe kwa kujua au bila kujua. Karibu ujifunze kitu kwenye somo hili la mambo yanayokuchelewesha kufanikiwa
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Mambo5 #Yanayokuchelewesha #kufanikiwa
Пікірлер: 332
Somo zuri sana brother . Jambo lingine ambalo linaweza likawa la nyongeza ni " KUIISHI HISTORIA YA KULE ULIKOTOKA" Nikiwa na maana kwamba kuna watu wamekata tamaa kwamba hawawezi kufanikiwa kwa sababu ndani ya ukoo au famila wote wana maisha duni. Kuna wengine utasikia anasema "ntawezaje kununua gari wakati baba yangu hana baiskeli" kwa hiyo unakuta mtu anaishi maisha kwa kuangalia chain ya kwao pasipokutambua kwamba kila mmoja kaumbwa akiwa na greatness ndani yake.
@doubet356
4 жыл бұрын
Sure
@LawrenceKakuba-xe5zm
8 ай бұрын
Thank U
Thanks brother, mm kiupande wangu nimejifunza vizur kiasi Kuna marafiki zng nimesoma nao chuo Ila hawanitafuti mpk wawe na shda zao wamekwama kimawazo huja kutaka msaada ktk Hilo Ila once tukianza kutatua tatzo wananisumbua sm hawapokei na miad haitimii au pia huwa na mawazo mfano ufugaji mm nilikubali na nikawa tyr kwa kila ktu Ila wao walinambia kuku hawana soko mm nikaanza peke yng ingawa cjafanikiwa hadi sasa ni mwezi wa 8 huu Ila naamini nitafanikiwa na la kushangaza ni kwamba wao huhitaji kuku Ila hela yng hawanipatii yote mpk Leo nawadai Ila wale watu kando wananua na wanalipa Cash na zote siwadai hebu nipe ushaur wko hapo
Dah! mimi tatizo langu kubwa ni uwoga wa kuthubutu na watu watanichukuliaje nikithubut hila zaidi nafurah San mafundisho yako mpak mifano yako kama vile ushawai pitia hizo kitu thanks my brother
Kwanza nikitaka kutowa shukran sana! Wallah namshukuru Mola. Ivi Sasa Nina mwezi 2 nakufatiliya na kufanyiya kazi ujumbe wako. Alhamdulillah mafanikiyo nayaona.
Nilijilaumu sana kwanini nilichelewa kukufuatilia. Ila nafurahi kwasababu nimemaliza kufuatilia video zako zote. Allah akujalie Kheri na mafanikio zaidi. Nimejifunza mengi na ninaanza kujiona mtu wa tofauti sana..🤝🤝🤝
Ndio bro jumanne nimekukubali sana kwa nasaha zako za maisha yetu ya kila siku wewe mkali unaaminika
kaka hongera sana kwamafunzo yako mola atakulipa kweli
Nakupenda sana Jumanne Ezeden kwa ucheshi ako maneno mazuli yanipayo ujasili kwel schoki kukusikiza yani namuomba Mungu anipatie mume yuko kama we we nipate laha moyoni
Wee noma sana kaka😀😀😃
Nimependezwa na mafunzo yako kaka Mungu akubariki
Uko sawa mungu akutumie vile yeye apendavyo,uwe chombo sahihi kwaajili ya wengine akupushe na mabaya ya dunian
Mimi niwa Burundi tena mchristo lakini vidéo zako na shauri zako mengi yakusem ninayo ila mungu aku ongoze sana na akufungue zaidi ili uweze kusaidiy watu wengi kma mimi you are blessed
Dah ezden wewe kama unanijua vile. Aise dah Mwenyezi Mungu akuweke miaka mingi bado tunakuhitaji mno.
Shukrani. Leo nimejifinza kujitoa woga ktk kitu ambacho nakifikira kukifanya
Nimejifunza kile ninachokiogopa yaan kama biashara naogopa kuanzisha kumbe apo ndo kuna mafanikio yangu Asante Sana kaka 🙏
Nilichelewa sanaa
Shukran.....Allah akuweke Aamiin 🙏
Asante sana bro, kwa point zako nimezielewa endelea kufanya hicho kitu maana unatufundisha vitu vingi sana kwenye uhalisia wa maisha
Haya mafundisho ni zaidi ya shule Asante sana kwaku tu elimisha
@wakandanews7677
4 жыл бұрын
Hii ndo shule yenyewe
Yaani hapo kunavitu 3 vimenigusa kabisa😂 nimejifunza kitu kipya asante sana
MASHALLAH Allah azidi kukupa afya uweze kuendeleza darsa zako....kiukweli nimepata faida nyingi asante
Thanks much for this lesson,God bless you
Brother kwa masomo haya mungu atakulipa dunian na akhera! Thanks.
Mungu akubariki bro,mafundisho Yako yananifanya nijitambue na nijiamini kazi njema Mr .
@successpathnetwork
9 ай бұрын
Nashukuru sana kaka
Iko poa sana, shukran kaka
Wengi tunasoma Hadi vyuoni tukiwa na imani ya kuja kupata ajila ikiwa na maana tunahakikisha kujibu maswali kwa usahiri tunashindwa kujifunza uhalisia wa maisha hatimae tunashindwa hata kufikia mafanikio
Kaka J yaan me najituma sana kwenye kazi lakin nashindwa kitu kimoja tu kutunza hela zangu
@madambebiz6179
4 жыл бұрын
ushaur wang Dada kma ukiweka kwenye ACCOUNT naitoa au moins bdo unatumia njia rahis chongesha kibubu cha chuma uwe unadumbukiza na utagute kikundi kidogo kinacho aminika ili PESA yako izunguke uiwekee marengo. I swear utadhukuru one Day
@hassanmasoud965
4 жыл бұрын
Fungua account ya benki
@emanuelmwanga4
4 жыл бұрын
@@madambebiz6179 Dada ushauri wangu pesa haikai jaribu kueka ktk mzunguko at a kwenye biashara na so lazm uwe na biashar moja apan unaeza ingiza pesa zako ktk biashara mbali mbali
@mussalulenga9939
3 жыл бұрын
Pole ila jiunge na vikundi mbalimbali ,wekeza kwenye biashala ,au fungua fixid accaunt ambayo unakua unaweka hela kila siku hata 5000tzsh kila siku ueke mda wa mwaka utaiona vizuri mno kwa mwaka utakaua 2400000
@nasibumtulo3252
3 жыл бұрын
@@mussalulenga9939 umenifundisha kitu shukurani
Brother shukran nazid kuelimika kila siku ,,ubarikiwe sana.
Mashaallah. Nimejifunza. Barakallahu fyk
Kwanz kabsaa nashkru sana Kwa kukutna na chanel yako Kwa kwel Mungu akubark 🙏🙏
Nakukubali sana kiongozi Yan unanipa ujasili wa mafanikio mpaka najiuliza kwann neme chelewa kuzaliwa
nimecheka,nikaelimika,na nikaishia kukupa like bro👍.good advice be blessed for us;👏👏👏.
Aise umeongea some strong point..kuwa muwazii iko poa Sana na it has motivated me a lot.. the best lesson don't listen to people thoughts
Bro I like the way you advice people.thank I get it
Umenisaidia sana kaka angu
Shukurn Jazak Allah khayr
Jamaa EZDEN ,nimekuelewa sana Kaka Be blessed much more!!!!
Shukrani sana brother kwa kupush my hope na nina imani itafanya kazi, uwoga pia utaondoka yaa
Now nimejua nikokundi gani thanks bro naenda kutekeleza majukumu yang now
Najifunza kujali mda na kufocus kwenye mamb yang ya msing .zaid umenifumbuwa jamb zur ALLAH AKUZIDISHIE ZAID YA HAPO INSHAALLAH
Broo nakubali sanaa maarifa yakoo 🙏
Namshukuru Mungu kukupa neama Na hekima ya kutufundisha vile tunavyo kuwa kimaisha, Mungu akubariki Sana
So encouraging Mr.
Ahsante sana,,Nimejifunzaa kitu hapoo,, Mungu akubariki sanaaaa
@successpathnetwork
2 ай бұрын
Karibu
Nimeipenda kweli
Asantesa mungu akubariki sana
Fact. Ila kwa Wanafunzi wengi tunakosea Sanaa hii tunageuza Kama chuo Ni sehemu ya kujifunza kumbe chuo Ni maisha na sio sehemu ya kujifunza.
Shukrani sana kaka somo nzuri katika maisha
Asante sana broo MUNGU akubaliki
Nimechelewa sana ku join success path ila nipo hapa 2024 Sema bro nimependa ulivyofunga show 😊
@successpathnetwork
2 ай бұрын
Karibu sana
Oooh umenifungua akili real you are more gifted and smart
Thank you so much bratha
Hapo nimejifunza 1.kuepuka marafiki weng 2.kjjisimamia
Nice lesson,kitu kingine kutumia pesa kwa mambo ambayo sio lazima
Yani wanifungua macho and my brain tanx bro mungu akuweke na akupe afya njema
Well said!👍🏽 kitu kingine nadhani wengi wana shindwa kufanikiwa kwa sababu ya imani zuizi. Kwamba kwasababu mimi ni kitu flani.. labda msichana, mzee, Maskini, sina uzoefu, sijasoma shule n.k basi siwezi kuwa mtu flani Au siwezi kufanya kitu flani. Inasikitisha sana mindset za baadhi ya watu zilivyo fungwa na limiting believes.
@joycechaz2840
3 жыл бұрын
Umenena dear yani mimi napataga wazo la kufanya kitu lkn najisemea komyomoyo kuwa cjui kingereza nitawezaje hili jambo basi ndoto zangu zimekuwa zikiishia hewani kwa style hiyo
@ElimikaTz
3 жыл бұрын
@@joycechaz2840 pole kwa changamoto hiyo , natumaini kuwa sasa unatambua kuwa unaweza kufanya chochote kile ukituliza akili, kuwa na nia na kufanyia kazi ndoto hiyo. kila la kheri :-)
Ninapenda Sana einglish yako unapo ongea big up brother
@djcolor3238
2 жыл бұрын
My brother the word einglish kindly correct spellings.... Jummanne congratulations bro I always learn alot here... may God blesa you... kalasinga from Kenya
What i learn most dont be yes man....Dah mm sema ukweli umensaidia knomaa yaan nlikua naona km ntamboa mshkaji afu mtu flan hv wa "no worry about" thanks brah,i believe now its a time to change
Thank you so much
Mungu akuzidishie
Kaka napenda sana masomo yako maana yamenibadirisha sana, Asante kaka.
Thanks brother Ezden
Thanks kwa somo Jazakallah
Kaka salama shukran kwa somo
Ezden napenda sana kazi yako kwani unayo yazungumza ndio yanatokea kwa asilimia kubwa ktk maisha yetu ya kila siku
Allah Bariki ili pindi liluke kwenye channel kubwa hapa nchini naimani kitasaidia watu wengi saana ichi kipindi
@successpathnetwork
Жыл бұрын
Amiin...
May Allah blessed u....
Nakubali ulicho kiongea chote mzee baba
Nimejifunza mengi sana kaka uko vizur sana mungu akubark
Results is the name of the game.. STOP procrastination
Point ya tano bro ezden kilchobaki n kutendea kazii sante
Unanifunua ubongo nzuri Sana ata wanangu nitawaambia wakuwatch umenifundisha elimu hii ata mabinti mitaani na wanangu nitawafundisha so good .
Kuanzia leo nimeondoa uoga ninapo wazia kufungua kz yoyote shukran
Asante kwa kunipa maarifa
Nimejifunza mengi Ila hili la kuwa YES MAN yaani unkuta mtu anatumika mpaka unajiuliza huyu kweli hana kazi yoyote ya kufanya. mana twende wapi Sawa nisindikize cjui wapi Sawa kuna shughuli ya mwajuma cjui twende yaani yeye yupo kila wakati anatumia kwenye mambo ya watu Umkute kwenye kulalamika maisha magumu sasa loooh. Hivi hujishughulishi zaidi ya kuvaa vijora kila siku una shughuli utafanikiwa lini Pia kuendekeza starehe watu wengi inawacost lakini wao hawajatambua bado Yaani watu bado hatujajua hata jinsi ya kutumia muda vizuri pia mana mtu kutwa anafatilia udaku mtandaoni hajifunzi mambo yenye kumnufaisha hata
Nice nimejifunza big up sana 2ko pamoja
Kweli kbs brother God bless you
Elim nzur sana kak
Asante bro
Daaaaaah mungu akujarie ili uzidi kutuelimisha mengi zaidi
Uko vizury broo Yani nimeeelewa sana
Thank you 🙏
Allah akubarik
Aise nimejifunza mengi Sana mungu akubariki
U're my role model Mr. ezden.
Kweni bro MWENYEZI MUNGU akubariki sana
Thanks broo
Kaka asante sana naingia chuo unanijenga sana
thank you bro
Asante Kaka ezdeni
Ukweli mtaalam jambo la uoga nitatizo kubwa
Nashukulu unavyo tuelimisha mungu akusaidie san
Ipo sawa👍
Asante kaka ezden
God bless you brother
Asante unatuelimisha Sana
Asante
Asante san bro
Brother umeongea kweli ili yote ,💯🤝
Mentor Me✊✊