NJIA RAHISI YA KUTENGENEZA BAJETI NA KUISHI KWA KUFUATA BAJETI | Victor Mwambene.

Baada ya kutazama somo hili utajifunza njia rahisi sana ya kutengeneza bajeti na kuhakikisha unaifuata.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.

Пікірлер: 28

  • @TanzaniayangumwambawaoMwam
    @TanzaniayangumwambawaoMwam26 күн бұрын

    Bro ahsante sana yaani nilikua sijui kabisa kuweka bajeti,

  • @ericamfuru6257
    @ericamfuru62572 ай бұрын

    Umenibariki sana victor,Mungu akubariki sana sana, yaani umeniongezea vitu vingi Sana.

  • @paulmdiya5941
    @paulmdiya59413 ай бұрын

    tha is good broo

  • @eliasstafawa4935
    @eliasstafawa49353 ай бұрын

    Asante sana kaka darasa zuri sana !binafsi umenifungua akili sana kuhusu kutumia pesa yangu. Mungu azdii kukubarki kaka

  • @husseinmgoo3074
    @husseinmgoo30742 ай бұрын

    Ok

  • @mcgeemwamba9303
    @mcgeemwamba9303Ай бұрын

    Thank you

  • @danielremigius
    @danielremigiusАй бұрын

    SoMo zuri

  • @mariamwikedzi1638
    @mariamwikedzi16383 ай бұрын

    SoMo zuri sana kaka barikiwa sana

  • @user-yo4yf7kw9n
    @user-yo4yf7kw9nКүн бұрын

    Bro naitaji ww uwe mtu wa kuniwajibisha

  • @zionembassytv5672
    @zionembassytv56724 ай бұрын

    Powerful 💪💪❤️

  • @daudkanyelele4862
    @daudkanyelele48629 ай бұрын

    Nakubal sana mwl Hii nimetumia kwa miezi 3. Nikaona matokeo. 50/20/20/10. Kaka mimi nakuombea uendelee tu kutupatia asali asilia

  • @josephlazaro253
    @josephlazaro2539 ай бұрын

    much respect kaka

  • @PiusswaiRaphael-mz5tu
    @PiusswaiRaphael-mz5tuАй бұрын

    Fungu la Kumi ni ASILIMIA Kumi na sadaka 10

  • @RaheliMichael-st2tc
    @RaheliMichael-st2tc9 ай бұрын

    Kaka nakukubali mnoo

  • @victormwambene

    @victormwambene

    9 ай бұрын

    Asante sana Rafiki, Tuwasiliane What'sapp 0744126640.

  • @wilsonfanuel9642

    @wilsonfanuel9642

    9 ай бұрын

    Oky Ahsante sana

  • @OversNzowa

    @OversNzowa

    3 ай бұрын

    Ahsante uko vzuri

  • @kelvinstuckx5015
    @kelvinstuckx50159 ай бұрын

    What when orher factors do not remains constant ?

  • @regnardedward4326
    @regnardedward43267 ай бұрын

    Brother 🤝

  • @felixrobert9734
    @felixrobert97344 ай бұрын

    Vp kwasisi ambao kipato chetu n kidogo maan unazungumzia qatu Wenye vipato vikubwa zaid y million moja...??

  • @user-gx2in1rl2f
    @user-gx2in1rl2f5 ай бұрын

    Kitabu kimoja shilingi ngapi

  • @victormwambene

    @victormwambene

    5 ай бұрын

    Elfu 20 Mpendwa, Kupata Vitabu Piga 0744126640.

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9n3 ай бұрын

    Kaka naweza pata kitabu chako Kwa njia ya pdf

  • @victormwambene

    @victormwambene

    3 ай бұрын

    Kitabu tunauza Hardcopy Mpendwa, Namba 0744126640.

  • @goodmachenchewa3154
    @goodmachenchewa31545 ай бұрын

    Mr nataka kujua asa kwa sisi ambao ndo tunaanza biashara kipato chetu kwa mwezi haizidi 300k sasa nataka nijue napangaje bajeti kwenye ilyo laki 3 nijilipe mshara shingapi, niwekeze shingapi,ni tumie shingapi kwenye matumizi ya razima naomba ushauri mtalaam

  • @richardtv8339

    @richardtv8339

    4 ай бұрын

    Ikiwezekana usijilipe mwanzoni

  • @mustafajuma8016
    @mustafajuma80162 ай бұрын

    Bro number yako please

  • @eliasstafawa4935
    @eliasstafawa49353 ай бұрын

    Asante sana kaka darasa zuri sana !binafsi umenifungua akili sana kuhusu kutumia pesa yangu. Mungu azdii kukubarki kaka