Salama Na HAJI Ep 52 | ALIYE KUTWIKA NDIYE ATAKAYE KUTUA PART 1

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Haji Sunday Manara nlitaka kusema ni rafiki YANGU ila vacati navaza hilo nikakumbuka mmh, Haji Sunday Manara ni rafiki wa WATU WENGI hususan mashabiki wa klabu wangu pendwa na zaidi kwa watu ambao hawapendi hata mpira ila wanampenda tu jinsi anavyoseti mambo yake na anavyoigeuza sehemu yoyote aendayo kama sehemu yake ya kujitamba na kujitutumua na tofauti yake na WACHACHE ambao wanafanya kazi kama yake ni kwamba yeye anaweza KUYATEMBEA yale anayo YAONGEA.
Mapenzi yangu kwake ni ya first class na namini hata yeye analifahamu hilo, huwa namtazama kwa kuvutiwa hasa kwababu ya anavyojibeba na kukiaminisha kile ambacho anakisema, iwe kuhusu Simba, bidhaa ambayo anaitangaza au hata simulizi za maisha , vyovyote vile vitakufanya utake kumskiliza kwa umakini, na pia ni lazima ucheke. Utashi wake kwenye mambo mengi pia ni jambo la kupendeza, ukiniuliza mimi nitakuambia sawa, hata kama ni mtoto wa Kariakoo, ni watoto wa Kariakoo wangapi ambao wewe unawajua wana kipaji cha kuongea na kumfanya mtu ajiskie kama ambavyo Haji anafanya baadhi ya watu wajiskie? Iwe kwa kuzodoa au kusifia wangapi? Maneno ya papo kwa papo au hata ya kujindaa (hapo ndo utachoka kabisa), yupi?
Urafiki wetu ulianzia pale kwenye USIMBA DAMU na tuli click tu moja kwa moja, niliamini timu wangu ido kwenye mikono salama kabisa kama jina langu, tufungwe atasema maneno ya kutufanya tunyoshe mgongo na kusimama vuzuri na tukishinda well tukishinda mziki unaufahamu vizuri tu, na tukisajili je? Ahaha… Huyu mtu huya ananipa raha sana, Nba hiyo neo ilikua sababu ya Mimi na wenzangu kumvuta kitini.
Maneno mengi yamekua yakisemwa juu yake na pia mdomo wake huo ulishawahi kumtia matatani kipindi flani kile ambacho Bwana Mo Dewji alipopata matataizo, si unakumbuka? Haji alitiwa ndani siku kadhaa mpaka alipokuja kuwa cleared kwamba hakua anahusika, sikuongea nae kuhusu hilo kwasababu tu za kutotaka asiwe comfy kwenye kiti chetu ( ingawa najua ningeuliza asingekua na hiyana hata). Maneno mengine ni kuhusu urafiki wake na matajiri wa mjini ambao wengine ni wamiliki wa time pinzani za muajiri wake, hili likoje? Huwa anasumbuka wananchi wanapolileta kwenye comments za ukurasa wake maarufu wa Intagram?
Mzaliwa wa Udachini kule nchini Holland, Haji amekua hapa Dar es Salaam kwa malezi ya Bibi na Babu zake maana kipindi hicho Mzee wake alikua anakipiga nje zaidi, mimi nilitaka kujua hiyo historia yake na mpira na Mzee wake, Yanga (ambayo tunaweza kusema ni team ya familia), elimu yake na mambo ya ndoa na scandal za mitandaoni za hapa na pale. Pia tuliongelea pale alipokua wakati shabiki wa Simba Bwana Hamisi Kingwangalla alipohoji uwekezaji wa Mo Dewji na bilioni 20 za uwekezaji, na mano yake hasa kuhusu hiyo situation.
Nimecheka sana, nimeskiliza sana, nime admire sana na zaidi nimejifunza mengi ambayo nilikua siyafahamu kuhusu mtu huyo maalum na tunu ya Taifa hili. Yangu matumani utaelewa na kujifunza jambo hapa.
Tafadhaki enjoy rafiki.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 219

  • @nasserhabsi9309
    @nasserhabsi93093 жыл бұрын

    Haji manara Nashukuru kwa kujijulisha.. Wewe bila kuzungumzia history yako wewe mwenyewe waonyesha umtundu.. Asante manara mungu awe nawe 👍👍👍

  • @nathanamon6876
    @nathanamon68763 жыл бұрын

    Leo mapema tu wanasimba yan like basi wadau

  • @christianmichael5331
    @christianmichael53313 жыл бұрын

    Semaji la Dunia ndani ya kipindi bora kabisa Yahstonetown

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali84593 жыл бұрын

    daah kweli HAJI ni mwanamichezo ana full details za vilabu vyetu vya TZ

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin92203 жыл бұрын

    Masha Allah, mr hajji manara Allah Azidi kukuongoza ,na akufunguliye Njia katika maisha yako mabrook

  • @francistsii5135
    @francistsii51353 жыл бұрын

    Haji Manara mtu bingwa sana more blessing to you jah

  • @oyay2821
    @oyay28213 жыл бұрын

    Huyu Haji Manara mimi nazipenda mbwembwe zake, yuko vizuri

  • @pendondossy4181

    @pendondossy4181

    3 жыл бұрын

    Kabisaaa

  • @rubenmkilima4681
    @rubenmkilima46813 жыл бұрын

    Salama lini utatuletea PROFESA JAY

  • @Paplick9
    @Paplick93 жыл бұрын

    Aya wanangu wa Simba twende like apaa

  • @costantinedraxler3629
    @costantinedraxler36293 жыл бұрын

    Very very positive and smart

  • @mbwanadavid4371
    @mbwanadavid43713 жыл бұрын

    "Sitaki pesa Mimi kwanza Nina Aleji nazo" Haji Sande Manara

  • @mr.chaula4943
    @mr.chaula49433 жыл бұрын

    Haji we ni wakipekee sana naikubali sana kaz yako umeifanya nifurahie sana kushabikia simba

  • @ibramrzebra1675
    @ibramrzebra1675 Жыл бұрын

    Finally Manara in the house

  • @Mike-xt9sb
    @Mike-xt9sb3 жыл бұрын

    Salama leta Diamond kwa show...we need him here

  • @patrickmukundichalamila3038

    @patrickmukundichalamila3038

    3 жыл бұрын

    Safi sana

  • @SaidSaid-bq6mk
    @SaidSaid-bq6mk3 жыл бұрын

    Huyu jamaaa mwenyez mungu azidi kumlinda mana nnachokusifu haji mana ww una roho ya kipekeee kwa sababu umepita madrasa na umesoma ni binaadam km sio wakamilifu lkn ww ni mtuu wa pekee sana mana naongea lkn ww sjui nikuelezeeje brooo nakukubali sana

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma45433 жыл бұрын

    Haji akli kubwa Mungu akuweke mdogo wangu .Salama Hongera sana unafanya kazi nzuri sana. Vijana tusipo okota kitu kwa Hawa maginius wanakuja humu coz basi kuna mengi yakujifunza kwa kila anayekuja hapa.

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38693 жыл бұрын

    Kumsema mtu kwa ulemavu wake ni ujinga ! Kwa sababu mwenyezi mungu kaumba watu tofauti ! Achana nao!

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin92203 жыл бұрын

    Masha Allah ,daa salama wewe ni mtangazaji mashuury nikupendaye na unafaa kabisa katika jamii,mabrook

  • @abdulkhalim5564
    @abdulkhalim55643 жыл бұрын

    Mashallah Hajj very good orator .Much respect talented Manara.

  • @salmashahbal9306
    @salmashahbal93063 жыл бұрын

    Hajji hupendi hela😀😀😀hutaki kua bakhresa wala moo😀😀😀nime tabasamu na kucheka interview yote😀😀😀nime enjoy sana hajji na salama

  • @mwakalelienterprises6860
    @mwakalelienterprises68603 жыл бұрын

    HAPO SASA NMEKUMBUKA WAKATI WADOGO KWA NINI TULIKUA TUNAIMBA 🎵🎶SANDE NA MPILA SANDE NA MPILA GOOOO🎶 KUMBE NDIO ALIKUA BABA AKE HAJI😃😃😃

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    3 жыл бұрын

    Hahaha naukumbuka uwo wimbo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @magangakayola4175

    @magangakayola4175

    3 жыл бұрын

    Unamatatizo ya R na L ni mpira sio mpila

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora11803 жыл бұрын

    Mashaa'Allah Hajji Allah akuzidishie subraa na afya njema yarabiy

  • @nasserhabsi9309
    @nasserhabsi93093 жыл бұрын

    Salama mie napenda saana kuomba kuangalia vipindi vyako lkn kitu cha ziada unapokuwa una kipindi chako cha "SALAMA NA" iwepo namba ya simu ya WhatsApp ili tuwe tunachangia mawazo na Maswali... Nashukuru saana.. ✔️✔️

  • @elizabethkizota3474

    @elizabethkizota3474

    3 жыл бұрын

    Namba zipo hapo juu kwenye title

  • @prochesnorbert8720
    @prochesnorbert87203 жыл бұрын

    Huyu jamaa ukimsikiliza kwa makini pamoja kuingea kwake sana ila anamadini mengi kichwani (mgodi unaotembea)

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa43673 жыл бұрын

    Napenda sana confidence ya Haji safi sana kuwa albino hakujakupa unyonge bali umekupa kitu cha ziada🤗

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50833 жыл бұрын

    Salama ulivomuuliza haji kuhusu uzeru zeru wake nimejiskia vibaya kweli

  • @tunuabuu6569
    @tunuabuu65693 жыл бұрын

    Mashallah msemaji wa simba wa viwango👏👏👏👏👏

  • @FatmaMohamed-qf4ff
    @FatmaMohamed-qf4ff3 жыл бұрын

    The best interview 👌🏾

  • @fortunathabarabara8471
    @fortunathabarabara84713 жыл бұрын

    Wow I'm happy to see Jessica again ❤

  • @yusufumbwene5669
    @yusufumbwene5669 Жыл бұрын

    Baba yako hakuwahi kumfikia Zamoyoni Mogela " Golden Boy"

  • @aishamukandanga272
    @aishamukandanga2723 жыл бұрын

    Yaani huyu baba anaongea vizuri kweliiii

  • @BIGBOSS-hl3bu

    @BIGBOSS-hl3bu

    Жыл бұрын

    Aisha bhana🤓🤓🤓🤓

  • @jkOmar2024
    @jkOmar20243 жыл бұрын

    Umeuwa 👍👍👍👍👍👍👍

  • @owlbig
    @owlbig3 жыл бұрын

    Nilikua naisubiri sanaa iyi interview ❤️🇧🇮😌

  • @mypredictiontoday6818
    @mypredictiontoday68182 жыл бұрын

    Salama irudiwe haji manara akiwa semaji la YANGA💛💛💛💚💚💚

  • @husseinmwakasala7565
    @husseinmwakasala75652 жыл бұрын

    he deserves to be a superstar

  • @davidmukebezi6694
    @davidmukebezi66943 жыл бұрын

    I like the interview

  • @kssubitomas9289
    @kssubitomas92893 жыл бұрын

    Naomba uje umfanyie interview huyo Jesca nae apate platform kubwa kwa watu

  • @robartifabiani6572
    @robartifabiani65723 жыл бұрын

    Nomaaa like zangu tafadhali

  • @blessedtabatasengelight
    @blessedtabatasengelight3 жыл бұрын

    Ur genius...u know what it is ....4sure

  • @annamichael1433
    @annamichael14333 жыл бұрын

    Big love salama

  • @loseriansamwel4931
    @loseriansamwel49313 жыл бұрын

    Salama sister na interview na beneficial

  • @jaafarjacka9272
    @jaafarjacka92723 жыл бұрын

    Mwamba Manara

  • @embeothman3631
    @embeothman36313 жыл бұрын

    Mi ni shabiki mkubwa wa Yanga, ila namkubali sana Manara... Allah akufanyie wepesi uje YANGA!...

  • @agathathobias8690

    @agathathobias8690

    3 жыл бұрын

    Mpende tu akiwa Simba inatosha😄😄😄😄

  • @embeothman3631

    @embeothman3631

    3 жыл бұрын

    @@agathathobias8690 Angenoga zaidi km angekua Young Africans... Club kongwe zaidi Tz

  • @agathathobias8690

    @agathathobias8690

    3 жыл бұрын

    @@embeothman3631 😅😅😅pambaneni na msemaj wenu tuachien Manara wetu au wenu hana vigezo

  • @embeothman3631

    @embeothman3631

    3 жыл бұрын

    @@agathathobias8690 vigezo anavyo kama vyote, na ndo mana anawasumbua vichwa kwa namna fulani,,, ila manara namkubali tu lifestyle yake na kujiamini kwake... Kama angekua yanga nahisi angebarikiwa zaidi 😂 😂 😂

  • @johnthomas1973
    @johnthomas19733 жыл бұрын

    Hahaha interview kalii san napendaa kukaa na matajirii

  • @sidrecksteven5741
    @sidrecksteven57413 жыл бұрын

    Salama tafuta mtu mwenye historia ya ruge tujifuze vitu kuto kwenye historia iyo maana ruge ameongoza wengi sana na wengi wamempa lawala tunataka tujue maisha yake samahani kwa ili tunataka tujifunze

  • @aishajafa4139

    @aishajafa4139

    3 жыл бұрын

    Angalia kipindi cha zamani cha salama kinaitwa mkasi aliwahi kumuhoji ruge mwenywe

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi95303 жыл бұрын

    Haji Lazma Ashinde Tu Kwenye Mazungumzo Hakuna Kama Yy Hapa Tanzania Labda Msemaji Wa Serikal Tu

  • @drkimwaga9583

    @drkimwaga9583

    3 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @Mpembuzi

    @Mpembuzi

    3 жыл бұрын

    Huyu bwana mzungumzaji fundi

  • @halimajuma7182
    @halimajuma71823 жыл бұрын

    Safi kabsa

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin92203 жыл бұрын

    Hapo pa stevenyerere nimecheka hatari🤣🤣🤣🤣🤣🤣,jamani hajji nyange 🤣🤣🤣🤣

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48373 жыл бұрын

    Bugatti semaji la ulimwengu

  • @johnthomas1973
    @johnthomas19733 жыл бұрын

    Marafiki malofaaa Salam et na mmi

  • @jacobnorbertchenga9465
    @jacobnorbertchenga94653 жыл бұрын

    Yaani haji unasema sisi waskilizaji tunaweza tusielewa Daaah hujui kuwa ... Tupo waskilizaji wa Kipindi hiki ambao tuna yajua hayo hata kuwazidi ninyi

  • @daudbusanji2586
    @daudbusanji25863 жыл бұрын

    fnya ue unatuekea pia sos

  • @preciousjohn9405
    @preciousjohn94053 жыл бұрын

    Yani salama sijutii mb zang kwa kwl naenjoy mnoo

  • @chiamochichi558
    @chiamochichi5583 жыл бұрын

    Nimeipenda interview

  • @riikostar5950

    @riikostar5950

    3 жыл бұрын

    Ila kasema wageni wakaenda kuanzisha Yanga, hapo ilibidi aseme wagen wakabaki Yanga na wenyeji wakaenda kuanzisha Pan African ya akina Pete Tino

  • @mohamedkigedele4498
    @mohamedkigedele44983 жыл бұрын

    Well said Haji

  • @petroprenge8716
    @petroprenge87163 жыл бұрын

    Am the #SNS’s Best #MVS

  • @balegadaffi4472
    @balegadaffi44723 жыл бұрын

    Nipeni like mm ni mtoto wa mpango wa kando wa baba haji manara 🙏

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @dilipdab3714
    @dilipdab37143 жыл бұрын

    Salamaa.lini.utaolewaa

  • @omarymakome3239
    @omarymakome32393 жыл бұрын

    haji aliwai kunibrock kisa nilimwambia kuhusu mkewe kuwa kichwa wazi nilikaa na ista bila haji kwa muda mpaka nikaona insta haina thamani ndipo nikaamua kutengeneza account nyingine aisee haji ni supestar ila alinikosea sana ila nimesamehe

  • @hussnattwalibu2250
    @hussnattwalibu22503 жыл бұрын

    Nimeipenda hiyo show haji yuko vizuri

  • @bjzee1981
    @bjzee19813 жыл бұрын

    Eti kwa mademu wanao ni jua walijua sio Mimi. Iki maanisha haikua style zako bro

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir93 жыл бұрын

    Simba simba

  • @husnasaid8268
    @husnasaid82683 жыл бұрын

    azam leo tunawalaza chaliiiii

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Жыл бұрын

    Huyu ndio manara kabla hajalogwa

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr3 жыл бұрын

    Nice talk

  • @paschalbq3494
    @paschalbq34943 жыл бұрын

    Great aunt salama and i'm the biggest fan of your channel, i wish to have chats with you and itakuwa mimi na salama...i think you have many things to tell us about you na sisi tu learn pia from you ccy...heshima yako

  • @fidelmlonsi5827

    @fidelmlonsi5827

    3 жыл бұрын

    Bugguth

  • @hemedykiboko2650

    @hemedykiboko2650

    3 жыл бұрын

    Fan not fun

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale3 жыл бұрын

    "Anakaa banda la uwani huko NYAMINYONGWA!" ulipaswa uwe mwandishi wa RIWAYA pia! Hehehehee

  • @ramlajuma1598
    @ramlajuma15983 жыл бұрын

    Manara tumeona cm bas tena khaa 🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @meddymaulid5176
    @meddymaulid51763 жыл бұрын

    Ahsnte san salama kwa intavierw nzr

  • @ashaasha6065
    @ashaasha60653 жыл бұрын

    Daah safi sana hachoshi kumsikiliza

  • @limbomambo9728
    @limbomambo97283 жыл бұрын

    Salama mtoto mzuri sana wewe basi tu

  • @paulinajohn5673
    @paulinajohn56733 жыл бұрын

    Kipnd kmechelewa kuwa uploaded utube, shida nin

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa94133 жыл бұрын

    Manaraaaaa

  • @mohamedkachapa4433
    @mohamedkachapa44333 жыл бұрын

    Interview ya leo imenisisimua sana

  • @nalliekessy4902
    @nalliekessy49023 жыл бұрын

    Dada salama naomba salama na AY

  • @samuelmahimbo863
    @samuelmahimbo8633 жыл бұрын

    “Am the #SNS’s Best #MVS” Simulizi na sauti 🔥🔥

  • @isayayohana6341
    @isayayohana63413 жыл бұрын

    Dada salama lini utamleta kitale

  • @ujudiabdull9442
    @ujudiabdull94423 жыл бұрын

    Mimi simpenzi wamipira lkn haji napenda vituko vyake...

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo75843 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃 unachekesha nä haji nyangeee

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72573 жыл бұрын

    Nyaminyongwa dah!🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saidahj2543
    @saidahj25433 жыл бұрын

    Mkeraji bado anatukera tu hata kwa interview 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yunusrnb5227
    @yunusrnb52273 жыл бұрын

    Huyo JESICA namuelewa😋

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa94133 жыл бұрын

    Wastara jifunze kutoka kwa manara ni mlemavu lakin huwez mkuta analalamika lalamika kizembe oooh kisa mi mlemavu ooh mi mlemavu ndo kwanzaaa kaenda kuoa mke mrembo pisi kaliii kuliko hata mke wa mtu hasiye mlemavu. We dk moja nying sina mguu kisa mlemavu naachwa unaachwa sababu unapenda kuolewa kila asubuh na usiku😀😀😀

  • @pendondossy4181

    @pendondossy4181

    3 жыл бұрын

    Angeweza angejua hili

  • @26eleven35

    @26eleven35

    3 жыл бұрын

    Albinism sio ulemavu mpuuz wew

  • @shizaarfred4059

    @shizaarfred4059

    3 жыл бұрын

    Mh huyu s mlemavu kumbuka yy alizaliwa mzima hii inatokea tu na hakika angekuwepo sajuki asingekuwa anaumizwa

  • @nurukhalifa9413

    @nurukhalifa9413

    3 жыл бұрын

    @@26eleven35Albino ni watu wenye ulemavu wa ngozi mkoswa akili wewe😀😀😀😀😀😀

  • @nurukhalifa9413

    @nurukhalifa9413

    3 жыл бұрын

    @@shizaarfred4059 weeeee tena ndo angekuwepo sajuk ungeshangaa mtoto wa sajuki kasema ni wa nyange😀😀

  • @nalliekessy4902
    @nalliekessy49023 жыл бұрын

    Hii imetisha sanaa haji sioo😂😂😂😂🤝

  • @shizaarfred4059
    @shizaarfred40593 жыл бұрын

    😀😀😀😀🎤🎤Steve kumbe ni lofa

  • @tumainijonas1765
    @tumainijonas17653 жыл бұрын

    Napendekeza afuatie 20%

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh2 жыл бұрын

    Haji kauwa hapo hapo ati kaongozana ma shehe kumi wakafanye kisomo nyumbani kumbe anaenda kumpakazia fazake😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🙈🙈

  • @ydtv9167
    @ydtv91673 жыл бұрын

    Aminia

  • @supervisionshow9103
    @supervisionshow91033 жыл бұрын

    Good

  • @basitv2299
    @basitv22993 жыл бұрын

    Huwezi kuwa mkubwa bila kutukanwa.

  • @dilipdab3714
    @dilipdab37143 жыл бұрын

    Nimeipenda.hiyo.media.yaok.stone.town

  • @neemahenery5291
    @neemahenery52913 жыл бұрын

    Yani kama yupo kwenye mechi😁😁😁

  • @saifalrashidy3269
    @saifalrashidy32693 жыл бұрын

    Salama, ningependekeza interview ijao iwe ya MKOJANI Comedy ili tumfahamu kwa hamu...

  • @salumjumah5648
    @salumjumah56483 жыл бұрын

    Buggati nilikuwa naisubr interview hii kwa hamu sana

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr3 жыл бұрын

    Haji 😁😁😁😁😁😁😁umempelekea babaako mashekh

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem933 жыл бұрын

    Kipindi chote kaongea Haji

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir93 жыл бұрын

    Eti mm nataka marafiki marofa🤣😂😂😂😂

  • @hulkahassan4463
    @hulkahassan44633 жыл бұрын

    Manara kashindikana kwa kweli

  • @lastsimbatv1497
    @lastsimbatv14972 жыл бұрын

    Salam plz muhoji meena ally

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi75103 жыл бұрын

    Kweli Salama anakipaji kikubwa sana ila media hii ina njaa sana matangazo kama mvua. Watu wapo shule kwa sasa hatuna muda kuangalia matangazo kama mvua

Келесі