Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi

Пікірлер: 22

  • @albertdhukuru7443
    @albertdhukuru7443Ай бұрын

    Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    28 күн бұрын

    Tanzania tunatumia lugha 2

  • @AbuuSudais-wf6ns
    @AbuuSudais-wf6nsАй бұрын

    Kaka angalia sana Hilo swala LA lugha, kiswahili ni bora Sana Kwa jumla

  • @BukelebeTv
    @BukelebeTvАй бұрын

    Ukitumia Kingereza tunaomba ufasiri. Tunabarikiwa sana na masomo yako

  • @Neemajames-jo6vw

    @Neemajames-jo6vw

    5 күн бұрын

    Wengine hatielew kbs

  • @BaruaniAllyally
    @BaruaniAllyally28 күн бұрын

    Niku shauri tu Mada iyoiyo irudie Tena kwakiswahili tu umepika chakula kizuri Sana ila kama chunvi haikuskika

  • @magrethpaul2207
    @magrethpaul220723 күн бұрын

    Haya ndio mambo napenda

  • @EmanuelSimon-eh8mr
    @EmanuelSimon-eh8mrАй бұрын

    Kwani bro ww ni Muingerezaa? Somo zuri sana tatizo unachanganya lugha

  • @busarafadhil2442
    @busarafadhil2442Ай бұрын

    Wengine hawakurleei hapo unatuchanganyatuu

  • @EsterinePhilipo
    @EsterinePhilipo29 күн бұрын

    Acha ushamba wa rugha

  • @zackariamtunguja9435
    @zackariamtunguja9435Ай бұрын

    Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000 Now napambana kufuta madeni.

  • @marinakarunde3311

    @marinakarunde3311

    Ай бұрын

    Hongera una uthubutu sana.. Mimi kusave ndo ugonjwa wangu nazidi kupambana nao😂

  • @maureenmgeni

    @maureenmgeni

    Ай бұрын

    Hongera sanaaa

  • @hamasikatv

    @hamasikatv

    26 күн бұрын

    Hongera sana kwa hatua hiyo

  • @benyavan5774
    @benyavan5774Ай бұрын

    Kwani hadi muchangaye kuswali na English ndiyo tujue unajua Tumien lugha ya taifa we unadhani una sikiliza na wangapi

  • @maicofidelix3549
    @maicofidelix3549Ай бұрын

    Good 👍 brown

  • @ahz6907
    @ahz6907Ай бұрын

    Wa tz nani katuroga? Si tujifunze english maana ndio lugha ya ulimwengu jamani tuache kulalama😂

  • @busarafadhil2442
    @busarafadhil2442Ай бұрын

    Unachanganya lugha kama unaongea kiswahili ongea kiswahilitu na ikiwa English ongea English tu usiige

  • @BaruaniAllyally
    @BaruaniAllyally28 күн бұрын

    Sasa boss mbona kiingereza kingi Sana iyo ni kiswaili cha marekani

  • @mwanziajoseck3904
    @mwanziajoseck3904Ай бұрын

    🎉

  • @Kanyawela
    @KanyawelaАй бұрын

    Ukiongea kingereza bas tafsiri ya kiswahili ili wote tuelewe

  • @user-wd4xl5cl4y
    @user-wd4xl5cl4y16 күн бұрын

    Speak Swahili