Salama Na HAJI Ep 52 | ALIYE KUTWIKA NDIYE ATAKAYE KUTUA PART 1
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Haji Sunday Manara nlitaka kusema ni rafiki YANGU ila vacati navaza hilo nikakumbuka mmh, Haji Sunday Manara ni rafiki wa WATU WENGI hususan mashabiki wa klabu wangu pendwa na zaidi kwa watu ambao hawapendi hata mpira ila wanampenda tu jinsi anavyoseti mambo yake na anavyoigeuza sehemu yoyote aendayo kama sehemu yake ya kujitamba na kujitutumua na tofauti yake na WACHACHE ambao wanafanya kazi kama yake ni kwamba yeye anaweza KUYATEMBEA yale anayo YAONGEA.
Mapenzi yangu kwake ni ya first class na namini hata yeye analifahamu hilo, huwa namtazama kwa kuvutiwa hasa kwababu ya anavyojibeba na kukiaminisha kile ambacho anakisema, iwe kuhusu Simba, bidhaa ambayo anaitangaza au hata simulizi za maisha , vyovyote vile vitakufanya utake kumskiliza kwa umakini, na pia ni lazima ucheke. Utashi wake kwenye mambo mengi pia ni jambo la kupendeza, ukiniuliza mimi nitakuambia sawa, hata kama ni mtoto wa Kariakoo, ni watoto wa Kariakoo wangapi ambao wewe unawajua wana kipaji cha kuongea na kumfanya mtu ajiskie kama ambavyo Haji anafanya baadhi ya watu wajiskie? Iwe kwa kuzodoa au kusifia wangapi? Maneno ya papo kwa papo au hata ya kujindaa (hapo ndo utachoka kabisa), yupi?
Urafiki wetu ulianzia pale kwenye USIMBA DAMU na tuli click tu moja kwa moja, niliamini timu wangu ido kwenye mikono salama kabisa kama jina langu, tufungwe atasema maneno ya kutufanya tunyoshe mgongo na kusimama vuzuri na tukishinda well tukishinda mziki unaufahamu vizuri tu, na tukisajili je? Ahaha… Huyu mtu huya ananipa raha sana, Nba hiyo neo ilikua sababu ya Mimi na wenzangu kumvuta kitini.
Maneno mengi yamekua yakisemwa juu yake na pia mdomo wake huo ulishawahi kumtia matatani kipindi flani kile ambacho Bwana Mo Dewji alipopata matataizo, si unakumbuka? Haji alitiwa ndani siku kadhaa mpaka alipokuja kuwa cleared kwamba hakua anahusika, sikuongea nae kuhusu hilo kwasababu tu za kutotaka asiwe comfy kwenye kiti chetu ( ingawa najua ningeuliza asingekua na hiyana hata). Maneno mengine ni kuhusu urafiki wake na matajiri wa mjini ambao wengine ni wamiliki wa time pinzani za muajiri wake, hili likoje? Huwa anasumbuka wananchi wanapolileta kwenye comments za ukurasa wake maarufu wa Intagram?
Mzaliwa wa Udachini kule nchini Holland, Haji amekua hapa Dar es Salaam kwa malezi ya Bibi na Babu zake maana kipindi hicho Mzee wake alikua anakipiga nje zaidi, mimi nilitaka kujua hiyo historia yake na mpira na Mzee wake, Yanga (ambayo tunaweza kusema ni team ya familia), elimu yake na mambo ya ndoa na scandal za mitandaoni za hapa na pale. Pia tuliongelea pale alipokua wakati shabiki wa Simba Bwana Hamisi Kingwangalla alipohoji uwekezaji wa Mo Dewji na bilioni 20 za uwekezaji, na mano yake hasa kuhusu hiyo situation.
Nimecheka sana, nimeskiliza sana, nime admire sana na zaidi nimejifunza mengi ambayo nilikua siyafahamu kuhusu mtu huyo maalum na tunu ya Taifa hili. Yangu matumani utaelewa na kujifunza jambo hapa.
Tafadhaki enjoy rafiki.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 219
Haji manara Nashukuru kwa kujijulisha.. Wewe bila kuzungumzia history yako wewe mwenyewe waonyesha umtundu.. Asante manara mungu awe nawe 👍👍👍
Leo mapema tu wanasimba yan like basi wadau
Semaji la Dunia ndani ya kipindi bora kabisa Yahstonetown
daah kweli HAJI ni mwanamichezo ana full details za vilabu vyetu vya TZ
Masha Allah, mr hajji manara Allah Azidi kukuongoza ,na akufunguliye Njia katika maisha yako mabrook
Haji Manara mtu bingwa sana more blessing to you jah
Huyu Haji Manara mimi nazipenda mbwembwe zake, yuko vizuri
@pendondossy4181
3 жыл бұрын
Kabisaaa
Salama lini utatuletea PROFESA JAY
Aya wanangu wa Simba twende like apaa
Very very positive and smart
"Sitaki pesa Mimi kwanza Nina Aleji nazo" Haji Sande Manara
Haji we ni wakipekee sana naikubali sana kaz yako umeifanya nifurahie sana kushabikia simba
Finally Manara in the house
Salama leta Diamond kwa show...we need him here
@patrickmukundichalamila3038
3 жыл бұрын
Safi sana
Huyu jamaaa mwenyez mungu azidi kumlinda mana nnachokusifu haji mana ww una roho ya kipekeee kwa sababu umepita madrasa na umesoma ni binaadam km sio wakamilifu lkn ww ni mtuu wa pekee sana mana naongea lkn ww sjui nikuelezeeje brooo nakukubali sana
Haji akli kubwa Mungu akuweke mdogo wangu .Salama Hongera sana unafanya kazi nzuri sana. Vijana tusipo okota kitu kwa Hawa maginius wanakuja humu coz basi kuna mengi yakujifunza kwa kila anayekuja hapa.
Kumsema mtu kwa ulemavu wake ni ujinga ! Kwa sababu mwenyezi mungu kaumba watu tofauti ! Achana nao!
Masha Allah ,daa salama wewe ni mtangazaji mashuury nikupendaye na unafaa kabisa katika jamii,mabrook
Mashallah Hajj very good orator .Much respect talented Manara.
Hajji hupendi hela😀😀😀hutaki kua bakhresa wala moo😀😀😀nime tabasamu na kucheka interview yote😀😀😀nime enjoy sana hajji na salama
HAPO SASA NMEKUMBUKA WAKATI WADOGO KWA NINI TULIKUA TUNAIMBA 🎵🎶SANDE NA MPILA SANDE NA MPILA GOOOO🎶 KUMBE NDIO ALIKUA BABA AKE HAJI😃😃😃
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Hahaha naukumbuka uwo wimbo🤣🤣🤣🤣🤣
@magangakayola4175
3 жыл бұрын
Unamatatizo ya R na L ni mpira sio mpila
Mashaa'Allah Hajji Allah akuzidishie subraa na afya njema yarabiy
Salama mie napenda saana kuomba kuangalia vipindi vyako lkn kitu cha ziada unapokuwa una kipindi chako cha "SALAMA NA" iwepo namba ya simu ya WhatsApp ili tuwe tunachangia mawazo na Maswali... Nashukuru saana.. ✔️✔️
@elizabethkizota3474
3 жыл бұрын
Namba zipo hapo juu kwenye title
Huyu jamaa ukimsikiliza kwa makini pamoja kuingea kwake sana ila anamadini mengi kichwani (mgodi unaotembea)
Napenda sana confidence ya Haji safi sana kuwa albino hakujakupa unyonge bali umekupa kitu cha ziada🤗
Salama ulivomuuliza haji kuhusu uzeru zeru wake nimejiskia vibaya kweli
Mashallah msemaji wa simba wa viwango👏👏👏👏👏
The best interview 👌🏾
Wow I'm happy to see Jessica again ❤
Baba yako hakuwahi kumfikia Zamoyoni Mogela " Golden Boy"
Yaani huyu baba anaongea vizuri kweliiii
@BIGBOSS-hl3bu
Жыл бұрын
Aisha bhana🤓🤓🤓🤓
Umeuwa 👍👍👍👍👍👍👍
Nilikua naisubiri sanaa iyi interview ❤️🇧🇮😌
Salama irudiwe haji manara akiwa semaji la YANGA💛💛💛💚💚💚
he deserves to be a superstar
I like the interview
Naomba uje umfanyie interview huyo Jesca nae apate platform kubwa kwa watu
Nomaaa like zangu tafadhali
Ur genius...u know what it is ....4sure
Big love salama
Salama sister na interview na beneficial
Mwamba Manara
Mi ni shabiki mkubwa wa Yanga, ila namkubali sana Manara... Allah akufanyie wepesi uje YANGA!...
@agathathobias8690
3 жыл бұрын
Mpende tu akiwa Simba inatosha😄😄😄😄
@embeothman3631
3 жыл бұрын
@@agathathobias8690 Angenoga zaidi km angekua Young Africans... Club kongwe zaidi Tz
@agathathobias8690
3 жыл бұрын
@@embeothman3631 😅😅😅pambaneni na msemaj wenu tuachien Manara wetu au wenu hana vigezo
@embeothman3631
3 жыл бұрын
@@agathathobias8690 vigezo anavyo kama vyote, na ndo mana anawasumbua vichwa kwa namna fulani,,, ila manara namkubali tu lifestyle yake na kujiamini kwake... Kama angekua yanga nahisi angebarikiwa zaidi 😂 😂 😂
Hahaha interview kalii san napendaa kukaa na matajirii
Salama tafuta mtu mwenye historia ya ruge tujifuze vitu kuto kwenye historia iyo maana ruge ameongoza wengi sana na wengi wamempa lawala tunataka tujue maisha yake samahani kwa ili tunataka tujifunze
@aishajafa4139
3 жыл бұрын
Angalia kipindi cha zamani cha salama kinaitwa mkasi aliwahi kumuhoji ruge mwenywe
Haji Lazma Ashinde Tu Kwenye Mazungumzo Hakuna Kama Yy Hapa Tanzania Labda Msemaji Wa Serikal Tu
@drkimwaga9583
3 жыл бұрын
🤣🤣
@Mpembuzi
3 жыл бұрын
Huyu bwana mzungumzaji fundi
Safi kabsa
Hapo pa stevenyerere nimecheka hatari🤣🤣🤣🤣🤣🤣,jamani hajji nyange 🤣🤣🤣🤣
Bugatti semaji la ulimwengu
Marafiki malofaaa Salam et na mmi
Yaani haji unasema sisi waskilizaji tunaweza tusielewa Daaah hujui kuwa ... Tupo waskilizaji wa Kipindi hiki ambao tuna yajua hayo hata kuwazidi ninyi
fnya ue unatuekea pia sos
Yani salama sijutii mb zang kwa kwl naenjoy mnoo
Nimeipenda interview
@riikostar5950
3 жыл бұрын
Ila kasema wageni wakaenda kuanzisha Yanga, hapo ilibidi aseme wagen wakabaki Yanga na wenyeji wakaenda kuanzisha Pan African ya akina Pete Tino
Well said Haji
Am the #SNS’s Best #MVS
Nipeni like mm ni mtoto wa mpango wa kando wa baba haji manara 🙏
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Salamaa.lini.utaolewaa
haji aliwai kunibrock kisa nilimwambia kuhusu mkewe kuwa kichwa wazi nilikaa na ista bila haji kwa muda mpaka nikaona insta haina thamani ndipo nikaamua kutengeneza account nyingine aisee haji ni supestar ila alinikosea sana ila nimesamehe
Nimeipenda hiyo show haji yuko vizuri
Eti kwa mademu wanao ni jua walijua sio Mimi. Iki maanisha haikua style zako bro
Simba simba
azam leo tunawalaza chaliiiii
Huyu ndio manara kabla hajalogwa
Nice talk
Great aunt salama and i'm the biggest fan of your channel, i wish to have chats with you and itakuwa mimi na salama...i think you have many things to tell us about you na sisi tu learn pia from you ccy...heshima yako
@fidelmlonsi5827
3 жыл бұрын
Bugguth
@hemedykiboko2650
3 жыл бұрын
Fan not fun
"Anakaa banda la uwani huko NYAMINYONGWA!" ulipaswa uwe mwandishi wa RIWAYA pia! Hehehehee
Manara tumeona cm bas tena khaa 🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ahsnte san salama kwa intavierw nzr
Daah safi sana hachoshi kumsikiliza
Salama mtoto mzuri sana wewe basi tu
Kipnd kmechelewa kuwa uploaded utube, shida nin
Manaraaaaa
Interview ya leo imenisisimua sana
Dada salama naomba salama na AY
“Am the #SNS’s Best #MVS” Simulizi na sauti 🔥🔥
Dada salama lini utamleta kitale
Mimi simpenzi wamipira lkn haji napenda vituko vyake...
😃😃😃😃😃 unachekesha nä haji nyangeee
Nyaminyongwa dah!🤣🤣🤣🤣🤣
Mkeraji bado anatukera tu hata kwa interview 🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo JESICA namuelewa😋
Wastara jifunze kutoka kwa manara ni mlemavu lakin huwez mkuta analalamika lalamika kizembe oooh kisa mi mlemavu ooh mi mlemavu ndo kwanzaaa kaenda kuoa mke mrembo pisi kaliii kuliko hata mke wa mtu hasiye mlemavu. We dk moja nying sina mguu kisa mlemavu naachwa unaachwa sababu unapenda kuolewa kila asubuh na usiku😀😀😀
@pendondossy4181
3 жыл бұрын
Angeweza angejua hili
@26eleven35
3 жыл бұрын
Albinism sio ulemavu mpuuz wew
@shizaarfred4059
3 жыл бұрын
Mh huyu s mlemavu kumbuka yy alizaliwa mzima hii inatokea tu na hakika angekuwepo sajuki asingekuwa anaumizwa
@nurukhalifa9413
3 жыл бұрын
@@26eleven35Albino ni watu wenye ulemavu wa ngozi mkoswa akili wewe😀😀😀😀😀😀
@nurukhalifa9413
3 жыл бұрын
@@shizaarfred4059 weeeee tena ndo angekuwepo sajuk ungeshangaa mtoto wa sajuki kasema ni wa nyange😀😀
Hii imetisha sanaa haji sioo😂😂😂😂🤝
😀😀😀😀🎤🎤Steve kumbe ni lofa
Napendekeza afuatie 20%
Haji kauwa hapo hapo ati kaongozana ma shehe kumi wakafanye kisomo nyumbani kumbe anaenda kumpakazia fazake😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🙈🙈
Aminia
Good
Huwezi kuwa mkubwa bila kutukanwa.
Nimeipenda.hiyo.media.yaok.stone.town
Yani kama yupo kwenye mechi😁😁😁
Salama, ningependekeza interview ijao iwe ya MKOJANI Comedy ili tumfahamu kwa hamu...
Buggati nilikuwa naisubr interview hii kwa hamu sana
Haji 😁😁😁😁😁😁😁umempelekea babaako mashekh
Kipindi chote kaongea Haji
Eti mm nataka marafiki marofa🤣😂😂😂😂
Manara kashindikana kwa kweli
Salam plz muhoji meena ally
Kweli Salama anakipaji kikubwa sana ila media hii ina njaa sana matangazo kama mvua. Watu wapo shule kwa sasa hatuna muda kuangalia matangazo kama mvua