Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi
Жүктеу.....
Пікірлер: 22
@albertdhukuru7443Ай бұрын
Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...
@kwisa4899
28 күн бұрын
Tanzania tunatumia lugha 2
@AbuuSudais-wf6nsАй бұрын
Kaka angalia sana Hilo swala LA lugha, kiswahili ni bora Sana Kwa jumla
@BukelebeTvАй бұрын
Ukitumia Kingereza tunaomba ufasiri. Tunabarikiwa sana na masomo yako
@Neemajames-jo6vw
5 күн бұрын
Wengine hatielew kbs
@BaruaniAllyally28 күн бұрын
Niku shauri tu Mada iyoiyo irudie Tena kwakiswahili tu umepika chakula kizuri Sana ila kama chunvi haikuskika
@magrethpaul220723 күн бұрын
Haya ndio mambo napenda
@EmanuelSimon-eh8mrАй бұрын
Kwani bro ww ni Muingerezaa? Somo zuri sana tatizo unachanganya lugha
@busarafadhil2442Ай бұрын
Wengine hawakurleei hapo unatuchanganyatuu
@EsterinePhilipo29 күн бұрын
Acha ushamba wa rugha
@zackariamtunguja9435Ай бұрын
Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000 Now napambana kufuta madeni.
@marinakarunde3311
Ай бұрын
Hongera una uthubutu sana.. Mimi kusave ndo ugonjwa wangu nazidi kupambana nao😂
@maureenmgeni
Ай бұрын
Hongera sanaaa
@hamasikatv
26 күн бұрын
Hongera sana kwa hatua hiyo
@benyavan5774Ай бұрын
Kwani hadi muchangaye kuswali na English ndiyo tujue unajua Tumien lugha ya taifa we unadhani una sikiliza na wangapi
@maicofidelix3549Ай бұрын
Good 👍 brown
@ahz6907Ай бұрын
Wa tz nani katuroga? Si tujifunze english maana ndio lugha ya ulimwengu jamani tuache kulalama😂
@busarafadhil2442Ай бұрын
Unachanganya lugha kama unaongea kiswahili ongea kiswahilitu na ikiwa English ongea English tu usiige
@BaruaniAllyally28 күн бұрын
Sasa boss mbona kiingereza kingi Sana iyo ni kiswaili cha marekani
@mwanziajoseck3904Ай бұрын
🎉
@KanyawelaАй бұрын
Ukiongea kingereza bas tafsiri ya kiswahili ili wote tuelewe
Пікірлер: 22
Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...
@kwisa4899
28 күн бұрын
Tanzania tunatumia lugha 2
Kaka angalia sana Hilo swala LA lugha, kiswahili ni bora Sana Kwa jumla
Ukitumia Kingereza tunaomba ufasiri. Tunabarikiwa sana na masomo yako
@Neemajames-jo6vw
5 күн бұрын
Wengine hatielew kbs
Niku shauri tu Mada iyoiyo irudie Tena kwakiswahili tu umepika chakula kizuri Sana ila kama chunvi haikuskika
Haya ndio mambo napenda
Kwani bro ww ni Muingerezaa? Somo zuri sana tatizo unachanganya lugha
Wengine hawakurleei hapo unatuchanganyatuu
Acha ushamba wa rugha
Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000 Now napambana kufuta madeni.
@marinakarunde3311
Ай бұрын
Hongera una uthubutu sana.. Mimi kusave ndo ugonjwa wangu nazidi kupambana nao😂
@maureenmgeni
Ай бұрын
Hongera sanaaa
@hamasikatv
26 күн бұрын
Hongera sana kwa hatua hiyo
Kwani hadi muchangaye kuswali na English ndiyo tujue unajua Tumien lugha ya taifa we unadhani una sikiliza na wangapi
Good 👍 brown
Wa tz nani katuroga? Si tujifunze english maana ndio lugha ya ulimwengu jamani tuache kulalama😂
Unachanganya lugha kama unaongea kiswahili ongea kiswahilitu na ikiwa English ongea English tu usiige
Sasa boss mbona kiingereza kingi Sana iyo ni kiswaili cha marekani
🎉
Ukiongea kingereza bas tafsiri ya kiswahili ili wote tuelewe
Speak Swahili