TAZAMA: Sauti ya Zuchu ilivyowaliza na kuwafariji waombolezaji Uwanja wa Uhuru

Moja ya wimbo ambao hayati John Magufuli alizipenda sana ni "Tanzania ya Leo" ulioimbwa na msanii Zuchu.
Na leo hii wimbo huo umefanya kazi ya kuwaliwaza na kuwafariji watanzania kufuatia msiba wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli.
Tazama hali ilivyokuwa wakati huo.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 635

  • @okothomondi
    @okothomondi2 жыл бұрын

    Can't forget this day, found me in a Agan Hospital battling Covid-19. When I watch this funeral procession, the picture of me struggling for breath comes to mind. Rest in peace Magufuli, it isn't only Tanzanians that love you, some of us in Kenya were also your fan. May you continue resting in peace ☮️ Pombe.

  • @zenasambe3626
    @zenasambe36262 жыл бұрын

    And am here today again😭and still can't hold back my tears😭😭😭😭continue resting LEGEND,,YOU ARE INDEED MISSED🙏

  • @issahinte2556

    @issahinte2556

    2 жыл бұрын

    😢

  • @shadymbuki87

    @shadymbuki87

    2 жыл бұрын

    😭😭

  • @jayjay4313
    @jayjay43133 жыл бұрын

    Jua letu limeteremka mama. Lo, usiku upite siku mpya lichomoze tena majonzi yageuke kuwa furaha ya kumbu kumbu kwetu daima na maisha yasonge mbele zaidi. 🙏💐💐

  • @missmac5204
    @missmac52043 жыл бұрын

    Rais wa Tanzania was loved by many. The pictures spreading on social media are evidence of this pure-love for a president. He will live to be forever a legend. His fear for God, his good heart, his good deeds and his development for his country Tanzania🇹🇿 will always be remembered many many years to come. Continue resting in peace His Excellency Mr. John Pombe Magufuli.

  • @deborahmwita9278

    @deborahmwita9278

    3 жыл бұрын

    We loved him so much

  • @mrinjamwanga1423

    @mrinjamwanga1423

    3 жыл бұрын

    Your heart is beautiful like the way you look, thank you for ur kindness and love,

  • @beautybeauty7220

    @beautybeauty7220

    3 жыл бұрын

    What a loving soul

  • @elizabethdouglas5265

    @elizabethdouglas5265

    3 жыл бұрын

    @@mrinjamwanga1423 Renee

  • @juliansjuicebarmalindi1156

    @juliansjuicebarmalindi1156

    2 жыл бұрын

    Like Kenya raila the way we Kenyans loves him

  • @idriskenna199
    @idriskenna1993 жыл бұрын

    What a great president de son and hero of Africa love you from Kenye we gonna miss you 😭😭😭

  • @simonizakayosima60

    @simonizakayosima60

    3 жыл бұрын

    Ygyy6yy

  • @simonizakayosima60

    @simonizakayosima60

    3 жыл бұрын

    Y

  • @simonizakayosima60

    @simonizakayosima60

    3 жыл бұрын

    Yy6yyyyy

  • @simonizakayosima60

    @simonizakayosima60

    3 жыл бұрын

    6yyyy

  • @ghinnerbobiholicnalutaaya2644
    @ghinnerbobiholicnalutaaya26443 жыл бұрын

    A good heart has stopped beating, a good soul ascended to heaven we part wth our beloved in pain 😭😭rest in internal piece ur was so different, Humble😭😭may Allah judge ur soul with mercy 🙏🙏🙏

  • @ahmedmohammoha5729
    @ahmedmohammoha57293 жыл бұрын

    From Kenya kifo chake kimeniguza sana RIP balii nitakukbuka Sana

  • @mamanillan5417
    @mamanillan54173 жыл бұрын

    Nenda babaaa 😭😭😭😭🙏🙏🙏 umeumaliza mwendooo salamaaa watanzaniaaaa tunaliaaaaa 😭😭😭🙏🙏🙏 punzikaaa kwa amaniii jemedali wetu

  • @neemajulius1256
    @neemajulius12563 жыл бұрын

    Baba yetu hatutakuja kukusahau maisha yetu yote umetuliza Sana atakayetufuta machozi yetu ni Mungu mwenyewe

  • @zakyahya4645
    @zakyahya46453 жыл бұрын

    Hii nyimbo inafuraisha na leo tunaikumbuka kwa huzuni 😭😭😭akuna namna kwakwel Mungu mpokee baba etu

  • @yusuphabonike1050
    @yusuphabonike105011 күн бұрын

    Nakukumbuka sana Legend Magufuli Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi na akuangazie mwanga wa Milele huko uliko.2024 hii comment.

  • @petermusasia2232
    @petermusasia22323 жыл бұрын

    I've just shed tears after watching this. The song is so nice. Go well Magufuli. The connection you had with your people was so strong. May God Receive you in heaven and rest in peace. Tanzania and East Africa will Miss you.

  • @agesag.m2476
    @agesag.m24763 жыл бұрын

    What a wonderful send-off, this was indeed a great Leader and a Man of the People. Rest in Peace Mr. President.....Condolences from Kenya.

  • @mwanashabakari6499
    @mwanashabakari64993 жыл бұрын

    Pole ndugu zetu Wa Tanzania mungu awape nguvu wakati huu wa huzuni.grt lov from kenya

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels5553 жыл бұрын

    Wow! Freedom Song. Njia bora zaidi ya kumuaga jasiri wa Afrika! #RIPMagufuli thank you Tanzania!

  • @taturajabu5977

    @taturajabu5977

    2 жыл бұрын

    Tutamkumbuka sana jembe la chato

  • @lauraabass1077
    @lauraabass10773 жыл бұрын

    Hii ni moja ya nyimbo ambazo Hayati Komando Magufuli aliipenda mno, inaniuma namkumbuka nikiiskia. Oh will allways love you baba mtetezi wa wanyonge mpenda maendeleo. Umeiacha Tanzania yako na sisi wanao, Rest in peace kipenz chetu 🙏

  • @jaxxjoo1973
    @jaxxjoo19733 жыл бұрын

    Respect zuchu I was cry a lot bt 4 ur song !!

  • @mrishogange4276
    @mrishogange42763 жыл бұрын

    Sijawah kumwaga choz kwa mtu ambaye sio ndugu yang,ila Magu ameniliza wallah

  • @mohameeddoaan2296

    @mohameeddoaan2296

    3 жыл бұрын

    Mimi pia mpaka mwili umeniisha nguvu

  • @ndinagweandendekisye3722

    @ndinagweandendekisye3722

    3 жыл бұрын

    We acha ndugu 😭😭😭

  • @tistarmalafyale1626

    @tistarmalafyale1626

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    3 жыл бұрын

    wala usiseme ndugu mm adi kichwa kinaniuma

  • @oman7710

    @oman7710

    3 жыл бұрын

    Tumelia wengi sana hakika

  • @lynelee5846
    @lynelee58463 жыл бұрын

    Jua limeteremka daah..! 😭😭😭 Maisha ya mwanadamu ni fumbo 🇰🇪🇰🇪

  • @rosalinaambayisi1808

    @rosalinaambayisi1808

    3 жыл бұрын

    Proud of your leadership style you're a role model. Rest in peace Dr Magufuli

  • @vicentrogers9465

    @vicentrogers9465

    2 жыл бұрын

    Ndo Hivyo ndg

  • @Swahili14
    @Swahili143 жыл бұрын

    *THANK YOU ZUCHU FOR THIS SONG IT WIPED OUT OUR TEARS* 😭💔🙏

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47413 жыл бұрын

    Mbele Yake nyuma yetu MW/MUNGU amlaze mahali pema peponi 🙏😭🇹🇿💔

  • @otienojared8511
    @otienojared85112 жыл бұрын

    Rest easy Rais John Pombe Magufuli we as Kenyan politicians we will remember you

  • @millipeter7290
    @millipeter72903 жыл бұрын

    I feel so sorry for Tanzania citizens,, they have lost a great hero,,, may Almighty God protect and see them through... It will be a tough road to walk,, but through by the power of God all will be well with them...

  • @mariampaulsen8809
    @mariampaulsen88093 жыл бұрын

    kai asante baba yetu Magufuri kwakutuachia mama so proud mwana mtanzania

  • @lindagirl9826
    @lindagirl98263 жыл бұрын

    God please Comfort Tanzanian people 😭😭😭 I’m Ugandan live in USA but I can’t stop crying this is to much 😭😭😭 I know it can’t happen but I wish God can bring this man back 😭😭Rip the best president in Africa 🙏

  • @simonpure109

    @simonpure109

    3 жыл бұрын

    I cried for six straight days!!! I called sick...

  • @anastaziamoses4100
    @anastaziamoses41002 жыл бұрын

    Nimekuja tena apa leo mwaka mpya bila wewe ila moyo unauma sana 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu nisamehe mimi kama kumlilia mtu ni zambi nashindwa kujizuia kwa huyu baba Magufuli 😭😭😭😭

  • @ezeedi871

    @ezeedi871

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-he3me7co9y

    @user-he3me7co9y

    8 ай бұрын

    Kabisa yaani 😭😭😭 naangalia 2023/10/10

  • @georgemhalla8853
    @georgemhalla88533 жыл бұрын

    Najua tu, Rais wetu wamemuua, Ila sawa tu, pumzika kwa Amani Baba, your still my president in ❤️ forever & ever. Love you Sana Magufuli.

  • @Wakio231
    @Wakio2313 жыл бұрын

    Baba Magufuli forever in our hearts ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇹🇿we will continue to love you even though you are not here with us.

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv3 жыл бұрын

    WE HAVE LOST THE LEGEND........ BUT GOD ALWAYS KNOWS BETTER

  • @anganilekajigilikajigili2641
    @anganilekajigilikajigili26413 жыл бұрын

    Wimbo naukubali sana had sio pw I love you Zuchu 😀👍👍👍💓❤❤❤

  • @patiencenimmoh3956
    @patiencenimmoh39563 жыл бұрын

    Baba ulale salama na utuombee kwa Mwenyezi Mungu 😭😭😭😭😭

  • @victoriouslife1688
    @victoriouslife16883 жыл бұрын

    Poleni sana wa Tanzanians wa Ndugu zetu, tumewashika migongoni nyote, tumemutakia pziko lema , tunaamini kwamba ataendelea kuwa kielelezo kizuli kwa kila mtu, na msing ambae amewujenga musihalibu. Mungu ako upande wenyo pia ako tyali kuwaponya kidonda cha kifo cake msihogope wa pendwa.

  • @herrymollel7445
    @herrymollel7445 Жыл бұрын

    Legend never die but live forever ❤

  • @shaqirhassan2352
    @shaqirhassan23523 жыл бұрын

    Hadi kamanda mwanajeshi kalia sio mchezo daaah so sad watanzania tupendane ameacha alama kubwa sana tumuenzi kwa utendaji mzur wa kazi

  • @frdausmwawughanga9047
    @frdausmwawughanga90473 жыл бұрын

    Jipen faraja aendako apokelewe kama mlivo mpenda Amin insha'Allah

  • @taturajabu5977

    @taturajabu5977

    2 жыл бұрын

    Kwani wewe ulikuwa hajampenda?

  • @hakiiki1767
    @hakiiki17673 жыл бұрын

    The world really lost Magufuli Allah rest his soul in internal peace Ameen

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi16783 жыл бұрын

    Real This song restores the happiness among us. RIP Nghosha

  • @farmplanners
    @farmplanners3 жыл бұрын

    so sad the leaders wealthy at heart in Africa always leave as soon .i cant hold my tears each time i watch this R.I.P Dr ...you were loved by all of us #kenyanwhoadmired Tzprezzo

  • @shammyngude5060
    @shammyngude50603 жыл бұрын

    Zuchu asante kwa kufuta machozi ya Watanzania

  • @venasasende1474
    @venasasende14743 жыл бұрын

    Wakwanza ku comment from 🇿🇦🇨🇩🇿🇦

  • @jaxxjoo1973

    @jaxxjoo1973

    3 жыл бұрын

    Kesho limetulia Sana Ila zuchu anatukumbusha tusilie tupambane as magu

  • @sweetmelody1191
    @sweetmelody11913 жыл бұрын

    Kiukweli imewafariji Mungu aibariki sauti yako zuchu atleast umewavuta machozi

  • @Swahili14

    @Swahili14

    3 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @jenifajuma5395

    @jenifajuma5395

    3 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @rezegerezege691

    @rezegerezege691

    3 жыл бұрын

    Rais Magufuli hai siku sote kwenye mioyo yetu wa Tz

  • @rehemahayongo4159

    @rehemahayongo4159

    3 жыл бұрын

    Zuchu uzidi kubarikiwa na sauti🙏🙏

  • @peragiaisdor6315

    @peragiaisdor6315

    2 жыл бұрын

    Miez 4 😭😭😭😭😭sasa

  • @timboxlee919
    @timboxlee9192 жыл бұрын

    Kwa haya yanayofanyika hakika wewe uliuwawa kwa masilahi ya mafisadi,na watanzania wanyonge

  • @kyazzekeith8195
    @kyazzekeith81953 жыл бұрын

    Magufuli was so human, and automatically with all these people mourning for him he gets a high rank in heaven, Museveni can you imagine your funeral, Rest in Peace JOHN POMBE MAGUFULI

  • @ericketer3168

    @ericketer3168

    3 жыл бұрын

    Did you just have to tag along Museveni???

  • @mr_edwin_barista

    @mr_edwin_barista

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣museveni

  • @baloz8974

    @baloz8974

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 u have made my day .

  • @l.comics6348

    @l.comics6348

    3 жыл бұрын

    By the way he didn't attend the service in Dodoma. Where was he coz I have not heard from him.

  • @sirkelvin5415
    @sirkelvin54153 жыл бұрын

    Zuchu trying to bring hope to Tanzanians

  • @ummohamed4404
    @ummohamed44043 жыл бұрын

    Jamani hata cc waoman tunalia saana .yaani huyu Rais Mashalhaa.ni mfano wa kuigwa.nipo chini ya Tv kumuaga.lkn cwezi uvumilivu ni kilio tu.yaani haijanipita cku mimi bila kumuangalia Huyu Rais.kwakweli alikuwa ni mtu mwema.Mungu amuweke mahala pema.poleni wa Tanzania woote.

  • @rehemabakali494

    @rehemabakali494

    3 жыл бұрын

    Acha tu ndugu yangu sijui km atatokea km hyu jmn

  • @slightnesssalim2602

    @slightnesssalim2602

    3 жыл бұрын

    Inauma sana

  • @vailetheanyambilile9749

    @vailetheanyambilile9749

    3 жыл бұрын

    Yani nime lia munooo

  • @jenariomunene376
    @jenariomunene3763 жыл бұрын

    Huu wimbo umefanya nimwage machozi nikikumbuka Magufuli hatutawahi muona tena duniani. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

  • @floraladislaus1142

    @floraladislaus1142

    2 жыл бұрын

    Mungu ndo anajua uchungu walionao wananchi🤔 Sasa hivi ni mwendo wa😷

  • @agustinoctavian5406
    @agustinoctavian54063 жыл бұрын

    Tunashukulu mungu

  • @sadikiclaude7917
    @sadikiclaude79173 жыл бұрын

    Condolences to my neighbors Tanzania 🇹🇿

  • @glorymushi6507

    @glorymushi6507

    Жыл бұрын

    🇹🇿🙏

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24993 жыл бұрын

    Pumzika kwa AMANI shujaa Wetu 😭😭😭😭

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa86133 жыл бұрын

    kidogo ata nacheza leo thenx zuchu 😭😭😥👏👏👏🕊️

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    3 жыл бұрын

    mhhhh kujipa faraja tu ila dah ni mtihan

  • @zakiazionheart2370

    @zakiazionheart2370

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @samsonmashauri7349
    @samsonmashauri73493 жыл бұрын

    Your The One

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva82453 жыл бұрын

    Toka juzi nilikuwa siamini ila leo ndo nimeamini Jasiri muongoza njia ametangulia mbele za Haki kwakweli nimelia na sijajua Kama nitanyamaza maana nikikumbuka tu matendo ya Magufuli kwa wananchi wake nabaki nalia tu 😥😥😥😥

  • @jacksonkanzira9789

    @jacksonkanzira9789

    3 жыл бұрын

    Haupo mwenyewe kaka. Pole sana... Hata mimi nimelia sana

  • @felistamwashibanda7764

    @felistamwashibanda7764

    Жыл бұрын

    Tunalia wengi mm ni mwaka sasa na miez Bado nalia tu, 😭😭😭😭😭😭

  • @eunicewairimu5015
    @eunicewairimu50153 жыл бұрын

    Safiri salama magufuli the most loved leader by many in East Africa and at large

  • @dianamarua2632
    @dianamarua26322 жыл бұрын

    Still crying ooh my GID such a good man continue resting in peace

  • @nellyflo9736
    @nellyflo97363 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭💔💔💔💔aki zuchu wetuu na ville baba Magu alikuita kwa jukuaa...😭😭😭

  • @robenapomola2395
    @robenapomola23953 жыл бұрын

    Unaweza kuona mtu anacheza kwa furaha kumbe ni nguvu ya maumivu moyon da😭😭😭

  • @zuhurambonde1982

    @zuhurambonde1982

    3 жыл бұрын

    Wanajifariji Bila hivo dah tutapoteza wengi baba Maghufuli amejua kutuliza wananchi wake pumzika baba.

  • @nyororotherock5567

    @nyororotherock5567

    3 жыл бұрын

    Hakika machozi tupu

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    3 жыл бұрын

    @@zuhurambonde1982 kwel kbs

  • @francemzaga4045

    @francemzaga4045

    3 жыл бұрын

    J

  • @mudriqhamidu6031

    @mudriqhamidu6031

    3 жыл бұрын

    Inakubidi ujipe faraja t cz ukikaa na maumivu sn unaxidi jipa showck hunabudi kuwa hvyo

  • @bobbiegatimu7124
    @bobbiegatimu71243 жыл бұрын

    Poleni sana sana Tanzania

  • @doricemichelle3614
    @doricemichelle36143 жыл бұрын

    Imagine huu wimbo mara ya mwisho ulivyopigwauwanjani nayeye alikuwa anaucheza😌#TanzaniayaMagufuli😌

  • @shanishosho911

    @shanishosho911

    3 жыл бұрын

    Hatari sana yani💔😢

  • @pitermapolu9865

    @pitermapolu9865

    3 жыл бұрын

    9jjnn

  • @pitermapolu9865

    @pitermapolu9865

    3 жыл бұрын

    Kjunnnnnjjiii85

  • @sekelamwangosi3289

    @sekelamwangosi3289

    3 жыл бұрын

    Kifo jaman ni wimbo ambao aliupenda sana maskin dah😭😭😭

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje34463 жыл бұрын

    Yasni unaeza kuona km watu wanafurahi kumbe ni nguvu ya maumivu moyoni ,😭😭😭 ni uchungu sana jmni wimbo unafariji jmni japo uchungu sna dah

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65243 жыл бұрын

    Duuuuuh aisee yahni dunia hii kuna watu wamegusa mioyo ya watu kwa asilimia moja

  • @audreyluteya5915
    @audreyluteya59153 жыл бұрын

    😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪 was so early for him 😭😭😭 may his soul rest in peace 😭😭😭😭

  • @roseadhiambo5914
    @roseadhiambo59143 жыл бұрын

    My heartfelt condolence to all Tanzanian s from kenya

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege6912 жыл бұрын

    😭😭😭😭 miss You my Daddy 24/12/2021 kesho ningekuona kwenye Hbr yaani. R.I.P DADDY.😭😭😭

  • @januaryexpilius5999

    @januaryexpilius5999

    Жыл бұрын

    Yani hatutapataga laisi Kama huyuu watanzania wenzanguu

  • @netti6556
    @netti65563 жыл бұрын

    Sending love to beautiful mighty Tanzania ❤️ stay strong, I know you are

  • @marianakalanzi7178
    @marianakalanzi71783 жыл бұрын

    May his soul rest in eternal Peace, he was a great man

  • @marymumbua9436
    @marymumbua94363 жыл бұрын

    Sometimes we accept things we cannot change. The day i heard about his death, my day was just bored. I have never been close to Magufuli president but I have been following Tanzania, I am a Kenyan anyway, but I love how Magufuli was good to not only Tanzanians, but also East Africa as well...May his soul find eternal rest

  • @africamwebaze4941

    @africamwebaze4941

    3 жыл бұрын

    Man am a Ugandan but i also remember when he was in Kenya telling Uhuru that wakule mayindi ya hapahapa

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje34463 жыл бұрын

    Dah hadi askari wanalia hki ni maumivu mkli hasa tukikumbuka aliyoyafanya Baba yetu.Mungu akupokee mbinguni Kipenzi chetu

  • @hadijasobo3695

    @hadijasobo3695

    3 жыл бұрын

    Yani we acha tu

  • @gabrielsixtus1718
    @gabrielsixtus17183 жыл бұрын

    African hero one, we will remember your legacy. Rest in Paradise. Sir

  • @panchovalentino5922
    @panchovalentino59223 жыл бұрын

    R.I.P Mr President Magufuli 🕯️🕯️🕯️🕯️😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @paulodaki9015
    @paulodaki90153 жыл бұрын

    Hongera jwtz kwa kutoruhusu geneza la rais wetu isiguswe na police hapo nomewakibali wanchi na jeshi lao la wananchi

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga54003 жыл бұрын

    Corona ushindwe na ulegee kutu malizia watu mungu akuteketeze utukome waTanzania shetwani yeyuka katika taifa letu.😭😭😭

  • @ochellahchembe5195

    @ochellahchembe5195

    3 жыл бұрын

    Nani kakuambia mzee kafa kwa Corona? Acha ujinga

  • @alexkibwana7587
    @alexkibwana75873 жыл бұрын

    Jamani Tanzania yetu 😘

  • @bates6274
    @bates62742 жыл бұрын

    Forever in our hearts 💕💕🥰

  • @peterrichard9769
    @peterrichard97693 жыл бұрын

    Magufuli was people's president, humble, God fearing person, he was the saviour in his nation, I truly don't know if Tanzania, is able to get another leader like Magufuli, Why am saying this, numerous people are after money, they don't love their people, they get bad influence from External, overseas,which can devastate the economy, but Magufuli, was given a deeper understanding and insight on how to manage his people.

  • @bahatimasinga2987
    @bahatimasinga29872 жыл бұрын

    I'll never forget my president Magufuli through this Zuchu's song

  • @actionflix3925
    @actionflix39252 жыл бұрын

    Happy new year 2022 bila JPM

  • @abdulkadirsalum8362
    @abdulkadirsalum83623 жыл бұрын

    Masiki mtu anacheza na uchungu huku machoziii yana bubujika mmhhh kweli chema Hakidumu

  • @cyrusnchoe6843
    @cyrusnchoe68433 жыл бұрын

    Salute sana inapendeza

  • @raheliamosi9531
    @raheliamosi95313 жыл бұрын

    Nenda salama baba yetu kipenzi! Malaika wa mungu wakupokee !!

  • @nellyjuma9776
    @nellyjuma97763 жыл бұрын

    pole sana

  • @ivanminja7954
    @ivanminja79543 жыл бұрын

    Kwa mara ya kwanza leo chozi limenitoka, dah......Tumepoteza mtu muhimu sana kwenye Taifa letu na Africa kwa ujumla, RIP John Pombe Magufuli, imani yetu na ushindi upo kwa Mama, na mimi binafsi sina wasiwasi nae kabisaaaa, anaweza kutuvusha hapa tuliposimamia kipindi hiki. Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

  • @esterester5490

    @esterester5490

    3 жыл бұрын

    Da haina jins

  • @tariquexplore
    @tariquexplore3 жыл бұрын

    Best president in Africa who care his citizens, Gaddafi, magufuli

  • @rebeccafeaquee6655
    @rebeccafeaquee66553 жыл бұрын

    My condolences to my Tanzanian brothers and sisters rest in peace Dr John Pombe Magufuli 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @africatop-modele6397
    @africatop-modele63973 жыл бұрын

    Reste paix RIP father brother we all africa we love you forever ✌️✌️🙏🙏🙏🙏✌️👏👏👏

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan73462 жыл бұрын

    Nitakukumbuka daima anko magufuli watanzania tulokupenda sana na tutaendelea kukupenda na kukuenzi R.I.P jpm😍

  • @ngungamusictv4245
    @ngungamusictv42452 жыл бұрын

    Momento único 🙌

  • @georgemarcel1452
    @georgemarcel14522 жыл бұрын

    Safi

  • @akhuisaif3061
    @akhuisaif30613 жыл бұрын

    Daah 😭😭mioyo yaumia lakini kikubwa ni kuzidi kumoembea zaidi makazi mema kama aliko acha.. Gonga like twende pamoja

  • @khamisikitumbo1671

    @khamisikitumbo1671

    3 жыл бұрын

    Kama muislam hakuna ruhusa ya kumuombea asiyekua muislam baada ya kufa haifai ni haram,.Allah anasema kumwambia mtume :sawa sawa umewaombea au huku waombea msamaha Allah hato wasamehe.

  • @junaidybwanamkuu3175

    @junaidybwanamkuu3175

    3 жыл бұрын

    Yes

  • @akhuisaif3061

    @akhuisaif3061

    3 жыл бұрын

    @@junaidybwanamkuu3175 ❤️🇹🇿🤲🙏

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    3 жыл бұрын

    shukran kwa kutukumbusha

  • @amosjoliga7121
    @amosjoliga71212 жыл бұрын

    Duuu Pumzika John Pumzika John Pumzika John,Amina I'm watching 19.03.2022

  • @ruthonserio2359
    @ruthonserio23592 жыл бұрын

    Ooh God

  • @nero7941
    @nero79413 жыл бұрын

    JPM kila siku namkumbuka mzee Daa R.I.p

  • @wickienaste5095
    @wickienaste50953 жыл бұрын

    Shine ⭐✨on your way legend 😭😭😭

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei86353 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭 nenda baba daa jamani MUNGU muangazie mwanga wa kaburi muondoshee adhabu za kaburi muweke mahali panapostahiki 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @carolinemakena1980
    @carolinemakena19803 жыл бұрын

    rest in peace rip makufuli you have fight a good fight may God bless you.

  • @millhamissa7490
    @millhamissa74902 жыл бұрын

    Nenda salama baba yetu mtetez wetu tutakuenz daima

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 Жыл бұрын

    This memory will never get away from my mind, em glad that I was one of the ppl who go ther and giv our last respect to our one and only President,,,we dearly miss him,,we love him until the end of us,, THANK YOU MAGUFURI

  • @Aisha-om9go
    @Aisha-om9go3 жыл бұрын

    Umeenda baba daah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @laizzaletayo5765

    @laizzaletayo5765

    3 жыл бұрын

    Shujaa amelala

  • @johnbahati478
    @johnbahati4782 жыл бұрын

    One year now without you. Be blessed Dad

  • @johnbahati478

    @johnbahati478

    Жыл бұрын

    Two years since you left us, continue resting in Peace Daddy.

  • @justinemalima6701
    @justinemalima67013 жыл бұрын

    Magufuli Daima

  • @esterpantaleo246
    @esterpantaleo2463 жыл бұрын

    Daaaa! Huu wimbo uliupenda Magufuli jamn lkn leo hii auuchezi tena daaaa!

Келесі