Salama Na NANDY Ep 53 | MNOGESHAJI PART 2

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Huyu si moja ya marafiki zangu, as in si Mtu ambaye nafahamiana naye sana, ambaye nilishawahi kukaa naye muda mrefu na kupiga story, au kusafiri naye au kuwa studio wakati anafanya mambo yake au namjua mzazi wake au mtu wake wa karibu kwenye familia yake ila nawajua watu ambao wanamfahamu kwa ukaribu na watu hao ndio ambao walinipa mimi mawazo ya kutaka kumfahamu vizuri binti huyu hodari wa ki Tanzania bila ya hata ya wao kujua.
Baadhi ya Dada zangu walifahamiana naye kwenye kipindi cha msiba wa Marehemu Ruge Mutahaba, kipindi hiko kilikua cha masikitiko kwao na kwake pia. Nandy alikua na ukaribu mwingi na Ruge, alishawahi kumtembelea hospitali mara kadhaa na pia alikua na mawasiliano ya moja kwa moja na watu wa karibu wa familia kipindi kile ambacho Ruge alikua hana tena mawasiliano naye moja kwa moja. Siku ambayo Ruge alitangulia mbele za haki, muda si mrefu kabla ya hilo kutokea Nandy ananiambia alizungumza na nesi wa zamu siku hiyo na pia alimuekea simu kwa ukaribu na alimsikia akiwa anapumua. Wapi alikua wakati anapata habari hii iko kwenye maongezi yetu haya, humu pia utaelewa connection ambayo sisi binadamu tunayo na watu ambao tunawapenda na wanao tupenda.
Najua siku hazigandi kama ambavyo Lady Jd alishawahi kuimba na ndio nikawaza, hivi ushawahi kuwaza Nandy amekua kiasi gani toka msiba wa Ruge utokee? Unakumbuka baadhi ya maneno yaliosemwa juu ya career yake baada ya msiba ule? Tunafahamu kwamba alipoteza rafiki, mentor, baba na kama tochi yake. Mimi huwaza haya sana, na hilo la yeye kujidhatiti na kukaza mwendo ndio ambalo lilifanya mimi binafsi niseme you know what, it’s time.
Nandy ni MPAMBANAJI, anaupenda muziki na kama mtu mwengine yeyote mwenye jitihada basi Mungu humfungulia milango ya Kheri. Kaniambia humu kwenye maongezi yetu kwamba safari yake ya kwanza kwenda nchini Nigeria kwenye mashindano ya kuimba alimuambia Mama yake wakati yumo ndani ya ndege, alipomaliza hotuba yake fupi alizima simu na wheels up, to Lagos ambako alihakikisha anapigana mpaka fainali na kumaliza nafasi ya tatu. Si kitu kidogo kwa binti ambaye aliamua kuweka shule pembeni ili atimize ndoto yake, ndoto ambayo hata Mama yake mzazi hakua na taarifa nayo.
Siku zinakwenda, maisha yanasonga na yeye ameendelea kukimbiza ndoto yake na mpaka tunaenda mitamboni, Nandy ni mmoja wa wasanii wa kike wakubwa sana hapa nyumbani na barani Afrika na hata Ulaya na Marekani na ukitizama vizuri utajua kwamba huu ni mwanzo tu wa mazuri ambayo yatatokea katika maisha yake. Mimi na yeye tulizungumzia mahusiano hayo pamoja na kukimbiza ndoto zetu. Tuliongelea Bill Nas na kiwanda cha muziki wa Bongo Flava. Tuliongelea muziki wake na collabo ambazo amewahi kufanya. Hapo hapo nilitaka kujua pia yeye ni mtu wa aina gani na ni vitu gani vinamsukuma kutaka atake zaidi na sehemu ambayo anajiona huko mbeleni In Shaa Allah.
Yangu matumaini kama kawaida ni kwamba utajifunza mawili matatu ambayo yatakusaidia kupambana na mitihani ya maisha kwasababu tu umejifunza kutokana na sehemu wenzetu hupitia kwenye maisha yao.
Tafadhali Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 143

  • @melkizedeckelsonmbise4424
    @melkizedeckelsonmbise44243 ай бұрын

    "Unadhani yeye (Ruge)ni mpenzi wa maisha yako" very emotional 😢...nahs kimoyo moyo jibu lilikua ni YES

  • @azzannassor6080
    @azzannassor6080 Жыл бұрын

    Kafunga harusi kapata na mtoto tunamuomba tena 😭❤️❤️

  • @blueplatform9943
    @blueplatform99433 жыл бұрын

    Nimependa swali la ushindi umemuuliza nandi “Ruge ndio mpenzi wa maisha yako?” Nimependa Tecnical ya nandi kukwepa hili swali japo wote swali hili lilifanikiwa kuwaweka emotional It was ver nice interview respect team nzima special thanks to @salama

  • @ommymrocky5816

    @ommymrocky5816

    3 жыл бұрын

    Sureee

  • @mercyranners8030
    @mercyranners8030 Жыл бұрын

    plz tunaomba another interview baada ya harusi if possible

  • @alshabje7185
    @alshabje71853 жыл бұрын

    Mtoto mzuri Sana nakupenda nandy ukizumza ukicheka uko powa ❤️💋

  • @mamapelyekelye9799
    @mamapelyekelye97992 жыл бұрын

    Best interview kwa kweli... Salama mualike tena Nandy wakiwa na Nenga please... Penda wewe salama.. U ma best presenter ever

  • @pettystarford_tz69
    @pettystarford_tz693 жыл бұрын

    Kusema kweli i lyk every thing done kwenye hiki kipind because it makes us ambao tunandoto kubwa kujua dada na kaka zetu walifika wapi... I shed tears sometyms when listening story za watu and i laugh alot at tyms the only thing nnadiscover through this interviews ni kwamba hamna kinachoshindika mtu akiweka jitihada zake .. kwaio kama hio ilikua lengo la kipindi hiki bas umefaulu kimahudhui ... God bless u i am inspired

  • @tinalucas6284
    @tinalucas62843 жыл бұрын

    Nandy jmn nimempenda bure

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy8703 жыл бұрын

    Itabid cku moja muosha aoshwe, episode iyo ije iwe ni JESICA NA SALAMA.😂😂

  • @mageroanna5248
    @mageroanna52483 жыл бұрын

    Nakupenda nandy

  • @najma3268
    @najma32683 жыл бұрын

    Nandy anaongea vzr mashaallah

  • @sebastiankulaya2432
    @sebastiankulaya24323 жыл бұрын

    Watu wajifunze kwa salama

  • @callmangumbo1552
    @callmangumbo15523 жыл бұрын

    Sema haya mahojino ya vitu vilivyopo na vijavyo na vilivyo pita so itabidi ,watu wajirudie hukojiwa au ndio imepita kwa kupita au matukio yakitokea itabdi watu waje wahojiwe Tena

  • @samniza1763
    @samniza17633 жыл бұрын

    Loved it!

  • @mamysiagerld1385
    @mamysiagerld13853 жыл бұрын

    Nkikumbuka nilivoamaga shule bila kumwambia mtu yeyote.siku ya kufungua shule wiki limepita nkamvizia mama kenda kazini ndio nkamwandikia barua nlikuwa Sina hata simu duh. Mama zetu wanavifua sana

  • @jeanyves8934
    @jeanyves89343 жыл бұрын

    Kweli nime enjoy this interview. Moja kati ya interview nzuri za #Salama Jabir #Nandy sweet as well 🍭 ♨️♨️♨️

  • @mussakepha
    @mussakepha6 ай бұрын

    Good bless you

  • @jacquelineniyo8177
    @jacquelineniyo81773 жыл бұрын

    Where is part one??

  • @haskao77
    @haskao773 жыл бұрын

    Salama is the best. No mpinzani bongo nzima.

  • @mjsaidkeya822
    @mjsaidkeya8223 жыл бұрын

    Nawapenda sana

  • @isdoripascal1967
    @isdoripascal19673 жыл бұрын

    She killed it💯

  • @danielhaule155
    @danielhaule1553 жыл бұрын

    Best female presenter bongo nzima till this time

  • @kithnathan5721

    @kithnathan5721

    3 жыл бұрын

    salama akifa labda ndo tuona mwengine anachipukia, ila kwa sasa mhhh hakuna kama yeye... nmeona Zamaradi na kipindi chake nikadhani laaaabda atafanya jambo kubwa ila loh kaharibu zaidi, Salama ni Salama

  • @joezeno8

    @joezeno8

    3 жыл бұрын

    No doubt, Salama is the best presenter I have ever seen in Tanzania, anajua ginsi ya kuuliza maswali ya muhimu

  • @salashbooben2580

    @salashbooben2580

    3 жыл бұрын

    Apana una kosea huyo sio best kwa sas bali ni queen of presenters wa kike tanzania nzima ila best female presenter kwasas ni ALIA MUHAMMED @thisisaaliyaah kutoka WASAFI MEDIA (TV) (refresh)

  • @salashbooben2580

    @salashbooben2580

    3 жыл бұрын

    @@kithnathan5721 kiukwel salama ni queen of female presenters bongo but kwasas sio best ila best ni ALIA MUHAMMED @thisisaaliyaah kutoka WASAFI MEDIA (TV) (refresh)

  • @salashbooben2580

    @salashbooben2580

    3 жыл бұрын

    @@joezeno8 is not the best but she's the queen but now the best is ALIA MUHAMMED @thisisaaliyaah from WASAFI MEDIA (TV) (refresh )

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul1033 жыл бұрын

    Kitoto kisweety hichi Masha’allah

  • @kendradamas8063
    @kendradamas80633 жыл бұрын

    Part 1 pls

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir93 жыл бұрын

    Nimefurahi

  • @nasrahsamwely6871
    @nasrahsamwely68713 жыл бұрын

    Wow ❤️❤️❤️❤️

  • @youngchua697
    @youngchua6973 жыл бұрын

    Sema tennnnaaaa

  • @aminasaid7657
    @aminasaid76573 жыл бұрын

    Part 1 hko wpi plz

  • @munirachambuso6830
    @munirachambuso68303 жыл бұрын

    Nandy ❤️❤️❤️

  • @doricekaizirege8153
    @doricekaizirege81533 жыл бұрын

    Best of the Best Presenter Salama🙌🏿❤️

  • @salashbooben2580

    @salashbooben2580

    3 жыл бұрын

    She's not the best she's the queen but the best is ALIA MUHAMMED @thisisaaliyaah from WASAFI MEDIA

  • @anitakamene5073
    @anitakamene50733 жыл бұрын

    Nice

  • @ramlangenya6325
    @ramlangenya63253 жыл бұрын

    Part one🤷‍♀️

  • @fatumasuleymanashurambinda6880
    @fatumasuleymanashurambinda68803 жыл бұрын

    Jamani ndugu zangu wa mwa nza tanzania kilmahewa shule ya nyamanoro anay weza kunyambiya kuhusu mwalim bunango yeye nimwanamke ana fundisha hisabati na sayans wa shule ya nyamanoro c naweza kumpata je? Yeye yuko hai au alisha kufa naombeni mnisaydiye👃🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward56053 жыл бұрын

    Party one mm nimeimaliza ndo nikaanza hii mbona

  • @priscajubilate205
    @priscajubilate2053 жыл бұрын

    Nandy unakula bila kunawa

  • @lightstudioproduction
    @lightstudioproduction3 жыл бұрын

    Okay

  • @dripboy2026
    @dripboy20263 жыл бұрын

    Sasa part 1 I'll wap

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Жыл бұрын

    Nandy 😍♥️🔥🔥🔥

  • @stevenmashallo9756
    @stevenmashallo97563 жыл бұрын

    My dream interview salama uishi sana nikifanikiwa natamani nikalie icho kiti alipokaa nandy nikujibu

  • @bonusinch2572

    @bonusinch2572

    3 жыл бұрын

    Amen kwako

  • @pamanyango8917

    @pamanyango8917

    2 жыл бұрын

    Inshallah🙏🙏🙏🙏

  • @jmaxyuppie3186
    @jmaxyuppie31863 жыл бұрын

    Sad i start watching part 2 instead ya part 1 😢

  • @jasmineedamu6089
    @jasmineedamu60893 жыл бұрын

    💥💥💥

  • @uwitekamimy3431
    @uwitekamimy34313 жыл бұрын

    Woyooooo Nandy ❤ LEOLEO ni Nomaaaaaa 💥💥 🇧🇮🇨🇩

  • @rehemacharles6159
    @rehemacharles61593 жыл бұрын

    I like Nandy

  • @hamyrhai9957
    @hamyrhai99573 жыл бұрын

    part 1 ipo wap? Duu

  • @gracemfangavo4824
    @gracemfangavo48243 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 Salama ukoje lkn et ni yang au ni yako

  • @silvanusremmy9575
    @silvanusremmy9575 Жыл бұрын

    Sasa ndio mpaka useme kuwa WAZUNGU walikupokea.?

  • @elizabethsakina9987
    @elizabethsakina99873 жыл бұрын

    Where’s part one??

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Nandy bhana, napenda ulivyocheka 😀😀😀

  • @icecream2684
    @icecream26843 жыл бұрын

    🥰

  • @kulsweetmatanda4593
    @kulsweetmatanda45933 жыл бұрын

    part one iko wapi

  • @juliusngowi952
    @juliusngowi9523 жыл бұрын

    Part I iko wapi??

  • @ayshunamir7801
    @ayshunamir78013 жыл бұрын

    Part 1???

  • @mrs2918
    @mrs29183 жыл бұрын

    kumbe anasomesha mdogo wake na kuhudumia familia ndio sababu hawataki aoleweeee dah familia ni nuksi wakati mwingine

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    3 жыл бұрын

    We acha tu

  • @untolddraculla
    @untolddraculla3 жыл бұрын

    Part ONEEEEEEEEEEEE??????

  • @bundukitv1322
    @bundukitv13223 жыл бұрын

    MAKALA MAALUM - Chanzo na sababu za mtu kukosa hamu ya kufanya mapenzi👇👇 www.mrbunduki.com/2021/02/matatizo-ya-kukosa-hamu-ya-kufanya_13.html?m=1

  • @evaristmrope
    @evaristmrope3 жыл бұрын

    So nice interview Salama na Nandy

  • @imanuelmwaipopo3520
    @imanuelmwaipopo35203 жыл бұрын

    Salama namba 1 iko wapi sasa

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa94133 жыл бұрын

    Eeee

  • @jumayussuf4481
    @jumayussuf44813 жыл бұрын

    Nandy anatumia left hand

  • @naamohamed9964
    @naamohamed99643 жыл бұрын

    Inaelekea nandy umemzoea sana salama

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    3 жыл бұрын

    Wamezoeana

  • @naamohamed9964

    @naamohamed9964

    3 жыл бұрын

    @@khadijahali4837 ndioo mana wanaongea kirafiki zaid

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    3 жыл бұрын

    @@naamohamed9964 😁😁😂😂

  • @gracemalashi8358
    @gracemalashi83583 жыл бұрын

    😘😘😘😘😘

  • @makayabanzi2929
    @makayabanzi29293 жыл бұрын

    Nandy kumbe ni left hand

  • @lizabethrich4952
    @lizabethrich49523 жыл бұрын

    aka kaujinga chenu cha kueka prt 2 kabla ya 1 mtu atakatwa mshaara apo

  • @christinemangaza5758
    @christinemangaza57583 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🇺🇸🇺🇸🇺🇸🙌🏽🙌🏽🙌🏽❤️

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70393 жыл бұрын

    😍🥰🥰🥰🥰

  • @alshabje7185
    @alshabje71853 жыл бұрын

    Salama uko powa ❤️

  • @josephmnishi5295
    @josephmnishi52953 жыл бұрын

    Mbona part one haionekani??

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    3 жыл бұрын

    Mbona ipo mimi niliiona

  • @davidsonvevo910ksubscriber5
    @davidsonvevo910ksubscriber53 жыл бұрын

    hamna part 1

  • @christinahillary3417

    @christinahillary3417

    3 жыл бұрын

    Ipo itafute

  • @kithnathan5721
    @kithnathan57213 жыл бұрын

    tunasubiri part one.... hahahahah

  • @anniemmacy6909
    @anniemmacy69093 жыл бұрын

    I love her jmn

  • @lareineminah1353
    @lareineminah13533 жыл бұрын

    Dah ameshindwa kujibu billnas asijisikiyi vibaya☹️☹️☹️

  • @saumrashid8086

    @saumrashid8086

    3 жыл бұрын

    Umeona eeeh ajibu tuu mwenzake afrah jmn

  • @happinesskaali4750
    @happinesskaali47503 жыл бұрын

    Nandy😘😘

  • @mwanaidsalehe1109
    @mwanaidsalehe11093 жыл бұрын

    Nandy ana akili sana.

  • @annakbunga8377
    @annakbunga83772 жыл бұрын

    Nahapo mshukuru Sana Ruge ungekuwa pekeyako siungedata ww 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @PesaMadafu
    @PesaMadafu3 жыл бұрын

    😂😂😂😂❤️

  • @marianajoachim9411
    @marianajoachim94113 жыл бұрын

    Mbna part 1 sion ni mimi tu au?

  • @hemedisalim5522

    @hemedisalim5522

    3 жыл бұрын

    Ata mm nimejaribu kuisachi ila wap

  • @halimasulaimani848

    @halimasulaimani848

    3 жыл бұрын

    Ipo mbona

  • @agathathobias8690

    @agathathobias8690

    3 жыл бұрын

    Ilichelewa lkn Sasa ipo

  • @annapriscus6689
    @annapriscus66893 жыл бұрын

    Why part 2 while part one wasn't uploaded 🤔

  • @shangwekamando2599

    @shangwekamando2599

    3 жыл бұрын

    Party two ipo Angalia vizuri

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    3 жыл бұрын

    @@shangwekamando2599 kauliza part 1 sio 2 ila hata one ipo

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    3 жыл бұрын

    @@shangwekamando2599 kauliza part 1 sio 2 ila hata one ipo

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie74433 жыл бұрын

    Nice inteview

  • @lazamwa1

    @lazamwa1

    3 жыл бұрын

    Demu muongo, story yake haileti maana, alishaambiwa na kaka yake ruge kuwa ruge ameshafariki, simu gani tena alipiga, wakasali alafu akafariki?? n

  • @bashirujafar2510
    @bashirujafar25102 жыл бұрын

    ♥️♥️♥️

  • @sadanassor4992
    @sadanassor49923 жыл бұрын

    Da salama part one ipo wapi ?

  • @teddyndungurusabnu4792

    @teddyndungurusabnu4792

    3 жыл бұрын

    Mbona ipo mie nimeiangalia nimeanza one nimemalizia hii

  • @sadanassor4992

    @sadanassor4992

    3 жыл бұрын

    @@teddyndungurusabnu4792 ilianza kutoka no 2 tulivyo lalamika da salama ndo akaweka no 1

  • @teddyndungurusabnu4792

    @teddyndungurusabnu4792

    3 жыл бұрын

    Okay

  • @josephmaganga7351
    @josephmaganga73513 жыл бұрын

    We nandy humsikilize diamond

  • @sekhammwambusa1653

    @sekhammwambusa1653

    3 жыл бұрын

    Hasikilizi Wasafi hata mshindani wake zuchu hamsikilizi

  • @farahanjuma1714
    @farahanjuma17143 жыл бұрын

    Huoni hayamtumzima kuliamkono washoto au ndowafuasi washetani

  • @amaliajoseph2493

    @amaliajoseph2493

    3 жыл бұрын

    Jamn ina maan hujui kama kuna left hand na hawawez kutumia right loooooh

  • @mwanaimaabdallah7825

    @mwanaimaabdallah7825

    3 жыл бұрын

    @@amaliajoseph2493 uongo mbona boss wangu anatumia shoto lkn hali kwa mkono wa kushoto yy hata mwanae

  • @halimahalima1186

    @halimahalima1186

    3 жыл бұрын

    Hata mm najua hivyo wanatumia kushoto kila kitu lkn sio kwenye kula

  • @shangwekamando2599

    @shangwekamando2599

    3 жыл бұрын

    Kwaninakula nyie Kama Mavi ni yake

  • @estershayo476

    @estershayo476

    3 жыл бұрын

    Yan mnahukumu hata vitu visivyo na maana.

  • @fatumaseleman5700
    @fatumaseleman57003 жыл бұрын

    Iki kipindi uwa kinarushwa saa ngapi

  • @paskaziamathias7423

    @paskaziamathias7423

    3 жыл бұрын

    Saa 3:00 ucku kila alhamic

  • @fatumaseleman5700

    @fatumaseleman5700

    3 жыл бұрын

    @@paskaziamathias7423 asante

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud2563 жыл бұрын

    Linakula kw kushoto cjui chooni vipi haram alaiki

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 жыл бұрын

    Atakuwa left handed, inatokea

  • @gracedaudi4703

    @gracedaudi4703

    3 жыл бұрын

    Kwan hamjawaiona w2 wanao2mia mashoto

Келесі